Wee joti kiboko ya komedi wote. Wewe noma saaaana. Nakupata nikiwa congo Lubumbashi. Asante kwa kutuzidishia siku za kuishi
@PabloEscobar-wt1fq9 ай бұрын
Tanzania ur really blessed having Joti aka Babu,Nishai,Adunje, Kiboga...This guy is damn talented,he always crack my ribs anytime i watch his comedy 🤣😂🤣🤣
@hemedjumaa3909 ай бұрын
Umesahau Character ya Mpemba Ami Jay 😅
@mahindinilla39959 ай бұрын
Kwamba wasipokufa unapiga mkojo wa ngamia
@simonandrew14899 ай бұрын
Good work mr joti with your Team You Did It we'll
@mathayomwashambwa12389 ай бұрын
Jot ukiwa babu UTAKUWA.. mzee wa mila za utaniiiii....haya umetoa SOMO LA milaaaaaaaaa
@waziribakari60679 ай бұрын
Eti napiga hata mkojo wangu #Joti bhana😂😂
@wanatangawaja63979 ай бұрын
Nipeni like jamaniiiii ndio waknza mimi
@elcontawa80239 ай бұрын
Kwaio
@Kabeya4109 ай бұрын
We kenge umefanya nini ktk hii comedy mnampenda sifa kazi za watu kenge manyoya
@kekiplus1andonly9 ай бұрын
Baba zito,njoo huku kuna mazito😂😂😂😂😂
@rogatusmeleki16609 ай бұрын
Vinaaaa😂
@joojjooj72049 ай бұрын
❤❤😂😂jot funga kaz comedy ❤❤
@alfredjohn56939 ай бұрын
Kiuno kile kama feni mbovu😁😁Joti mtambo kweli
@nikwigizemichael17859 ай бұрын
Haka kajama ni comedian wakutosha kabisaaaa😂😂😂😂
@Shuu.A9 ай бұрын
Mama zito akajaribiwe na yeye ukiigiza babu unakuwa mhuni kweli joti 😂😂😂😂
@matukioonline34339 ай бұрын
High level of creativity 🫡🫡
@azizally52839 ай бұрын
Mbona hatujaduu😂😂😂😂
@mohammedkidody56189 ай бұрын
Joti is a legend always❤❤❤
@jumandabirorere37379 ай бұрын
Huyu mwamba Joti kila ijumaa lazima azifanye mbavu zang ziume😂
@abraham922682 ай бұрын
Yaani akicheza kama babu namkubali sana
@KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy9 ай бұрын
SEMA combination ya kina sopa ndo ilikua inanoga sana
@francescafrancesca89019 ай бұрын
😂😂😂😂 Joti wewe Mungu akusamehe😂😂😂😂
@user-zb2mj5nd5g8 ай бұрын
yaani sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khalfannyanje89709 ай бұрын
Sasa babu mwisho wataka kumdhuru mama zitto😂😂😂😂
@charlesmillinga9929 ай бұрын
Joti Joti Joti nakuita mara tatu, tunamuona Majuto in you kaka. Asieee 😂😂😂😂
@OctavianMakoye-vl7qx9 ай бұрын
😂😂😂the best comedian ever in Tanzania
@joachimmapunda41259 ай бұрын
Joti is second to Majuto.
@StephanoAkyoo9 ай бұрын
This man is pure an actor😅😅
@starlonejadamskp82249 ай бұрын
Never disappoint jotiiii 😂😂😂🎉
@luciamsani9 ай бұрын
🥰🥰🥰Haki ya Mungu joti chiziiii looh
@petromihayo86329 ай бұрын
Joti ni balaa sanaa😂😂😂
@mahmoudaziz47179 ай бұрын
Nakuelewa sana joti.big up.ukigiza kama Mzee na nishai na dem. Nacheka sana😂😂😂😂.
@erickchitumbi13089 ай бұрын
Kitovu balaaaa😂😂😂kuduuuh uuukooooh
@elizabethissack84059 ай бұрын
Mkumbuke kupiga kura jaman co kufurahiya tuuuu
@gametongwe35399 ай бұрын
Eti huyu mtoto show hamna 🤣🙌🔥
@RashidyMrang4 ай бұрын
😢Joti akishuti km babu namkubli san
@onlyonetztv6109 ай бұрын
Mguu chaga mguu net
@stevenkapenulo4749 ай бұрын
Ugeni kpndi cha mavuno😅😅
@johnmaina60819 ай бұрын
Hahahaha mila na desturi zisambazwe generation after generation.
@julianashani94089 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@wildlifedocumentary52879 ай бұрын
The best comedian kuwahi kutokea Tanzania
@IDDNZARO22-eu5xx9 ай бұрын
😂😂😂 ile furaha unanipea Mungu azidi kukueka Amiin Inshaallah
@tembomnyama23109 ай бұрын
Kuna Cha Kujifunza Hapa 👏🙏
@jamilaathumani54819 ай бұрын
Ila joti msenge Sana 😂😂
@lilianalmas59119 ай бұрын
It's Friday again Jotiii never disappoint bro 😂😂😂. Babu Kama Babu
@dionistindwa74299 ай бұрын
😅😅😅😅
@OnesmoMwipopo-co8dr9 ай бұрын
More creative and talented
@yourvideostz15799 ай бұрын
Dah! Message sent
@athmanywaomary32049 ай бұрын
Ndio maana ya ndoa..! 😂😂😂😂😂❤❤❤❤ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-el3dk1sf4f9 ай бұрын
Upo vizuri gingers sans nakufuatilia sana
@sharifushabani39065 ай бұрын
Dah respect kwake anastail kuchukua tuzo kila mwaka maana dah kama misondo
Joti naomba 5000 elfu tu nipate sembe Hali mgumu Sana ndugu yangu tusaidiane
@user-nf6cy2wx2w9 ай бұрын
😂😂😂Watanga wenzangu wazee wa mguu chaga mguu net gonga like hapa
@ayubusenyagwa-pl8xz9 ай бұрын
Joti kwa hapa bongo hana mpinzan aisee😂😂😂
@benhamza56499 ай бұрын
One of the best
@mohamedabad71799 ай бұрын
Hahahha mguu chaga mguu net😅😅
@HusseinKitwala-lu6sc9 ай бұрын
Joti so fire...😄😄🔥🔥
@4ktime5879 ай бұрын
Joti 🎉Mimi kwa mtizamo wangu na maoni yangu nadhani inabidi niweke sawa kwamba kwa maneno machache sana niseme mimi kama mimi naweza kuwa na mtazamo ambao nitapenda kusema kuwa kwa maoni yangu naona ni vema kueleza kuwa inabidi sasa niweke sawa maelezo yangu kuwa hili suala ni jambo ambalo kwa maoni yangu naona kuwa maneno ambayo naweza kueleza kwa ufupi sana na kutokana na mawazo yangu. Sasa nimalizie kwa kusema kuwa naona mawazo yangu ambayo yanaeleza kuwa mtazamo ambao mimi binafsi ningetamani kusema kuwa inabidi maelezo haya ambayo nayatoa ni kwamba, kwa maneno machache nieleze kuwa naweka wazi ya kwamba maoni yangu na mawazo yangu nayaeleza kuwa mtazamo huu ni kueleza kuwa sina la maana ndugu zangu.
@ZilfatAlly-lv1rw9 ай бұрын
😂😂😂kwa kweli joti sii chizi pekeyake. Ana wafwasi wazuri tu kama wewe
@4ktime5879 ай бұрын
@@ZilfatAlly-lv1rw 🤣🤣🤣🤣zilfat 🫰💔
@TupoComedy9 ай бұрын
Zito weeeeeeeeeeee eheee jot mguu net mguu chagaaaaa
@blaisenduwayezu62009 ай бұрын
Iyo kali saana comedian nimekubali
@FathimaZubair-jt4cg9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣hhhhhhh mbav znguu miee
@akrammasoud80509 ай бұрын
Hahaha minaenda Bila pumba
@UmayyaNkya-ze3ri9 ай бұрын
Hahhhaaa nimecheka sana km mila yenyewe hiyo akaaah
@oikodominic19889 ай бұрын
Napenda sana joti yaani camera zake clear sana afu editing safiii
@darviedeben18859 ай бұрын
Hahahahahahaha etiii iih iiih iih😅😅😅😅😅💔🖐️
@innocentmushi46759 ай бұрын
Kama unajua unajua Tu 👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Charleskulwa-hp5ow9 ай бұрын
Hongera sana brother joti kiukweli ukofiti kila sehemu.