No video

DC MAGOTI ASHTUKIZA MSIKITI UNAOLAZA WATOTO 90+ “NAWAPA SAA 24 FUNGENI KITUO, WATOTO WARUDI KWAO”

  Рет қаралды 143,386

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 1 200
@maidimples8236
@maidimples8236 Ай бұрын
Haya sasa ni sawa kwauamuzi uliochukuwa, watanzania haya tuungane sasa tulijenge hilo bweni ndani ya muda mchache biith’nillah🤲🏽 togather we can 💪🏾
@adamapollo9859
@adamapollo9859 Ай бұрын
Ishaallah
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 Ай бұрын
Yes
@emmanuelsalila1557
@emmanuelsalila1557 Ай бұрын
​@@adamapollo9859o
@KimAsia-ec5yp
@KimAsia-ec5yp Ай бұрын
Tutachangia kuliko wakawe teja
@AbdulimalikiDulle-bp5zp
@AbdulimalikiDulle-bp5zp Ай бұрын
Ni kweli
@SalumMkumba-wj2wl
@SalumMkumba-wj2wl Ай бұрын
Hongera sana DC unabusara sana Allah akulinde nasi tuinuke tupige arambee bweni lijengwe biidhin Allah kazi iendelee wanafunzi wasome inshaallah
@user-ck6ur1vk1f
@user-ck6ur1vk1f Ай бұрын
Ma_ashallah! Shekhe Mungu akuongoze kwa kusema ukweli Allah akutie nguvu
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI Ай бұрын
Allaahumma aamiin yaa rabbi 🤲🤲🤲😢
@issarashid7707
@issarashid7707 Ай бұрын
Hongera sana DC kwa kazi nzuri hekima busara na Upendo Mungu akusimamie katika kazi zako
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Ай бұрын
Mungu atawasaidia matajiri wa kiislam lazima wachangie ili wapate nusra Ya Allah ...Kila jambo na sababu yake ....Sheikh mungu atakulipa
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp Ай бұрын
Kwanini matajiri na siyo wewe?
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Ай бұрын
@@JJ-fb9jp In Shaa Allah ndugu upo sahihi
@SGIT-jd6fg
@SGIT-jd6fg Ай бұрын
Kumtolea Mungu ni nia ya mtu na si tajiri buku yako ina msaada sana katika hilo
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Ай бұрын
@@SGIT-jd6fg upo sahihi sheikh wangu
@sabtinaramadhani5413
@sabtinaramadhani5413 Ай бұрын
DC kisarawe mwenyezi mungu akulinde na kila baya ,akupe kheri na baraka zake
@deusgulamiwa7489
@deusgulamiwa7489 Ай бұрын
Kazi ya kufundisha dini na maadili mema. Ni kazi nzuri ya Mungu, iboreshwe.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Ай бұрын
Lakin hao si wanatakiwa waende sekondari ndo huko Wapate na Elimu ya Dini??Ili kesho wasianze.kusema Pastor ana gari lakin shekhe Hata baiskeli hana hahaha
@deusgulamiwa7489
@deusgulamiwa7489 Ай бұрын
@@trophywilson7211 Kweli, umri ule sio wa elimu ya dini pekee. Ukiangalia upande mmoja yaani ustawi "kiroho" unasema ni sawa jambo jema kufundishwa dini. Ukiangalia kwa upana wake yaani ustawi wao kwa ujumla unapata jibu wanahitaji elimu ya dunia na ya dini.
@barakakibale6089
@barakakibale6089 Ай бұрын
huyu Shekhe yuko vyema sana ni msikivu ,Hapo kubwa ni wadau mbalimbali na viongozi wa dini waendeshe harambee mazingira ya boreshwe
@kawiche4911
@kawiche4911 Ай бұрын
SAMIA ANAFANYA NINI? WAUZE HAYO MAGARI YA BEI MBAYA WATUNZA WATOTO WA NCHI YETU, NI KAZI YA SERIKALI, USTAWI WA JAMII UKO WAPI RAISI?
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu Ай бұрын
Allah please we need your help iyakanahbudo waiyakanahstainu😢😢
@ZuhuraKivaju
@ZuhuraKivaju Ай бұрын
Allah amekujaaalia hikma sana sheikh, akulipe kwa nia yako na azidi kukuhifadhi.
@Henricovicent
@Henricovicent Ай бұрын
Hongera sana Mhe. DC Petro Magoti kwa hekima na busara uliyo itumia. Mungu akubariki sana!
@innocentboykid2442
@innocentboykid2442 Ай бұрын
Hekima ni msingi wa wajita
@ZahraBadri-k9q
@ZahraBadri-k9q 24 күн бұрын
Mungu amjaalie huyu shekhe ....hasa kwa juhudi alizokuwa nazo...bahati mbaya amekosa nguvu ......Dc...unahekima sana
@rehemavickie6521
@rehemavickie6521 Ай бұрын
Mungu akubariki sheikh, aisee una Mungu uko mnyenyekevu
@kichanganionlinetv8023
@kichanganionlinetv8023 Ай бұрын
Sisi wengine tumesoma maeneo kama hayohayo leo hii tuna maadili yetu na tuna maisha mazur Alhamdulillah nikiona hivi binasfi najua na maisha tu magumu nawaombea dua ndugu zetu hawa iko siku huyu Ustadh ataneemeka tena mda si mrefu in shaa Allah
@bokasinvestment9219
@bokasinvestment9219 Ай бұрын
Maashaallah kaka watu markazi tumevumilia cz kilichotupeleka tunakifahamu tusilqzimishane mirengo shule kuna nnn kama huna maadili mzigo tuuu mtaan sindo hao wasomi wanaokaa uchi na kusema ndo utandawaziiii wenye dini hawafanyi upumbavu kama huo
@Pelegrinoemanuel
@Pelegrinoemanuel Ай бұрын
Huyu atakuwa alifundisha ugaidi
@kichanganionlinetv8023
@kichanganionlinetv8023 Ай бұрын
@@Pelegrinoemanuel wakristo mnachuki sana na uislam hilo tunalijua na quran ishatuambia kuwa chuki mlizonazo kwenye mioyo yenu ni kubwa kuliko hizi mnazozidhihirisha so tunawajua vzr kwahiyo comment kama hii yako ningeshangaa isiwepo
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Ай бұрын
@@Pelegrinoemanuel Acha ushenzi wewe
@geraldkayanda6075
@geraldkayanda6075 Ай бұрын
Toa ujinga wenu,mlizaa watoto kuwapeleka kulelewa? Kama uwezo wa kulea hamna mnazaa wa nini? Badala watoto mkawapeleke shule wasome elimu inayoeleweka mpo busy na kiarabu.
@hidayahshabani3379
@hidayahshabani3379 Ай бұрын
Allah amfanyie wepes sheikh tuchangie waweke bweni, mkuu wa wilaya yuko vixur ana huruma sana, sheikh nae mkweli, mkuu w wilaya ana huruma sana,
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Ай бұрын
Mimi ni mkristo nimependa jinsi shekhe alivyo mjibu dc kwa hekima inatakiwa tuishi hivi Watanzania.
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o Ай бұрын
Kweri ndugu yangu
@alkitaamiyMihswan-p3j
@alkitaamiyMihswan-p3j Ай бұрын
ndugu yangu mungu aniongoze mimi na wewe hivi ndivo tunavoishi sisi masalafi kwa viongozi wetu.
@Lifebeaconuplift
@Lifebeaconuplift Ай бұрын
@@lulanjamd3886 kwanini kutanguliza kuwa ww mkristo?
@alyumaraos
@alyumaraos Ай бұрын
Huyo dc ni mshenz kama ingekuwa ni kanisani asengetoa uwamuz kama huo ila ukereketwa na ukafiri umemshikaa t
@hamisimtamike9583
@hamisimtamike9583 Ай бұрын
Yah shehe yup vzr
@hamadiayossy
@hamadiayossy Ай бұрын
Mh DC Mwenyezi Mungu akubariki sana,Mungu akupe maisha marefu in sha Allah,
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng Ай бұрын
Shekhe umejibu kwa busara sana mwenyezi mungu Akusaidie uweze kukamilisha hilo itaji la moyo wako nakuombea
@user-ov6bq8dc6t
@user-ov6bq8dc6t Ай бұрын
Elimu ya akhera haipatikan kiurahisi allah atawasimamia na hiki kituo kitaendelea inshaallah
@nasrasalumu7005
@nasrasalumu7005 Ай бұрын
Shekhe uko sahihi sikuizi watoto wadogo watukutu huku mtaani bora kuwe navituo kama hivi hata huku mtaani wangekuwa watoto wenye heshima chamsingi tumuwezeshe shekhe atufundishie watoto wetu huku mitaani hakufai asante mkuu kwa busara zako pia shekhe allah akulipe kwa hekima uliyonayo tukiwezeshe kituo waislamu inshallah
@mohamedkwiga6870
@mohamedkwiga6870 Ай бұрын
Nmewapenda wote shekhe na DC Magoti...Hapo mkuu wa wilaya tusaidie angalau Bweni Moja Inshallah
@seneu.2128
@seneu.2128 Ай бұрын
Waislamu ndugu zetu mkienda msikitini toeni sadaka ili maendeleo kama haya yafanywe kwa viwango vizuri maana lengo kama nikufundishwa dini ni jambo jema ila dini haipaswi kufundishwa kama adhabu, Ile kasumba yakusema hatutoi sadaka kufaidisha viongozi wa dini muache kabisa. Sadaka ni muhimu kwa maendeleo na ukuaji wa dini yenu ikitumika vizuri kwenye mambo kama haya.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Seneu mwisho wa waumini wa dini hiyo kutoa mchango qa sadaka ni ahs mia 5 hao watajamiana tu jinsia moja Mhe Magoti hamna kitu hapo wakubwa watawaonea wakubwa kwa kuwalazimisha
@innocentlukeka6802
@innocentlukeka6802 Ай бұрын
Aliesikia magodoro ya maisha kwa kutafuta watoto anipe likes zangu3
@arbababdul3099
@arbababdul3099 Ай бұрын
Hahaaa kunaviumbe haviko serious#this is Tanzania
@MariamAlly-hk7io
@MariamAlly-hk7io 22 күн бұрын
Mnalia unafiki
@MariamAlly-hk7io
@MariamAlly-hk7io 22 күн бұрын
Chokoraa wapo Tele kkoo gerezani nk Wasaidieni
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 Ай бұрын
Hongera sana mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo shehe pamoja na DC maisha magumu Sana wakirudishwa tunazalisha panyarodi mungu tutetee
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 Ай бұрын
DC na sheikh Mungu awabariki sana.
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 Ай бұрын
Huyu DC ana hekima sanaa jaman nimempenda bure Mungu akubariki
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 Ай бұрын
@@bensonmgaya5693 hiyo sio hekima inatakiwa mtu ahesabiiwe miaka ya shetani …
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 Ай бұрын
@@lawrencegwerino1656 apana amekili makosa sio kila kosa ni kuhukumu tu bila kufikilia kumbuka hata wewe unakosea Mimi ni mkristo na hekima aliyo tumia na kumpa pesa ya vocha amefanya vizuri sana Cha msingi Mungu aendelee kumpa hekima huyo kiongozi anaona mbali sana
@binobino9078
@binobino9078 Ай бұрын
Serikali inatakiwa iwasaidie kuweka mazingira mazuri ya watoto kuendelea na masomo yao, lengo la sheikh lilikua ni zuri tu ila changamoto za kiuchumi ndio shida. Ni vyema DC atie nguvu kukisaidia kituo hicho.
@khamishumba6511
@khamishumba6511 Ай бұрын
​@@lawrencegwerino1656acha ujinga
@aminakipande5645
@aminakipande5645 Ай бұрын
@@lawrencegwerino1656😂😂 😂
@user-kr7ux2dw5l
@user-kr7ux2dw5l Ай бұрын
Shekhe Allah akulipe kheri kwa kutimiza heshima na twaa kwa kiongozi wako. Ila unaona wazi kabisa viongozi wa serikali hawajijui kuwa wao ni watumwa wa wananchi. Hapo waislamu washajitahidi sana kilichobakia viongozi kumalizia tu. Na si kuwa abisha waislamu kiasi hiko. Unauzalilisha uislamu hapo. Wa ache watoto wa some dini yao. Ww waekee mazingira mazuri tu kama kweli nataka kusaidia.
@arbababdul3099
@arbababdul3099 Ай бұрын
Bado kazungumzia bajeti ya 60million inafanya nini kama si kujenga mambo kama hayo... mimi nakubaliana na wewe
@EzzyEddy-nv6ti
@EzzyEddy-nv6ti Ай бұрын
Comment yako Haina maana na Haina mashiko nenda katoe msaada
@MariamAnafi-bf9gy
@MariamAnafi-bf9gy 28 күн бұрын
Kweli
@EmmaPonera
@EmmaPonera 25 күн бұрын
Amedhalilisha nn mbona wakristo wanafungiwa unataka kuweka udini badala ya kuwahurumia watoto,kwani wakristo wanajengewa si wanajenga wenyewe
@husseinyusuph7297
@husseinyusuph7297 Ай бұрын
Mkuu magoti Mungu akubariki sana kwa hekima kubwa uliyo onesha InshaAllah Kazi njema
@user-fj5qu1qy4u
@user-fj5qu1qy4u Ай бұрын
KAZI nzuri magoti DC
@sabojanvierjaja2007
@sabojanvierjaja2007 Ай бұрын
Sheikh hongera sana umeweza kujitambua na kujieleza vizuri sana Mumgu akubariki sana Japo mi ni mu christo nimekuelewa sana na nimekupenda sana bure Na Bwana DC asante kwa kumuelewa Sheikh
@DicksonEdson
@DicksonEdson Ай бұрын
Huyu shehe nimempenda sana nimstarabu
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 Ай бұрын
Saana Allah amfanyie wepesi ktk usambazaji wake wa dini aende kisheria
@EliasPaul-qs2ib
@EliasPaul-qs2ib Ай бұрын
Hata kama siyo mstaarabu hapo lazima ajifunze kuwa mstaarabu Kwa Maana akijifanya mkali jela inamhusu
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 Ай бұрын
Sheikh Mungu amekupa hekima kubwa sana,wewe ni zaida ya sheikh wa mkoa,Mungu akuzidishie Ndugu yangu.
@fatumapedersen193
@fatumapedersen193 22 күн бұрын
Mama samia watoto nitaifa lakesho wakisoma watajenga inchi sasa watoto wanalala chini niaibu sana. Masalaam Fatuma.
@user-kr7ux2dw5l
@user-kr7ux2dw5l Ай бұрын
Masha Allah watoto wanasoma dini yao hapo waachane tu mnachotakiwa mujenge mabweni tu. Na sikuzalilisha.
@EmmaPonera
@EmmaPonera 25 күн бұрын
Sio kudhalilisha angalia usalama wa watoto
@user-kr7ux2dw5l
@user-kr7ux2dw5l 24 күн бұрын
Tunajua unatafutwa uslama ndio lakini si kwa njia ya kuzalilisha
@twalibtz1936
@twalibtz1936 Ай бұрын
Maoni yangu binafsi Dini ina dhalilika hapa, waislamu Tujitoe katika dini yetu tuchangie kuendeleza madrassa zetu hii ni AIBU Sheikh anadhalilika hapa nia ni Njema Uwezeshaji hamna
@perfecttentech6208
@perfecttentech6208 Ай бұрын
mkuu sidhsni kama hapa ni Madrasa. wazazi wawajibike kila mahli kuna madrasa na watotot wanaenda shele na madrasa. kwa nini hawa hawaendi shule?
@dennismwakilembe5800
@dennismwakilembe5800 Ай бұрын
Mimi sio Muislamu ila nimeipenda comment yako upo tofaut na wengine wafia Dini hawataki kuambiwa ukweli Mtu anawaza kumsomea dua Dc anaacha kuwaza jinsi ya kutatua hiyo changamoto
@ziggertv3185
@ziggertv3185 Ай бұрын
Na ishu nikutatua changamoto na sio kulalamika
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Inabidi elimu izingatiwe sio elimu dini tu
@sheilalolila2233
@sheilalolila2233 Ай бұрын
Michango jamani tuanzishe haraka kujenga bweni la msikiti
@AbuuAnuwar-ip7dr
@AbuuAnuwar-ip7dr Ай бұрын
Asante sana muheshimiwa, umetumia njia mzuri sana nahekma yahali yajuu licha yakuwa ulikuwa nauwezo nahaki yakumhukumu Shekhe wetu huyo maana kosa lake likowazi
@joasitz9559
@joasitz9559 Ай бұрын
Hongera DC, nimependa approach yako. Hope Shehe ataboresha
@abdallahidrisa710
@abdallahidrisa710 Ай бұрын
Mkuu wa Wilaya yuko sahihi.Tena huyu jamaa anabusara sana.Tusilaumu tuchangie kuboresha mazingira. Allah Jaalia kituo kisajiliwe
@emmadora7848
@emmadora7848 Ай бұрын
Salute kwako kaka ,wenzio wataanza sema waisilamu tunaonewa
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Ай бұрын
​@@emmadora7848nani anakuonea amka usingizini ndugu yangu hizo dini sio zenu tumeletewa na wakoloni amkeni usingizini ndugu zangu 😭😭
@Official83640
@Official83640 Ай бұрын
MM NIMESEMA LKN NAONEKANA NA MM KAFILI WAKATI UKWELI NDY HUO SEHEMU SIO SALAMA WATU WAANGALIE WASIMLAUMU MKUU WA WILAYA TU NI BORA WAOMBE MICHANGO KITUO KISAJILIWE BWENI LIJENGWE MAFUNZO YAENDELEE
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy Ай бұрын
Ameen
@zully756
@zully756 Ай бұрын
​@@emmadora7848kuna mtu alisema ugaidi unaanzia hapo.
@hermanaaron6945
@hermanaaron6945 Ай бұрын
Kazi nzuri sana DC
@nathanielshauri5135
@nathanielshauri5135 Ай бұрын
Hongera sana DC kazi nzuri sana ndio viongozi tunao waitaji watazania big up
@libandaonline5358
@libandaonline5358 Ай бұрын
Sasa kazi ya nini hapo au ndio ukafiri unakusumbua
@RiyanyMwakipunda
@RiyanyMwakipunda Ай бұрын
Nakupongeza Dc Magoti mpakanimetokwa na chozi kwa hekima zako good bro
@ukhtyrehemaabdy2830
@ukhtyrehemaabdy2830 Ай бұрын
Ukiwa na busara raha sanaaa DC anabusara Sheikh anabusara hapo Lugha ni Moja Mashaallah
@m-tatu1050
@m-tatu1050 Ай бұрын
Mimi ni Muslim ila Kwa hili usalama wa watoto haujazingatiwa. DC upo sahihi na umetumia busara kubwa shekhe pia umetumia busara kukubali makosa kukiri makosa. Mungu ni mwema yametokea haya kabla madhara hayajawapata watoto.
@MariamAlly-hk7io
@MariamAlly-hk7io 22 күн бұрын
Chokoraa wapo Tele mitaani Wasaidieni
@yusufumbwene5669
@yusufumbwene5669 Ай бұрын
Mtume wetu Muhammad ( s.a.w ) ukiangalia maisha yake yote alikuwa akilala mchangani kula alikuwa anakula tende na sio kwamba alikuwa masikini , starehe za kidunia zitawapotosha vijana , huyu dc atafute vijana ambao hawana ajira mtaani awasaidie acheni kusakama uislam
@SophyDan-c4s
@SophyDan-c4s Ай бұрын
Dc Mungu akubrki,una hekima sana
@ahmedyunus7211
@ahmedyunus7211 Ай бұрын
Kabla ya kuisoma Dunia ni vyema kuisoma akhera yetu wenye Dunia tuwaachie Dunia yao
@AhmadaHassan-gy5uj
@AhmadaHassan-gy5uj Ай бұрын
Swadaqta wa jina
@groundtrader173
@groundtrader173 Ай бұрын
Serikali wanataka madrassa zifungwe. Hawana lolote hawa. Wanataka elimu ya kizungu tu.
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb Ай бұрын
​@@groundtrader173usingesoma ya kizungu, ungetuandikia nni hapa????.. ndio inayokusaidia kupambanua mambo
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 Ай бұрын
​@@manish-fp1fbMambo gani ww choko nini
@RaphaelHhari
@RaphaelHhari Ай бұрын
Dc amefanya kazi nzuri
@user-xz9zg2yk6m
@user-xz9zg2yk6m Ай бұрын
Jamani umetoa maoni mazuri sana mungu akulinde kwa kufuatilia hayo mazingira ya hao watoto🙏🙏🙏
@user-so5vi2vk2j
@user-so5vi2vk2j Ай бұрын
Ubarikiwe shehe na dc kwa hekima
@fawaaidibnjuma8716
@fawaaidibnjuma8716 Ай бұрын
Kwenye kulingania dini kuna mitihani mingi. Allah akupeni subra nusra ya allah ipo pamoja na matatizo
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq Ай бұрын
Sahihi Allah s.w.t awape subra
@groundtrader173
@groundtrader173 Ай бұрын
Serikali inataka kufunga Madrassa. Maneno yake yanaonesha niya yake kamili
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI Ай бұрын
Allaahumma aamiin yaa rabbi 😢😢😢
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Ай бұрын
ndo kulala huko kuitafuta mbingu?
@FghgRyy
@FghgRyy 18 күн бұрын
Allahumma Aamiyn 😢
@user-du5wk9ns9m
@user-du5wk9ns9m Ай бұрын
Bakwata simamia hili,sio kusimamia sikukuu na mirad ya msktin
@abdullazaqjuma7592
@abdullazaqjuma7592 Ай бұрын
Wao wako bize na maulid tu
@peterdominick27
@peterdominick27 18 күн бұрын
D C magoti mungu akutangulie
@khalifaaliomar7989
@khalifaaliomar7989 Ай бұрын
Asante chief
@BLUBEENICE
@BLUBEENICE Ай бұрын
Safi sana MH.ila wazazi wa hao watoto nao vichwa vyao sio sawa.
@alinaalina5044
@alinaalina5044 Ай бұрын
Kutafuta elim sio mpaka update pazuri sio
@HassanWasiwasi-lq1kh
@HassanWasiwasi-lq1kh Ай бұрын
Acha kuidanganya jamii!!! Msikiti ni zaidi ya kufanya ibada, tafadhali tumia lugha nzuri.😢
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s Ай бұрын
Nyumba ya ibada wanapika jaman hiyo ni kambi ya jeshi au ugaidi.. nyumba ya ibada ni ibada tu
@ramadhanizengwe
@ramadhanizengwe Ай бұрын
Sheikh yupo vizur sana na dc nimemkubali sana hongela dc
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Magoti umechapa kazi vizuri sanaaaa hao nikujamiana tu jinaiq moja Mungu walibse hao watoto
@PrinceMgeni
@PrinceMgeni Ай бұрын
Ujielew inaonekana ulizaliw unatukan
@user-gi1vf3gh1e
@user-gi1vf3gh1e Ай бұрын
Achen akili mbovu iyo hali sio nzuri tuache dini pambeni watoto wanakaaje hapo ubishi sio mzuri tubadilike
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
Chuki na uislamu tuuh mungu anawaona mbona watu wanauza uchi na mashoga hawakamatwi wanachekelewa tuuh na viongozi awachukui hatuwa
@emmadora7848
@emmadora7848 Ай бұрын
​@@user-yj5on8cz3enani aichukie dini ambayo watu wake wako kama mawe? Miaka yote hawataki kubadilika ,ninyi ni wabishi sana na ndio maana wengi hamsomi ila kulalama mnapenda sana
@ramadhanimwinyi-7445
@ramadhanimwinyi-7445 Ай бұрын
Didi haiwezi kuachwa pembeni ila utaratibu uchukuliwe dini yeyote haisemi watoto wateswe
@leonnyntandu4324
@leonnyntandu4324 Ай бұрын
​@@user-yj5on8cz3e haya mambo ya kuendekeza udini ndio yaliyosababisha majanga kibiti,mkuranga,Amboni na mtwara mtu anaendesha mafundisho bila hata uongozi wa dini mkoa hufahamu tena unalaza watu msikitini alafu unatetea tu ujinga et dini kuna mtu asiyejua maana ya kumuomba Mungu na kujifunza mafundisho mema kwann mnataka sana kulazimisha dini ya kiislam ionekane na taswira mbaya kwa kukosa elimu ya dunia ninyi ndio mnaofanya uislam uonekane vibaya mbele za watu kwakujiona kama malaika na wengine ni mashetani ingali ndani humo humo kuna mashetani zaidi hata ya hawa mnaowaona wadhambi badilikeni mnakera sana vile hamjui tu mnatufanya tunaowaamini na kutamani kujifunza mafundisho mazuri ya kiislam tuchukie
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 Ай бұрын
​@@user-yj5on8cz3ehawakamatwi vp... Mbona sinza wameshika madangulo yote
@kitejamayunga7645
@kitejamayunga7645 Ай бұрын
Sheikh ni mstaarabu sana. Amesema ukweli wake na Allah atamsimamia kupitia ukweli wake. Mafundisho ya Dini ni muhimu sana, tena sana, lakini shida mazingira siyo rafiki. Simple tu kuelewa.
@JoyceMourice
@JoyceMourice Ай бұрын
Amesema ukweli wap anafanya watoto wasisome mtoto wa darasa la nne amemkumbatia asomi na alisema anawatoto wakubwa kumbe na wadogo wapo
@florencejohn6427
@florencejohn6427 Ай бұрын
Angekuwa mstaraab angefanya huu upuuzi? Ovyoo
@user-rw2mm1jk6o
@user-rw2mm1jk6o Ай бұрын
​@@florencejohn6427chizi ww achakutukana watu unaongea kwajazba ya dini tu fyuuu
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 Ай бұрын
​Upuuzi gani ndugu@@florencejohn6427
@zahranabdi8124
@zahranabdi8124 Ай бұрын
Kuna machokoraa wamejazana mtaani iyo serikali imefany jukumu gan lakuwasomesha?​@@JoyceMourice
@SultanMilizar
@SultanMilizar Ай бұрын
Mh DC Magoti M Mungu akujaalie umli mrefu endelea utafika mbali umetumia hekima sana ila nikuombe umsaidie shekhe ili kupata ufadhiri wa kujengewa bweni za hao watoto Msadie Alifa kupata msaada wewe ni mtu wa watu pia ustadhi tupo tayari kukuchangia nipo tayari takuja kisarawe kukutembelea
@HamisiKashushu
@HamisiKashushu Ай бұрын
Kwa hili nakupongeza sana kazi nzuri
@winfridamakonyola9887
@winfridamakonyola9887 Ай бұрын
Mimi machozi yamenitoka eti kwa ajili ya huyo ostaz alivyo mnyenyekevu hadi nimelia😢 jamani achangiwe bweni lijengwe
@mohamedkwiga6870
@mohamedkwiga6870 Ай бұрын
Nmejiskia huruma kweli asee
@jafarinauma6798
@jafarinauma6798 Ай бұрын
Ndio ujue umuhimu wa kusoma dini huyo sheikh kasoma dini
@marywigira3904
@marywigira3904 Ай бұрын
Yaani anaunyenyekevu mnoo Mungu amuinulie wafadhili wa project hii
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 Ай бұрын
Kwakweli jambo la msingi nikuchanga tu wajengewe bweni zuri waendelee na mafundisho hayo yanafaida sana ila tatizo ni mazingira
@Assalafiyabuu
@Assalafiyabuu Ай бұрын
Kama serikali mnatoa kwa ajili ya mashule basi mtoe na kwa ajili ya madrasa kwani kuna wengine sio kwamba wanapenda kuwa wabunge raisi na cheo zingine za kiserikali kuna wengine wanataka kuwa masheikh serikali iangalie hili msiwalazimishe watoto na ndoto zao
@KONDOBANNAHMUSIC
@KONDOBANNAHMUSIC Ай бұрын
Mh.magoti ila big up sana aseee angkuwa kiongozi mwingine hapo angetaka masifa ila wew muheshimiwa HUNA masifa ALLAH akubariki
@abdallahkungulilo7939
@abdallahkungulilo7939 Ай бұрын
Kiongozi ni ni kutafakari na kufanya maamuzi kwa Hekima na Busara, siyo Hisia na Mihemko, I salute you DC Magoti kwa namna ulivyoshughulikia kadhia hiyo, Mungu akubari!
@ramadhanikitenge3182
@ramadhanikitenge3182 Ай бұрын
Huyo shkh mm namjua anajitahd sana na ana group la mchango wa hayo mabweni ila ndo hvyo watu wanatoa kdog kdogo sana
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 Ай бұрын
Allah atamuongoja
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 Ай бұрын
Atamuongoza inshaa Allah
@mshambaused3840
@mshambaused3840 Ай бұрын
Tuma link yake ya group
@ramadhanikitenge3182
@ramadhanikitenge3182 Ай бұрын
Mtu anaweza akaweka namba yake nkamtumia akuunge kwny group
@MrA24G
@MrA24G Ай бұрын
Angepata network uarabuni wampe fedha za kujenga mabweni.Uarabuni pesa zipo ni apate link Bakwata wangempa link.Ama angeenda ubalozi wa Oman Saudia nk wangemsaidia.Waislam jikusanyeni msaidieni sheikh muonganisheni na waarabu nje ya nchi wam finance.Km dini nyingine wanavyotafuta funds nje na kujenga maskuli nk.
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ Ай бұрын
Maisha hayo ni bora kuliko maisha ya watoto kuzurura mitaani... Kuwa wahuni,wezi,madawa ya kulevya nk...
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq Ай бұрын
Sahihi
@luluray2115
@luluray2115 Ай бұрын
Uko sahii ila kumbuka watoto Bado wanaitaji shule hicho kituo kinaitaji kijulikane kwa serikal na kwa wakubwa wa dini ili watoto wapewe malez Bora kinacho fanyika hapa ni sahii kabsa
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 Ай бұрын
Umeambiwa ni wa mtaani hao?
@libandaonline5358
@libandaonline5358 Ай бұрын
Hakuna dc hapa ni ukristo tu unataka kuturudisha nyuma katika dini laana tu llah
@libandaonline5358
@libandaonline5358 Ай бұрын
Wallah nakuomba mungu sambaratisha cheo chake huyu kafiri adharirike mpaka kaima🤲🤲
@IgnacioAndrew-rj8pd
@IgnacioAndrew-rj8pd Ай бұрын
Shekhe yuko vizuri sana ni mazingira hakuyaanda vizuri
@user-rf1gg4ix4y
@user-rf1gg4ix4y Ай бұрын
DC Allah akulinde na akuzidishie hekima na busara.
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 Ай бұрын
Hii aijakaa sawa
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv Ай бұрын
Haya mambo ya kuaza kufundisha watoto namna ya kuja kuwa magaidi yameaza tena jaman 😢
@MuhamedAjigar-dw9ve
@MuhamedAjigar-dw9ve Ай бұрын
Nyooo umesikia wanafundisha ugaidi pale kuwa muelewa
@JumaJuma-i2g
@JumaJuma-i2g Ай бұрын
@@JK-uq1tv kwani ww umefatilia kua wanafundishwa kuja kua magaidi ?
@devisshirima6780
@devisshirima6780 Ай бұрын
Acheni fikra za kimagharib zilizojaa chuki, uislam sio ugaidi bwana, hiyo ni sawa na Sunday school kwa sisi wakristo !! Tusiwekeane mipaka kwa kuwapandikiza wengine ubaya !! Dini ni upendo, kwa taarifa tuu magaidi wakwanza ni hao wanaotuharibia watoto kwa ushoga na usagaji na tena wanalazimisha dunia iangamie, sembuse hawa wanaoipigania dini yao !! Acha chiki bwana
@JumaJuma-i2g
@JumaJuma-i2g Ай бұрын
@@devisshirima6780 sahihi kabisa ndugu
@shadhirimaalim9739
@shadhirimaalim9739 Ай бұрын
Hizo ni chuki zako wee unaubaguzi kwanza akuna gaidi
@user-rm3vd6yi8f
@user-rm3vd6yi8f Ай бұрын
Shekh wangu uko saw Allah akufanyie wepesi
@athumanyassin7796
@athumanyassin7796 Ай бұрын
Hizo pesa zinazotolewa ni kiasi gani kinatengwa kwa ajili ya taasisi za kidini kabla hatujawalaumu na kuwadhalilisha viongozi wa kidini?
@user-dr2lk7im7r
@user-dr2lk7im7r Ай бұрын
Je hao watoto wanafundishwa dini tu. watoto hao waulizwe wanachofundishwa.
@AbdulimalikiDulle-bp5zp
@AbdulimalikiDulle-bp5zp Ай бұрын
ni dini tu wala usihofu
@seifmiraji43
@seifmiraji43 Ай бұрын
Swali la kipumbavu
@user-ji5go2jf6h
@user-ji5go2jf6h Ай бұрын
😂😂😂
@stellamhando1750
@stellamhando1750 Ай бұрын
😂😂
@kichanganionlinetv8023
@kichanganionlinetv8023 Ай бұрын
We ni msenge mbona wakristo mnachuki na uislam ivi bwege wew
@TV-se1lf
@TV-se1lf Ай бұрын
Jamani shughuli za uendeshaji shughuli za dini ni changamoto sana, ukizingatia hakuna mfadhili wa kukamilisha kila kitu kwa wakati. serikali ituvumilie waisilamu. Ikiwezekana serikali iangalie namna ya kuwezesha taasisi za dini.
@Assalafiyabuu
@Assalafiyabuu Ай бұрын
Ni kweli kabisa
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq Ай бұрын
Sahihi kwasababu nawatu wa dini lengo 1 VP watu wataishi Kwa Imani na khofu hvyo wanafanya kazi kubwa saana kusaidia jeshi la police 🚨 kureta usalam.
@canibalgazaboy8325
@canibalgazaboy8325 Ай бұрын
Taasisi za dini zitengeneze mazingira mazuri zenyewe ko kabla ya kuibebesha lawama serikali kwanza jikagueni wenyewe kwanza muone kama mnaweza kutoa huduma hiyo
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Ай бұрын
@@canibalgazaboy8325 Mwisho wa siku huduma lzm ziendelee watoto mashaallah wanazaliwa wengi kama yukisubira mazingiza mazuri watapotea wate hao vijiweni kwa bangi, unga n.k
@cecilialivingstone9202
@cecilialivingstone9202 Ай бұрын
😂😂😂😂
@Datsme20
@Datsme20 Ай бұрын
Dc ypo humble sana pamoj na sheikh wetu big up sana Dc
@SaidVaddy
@SaidVaddy Ай бұрын
Huyo dc alaniwe na mungu nakila kiumbe kinacho muamin allaah
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Ай бұрын
Una akili ndogo
@petronillajosephat91
@petronillajosephat91 Ай бұрын
Mazingira sio rafiki Kwa watoto ww una comment ujinga eti alaaniwe.tumia akil
@HamisiKashushu
@HamisiKashushu Ай бұрын
Uko vizuri sana mkuu nenda na kwa mwamposa wanala nje na wagonjwa
@arushijuma6056
@arushijuma6056 Ай бұрын
😂😂😂😂 kwakweli
@naifathassan2607
@naifathassan2607 Ай бұрын
Wale ni watu wazima hawa ni watoto wanaweza hata kufanyana vibaya tatizo mnaanza kuleta udini
@therealkingo
@therealkingo Ай бұрын
🎉😂😂
@user-mc2zl1gj6u
@user-mc2zl1gj6u Ай бұрын
Usha sema hao ni wagonjwa acha wahangikie tiba na uponyaji pia ni watu wazima hawajitaji kwenda Shure ludishrni hao watt kwa wazazi wao wakaende shure na kulijenga taifa msikiti ni sehemu ya kusali na kuludi nyumbani siyo kuishi humo kazi au Shure wanafanya saa ngap? Ulizeni hao watt wanacho fundishwa kusije kukawa kunazalishwa akina hamza
@AlexKing-yg2cc
@AlexKing-yg2cc Ай бұрын
​@@user-mc2zl1gj6uKwa uandishi huu hata wewe unatakiwa kwenda shule. Shure ndiyo nn?
@user-js1sv8kk3t
@user-js1sv8kk3t Ай бұрын
Taarifa za kiintelligensia zimebeba mambo mengi kuhusu hicho kituo..
@Makikokasongo
@Makikokasongo Ай бұрын
Tusaidie tujue
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima Ай бұрын
Intelijisia ya mavi
@ibnkhaldoun9694
@ibnkhaldoun9694 Ай бұрын
@HUNA LOLOTE ULIJUALO ZAIDI YA CHUKI NA WAISLAM .
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline Ай бұрын
Hwenda ikawa ndio chanzo cha kupata msaada mkakamilisha kituo chenu. InshaaAllah allaj awape wepesi.
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Ай бұрын
Sheikh mungu awe nawe 🙏🙏💪🙏🙏🙏duniani paka mbinguni 🙏💪💪
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 Ай бұрын
Hivi Serikari wanakuwaga wapi mpka kitu kama hiki kinatokea ? Alipataje leseni ? Mambo ya aibu sana haya.
@WaziriAbdallah-vr4xg
@WaziriAbdallah-vr4xg Ай бұрын
Hakuna jambo la aibu hapo hayo maisha ndo maisha asilimia 90 watu wanaishi huko mikoani hivyo usifanye kama Kijiji kwako hakuna
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ Ай бұрын
Leseni? Leseni gani? Alafu hayo ni maisha tunayoishi kila siku... Nina jirani yangu anawatoto sita wanalala kwenye chumba kimoja na wazazi wao kwenye chumba kimoja... Maisha hayo ni afadhari kuliko maisha ya watoto kuzurura mitaani kuwa wauni na vibaka
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 Ай бұрын
@@OchoaHomeDecor_ ndio maana Serikari inatakiwa na watalamu wake wanatakiwa kutoka Elimu na makazi bora Ni 2024 sio 1940 lazima wawatoe wanainchi kwenye umasikini kama huo sio wanafikilia matumbo Yao tu .
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Ajabu sana hii
@happymvula
@happymvula Ай бұрын
Me nauliza hao watoto wanaenda saa ngapi shule? Maana navyojua wanaenda madrasa wakitoka shule...siyo kuhamia ,labda kama wapo hapo kwa muda .
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 Ай бұрын
Ukweli tusifiche WAISLAM Kwa hili wanakosea sana hii tabia misikiti MINGI hiyo tabia ipo sana kuwakusanya watoto sehem km hiyo unatabia ya ongezeko la Ushoga watoto wengi wamearibiwa sehem km hizo za mikusanyiko
@barackmoses7003
@barackmoses7003 Ай бұрын
𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 Ай бұрын
Mbona mfalme zumaridi mbona Analaza usiseme waislam ili nikosa kama makosa mengine
@shabanponera2895
@shabanponera2895 Ай бұрын
Sunday school hawaharibiwi?
@user-ci9mr5pt9v
@user-ci9mr5pt9v Ай бұрын
Kwani mwenyezi mungu kwenye vitabu vyake anasemaje na mtume naye na watu wema waliishije kipindi chao? Na kuhusu ushoga mungu kakataza lakini pia vilevile kuchanganyika na Wanawake imekatazwa tusiongee tu kwa ushabiki turudi kwa mungu tufate taurati, zaburi, injili na quraan.
@IbrahimuLikolinji-ly2tp
@IbrahimuLikolinji-ly2tp Ай бұрын
Acha ujinga
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 Ай бұрын
Wote wanania nzuri kwa watoto DC amefanya kazi yake nzuri na shekh pia alikua na lengo zuri ispokua amekosea kufuata sheria tu lkn Allah awalipe kwa nia zao njema DC na shekh
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN Ай бұрын
Mwenyezimungu DC akupe mywaka mingi
@hamishatibu699
@hamishatibu699 Ай бұрын
Wajengewe mabweni watoto wasome Mbona Tanga wanamabweni watoto wanasoma vizuli tu
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x Ай бұрын
Tatizo vituvyakheri havina michango m
@ednalugano2906
@ednalugano2906 Ай бұрын
Serikali iache kulea vitu hivi kwa kisingizio cha uhuru wa Imani. Hivi vituo vinavyokusanya watoto kiholela vinakiuka haki ya watoto ya elimu,nk. Magonjwa yakitokea nani anawahudumia? Na wazazi wenye watoto hawa wachukuliwe hatua za kisheria.
@allymtito8117
@allymtito8117 Ай бұрын
We jaahili kweli,
@NURUABDALLAH-kq4ui
@NURUABDALLAH-kq4ui Ай бұрын
We mpuuzi Kweli!!!!
@user-zu8ui2py1z
@user-zu8ui2py1z Ай бұрын
Ww mjinga nmoja
@user-zr1dv2tb5k
@user-zr1dv2tb5k Ай бұрын
Mjinga wa mwisho
@tatujuma4795
@tatujuma4795 Ай бұрын
Big up sana mkuu una mauwa yako toka kwangu, umefanya kazi nzuri sana, kwanza ni watoto wa kiume tupu huu unaweza kuwa mwanzo wa ulawiti na kulawitiwa kwa watoto hao
@user-vl5tz6xt2m
@user-vl5tz6xt2m Ай бұрын
Ushoga ndio unaanzia humour,ni ujinga sana huo.
@omarymatumika4600
@omarymatumika4600 Ай бұрын
​@@user-vl5tz6xt2m hahahahaha wewe kweli akili huna
@EmmaPonera
@EmmaPonera 25 күн бұрын
Hapo kamsaidia kupata wadau wa kujenga hoster
@msemasungura5651
@msemasungura5651 Ай бұрын
Hiyo pia nielimu kama mtoto ameshindwa kwenda shule kuliko kuzurura hata dini asome .nilazima itambulike kua pia hii nielimu.
@Assalafiyabuu
@Assalafiyabuu Ай бұрын
Ni sahihi akhy kuna watu hapa nahisi si waislam wengine pia ni nawasiasa tu wanongelea vitu vya kijinga sana
@luluray2115
@luluray2115 Ай бұрын
Kwann ashindwe kwenda shule tunajua dini ni muhimu sawa lakin kumbuka elimu ni Bure kwann ashindwe kwenda shule??
@israeluronu9958
@israeluronu9958 Ай бұрын
Nyie mnaolalamika eti anazuia kazi ya Mungu mnakosea!!! Haowatt kilamtu ametoka kwao na tabia zake. Hivi vitendo vya ukarili nivingi sikwawaislamu wala wakristo. Kwaiyo wacheni kiongozi afanye kazi yake. Watt wakiumia ninyie mtalaumu jmn
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Ай бұрын
Dc makoti hongera sana
@queenmilan2024
@queenmilan2024 Ай бұрын
Hongera DC
@ABUU426
@ABUU426 Ай бұрын
Yule asiyefahamu nini maana ya dini atamuunga mkono sana DC,na Yule anaefahamu nini maana ya dini atamlaumu sana DC.
@rashidyyusuph4386
@rashidyyusuph4386 Ай бұрын
Ukwel DC kakurupuka alafu watu wanaishi maisha ya shida kuliko hayo alafu wala mtu aongei chochote kwa kuwa jambo la dini na la waislam ndio hivyo tena Kumbuka sis tumesoma elimu ya dunia hiyo hiyo kwa kukaa chni na vyoo vya kulenga Lakin miaka sana yote tumeishi hivyo leo jambo la dini watu washabikia DC mwenyewe maneno machafu
@perfecttentech6208
@perfecttentech6208 Ай бұрын
kiongozi hakuna kulaumu mtu. hapo ni kusecure usalama wa hao watoto. shekhe ajenge hostel afanye hiyo kazi
@ABUU426
@ABUU426 Ай бұрын
@@perfecttentech6208 Kama hujui hapo kuna baadhi ni watoto wa mitaani wameletwa hapo kusaidiwa jee warudi mitaani wakazurure na kulala barabarani na masokoni? Au huko ndio salama zaidi.
@egbertlambert
@egbertlambert Ай бұрын
Duh kweli
@Ommy-n7d
@Ommy-n7d 21 күн бұрын
Chuki dhidi ya uislamu hakuna chochote
@petroyohana1126
@petroyohana1126 Ай бұрын
Wazazi wenyewe ni maboya Sanaa, mungu atusaidie sana. Sijui nani katuloga
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 Ай бұрын
Hata mm nashangaa akili Gani hizi za wazazi. Ndiomana watoto wanafanywa vibaya
@mohamedkamota1903
@mohamedkamota1903 Ай бұрын
Hauna AKILI wewe
@AkidaMashaka
@AkidaMashaka Ай бұрын
achakukurupuka mjomba hakuna mzazi asie mtakia mwanaeheri wamezania heri wakawapeleka wanao ilamzingira ndio changamoto
@issaabdi9129
@issaabdi9129 28 күн бұрын
Wote wako sawa dc nampongeza na sheikh ana hikma sana.
@slaviuslivinusnguvumali6063
@slaviuslivinusnguvumali6063 Ай бұрын
Shekh hongera
@ednalugano2906
@ednalugano2906 Ай бұрын
Waziri Gwajima, ukaguzi ifanyike nchi nzima. Makanisa na misikiti yote ikaguliwe. Na sheria iwe Kali kwa wazazi na walezi. Iko siku waovu wataweka vituo km hivi kuendesha Mafunzo ya ugaidi, ushoga,nk alaumiwe nani?
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Ай бұрын
Nimependa ulichoandika.
@Ommy-n7d
@Ommy-n7d 21 күн бұрын
Edna lugano Kuma ww
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 Ай бұрын
Ni aibu kwa inchi.kuona haya mambo yanafanyika na serikali ipo…
@TwahaAliMtumbi
@TwahaAliMtumbi Ай бұрын
Wapuuuzi Sana hii serikali
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Aibu kubwa sana huu ni utumwa
@yusufumbwene5669
@yusufumbwene5669 Ай бұрын
Huyu anausakama uislam , mimi siwez unga mkono kabisa , anajifanya busara ila moyoni ana maana yake . Pambaneni na wimbi la ushoga . Chuki tu moyoni ndio zimewajaa
@user-ei5di4oi7g
@user-ei5di4oi7g Ай бұрын
Ninawaombea miundo mbinu iboreshwe. Shekhe Allah akulinde
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 96 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 23 МЛН
HUYU NDIE NASSOR AHMED MAZRUI
22:40
Marhaba Online TV
Рет қаралды 3,9 М.
MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI
28:20
Mbengo Tv
Рет қаралды 56 М.