Kila m2 na fikila zake yeye mwenyewe kaamua kuamia chadema yupo sahiiVizur sana wema👍👍👍👍👍👍
@evaraphael25167 жыл бұрын
gabriel ihagula .has the right to join any registered political party of her wish, that is democracy.
@mariamhadija72367 жыл бұрын
huna haya ndy mnavyo jidanganya ovyo fyoooooko 😂😂😂😂😂Yey kamua kuhama ahametu......Yaani sawa nakuolewa.....Mwanaume kakukataa unaanza kusema Mwanaume Yule hajui mapenzi....Baada yakuwachwa nawaskati umeamka nae miaka 10 Mungu ibariki Tanzania yetu
@madichamasawe65917 жыл бұрын
umependeza sana wema safi saaana usiogope maneno ya wakosaji go go goooo wema
@yohanashija52607 жыл бұрын
tulia wema
@Felix722827 жыл бұрын
Bon umepotea braza, hapo hamna kitu
@jasminasha95517 жыл бұрын
pamoja sana Wema Sepetu ulipo nasi tupo wakati wote🎉💐💝👍
@azizayassin36237 жыл бұрын
Jasmin Asha kwan yy nani ccm htutk wvuta bangi penye ako ndio wanavuta
@rosenamilia41407 жыл бұрын
Mafisadi mateja na wauza sura rukswa chadema. Someni alama za nyakati. Hapa KAZI TUU. Mtaisoma namba2020.
@azizayassin36237 жыл бұрын
Rosena Milia ccm oyeeeeeeee
@rosenamilia41407 жыл бұрын
azh zha yassin CCM JUU KWA JUU. Haitingishiki. Imara kama jabali.
@neajon6177 жыл бұрын
daah kweli! mungu anawaona
@MaryamMaryam-nt5so7 жыл бұрын
nawapa pole ccm 😀😀😀😀😀😀😀pole sana nilikimbia tzd kwa unyama tulifika kulala na mbwaa mwisho wake nilikimbia kwa ushenzi wao
@hassankayla40767 жыл бұрын
Sijashikiwa akili bado 2020 MAGUFURI ON FLEK
@ريهامالسريري-ل1ص7 жыл бұрын
Pamoja sana chadema 2020 kitaeleweka inshaaallah
@masumbukosiyougomvi79007 жыл бұрын
choo cha shimo kimehamia chumban.
@azizayassin36237 жыл бұрын
masumbuko joseph haaaahaaa
@kilagane1837 жыл бұрын
mmefeliiii wema ndio nani kwanzaaa
@azizayassin36237 жыл бұрын
samweli kilagane hta cjui barabara ya kwenda wpi haaahaa
@fafi90927 жыл бұрын
uko alikoenda mara yes mara no sijuh atahamia cuf hahahahaa ngoja tuone movie linavyoendelea
@pascoalphonce29117 жыл бұрын
Hakuna hata mmoja alie ng,ang,aniwa CCM
@andreamkuni81977 жыл бұрын
Hakuna kazi hapo ndo tuna haribiwa chama tu.
@georgemartinmartin54237 жыл бұрын
wema ni mnafiki Hafai kitakua chama cha Wala unga
@ibrahimnadir44907 жыл бұрын
tuache upuuzi tunafahamu wazi wazi kama wema mnafiki tu anajua toka mapema kama ccm sio ila alitaka maslahi yake leo wamemtenda ndo kaja upinzani mimi nilitaka afungwe jela asa sipendi kumuona mtu maarufu anazidi kukandamiza maskin kwa kutetea maslahi yake
@azizayassin36237 жыл бұрын
ibrahim said nadir haswaaaaa
@ibrahimnadir44907 жыл бұрын
Umeona azh zha wa tanzania tutaburutwa kila siku tuna upeo mdogo sana wa kufikiria
@blacknature76377 жыл бұрын
karibu sana
@eliudjustin53267 жыл бұрын
jamani 2020 haifiki tuone wema ataelekea wapi tena kaishiwa chaongelewa kwenye mitandao kaona abuninjia mpya kukatazwa jambo namzazi wako ndokuletajeuri na kuzira kuamua kuhama nyumbani kwani ukihama wewe ndounaowapa wazeewako pesa yamatumiziii asubirie kivumbi 2020
@rehemaramadhani2007 жыл бұрын
kwahiyo nyie mtakusanya watu wanao kula sembe siyo mumuogope mungu subhannallah 😢
@suzymayunga8357 жыл бұрын
asante
@jelasnkoma42407 жыл бұрын
sawa jengeni ofisi basi maana kila siku kwenye mabanda ya kuku😂😂
YUSUPH BENELA is that we may God for Tanzanians.d have is only one person
@brendaokumu85187 жыл бұрын
is that wema God of Tanzanians.???? she is only one person
@BennyChristian7 жыл бұрын
kwenda kule, wewe na mnyama wenu tid ndo mateja
@mhujoaloyce87667 жыл бұрын
Anitha Peter she is no body waeende tyu sio wote wafuasi wa wema watafuata ambao hawana uelewa watafuata
@rizikialmas48777 жыл бұрын
Eti wamfuate 2m na tuache 5k.😂😂😂😂😂😂😂😂fyuuuuuuuuuu
@shindapapaya91947 жыл бұрын
😂😂😂😂 eti yenu huikumbuki unai kumbuka ya CCM mama ongea na mwanao ndugu zangu CCM chini ya Rais Magufuli 2020 ni zaidi ya#kimbunga na huyo wema kabla ya 2018 ataludi CCM mtakuja kunambia mimi ni KINGALU au TEKELO wa Nyanyiko😂😂😂😂😂 chezea JPM nchi tayari ishanyooka
@dismaspaskal7757 жыл бұрын
shinda papaya
@hassanovajunior69727 жыл бұрын
shinda papaya shikamoo nimekupenda ghafla
@totoladinda30287 жыл бұрын
Riziki Almas washasign ata wanahesabiwa? au hesabu za abuanuasi😂😂😂😂
@agneskigeme11977 жыл бұрын
Great again Democracies Wema Sepeto songa mbele
@shedyone58947 жыл бұрын
Kwa nn baada ya kupata matatizo ndo ahamie ukawa?, alikuwa wapi kuhamia kabla hajapata matatizo!!.....Hapa hakuna kitu..
@azizayassin36237 жыл бұрын
Shedy One! haaahaa pumba tooo
@shakilamasoud89797 жыл бұрын
kaja chadema kuwabadilisha wanaume kama kawaida yake. subirieni mtaona chadema. kama vipi ajiheshimu sasa
@swimmermoddy20717 жыл бұрын
hamna kitu
@winjakalebela577 жыл бұрын
Wema ukigeuza nyuma mbele utapa MAWE sasa yamewaangukia chademaa daa mmebug kaz yenu kuokota vibovu . Ccm bwana raha sanaa
@abuhurayrah34657 жыл бұрын
Raisi ashasema atasafisha chama hataki wanafki aende na hawa plan zao ni 0 Yan kisa ana fans basi tumfate popote akiingia kwny kisima na ss tuingie nooo bla bla staki kusikia
@azizayassin36237 жыл бұрын
Abu Hurayrah safiiiii
@vanscauz65137 жыл бұрын
kweriii bwana Mimi mwenyewe ni chadema ccm niliama longii kwasababu chadema ni demokrasia na mahendeleo
@deusmyula19387 жыл бұрын
M ,,,ka shabiki wa wema ,,,,nshaungana nae ccm ifie huko 2020 wema bungeni ndo mtakomaaaaaaaaaaaaa
@philiponikwanduka80507 жыл бұрын
nashauri chadema mtoe Maelezo kuhusu tuhumaa za wema bangi au unga sijasema nimuuza unga au bangi hixo nituhuma tu ambazo mahakama itatoa haki lkn chadema hili mnalionaje? napia tinajua rafu za makonda za kutaja majina ya watu hadharani tunajua ni udharirishaji na kuchafua majina ya watu lkn tayari jina LA wema limechafuliwa mnasemaje?
@swimmermoddy20717 жыл бұрын
kisa unga
@dominickidando18147 жыл бұрын
tanzania bwana ni shida
@chapachannel21557 жыл бұрын
Kumbe dhambi ni hatari sana ,tunayacheka magazeti ya udaku lakini huwa yana maana yake,et tumepiga hesabu,nani wakukubali kutembea uchi barabarani
@selemanmwambe93367 жыл бұрын
Dah Nakupenda Tanzania lakini kwa kauli hyo eti wafuasi wa wema wamfuate wema duhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh yaani sasa nazidi kuamiani
@emmabays99637 жыл бұрын
chandema karbu wema achana na wanafki hapo paka kielewe
@musasaidi79737 жыл бұрын
WEMA ANA WAFUASI ILA NADHANI LOWASA ALIKUWA NA WAFUASI ZAIDI ILA MWISHO WA SIKU MMHH CCM SINA HAMU NAO
@mariammarco15547 жыл бұрын
Huyo wema kwani ni nani Tz , mtu mwenyew hana msimamo yupo yupo hata km akihama kamwe ccm haiwezi kufa..
@michaelpaul66576 жыл бұрын
hivi huyu wema naye ni mwanasiasa? 😂😂😂 hivi hii nchi inaelekea wapi?
@andreamkuni81977 жыл бұрын
Madawa ya kulevya aache
@jallygabriel57157 жыл бұрын
karibu kamanda tuendeleze mapambano
@ilovejesus93037 жыл бұрын
To be fair, kila mtu anahaki ya kuchagua chama unachokitaka tukiachilia siasa. Sina chama mimi chama changu ni Tanzania.
@ramambongo40697 жыл бұрын
ibrahim acha roho mbaya
@saidwilson65297 жыл бұрын
ccm ndio sumu ya watanzania haukuna jipya kutoka ccm jamani tokeni huko
@abuibra7 жыл бұрын
TUNA KUOMBEENI MUNGU MPATE WATU KAMA HAO WOTE.
@faridamwanjalabaibe30777 жыл бұрын
UJINGA NA UKOSEFU WA MAADILI KAMA YE NDO ALIFANYA CCM KUINGIA MAMLAKANI MBONA KAKOSA UBUNGE KWA TAARIFA HATA CHA MZEE WA MTAA HAPATI
@fabiankapela37607 жыл бұрын
Na mm kesho nahamia ukawa
@kigambontv97487 жыл бұрын
Hahahaaaa fuuuutuhiiiiii
@azizayassin36237 жыл бұрын
upinza wnzenu kenye n kushawishi maendele nyinyi n kufata wanawake kwwnye manyumba kweli chadema ovyoooo ovyooooo siasa c vishindwa vya sakafun chama cha bangi
@kingsdaughter20407 жыл бұрын
if someone cannot fight the grounds your stepping on and running to other hands that's confusion
@edsonsign94416 жыл бұрын
wasani wa aina gani? we jackob kichwa kikubwa akili huna. yaan unashereheke wema basi subir maumivu.