No video

FRIDA ASIMULIA KUACHWA NA NDEGE MAREKANI, MILLARD ASIMULIA HOTEL ZA NEWYORK, MONI KUACHA MUZIKI

  Рет қаралды 14,115

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 33
@bettykessy3728
@bettykessy3728 7 ай бұрын
Natamani sana kufanya kazi na nyie.... Millard si hata unione huku na mimi❤
@user-fk7rt6rz4i
@user-fk7rt6rz4i 7 ай бұрын
Ila mimi nalipa $1500 kwa mweli ila huku kazi ni nyingi saaana kuliko bongo acheni kuwakatisha tamaa vijana , kwa sasa naweza kujenga nyumba nyingi hapo Tanzania, huku unafanya kazi unalipwa kila saa inayoenda kwa Mungu, fanyeni connection na watu wanaoishi huku hutoumia
@kdloon2030
@kdloon2030 7 ай бұрын
Malimbukeni utawajua tuu.Acha ushamba
@EvanRand
@EvanRand 7 ай бұрын
Vp kaka
@user-fk7rt6rz4i
@user-fk7rt6rz4i 7 ай бұрын
@@EvanRand poa ndugu yangu
@user-fk7rt6rz4i
@user-fk7rt6rz4i 7 ай бұрын
@@kdloon2030 huna chakula nyie ndo wale mnaotukana watu mtandaoni wakati huwafikii hata theluthi ya maisha Yao , kuwa mpole siku zote mtu hufanikiwa palipo watu , acha makasiriko ishi vizuri na watu utaona matunda yake, ndio niliondoka hapo airport kama mshamba ila kila nikirudi napokelewa kama mfalme majumba ninayo na magari pia 🙏🙏🙏
@user-fk7rt6rz4i
@user-fk7rt6rz4i 7 ай бұрын
@@kdloon2030 ukiacha makasiriko, na wivu utakuwa mtu wa maendeleo maana hivyo ni vyanzo vya mtu kuwa mchawi pia , fanya kazi, ishi vizuri na watu, maana mafanikio ya mtu yanatoka kwa watu , naamini utakuwa umenielewa sitaki matusi ila kama nimesema vibaya nisamehe pia 🙏🙏🙏
@timothnakiz-zb4rz
@timothnakiz-zb4rz 7 ай бұрын
Woooooooow beautiful frida
@marawatv5871
@marawatv5871 7 ай бұрын
Ilaaa Frida your so beautiful mommy
@murtanseif3539
@murtanseif3539 7 ай бұрын
Bora mumelisema hili watu wengi hawajui wanadhani ukiishi nchi za nje ni rahisi sana kodi ya nyumba ya mwezi mmoja tu tena nyumba ya kawaida ni sawa na kodi ya nyumba ya tz ya mwaka ama miezi 6
@husseinhussein9971
@husseinhussein9971 7 ай бұрын
Sema Frida mzuri sana.
@energeticmbn4596
@energeticmbn4596 7 ай бұрын
Akiwa hama make up hivo anakuwaga powa sana
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 7 ай бұрын
I like hiyo background ya migos bad bouch
@alikhamis4550
@alikhamis4550 7 ай бұрын
Kwa mwanya wa Frida Amani Mimi naweza kuipia mahari hata kama milioni10. Nakupenda sana Frida
@MashakaEmanuel-eo8vg
@MashakaEmanuel-eo8vg 7 ай бұрын
Kwan Frida na Milad ni ndugu maan wnafanan sana
@mustafajaku9772
@mustafajaku9772 7 ай бұрын
Hey Milard umeongelea kitu khs NMB kuwa huna haja ya kuchange pesa ukiwa nje mm nipo nje napata tabu Sana kwenye makato
@IbrahimCharles-sc9vq
@IbrahimCharles-sc9vq 7 ай бұрын
Wa kwanza leo naombeni like za kutosha
@dianerditto
@dianerditto 7 ай бұрын
Chukua
@deusntobi6682
@deusntobi6682 7 ай бұрын
Kenya wanashida hiyo upigaji kwenye kubadilisha pesa. Ila kuna maduka ya wasomali hayo uhakika
@funnyboy369
@funnyboy369 7 ай бұрын
Jaman nataman pia frida awe mmoja wa watangazaji wenu yuko pw Haboi kiukwel na anavocal baraaa...
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 7 ай бұрын
Mbwembwe nyingiii sasa tufanyaje sasa
@djtomtz5025
@djtomtz5025 7 ай бұрын
dodoma tupo
@freakboy1804
@freakboy1804 7 ай бұрын
Kadada kazur sanaa
@Eliabennet
@Eliabennet 7 ай бұрын
Angepanda Train Wala asingepata shida😂
@EvanRand
@EvanRand 7 ай бұрын
Unazngua
@MashakaEmanuel-eo8vg
@MashakaEmanuel-eo8vg 7 ай бұрын
Kwan Frida na Milad ni ndugu maan wnafanan sana
@Blessingsoverme
@Blessingsoverme 7 ай бұрын
Hawa wanapendezeanaaaa sanaaa💕
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 54 МЛН
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 13 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00