Natamani sana kufanya kazi na nyie.... Millard si hata unione huku na mimi❤
@user-fk7rt6rz4i7 ай бұрын
Ila mimi nalipa $1500 kwa mweli ila huku kazi ni nyingi saaana kuliko bongo acheni kuwakatisha tamaa vijana , kwa sasa naweza kujenga nyumba nyingi hapo Tanzania, huku unafanya kazi unalipwa kila saa inayoenda kwa Mungu, fanyeni connection na watu wanaoishi huku hutoumia
@kdloon20307 ай бұрын
Malimbukeni utawajua tuu.Acha ushamba
@EvanRand7 ай бұрын
Vp kaka
@user-fk7rt6rz4i7 ай бұрын
@@EvanRand poa ndugu yangu
@user-fk7rt6rz4i7 ай бұрын
@@kdloon2030 huna chakula nyie ndo wale mnaotukana watu mtandaoni wakati huwafikii hata theluthi ya maisha Yao , kuwa mpole siku zote mtu hufanikiwa palipo watu , acha makasiriko ishi vizuri na watu utaona matunda yake, ndio niliondoka hapo airport kama mshamba ila kila nikirudi napokelewa kama mfalme majumba ninayo na magari pia 🙏🙏🙏
@user-fk7rt6rz4i7 ай бұрын
@@kdloon2030 ukiacha makasiriko, na wivu utakuwa mtu wa maendeleo maana hivyo ni vyanzo vya mtu kuwa mchawi pia , fanya kazi, ishi vizuri na watu, maana mafanikio ya mtu yanatoka kwa watu , naamini utakuwa umenielewa sitaki matusi ila kama nimesema vibaya nisamehe pia 🙏🙏🙏
@timothnakiz-zb4rz7 ай бұрын
Woooooooow beautiful frida
@marawatv58717 ай бұрын
Ilaaa Frida your so beautiful mommy
@murtanseif35397 ай бұрын
Bora mumelisema hili watu wengi hawajui wanadhani ukiishi nchi za nje ni rahisi sana kodi ya nyumba ya mwezi mmoja tu tena nyumba ya kawaida ni sawa na kodi ya nyumba ya tz ya mwaka ama miezi 6
@husseinhussein99717 ай бұрын
Sema Frida mzuri sana.
@energeticmbn45967 ай бұрын
Akiwa hama make up hivo anakuwaga powa sana
@tanzaniacarschannel69757 ай бұрын
I like hiyo background ya migos bad bouch
@alikhamis45507 ай бұрын
Kwa mwanya wa Frida Amani Mimi naweza kuipia mahari hata kama milioni10. Nakupenda sana Frida
@MashakaEmanuel-eo8vg7 ай бұрын
Kwan Frida na Milad ni ndugu maan wnafanan sana
@mustafajaku97727 ай бұрын
Hey Milard umeongelea kitu khs NMB kuwa huna haja ya kuchange pesa ukiwa nje mm nipo nje napata tabu Sana kwenye makato
@IbrahimCharles-sc9vq7 ай бұрын
Wa kwanza leo naombeni like za kutosha
@dianerditto7 ай бұрын
Chukua
@deusntobi66827 ай бұрын
Kenya wanashida hiyo upigaji kwenye kubadilisha pesa. Ila kuna maduka ya wasomali hayo uhakika
@funnyboy3697 ай бұрын
Jaman nataman pia frida awe mmoja wa watangazaji wenu yuko pw Haboi kiukwel na anavocal baraaa...