Wastara aeleza kwanini ndoa yake na Mbunge imevunjika ndani ya siku 80

  Рет қаралды 763,080

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 464
@janeedward8723
@janeedward8723 8 жыл бұрын
Mdogo wangu Wastara, wewe ni mzuri umeumbwa ukaumbika. Pole sana kwa story zako zote, zinatia huruma, zinafundisha na kwa ukweii mhhuuu! pole na hongera. Ila wewe ni simba jike simama mwenyewe maisha unayaweza. Usiruhusu kujipa maumivu tena! Maisha yako si ya kuwafanya wengine kutajirika kwa kuandika na kuuza story juu yako. You are unique my dear, you are worthy my darling. stop counting marriages. Let God be your husband kama neno lake lisemavyo yeye ni mume wa wajane na baba wa yatima... Nakupenda sababu uko na moyo mkuu stop matatizo katika matatizo yako allow God to take control over your life.
@djmwakatrump1983
@djmwakatrump1983 7 жыл бұрын
mambo
@marciakassimkassim9275
@marciakassimkassim9275 8 жыл бұрын
Katwa wasii wote bongo...wasatra nakupenda.....coz unajieshim ..sana...nii mvumilivu sjapata kuona....Masha Allah.....yote yalo semwa kuusu kuvunjka kwa ndoa sikuamn...kher umesema kwa kinywa chako..pole kwa mitian....Yataisha in sha Allah..Nakuomba wastra kaa umepona na unanguvu...nenda ukafanye Hajji..uenda Allah anaeza itikia dua zako...mitan ikaisha in sha Allah...
@jumakhamisi5588
@jumakhamisi5588 8 жыл бұрын
pole sana my dear sister Wastara. nimeumia sana saaana ila naamini Mola yupo pmja nawe na malipo ni hapa hapa duniani atakulipia In sha Allah. HUKUMU yake ataipata hapa hapa duniani kwakukudhalilisha, kukukashifu, kukunyanyasa nakukuumiza moyowako, hakika kuna Wanaume wengine hawajui kupendwa wanaipata bahati lkn wanazichezea. hakuna kitu kimeniuma km kukuita screpa hlfu kuja kukukashifu na kukusingizia uongo imeniuma sana kwani naamini hakuna binaadamu aliekamilika na hujafa huhaumbika na wala wewe hukuomba uwe hivyo. M/Mungu atakufariji habibty. atakupa stara km jina lko lilivyo In sha Allah. Love you so muuuch my sister. shukran Kaka Ayo kwakutujuza.
@ibrahimfilipo5489
@ibrahimfilipo5489 6 жыл бұрын
Alikuita skrepa Huyo Ni Mwanaume Kweli
@khadijatwahir9743
@khadijatwahir9743 6 жыл бұрын
Jaman tuelewe uwez kumlaumu wastara kadakia mume wa mtu wakati dini yake inaruhusu tujitahidi kumpa pole
@saidikobossa7489
@saidikobossa7489 8 жыл бұрын
Wastara you need my kind of husband. Nimeshaoa na sitaongeza mke but tuko wachache sana INSHA ALLAH, Utapata. Utapata mwenye uwezo wa kawaida na mtashiriki wote kujenga Maisha. INNA LLAHA MAASWABIRIIN
@ayubnsajigwa1037
@ayubnsajigwa1037 6 жыл бұрын
wewe ni bora kuliko wanaume wanne waliyomshinda
@phinakamugisha6074
@phinakamugisha6074 4 жыл бұрын
@@ayubnsajigwa1037 kila Jambo linalotokea Lina sababu
@rosemsemwa2421
@rosemsemwa2421 4 жыл бұрын
Ushaur wangu kwa wastar hupaswi kumchukia uyo baba muombee maisha malefu ni mungu tu alikuunganisha nae ili upate sapota ya matibabu tu bas na sio vingine wacha maisha yaendelee
@fainerjabil5343
@fainerjabil5343 8 жыл бұрын
pole sana Wastara Allah akupe Subra na Akujalie Mme mwingine atakayejua thamani yako
@lasoitantoya4260
@lasoitantoya4260 8 жыл бұрын
Pole sana Wastara mimi nimekupata nikiwa Kenya kijijini Samburu.Nimejunza mengi sana .Huyo Mbunge ana mashetani ya mbunge pia anatatizo kubwa anahitaji si maombi tuu bali uhauri wa kimatibabu. Tafathali Millard huyu dada apewe Ulinzi wakutosha...huyo mbunge siamini aenda
@janetbernad5258
@janetbernad5258 8 жыл бұрын
pole sana wastara dada yangu nimekuona huruma sana .yote maisha .utazoea .ndo maisha ya kuolewa yalivyo
@joycemartin5306
@joycemartin5306 5 жыл бұрын
pole Sana dada wastara.kiukweli Usio fichika Uyo mtu alitegemea kupata mafanikio kupitia ww. ila Mungu atakulipa kwa alio yafanya. namchukia Kiukweli maana yupo kama muuwaji hayo maneno sio kabisa
@sirielsamweli5688
@sirielsamweli5688 4 жыл бұрын
Wastara pole hata mie nilikiona hicho kwa mume wangu,,,yaaaniii anakuja anakuta wageni ndani, anaingia kwa dharau anasema zima TV ,,, yaaaniii Mungu nisimamie ktk hili,,,wanawake tunapitia mambo mengi sanaaaaaaaa.
@mamiibatenga617
@mamiibatenga617 4 жыл бұрын
😢😢😢😢wengi wanakuwa ni maskini wakubwa,wamepata pesa ukubwani
@marthalazaro1719
@marthalazaro1719 6 жыл бұрын
pole Sana wastara uyomwanaume nijibu amekudhalilisha kwawatu kakufatamwenyewe alafuanashidwa kukuheshim. Mungu yupo usikurupuketena piausisikilize ushauliwawatu utakuponza.
@mendeadui5111
@mendeadui5111 8 жыл бұрын
yaani wastra we kiboko...nimekuheshimu dadangu....kweli kabisa mume wa mtu who mtamu kabisa..hongera sana.
@shamsakenya3093
@shamsakenya3093 8 жыл бұрын
Subhana'Allah.Pole sana Dada .Usijali mungu atakupa mume mwenye imani InshaAllah usikate tamaa.
@leahpeter8815
@leahpeter8815 7 жыл бұрын
pole sana,bora kupata mume anayejua kubembeleza coz hela zinatafutwa..pole sana dada'ke
@zulfajuma8394
@zulfajuma8394 Ай бұрын
Kwenye hii dunia czani kama kuna mwanaume alobaki anaejua kubembeleza mwanamke wanaume hao hawapo jamani wanawake tunapitia mengi sana kwenye hii dunia mm kama mm cjawah kuifurahia ndoa yangu hata sikumoja maisha yangu yote nimaumivu tu tangia nikiwa mtoto mpaka sasa nina miaka 40
@rehemakhamishassan9940
@rehemakhamishassan9940 5 жыл бұрын
Daah. dada pole sana my dia na hilo dada lilikukuta kwa kuwa una stress dada ndio maana hukuchagua. lakini pia heshima ya familia na kujiheshimu kwako ndo kulifanya ukubali kuolewa. Napenda kukushauri kuwa usikate tamaa yupo aliyepangwa na akakuoa na akawa zaidi ya sajuki Mola hakuondishei ila hukuwekea kilicho kizuri zaidi. Nakupenda sana dada Natamani niwe na namba yako ya simu
@petermiguel5524
@petermiguel5524 4 жыл бұрын
Huyo jamaa kabila gani duh,
@tatu128
@tatu128 7 жыл бұрын
Pole sana wastara uyo mume mwenye vituko ivo ndio ninae mm na nimezaa zaa nae watoto watatu doh yan ila saaa ivi mm mwnyewe nimeamua kuondoka nimeteseka Sana. najua kiasi gani umeumia 😨😨
@habibtyhayatyy5292
@habibtyhayatyy5292 6 жыл бұрын
Tatu 12 pole dada tatu kila mtu yuko na historia ya maisha ya kuelezea
@rahrashid2704
@rahrashid2704 4 жыл бұрын
Tatu 12 pole xn
@dinacelyn8647
@dinacelyn8647 4 жыл бұрын
Pole
@edinaedward9144
@edinaedward9144 8 жыл бұрын
Da wastara pole mungu akuepushie kila lililo baya nakupenda sana
@memoriserichard7193
@memoriserichard7193 8 жыл бұрын
nakupenda sana wastara n pole kwa yaliyokukuta dada angu Mungu akubariki
@mariammahaba5661
@mariammahaba5661 8 жыл бұрын
mackini dadangu pole sana.hadi nahisi machoz.eti anakuita scrap?hukupenda ww uwe hivyo.ila hata yy ajafa ajaumbika.jipe moyo dada.na ulichukua uwamuzi wa sawa kabisa.ata MUNGU aliona.na in shaa ALLAH utayasahau yote hayo.pole sana kipenzi.
@mickeyladyilikeyourvoice7851
@mickeyladyilikeyourvoice7851 8 жыл бұрын
wastara twakuombea inshaallah Mungu atakujaalia upate mume unaemuhitaji kama sajuki inshaalla
@mariakarey701
@mariakarey701 8 жыл бұрын
pole Sana dada wastara Mungu yupo hutapata mwenye kukuthamini take time
@sophiealexander8703
@sophiealexander8703 8 жыл бұрын
Muombe mungu akupatie mume mwema kama marehemu sajuki. Pumzika kwa amani kaka sajuki
@violamosha5802
@violamosha5802 7 жыл бұрын
Sophie Alexander kweli hakuna mume mwema kama Sajuki
@graciousjerry1322
@graciousjerry1322 8 жыл бұрын
ooooooops!! 😢😢😢😢 am speechless! pole sana. wastara ww ni shujaa wangu! yaan ww ni kioo changu
@suleimanhega4982
@suleimanhega4982 8 жыл бұрын
Pole sana; Bi. Wastara. Lakini hupaswi kukataa ndoa na juwa kuwa Binaadamu wote sio sawa. Ndoa ni jambo la heri na baraka ikiwa Mume au Mke watadumisha mambo haya; Upendo, Imani, Kuthaminiana, Kujaliana na Subra. Ushauri wangu kwako, Bado unaomuda kwavile wewe bado kijana mrembo sana, unapendeza si busara kukaa bila ya kitulizo cha moyo na nafsi kitakachokupa faraja. "Nacho ni Mume" Pole sana. ..Kwa kawaida wenye pesa au wanaopata pesa 'Huharibika kwa Jeuri, Kibri, Dharau na Kutokujali' Inatokana na kutokujielewa, anachoona yeye ni pesa tu ndio kila kitu. Pole sana. ... Nakukaribisha nyumbani Zanzibar na mimi naitamani hiyo nafasi ya (5). Kosa la Mpumbavu asiyejielewa lisitukoseshe wengine wenye nia na upendo wa dhati. "Inshaallah Mungu Akubariki na akulinde na husda pia akupe afya njema" AMIN. ..AMIN (0777481516)
@sirialemmy37
@sirialemmy37 8 жыл бұрын
Sajuki Sajuki!!!!! Lahaulaa, namani sana kuwa na mwanamke wa namna hii! duuuu God bless u my dia
@rosechengula7073
@rosechengula7073 5 жыл бұрын
Siria Lemmy inauma sana
@sumaiyaabdi7078
@sumaiyaabdi7078 8 жыл бұрын
Eti ameanguka kwa pikipiki mara amekwaruzwa jicho hahahahaha. what kind of a man was he? Those were not good signs & Who is this guy by the way? Daah tanzanian politicians are entertainers & entertainers are politicians.Sio mume yule wallah what a mess! Thank you millard for letting Wastara tell her story without interruption.its the best thing ive watched on YT today
@sakinasheidhan4642
@sakinasheidhan4642 5 жыл бұрын
Pole sana wastara Allah atakusaidia utapata mume bora
@annewetungumusuya9213
@annewetungumusuya9213 8 жыл бұрын
Wastara ulipata wapi ujasiri wa kuenda moja kwa moja kuonana Na mke wa huyu jamaa? I fear to be a 2nd yf really cz matokeo ni machungu.pole Dada Gods time is the best
@mayadahassan357
@mayadahassan357 8 жыл бұрын
Pole sana Dada yng. Ndo maisha inshaallh allh atakuajaalia Mwenye kher na ww
@lasoitantoya4260
@lasoitantoya4260 8 жыл бұрын
Hadi Saa Sita usiku12:00pm aah vipi mgeni alikuwa na shida kweli. Wastara your the Best#Kenya
@ashleyissa6483
@ashleyissa6483 3 жыл бұрын
Wanaume wa dizain hiyo wapo da wastar
@michaelmasijah724
@michaelmasijah724 6 жыл бұрын
Wastara, you're a super woman kwa upande wangu nakuelewa sana!
@marymugure2231
@marymugure2231 8 жыл бұрын
pole dada, mungu amekubariki dada tafuta kijana mwenye hana...hakuna ndoa tamu kama hiyo. ..bt umheshimu kama mme ata kama hana ...
@annewetungumusuya9213
@annewetungumusuya9213 8 жыл бұрын
Umenena my dia.Mume atabaki kuwa kichwa cha nyumba.awe maskini ama tajiri
@salvakimati1944
@salvakimati1944 8 жыл бұрын
pole sana wastara. maisha ndivyo yalivyo na challenges zake
@rafanasadiki1110
@rafanasadiki1110 8 жыл бұрын
Wastara my sister katika maisha tunakutana na watu tofauti Sana
@janethjoseph5240
@janethjoseph5240 4 жыл бұрын
Pole sana wastara kwa janga hilo
@deusijohn3863
@deusijohn3863 3 жыл бұрын
Pole sana kwa mkasa ulipitia dada mungu atakusimamia
@rizham6442
@rizham6442 8 жыл бұрын
Subhana Allah!!! Pole Sana Wastara wengine SI wanaume magumegume ndio kama hayo
@athumannambombe4334
@athumannambombe4334 8 жыл бұрын
Pole sana Ndugu ya Wastara unachopaswa kukielewa ni kwamba hizo ni Changamoto unazotakiwa Uzibadili ziwe Fursa, Usife Moyo!
@phinakamugisha6074
@phinakamugisha6074 4 жыл бұрын
Umetufunza wengi
@saumuabdallah7484
@saumuabdallah7484 8 жыл бұрын
hkna dhiki wa dhiki @wastara kuwa na subra in shaa allah utapata alobora zaid ya uyo.muombe mola kwa sna.maamuzi yko sio mabaya coz unajitahidi kuepukana na zinaa allah akufanyie wepec
@zuhuraali9983
@zuhuraali9983 8 жыл бұрын
ishallah tunazidi kukuombea kwa allah take time ya kuolewa kwa allah hatupi mja wake
@twoten2547
@twoten2547 8 жыл бұрын
Its true am one of your new supporter....... get back on your feet and move on....life is very short to let such scenes pull you back. Also be happy you made him love his wife back... yaani haukuvunja familia yake, atleast mahali popote walipo sasa wanajua tu ni wewe ndio ulisuluhisha matatizo ya ndoa yao. I salute you Big
@richardramadhanrichard7250
@richardramadhanrichard7250 6 жыл бұрын
Waooooo hapo saw wastara
@johnjackson4363
@johnjackson4363 6 жыл бұрын
Wasanii mnajua kiongea sana sikuamini 100% yafaa milad ayo tusikie na upande wapili
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 4 жыл бұрын
Upande wa pili tumeshasikia😁😁😁
@fatmajakamwalela7842
@fatmajakamwalela7842 8 жыл бұрын
Pole sana dadaa mungu yuko pamoja nawe....wanao Sema mume wa mtu sumu sioni kama mko sawa kwani mume ana haki ya wake wa 4
@farajaalex1603
@farajaalex1603 7 жыл бұрын
Edith umenifurahisha sana safi sana ubaguz sio mzuri ikiwa sote ni watoto Wa baba mmoja
@wilhardpeter5930
@wilhardpeter5930 6 жыл бұрын
Faraja Alex pole sana mrembo
@jacksonkyunga1370
@jacksonkyunga1370 6 жыл бұрын
Faraja Alex l
@sanayairani222love2
@sanayairani222love2 8 жыл бұрын
Pole sana wastara kwa mitihani inayokutokezea nausiache kumshukuru mungu kwani yote nimajaribio yake tu anatuangalia waja wake vp tutamshukuru au la
@anethlucas4045
@anethlucas4045 7 жыл бұрын
pole mpenz wangu wastara mungu akupe itaji lamoyo wako nalipo usijali hata
@luckyasa3960
@luckyasa3960 8 жыл бұрын
pole saana Mumy mungu atkuonyesha njia RIP sajuki
@aminaadalai280
@aminaadalai280 8 жыл бұрын
😢😢 pole sana wastara mungu yupamoja nawe
@rehemamwachalula2915
@rehemamwachalula2915 4 жыл бұрын
kumbe ndoa inasir kubwa usione mtu kaachika pole sn
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Pole sana dadangu love u
@eunicehemed9097
@eunicehemed9097 8 жыл бұрын
pole sana wastara..poleee sanaaa
@38wahida
@38wahida 8 жыл бұрын
sijui kwann wastara alikubali kuolewa na yule jamaa ,jamaa ana matusi yule kama barazuli ,tabia zake yaan nadhan hakumjua tabia zake .ila ndio maisha .
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@sumaiyaabdi7078
@sumaiyaabdi7078 8 жыл бұрын
Nakupenda wastara Allah akuhifadhi akupunguzie machungu na may he easen your difficulties. Youre a sweetheart & the most mature among those Tanzanian Artists Mgeni huyo jamani anakaa hadi basi 😂😂😂😂😂😂
@nazrahiza1850
@nazrahiza1850 7 жыл бұрын
pole cna dada angu
@mundhirmussajr2638
@mundhirmussajr2638 7 жыл бұрын
6
@timajuma2676
@timajuma2676 7 жыл бұрын
Sumaiya Abdi mambo
@timajuma2676
@timajuma2676 7 жыл бұрын
mambo
@hoseamollel7130
@hoseamollel7130 5 жыл бұрын
mashahallaah uyo ana akili sio musomi duu. Jamani amelaaniwa na wazazi wake... dada wewe ni mtu mkarimu sana daaa dada mzuri mwenye.uwezo ajui kwamba kifo awonekani kila siku utambadilisha vazi asipokuwa kifo utaona mengi duniani sipokuwa kifo pole sana dada yangu kweli uyo nimwinyama eee mwenyezi Mungu amlaze maali pema peponi duuu
@veevictorius5116
@veevictorius5116 3 жыл бұрын
Wewe ni mrembo sana. Usifikirie Mambo ya ulemavu. Kuna walemavu wengi wanao mahusiano mazuri
@shamimubinkhamisi8719
@shamimubinkhamisi8719 8 жыл бұрын
subwanAllah pole sana dadangu mungu atakupa mume mtakae endan tabia kwa kwel Inshaa Allah and inaliza kwel umetufunza pia ss wadogo zako asnt tnx millard ayo god bless you bro
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 8 жыл бұрын
Pole sana.mwenyezi mungu atakuletea mema.
@ashagrills1319
@ashagrills1319 8 жыл бұрын
duuuuuhhhh pole sana mungu atakujaalia utapata mume mwema
@mohd46xmohd94
@mohd46xmohd94 3 жыл бұрын
Nakupenda wastara
@samsonpeter1891
@samsonpeter1891 7 жыл бұрын
aki pole wastara. sikujui sana but have followed your history. for sure its painful but trust in God
@usnahbakary3770
@usnahbakary3770 6 жыл бұрын
pole.sana.dd.wastara.mungu.atakupa.mume.mwema.vumilia2
@sabrinahkizzer5245
@sabrinahkizzer5245 8 жыл бұрын
Mungu yupo atakulipa tu usiumie sana Dada angu 👏👏
@abuuashely2231
@abuuashely2231 7 жыл бұрын
Pole sana wastara wangu
@rashidarajabu7288
@rashidarajabu7288 8 жыл бұрын
pole sana wastara mola atakujaalia wako wa pekeyako ,unakila kitu umejaaliwaa
@rehemasharriff7494
@rehemasharriff7494 8 жыл бұрын
pole sana.wastar kwakujari usijali
@rudphyneric1446
@rudphyneric1446 5 жыл бұрын
Pole sana dada wastara kaa t ulee watoto wak wanaume akili hawana
@angelsjg2683
@angelsjg2683 8 жыл бұрын
wastara na kupenda sana mama, pole sana
@laishashangalawe4859
@laishashangalawe4859 4 жыл бұрын
Pole sana dada
@anisiamedard3775
@anisiamedard3775 8 жыл бұрын
pole my sister maisha ni safari ndefu usikate tamaa pia mtegemee Mungu kwa kila jambo
@fat-hiahuwel6206
@fat-hiahuwel6206 8 жыл бұрын
Pole sn dada Wastara Mungu yupo pamoja nawe
@GraceSamwel-t2g
@GraceSamwel-t2g Ай бұрын
Sadifa yule siyo mwanaume wa kuoa, yule ni fataki sana
@amosnyanda7848
@amosnyanda7848 2 жыл бұрын
Pole njoo mm nikuowe mwaya
@maggymm7302
@maggymm7302 2 жыл бұрын
Si hakuwah kukupenda kabisa ww ulikuaga project tuu kwake.
@7176M
@7176M 5 жыл бұрын
Pole.sanadadaangu.mungu.atakusaidia.yote.nimapitoyadunia.
@salmazena7388
@salmazena7388 8 жыл бұрын
pole sana wastara uxijali mungu upamoja nawe dadaaa
@serodaflorans9249
@serodaflorans9249 8 жыл бұрын
pole xana my dear mungu atakupatia wako just trust in God
@nuruhussein5318
@nuruhussein5318 6 жыл бұрын
sikilizeni wastara hawezi kuka na mwanaume yoyote kwakua sajuki nikiboko yake hakuna atakae shika pezi ya sajuki Ilove you wasitara
@reginabwija1204
@reginabwija1204 8 жыл бұрын
Nakupenda sana dada wastara
@shadrackgeorge4119
@shadrackgeorge4119 6 жыл бұрын
Nakupongez sana dada kwa uwamuz uliouchukua, hakuna ktu kibaya Kama kunyanyasika na kudharauliwa, pia una busara sana na hekima.
@hamedaabdultaleb635
@hamedaabdultaleb635 8 жыл бұрын
Mh pole Dada mungu akujaalie subrah IPO siku utapata kitulizo cha moyo wako
@valentinemtei2927
@valentinemtei2927 4 жыл бұрын
Mambo ya kiundani sii vizuri kuyapeleka kwenye midia
@marashtv8555
@marashtv8555 8 жыл бұрын
pole sana dada wastara mungu atakupa mwengine insha allah
@calvinmbwana1143
@calvinmbwana1143 7 жыл бұрын
dah wastara hakika wewe nimwanamke unayejitambua. nmeumizwa sana na maelezo yako.
@shinatamar9727
@shinatamar9727 8 жыл бұрын
pole sana ..mola yuko nawe dia wala usiwe na uchungu shukuru mola amekutibu hata kama sio pesa zake ipa ume tibika na kama aliona ata kuzazilisha basi aibu kwake maana hata mkewe mama watoto wake wame achana sebuse wewe nibora kwa mamuzi yako umefanya vyema sana
@mergorethshirima1681
@mergorethshirima1681 8 жыл бұрын
Pole sana dada nakupenda sana.
@sallykanze
@sallykanze 8 жыл бұрын
Umeongea vizuri sana wastara,pole sana dadangu na nakupenda bure
@caroelia2966
@caroelia2966 8 жыл бұрын
poleni sana Dada wastanda
@emmalugembe8429
@emmalugembe8429 7 жыл бұрын
pole Mamie
@sarahbenjamini9315
@sarahbenjamini9315 7 жыл бұрын
wastarehe nakupa big up kwa kutokupenda uwongo? wanaume si wa kweli na wanamaneno mengi mabaya kama nja
@kenyagirl4573
@kenyagirl4573 6 жыл бұрын
Pole sana
@kenyagirl4573
@kenyagirl4573 6 жыл бұрын
Wanaume bwana
@barakalukosi2251
@barakalukosi2251 4 жыл бұрын
Sajuki ndo alikuwa mume wako tu mungu ampumzishe tu
@jasminmoshi6851
@jasminmoshi6851 5 жыл бұрын
Nakupenda bure dadangu,uko muwazi sana
@salummasoud6395
@salummasoud6395 5 жыл бұрын
Pole sana dada angu.
@bintirashidantybaby8146
@bintirashidantybaby8146 8 жыл бұрын
subhanallah kweli majanga yani mpaka millard ameshikwa na baridi dooh
@ernestjohanes9087
@ernestjohanes9087 8 жыл бұрын
duh pole sanaaaa usijali dada tunakupenda wewe una roho nzuri
@nasrayahya2885
@nasrayahya2885 6 жыл бұрын
du pole sana wasitala kiukweli unatia imani ktk hii ndoa yako ya huyo mweshimiwa kiukweli si wanawake tunapata mitihani sana ktk ndoa zingine tunazozipitia huyo hakuwa mwanaume bali nimtihani ulikufika hakuwa mwanaume wa thati kwako
@kombohaji2883
@kombohaji2883 6 жыл бұрын
Pole sana wastara mungu atakusaidia
@taturamadhani5643
@taturamadhani5643 4 жыл бұрын
hakuna kitu kinauma kama kusimangwa pole sana wastara weee
@mamashakira3580
@mamashakira3580 8 жыл бұрын
Usiwaze mamy mitihani tumeumbiwa mshukuru mungu kakuacha mzima
@mwanaidialimwayoyo1423
@mwanaidialimwayoyo1423 8 жыл бұрын
Pole sana wastara ,duh mambo mengine waweza kumkufuru mungu.kuwa na subra naimani unaweza.sajuki ndo alikuwa mume bora wa huyu Bint .mungu amrehemu.
@mwanaidialimwayoyo1423
@mwanaidialimwayoyo1423 8 жыл бұрын
+RIller SWai waleykm salaam warahmatullah wabarakatuh
@machetemdudu5607
@machetemdudu5607 8 жыл бұрын
wastara dadaangu its long and sad story why ucfikirie kutoa movie kupitia story hii mana!! daaa pole sana
@everlinenkata3611
@everlinenkata3611 7 жыл бұрын
Dada Wastara ww bado ni jembe! mungu atakupa haja ya moyo wako
@harunroyce161
@harunroyce161 8 жыл бұрын
pole sana wastara
@carenewera1709
@carenewera1709 8 жыл бұрын
Pole wastara God is there for you dear.
@annananna7622
@annananna7622 8 жыл бұрын
duh pole sana my dear hiyo ni hali ya dunia and God gives you strength
@francismwalukunga2117
@francismwalukunga2117 8 жыл бұрын
WOOOO UKOvizuri tabia za watu bana usipime ila maisha ni vita bahati nzuri ulikua maacho mapemaERA SANA
@halabhalab9650
@halabhalab9650 8 жыл бұрын
ucjal dada angu inshaalah allah akufanyie wepes upate mume mzur utakaeish nae milele inshaalha
@bihimomasemo4651
@bihimomasemo4651 8 жыл бұрын
pole sana dada wastara
@alexurassa8045
@alexurassa8045 8 жыл бұрын
Hamna ch uheshimiwa hapo wewe dada yangu songa mbele na life yko
@sophiatesha9696
@sophiatesha9696 7 жыл бұрын
pole xana Dada yangu mungu akupunguzie maumivu
سورة البقرة كاملة, رقية للبيت, وعلاج للسحر | القارئ علاء عقل - Surah Al Baqarah
3:58:01
Disability Discourse: Body Positivity & Disability
10:32
Astro Vee
Рет қаралды 656
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 129 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 82 МЛН
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
RAILA NOW SUPPORT ADANI DEAL
14:46
The Hangout Podcast 254
Рет қаралды 167
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 129 МЛН