Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 333
@bintialiali670Ай бұрын
Mrembo huyu dada Mashallah alafu anaongea kwa uzuri.❤
@nurumashaАй бұрын
Sema nimempenda mtangazaji anajua kujishughulisha
@BerthaModestАй бұрын
Comment yangu iende kwa mr show buz ana heshima sana salleh mungu akuongez vyem kweny kaz zako❤❤❤
@farahali6041Ай бұрын
Kweli anaeshima sanaa
@ummishakii8322Ай бұрын
Kweli sarehe ana adabu sana afu mcheshi
@user-fb8yx3ml8sАй бұрын
Wastara nakupendaga Sana,,,rakin umetupiga navkitu kizito form four umemariza mwaka gan na Mambo ya BIASHARA umeanza mwaka gan me mwenzenu cjakuelewa
@Tuu2019Ай бұрын
Nampenda Wastara since namjua huwa hafake life that's why hana sura ya stress bad Ana nawawirii Mashaalah
@angelrichard899Ай бұрын
Anaongea vizurii alafu uzuri wakee haubadiliki mrembo xana huyu dada....
@user-fx7ig1uy6tАй бұрын
Sana mashallah mwenyezimungu amuhifadhi
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
@@user-fx7ig1uy6t Aamin
@mwanahalimamwachili9679Ай бұрын
Maa Shaa Allah interview Tamu,Hongereni.
@naimanimo4925Ай бұрын
Omg that girl & her 4on she can't put it away it's will enter the saucepan 😂😂 the boy loves the camera very innocent people 😅😅
@SalamaNautharАй бұрын
Mashaallah❤❤❤
@ReginaMinja-G22Ай бұрын
I love wastara❤she super woman
@shabantole858Ай бұрын
nawapenda❤❤❤
@fatmachikambo8780Ай бұрын
Huyo dada anae rekodi angeolewa na yule kinyozi wapili wa interview ya Chid Benz mwenye mask wana ushamba unaofanana 😂😂😂😂😂
@user-br4tl7jv9jАй бұрын
😂😂😂😂😂
@mwanaidiomari7941Ай бұрын
verry polite women
@miriyamasanja6766Ай бұрын
Saleh umejifanya kushtuka kusikia bikra imetolewa mara mbili😂😂😂😂😂
@user-vm5yf8cs2rАй бұрын
Wastara MashaAllah Allah akubariki Kwa Kazi zako
@zuwenaabdallah7748Ай бұрын
Huku kupika huku kuongea aaah hainogi bhana😊
@SamiaSamia-qc6tzАй бұрын
Mbona mnamsema sana dada wakazi jamani khaaa
@janetdundul3858Ай бұрын
NAMPENDA SANA UYU DADA ❤❤❤❤❤❤😊😊
@magrethkapinga1811Ай бұрын
Ivo uyo kaka anae tumwa kwa wastara mzima kweli
@khadjamhozyaАй бұрын
Kwanini?
@esterMahengeАй бұрын
😅😅😅
@Leylah-pz5scАй бұрын
😂😂😂😂 wacha umbea ww heeeee
@kidoesther21 күн бұрын
Kumbe na wewe umeona🤣🤣🤣
@mankinemansulikine-2220Ай бұрын
Salehe mate yanakutoka unavyopenda kula 😅😅
@salmakakozi963Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 nanjo kasha honja kidogo nyama bila hivo mate yangemjaa mpaka yaka dodoka 😅😅
@user-nr3bf4om8zАй бұрын
Ni kweli kabisa aliolewa na kaka mmoja hanaitwa juma.. Na niliishi kwao na kaka alikua anaitwa dalueshi..alikua mdogo sana
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Usiseme waarabu hawapendi sana Kuhusu Elimu wewe...sema mie sikuwa na wazazi wenye Ufunguo wa kusomesha
@user-ct2qp6ur9tАй бұрын
Yupo sahii warabu awasomi 😂😂😂 miaka 20 ndoq
@sikukuuchuo3093Ай бұрын
Hawa watu hawasomi 5 yrs tuko nao tunajua SEMA sai kiasi wamestaarabika😂
@mannahsalwa8433Ай бұрын
Waarab bint akishavunja ungo tu ndoa
@tanzcanmediatv4473Ай бұрын
Yuko sahihi wanaamin hivyo waarabu wewe usiyejua uliza
@Siasia209Ай бұрын
@@user-ct2qp6ur9t nyie mmwsoma mpo na mavyeti ndani wenzenu wasio soma wamewazid pesa😂😂
@chany9950Ай бұрын
Love you mama 😘❤️🙏🏾🙏🏾
@neemamhelela7771Ай бұрын
❤❤❤
@khadjamhozyaАй бұрын
Wstara aronyesha mapenzi ya dhati kwa sajuki kabisa sajuki nae arifanya hivo waripendana kweri mpenzi ya dhati
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Dada na cm utazania aliambiwa arekodi tu😅😅
@ashurajengela3926Ай бұрын
Yani amekazana balaaa 😅
@virginiahaule5880Ай бұрын
Yani
@rahmasuleiman9334Ай бұрын
Mmmh nimjuavyo Saleh 😂😂😂hapo kichwa kipo kwa jiko na pua zishafikisha ujumbe wakti muafaka wa nyamnyam 😂😂😂😂😂
@user-ed4nr1lx6fАй бұрын
Mmh jikon mpangilio hmn eti kila kitu kinatafutwa jmn
@rerisambaАй бұрын
Kuna miaka ya nyuma huyu dada akifanya interview alikua analia kweli hope nowdays maisha yake yamegeuka
@MahmudOmar-gx2okАй бұрын
kweli hata mimi nakumbuka
@RamlahNassoroАй бұрын
Maa shaa Allaah walipendana sana na mumewe
@selinathindwa9754Ай бұрын
Mtangazaji ulienda muda sahihi ulikuta wanapika😂
@user-lq6kr2gl7nАй бұрын
Nampenda san wastara yan hanaga maskendo pamoja na kwamb ni msanii wa bongo movie anajielewa
@YoungLovedii22 күн бұрын
Alie ona box iliochanika anipe likes zangu
@MahraMansoor5969Ай бұрын
Mie nampenda sana kwa ajili ya Allah natamani kumpa kaka angu from uk 🇬🇧
@zayumar2955Ай бұрын
Nipe mie huyo kakayako 🙈🙈🙈
@samanthalyimo4598Ай бұрын
😂😂😂
@zayumar2955Ай бұрын
@@samanthalyimo4598 umefurah mwenyewe 😅😅😅
@AalyahNassorАй бұрын
Jamani mkiwa mna Ajili ma Housegril Mume makini wengine ni SHIHATA HAPO UTASEMA UNA MFANYAKAZI AU NI MUANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA
@princesmaile5561Ай бұрын
Shida ya mdada w
@aurorahmo3702Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bahiyaseleman5838Ай бұрын
Yaana kungekuw na sehemu yakutuMa voice ningeongea sana..maana hapo sjui ni jiko dogo mtu kasimamiwa😢😢
@maligeltabatholomeo8128Ай бұрын
Dah miaka 14 ulikuwa umemaliza secondary?😮
@jenifermakundi8230Ай бұрын
Nimejiuliza hvyohvyo
@rizikiabdalla2501Ай бұрын
Anatupangaaaa
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Hakumaliza
@user-sz7fj6ll5yАй бұрын
Inawezekana labda alianzishwa shule na miaka 3
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Hakufika
@abdulschannel793724 күн бұрын
Wastara ❤❤❤unanipaga raha
@racheljohn2216Ай бұрын
Kijana anajua kurenga 😂😂😂🙌
@AalyahNassorАй бұрын
SAMAHANI JAMANI HUYO DADA ULIYE NAE NI MSAIDIZI AU NI NDUGU YUPO BUSY NA SIMU KAMA NI MSAIDIZI DAH SISTER DUU SIMU NA KAZI WAPI NA WAPI
@Channelque890Ай бұрын
Ana record huyo
@user-hk3yy8zv9tАй бұрын
Amezidiwa had na huyo kaka yeye kakaa anasubiri kuagizwa kusaidia
@SalimhchialaAtilio-qj5csАй бұрын
Acha ajiachie kwani mfanyakazi siyo mtu
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Dada anayerekodi uazania yeye ndiye aliandaa mahojiano😂😂
@AalyahNassorАй бұрын
😅😅😅😅😅
@user-ug2vb6yw7w28 күн бұрын
Masikini pole dada yangu nakupenda
@Fatma-re2hwАй бұрын
Mbona muandishi umekwenda wakati wakupika tunachoka au tunafundishwa kupika pilau as well?😊
@SamiaSamia-qc6tzАй бұрын
Jaman sanene nimepamiss 😊😊
@MwanatumuJumaa-rj4fgАй бұрын
Ila huyu dada kampenda sana sajuki ku.move on ni ngumu sana kila mwanaume atakae mpata atamlinganisha na sajuki tuu.ama kweli upendo wa kweli upo
@faridapandu7579Ай бұрын
Nampenda wastara hanamavuno yupo pece🎉🎉🎉❤❤❤
@khadijatanzania8040Ай бұрын
Kuanzia leo sitaki kujinenea mabaya zaidi ya mazuri tu kweli mdomo unaumba jaman pole sana Wastara😢
@rosemaryrwabibi5908Ай бұрын
Mdomo uuumba mahi jinene mazur jiseme mm naweza
@khadijatanzania8040Ай бұрын
@@rosemaryrwabibi5908 kwakweli nimejifunza dear sitaki kabisa
@user-zy8th6ou4fАй бұрын
Bwagala Turiani kuja madam mtusalimie
@sarahmcharo1548Ай бұрын
owwh i know the bwagala hosp turiani
@itanzaniaASАй бұрын
Nakumbuka kaolewa na kigogo ndoa ikadumu wiki kaachika na taraka juu😂😂😂😂😂😂
@sikukuuchuo3093Ай бұрын
Sasa ndio unashabikia
@itanzaniaASАй бұрын
@@sikukuuchuo3093 ili! 🤣🤣
@itanzaniaAS5 күн бұрын
@@sikukuuchuo3093 ndiyo 🤣🤣
@user-ib7kn6fs4xАй бұрын
Show bizz leyo cyo nzuri ni jikoni tu
@IreneGraysonАй бұрын
😂😂angalia comment yako alafu I translate kwa kiswahili utachekaa😂😂😂
@Grtudajunior-cw5zpАй бұрын
@@IreneGraysonweeeee imenibidi
@nuruhassan-qu1ffАй бұрын
😅😅
@safiasaleh669Ай бұрын
Anajua kupika huyu🎉🎉🎉
@happinessmtalika16Ай бұрын
Mara secondary mara la saba mara 96 mara kuolewa miaka 14
@zayumar2955Ай бұрын
Mmmh uwongo na kweli 😂😂😂
@HamimuBadyanaJRАй бұрын
Huyu mshukaji ni mboga au😂
@Leylah-pz5scАй бұрын
Salehe jamaa limekupenda ilo mana si kwa jicho ilo😂😂
@melanialeonard4031Ай бұрын
Huyu aliishia la4b ndo maana hachanganyi kizungu kwenye sentes zake anaongea kiswahili na anaeleweka vizuri
@MtuSafiАй бұрын
Kwahyo ukichanganya na kizungu unakuwa umesoma?...Kuna watu wanajifunza kiingereza tu lakin hawajafika hata la7 je, ikoje hii...Kiingereza sio kipimo cha Elimu elewa hilo.
@SikudhaniKulonda-jy1bq24 күн бұрын
Jmn miaka kumi na nne at umemaliza form four ni kwl hiyo
@user-hk3yy8zv9tАй бұрын
Kaja Dar ..yuko shule ya msingi 94 ..96..97 kaingia kwenye biashara ya dhahabu ..mmmh nyie ..au m mahesabu yangu sijamuelewa..
@KhadijaDija-ir2hqАй бұрын
Yasio kuhusu yasikusumbue
@fatmazullu4933Ай бұрын
Na kweli 😅😅😅@@KhadijaDija-ir2hq
@charlesgafau77811 күн бұрын
Kwani unaaona kuna editing hapo punguza ujuaji au umetumwa😂😂😂 fatuma wewe
@NusraHozza-qp8yyАй бұрын
Mtoto chiriku uyo Hadi Kero
@user-kt1cf9yp3eАй бұрын
Hapo amedanganya form 4 amesoma lini kwa umri huo?
@user-fx7ig1uy6tАй бұрын
Maskin...ndo mna unaambiwa hata kwa utani usijinenee mabaya .. anyway pamoja na yote pia mungu alishaandika hakuna wakupinga qadar
@maureenmgeniАй бұрын
Ulimi hulaani na kubariki, tujiepushe kujinenea maneno ya kujilaani..
@tunsumealfredym7896Ай бұрын
Amejinenea vp nimepitwa hcho kipande?
@marrymaganga7210Ай бұрын
Huyo mkaka anajitumilisha huyo ili hari tu aonekane kwa kamer😅😅
@chunaabdullah1333Ай бұрын
Na ww nenda
@marrymaganga7210Ай бұрын
Nyoo😏😏@@chunaabdullah1333
@sikukuuchuo3093Ай бұрын
Hujui kma n mgonjwa wa mguu ako n mguu mmoja
@nathalieswedy3653Ай бұрын
2007 nmezaa mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 15 kasoro na hakuna serkal iliingiilia kati ikiwa hd clinic niwambia nina miaka 16 wakabisha sjafka na pemben niko na alienitia mimba mbn hawakuchukua hatua
@SalimhchialaAtilio-qj5csАй бұрын
😢😢
@hamidajabu3324Ай бұрын
Uyo kaka ana shida gan 😢manake anajichekesha mara anyali mara amuangalie saleh dooh😅
@mariamdullazy8166Ай бұрын
😂😂 kwanza anasubiria nin hapo jikoni
@AalyahNassorАй бұрын
😢😢😢😢
@siahsiah4192Ай бұрын
😂😂😂
@RebeccaMuhimba-be1pjАй бұрын
sialiitwa jamani
@Leylah-pz5scАй бұрын
😂😂😂😂😂 daaah nyie
@queenmilan2024Ай бұрын
she is very educated and intelligent
@Brunn-mh2bqАй бұрын
Very educated? Really? Where did you get that idea?
@SikudhaniKulonda-jy1bq24 күн бұрын
@@Brunn-mh2bqhahahaaaaaah. Mwasutana sio hofwi😂
@mjsaidkeyaАй бұрын
Siwezi kosa hii
@IslamPeto-fd6wrАй бұрын
Sio kweli waarabu kuozesha watoto wao wadogo.. Twaishi nao uku.. Kutongozwa yenyewe mtihani,, mchezo uwo sisi waafrika,, wee msichana simu na gas iyooo,, kuwa makini cku ingine yaja kurepukia
Mnatafuta kupigwa na majambazi kwenda kuhoji watu usiku sehemu hata gari haifiki si ungeenda asubuhi au mchana
@faizamohamed6993Ай бұрын
Mbona nje ya nyumba ya wastara kuna magari itakuwa swaleh ametumia njia haipiti gari
@blandinamyinga9489Ай бұрын
NGUVU ya MATAMSHI""tujifunze ni nini tunatamka kwenye vinywa vyetu maana MANENO YANAUMBA.hata wamama wengi tunapenda kuwambia watoto wetu mbwa,mjinga wewee kesho yake akiwa na tabia za hovyo tunashangaa kumbe zile tabia tuliziumba wenyewe.
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Dada anarekodi tu😅😅
@ashazuber6548Ай бұрын
😅😅😅😅😅boss kapata
@user-mw5xs2wx8nАй бұрын
Zamani aliwai kusema aliachishwa shule daresay la 6 akaolewa ila leo kasshabalisha😂😂
@sabihaibrahim143Ай бұрын
amesema waarabu shule haikuwa mbele kwa wasichana ukikua mkubwa kama umeisha la saba au formfour unaolewa tu
@user-dx6dm6lh1iАй бұрын
Ni kweli ehe@@sabihaibrahim143
@ByokecandyrangeАй бұрын
Ila kihusu kula uko vzur
@ogdosho93Ай бұрын
Mzee boxa imetoboka io😀
@arafaomari1832Ай бұрын
Ya nani
@user-mw5xs2wx8nАй бұрын
Watu wanamacho jmn mpk boksa wameona😂😂
@zuhurakhasimu969Ай бұрын
Imetoboka nyuma au sijaona vzur 😂
@junioremmanuel1695Ай бұрын
Hahahaha kama imetatuka
@Mzuri_002Ай бұрын
Nimecheka😂😂😂
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Dada amekazana kurekodi eti asije vitu vinaungua😂😂
@mariamdullazy8166Ай бұрын
Mzembe tu hana lolote 😅
@zainabumartin9520Ай бұрын
Sema wtoto wakiarabu hawazehekiharakaharaka
@ShadyLumango-zl5kdАй бұрын
Kipindi kizuri
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Dada anarekodi😅😅
@AalyahNassorАй бұрын
Muumbeya Huyo 😅
@user-se9no4rg3kАй бұрын
Uyo ndo mtoto was sajukii uyo wakiume
@faudhiasalum7279Ай бұрын
😂😂😂SHANGAHLA wa wastara😂😂😂jmn
@SalimhchialaAtilio-qj5csАй бұрын
Unavituko eti shagala😃😃
@shufaa8921Ай бұрын
Mboa huyo kaka kainama nikaona box kama ime toboka😂
@anawiliam-eb4kbАй бұрын
Ata mimi kama nimeona😮😮😮😮😅😅
@namsamson3443Ай бұрын
Huyo msichana wake yuko kwenye simu mda wote mpaka anaudhi. Msaidie mama jikoni
@fatmaabdallah7709Ай бұрын
Wasichana wa kitanga na kirangi ndo zao kwenye kazi hawafai na hawadumu saa 24 simu mkononi wanachokiongea hakijulikani mpaka chungu kinaungua vyomvo vichafu vimejaa
@SuleimanKhdijaАй бұрын
😅😅anatak aonekane
@Brunn-mh2bqАй бұрын
Kwani umejuaje kuwa ni msichana wa kazi na sio ndugu yake?
@fatmaabdallah7709Ай бұрын
@@Brunn-mh2bq kwani km ni ndugu yake hafai kumsaidia?!
@AalyahNassorАй бұрын
Hadi kichefuchefu
@catherinenenula7450Ай бұрын
Salehe ata ajanawa ye anabugia tu😂😂😂kweli anapenda kula
@khadjamhozyaАй бұрын
Ndio vyo arivyo sio Mara yake yakwanza mbona ndomaana wanamsemaga mtandaoni kuwa anapenda Kura kwa ma staa
@SalimhchialaAtilio-qj5csАй бұрын
😅😅
@glorianikiza3940Ай бұрын
Boxa imetoboka mr shobizz😂😂😂
@rizikiabdalla2501Ай бұрын
Sijui hajaiyona ila wajifunze kuvaa milegezo mm sipendi hii tabia imemzalilishaa