ANAPOISHI WASTARA SAJUKI/ AONESHA UFUNDI WA MAPISHI AKIWA JIKONI/ MUME WANGU ALIOA WAKE 9

  Рет қаралды 64,142

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 333
@bintialiali670
@bintialiali670 Ай бұрын
Mrembo huyu dada Mashallah alafu anaongea kwa uzuri.❤
@nurumasha
@nurumasha Ай бұрын
Sema nimempenda mtangazaji anajua kujishughulisha
@BerthaModest
@BerthaModest Ай бұрын
Comment yangu iende kwa mr show buz ana heshima sana salleh mungu akuongez vyem kweny kaz zako❤❤❤
@farahali6041
@farahali6041 Ай бұрын
Kweli anaeshima sanaa
@ummishakii8322
@ummishakii8322 Ай бұрын
Kweli sarehe ana adabu sana afu mcheshi
@user-fb8yx3ml8s
@user-fb8yx3ml8s Ай бұрын
Wastara nakupendaga Sana,,,rakin umetupiga navkitu kizito form four umemariza mwaka gan na Mambo ya BIASHARA umeanza mwaka gan me mwenzenu cjakuelewa
@Tuu2019
@Tuu2019 Ай бұрын
Nampenda Wastara since namjua huwa hafake life that's why hana sura ya stress bad Ana nawawirii Mashaalah
@angelrichard899
@angelrichard899 Ай бұрын
Anaongea vizurii alafu uzuri wakee haubadiliki mrembo xana huyu dada....
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t Ай бұрын
Sana mashallah mwenyezimungu amuhifadhi
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Ай бұрын
​@@user-fx7ig1uy6t Aamin
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 Ай бұрын
Maa Shaa Allah interview Tamu,Hongereni.
@naimanimo4925
@naimanimo4925 Ай бұрын
Omg that girl & her 4on she can't put it away it's will enter the saucepan 😂😂 the boy loves the camera very innocent people 😅😅
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar Ай бұрын
Mashaallah❤❤❤
@ReginaMinja-G22
@ReginaMinja-G22 Ай бұрын
I love wastara❤she super woman
@shabantole858
@shabantole858 Ай бұрын
nawapenda❤❤❤
@fatmachikambo8780
@fatmachikambo8780 Ай бұрын
Huyo dada anae rekodi angeolewa na yule kinyozi wapili wa interview ya Chid Benz mwenye mask wana ushamba unaofanana 😂😂😂😂😂
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mwanaidiomari7941
@mwanaidiomari7941 Ай бұрын
verry polite women
@miriyamasanja6766
@miriyamasanja6766 Ай бұрын
Saleh umejifanya kushtuka kusikia bikra imetolewa mara mbili😂😂😂😂😂
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r Ай бұрын
Wastara MashaAllah Allah akubariki Kwa Kazi zako
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 Ай бұрын
Huku kupika huku kuongea aaah hainogi bhana😊
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz Ай бұрын
Mbona mnamsema sana dada wakazi jamani khaaa
@janetdundul3858
@janetdundul3858 Ай бұрын
NAMPENDA SANA UYU DADA ❤❤❤❤❤❤😊😊
@magrethkapinga1811
@magrethkapinga1811 Ай бұрын
Ivo uyo kaka anae tumwa kwa wastara mzima kweli
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
Kwanini?
@esterMahenge
@esterMahenge Ай бұрын
😅😅😅
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc Ай бұрын
😂😂😂😂 wacha umbea ww heeeee
@kidoesther
@kidoesther 21 күн бұрын
Kumbe na wewe umeona🤣🤣🤣
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 Ай бұрын
Salehe mate yanakutoka unavyopenda kula 😅😅
@salmakakozi963
@salmakakozi963 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 nanjo kasha honja kidogo nyama bila hivo mate yangemjaa mpaka yaka dodoka 😅😅
@user-nr3bf4om8z
@user-nr3bf4om8z Ай бұрын
Ni kweli kabisa aliolewa na kaka mmoja hanaitwa juma.. Na niliishi kwao na kaka alikua anaitwa dalueshi..alikua mdogo sana
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Usiseme waarabu hawapendi sana Kuhusu Elimu wewe...sema mie sikuwa na wazazi wenye Ufunguo wa kusomesha
@user-ct2qp6ur9t
@user-ct2qp6ur9t Ай бұрын
Yupo sahii warabu awasomi 😂😂😂 miaka 20 ndoq
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 Ай бұрын
Hawa watu hawasomi 5 yrs tuko nao tunajua SEMA sai kiasi wamestaarabika😂
@mannahsalwa8433
@mannahsalwa8433 Ай бұрын
Waarab bint akishavunja ungo tu ndoa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Yuko sahihi wanaamin hivyo waarabu wewe usiyejua uliza
@Siasia209
@Siasia209 Ай бұрын
​@@user-ct2qp6ur9t nyie mmwsoma mpo na mavyeti ndani wenzenu wasio soma wamewazid pesa😂😂
@chany9950
@chany9950 Ай бұрын
Love you mama 😘❤️🙏🏾🙏🏾
@neemamhelela7771
@neemamhelela7771 Ай бұрын
❤❤❤
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
Wstara aronyesha mapenzi ya dhati kwa sajuki kabisa sajuki nae arifanya hivo waripendana kweri mpenzi ya dhati
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Dada na cm utazania aliambiwa arekodi tu😅😅
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Ай бұрын
Yani amekazana balaaa 😅
@virginiahaule5880
@virginiahaule5880 Ай бұрын
Yani
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 Ай бұрын
Mmmh nimjuavyo Saleh 😂😂😂hapo kichwa kipo kwa jiko na pua zishafikisha ujumbe wakti muafaka wa nyamnyam 😂😂😂😂😂
@user-ed4nr1lx6f
@user-ed4nr1lx6f Ай бұрын
Mmh jikon mpangilio hmn eti kila kitu kinatafutwa jmn
@rerisamba
@rerisamba Ай бұрын
Kuna miaka ya nyuma huyu dada akifanya interview alikua analia kweli hope nowdays maisha yake yamegeuka
@MahmudOmar-gx2ok
@MahmudOmar-gx2ok Ай бұрын
kweli hata mimi nakumbuka
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro Ай бұрын
Maa shaa Allaah walipendana sana na mumewe
@selinathindwa9754
@selinathindwa9754 Ай бұрын
Mtangazaji ulienda muda sahihi ulikuta wanapika😂
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n Ай бұрын
Nampenda san wastara yan hanaga maskendo pamoja na kwamb ni msanii wa bongo movie anajielewa
@YoungLovedii
@YoungLovedii 22 күн бұрын
Alie ona box iliochanika anipe likes zangu
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 Ай бұрын
Mie nampenda sana kwa ajili ya Allah natamani kumpa kaka angu from uk 🇬🇧
@zayumar2955
@zayumar2955 Ай бұрын
Nipe mie huyo kakayako 🙈🙈🙈
@samanthalyimo4598
@samanthalyimo4598 Ай бұрын
😂😂😂
@zayumar2955
@zayumar2955 Ай бұрын
@@samanthalyimo4598 umefurah mwenyewe 😅😅😅
@AalyahNassor
@AalyahNassor Ай бұрын
Jamani mkiwa mna Ajili ma Housegril Mume makini wengine ni SHIHATA HAPO UTASEMA UNA MFANYAKAZI AU NI MUANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA
@princesmaile5561
@princesmaile5561 Ай бұрын
Shida ya mdada w
@aurorahmo3702
@aurorahmo3702 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 Ай бұрын
Yaana kungekuw na sehemu yakutuMa voice ningeongea sana..maana hapo sjui ni jiko dogo mtu kasimamiwa😢😢
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 Ай бұрын
Dah miaka 14 ulikuwa umemaliza secondary?😮
@jenifermakundi8230
@jenifermakundi8230 Ай бұрын
Nimejiuliza hvyohvyo
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Ай бұрын
Anatupangaaaa
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Hakumaliza
@user-sz7fj6ll5y
@user-sz7fj6ll5y Ай бұрын
Inawezekana labda alianzishwa shule na miaka 3
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Hakufika
@abdulschannel7937
@abdulschannel7937 24 күн бұрын
Wastara ❤❤❤unanipaga raha
@racheljohn2216
@racheljohn2216 Ай бұрын
Kijana anajua kurenga 😂😂😂🙌
@AalyahNassor
@AalyahNassor Ай бұрын
SAMAHANI JAMANI HUYO DADA ULIYE NAE NI MSAIDIZI AU NI NDUGU YUPO BUSY NA SIMU KAMA NI MSAIDIZI DAH SISTER DUU SIMU NA KAZI WAPI NA WAPI
@Channelque890
@Channelque890 Ай бұрын
Ana record huyo
@user-hk3yy8zv9t
@user-hk3yy8zv9t Ай бұрын
Amezidiwa had na huyo kaka yeye kakaa anasubiri kuagizwa kusaidia
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs Ай бұрын
Acha ajiachie kwani mfanyakazi siyo mtu
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Dada anayerekodi uazania yeye ndiye aliandaa mahojiano😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@user-ug2vb6yw7w
@user-ug2vb6yw7w 28 күн бұрын
Masikini pole dada yangu nakupenda
@Fatma-re2hw
@Fatma-re2hw Ай бұрын
Mbona muandishi umekwenda wakati wakupika tunachoka au tunafundishwa kupika pilau as well?😊
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz Ай бұрын
Jaman sanene nimepamiss 😊😊
@MwanatumuJumaa-rj4fg
@MwanatumuJumaa-rj4fg Ай бұрын
Ila huyu dada kampenda sana sajuki ku.move on ni ngumu sana kila mwanaume atakae mpata atamlinganisha na sajuki tuu.ama kweli upendo wa kweli upo
@faridapandu7579
@faridapandu7579 Ай бұрын
Nampenda wastara hanamavuno yupo pece🎉🎉🎉❤❤❤
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 Ай бұрын
Kuanzia leo sitaki kujinenea mabaya zaidi ya mazuri tu kweli mdomo unaumba jaman pole sana Wastara😢
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 Ай бұрын
Mdomo uuumba mahi jinene mazur jiseme mm naweza
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 Ай бұрын
@@rosemaryrwabibi5908 kwakweli nimejifunza dear sitaki kabisa
@user-zy8th6ou4f
@user-zy8th6ou4f Ай бұрын
Bwagala Turiani kuja madam mtusalimie
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 Ай бұрын
owwh i know the bwagala hosp turiani
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Ай бұрын
Nakumbuka kaolewa na kigogo ndoa ikadumu wiki kaachika na taraka juu😂😂😂😂😂😂
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 Ай бұрын
Sasa ndio unashabikia
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ili! 🤣🤣
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 5 күн бұрын
@@sikukuuchuo3093 ndiyo 🤣🤣
@user-ib7kn6fs4x
@user-ib7kn6fs4x Ай бұрын
Show bizz leyo cyo nzuri ni jikoni tu
@IreneGrayson
@IreneGrayson Ай бұрын
😂😂angalia comment yako alafu I translate kwa kiswahili utachekaa😂😂😂
@Grtudajunior-cw5zp
@Grtudajunior-cw5zp Ай бұрын
​@@IreneGraysonweeeee imenibidi
@nuruhassan-qu1ff
@nuruhassan-qu1ff Ай бұрын
😅😅
@safiasaleh669
@safiasaleh669 Ай бұрын
Anajua kupika huyu🎉🎉🎉
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 Ай бұрын
Mara secondary mara la saba mara 96 mara kuolewa miaka 14
@zayumar2955
@zayumar2955 Ай бұрын
Mmmh uwongo na kweli 😂😂😂
@HamimuBadyanaJR
@HamimuBadyanaJR Ай бұрын
Huyu mshukaji ni mboga au😂
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc Ай бұрын
Salehe jamaa limekupenda ilo mana si kwa jicho ilo😂😂
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Huyu aliishia la4b ndo maana hachanganyi kizungu kwenye sentes zake anaongea kiswahili na anaeleweka vizuri
@MtuSafi
@MtuSafi Ай бұрын
Kwahyo ukichanganya na kizungu unakuwa umesoma?...Kuna watu wanajifunza kiingereza tu lakin hawajafika hata la7 je, ikoje hii...Kiingereza sio kipimo cha Elimu elewa hilo.
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 24 күн бұрын
Jmn miaka kumi na nne at umemaliza form four ni kwl hiyo
@user-hk3yy8zv9t
@user-hk3yy8zv9t Ай бұрын
Kaja Dar ..yuko shule ya msingi 94 ..96..97 kaingia kwenye biashara ya dhahabu ..mmmh nyie ..au m mahesabu yangu sijamuelewa..
@KhadijaDija-ir2hq
@KhadijaDija-ir2hq Ай бұрын
Yasio kuhusu yasikusumbue
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Ай бұрын
Na kweli 😅😅😅​@@KhadijaDija-ir2hq
@charlesgafau778
@charlesgafau778 11 күн бұрын
Kwani unaaona kuna editing hapo punguza ujuaji au umetumwa😂😂😂 fatuma wewe
@NusraHozza-qp8yy
@NusraHozza-qp8yy Ай бұрын
Mtoto chiriku uyo Hadi Kero
@user-kt1cf9yp3e
@user-kt1cf9yp3e Ай бұрын
Hapo amedanganya form 4 amesoma lini kwa umri huo?
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t Ай бұрын
Maskin...ndo mna unaambiwa hata kwa utani usijinenee mabaya .. anyway pamoja na yote pia mungu alishaandika hakuna wakupinga qadar
@maureenmgeni
@maureenmgeni Ай бұрын
Ulimi hulaani na kubariki, tujiepushe kujinenea maneno ya kujilaani..
@tunsumealfredym7896
@tunsumealfredym7896 Ай бұрын
Amejinenea vp nimepitwa hcho kipande?
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 Ай бұрын
Huyo mkaka anajitumilisha huyo ili hari tu aonekane kwa kamer😅😅
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Ай бұрын
Na ww nenda
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 Ай бұрын
Nyoo😏😏​@@chunaabdullah1333
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 Ай бұрын
Hujui kma n mgonjwa wa mguu ako n mguu mmoja
@nathalieswedy3653
@nathalieswedy3653 Ай бұрын
2007 nmezaa mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 15 kasoro na hakuna serkal iliingiilia kati ikiwa hd clinic niwambia nina miaka 16 wakabisha sjafka na pemben niko na alienitia mimba mbn hawakuchukua hatua
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs Ай бұрын
😢😢
@hamidajabu3324
@hamidajabu3324 Ай бұрын
Uyo kaka ana shida gan 😢manake anajichekesha mara anyali mara amuangalie saleh dooh😅
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 Ай бұрын
😂😂 kwanza anasubiria nin hapo jikoni
@AalyahNassor
@AalyahNassor Ай бұрын
😢😢😢😢
@siahsiah4192
@siahsiah4192 Ай бұрын
😂😂😂
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj Ай бұрын
sialiitwa jamani
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc Ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaah nyie
@queenmilan2024
@queenmilan2024 Ай бұрын
she is very educated and intelligent
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq Ай бұрын
Very educated? Really? Where did you get that idea?
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 24 күн бұрын
​@@Brunn-mh2bqhahahaaaaaah. Mwasutana sio hofwi😂
@mjsaidkeya
@mjsaidkeya Ай бұрын
Siwezi kosa hii
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr Ай бұрын
Sio kweli waarabu kuozesha watoto wao wadogo.. Twaishi nao uku.. Kutongozwa yenyewe mtihani,, mchezo uwo sisi waafrika,, wee msichana simu na gas iyooo,, kuwa makini cku ingine yaja kurepukia
@SamiraRamadhani-sc6db
@SamiraRamadhani-sc6db Ай бұрын
Kutongoza mtihani
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr Ай бұрын
@@SamiraRamadhani-sc6db.. eeh waume wafanya kutafutiwa waja kuonana nyumbani
@lightnesstippe9006
@lightnesstippe9006 Ай бұрын
Nimepata mshtuko nilichokiona daka ya 7:58 🙈🙈🙈🙈
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
Mnatafuta kupigwa na majambazi kwenda kuhoji watu usiku sehemu hata gari haifiki si ungeenda asubuhi au mchana
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 Ай бұрын
Mbona nje ya nyumba ya wastara kuna magari itakuwa swaleh ametumia njia haipiti gari
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 Ай бұрын
NGUVU ya MATAMSHI""tujifunze ni nini tunatamka kwenye vinywa vyetu maana MANENO YANAUMBA.hata wamama wengi tunapenda kuwambia watoto wetu mbwa,mjinga wewee kesho yake akiwa na tabia za hovyo tunashangaa kumbe zile tabia tuliziumba wenyewe.
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Dada anarekodi tu😅😅
@ashazuber6548
@ashazuber6548 Ай бұрын
😅😅😅😅😅boss kapata
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n Ай бұрын
Zamani aliwai kusema aliachishwa shule daresay la 6 akaolewa ila leo kasshabalisha😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Ай бұрын
amesema waarabu shule haikuwa mbele kwa wasichana ukikua mkubwa kama umeisha la saba au formfour unaolewa tu
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i Ай бұрын
Ni kweli ehe​@@sabihaibrahim143
@Byokecandyrange
@Byokecandyrange Ай бұрын
Ila kihusu kula uko vzur
@ogdosho93
@ogdosho93 Ай бұрын
Mzee boxa imetoboka io😀
@arafaomari1832
@arafaomari1832 Ай бұрын
Ya nani
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n Ай бұрын
Watu wanamacho jmn mpk boksa wameona😂😂
@zuhurakhasimu969
@zuhurakhasimu969 Ай бұрын
Imetoboka nyuma au sijaona vzur 😂
@junioremmanuel1695
@junioremmanuel1695 Ай бұрын
Hahahaha kama imetatuka
@Mzuri_002
@Mzuri_002 Ай бұрын
Nimecheka😂😂😂
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Dada amekazana kurekodi eti asije vitu vinaungua😂😂
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 Ай бұрын
Mzembe tu hana lolote 😅
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 Ай бұрын
Sema wtoto wakiarabu hawazehekiharakaharaka
@ShadyLumango-zl5kd
@ShadyLumango-zl5kd Ай бұрын
Kipindi kizuri
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Dada anarekodi😅😅
@AalyahNassor
@AalyahNassor Ай бұрын
Muumbeya Huyo 😅
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k Ай бұрын
Uyo ndo mtoto was sajukii uyo wakiume
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Ай бұрын
😂😂😂SHANGAHLA wa wastara😂😂😂jmn
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs Ай бұрын
Unavituko eti shagala😃😃
@shufaa8921
@shufaa8921 Ай бұрын
Mboa huyo kaka kainama nikaona box kama ime toboka😂
@anawiliam-eb4kb
@anawiliam-eb4kb Ай бұрын
Ata mimi kama nimeona😮😮😮😮😅😅
@namsamson3443
@namsamson3443 Ай бұрын
Huyo msichana wake yuko kwenye simu mda wote mpaka anaudhi. Msaidie mama jikoni
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
Wasichana wa kitanga na kirangi ndo zao kwenye kazi hawafai na hawadumu saa 24 simu mkononi wanachokiongea hakijulikani mpaka chungu kinaungua vyomvo vichafu vimejaa
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija Ай бұрын
😅😅anatak aonekane
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq Ай бұрын
Kwani umejuaje kuwa ni msichana wa kazi na sio ndugu yake?
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
@@Brunn-mh2bq kwani km ni ndugu yake hafai kumsaidia?!
@AalyahNassor
@AalyahNassor Ай бұрын
Hadi kichefuchefu
@catherinenenula7450
@catherinenenula7450 Ай бұрын
Salehe ata ajanawa ye anabugia tu😂😂😂kweli anapenda kula
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
Ndio vyo arivyo sio Mara yake yakwanza mbona ndomaana wanamsemaga mtandaoni kuwa anapenda Kura kwa ma staa
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs Ай бұрын
😅😅
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 Ай бұрын
Boxa imetoboka mr shobizz😂😂😂
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Ай бұрын
Sijui hajaiyona ila wajifunze kuvaa milegezo mm sipendi hii tabia imemzalilishaa
@dayanandama8873
@dayanandama8873 Ай бұрын
Camera man kasogeza camera haraka tucone vizur
@chany9950
@chany9950 Ай бұрын
🤣🤣🤣 mbavu zangu jmn🤣
@ttss7716
@ttss7716 Ай бұрын
Mbona kawaida bora ni safi 😂😂
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Ай бұрын
😂😂😂😂😂nyie imebidi nirudishe nyuma nitizame😅😅😅umbea cwez kuuliza mie
@chimamilion
@chimamilion Ай бұрын
Sema uyu mtangazaji mbona kilakipind yeye nimda wakula shida ipo wap🙄nauyo dda wakaz kz yke nn et mfyuui
@AalyahNassor
@AalyahNassor Ай бұрын
😅😅😅😅
@AalyahNassor
@AalyahNassor Ай бұрын
Huyo Dada wa kazi yupo bussy na simu hadi kichefuchefu
@ashaashaa1959
@ashaashaa1959 Ай бұрын
Sas ndugu yangu pembeni yuko anachukuwa zake video 😊😅😅😅😅
@user-do4md7jo6x
@user-do4md7jo6x Ай бұрын
Kisiri siri😂😂😂
@christinenere4696
@christinenere4696 Ай бұрын
Sio kweli uliolewa ukiwa na miaka 18 kuwa mkweli bhana hivi kwanini mnapenda kurudisha umri nyuma au huku soma mpaka form four 4️⃣ uliishia la 6 au 7
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Ай бұрын
Huyu nikama aliishia la saba
@chimamilion
@chimamilion Ай бұрын
Ushawai skia au kuona akiongea au kuandika english😅
@batulialmass8914
@batulialmass8914 Ай бұрын
Kasema ameishia lasaba
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b Ай бұрын
Inawezekana mumewe alimsomesha jaman au alisoma q t.
@hadija_makange
@hadija_makange Ай бұрын
Sasahao wanao zunguka hapo kwann hawapishi kipindi bhna wanaboa
@oscanyakunga
@oscanyakunga Ай бұрын
Mtangazaji uwezi muonji mtu akiwa ashughuriki nakazi mbaka mmebanana
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d Ай бұрын
😂😂😂 Yaan salekh mbea,,,et hakuungui
@veronicahlusekelo5205
@veronicahlusekelo5205 Ай бұрын
Kwani nmeona pekeangu au mi nna kiherehere😂
@Mzuri_002
@Mzuri_002 Ай бұрын
Najua unachomaanisha😂😂
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r Ай бұрын
😂😂😂 umbea nao kazi
@batulialmass8914
@batulialmass8914 Ай бұрын
Jamani miaka ya 1994 shule alikuwa anafauru mmoja au wawili
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs Ай бұрын
Kabisa 😮
@DeborahSamwel-on6kw
@DeborahSamwel-on6kw Ай бұрын
Boxer imetoboka salehe
@mwanamisiali5712
@mwanamisiali5712 Ай бұрын
Mipia nimeona maskini
@esnathmdeda
@esnathmdeda Ай бұрын
😅😂yani salehe hatujapenda
@ommyisihaka6017
@ommyisihaka6017 Ай бұрын
kma nmeiona boksa ya salehe imeliwa na panya matakoni
@zuwenasaleh9613
@zuwenasaleh9613 Ай бұрын
Walimwengu jamani 😂😂
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 Ай бұрын
Salehe umenunua gari
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n Ай бұрын
Wastaraa❤❤❤❤❤
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 Ай бұрын
Sa kwann ukoroge huo mchanganyiko wako kwa kidole 🤮🤮🤮🤮
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Ай бұрын
Unakula wewe au yeye
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 Ай бұрын
@@aishaarusha894 umeulizwa ww yy au shobo tu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Ай бұрын
@@nancyfantasia1945 KOMA
@aishaarusha894
@aishaarusha894 25 күн бұрын
@@nancyfantasia1945 shobo ni wewe unayochunguza ya wezio mxiew
@MohamedMkota
@MohamedMkota Ай бұрын
kijana unakiherehere ww km mtoto wa fulani
@user-kc5gp4fb7b
@user-kc5gp4fb7b Ай бұрын
Hv kwanini interview zako lazima ziwe usiku
@Mzuri_002
@Mzuri_002 Ай бұрын
Ndio ratiba yakipindi jumatatu-Ijumaa samoja kamili ucku kinaanza
@wardaomar4828
@wardaomar4828 Ай бұрын
hyu Dada yko bizze na cm mpka ameunguza anasingizia kaambiwa asije😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor Ай бұрын
Umbea una msumbua Huyo
Чай будешь? #чайбудешь
00:14
ПАРОДИИ НА ИЗВЕСТНЫЕ ТРЕКИ
Рет қаралды 2,8 МЛН
Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Wastara Juma, Jionee Mwenyewe
34:53
MCHUZI WA SAMAKI MTAMU, UNAVUTIA NA RAHISI KUANDAA
3:02
Rasheedah’s Meal
Рет қаралды 4,8 М.
KITIMTIM Episode 19 Daa Zuu, Zunde, Pili, Masantula
25:01
Gladness Kifaluka [ Pili Kitimtim ]
Рет қаралды 16 М.
USHUHUDA | Jinsi Vijana Hawa Walivyofanikiwa |  Rev. Dr. Eliona Kimaro
38:45
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 163 М.
LOVE IS BLIND
1:22:17
hemedy chande
Рет қаралды 105 М.
SIRI YAFICHUKA BIRIANI KULIWA IJUMAA/WASOJUA KUPIKA KUKOSA NDOA
29:58
“Жарым боласың ба” Елді шошытқан ұсыныс!
20:07
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 228 М.
TRY NOT TO LAUGH 😂
0:56
Feinxy
Рет қаралды 8 МЛН
Сумел остановить эскалатор🤯
0:40
WORLD TOP
Рет қаралды 2,1 МЛН
Не прокатило 😳
0:20
Pavlov_family_
Рет қаралды 5 МЛН