Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 338
@bintialiali6702 ай бұрын
Mrembo huyu dada Mashallah alafu anaongea kwa uzuri.❤
@nurumasha2 ай бұрын
Sema nimempenda mtangazaji anajua kujishughulisha
@BerthaModest2 ай бұрын
Comment yangu iende kwa mr show buz ana heshima sana salleh mungu akuongez vyem kweny kaz zako❤❤❤
@farahali60412 ай бұрын
Kweli anaeshima sanaa
@ummishakii83222 ай бұрын
Kweli sarehe ana adabu sana afu mcheshi
@user-fb8yx3ml8s2 ай бұрын
Wastara nakupendaga Sana,,,rakin umetupiga navkitu kizito form four umemariza mwaka gan na Mambo ya BIASHARA umeanza mwaka gan me mwenzenu cjakuelewa
@naimanimo49252 ай бұрын
Omg that girl & her 4on she can't put it away it's will enter the saucepan 😂😂 the boy loves the camera very innocent people 😅😅
@Tuu20192 ай бұрын
Nampenda Wastara since namjua huwa hafake life that's why hana sura ya stress bad Ana nawawirii Mashaalah
@angelrichard8992 ай бұрын
Anaongea vizurii alafu uzuri wakee haubadiliki mrembo xana huyu dada....
@user-fx7ig1uy6t2 ай бұрын
Sana mashallah mwenyezimungu amuhifadhi
@FatimaAli-of4gh2 ай бұрын
@@user-fx7ig1uy6t Aamin
@mwanahalimamwachili96792 ай бұрын
Maa Shaa Allah interview Tamu,Hongereni.
@fatmachikambo87802 ай бұрын
Huyo dada anae rekodi angeolewa na yule kinyozi wapili wa interview ya Chid Benz mwenye mask wana ushamba unaofanana 😂😂😂😂😂
@user-br4tl7jv9j2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ReginaMinja-G222 ай бұрын
I love wastara❤she super woman
@godfreymunishi3708 күн бұрын
Wastara ana Story nzuri sema yupo bize sana na shughuli ata hainogi Khaaaa
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Usiseme waarabu hawapendi sana Kuhusu Elimu wewe...sema mie sikuwa na wazazi wenye Ufunguo wa kusomesha
@user-ct2qp6ur9t2 ай бұрын
Yupo sahii warabu awasomi 😂😂😂 miaka 20 ndoq
@sikukuuchuo30932 ай бұрын
Hawa watu hawasomi 5 yrs tuko nao tunajua SEMA sai kiasi wamestaarabika😂
@mannahsalwa84332 ай бұрын
Waarab bint akishavunja ungo tu ndoa
@tanzcanmediatv44732 ай бұрын
Yuko sahihi wanaamin hivyo waarabu wewe usiyejua uliza
@Siasia2092 ай бұрын
@@user-ct2qp6ur9t nyie mmwsoma mpo na mavyeti ndani wenzenu wasio soma wamewazid pesa😂😂
@zuwenaabdallah77482 ай бұрын
Huku kupika huku kuongea aaah hainogi bhana😊
@miriyamasanja67662 ай бұрын
Saleh umejifanya kushtuka kusikia bikra imetolewa mara mbili😂😂😂😂😂
@magrethkapinga18112 ай бұрын
Ivo uyo kaka anae tumwa kwa wastara mzima kweli
@khadjamhozya2 ай бұрын
Kwanini?
@esterMahenge2 ай бұрын
😅😅😅
@Leylah-pz5sc2 ай бұрын
😂😂😂😂 wacha umbea ww heeeee
@kidoestherАй бұрын
Kumbe na wewe umeona🤣🤣🤣
@rahmasuleiman93342 ай бұрын
Mmmh nimjuavyo Saleh 😂😂😂hapo kichwa kipo kwa jiko na pua zishafikisha ujumbe wakti muafaka wa nyamnyam 😂😂😂😂😂
@AalyahNassor2 ай бұрын
SAMAHANI JAMANI HUYO DADA ULIYE NAE NI MSAIDIZI AU NI NDUGU YUPO BUSY NA SIMU KAMA NI MSAIDIZI DAH SISTER DUU SIMU NA KAZI WAPI NA WAPI
@Channelque8902 ай бұрын
Ana record huyo
@user-hk3yy8zv9t2 ай бұрын
Amezidiwa had na huyo kaka yeye kakaa anasubiri kuagizwa kusaidia
@SalimhchialaAtilio-qj5cs2 ай бұрын
Acha ajiachie kwani mfanyakazi siyo mtu
@jacklinechuga256912 күн бұрын
Acha ujuwaji na maisha ya watu
@mankinemansulikine-22202 ай бұрын
Salehe mate yanakutoka unavyopenda kula 😅😅
@salmakakozi9632 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 nanjo kasha honja kidogo nyama bila hivo mate yangemjaa mpaka yaka dodoka 😅😅
@user-vm5yf8cs2r2 ай бұрын
Wastara MashaAllah Allah akubariki Kwa Kazi zako
@SalamaNauthar2 ай бұрын
Mashaallah❤❤❤
@khadjamhozya2 ай бұрын
Wstara aronyesha mapenzi ya dhati kwa sajuki kabisa sajuki nae arifanya hivo waripendana kweri mpenzi ya dhati
@janetdundul38582 ай бұрын
NAMPENDA SANA UYU DADA ❤❤❤❤❤❤😊😊
@rerisamba2 ай бұрын
Kuna miaka ya nyuma huyu dada akifanya interview alikua analia kweli hope nowdays maisha yake yamegeuka
@MahmudOmar-gx2ok2 ай бұрын
kweli hata mimi nakumbuka
@RamlahNassoro2 ай бұрын
Maa shaa Allaah walipendana sana na mumewe
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Dada na cm utazania aliambiwa arekodi tu😅😅
@ashurajengela39262 ай бұрын
Yani amekazana balaaa 😅
@virginiahaule58802 ай бұрын
Yani
@selinathindwa97542 ай бұрын
Mtangazaji ulienda muda sahihi ulikuta wanapika😂
@mwanaidiomari79412 ай бұрын
verry polite women
@bahiyaseleman58382 ай бұрын
Yaana kungekuw na sehemu yakutuMa voice ningeongea sana..maana hapo sjui ni jiko dogo mtu kasimamiwa😢😢
@shabantole8582 ай бұрын
nawapenda❤❤❤
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Dada anayerekodi uazania yeye ndiye aliandaa mahojiano😂😂
@AalyahNassor2 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@itanzaniaAS2 ай бұрын
Nakumbuka kaolewa na kigogo ndoa ikadumu wiki kaachika na taraka juu😂😂😂😂😂😂
@sikukuuchuo30932 ай бұрын
Sasa ndio unashabikia
@itanzaniaAS2 ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ili! 🤣🤣
@itanzaniaASАй бұрын
@@sikukuuchuo3093 ndiyo 🤣🤣
@user-lq6kr2gl7n2 ай бұрын
Nampenda san wastara yan hanaga maskendo pamoja na kwamb ni msanii wa bongo movie anajielewa
@maligeltabatholomeo81282 ай бұрын
Dah miaka 14 ulikuwa umemaliza secondary?😮
@jenifermakundi82302 ай бұрын
Nimejiuliza hvyohvyo
@rizikiabdalla25012 ай бұрын
Anatupangaaaa
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Hakumaliza
@user-sz7fj6ll5y2 ай бұрын
Inawezekana labda alianzishwa shule na miaka 3
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Hakufika
@chany99502 ай бұрын
Love you mama 😘❤️🙏🏾🙏🏾
@MahraMansoor59692 ай бұрын
Mie nampenda sana kwa ajili ya Allah natamani kumpa kaka angu from uk 🇬🇧
@zayumar29552 ай бұрын
Nipe mie huyo kakayako 🙈🙈🙈
@samanthalyimo45982 ай бұрын
😂😂😂
@zayumar29552 ай бұрын
@@samanthalyimo4598 umefurah mwenyewe 😅😅😅
@SamiaSamia-qc6tz2 ай бұрын
Mbona mnamsema sana dada wakazi jamani khaaa
@AalyahNassor2 ай бұрын
Jamani mkiwa mna Ajili ma Housegril Mume makini wengine ni SHIHATA HAPO UTASEMA UNA MFANYAKAZI AU NI MUANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA
@princesmaile55612 ай бұрын
Shida ya mdada w
@aurorahmo37022 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jacklinechuga256912 күн бұрын
We umejuwaje ni mfanyakz
@hollymore490410 күн бұрын
Huwenda kaambiwa na boss
@Fatma-re2hw2 ай бұрын
Mbona muandishi umekwenda wakati wakupika tunachoka au tunafundishwa kupika pilau as well?😊
@racheljohn22162 ай бұрын
Kijana anajua kurenga 😂😂😂🙌
@user-ed4nr1lx6f2 ай бұрын
Mmh jikon mpangilio hmn eti kila kitu kinatafutwa jmn
@MwanatumuJumaa-rj4fg2 ай бұрын
Ila huyu dada kampenda sana sajuki ku.move on ni ngumu sana kila mwanaume atakae mpata atamlinganisha na sajuki tuu.ama kweli upendo wa kweli upo
@neemamhelela77712 ай бұрын
❤❤❤
@khadijatanzania80402 ай бұрын
Kuanzia leo sitaki kujinenea mabaya zaidi ya mazuri tu kweli mdomo unaumba jaman pole sana Wastara😢
@rosemaryrwabibi59082 ай бұрын
Mdomo uuumba mahi jinene mazur jiseme mm naweza
@khadijatanzania80402 ай бұрын
@@rosemaryrwabibi5908 kwakweli nimejifunza dear sitaki kabisa
@YoungLovediiАй бұрын
Alie ona box iliochanika anipe likes zangu
@user-fx7ig1uy6t2 ай бұрын
Maskin...ndo mna unaambiwa hata kwa utani usijinenee mabaya .. anyway pamoja na yote pia mungu alishaandika hakuna wakupinga qadar
@maureenmgeni2 ай бұрын
Ulimi hulaani na kubariki, tujiepushe kujinenea maneno ya kujilaani..
@tunsumealfredym78962 ай бұрын
Amejinenea vp nimepitwa hcho kipande?
@user-ib7kn6fs4x2 ай бұрын
Show bizz leyo cyo nzuri ni jikoni tu
@IreneGrayson2 ай бұрын
😂😂angalia comment yako alafu I translate kwa kiswahili utachekaa😂😂😂
@Grtudajunior-cw5zp2 ай бұрын
@@IreneGraysonweeeee imenibidi
@nuruhassan-qu1ff2 ай бұрын
😅😅
@safiasaleh6692 ай бұрын
Anajua kupika huyu🎉🎉🎉
@happinessmtalika162 ай бұрын
Mara secondary mara la saba mara 96 mara kuolewa miaka 14
@faridapandu75792 ай бұрын
Nampenda wastara hanamavuno yupo pece🎉🎉🎉❤❤❤
@user-hk3yy8zv9t2 ай бұрын
Kaja Dar ..yuko shule ya msingi 94 ..96..97 kaingia kwenye biashara ya dhahabu ..mmmh nyie ..au m mahesabu yangu sijamuelewa..
@KhadijaDija-ir2hq2 ай бұрын
Yasio kuhusu yasikusumbue
@fatmazullu49332 ай бұрын
Na kweli 😅😅😅@@KhadijaDija-ir2hq
@charlesgafau778Ай бұрын
Kwani unaaona kuna editing hapo punguza ujuaji au umetumwa😂😂😂 fatuma wewe
@melanialeonard40312 ай бұрын
Huyu aliishia la4b ndo maana hachanganyi kizungu kwenye sentes zake anaongea kiswahili na anaeleweka vizuri
@MtuSafi2 ай бұрын
Kwahyo ukichanganya na kizungu unakuwa umesoma?...Kuna watu wanajifunza kiingereza tu lakin hawajafika hata la7 je, ikoje hii...Kiingereza sio kipimo cha Elimu elewa hilo.
@nathalieswedy36532 ай бұрын
2007 nmezaa mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 15 kasoro na hakuna serkal iliingiilia kati ikiwa hd clinic niwambia nina miaka 16 wakabisha sjafka na pemben niko na alienitia mimba mbn hawakuchukua hatua
@SalimhchialaAtilio-qj5cs2 ай бұрын
😢😢
@user-ug2vb6yw7wАй бұрын
Masikini pole dada yangu nakupenda
@marrymaganga72102 ай бұрын
Huyo mkaka anajitumilisha huyo ili hari tu aonekane kwa kamer😅😅
@chunaabdullah13332 ай бұрын
Na ww nenda
@marrymaganga72102 ай бұрын
Nyoo😏😏@@chunaabdullah1333
@sikukuuchuo30932 ай бұрын
Hujui kma n mgonjwa wa mguu ako n mguu mmoja
@hamidajabu33242 ай бұрын
Uyo kaka ana shida gan 😢manake anajichekesha mara anyali mara amuangalie saleh dooh😅
@mariamdullazy81662 ай бұрын
😂😂 kwanza anasubiria nin hapo jikoni
@AalyahNassor2 ай бұрын
😢😢😢😢
@siahsiah41922 ай бұрын
😂😂😂
@RebeccaMuhimba-be1pj2 ай бұрын
sialiitwa jamani
@Leylah-pz5sc2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaah nyie
@Leylah-pz5sc2 ай бұрын
Salehe jamaa limekupenda ilo mana si kwa jicho ilo😂😂
@abdulschannel7937Ай бұрын
Wastara ❤❤❤unanipaga raha
@SamiaSamia-qc6tz2 ай бұрын
Jaman sanene nimepamiss 😊😊
@HamimuBadyanaJR2 ай бұрын
Huyu mshukaji ni mboga au😂
@zayumar29552 ай бұрын
Mmmh uwongo na kweli 😂😂😂
@user-mw5xs2wx8n2 ай бұрын
Zamani aliwai kusema aliachishwa shule daresay la 6 akaolewa ila leo kasshabalisha😂😂
@sabihaibrahim1432 ай бұрын
amesema waarabu shule haikuwa mbele kwa wasichana ukikua mkubwa kama umeisha la saba au formfour unaolewa tu
@user-dx6dm6lh1i2 ай бұрын
Ni kweli ehe@@sabihaibrahim143
@user-zy8th6ou4f2 ай бұрын
Bwagala Turiani kuja madam mtusalimie
@user-nr3bf4om8z2 ай бұрын
Ni kweli kabisa aliolewa na kaka mmoja hanaitwa juma.. Na niliishi kwao na kaka alikua anaitwa dalueshi..alikua mdogo sana
@IslamPeto-fd6wr2 ай бұрын
Sio kweli waarabu kuozesha watoto wao wadogo.. Twaishi nao uku.. Kutongozwa yenyewe mtihani,, mchezo uwo sisi waafrika,, wee msichana simu na gas iyooo,, kuwa makini cku ingine yaja kurepukia
Mnatafuta kupigwa na majambazi kwenda kuhoji watu usiku sehemu hata gari haifiki si ungeenda asubuhi au mchana
@faizamohamed69932 ай бұрын
Mbona nje ya nyumba ya wastara kuna magari itakuwa swaleh ametumia njia haipiti gari
@blandinamyinga94892 ай бұрын
NGUVU ya MATAMSHI""tujifunze ni nini tunatamka kwenye vinywa vyetu maana MANENO YANAUMBA.hata wamama wengi tunapenda kuwambia watoto wetu mbwa,mjinga wewee kesho yake akiwa na tabia za hovyo tunashangaa kumbe zile tabia tuliziumba wenyewe.
@queenmilan20242 ай бұрын
she is very educated and intelligent
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
Very educated? Really? Where did you get that idea?
@SikudhaniKulonda-jy1bqАй бұрын
@@Brunn-mh2bqhahahaaaaaah. Mwasutana sio hofwi😂
@user-mw5xs2wx8n2 ай бұрын
Watu wanamacho jmn mpk boksa wameona😂😂
@zuhurakhasimu9692 ай бұрын
Imetoboka nyuma au sijaona vzur 😂
@junioremmanuel16952 ай бұрын
Hahahaha kama imetatuka
@Mzuri_0022 ай бұрын
Nimecheka😂😂😂
@NusraHozza-qp8yy2 ай бұрын
Mtoto chiriku uyo Hadi Kero
@faudhiasalum72792 ай бұрын
😂😂😂SHANGAHLA wa wastara😂😂😂jmn
@SalimhchialaAtilio-qj5cs2 ай бұрын
Unavituko eti shagala😃😃
@christinenere46962 ай бұрын
Sio kweli uliolewa ukiwa na miaka 18 kuwa mkweli bhana hivi kwanini mnapenda kurudisha umri nyuma au huku soma mpaka form four 4️⃣ uliishia la 6 au 7
@yasminoluoch1692 ай бұрын
Huyu nikama aliishia la saba
@chimamilion2 ай бұрын
Ushawai skia au kuona akiongea au kuandika english😅
@batulialmass89142 ай бұрын
Kasema ameishia lasaba
@user-uo8xw9kr4b2 ай бұрын
Inawezekana mumewe alimsomesha jaman au alisoma q t.
@glorianikiza39402 ай бұрын
Boxa imetoboka mr shobizz😂😂😂
@rizikiabdalla25012 ай бұрын
Sijui hajaiyona ila wajifunze kuvaa milegezo mm sipendi hii tabia imemzalilishaa
Dada amekazana kurekodi eti asije vitu vinaungua😂😂
@mariamdullazy81662 ай бұрын
Mzembe tu hana lolote 😅
@nancyfantasia19452 ай бұрын
Sa kwann ukoroge huo mchanganyiko wako kwa kidole 🤮🤮🤮🤮
@aishaarusha8942 ай бұрын
Unakula wewe au yeye
@nancyfantasia19452 ай бұрын
@@aishaarusha894 umeulizwa ww yy au shobo tu
@aishaarusha8942 ай бұрын
@@nancyfantasia1945 KOMA
@aishaarusha894Ай бұрын
@@nancyfantasia1945 shobo ni wewe unayochunguza ya wezio mxiew
@user-kt1cf9yp3e2 ай бұрын
Hapo amedanganya form 4 amesoma lini kwa umri huo?
@ashaashaa19592 ай бұрын
Sas ndugu yangu pembeni yuko anachukuwa zake video 😊😅😅😅😅
@user-do4md7jo6x2 ай бұрын
Kisiri siri😂😂😂
@shufaa89212 ай бұрын
Mboa huyo kaka kainama nikaona box kama ime toboka😂
@anawiliam-eb4kb2 ай бұрын
Ata mimi kama nimeona😮😮😮😮😅😅
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Dada anarekodi tu😅😅
@ashazuber65482 ай бұрын
😅😅😅😅😅boss kapata
@chimamilion2 ай бұрын
Sema uyu mtangazaji mbona kilakipind yeye nimda wakula shida ipo wap🙄nauyo dda wakaz kz yke nn et mfyuui
@AalyahNassor2 ай бұрын
😅😅😅😅
@AalyahNassor2 ай бұрын
Huyo Dada wa kazi yupo bussy na simu hadi kichefuchefu
@ogdosho932 ай бұрын
Mzee boxa imetoboka io😀
@arafaomari18322 ай бұрын
Ya nani
@zainabumartin95202 ай бұрын
Sema wtoto wakiarabu hawazehekiharakaharaka
@SikudhaniKulonda-jy1bqАй бұрын
Jmn miaka kumi na nne at umemaliza form four ni kwl hiyo
@catherinenenula74502 ай бұрын
Salehe ata ajanawa ye anabugia tu😂😂😂kweli anapenda kula
@khadjamhozya2 ай бұрын
Ndio vyo arivyo sio Mara yake yakwanza mbona ndomaana wanamsemaga mtandaoni kuwa anapenda Kura kwa ma staa
@SalimhchialaAtilio-qj5cs2 ай бұрын
😅😅
@namsamson34432 ай бұрын
Huyo msichana wake yuko kwenye simu mda wote mpaka anaudhi. Msaidie mama jikoni
@fatmaabdallah77092 ай бұрын
Wasichana wa kitanga na kirangi ndo zao kwenye kazi hawafai na hawadumu saa 24 simu mkononi wanachokiongea hakijulikani mpaka chungu kinaungua vyomvo vichafu vimejaa
@SuleimanKhdija2 ай бұрын
😅😅anatak aonekane
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
Kwani umejuaje kuwa ni msichana wa kazi na sio ndugu yake?
@fatmaabdallah77092 ай бұрын
@@Brunn-mh2bq kwani km ni ndugu yake hafai kumsaidia?!
@AalyahNassor2 ай бұрын
Hadi kichefuchefu
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Dada anarekodi😅😅
@AalyahNassor2 ай бұрын
Muumbeya Huyo 😅
@ShadyLumango-zl5kd2 ай бұрын
Kipindi kizuri
@user-se9no4rg3k2 ай бұрын
Uyo ndo mtoto was sajukii uyo wakiume
@veronicahlusekelo52052 ай бұрын
Kwani nmeona pekeangu au mi nna kiherehere😂
@Mzuri_0022 ай бұрын
Najua unachomaanisha😂😂
@user-xh7xf2ki3r2 ай бұрын
😂😂😂 umbea nao kazi
@MamyHamso2 ай бұрын
Nani kaona boxer ya salleh imetoboka😂😂😂😂😂😂😂
@pendombinga35842 ай бұрын
Nimechaka sn jmn nchi ngumu hii mchawi bando leo salehe kapatikana😂😂
@mjsaidkeya2 ай бұрын
Siwezi kosa hii
@Bquality2 ай бұрын
kina kimtu kinaboa kina pitapita mpaka nmeacha kuangalia mana sikaelew au kaleft nn kwenye group la masela
@cleopatrajustine2 ай бұрын
Anatumia nguvu sana kuonekana kwenye video.... nimechoka ule muda amerudi na chenji eti anachukua wallet aweke chenji kwenye wallet halafu anachukua kigoda anakaa😂😂😂😂😂😂... na huyo dada hiyo video anarekodi ya nini??? 🤣🤣🤣. big up Saleh and I missed this.
@ommyisihaka60172 ай бұрын
kma nmeiona boksa ya salehe imeliwa na panya matakoni
@zuwenasaleh96132 ай бұрын
Walimwengu jamani 😂😂
@hadija_makange2 ай бұрын
Sasahao wanao zunguka hapo kwann hawapishi kipindi bhna wanaboa
@Byokecandyrange2 ай бұрын
Ila kihusu kula uko vzur
@oscanyakunga2 ай бұрын
Mtangazaji uwezi muonji mtu akiwa ashughuriki nakazi mbaka mmebanana
@wardaomar48282 ай бұрын
hyu Dada yko bizze na cm mpka ameunguza anasingizia kaambiwa asije😂😂
@AalyahNassor2 ай бұрын
Umbea una msumbua Huyo
@DeborahSamwel-on6kw2 ай бұрын
Boxer imetoboka salehe
@mwanamisiali57122 ай бұрын
Mipia nimeona maskini
@esnathmdeda2 ай бұрын
😅😂yani salehe hatujapenda
@rayahamisi1182 ай бұрын
Were wawapi tunakuuluza weyee atumuulizi babu yako unaulizwa weyee weyee
@MohamedMkota2 ай бұрын
kijana unakiherehere ww km mtoto wa fulani
@batulialmass89142 ай бұрын
Jamani miaka ya 1994 shule alikuwa anafauru mmoja au wawili