ANAPOISHI WASTARA SAJUKI/ AONESHA UFUNDI WA MAPISHI AKIWA JIKONI/ MUME WANGU ALIOA WAKE 9

  Рет қаралды 66,614

ZamaradiTV

ZamaradiTV

2 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 338
@bintialiali670
@bintialiali670 2 ай бұрын
Mrembo huyu dada Mashallah alafu anaongea kwa uzuri.❤
@nurumasha
@nurumasha 2 ай бұрын
Sema nimempenda mtangazaji anajua kujishughulisha
@BerthaModest
@BerthaModest 2 ай бұрын
Comment yangu iende kwa mr show buz ana heshima sana salleh mungu akuongez vyem kweny kaz zako❤❤❤
@farahali6041
@farahali6041 2 ай бұрын
Kweli anaeshima sanaa
@ummishakii8322
@ummishakii8322 2 ай бұрын
Kweli sarehe ana adabu sana afu mcheshi
@user-fb8yx3ml8s
@user-fb8yx3ml8s 2 ай бұрын
Wastara nakupendaga Sana,,,rakin umetupiga navkitu kizito form four umemariza mwaka gan na Mambo ya BIASHARA umeanza mwaka gan me mwenzenu cjakuelewa
@naimanimo4925
@naimanimo4925 2 ай бұрын
Omg that girl & her 4on she can't put it away it's will enter the saucepan 😂😂 the boy loves the camera very innocent people 😅😅
@Tuu2019
@Tuu2019 2 ай бұрын
Nampenda Wastara since namjua huwa hafake life that's why hana sura ya stress bad Ana nawawirii Mashaalah
@angelrichard899
@angelrichard899 2 ай бұрын
Anaongea vizurii alafu uzuri wakee haubadiliki mrembo xana huyu dada....
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 2 ай бұрын
Sana mashallah mwenyezimungu amuhifadhi
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 2 ай бұрын
​@@user-fx7ig1uy6t Aamin
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 2 ай бұрын
Maa Shaa Allah interview Tamu,Hongereni.
@fatmachikambo8780
@fatmachikambo8780 2 ай бұрын
Huyo dada anae rekodi angeolewa na yule kinyozi wapili wa interview ya Chid Benz mwenye mask wana ushamba unaofanana 😂😂😂😂😂
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ReginaMinja-G22
@ReginaMinja-G22 2 ай бұрын
I love wastara❤she super woman
@godfreymunishi370
@godfreymunishi370 8 күн бұрын
Wastara ana Story nzuri sema yupo bize sana na shughuli ata hainogi Khaaaa
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Usiseme waarabu hawapendi sana Kuhusu Elimu wewe...sema mie sikuwa na wazazi wenye Ufunguo wa kusomesha
@user-ct2qp6ur9t
@user-ct2qp6ur9t 2 ай бұрын
Yupo sahii warabu awasomi 😂😂😂 miaka 20 ndoq
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 2 ай бұрын
Hawa watu hawasomi 5 yrs tuko nao tunajua SEMA sai kiasi wamestaarabika😂
@mannahsalwa8433
@mannahsalwa8433 2 ай бұрын
Waarab bint akishavunja ungo tu ndoa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 2 ай бұрын
Yuko sahihi wanaamin hivyo waarabu wewe usiyejua uliza
@Siasia209
@Siasia209 2 ай бұрын
​@@user-ct2qp6ur9t nyie mmwsoma mpo na mavyeti ndani wenzenu wasio soma wamewazid pesa😂😂
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 2 ай бұрын
Huku kupika huku kuongea aaah hainogi bhana😊
@miriyamasanja6766
@miriyamasanja6766 2 ай бұрын
Saleh umejifanya kushtuka kusikia bikra imetolewa mara mbili😂😂😂😂😂
@magrethkapinga1811
@magrethkapinga1811 2 ай бұрын
Ivo uyo kaka anae tumwa kwa wastara mzima kweli
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Kwanini?
@esterMahenge
@esterMahenge 2 ай бұрын
😅😅😅
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 2 ай бұрын
😂😂😂😂 wacha umbea ww heeeee
@kidoesther
@kidoesther Ай бұрын
Kumbe na wewe umeona🤣🤣🤣
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 2 ай бұрын
Mmmh nimjuavyo Saleh 😂😂😂hapo kichwa kipo kwa jiko na pua zishafikisha ujumbe wakti muafaka wa nyamnyam 😂😂😂😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor 2 ай бұрын
SAMAHANI JAMANI HUYO DADA ULIYE NAE NI MSAIDIZI AU NI NDUGU YUPO BUSY NA SIMU KAMA NI MSAIDIZI DAH SISTER DUU SIMU NA KAZI WAPI NA WAPI
@Channelque890
@Channelque890 2 ай бұрын
Ana record huyo
@user-hk3yy8zv9t
@user-hk3yy8zv9t 2 ай бұрын
Amezidiwa had na huyo kaka yeye kakaa anasubiri kuagizwa kusaidia
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 2 ай бұрын
Acha ajiachie kwani mfanyakazi siyo mtu
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 12 күн бұрын
Acha ujuwaji na maisha ya watu
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 2 ай бұрын
Salehe mate yanakutoka unavyopenda kula 😅😅
@salmakakozi963
@salmakakozi963 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 nanjo kasha honja kidogo nyama bila hivo mate yangemjaa mpaka yaka dodoka 😅😅
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 2 ай бұрын
Wastara MashaAllah Allah akubariki Kwa Kazi zako
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 2 ай бұрын
Mashaallah❤❤❤
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Wstara aronyesha mapenzi ya dhati kwa sajuki kabisa sajuki nae arifanya hivo waripendana kweri mpenzi ya dhati
@janetdundul3858
@janetdundul3858 2 ай бұрын
NAMPENDA SANA UYU DADA ❤❤❤❤❤❤😊😊
@rerisamba
@rerisamba 2 ай бұрын
Kuna miaka ya nyuma huyu dada akifanya interview alikua analia kweli hope nowdays maisha yake yamegeuka
@MahmudOmar-gx2ok
@MahmudOmar-gx2ok 2 ай бұрын
kweli hata mimi nakumbuka
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 2 ай бұрын
Maa shaa Allaah walipendana sana na mumewe
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Dada na cm utazania aliambiwa arekodi tu😅😅
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 ай бұрын
Yani amekazana balaaa 😅
@virginiahaule5880
@virginiahaule5880 2 ай бұрын
Yani
@selinathindwa9754
@selinathindwa9754 2 ай бұрын
Mtangazaji ulienda muda sahihi ulikuta wanapika😂
@mwanaidiomari7941
@mwanaidiomari7941 2 ай бұрын
verry polite women
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 2 ай бұрын
Yaana kungekuw na sehemu yakutuMa voice ningeongea sana..maana hapo sjui ni jiko dogo mtu kasimamiwa😢😢
@shabantole858
@shabantole858 2 ай бұрын
nawapenda❤❤❤
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Dada anayerekodi uazania yeye ndiye aliandaa mahojiano😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 2 ай бұрын
Nakumbuka kaolewa na kigogo ndoa ikadumu wiki kaachika na taraka juu😂😂😂😂😂😂
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 2 ай бұрын
Sasa ndio unashabikia
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 2 ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ili! 🤣🤣
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ndiyo 🤣🤣
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n 2 ай бұрын
Nampenda san wastara yan hanaga maskendo pamoja na kwamb ni msanii wa bongo movie anajielewa
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 2 ай бұрын
Dah miaka 14 ulikuwa umemaliza secondary?😮
@jenifermakundi8230
@jenifermakundi8230 2 ай бұрын
Nimejiuliza hvyohvyo
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 2 ай бұрын
Anatupangaaaa
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Hakumaliza
@user-sz7fj6ll5y
@user-sz7fj6ll5y 2 ай бұрын
Inawezekana labda alianzishwa shule na miaka 3
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Hakufika
@chany9950
@chany9950 2 ай бұрын
Love you mama 😘❤️🙏🏾🙏🏾
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 2 ай бұрын
Mie nampenda sana kwa ajili ya Allah natamani kumpa kaka angu from uk 🇬🇧
@zayumar2955
@zayumar2955 2 ай бұрын
Nipe mie huyo kakayako 🙈🙈🙈
@samanthalyimo4598
@samanthalyimo4598 2 ай бұрын
😂😂😂
@zayumar2955
@zayumar2955 2 ай бұрын
@@samanthalyimo4598 umefurah mwenyewe 😅😅😅
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz 2 ай бұрын
Mbona mnamsema sana dada wakazi jamani khaaa
@AalyahNassor
@AalyahNassor 2 ай бұрын
Jamani mkiwa mna Ajili ma Housegril Mume makini wengine ni SHIHATA HAPO UTASEMA UNA MFANYAKAZI AU NI MUANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA
@princesmaile5561
@princesmaile5561 2 ай бұрын
Shida ya mdada w
@aurorahmo3702
@aurorahmo3702 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 12 күн бұрын
We umejuwaje ni mfanyakz
@hollymore4904
@hollymore4904 10 күн бұрын
Huwenda kaambiwa na boss
@Fatma-re2hw
@Fatma-re2hw 2 ай бұрын
Mbona muandishi umekwenda wakati wakupika tunachoka au tunafundishwa kupika pilau as well?😊
@racheljohn2216
@racheljohn2216 2 ай бұрын
Kijana anajua kurenga 😂😂😂🙌
@user-ed4nr1lx6f
@user-ed4nr1lx6f 2 ай бұрын
Mmh jikon mpangilio hmn eti kila kitu kinatafutwa jmn
@MwanatumuJumaa-rj4fg
@MwanatumuJumaa-rj4fg 2 ай бұрын
Ila huyu dada kampenda sana sajuki ku.move on ni ngumu sana kila mwanaume atakae mpata atamlinganisha na sajuki tuu.ama kweli upendo wa kweli upo
@neemamhelela7771
@neemamhelela7771 2 ай бұрын
❤❤❤
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 2 ай бұрын
Kuanzia leo sitaki kujinenea mabaya zaidi ya mazuri tu kweli mdomo unaumba jaman pole sana Wastara😢
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 2 ай бұрын
Mdomo uuumba mahi jinene mazur jiseme mm naweza
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 2 ай бұрын
@@rosemaryrwabibi5908 kwakweli nimejifunza dear sitaki kabisa
@YoungLovedii
@YoungLovedii Ай бұрын
Alie ona box iliochanika anipe likes zangu
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 2 ай бұрын
Maskin...ndo mna unaambiwa hata kwa utani usijinenee mabaya .. anyway pamoja na yote pia mungu alishaandika hakuna wakupinga qadar
@maureenmgeni
@maureenmgeni 2 ай бұрын
Ulimi hulaani na kubariki, tujiepushe kujinenea maneno ya kujilaani..
@tunsumealfredym7896
@tunsumealfredym7896 2 ай бұрын
Amejinenea vp nimepitwa hcho kipande?
@user-ib7kn6fs4x
@user-ib7kn6fs4x 2 ай бұрын
Show bizz leyo cyo nzuri ni jikoni tu
@IreneGrayson
@IreneGrayson 2 ай бұрын
😂😂angalia comment yako alafu I translate kwa kiswahili utachekaa😂😂😂
@Grtudajunior-cw5zp
@Grtudajunior-cw5zp 2 ай бұрын
​@@IreneGraysonweeeee imenibidi
@nuruhassan-qu1ff
@nuruhassan-qu1ff 2 ай бұрын
😅😅
@safiasaleh669
@safiasaleh669 2 ай бұрын
Anajua kupika huyu🎉🎉🎉
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 2 ай бұрын
Mara secondary mara la saba mara 96 mara kuolewa miaka 14
@faridapandu7579
@faridapandu7579 2 ай бұрын
Nampenda wastara hanamavuno yupo pece🎉🎉🎉❤❤❤
@user-hk3yy8zv9t
@user-hk3yy8zv9t 2 ай бұрын
Kaja Dar ..yuko shule ya msingi 94 ..96..97 kaingia kwenye biashara ya dhahabu ..mmmh nyie ..au m mahesabu yangu sijamuelewa..
@KhadijaDija-ir2hq
@KhadijaDija-ir2hq 2 ай бұрын
Yasio kuhusu yasikusumbue
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 2 ай бұрын
Na kweli 😅😅😅​@@KhadijaDija-ir2hq
@charlesgafau778
@charlesgafau778 Ай бұрын
Kwani unaaona kuna editing hapo punguza ujuaji au umetumwa😂😂😂 fatuma wewe
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 2 ай бұрын
Huyu aliishia la4b ndo maana hachanganyi kizungu kwenye sentes zake anaongea kiswahili na anaeleweka vizuri
@MtuSafi
@MtuSafi 2 ай бұрын
Kwahyo ukichanganya na kizungu unakuwa umesoma?...Kuna watu wanajifunza kiingereza tu lakin hawajafika hata la7 je, ikoje hii...Kiingereza sio kipimo cha Elimu elewa hilo.
@nathalieswedy3653
@nathalieswedy3653 2 ай бұрын
2007 nmezaa mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 15 kasoro na hakuna serkal iliingiilia kati ikiwa hd clinic niwambia nina miaka 16 wakabisha sjafka na pemben niko na alienitia mimba mbn hawakuchukua hatua
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 2 ай бұрын
😢😢
@user-ug2vb6yw7w
@user-ug2vb6yw7w Ай бұрын
Masikini pole dada yangu nakupenda
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 2 ай бұрын
Huyo mkaka anajitumilisha huyo ili hari tu aonekane kwa kamer😅😅
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 2 ай бұрын
Na ww nenda
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 2 ай бұрын
Nyoo😏😏​@@chunaabdullah1333
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 2 ай бұрын
Hujui kma n mgonjwa wa mguu ako n mguu mmoja
@hamidajabu3324
@hamidajabu3324 2 ай бұрын
Uyo kaka ana shida gan 😢manake anajichekesha mara anyali mara amuangalie saleh dooh😅
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 2 ай бұрын
😂😂 kwanza anasubiria nin hapo jikoni
@AalyahNassor
@AalyahNassor 2 ай бұрын
😢😢😢😢
@siahsiah4192
@siahsiah4192 2 ай бұрын
😂😂😂
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj 2 ай бұрын
sialiitwa jamani
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaah nyie
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 2 ай бұрын
Salehe jamaa limekupenda ilo mana si kwa jicho ilo😂😂
@abdulschannel7937
@abdulschannel7937 Ай бұрын
Wastara ❤❤❤unanipaga raha
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz 2 ай бұрын
Jaman sanene nimepamiss 😊😊
@HamimuBadyanaJR
@HamimuBadyanaJR 2 ай бұрын
Huyu mshukaji ni mboga au😂
@zayumar2955
@zayumar2955 2 ай бұрын
Mmmh uwongo na kweli 😂😂😂
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 2 ай бұрын
Zamani aliwai kusema aliachishwa shule daresay la 6 akaolewa ila leo kasshabalisha😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 ай бұрын
amesema waarabu shule haikuwa mbele kwa wasichana ukikua mkubwa kama umeisha la saba au formfour unaolewa tu
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 2 ай бұрын
Ni kweli ehe​@@sabihaibrahim143
@user-zy8th6ou4f
@user-zy8th6ou4f 2 ай бұрын
Bwagala Turiani kuja madam mtusalimie
@user-nr3bf4om8z
@user-nr3bf4om8z 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa aliolewa na kaka mmoja hanaitwa juma.. Na niliishi kwao na kaka alikua anaitwa dalueshi..alikua mdogo sana
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr 2 ай бұрын
Sio kweli waarabu kuozesha watoto wao wadogo.. Twaishi nao uku.. Kutongozwa yenyewe mtihani,, mchezo uwo sisi waafrika,, wee msichana simu na gas iyooo,, kuwa makini cku ingine yaja kurepukia
@SamiraRamadhani-sc6db
@SamiraRamadhani-sc6db 2 ай бұрын
Kutongoza mtihani
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr 2 ай бұрын
@@SamiraRamadhani-sc6db.. eeh waume wafanya kutafutiwa waja kuonana nyumbani
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 2 ай бұрын
owwh i know the bwagala hosp turiani
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 3 күн бұрын
Njaa huna wastara wapendaa kujiliza tu
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 ай бұрын
Mnatafuta kupigwa na majambazi kwenda kuhoji watu usiku sehemu hata gari haifiki si ungeenda asubuhi au mchana
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 2 ай бұрын
Mbona nje ya nyumba ya wastara kuna magari itakuwa swaleh ametumia njia haipiti gari
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 2 ай бұрын
NGUVU ya MATAMSHI""tujifunze ni nini tunatamka kwenye vinywa vyetu maana MANENO YANAUMBA.hata wamama wengi tunapenda kuwambia watoto wetu mbwa,mjinga wewee kesho yake akiwa na tabia za hovyo tunashangaa kumbe zile tabia tuliziumba wenyewe.
@queenmilan2024
@queenmilan2024 2 ай бұрын
she is very educated and intelligent
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 2 ай бұрын
Very educated? Really? Where did you get that idea?
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq Ай бұрын
​@@Brunn-mh2bqhahahaaaaaah. Mwasutana sio hofwi😂
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 2 ай бұрын
Watu wanamacho jmn mpk boksa wameona😂😂
@zuhurakhasimu969
@zuhurakhasimu969 2 ай бұрын
Imetoboka nyuma au sijaona vzur 😂
@junioremmanuel1695
@junioremmanuel1695 2 ай бұрын
Hahahaha kama imetatuka
@Mzuri_002
@Mzuri_002 2 ай бұрын
Nimecheka😂😂😂
@NusraHozza-qp8yy
@NusraHozza-qp8yy 2 ай бұрын
Mtoto chiriku uyo Hadi Kero
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 ай бұрын
😂😂😂SHANGAHLA wa wastara😂😂😂jmn
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 2 ай бұрын
Unavituko eti shagala😃😃
@christinenere4696
@christinenere4696 2 ай бұрын
Sio kweli uliolewa ukiwa na miaka 18 kuwa mkweli bhana hivi kwanini mnapenda kurudisha umri nyuma au huku soma mpaka form four 4️⃣ uliishia la 6 au 7
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 2 ай бұрын
Huyu nikama aliishia la saba
@chimamilion
@chimamilion 2 ай бұрын
Ushawai skia au kuona akiongea au kuandika english😅
@batulialmass8914
@batulialmass8914 2 ай бұрын
Kasema ameishia lasaba
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 2 ай бұрын
Inawezekana mumewe alimsomesha jaman au alisoma q t.
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 2 ай бұрын
Boxa imetoboka mr shobizz😂😂😂
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 2 ай бұрын
Sijui hajaiyona ila wajifunze kuvaa milegezo mm sipendi hii tabia imemzalilishaa
@dayanandama8873
@dayanandama8873 2 ай бұрын
Camera man kasogeza camera haraka tucone vizur
@chany9950
@chany9950 2 ай бұрын
🤣🤣🤣 mbavu zangu jmn🤣
@ttss7716
@ttss7716 2 ай бұрын
Mbona kawaida bora ni safi 😂😂
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂nyie imebidi nirudishe nyuma nitizame😅😅😅umbea cwez kuuliza mie
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Dada amekazana kurekodi eti asije vitu vinaungua😂😂
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 2 ай бұрын
Mzembe tu hana lolote 😅
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 2 ай бұрын
Sa kwann ukoroge huo mchanganyiko wako kwa kidole 🤮🤮🤮🤮
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 ай бұрын
Unakula wewe au yeye
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 2 ай бұрын
@@aishaarusha894 umeulizwa ww yy au shobo tu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 ай бұрын
@@nancyfantasia1945 KOMA
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Ай бұрын
@@nancyfantasia1945 shobo ni wewe unayochunguza ya wezio mxiew
@user-kt1cf9yp3e
@user-kt1cf9yp3e 2 ай бұрын
Hapo amedanganya form 4 amesoma lini kwa umri huo?
@ashaashaa1959
@ashaashaa1959 2 ай бұрын
Sas ndugu yangu pembeni yuko anachukuwa zake video 😊😅😅😅😅
@user-do4md7jo6x
@user-do4md7jo6x 2 ай бұрын
Kisiri siri😂😂😂
@shufaa8921
@shufaa8921 2 ай бұрын
Mboa huyo kaka kainama nikaona box kama ime toboka😂
@anawiliam-eb4kb
@anawiliam-eb4kb 2 ай бұрын
Ata mimi kama nimeona😮😮😮😮😅😅
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Dada anarekodi tu😅😅
@ashazuber6548
@ashazuber6548 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅boss kapata
@chimamilion
@chimamilion 2 ай бұрын
Sema uyu mtangazaji mbona kilakipind yeye nimda wakula shida ipo wap🙄nauyo dda wakaz kz yke nn et mfyuui
@AalyahNassor
@AalyahNassor 2 ай бұрын
😅😅😅😅
@AalyahNassor
@AalyahNassor 2 ай бұрын
Huyo Dada wa kazi yupo bussy na simu hadi kichefuchefu
@ogdosho93
@ogdosho93 2 ай бұрын
Mzee boxa imetoboka io😀
@arafaomari1832
@arafaomari1832 2 ай бұрын
Ya nani
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 ай бұрын
Sema wtoto wakiarabu hawazehekiharakaharaka
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq Ай бұрын
Jmn miaka kumi na nne at umemaliza form four ni kwl hiyo
@catherinenenula7450
@catherinenenula7450 2 ай бұрын
Salehe ata ajanawa ye anabugia tu😂😂😂kweli anapenda kula
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Ndio vyo arivyo sio Mara yake yakwanza mbona ndomaana wanamsemaga mtandaoni kuwa anapenda Kura kwa ma staa
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 2 ай бұрын
😅😅
@namsamson3443
@namsamson3443 2 ай бұрын
Huyo msichana wake yuko kwenye simu mda wote mpaka anaudhi. Msaidie mama jikoni
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 ай бұрын
Wasichana wa kitanga na kirangi ndo zao kwenye kazi hawafai na hawadumu saa 24 simu mkononi wanachokiongea hakijulikani mpaka chungu kinaungua vyomvo vichafu vimejaa
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 2 ай бұрын
😅😅anatak aonekane
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 2 ай бұрын
Kwani umejuaje kuwa ni msichana wa kazi na sio ndugu yake?
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 ай бұрын
@@Brunn-mh2bq kwani km ni ndugu yake hafai kumsaidia?!
@AalyahNassor
@AalyahNassor 2 ай бұрын
Hadi kichefuchefu
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Dada anarekodi😅😅
@AalyahNassor
@AalyahNassor 2 ай бұрын
Muumbeya Huyo 😅
@ShadyLumango-zl5kd
@ShadyLumango-zl5kd 2 ай бұрын
Kipindi kizuri
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k 2 ай бұрын
Uyo ndo mtoto was sajukii uyo wakiume
@veronicahlusekelo5205
@veronicahlusekelo5205 2 ай бұрын
Kwani nmeona pekeangu au mi nna kiherehere😂
@Mzuri_002
@Mzuri_002 2 ай бұрын
Najua unachomaanisha😂😂
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 2 ай бұрын
😂😂😂 umbea nao kazi
@MamyHamso
@MamyHamso 2 ай бұрын
Nani kaona boxer ya salleh imetoboka😂😂😂😂😂😂😂
@pendombinga3584
@pendombinga3584 2 ай бұрын
Nimechaka sn jmn nchi ngumu hii mchawi bando leo salehe kapatikana😂😂
@mjsaidkeya
@mjsaidkeya 2 ай бұрын
Siwezi kosa hii
@Bquality
@Bquality 2 ай бұрын
kina kimtu kinaboa kina pitapita mpaka nmeacha kuangalia mana sikaelew au kaleft nn kwenye group la masela
@cleopatrajustine
@cleopatrajustine 2 ай бұрын
Anatumia nguvu sana kuonekana kwenye video.... nimechoka ule muda amerudi na chenji eti anachukua wallet aweke chenji kwenye wallet halafu anachukua kigoda anakaa😂😂😂😂😂😂... na huyo dada hiyo video anarekodi ya nini??? 🤣🤣🤣. big up Saleh and I missed this.
@ommyisihaka6017
@ommyisihaka6017 2 ай бұрын
kma nmeiona boksa ya salehe imeliwa na panya matakoni
@zuwenasaleh9613
@zuwenasaleh9613 2 ай бұрын
Walimwengu jamani 😂😂
@hadija_makange
@hadija_makange 2 ай бұрын
Sasahao wanao zunguka hapo kwann hawapishi kipindi bhna wanaboa
@Byokecandyrange
@Byokecandyrange 2 ай бұрын
Ila kihusu kula uko vzur
@oscanyakunga
@oscanyakunga 2 ай бұрын
Mtangazaji uwezi muonji mtu akiwa ashughuriki nakazi mbaka mmebanana
@wardaomar4828
@wardaomar4828 2 ай бұрын
hyu Dada yko bizze na cm mpka ameunguza anasingizia kaambiwa asije😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor 2 ай бұрын
Umbea una msumbua Huyo
@DeborahSamwel-on6kw
@DeborahSamwel-on6kw 2 ай бұрын
Boxer imetoboka salehe
@mwanamisiali5712
@mwanamisiali5712 2 ай бұрын
Mipia nimeona maskini
@esnathmdeda
@esnathmdeda 2 ай бұрын
😅😂yani salehe hatujapenda
@rayahamisi118
@rayahamisi118 2 ай бұрын
Were wawapi tunakuuluza weyee atumuulizi babu yako unaulizwa weyee weyee
@MohamedMkota
@MohamedMkota 2 ай бұрын
kijana unakiherehere ww km mtoto wa fulani
@batulialmass8914
@batulialmass8914 2 ай бұрын
Jamani miaka ya 1994 shule alikuwa anafauru mmoja au wawili
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 2 ай бұрын
Kabisa 😮
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 90 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН
SIONGEI NA ZAMARADI KABISA / WIVU / SITAKI TENA  -  IRENE PAUL
3:21
Wasafi Media
Рет қаралды 43 М.
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 252 М.
Слепой парень помог раскрыть тайну 😱
0:45
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 2,1 МЛН
And how are they not embarrassed?
0:19
Rinuella
Рет қаралды 21 МЛН
Попалась за конфету 🍭🙃
0:20
НЕБО - СПОРТ И РАЗВЛЕЧЕНИЯ
Рет қаралды 1,7 МЛН