EXCLUSIVE NA MTOTO ANTONY, YUPO DARASA LA 6, ANAONGEA KIINGEREZA "NITAKUWA MWALIMU"

  Рет қаралды 347,455

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 1 000
@user-gv1op1oh2c
@user-gv1op1oh2c 10 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏tunamuona magufuli wa miaka ijayo mungu azidi kumpa nguvu na maisha marefu Ameen ❤️❤️❤️❤️❤️
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
Mtangazaji pia unaupendo Sana, Unajitaidi kumfatilia Mungu akubariki Sana, Pia Anaye msomesha Mungu amzidi shie kipato🙏.
@godfreymillardayoripota3002
@godfreymillardayoripota3002 Жыл бұрын
Shukrani sana
@amour5535
@amour5535 Жыл бұрын
@@godfreymillardayoripota3002 hakika kaka mkubwa pia upo vzr
@godfreymillardayoripota3002
@godfreymillardayoripota3002 Жыл бұрын
@@amour5535 Nashukuru sana ndugu yangu 💪
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
Biashara hiyo hujui km inatangazwa shule hapo
@jehovajonas9284
@jehovajonas9284 Жыл бұрын
Nimependa habari zako broo huziachi hewani unafatilia mwanzo mwisho
@JOHARI-MEDIA
@JOHARI-MEDIA Жыл бұрын
Hongera sana Antony, Mwenyezi Mungu aendelee kukuneemesha, Ee Mungu Endelea kumbariki Huyu mfadhili uliyemuinulia Antony katika maisha yake.
@seasickamrty-yd3vs
@seasickamrty-yd3vs 11 ай бұрын
Aminaarabililala amina.
@lovnessmollel8552
@lovnessmollel8552 10 ай бұрын
Hongera sana musuya
@methodiakyelanga2545
@methodiakyelanga2545 10 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI, Mkurugenzi wa shule ndg Msuya! Kwa kumlea, kumtunza, kumsomesha! Hakika umeonyesha upendo wa YESU aliotuagiza ( Pendaneni km mimi nilivowapenda ninyi!) MUNGU AKUPE maisha marefu, Mtangazaji na Ayo tv, mtoto mwenyewe nyote kwa pamoja mbarikiwe! Amina.
@tausipaschel155
@tausipaschel155 Жыл бұрын
Baba unayemfadhili MUNGU wa Bwana wetu YESU KRISTO wa NAZARETI akuinue Sana sana
@christaoman8890
@christaoman8890 Жыл бұрын
Ameen
@saitawilson7307
@saitawilson7307 Жыл бұрын
Ameen
@hamisiharuna3099
@hamisiharuna3099 Жыл бұрын
Ndiye mmiliki wa shule anayosoma
@theopisterjovent3483
@theopisterjovent3483 Жыл бұрын
Ameen
@drrahaburubago6303
@drrahaburubago6303 Жыл бұрын
@@hamisiharuna3099 ndiyo na Mungu anamtendea kweli kweli, umesikia anasema alikuwa kwenye majengo ya kujipanga na sasa yupo kwenye majengo yake binafsi.
@sylvierlumbasio4226
@sylvierlumbasio4226 Жыл бұрын
ANTONY is growing, he's intelligent he will save the society big up Musuya
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Exactly
@mangikariakoo4297
@mangikariakoo4297 Жыл бұрын
Msuya is something ealse
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Жыл бұрын
Nilikuwa naisubiri hii interview, Hongera na ubarikiwe sana uliyejitolea kumsomesha huyo mtoto🙏
@rhodamwakaje778
@rhodamwakaje778 Жыл бұрын
Mwe Anthony amekua wanaogusa maisha yake mungu awabariki
@amanmalabi1898
@amanmalabi1898 Жыл бұрын
Hongera Sana mfadhiri wake lkn pia hongera zake kwa sababu anskutia moyo
@cleartzboy
@cleartzboy Жыл бұрын
Uyu baba mungu ampe ktu kikubwa sana chenye baraka
@elizabethkishosha3427
@elizabethkishosha3427 10 ай бұрын
Mr. Msuya ana moyo mkuu sana sana, yaani Aendelee na moyo wa kusaidia jamani, yani anamhudumia kama mwanae wa kumzaa, God bless you in all things you touch Mr Msuya
@furahiniyouthschools6022
@furahiniyouthschools6022 10 ай бұрын
Asante my dear
@lifecoachwithlina1879
@lifecoachwithlina1879 Жыл бұрын
Mr Msuya, Mungu akubariki sana kwa kumsaidia mtoto huyu.Mungu aukumbuke uzao wako na asikosekane wakukusaidia wakati wa uhitaji wako wewe pamoja na uzao wako.
@furahiniyouthschools6022
@furahiniyouthschools6022 Жыл бұрын
AMEN. ASANTE NIMEPOKEA
@allydugovisima3120
@allydugovisima3120 10 ай бұрын
Amiiina 🤲
@calfiolahblack1892
@calfiolahblack1892 Жыл бұрын
Waalimu wa huyu mtoto wanajitahid sana. This school is doing a great job
@georgegama8379
@georgegama8379 Жыл бұрын
Hakika
@TheopistaMuheta-qp1bc
@TheopistaMuheta-qp1bc 3 ай бұрын
Balikiwa sana mtoa sapoti kwa Antony
@tulisamwel41
@tulisamwel41 Жыл бұрын
Huyu mtoto yuko vizuri sana. Yuko mature sana.Hongera sana ndugu Msuya kwa moyo wako wa huruma. Yaani bila wewe tungempoteza huyu mtoto. Ni potential. Mungu akubariki sana. Tungepara watu kama wewe pengine watoto wengi wasingepotea.Mungu aendelee kukutunza.
@enockmwambepo
@enockmwambepo Жыл бұрын
Naomba like za Mtumishi wa Mungu Msuya
@budhbd5208
@budhbd5208 Жыл бұрын
Baba isack ni Mungu tu atakulipa kwa hili ulo mtendea huyu mtoto
@samsonkitainge8268
@samsonkitainge8268 Жыл бұрын
Highly appreciated to MR MSUYA and very big up to Anthony may God fulfill your dreams young man..
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Msuya MUNGU Akubariki Sana na wote wanaonyesha Nia njema
@neemamakubi7141
@neemamakubi7141 7 ай бұрын
Mungu aendelee kumtia nguvu mtoto Antoni na pia Mungu aendelee kumtia nguvu mfadhili
@ernestonesmo405
@ernestonesmo405 Жыл бұрын
Hiii ndo shulee yakupeleka watoto aseee Yani Antony wakusahau Hadi kiswahili Yani unamuona maneno mengine anashindwa kuyafafanua kwa kiswahili mpk atumie kingereza hiii ni Big up Sanaa alafu shule ipo kwenye wilaya yanguu daaah
@lameckjeremiah5597
@lameckjeremiah5597 Жыл бұрын
Kwa kila dua mwenyezi mungu akutangulie Mr Antony pia amtangulie na amzidishie zaid mfadhili wako.
@salmambwana8764
@salmambwana8764 Жыл бұрын
Daaaah.... Yani mtoto hajui kiswahili Safi sana. Anajitahudi kuongea kiswahili lakin automatically Kati kati ya mazungumzo anajikuta anagonga yai... Kazi nzur sana. God bless a boy with his sponsor
@redmioman4371
@redmioman4371 Жыл бұрын
MashaAllah mtoto amekuwa mfadhili mungu akubariki baba
@aisharashid3145
@aisharashid3145 9 ай бұрын
Mungu ambriki huyu mzamini na ampamnanie huyu mtoto ana uwezo mkubwa sana🥰
@saidchombo5952
@saidchombo5952 Жыл бұрын
Daah, aisee,! Hii nzuri sana. Hongera kijana Mungu akujalie, na huyu mfadhili Mungu atakulipa wema wako
@johnkyara8655
@johnkyara8655 Жыл бұрын
Huyu jamaa wa shule mungu akubariki sana sana 🎉🎉🎉❤❤❤❤
@perpetuaishika2574
@perpetuaishika2574 Жыл бұрын
Mr. Isaac Msuya, Mungu akutunze sana wewe na wa nyumbani kwako. Asikupungukie kabisa😢
@jacksonwilson5772
@jacksonwilson5772 Жыл бұрын
Yaaani naiona roho ya uongozi ndani na huyu mtoto. Naiona roho ya utumishi. I see the bright future ya kijana huyu. Mungu amshike mkono azidi kupenya zaid na zaid.
@priscillahmbugua3520
@priscillahmbugua3520 10 ай бұрын
He will be a great man
@jacksonwilson5772
@jacksonwilson5772 10 ай бұрын
@@priscillahmbugua3520 yeah actually yes.
@husnaameen9309
@husnaameen9309 Жыл бұрын
Mungu atakulipa wewe baba na waliyo mrusha Antony kwani walikuwa na nia ya kumsaidia mungu nae akaitika kika penye njia Pana njia "hii shule inaonyesha Iko vizuri sana Kwa tulivyo muona Antony na Sasa hivi tofauti kabisa kiakili na maadili pia Asante baba Kwa msaada wako
@exaverykalinga1487
@exaverykalinga1487 Жыл бұрын
MR AIZACK MSUYA utalipwa na MUNGU hiyo ndo sadaka ya kweli au matendo ya huruma imenitoa machozi big up.ayo tv hizi ndo habari tunazotaka kuzisikia.
@user-qz9lw3op4u
@user-qz9lw3op4u Жыл бұрын
Mwl msuya Mungu wa Mbinguni akubariki sana maana mtoto huyo nilimfatilia sana wakati anarumbana sana na baba yake kwamba asiuze shamba alivyokuwa anafanana, kweli Mungu akitaka kukuinua anakutoa mbali. Anthony atafika mbali sana kielimu Mungu azidi kutembea naye.
@keiferuz4869
@keiferuz4869 Жыл бұрын
Asante mungu nimeona ukuu wako kwa huyu mtoto
@hildahnalias8005
@hildahnalias8005 10 ай бұрын
Ukweli hata Mimi Nina shuhudu kuona vile Antony anaendelea
@dorothyannan8184
@dorothyannan8184 Жыл бұрын
Hio Amani Hills hata mimi nikiwa na mtoto nitatamani asome hapo. Mwenye shule ni mlezi mzuri saaana. God bless.
@furahiniyouthschools6022
@furahiniyouthschools6022 Жыл бұрын
Karibu sana Doroth.
@fettymnzava6014
@fettymnzava6014 Жыл бұрын
Wapo vzri lol hutokaa ujute kumpeleka mwanao
@coolwaveac7659
@coolwaveac7659 Жыл бұрын
Hakika Mungu ni Mwema Mungu azidi kuwabariki nyote mlio mfadhili mtoto Antony ❤
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana msuya mungu akupe liziki usiku na mchana. Msuya unaroho nzuri sana .
@raheljonasmbeyale2029
@raheljonasmbeyale2029 Ай бұрын
Nimefurahi Sana kuona mtoto huyu alisaidiwa na anaendelea vizuri! Blessings Kwa wale wote waliohusika afike hapa wakiwapi team ya Millard Ayo🎉
@Auntieminah
@Auntieminah Жыл бұрын
Jaman Jaman huyu mtoto wow! Mwenyezi Mungu amtimizie ndoto zake Inshallah! Tunaomba Millard atoe mchango wake kwenye Maisha ya huyu mtoto jaman soo clever❤
@nesielias9493
@nesielias9493 Жыл бұрын
Wewe baba Mungu akutunze wewe na uzapo wako, jamani kwa wazazi wa mkoa iliyopo shule Hii wapelekeni watoto hapo, naona huyu baba ana moyo wa kusaidia jamii yake
@zaitunifamao7777
@zaitunifamao7777 Жыл бұрын
Wow..I follow this story from the beginning..im really proud of him.. bravo AYO
@bennamush4616
@bennamush4616 Жыл бұрын
Kweli pesa za huyo baba kumsomesha dogo hazipotea mtoto ana kichwa Sana Mungu akubariki baba etu kujitolea
@florahmushi748
@florahmushi748 Жыл бұрын
Ndo ujue umaskini unaua Ndoto na vipaji vya watoto wengi sana
@bernardmkuffya5171
@bernardmkuffya5171 Жыл бұрын
I have known him since he virally trended at that time.Its amazing, he got a lot of changes so far and the most beautiful part, he can speak good english as well.May God use him accordingly!
@judithvicenty3410
@judithvicenty3410 Жыл бұрын
sauti ya uongozi kabisa dogo Mungu akupambanie.
@florahmushi748
@florahmushi748 Жыл бұрын
Kbs yani
@stevenhinjo9664
@stevenhinjo9664 Жыл бұрын
Mchungaji
@zelinatelemla4535
@zelinatelemla4535 Жыл бұрын
Hongera Sana mwalim uliye jitolea kumsaidia Anton
@mwananassor8602
@mwananassor8602 Жыл бұрын
Mungu akujaalie sana unayemsomeshà huyo kijana mungu atàkulipa wewe na kizazi chako. Maana huo ndiyo ubinadamu na uzalendo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@joycesanga4378
@joycesanga4378 Жыл бұрын
Ubarikiwe unayemsomesha huyo mtoto
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Hongera Kwa kumuombea mema na wewe Mungu Akubariki Sanaa
@mwananassor8602
@mwananassor8602 Жыл бұрын
@@faza4023 Amen
@honekisebwa226
@honekisebwa226 Жыл бұрын
Amina
@hildahnalias8005
@hildahnalias8005 10 ай бұрын
Hongera sana bwana Msuya kwa kujitolea kusaidia Antony. Mungu wa mbinguni akuinue zaidi
@edenilyimoedenilyimo-we6dg
@edenilyimoedenilyimo-we6dg Жыл бұрын
Mungu amlinde anaemsomesha ampe miaka mingi
@jacklinenoballa8946
@jacklinenoballa8946 Жыл бұрын
Wow wow Amen Amen mungu ni mwema ninapo ona huyu kijana amekuwa kijana wakati ule alikuwa mfogo 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@glorysungura3180
@glorysungura3180 Жыл бұрын
Mr Msuya MUNGU akubariki sana, upendo ulionao ni upendo wa agape. MUNGU atakulipa usipo zimia moyo. Hakika wewe ni mwema sana , umemuinua masikini kutoka chini na umempeleka kwenye mwanga. Ni wachache sana, wenye moyo kama wako. Ubarikiwe sana kiroho na kimwili, MUNGU ailinde familia yako, akufanye kichwa, usiwe mkia. Baraka za YESU ziwe ndani yako. Amen
@furahiniyouthschools6022
@furahiniyouthschools6022 Жыл бұрын
Glory Sungura....asante nimepokea.
@thadeusmahendeka4466
@thadeusmahendeka4466 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ambariki sana Mr. Msuya kwa kujitoa kwake kwa Mtoto Anthony.
@omushaijaentare9351
@omushaijaentare9351 Жыл бұрын
Anthony kapiga hatua Hongera Sana Msuya
@lulually5209
@lulually5209 Жыл бұрын
Watangazaji Millard ayo wako vizuri wakihoji wametulia wako makini sana bigup 👍 sana nawapenda sana
@christinachande2260
@christinachande2260 Жыл бұрын
Katoboa uyu dogo mungu azidishe baraka kwa Mr msuya❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️nimeipenda iyo lugha ya watu
@agathamwankenjela5685
@agathamwankenjela5685 Жыл бұрын
Mungu katenda makuu mno mno,Mungu akutunze Antony,na Msuya Mungu akutunze kila iitwapo leo
@rkyaruzi
@rkyaruzi Жыл бұрын
Mtumishi Isack ubarikiwe sana. Mungu ainue taasisi yako na kukufanikisha zaidi kupitia sadaka yako hii
@furahiniyouthschools6022
@furahiniyouthschools6022 Жыл бұрын
Aminaa....asante Man of God. Nimepokea dua yako kwa unyenyekevu
@neemajoseph7146
@neemajoseph7146 Жыл бұрын
Mfazili MUNGU akupe maisha malefu afya nauzima vikatawale kwako MUNGU afungue balaka kwenye familia yako 🙏
@SentishaKabz
@SentishaKabz Ай бұрын
May the almighty God bless you sir for sending him to school, Tanzania will celebrate this boy 🎉🎉🎉❤
@habarugirajeanmarieviann-qe4uf
@habarugirajeanmarieviann-qe4uf 2 ай бұрын
Wa Tanzania mna myoyo mzuri ya kusaidiana,mungu awabaliki,❤❤❤❤❤
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 Жыл бұрын
Mungu akutimizie hitaji la moyo wako mtoto Anthony Amen 🙏
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mashaa allah nakupenda Antoni wangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu ni mwema nakupenda saana Mdg wetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ allah kareem ❤
@fayeezabdallah2217
@fayeezabdallah2217 Жыл бұрын
sahihi Allah kareem kbc na mim nakupnd saaaan wew
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
❤❤what a lovely boy, stay blessed msuya
@rosemarymwakitwange6257
@rosemarymwakitwange6257 Жыл бұрын
Kwa hili la Anthony Mtangazaji nakupa big up
@sekietetv7131
@sekietetv7131 Жыл бұрын
This interview has made me cry , Rare to watch something and be touched like this , May the hand of god bless you in each and every of your needs
@rerisamba
@rerisamba Жыл бұрын
God
@teddymassawe3583
@teddymassawe3583 Жыл бұрын
Hongera sana baba Msuya,hakika ada yako inaenda vizuri,Mungu akubariki sana baba Msuya
@JOHNMAGOMA-lt1rh
@JOHNMAGOMA-lt1rh Жыл бұрын
Kaka Isaac msuya hongera sana Bwana akubariki (Huo ndo ucha mungu wa kweli)
@user-cr2fv6mp9e
@user-cr2fv6mp9e 5 ай бұрын
Mungu akubariki mnooo mpaka ushangae mlezi wa huyu mtoto. Natamani mwanangu aje kusomanm hapo
@saidnamkumbe5276
@saidnamkumbe5276 11 ай бұрын
Ni muda nimsikie Anton kwenye vyombo habari .napenda kuwashukuru wote walohusika kumuendeleza Anton mungu awajalie
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Ooooooh 😭😭😭😭😭😭😭SO AMAZING GOD IS ALIVE
@drisayaambulatoryvetclinic1514
@drisayaambulatoryvetclinic1514 Жыл бұрын
Aisee mungu akubariki sanaa mfadhiri wa huyo kijana tunajua kuna watu wana pesa kukuzidi ila hawana moyo kama wako kusaidia wengine
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын
Maashallah maashallah amekuwa mwenyezi mungu amjalie kila lakheli yaarabi ameen
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Жыл бұрын
millad Ayo Mungu akupe maisha marefu umewekeza kwa huyu mtoto hazina yako iko hujasahaulika kwa muumba wetu lakin pia Nina historia yangu nataka kushare na watanzania ningefurah unihoji japo kwa nusu saa TU kijana wangu tafadhali
@anthonynyakunga6270
@anthonynyakunga6270 10 ай бұрын
Daah hongera sana somo wangu ANTHONY Mungu katenda maajabu yake pia hongereni walimu na ww mwandishi wa habari hizi mnatumia Kalama zenu zilizotumika daaah kama ndoto ANTHONY kuongea ung'eng'e Mungu zaidi kuwasimamia.
@husseiniddy5401
@husseiniddy5401 10 ай бұрын
hongera sana mr msuya hapo ulipoongea kuhusu kuingiza somo la kichina umeona mbali
@onesmokihanza8473
@onesmokihanza8473 Жыл бұрын
Dogo anajua kuwa anasaidiwa, that's great.
@Bikhafija
@Bikhafija 11 ай бұрын
Mashaalah
@goodluckulimboka8117
@goodluckulimboka8117 Жыл бұрын
With this content I keep on holding a view tha Ayo Tv remains to be the best of all KZbin channels. Keep going Millard Ayo!!
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Huyu mtoto ndio walee wanakuaga kama raisi magufuli baadae akijaaliwa kuwa kiongozi wa nchi uwa wazalendo na kuleta maendeleo pia nchi ikaendelea kwa kasi kiuchumi yaan kama alivyokuwa hayati magufuli na zaidi wanakuaga wachache sana binaadamu wa jamii hii god bless antony
@eileenmanda8775
@eileenmanda8775 Жыл бұрын
Kweli kabisa na hawapendi makuu hata yey ataka awe teacher tuu yaan anatamani kusaidia wengine sio tamaa ya pesa
@estherlemburismollel5901
@estherlemburismollel5901 10 ай бұрын
Mr Msuya una kiti chako kwenye ufalme wa Mungu, uinuliwe zaidi. Antony keep it high son😊
@calfiolahblack1892
@calfiolahblack1892 Жыл бұрын
Woooooooow im so proud of this young Man.
@KobeloValeli
@KobeloValeli Жыл бұрын
Ppp
@danielmbalwa9307
@danielmbalwa9307 Жыл бұрын
Munguu mkubwaa hakikaa yeye ndiyee muwezaaa na anakujaa safari ya maishaa ya kila mtuu!!Hongeraa sana shulee iliyomfadhilii.
@munic6686
@munic6686 Жыл бұрын
Safi ameongeza maarifa, pongez kwa walimu na mfadhili mnafanya kazi ya mitume,God bless you
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 Жыл бұрын
Masha'allah Tabarakallah Mwenyeez Mungu atazidi kumfungulia Antony Insha'allah awe na ufaham mara dufu, na mfadhili wake Mwenyeez Mungu amzidishie aweze kufadhili watoto kama hawa na mungu amfungulie kila la kheri insha'allah
@carolinerubeya7817
@carolinerubeya7817 Жыл бұрын
Congratulations boy,and you Mr Msuya be blessed 🙌 🙏
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 Жыл бұрын
Anaakili sana uyo mtoto mwenywezi Mungu amsimamie 🙌
@furatapetro7522
@furatapetro7522 Жыл бұрын
Wow hongera sn mtt mzuri … Wasimamizi wake wamusihi sana Asimuache Mungu
@user-gt1so2ew9y
@user-gt1so2ew9y 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ nmefurahi sanaaa mungu akulinde usome kwa bidii sanaa
@fatumakassim64
@fatumakassim64 Жыл бұрын
Wallah adi machozi yanitoka cjui kwann ila mungu akubariki mfaziri wake 😢😢
@giftloningo3245
@giftloningo3245 Жыл бұрын
Second version Magufulii in the near future, we pray for you my little brother, keep it up kaka mdgo u will make it zimekudizii level ila ana confidence kuliko mim🤔🤔🤔🤔
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 Жыл бұрын
Amina
@christinamselle4490
@christinamselle4490 Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana Msuya pamoja huyo mtangazaji, Mr. Msuya wewe ni tunu ya taifa hili, binafusi nakushukuru sana kwa huruma yako kwa wahitaji. Barikiwa sana
@amanibonus3141
@amanibonus3141 Жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote kwa kijana Huyu Mwenyez Mungu azid kumbariki mfadhili wake
@saitawilson7307
@saitawilson7307 Жыл бұрын
Msuya nikikumbuka ulikomtoa huyu mtoto mpaka kufika hapoo ,, machozi yananitoka😭😭..ubarikiwe mnooo😭😭
@furahiniyouthschools6022
@furahiniyouthschools6022 Жыл бұрын
Asante kaka
@HellenKerubo-mo9vh
@HellenKerubo-mo9vh Жыл бұрын
Thank you Jesus thanks for the man who is thanking care of child Antony be blessed I'm following from Kenya
@furahiniyouthschools6022
@furahiniyouthschools6022 Жыл бұрын
@@HellenKerubo-mo9vh Thanks Hellen for following the young man story. Stay blessed dear
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Mashallah, amekua mkubwa na yuko vizuri, " *Godfrey Thomas* usingekuwa wewe tungeshamsahau Anthony, Mashallah uko vizuri bro 🙏
@godfreymillardayoripota3002
@godfreymillardayoripota3002 Жыл бұрын
Asante sana
@esthermwikali5403
@esthermwikali5403 Жыл бұрын
Mwenye kusomesha mungu akusidishie baraka tele baka ukose kwakuweka sio kaida barikiwa baka ushagae
@skolasticamchanyambi-uu2hp
@skolasticamchanyambi-uu2hp Жыл бұрын
Keep it up mr MSUYA MUNGU akubariki zaidi mshike sana huyo kijana wako
@SophiaAthumani-ri4lu
@SophiaAthumani-ri4lu Жыл бұрын
Dah mtoto mzuri sana anajielewa Mungu amtangulie malengo yake yatimie.
@flaviacharles1348
@flaviacharles1348 10 ай бұрын
Hongera sana mtangazaji kwa kutujuza maendeleo ya Anthony; Hongera sana mwalimu Msuya kwa kumsaidia mtoto huyo, Mungu akubariki mpaka ushangae! Huduma yako ni njema sana, long live.
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Mashaallah mtoto antony amekua na nafurahi kuona anajitahidi kusoma Allah amlinde siku zote
@MrsgloryPacian-yl2qr
@MrsgloryPacian-yl2qr Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kumpa baraka Mr Isack kwa upendo alio uonyesha kwahuyu mtt.wapo wengi wenye uwezo namali nyingi lakini hata kusaidia ndugu hawezi.huu nizaidi ya upendo ❤️.
@rahmasiraji1867
@rahmasiraji1867 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana kaka Msuya,hii roho wanayo wachache. Antony Mungu azidi kukupigania mtoto mzuri
@ajirathabdulnoor4832
@ajirathabdulnoor4832 Жыл бұрын
Be blessed Mr Msuya
@user-hc7vi8tw4y
@user-hc7vi8tw4y 10 ай бұрын
hongela sanaaaa Antony jishilikilie ulipo shikwa ng'ang'ania
@ameria2332
@ameria2332 9 ай бұрын
Asante MUNGU,asante mfadhiri,asante hayo tv na asante mtoto Antony kwa kuwapa kipaumbele viongozi wako mbarikiwe sana Mwenyezi MUNGU awatunze daima.
@neemareuben311
@neemareuben311 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤nimefurahi sana jmn uwiii nyie mungu ni mwaminifu
@rhobywerema6996
@rhobywerema6996 Жыл бұрын
Shukrani kwa mungu,wewe baba mungu akulinde milele
@ameria2332
@ameria2332 Жыл бұрын
Ahsanteni ,mtangazaji pamoja na baba msuya Mungu awabariki mno🙏🙏🙏🙏🙏
@stevenkajubili
@stevenkajubili 5 ай бұрын
Mungu akubariki Sana uliejitoa na kumfadhili huyu mtoto anton
@kiumbekiumbe4711
@kiumbekiumbe4711 Жыл бұрын
This kid is brilliant ❤️💯
@leahgithua6728
@leahgithua6728 Жыл бұрын
Wow am happy to see Antony he is continuing doing good a handsome boy keep it up Antony kudos 👏Antony you can now speak English all the best
@faustinamusa8357
@faustinamusa8357 Жыл бұрын
Hakuna jambo gumu kwa Mungu ,, asante kwa ajili ya kumtumia Mr msuya kutimiza mapenzi uliyoweka ndani ya kijana antoni,,,asante Mungu
@tabrishacheonger1110
@tabrishacheonger1110 Жыл бұрын
Not only english as well as francais keep it baby boy
@gsgsgsghshsgsgs6123
@gsgsgsghshsgsgs6123 Жыл бұрын
Mungu akulinde mfazili wa andoni akuongezee miaka mingi duniani hakupe hekima kama hivyo navyo
@furahiniyouthschools6022
@furahiniyouthschools6022 Жыл бұрын
AMEN.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 58 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 468 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /21/ #love
25:05
BabaJoan
Рет қаралды 29 М.
MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024 MBULU TC
30:08
Manyara RS TV
Рет қаралды 722