Kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya makonda hakua na haki huyu mama ila kwasasa baada ya makonda anahaki. Huu ni udhaifu mkubwa wa baadhi ya watumishi Katika wizara ya ardhi.
@ElitulizaMinja24 күн бұрын
Mzee makonda anapita mule mule kwa mwendazake matunda yake hakika mungu akulinde kwa mema unayoyatenda
@BensonMazinga24 күн бұрын
Mm nipo Malawi ila namkubal sana uyu jama
@frankaron78325 күн бұрын
Hujaamua tu kugombea uraisi lkn ukigombea mpaka chadema watakupigia kura maana katikati ya hao unaowasaidia nawao wamo mkuu. Mungu akubariki mnooooooooo
@sportsnewjs433025 күн бұрын
Nijambo zuri sana ukiwa kiongozi wa wananchi ukawa mtenda haki maama huo niuzalendo katika Nchi yako, na MUNGU atakubariki sana Hapo Makonda umewajibika vizuri sana'👏👏👏
@user-zf2hh4zq2j24 күн бұрын
Rais wetu nakupenda sana makonda
@songeza25 күн бұрын
Makonda we akili ulipata wapi ya majibu ya papo Kwa papo hongera mwanangu dah Mungu akuzidishie
@TatuRajabu-cz6jz16 күн бұрын
Kama magufuli jamanii
@user-ew7xd1xu3s7 күн бұрын
Aluomba hekima
@user-ve1rr3gz5d25 күн бұрын
Jaman mungu amusimie huyu kiongoz wasimuue
@DafiMohamed-dz8xk26 күн бұрын
Piga spana makonda wewe ndio una viatu vya magufuli..mkubwa mungu akulinde
@user-nn3xt4rj3x24 күн бұрын
Allah akuongoze
@sifueliduwe598224 күн бұрын
Kaka Makonda Mungu akubariki akupe hekima kama Sulemani asante
@elishakimariyo498325 күн бұрын
Baba wa taifa nakupenda sana makonda
@RoseTimilai24 күн бұрын
Ubarikiwe
@edrisalusonge414123 күн бұрын
Mm nampenda sana saaaaaana makonda mama umewapendelea sana kuwapa mkuu wa mkoa sahihi vip hawa wengine
@AishayoutubeMoosa-zn1co25 күн бұрын
Jaman Makonda hongera sanaa sanaa sanaa
@chakuboyofficial972025 күн бұрын
Nime penda sanaa tupate wengine watatu wahivi 😍😍😍
@user-bf1jd9nl3v25 күн бұрын
Makonda nakubali sana kumbe hata pale Dar ulikuwa hubahatishi,ndio nimeamin Leo uongoz upo ndani ya damu.
@myk651924 күн бұрын
Very sober and critical questions from RC
@user-sd5zf6fz4v25 күн бұрын
Mungu akusaidie makonda❤
@stanslauslugendo3126 күн бұрын
Paulo bhana!🌹🌹🌹 Mungu aendelee kukutunza!
@RebeccaMuhimba-be1pj21 күн бұрын
baba mi nitakupa kura omba urais
@user-vp2ux1ji4m25 күн бұрын
Ee hii sasa ni 2024 makonda mungu we nawe siku zote
@shakilamasoud298325 күн бұрын
Mdudu katambaa na Makonda hadi Karatu😢
@nathanfrancisondieki658616 күн бұрын
Makonda for next president of Tanzania
@mohamedmngoya-lk3np22 күн бұрын
Hongera mkuu wa mkoa Paulo makonda.piga KAZI.
@TUKUSUMAKASAMBO23 күн бұрын
Mungu akusaidie sijawah kukoment Ila wew baba unafaa na unahofu na unyenyekevu wa mungu
@piusmdoe320024 күн бұрын
Mmoja kati ya waliokuwa wanababatiza kuamini utendaji wako,lakini kwa hapo Ar,wewe ni chuma.Go on bro.
@nathanfrancisondieki658622 күн бұрын
Good speech Hon makonda
@antonbkatembo502925 күн бұрын
Awe kiongozi wa Wakuu wote wa mikoa Nchi itaheshamika mnoo