WEWE KIJANA UMEMDANGANYA RC MAKONDA TAFUTA KAZI YA KUFANYA MWENZAKO NISHA MUACHISHA KAZI

  Рет қаралды 144,750

Adil TV

Adil TV

27 күн бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 226
@user-it1bo7rs9v
@user-it1bo7rs9v 20 күн бұрын
Magufuli amekuja kwa muundo wa makonda glory be to God ❤
@japhetfisha6299
@japhetfisha6299 25 күн бұрын
Makonda ni kichwa. Critical Thinker, questioning skills, composure, thoroughness 100%. Mungu akulinde Mh. Paul Christian Makonda
@baloz8974
@baloz8974 23 күн бұрын
That's call leadership
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo 23 күн бұрын
Chapa kazi mheshimiwa makonda mungu akulinde
@user-ql7to3rm3p
@user-ql7to3rm3p 19 күн бұрын
Mimi ni mkenya lakini napenda Tanzania vile Viongozi wanafanyia Raiya❤❤
@user-jm6dr3hd1y
@user-jm6dr3hd1y 25 күн бұрын
Niseme ukweri Mimi sikuwahi kumuanga mkono makonda lakini kuazis Sasa Mimi nimekuelewa mungu akuongezee maisha marefu kaka etu Asante makonda
@MalikioryBajuta-pb9ym
@MalikioryBajuta-pb9ym 23 күн бұрын
Uk vzr piga kaz
@songeza
@songeza 25 күн бұрын
Yaani kweli kabsa anatakiwa kuwa Rais wa Nchi hii Mungu amlinde ampe maisha marefu
@ramadhanihot1945
@ramadhanihot1945 24 күн бұрын
Hivi uyu makonda kwanini asiwehee RAISI TU mbona anatufahaa kabisa kuwa raisi wetu magufuli kila kitu uyuu jamaa
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 16 күн бұрын
Umeona
@babarungurallyteam2754
@babarungurallyteam2754 24 күн бұрын
Kakayangu MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPE UMRI MKUBWA 🙏🇹🇿
@shahidalialibhai794
@shahidalialibhai794 23 күн бұрын
Mungu akujalie mh makonda
@greenermichael2057
@greenermichael2057 24 күн бұрын
Asante Mungu umeturudishia Magufuli wetu
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 24 күн бұрын
Tz Tz roho ya Magu.imemuingia.makonda.tumuombeeee.
@ramamtangi7776
@ramamtangi7776 24 күн бұрын
Mungu amtangulie Makonda mtetezi wa wanyonge
@rosesilio9008
@rosesilio9008 25 күн бұрын
Huyu makonda agombee uraisi tumchagueni jamani mbona anatutetea sana watu wa hali ya chini 🙏
@TatuRajabu-cz6jz
@TatuRajabu-cz6jz 16 күн бұрын
Anafanya Kaz,lakni tatzo huwa kunakiwaga na shida,chema huwa kinalindwa Kwa njia nyingi,mtihani
@greenermichael2057
@greenermichael2057 24 күн бұрын
Ooooh magufuli wenu kakufa ,kwan hamumuoni si huyu hapa ❤❤❤❤
@wycliffeombogo8953
@wycliffeombogo8953 13 күн бұрын
Wewe makonda anafaa kua rahizi wa mungano wa TZ umalishe kazi ya pombe magafuli
@mathewlive1372
@mathewlive1372 25 күн бұрын
Makonda upo vizuri. Mim nakukubal mwanzo mwisho.
@strongwomanwithnoregret8234
@strongwomanwithnoregret8234 24 күн бұрын
Nampenda makonda ako kama makufuli
@user-xm5xg1tt6d
@user-xm5xg1tt6d 25 күн бұрын
Kuna siku makonda atakua raisi wa nchi hii allah amuweke ampe maisha marefu inshaallah
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 25 күн бұрын
Bora kuliko Punguani Tundu Lisu alishaolewa Belgium ila bado Talaka yake hakuweka Sahihi
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 24 күн бұрын
​@@machintangachibwena5922Yani umenichekesha atar kwel uyu lisu sinawah kumpenda namchukia atari
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 24 күн бұрын
Na iwe kama ulivyosema
@JimmyCosmas-cl2kh
@JimmyCosmas-cl2kh 24 күн бұрын
Mungu akulinde bro kipenz chaaa watanzania
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 25 күн бұрын
Kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya makonda hakua na haki huyu mama ila kwasasa baada ya makonda anahaki. Huu ni udhaifu mkubwa wa baadhi ya watumishi Katika wizara ya ardhi.
@ElitulizaMinja
@ElitulizaMinja 24 күн бұрын
Mzee makonda anapita mule mule kwa mwendazake matunda yake hakika mungu akulinde kwa mema unayoyatenda
@BensonMazinga
@BensonMazinga 24 күн бұрын
Mm nipo Malawi ila namkubal sana uyu jama
@frankaron783
@frankaron783 25 күн бұрын
Hujaamua tu kugombea uraisi lkn ukigombea mpaka chadema watakupigia kura maana katikati ya hao unaowasaidia nawao wamo mkuu. Mungu akubariki mnooooooooo
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 25 күн бұрын
Nijambo zuri sana ukiwa kiongozi wa wananchi ukawa mtenda haki maama huo niuzalendo katika Nchi yako, na MUNGU atakubariki sana Hapo Makonda umewajibika vizuri sana'👏👏👏
@user-zf2hh4zq2j
@user-zf2hh4zq2j 24 күн бұрын
Rais wetu nakupenda sana makonda
@songeza
@songeza 25 күн бұрын
Makonda we akili ulipata wapi ya majibu ya papo Kwa papo hongera mwanangu dah Mungu akuzidishie
@TatuRajabu-cz6jz
@TatuRajabu-cz6jz 16 күн бұрын
Kama magufuli jamanii
@user-ew7xd1xu3s
@user-ew7xd1xu3s 7 күн бұрын
Aluomba hekima
@user-ve1rr3gz5d
@user-ve1rr3gz5d 25 күн бұрын
Jaman mungu amusimie huyu kiongoz wasimuue
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 26 күн бұрын
Piga spana makonda wewe ndio una viatu vya magufuli..mkubwa mungu akulinde
@user-nn3xt4rj3x
@user-nn3xt4rj3x 24 күн бұрын
Allah akuongoze
@sifueliduwe5982
@sifueliduwe5982 24 күн бұрын
Kaka Makonda Mungu akubariki akupe hekima kama Sulemani asante
@elishakimariyo4983
@elishakimariyo4983 25 күн бұрын
Baba wa taifa nakupenda sana makonda
@RoseTimilai
@RoseTimilai 24 күн бұрын
Ubarikiwe
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 23 күн бұрын
Mm nampenda sana saaaaaana makonda mama umewapendelea sana kuwapa mkuu wa mkoa sahihi vip hawa wengine
@AishayoutubeMoosa-zn1co
@AishayoutubeMoosa-zn1co 25 күн бұрын
Jaman Makonda hongera sanaa sanaa sanaa
@chakuboyofficial9720
@chakuboyofficial9720 25 күн бұрын
Nime penda sanaa tupate wengine watatu wahivi 😍😍😍
@user-bf1jd9nl3v
@user-bf1jd9nl3v 25 күн бұрын
Makonda nakubali sana kumbe hata pale Dar ulikuwa hubahatishi,ndio nimeamin Leo uongoz upo ndani ya damu.
@myk6519
@myk6519 24 күн бұрын
Very sober and critical questions from RC
@user-sd5zf6fz4v
@user-sd5zf6fz4v 25 күн бұрын
Mungu akusaidie makonda❤
@stanslauslugendo31
@stanslauslugendo31 26 күн бұрын
Paulo bhana!🌹🌹🌹 Mungu aendelee kukutunza!
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj 21 күн бұрын
baba mi nitakupa kura omba urais
@user-vp2ux1ji4m
@user-vp2ux1ji4m 25 күн бұрын
Ee hii sasa ni 2024 makonda mungu we nawe siku zote
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 25 күн бұрын
Mdudu katambaa na Makonda hadi Karatu😢
@nathanfrancisondieki6586
@nathanfrancisondieki6586 16 күн бұрын
Makonda for next president of Tanzania
@mohamedmngoya-lk3np
@mohamedmngoya-lk3np 22 күн бұрын
Hongera mkuu wa mkoa Paulo makonda.piga KAZI.
@TUKUSUMAKASAMBO
@TUKUSUMAKASAMBO 23 күн бұрын
Mungu akusaidie sijawah kukoment Ila wew baba unafaa na unahofu na unyenyekevu wa mungu
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 24 күн бұрын
Mmoja kati ya waliokuwa wanababatiza kuamini utendaji wako,lakini kwa hapo Ar,wewe ni chuma.Go on bro.
@nathanfrancisondieki6586
@nathanfrancisondieki6586 22 күн бұрын
Good speech Hon makonda
@antonbkatembo5029
@antonbkatembo5029 25 күн бұрын
Awe kiongozi wa Wakuu wote wa mikoa Nchi itaheshamika mnoo
@mussaharun7257
@mussaharun7257 19 күн бұрын
Waziri Tamisemi
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 24 күн бұрын
Asiwepo wakusimama mbele.ya makonda awasaidie watanzania
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij 24 күн бұрын
KAZI njema makonda❤❤❤
@lebahatilembris2390
@lebahatilembris2390 9 күн бұрын
Nampenda sana Mkuu wetu wa mkoa Po Makonda MUNGU akulinde sikuzote,,..
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 24 күн бұрын
Watu w ardhi hua n waungu mtu,hukumu gan ww Mungu akuadhibu
@africanpesa3365
@africanpesa3365 20 күн бұрын
Mkuu mh makonda kujitoa sadaka nijambo jema je? Wantanzania wezangu makonda Akikabwa tutaungana au tutamukimbia kazi anaitenda kisawsawa natamanisana angalau hawa viongozi wengine angalau wakae wafikili akili anazo zitumia amelisi kwanani mwenyezi mungu akulinde kujitoa sadaka kunahitaji moyo ❤❤❤❤❤❤
@Yusra728
@Yusra728 24 күн бұрын
Wawoooh! Jembe letu hilo, makonda wewe ni kama magufuli no. 2 Mwenyezi Mungu awe pamoja na wewe
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 25 күн бұрын
Makonda toa majib,,usiulize wananchi majib
@ceankiiza9945
@ceankiiza9945 18 күн бұрын
Mungu Akuongoze Zaid Kaka ifike Mahala na URAISI tukupatie uinyoshe hii nchi aisee tumechoka kiukwel haki aipatikan kwa mnyonge
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj 21 күн бұрын
makonda😂😂😂😂 shikamoo nakupenda sana baba angu upo sawa kabisa yaana lazima nikuoe kura ya urais
@husseineliasa452
@husseineliasa452 22 күн бұрын
Huyu kiongozi ni mzuri sana wana arusha mmepata mtu sahihi
@prospermuhindo
@prospermuhindo 25 күн бұрын
Ok Faya kazi makode
@HenryHabeli-iy5dv
@HenryHabeli-iy5dv 24 күн бұрын
Mtetezi wa wanyonge piga kazi na mungu atakutangulia
@EmanuelKabea
@EmanuelKabea 25 күн бұрын
Naiona nchi ya ahadi hiyooooooooo !!!!! asanteeee mungu zid kutuongezea watu kama huyu
@StephenMbugua-el9hy
@StephenMbugua-el9hy 16 күн бұрын
Wow great work ♥️🇹🇿❤🇰🇪
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 23 күн бұрын
Safi sana kaka mm naomba kuonana na makonda
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 25 күн бұрын
Hii operation ni FICHUA MAOVU. Na inasaidia sanaaaaaa. IENDELEEEE
@mupinimulila1762
@mupinimulila1762 24 күн бұрын
Kabisa ndugu .
@mikeshegzy7045
@mikeshegzy7045 3 күн бұрын
Uyi ni kama raisi magufuli , Ubarikiwe sana
@user-hb6sg1sh1z
@user-hb6sg1sh1z 17 күн бұрын
Bom trabalho Mozambique kazi njema
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 25 күн бұрын
Nimemwona kinyonyo hapo
@SaNFamily274
@SaNFamily274 25 күн бұрын
Nakubali makonda❤❤❤❤❤❤❤🎉
@BrayStephano
@BrayStephano 11 күн бұрын
Makonda noma sana namkubali yuko kwenye haki san bigap my brother
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 26 күн бұрын
Mungu Akupe Jana Makonda kipenzi chetu jamani nakupenda bure kwa kutenda haki Mungu akubarik Sana hutaki mchezo
@user-ei3rf1qb2z
@user-ei3rf1qb2z 10 күн бұрын
MUNGU KIPE IKI KICHWA MAMLAKA YA KULIONGOZA ILI TAIFA.
@bugybuster5788
@bugybuster5788 15 сағат бұрын
Makonda MUNGU akulinde sanaaa
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j 25 күн бұрын
Naimani ata mimi mjane ipo siku nitapata haki yangu kwa jina la Yesu . Mungu mlinde makonda
@greenermichael2057
@greenermichael2057 24 күн бұрын
Makonda gombea urais hata leo
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 16 күн бұрын
Du!!!!! Sjui huyu kasoma shule gan, MUNGU amtunze kwaajili ya vizazi
@user-by7ie6yy5n
@user-by7ie6yy5n 25 күн бұрын
Aise makonda we noma
@HurumaAntony
@HurumaAntony 26 күн бұрын
Raise wetu
@user-zf2hh4zq2j
@user-zf2hh4zq2j 24 күн бұрын
Makonda dah❤❤
@eddykatamba1008
@eddykatamba1008 24 күн бұрын
safi sana mkuuu ikulu yako jaribu tu kugombee chadema wote watakupigia kura mpaka utashangaaa!!!
@sebastiangabriely3279
@sebastiangabriely3279 24 күн бұрын
Bro umeenea...wish uje kuwa kiongozi mkubwa Tanzania hiii
@MickyAbuyq
@MickyAbuyq 16 күн бұрын
Makonda kama magufuli mwakani anatakiwa kuwa raisi anaweza kuongoza nchi vizur sanaaa. Mungu ambarikii
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 23 күн бұрын
Mm nampenda sana saaaaaana makonda
@DanielMwamengele
@DanielMwamengele 16 күн бұрын
Makonda mungu aenderee kukutunzaa
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 23 күн бұрын
Mwenyez mungu akusimamie popote pale uendapo makonda
@saidimgawe6548
@saidimgawe6548 24 күн бұрын
Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-tc5vt1om5t
@user-tc5vt1om5t 25 күн бұрын
Nawaona mpaka wadudu hapo
@IreneLeonard-rl3jq
@IreneLeonard-rl3jq 24 күн бұрын
lakin kuwa makin usje ukapewa sumu
@user-bf1jd9nl3v
@user-bf1jd9nl3v 25 күн бұрын
Makoonda Oyeeeeeeeeeeee.......
@dondallas6683
@dondallas6683 12 күн бұрын
Makonda ww mkali snaa
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 21 күн бұрын
Mungu azidi kukupa ulinzi na afya njema bwana Makonda syo kwamba kila mtu anapenda maendeleo!!, ndo maana hata kwa Magu walifanya yao mapema.
@JuliasiSatoti
@JuliasiSatoti 24 күн бұрын
Mungu atakusahidiya m
@anorderick7162
@anorderick7162 15 күн бұрын
❤❤ Kaka Una uwezo mkuu wa akili sana... akika na Roho wa Mungu anakusaidia kukuongoza maana upeo wako Ni mkuu sana
@louxonmedia
@louxonmedia 18 күн бұрын
Ngole kachana nyavu
@dondallas6683
@dondallas6683 12 күн бұрын
Makonda lina akili nyingi na hii ni zawadi ya mungu .
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 26 күн бұрын
Makonda ni mtu wa wanyonge jmn ww mama wacha kumsumbua uyu plz
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 21 күн бұрын
❤❤❤❤❤RC makonda
@husseineliasa452
@husseineliasa452 22 күн бұрын
Hali mashauli hizi zinashida sana tunatamani kupata vikngozi kama hawa wanaojari laia wao
@user-xf4qs5ti5m
@user-xf4qs5ti5m 25 күн бұрын
Kweli makonda huyu,,wanamawili tu haki ipatikane au watafute pakula😂😂😂😂
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 26 күн бұрын
Mama yupo vzr ila apunguze wenge yan anaongea kwa jazba sana.
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 26 күн бұрын
😂😂😂😂
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 25 күн бұрын
😂
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 24 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 25 күн бұрын
HAWA VIONGOZI WENGINE AWAZIONI SUPANA WANAZOPIGWA VIONGOZI WENZAO MATAPELI😂KAZA SUPANA MAKUFULI JUNIOR 😂😂
@greenermichael2057
@greenermichael2057 24 күн бұрын
Nyendo za Magufuli tunaziona ndani yako Makonda gombea urais
@stellasheba842
@stellasheba842 24 күн бұрын
Gombea gombea urais.
#EXCLUSIVE: KWA MARA YA KWANZA ROMA AFUNGUKA YOTE KUHUSU RC MAKONDA
53:33
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 170 #shorts
00:27
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 94 МЛН
BOSS TANROAD AJICHANGANYA KWA MAKONDA, ASHINDWA KUJIELEZA AKOSEA
12:23
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 170 #shorts
00:27