yaani hata natamani hiyo 22 kesho iwe uwanjani wallah naxipenda movies zako baba joan kwa kweli mungu akulinde ns akuongoze ufike mbali sana kwa kweli🤲🤲🤲💓💓💓🎉
@erickathurima436 ай бұрын
Baba Joan nakukubali mwanangu...much love from Kenya
@PiliMundu6 ай бұрын
Wow nmewahi wa kwanza leo kutoka kenya 🇰🇪 mob love to team baba karobo
@ATHUMANSALIM-c3v6 ай бұрын
❤🎉 Babajoan kazi inajieleza yakubalika watching from Kenya
@AghHh-v3f6 ай бұрын
Pore sana baba karobo 🇧🇮 nafata movi zako kiramara nifasi yakujifuza kabisa ❤❤❤❤❤
@swediPacificswedi6 ай бұрын
Safi sana ba2 kalobo Leo mimi ni wa pili courage vraiment 🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩
@gladysnatecho74766 ай бұрын
Congratulations kwenye waikizaji wa hii kipindi mungu awabariki sana kwenye mafunzo me mema 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@VailertJila6 ай бұрын
Hongereni sana kazi yenu ni Zur baba kalobo na kalobo nawakubali sana
@BothainaBothaina-k6c6 ай бұрын
Woow movie nzuri sana next plz 🎉🎉❤
@omaraliy82076 ай бұрын
kzi nzur
@NijimbereGREGOIRE-u4u6 ай бұрын
Nafulaha Kuwait sana ntindi njowakwanza wakufunxa mayisha salafi mimi namupendasana karobo mwezimungu mwenye Rehman amurinde kwakazi ana anza angari mudogo anajuwa sana Love you karobo❤
@JjshHh-wp6rp6 ай бұрын
Ndazindutse baga mama kalobo tulia sikuzamwizi ni40🤣🤣🤣🤣♥️♥️♥️♥️
@kingchiefking92656 ай бұрын
Hii sasa ni bonge la tz kutoka kwake baba kanusu na mukewe duuu!!! Movie nkali saana❤❤❤🔥🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥
@HidayaJumaRavino....Sakina6 ай бұрын
🎉🎉🎉mwajua jamn mashallah ❤❤
@EdikingMoz6 ай бұрын
Wa kwanza naoba like zangu from mozambique 🇲🇿🇲🇿
@graffinamisi6 ай бұрын
Hungesoma hungekuwa hunaomba like kwa mitandao,,,,,hona sasa
@LoisemwendeMutembei5 ай бұрын
Woow nazipenda vipidi za baba karobo Sana mungu akubariki
@Khatib-xp6fp6 ай бұрын
Hongera baba karobo kadri kazi inavotok ndipo unapo nawiri tupo pamoja from 🇲🇫
@IssaAbdillah6 ай бұрын
Ila Kwa ss yabadilika sna 🎉🎉🎉,,,
@DianeNduwamariya-t7t3 ай бұрын
Baba Joana nakubali sana💓 from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@BokombaAppolinaАй бұрын
Na mm namkubali kbx baba kalobo
@AliMunga-c8n6 ай бұрын
Hahaha 😂mama karobo Big up sana kazi nzuri
@mokenyejosiah51016 ай бұрын
Josiah mokenye from Kenya following your movie nicely bro my likes hizo
@pilisaidbokoko70316 ай бұрын
Nimewai Leo big up wadau wangu from 254
@MasnamussaPp6 ай бұрын
Anae mkubali mama karobo alike hapa ili kuonesha upendo kwa mama karobo
@SafiaSafia-g1c6 ай бұрын
Jmn mm nasema t mama karobo punguza kupagawa Sana ukiongea ww mzur t ila unapagawa sana❤❤❤❤❤❤ love you mama kalobo
@spanishboi0016 ай бұрын
Baba kipofu lakini zuzu akiskia atapewa kinyangala😂😂😂😂shikamoo kinyangala
@RosemaryWilbard2 ай бұрын
😂😂😂😂eeeeeh kinyangala😂😂😂😂😂
@AXELLAassia6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama kanusu😂😂😂kudada deki kachawi balaaaaaa uchawi upo kbx
@OrnellaNdabarushimana6 ай бұрын
Unaitizama mouvie haitoku kwenye iko jamani fanyeni bas mutufuraishe Sisi Team baba karobo bna
@BensonEvaristo6 ай бұрын
Baba kalobo na mama kalobo wanajua sana hadi mmeifanya mov kuwa nzur sana
@Junior-l4u4p6 ай бұрын
Leo nimewahi hata nimetoka burundi nime jithahidi naomba like zangu
@MsafiriMabewa6 ай бұрын
🎉
@NeemapauloLohay5 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@rajabokio6 ай бұрын
Mbona zujari mzuri hivo mtoto amebeba KWELI.mwaja lini Kenya nampenda😂😂
@manirakiza-y7v6 ай бұрын
Maman kalobo acha roho mbaya ulezidisha ss eeeeeeh jamani mm umenikera kwl mauwa yenu vipenz vyang 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@imtvisaacmediatv91785 ай бұрын
Number 2 watching from Kenya keep it up I really love the show
@spanishboi0016 ай бұрын
Nishawai babakalobo😂😂 🇹🇷 🇹🇷 tutapambana hadi mama kalobo feki akuue😂😂😂
@ewoiekaale6 ай бұрын
Safi kabisa 🇰🇪
@AlexSafari-pu5wk5 ай бұрын
Nambye rafk
@Officialtz016 ай бұрын
Mnaelekea kuiharibu movie sasa😢😢😢
@sianguphilip53966 ай бұрын
ukweli wanayairibu
@yohanalukindo37376 ай бұрын
Tena sana
@fatumaselemani38076 ай бұрын
Mashallah asanteni sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤❤❤❤❤
@karembo70826 ай бұрын
Yule mdada ambe hayuko ndie atawasidiea kwasababu dawa hikumpata😊😊
@Naomi-ug8yf6 ай бұрын
Yes😊
@MumbaMgandi6 ай бұрын
Hongereni sana yani mwanifurahisha sana mm kama mkenya nafurahia sana
@PostineYesare6 ай бұрын
Ba karobo anajua kingereza wapi like zakeee❤❤😂
@MaryWabwile-pm1zk6 ай бұрын
😂😂😂❤❤❤
@judithauma-b7u6 ай бұрын
Mama karobo ana mdomo waa nimemuogopa
@PAVLOVEAUGUSTINMERVEILLE5 ай бұрын
Hii safi kinoma naipenda kutoka Kivu D.R.C Congo❤❤❤
@achilaleziki6 ай бұрын
Kabisaa kazi nzuri hii baba kanusu😂😂
@OdetteNITUNGA-qy3vk6 ай бұрын
Vizuri sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@alexandrodieumerci6 ай бұрын
Jameni BURUNDI 🇧🇮 nitaweza pata hata like moja mbona wote mnatoka katika nchi za mbaliiiiii
@ElkaMwesh5 ай бұрын
😂tupo🇧🇮🇧🇮🇧🇮😍
@AngechristaTwizerane5 ай бұрын
tuko hapa🇧🇮🥰
@EmaJacob-r5u4 ай бұрын
Mambo uko wp
@ZayinabuVyukusenge4 ай бұрын
Tupo
@LewisHamiltonGLD6 ай бұрын
Nimewahi Namimi leo kutoka Kenya wapi likes za wakenya jameni 🎉🎉🎉
@KepsonJohnNamufwakage6 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@KKK-v6j6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@-RydaJamal266 ай бұрын
One love sweee🇰🇪❤❤❤❤❤✌
@vxp52286 ай бұрын
🎉🎉🎉
@darkforceofficielle6 ай бұрын
@@vxp5228😊
@TreasurezThomas6 ай бұрын
Mam kalobo kaz anayo kwa mganga wake 😂😂😂😂😂 vioj si viola jamn
@zeinabuAchiengOkara6 ай бұрын
Mungu awapee nguvu muweze kutoa zingine nzuri
@FlorenceWabiwa6 ай бұрын
Hongereni sana tena sana. ila musiwe nakawisha bana❤❤❤❤❤
@NyagaEric6 ай бұрын
Woiii fashion mtoto ana nyash kweli 😂😂😂😂😂 wangapi wamesikia
@tumusiimepeace5436 ай бұрын
Maama karobo fake siku moja otakuja sindwa namuganga wako iyi 😂😂😂. Baba kalobo be strong with faith there's no weapon formed against you shall prosper in Jesus Christ name Amen 🙏🙏
@valentineonyoni90656 ай бұрын
Representing Mombasa Kenya 🎉❤
@arikibok47355 ай бұрын
Courage ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Totoziza-q4q6 ай бұрын
❤❤❤naipenda sana hii movie
@StellaKugomwa6 ай бұрын
Movies mkiiendesha San mwisho mnaiharibuu sasa ebu jaribuni kuiangalia vzr
@gatocarenzipporah68436 ай бұрын
Waambie tena na tena,ilishaanza kukera
@NtirenganyaNahasoni6 ай бұрын
Hata kama nimechelewa afadhali nimeona na ninawapenda sana tuko pamoja kutoka burundi 🇧🇮
@IshakaMachanoMakame-sb2xx6 ай бұрын
Nimewahi Leo wakwanza jamani ila sitaki like zenu Mana ubaguzi ni mwingi
@suleimankipyego51436 ай бұрын
Nipeni like jamani from Kenya 🇰🇪 mombasa County 🇰🇪
@RahmaJuma-x4z6 ай бұрын
Toa maon like wew siy baba kalob ok😂
@RahimaMct-ik8mr6 ай бұрын
HIV munazipelekaga wapi like😂😂😢
@lucinahmoranga23586 ай бұрын
😂😂😂kwani hii kipindi n y wakenya pekee 😂
@elizabethcatherine-jm8fr6 ай бұрын
@@lucinahmoranga2358eeeh tuko hapa 😂😂
@fredrickwambuamunyao6 ай бұрын
🎉🎉
@abdallahassan63786 ай бұрын
Uzuri hii move inatoka kwa wakaty ❤🎉🎉
@SaumuhamisiHamisi-w9r6 ай бұрын
jameni nani amkubali baba kalobo kwa kazi zake gonga like kaa zote hapa ili tumfikishe mbali baba kalobo
@martinkioko64376 ай бұрын
Tuko pamoja kumsuport baba karobo
@ZuleikhaMvury6 ай бұрын
pamoja penda sna babakarobo❤❤
@EvansMwenda-d1t6 ай бұрын
Kazi nzuri baba koroo😂
@EvansMwenda-d1t6 ай бұрын
Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 300
@HidayaJumaRavino....Sakina6 ай бұрын
I LOVE Tz🇹🇿🇹🇿🎉🎉🎉you're the best
@AishaJafari-sh4pe6 ай бұрын
WAOOOO TEAM STRONG WANAOKUBALI KAZI YA BABA KALOBO TUJUANE KWA LIKE APA 🎉🎉❤
@AmenaMm-r5t6 ай бұрын
Mi.mi ap namkubal kinoma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Marim-sj7oi6 ай бұрын
Tunamkubali kinoma🎉🎉🎉🎉
@maalimali55136 ай бұрын
Yupo vizuri Sana ❤❤❤
@pendotv51106 ай бұрын
Karobo ataweza kweli?
@PaulOjiambo-p1f6 ай бұрын
mimi hapa nakupali🎉🎉
@ZEPHANIAH.15886 ай бұрын
Leo ilikua jumapili njema kwangu imagine nmekua wakwanza toka Kenya nafurahia hiking kipindi Sana wapi likes za wakenya wenzangu
@EstherSophiabarisa-bj4bg6 ай бұрын
2:34
@kezianjuguna73786 ай бұрын
mimi nimekuwa addicted hii kipindi
@margaretatsianzi6 ай бұрын
Ujaenda kanisani leo mpendwa
@graffinamisi6 ай бұрын
@@kezianjuguna7378Pia mm😅
@lucinahmoranga23586 ай бұрын
Tupo🇰🇪hii kipindi👌🔥
@brightonvictorkimsehyeon78926 ай бұрын
Niliisubiri kwa hamu sana hii episode Asanteee sana mtunzi @BabaJoan🙏
@salimsammy53346 ай бұрын
Wow nice yani iko sawa sana broo moral sana lakin mama karobo badia waaah moto
@benjamimantoniomangoni67656 ай бұрын
Kazi nzuri sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@AbigaelKeziah6 ай бұрын
kwakweli kuna majini dunia hii waa nazubaa tu
@JudcBen-ye9cy6 ай бұрын
Wa 1 mm leo like zangu jamn😂😂❤
@عامرعفير6 ай бұрын
Safe sana kalobo❤
@Lucywanjirukagonye6 ай бұрын
Leo nimejalibu nimefika mapema 🚶🏾♂️🚶🏾♂️🤸🏾♂️🤸🏾♂️
@lahayloyniyokwizera24006 ай бұрын
Jameni niwaombe kitukioma muceze série n'a mama kalobo akutane namatatizo basi n'a sisi tufulah kawaomba
@Peternyamsogoro6 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri
@Vanessa-xr4qn6 ай бұрын
Yani hii movie nzurii ila kilamtu anamuogopa mama karobo
@NailatMwampaja6 ай бұрын
Kaz nzuri kak ila uy mam daah😂😂😂
@Salma2466-i9s6 ай бұрын
Nimeipenda.sana.yaleo kali karobo Fanya.ivyo.baba awe sawa
@OmarYassin-q9o5 ай бұрын
Big up 👍👏 good moves respect 👍
@MariamMariam-h8h6 ай бұрын
Toto linanyashi kweli😂lkn mama kalobo ana nyama🤣
@dannimasha11166 ай бұрын
leo karobo kabadilisha nguo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@HellenWafula-b4x6 ай бұрын
Baba Joan nakubali mara Mia hucheleweshi mambo wajiamini Sana KAZI hii nzuri sana
@faithkalulu6 ай бұрын
sasa mchumba,simu yangu iko wap😅😅😅
@janetkyumbe71546 ай бұрын
Kazi nzuri karobo najua uko mtoto jasiri usindwe TAFADHALI umuokoe baba yako
@RizikiMramba6 ай бұрын
Kwali mama karobo ww Niki Boko 😮😮😮😮😮😮😮❤❤❤❤
@SaumuhamisiHamisi-w9r6 ай бұрын
jamani hii movie yani kila.uchao yazidi utamu tuu ,baba kalobo hongereni na team yako kwa jumla we bado robo ufikie kanumba.steveni wallah maana si kwa movies zako hizi kali kali
@Officialtz016 ай бұрын
Nimeanza kukelekwa na hii movie maana mambo yamekua mengi😢😢
@Vanessa-xr4qn6 ай бұрын
Hâta mm
@DamianoCostantine-bn3rl6 ай бұрын
@@Vanessa-xr4qnhata mimi
@frankhoffa83566 ай бұрын
Mambogani au mi sijaona
@gatocarenzipporah68436 ай бұрын
Hata mimi inachosha
@Joyqiqi6 ай бұрын
Ata mimi namtaka baba karobo haone tena😢
@Imahela375.6 ай бұрын
Mnapotezaaaa radhaa ya Movie Sasa
@doreenkbdjb5 ай бұрын
Yani huyu anapenda mwingine juya matako😮😂I'm from +254🇰🇪
@monicahnjoroge50756 ай бұрын
Nirikuwa nimengoja kwa ham na ngam❤from Kenya 🇰🇪
@SpystersEkered6 ай бұрын
Mama karobo ananiudhi from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AishaKera-op9rm6 ай бұрын
Mchumba wa kalobo 😂
@laviestanley-wi9uk6 ай бұрын
Mbona film haiishe naitazama toka congo kusini
@elvinakalu69916 ай бұрын
Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉
@SamyabshatiSamyabahati-n1e6 ай бұрын
😂karobo mama msaidiye baba
@ZonemohammedMohammed6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 s KWA huyu mganga
@herryngala69466 ай бұрын
Wakwanza mkenya❤❤❤
@mathewmuthokaofficial16266 ай бұрын
Tamthili nzuri nangojea episode 22
@Leilah26 ай бұрын
Sasa ndio movie imekua tamu❤thanks babake Joan❤❤cant wait next episode🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@LilianAnyango-lf2bn6 ай бұрын
Kipimdi hiki nkizuri kweli mama karobo nkupenda bure😅😅😅 natazAma nkiwa kenya