MMH.............JAMAN KAMA NA WEWE UMEBAKI MDOMO WAZI KAMA MIMI LIKE YAKO JAMAN
@shukurukoll72694 жыл бұрын
Haiba yake inafanana naye Gardner. Haya yanatokea duniani si mageni kwani ujana wakati mwingine husababisha haya. Mimi pia nilikutana na kijana wangu wa kwanza akiwa ana miaka 26 na alikuwa hana shida ila alikosa amani kutonijua nami pia kipindi chote nilikosa amani. Lakini Mwenyezi Mungu alitukutanisha na tunaishi vizuri sana, akiniheshimu sana na kwa upendo mkubwa.
@anniefrankie81104 жыл бұрын
Mrembo,mcheshi,mtaratibu....high vibration na amefanana na gadner puan kwenda juu😍😍😍😍
@merinakassembe1185 ай бұрын
Wamefanana mno
@ummuwawili5 ай бұрын
hata busara kama za baba yake
@eddiexjr14 жыл бұрын
You're so beautiful and smart ...keep it real . Nimekupenda sana
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Haijalishi lini,we mtafute tu baba ako,tena nenda unakimbia
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Eeeh jamani muwatafute baba zenu👐👐👐👐👐👐
@erickmanyeck39134 жыл бұрын
Umekuja kufanyaje hapo sasa kama hauna majibu??? Kwendraaah
@moureenmartin41254 жыл бұрын
Mmmh mtu anashndwa kukiri kama ni baba au lah.. hii ni kiki tu hamna jambo hapa
@cimpaye56254 жыл бұрын
Wamefanana sanaaa😍🥰
@MfaumeNgare5 ай бұрын
REAL Daughter, she sound like her Father
@magrethmoris2154 жыл бұрын
Hivi mnawajua wa Mama wa kichaga........kiruuuu huyu bint siokwamba hawezii kuongea ila tatiz ni Mama.......msinifokee
@arafaally28954 жыл бұрын
Huyu ananidhamu kubwa.mtoto anaejilea bila wazazi huwa anakomaa kiakili
@janemhagama19254 жыл бұрын
Hii interview inaboa mtu wenyewe hafunguki mnamuoji wa nn kama hajibu maswali
@namirihamisi38994 жыл бұрын
Mashallah nimependa nidham yake katika kujieleza.
@erneverernest55524 жыл бұрын
Amefanana na kareen sana.Gadna hongera Mungu akutunzie watoto wako na mjukuu wako
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Mzuri na anafanana na baba yake Mungu mkubwa na ni vitu vya kawaida watakaa na kumaliza hilo🙏🏼🙏🏼
@fredytarimo91074 жыл бұрын
Hongera sana gadina unafanana sana na mwanao
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
👌👌👌👌👌👌👌👌👌Gadner mambo ni pambe
@mbwanakiting71804 жыл бұрын
Mbona amwelewi yeye kishasema kwa baba mlezi Yuko pekeake. Kwa baba yake mzazi Yuko peke yake Ila kaoa na Ana watoto...gadna night baba Kula...hamskilizi mnakoment...huyo no mbadala was lady j d
@maryammaryam77785 ай бұрын
Mashaallah hapataki tochi sura moja na baba ake
@priscaprisca25694 жыл бұрын
sio Babake mzazi ila kutokana na ukaribu pamoja na mazoea ndio hivyo wamechukuliana kama baba na mwana, da way nilivyomwolewa
@rahimamkumbo32384 жыл бұрын
Baba wa hiari
@ROZITHOMAS-y4q5 ай бұрын
Ni mzuri. Gadner alikuwa mjuzi wa mambo
@OfficialA836404 жыл бұрын
Matunda ya fiesta hayo waliyoyapanda mikoani Yashastawi yanakuja sasa yenyewe
@kassimrajabu78054 жыл бұрын
😂😂😂😂🙌😂😂😂😂
@richardkonzo57174 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Mkubwa kuliko fiesta Kama ni mkubwa kwa karen.huyu ni wa zaidi 1998 clouds ilipoanzishwa rasmi pale kitega uchumi.
@njaujustin564 жыл бұрын
Ur so genius😁
@hermenengildamlemi3234 жыл бұрын
True
@venerandamwalimu164 жыл бұрын
Kwa mila zetu za kiafrika kakosea sana na ilitakiwa amsitiri mama yake na baba aliyemlea ameteta gumzo kwenye ukoo....chuki kwa wadogo zake ambao amezaliwa nao.
@roseunderson69444 жыл бұрын
Ni vizuri pia kama baba anakukumbuka na wewe dada usikate tamaa na baba yako endelea kupata baraka za baba
@spreadlove21194 жыл бұрын
Kazuri na kanajua kujieleza kenyewe 😍
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Ila wamefanana sura gadner, saut kdg na careen
@khadijazinga81734 жыл бұрын
Kabsa iyo sauti
@aminaramdan32834 жыл бұрын
Yani mpk kucheka kabisa NA Anafanana na baba yake, ni kweli hata kuongea kabisa
@faidhaally90544 жыл бұрын
Wamefanana na Kareen jamaniii hongera gardina
@musason16804 жыл бұрын
Kiukwel ningeweza kuwapga ningewapga tena vibaya sa UTOPOLO huu ndo mnatletea sa mtoto gan uyu anamwongelea baba ake ka mpenzi wake mjinga t uyu
@dianamlagwa93835 ай бұрын
Ana busara sana👏🏽👏🏽👏🏽
@elizabethmwandu69374 жыл бұрын
Yaani huyu hajui hata kuongea eti mama alikuwa anajua kama unawasiliana na baba eti alikuwa hajui.Na kama mama alikuwa hajui kama mnawasiliana ulijuaje sasa kama Gadner ni baba yako? Ila wewe kuna kitu kikubwa amabcho mmeshafanya na Gardner na si bure hapo.
@siaammo11044 жыл бұрын
Wapuuzi kweliii
@mariamzullu60594 жыл бұрын
kinatafuta kiki...kujieleza hajui
@badrahassan75134 жыл бұрын
Kweli
@JeniphaMabway5 ай бұрын
Sisi timejua tuna mdogo wetu akiwa form four yaani wababa wengi wako hivyo ,ila mapenzi yanakuwa madogo mno mimi najilazimisha kumpenda yule msichana lakini wapi
@HidayaMbata5 ай бұрын
Nimekupenda sana we binti anajuwa kujieleza
@flyoverfamilyentertainment92754 жыл бұрын
WANAWAKE ACHENI WIVU..ROHO ZINAWAUMA ...ILA MTAZOEA TU
@godfreydestury88134 жыл бұрын
Hongera sana Gadnal .
@reubendick40334 жыл бұрын
Beautiful
@nassorsada2134 жыл бұрын
Nahis huy dad alikuw anatngozwa na gdn alivy muelezea ndo akagundua hivy Kareen mkubal ndung yak Maish yeny mafup hay
@jacklinewilliam45654 жыл бұрын
Kama umesikia chochote kinachoushu gonga like twende sawa😂😂😂uyu mbona anatufokea
@willesianga89564 жыл бұрын
Hayo mamiwani ya nini sasa,????ina maana we nitofaut nawatu wengine
@MohamedAli-rl8cl4 жыл бұрын
Ana akili sana
@mkuluwaukae22214 жыл бұрын
Wanaume tuzae tuuu, ilimradi mwanamke unaezaa nae ni above 18yrs na ana akili timamu tuuu, watoto ndio mtaji wa maisha,na siku ukifa hawawez kusema umeacha magari 10, mashamba mengi NO, WATASEMA TU KWAMBA MAREHEMU KAACHA MKE/MME NA WATOTO KADHAAA,!
@julianelusubiro46554 жыл бұрын
sipendi kiki za kijnga mimi jamani, najiskia kufoka tu hapa kwa jinsi nilivyokasirika
@annandunguru73424 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@luhanyamipawantobi68884 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mamae ondoka hapa kabla hujafoka
@ferarimarando94354 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙈
@directormorson13274 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@masalakulwa76014 жыл бұрын
😆😆😆😆😆🤸🤸
@hafidhali30205 ай бұрын
Hii Ndio raha ya zinaa
@swahilionline60014 жыл бұрын
Mm hata simwelewi!! Haya bhana mtajua wenyewe
@marylucas52854 жыл бұрын
Ata me simuelewi
@DativaMbowe4 ай бұрын
😂😂😂😂 umeuwa yaani wewe ni Mimi kabisa 😂😂
@tp-kh8hl4 жыл бұрын
Uyo dada atakuwa anafanya kazi ya kuchomelea ma grill ya dirisha....maana sio kwa miwani iyo!...na atakuwa na anaona mbali kinyama ata kesho anaona uyu!!...
@upendomasawe26874 жыл бұрын
U made my day Lol 😂😂
@aminaramdan32834 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅
@hawasaleh5044 жыл бұрын
Hhhhhhh
@zuriathkajwangya17244 жыл бұрын
Yaani wabongo mna maneno duh
@hildegaldamushi61104 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂jmn nimecheka kizembe
@janesemngindo45445 ай бұрын
Sidhani kama ni baba mzazi. Anazungusha sana maneno hayupo straight. Huenda ni mlezi yaani aliamua kumsaidia kimaisha tu. Mtazamo wangu.
@annadua90835 ай бұрын
Hata G Habashi mwenyewe amesema ni mtoto wake
@flyoverfamilyentertainment92754 жыл бұрын
WABONGO ACHENI WIVU..MTU NA BABA YAKE INAWAUMA NINI.ILA ITABIDI MZOEE.
@sophiajackson50014 жыл бұрын
Maelezo hayaeleweki.... Sasa alijuaje Kama mamaake hakusema..... Hapa kuna jambo limejificha
@bolelambunda65544 жыл бұрын
Kweli
@gracekiondo25415 ай бұрын
Nahisi ni muongo.
@shangwefisima39935 ай бұрын
Ila kweli wanafanana na careen
@AboubacarcastingKassim5 ай бұрын
Hayo yapo sana,binafsi mimi nina watoto 2 ambao ni mapacha wa kike na kiume wanamiaka17 .hawamjui baba yao yupo hai na hana habari nao wala watoto nao hawana namna.wamekubali matokeo
@yusrasalmin95634 жыл бұрын
Mara unamwambia mama umepewa ada na Baba mara ulikua hujamuambia mama km umemjua baba woiiii
@glorylaswai6734 жыл бұрын
Yani ,sielewi hata anachokiongea ,zaidi ya kuchekacheka tuu
@agnessmalasusa36094 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@rosaliembarikiwa5924 жыл бұрын
Hivi ulikuwa wapi miaka yote hiyo?
@subirajohn7286 ай бұрын
Kafanana sana na Gadna! Aisee
@GloriaMduma5 ай бұрын
Acha uongo
@FlorentinaMote5 ай бұрын
Mi hata simuelewi elewi. Hayuko clear.
@ashamayuwe28915 ай бұрын
Kama mzazi nasikia vibaya kwa situation aliyokuwa nayo huyu binti. So sad. Ila vote maisha
@happynesskampando94254 жыл бұрын
Vizuri but anajichekesha kwa mambo ya sirius ni pesonal .
@fridajustus82713 жыл бұрын
Unanimalizia bando tu kwedraaaaaaaaa
@fridaystartv99214 жыл бұрын
Kwhy gardner anamjukuu tyr
@mamymamiza29244 жыл бұрын
Safi my umajieleza vizuri sanaaa
@joycedinden5305 ай бұрын
Lakini sauti nisawa na careen.
@eliakisigila67535 ай бұрын
Msibani mbona hatujakuona mdada? Au ulikuwa nje ya nchi mama?
@priskajustin7074 жыл бұрын
Wamefanana macho
@Mercychadal5 ай бұрын
Vido pole maan mtu mwenyewe hajui kujieleza uwiiiii
@janesemngindo45445 ай бұрын
Hapa hakuna kitu. Si babaake wa damu lakini babaake mlezi tu si zaidi ya hapo.
@tommyjames56694 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo upupu tupu aseme anatoa ngoma gani
@rajmkonje71494 жыл бұрын
Huyu ndo kafanana na gardener macho sura mnaekosoa sio mtoto wake ni jealous zao na wengine hawana watoto
@clevermngao75654 жыл бұрын
Nafikiri alikuwa video vix wimbo wa Christian Bella " Si ulisema"
@rozinaswenya96824 жыл бұрын
Safi mwanangu
@matswelopelemphela96764 жыл бұрын
Jamani miwani Kama midirisha ya Basi kubwa Tena Scandinavia.
Nimefurah kumuona ndugu yake kareen,kareen mkubali nduguyo,pia idda mshaur kareen awe karibu na ndugu yake!!!!
@safiyatheonlything78484 жыл бұрын
Mm nili follow insta lakini jana nime muamu follow naona kama Kiki siyo kweli
@nurumohammed13105 ай бұрын
Mungu atakusaidia dada baba yako anaonyesha hakumuweka wazi Caren ila mungu mkubwa
@stainasimkoko75044 жыл бұрын
Kumbe baba wa hiari kwa maneno hayo sio baba mzazi
@rehemahamisi99714 жыл бұрын
iyo miwani km fundi mageti ndo nini chefu 😏😏😏
@islandgirl45784 жыл бұрын
Nampenda vido
@mwarishmodsalum5554 жыл бұрын
Minaona miwani uvue uko Kama Kobe vile ungependeza bila miwali wallah kuiga watoto acheni
@MaishaBabu-m2g5 ай бұрын
Sasa huyu ndie kafanana na gadner yule careen wa mchongo hawafanani na gadner
@naomimabula26604 жыл бұрын
Kafanana na Gadn, pia Kereen hawez kuzuia chochote kwa alichofanya baba yake, ni kumkubal ndug yake.
@chantalmulasi56634 жыл бұрын
Hajui kujieleza mfyuu 😏😏 Alikuwa video Queen wa Rayvanny wimbo wake wa chuma ulete 2017.
@ericklaura75114 жыл бұрын
Surely I checked the video few minutes ago and I confirmed, Ni yeyeeee, duu ila vany boy kweli kweli alitoka salamaa huyuuu 😋😎
@gibsonngahala99544 жыл бұрын
Kweli ni yeye eti
@ericklaura75114 жыл бұрын
@@mwigaramadhanikatumpula7973 ooh duu kumbe kalishauza sura sana ntaucheki uwo wimbo, asante but nahis mzee wake may be ndo alikuwa anampa hizo connection.
@tousihhhh67654 жыл бұрын
umeuwaaa my njoòo uchukuwe mb zamwaka mzima
@bundaboytz21014 жыл бұрын
Pia wimbo wa Christian Bella alishawahi kuwa video vixen
@PhyinaElias-mu4wf6 ай бұрын
😢rip gadner
@awardandrew9734 жыл бұрын
Mmmh,pana wimbo wa Kareen unakuja hapa,hamna lolote hapa.
@violethdavid3095 ай бұрын
yaani huyu maisha aloyapitia ni mimi kabisaaaaa
@noahamon85914 жыл бұрын
Sio mtt wake bana af ukifuatilia maelezo hayajitosherez hata
@theophilwilliam69064 жыл бұрын
DNA Test ni muhimu sana ili kuondoa utata hapo. Gardner awezeshe hilo ili kuweka kila kitu sawa.
@AshaJuma-s7l5 ай бұрын
Jamani lakini kafanana na Gardner 👌
@shanishosho9114 жыл бұрын
Lkn kafanana na kareen
@teddyndungurusabnu47924 жыл бұрын
Mmmh nimesikiliza kwa makini maelezo yake me hata sijamuelewa mbona Kama mpenzi wake? Huyu sio baba yake kabisaaa sijui lakini ngoja tusubiri
@adijaniyonkuru97314 жыл бұрын
Ni hawala yake
@musason16804 жыл бұрын
Hajaulizwa ya Instagram kashafika mbali
@hamishamis44394 жыл бұрын
Maajabu,mbona tunamjua huyu......Acha zako
@ishengomanelson5 ай бұрын
Hivi nyie huwa hamna issues serious za ki-uchumi, kisiasa, na kijamii ila za kiswahili-swahili tu! Mnatengeneza ideologia hewa isiyokuwa na uhalisia na chachu ya mabadiriko katika jamii kabisa ili mradi mpate hela ya kula.
@janesemngindo45445 ай бұрын
Mbona sikumwona mstari wa mbele msibani ikiwa kweli ni babaake?🤔
@Tiffany3404 жыл бұрын
Mmh... Karen 🙅🙅🙅 ...piga kelelee kwa Karen akeee.. weeeeeeweeeehhh
@jayblessings24924 жыл бұрын
Hamna ukweli hapo, lugha yake inagongana mno.
@vero574 жыл бұрын
Hizi miwani safari hii kheee kazi kweli kweli 🤣🤣
@mashombomashombo92334 жыл бұрын
Hahaha Yan nilikua naitafakar nakutana na hii comment
@khadijaomari93444 жыл бұрын
😀😀😀
@ramadhanimrisho55324 жыл бұрын
Safi
@africosimonmattogoro69865 ай бұрын
Kwenye msiba wa gadna, wamesema gadna kahacha mtoto 1 Kareen, na mjukuu 1. Je hii imekaaje
@aminahassan35884 жыл бұрын
Caren sio rahisi kuelewa kirahisi bwana lazma amuuluze babake siku zote ulikuwa wapi leo hii ndio ujitokezee mmh yataka moyo ila mtaelewana mdogomdogo tu
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Baba halisi wa mtoto wanawake ndio wanawajua.habari ndiyo hiyoooo.🤣🤣🤣🤣🤣wanaume yawezekana watoto mnaowapost Instagram siyo wakwenu""cc siyo watu wa mchezo mchezo saa nyingine""
@danielalphonce16534 жыл бұрын
Sio mara zote
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
@@danielalphonce1653 Dan, tulia ndio maana mwisho nimeandika""saa nyingine"""
@danielalphonce16534 жыл бұрын
@@blandinamnyinga8318 Kuna wanawake wanajielewa kwaiyo usiwapake matope...
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
@@danielalphonce1653 narudia tena ndio maana nikaandika ""saa nyingine mwishoni,kwa hiyo ni kweli siyo wote.
@danielalphonce16534 жыл бұрын
@@blandinamnyinga8318 sisi siyo watu wa mchezo mchezo saa nyingi. Usiinge andika 'sisi' ila ungetumia neno baadhi yetu.
@GaudenciaBasil-wk7qk5 ай бұрын
Hovyooo
@nathanmmasi38905 ай бұрын
Da ase ayamaisha bana
@lucaskabadi85194 жыл бұрын
Alikuwa anafanya kazi the Return lounge mwenge nyuma ya calabash