UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA WAFIKIA ZAIDI YA ASILIMIA 16

  Рет қаралды 26,594

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 43
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 Ай бұрын
Wasisahau na MIUNDOMBINU,siyo uwanja wa mabilion alafu njia ya kuenda ya TOPE.
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 Ай бұрын
Huko kunajengwa mji moja matata unaitwa samia afcon city kwahyo patakuwa na kila kitu
@careemdulla1629
@careemdulla1629 21 күн бұрын
Hongera sana Serikali yetu sikivu kazi nzuri sana❤❤❤❤❤
@bonifasimichael1320
@bonifasimichael1320 14 күн бұрын
Safi sana greyso msigwa usije kubadilika fuata nyayo za Ayati nagufuli. Kataa rushwa
@barakajonas3209
@barakajonas3209 Ай бұрын
Safi sana Arusha mbele kwa mbele 🎉🎉🎉🎉🎉
@EmanuelMuna-w2q
@EmanuelMuna-w2q 7 күн бұрын
Mheshimiwa Waziri Msigwa, Lesson Learned; Uwanja mpya wa Dodoma, tafadhali sana usijengwe na running track (atheletic tartan). Ujengwe kuchukua watu 30000, lakini bila athletic track. Mjirekebishe haraka sana. Tuna viwanja vitatu Tanzania vyenye viwango vya olympic (world class). Hatuhitaji kiwanja chenye atheltic track tena. Tunahitaji kiwanja cha soka peke yake. Wajengeeni viwanja vidogo vya nje vya wanariadha, na amuhutaji hata ukuta. Mnahitaji sengénge tu, kama zile SGR elephant faence.. Kama wanariadha watataka mashindano makubwa, bali watuie viwanja vya Benjamin Mkapa, Amaan Stadium na Arusha Stadium tu. Huo ni upotevu wa fedha tu, na siku moja mtajuta kufanya maamuzi mabaya na mtahitajiwa muwajibike kisheria.
@johanesjofrey2105
@johanesjofrey2105 2 күн бұрын
Serikali mkimaliza hapo,hakikisha mnakarabati viwanja vingine vyote nchini,Nyasi bandia na majukwaa na mifumo ya taa n..k
@SethJohn-x9f
@SethJohn-x9f Ай бұрын
Maendeleo mazuri sana
@EGM-TZ
@EGM-TZ Ай бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians mmesema B ngapi vile??😂😂😂 Congratulations Guys kumbe tz tuna pesa guys🎉🎉🎉
@williamhenry2275
@williamhenry2275 Ай бұрын
But the design really shocked me, why would you construct a just small 30k capacity stadium in a country where you have a population of over 62M? who is this era can think of a small stadium like that?That's a lazy thinking.
@osiahstimah
@osiahstimah Ай бұрын
Da mbeya mjenge uwanja na dodoma
@MichaelMalimi-y1w
@MichaelMalimi-y1w Ай бұрын
Uko sawa ingekuwa
@ApolonalizachariaChama
@ApolonalizachariaChama 24 күн бұрын
Mwanza mumetusahau au huku sio tanzania tukumbukeni namwanza
@samwelbalichoka4533
@samwelbalichoka4533 Ай бұрын
Mheshimiwa mwambiye mkuu wa inch atuwekee na mwanza huu wa ccm kirumba nyiye wenyewe munauona namuna ulivyo
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Ай бұрын
Mtukumbuke namwanza sasa mbona mwanza mmetusahau nyinyi
@amanrashid7061
@amanrashid7061 Ай бұрын
Nilisikia pia dodoma kutajengwa uwanja mkubwa au ndo huo wa Arusha
@shikuhata
@shikuhata Ай бұрын
Upo pia
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 Ай бұрын
Dodoma upo na walitangulia kujenga kuliko Arusha
@davidbenjamin-m3w
@davidbenjamin-m3w Ай бұрын
@@yohanakananika3586wamefikia wapi au ndio bye bye😂
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 Ай бұрын
@@davidbenjamin-m3w Ndo wanaendelea kujenga ,ndo itakayotumika Afcon 2027 au hauna habari kuwa Tanzania ni wenyeji wa michuano ya Afcon 2027 ? Hyo lazima ikamilike
@worldtechlab
@worldtechlab Ай бұрын
Tunataka 45,000 capacity and above siyo huo uchafu
@theodoltheophil7858
@theodoltheophil7858 Ай бұрын
Viwanja vidogo
@gastonpeter4265
@gastonpeter4265 Ай бұрын
Uwanja unajengwa Miaka miwili😅
@AllyNzisabira
@AllyNzisabira Ай бұрын
Tulia wewe Kwani matumizi yake lini? Unafikiri ni kujenga tu hovyo hovyo?
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 Ай бұрын
Hebu tuambie mtaalamu uwanja unajengwa miaka mingapi kumbe
@AllyNzisabira
@AllyNzisabira Ай бұрын
@@mosesnyelo1380 achana Na huyo chizi anafikiri kazi kubwa za maendeleo makubwa za level hii zinafanywa ndani ya mwezi
@selemansaid9295
@selemansaid9295 Ай бұрын
Mwamba alitaka uwanja ujengwe siku Tano​@@AllyNzisabira
@MamodelPark
@MamodelPark Ай бұрын
Ulitaka wamalize kesho
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 Ай бұрын
alaf utakuta hakuna parking
@mudriqjardeny708
@mudriqjardeny708 Ай бұрын
Mbona uwanja upo mbali sana na civilization?
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 Ай бұрын
Sasa mji utakuwa vipi wakiweka kati kati ya mji
@mudriqjardeny708
@mudriqjardeny708 Ай бұрын
@ It’s possible! Zipo stadium ambazo zipo ndani ya Mji
@LeoniaLyimo
@LeoniaLyimo Ай бұрын
Uliopo mjini Arusha watu wakikaa magorofani kwao wanaona mechi Bure. Bor huko labda kutakuwa na maendeleo.🎉🎉🎉🎉🎉🎉​@@mudriqjardeny708
@Macamp312
@Macamp312 Ай бұрын
Tupen update everyday
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 Ай бұрын
MWANDISHI HOVYO KABISA,UNAJISKIAJE KUKOSEA JINA LA KATA HIYO KE?
@yusuphrashidi-dr1kb
@yusuphrashidi-dr1kb Ай бұрын
Huu uwanja wa ccm au Tff???
@AdamStephen-h2x
@AdamStephen-h2x Ай бұрын
Chadema
@Macamp312
@Macamp312 Ай бұрын
Taifaaa😂😂
@MaryFlorence-t3m
@MaryFlorence-t3m Ай бұрын
Huo ni WA kasongo yeye😂
@AllyNzisabira
@AllyNzisabira Ай бұрын
Umeambiwa Raisi kasema pesa anahakikisha inatoka kwa wakati ulesikia CCM ikitajwa hapa?
@RoseMichael-oz7cy
@RoseMichael-oz7cy Ай бұрын
Tunamshukuru mh. rais kwa uwanja
@EmanuelMuna-w2q
@EmanuelMuna-w2q 7 күн бұрын
Mheshimiwa Waziri Msigwa, Lesson Learned; Uwanja mpya wa Dodoma, tafadhali sana usijengwe na running track (atheletic tartan). Ujengwe kuchukua watu 30000, lakini bila athletic track. Mjirekebishe haraka sana. Tuna viwanja vitatu Tanzania vyenye viwango vya olympic (world class). Hatuhitaji kiwanja chenye atheltic track tena. Tunahitaji kiwanja cha soka peke yake. Wajengeeni viwanja vidogo vya nje vya wanariadha, na hamuhutaji hata ukuta. Mnahitaji sengénge tu, kama zile za SGR elephant faence. Kama wanariadha watataka mashindano makubwa, hivyo watumie viwanja vya Benjamin Mkapa, Amaan Stadium na Arusha Stadium tu. Huo ni upotevu wa fedha tu, na siku moja mtajuta kufanya maamuzi mabaya na mtahitajiwa muwajibike kisheria.
Baadhi ya nyumba katika kaunti ya Uasin Gishu zimekamilika
5:31
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 6 М.
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO WAFIKIA ASILIMIA 72
7:25
Wizara ya Ujenzi
Рет қаралды 10 М.
ULIPOFIKIA UJENZI WA UWANJA WA MICHUANO YA AFCON ARUSHA
11:34
Updates! Construction of New Msalato International Airport in Dodoma Tanzania
28:07
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН