Ni kweli kabisa Manara kajitoa sana .Ila wivu wa Mwamedi na barba chuki wakitaka kumshusha ila Mungu.Amemwinua na atazidi kumtetea
@nadhilizuber4883 жыл бұрын
Asante joy
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Sanaaaaaa amepambana sanaaaa
@pendocoster41703 жыл бұрын
Sasa na huyo moo ndio ataisoma alidhan ana mkomoa kumbe ame muongezea safari karib sana haji tazama sasahiv unafuraha sana god bless you broo🙏🙏🙏
@saidhamza63903 жыл бұрын
Ka mzee majuto!
@godfreymahavile46883 жыл бұрын
Kwel kaka
@jamilamuna45553 жыл бұрын
Nawe kumbe umeona
@hamidaala28323 жыл бұрын
HataMimiNilijuwaHivyi😃😃😃
@luqmanmbwambwa71273 жыл бұрын
Saut zinafanaa duh
@generozakatima58493 жыл бұрын
Kwakwel umeongea point safi sana hasa kwakuisemea nafasi ya gori kipa hahitaji kuizoea tim yeye kazi yake ni kudaka safi sana baba Haji
@dietrichoswald393 жыл бұрын
Mzee wa hekima Ni mfano wa baba mwema anayeheshimu utashi wa mtoto aliye kiswahili kuwa mtu mzima. Mwisho wa siku matarajio yake yametimia, kwa Mungu mwenyewe kumsaidia haji kutambua kuwa "mapenzi" bila "hekima" ni kifungo cha maumivu ambacho mwisho wake ni kufeli maisha. Pia mzee Sunday Manara ulitupa raja want yanga ukiwa kila na. Naomba Uongozi mpeni nafasi ktk msimu huu wa Return of Champions a endelea kutupa raha kwa michango yake ya hekima na mkakati ya ushindi kama nafasi kuwajenga wachezaji kisaikologia kwa ajili ya ushindi. Kwa maoni yangu itapendeza zaidi .
@kellyngogo33193 жыл бұрын
Ukiwa chumba Cha pili sauti utafikiri anaongea Haji!!
@salomewandya72573 жыл бұрын
Saana sauti copy
@witneyjerry12933 жыл бұрын
Kabisaaa
@mwana45993 жыл бұрын
Masikini Mzazi kwa mtoto Acha kabisa.
@hassinaalharthi59843 жыл бұрын
Yani uumefanana na mzee majoto Jamani
@hassinaalharthi59843 жыл бұрын
Hahahaaaa
@abubakarnabahani49943 жыл бұрын
Yani watu ni wawili wawili kwakweli anafanana na Mzee Majuto !!.
@binmakka86933 жыл бұрын
Mo hana hisani ila bora mbuzi utamla mchuzi bali mo amesahau wema wa Hajj alipaza sauti sanaa FREE MO mpaka akatiwa ndani ameijenga simba kwa kutumia mbwembwe zake za kuhamasisha ila kahama na watu wake wote YANGA1
@nadhilizuber4883 жыл бұрын
Ulokoment unamwita mzee mnafiki we mwamedi uyo bilama babako acha upumbavu kua na adabu sikiliza kwanza uolewe ndo ukoment ata akienda nisawa timu zote nitanzania kwani kaenda tim ya bulundi mbona mimi nimetoka simba na nitaenda yanga moyo ndo umeamua so mie kua na adabu
@frankjohn10533 жыл бұрын
Mimi ni Simba umeongea vizuli Mzee
@mussabulugu63193 жыл бұрын
Lakn mzeee cku moja alihojiwa na redio moja kasema hataki kabisa haji awe yanga leo vp sasa
@luqmaneme91053 жыл бұрын
Sikiliz vzur hii vdeo
@salomewandya72573 жыл бұрын
Sikiliza kwa umakini mzee yuko sawa kabisa
@waziriwaziri82714 ай бұрын
Mzee sema ukweli mwanao alipewa zawadi ya simu na babra kumbe imeunganishwa bila yeye kujuwa hiyo simu ndiyo imesema kilakitu hakuonewa mwanao nimsaliti
@azizasaid52553 жыл бұрын
Mmefanana kasoro mwanao mzungu. Mama yake mzungu,
@naomibarnabas78633 жыл бұрын
💛💚💛💚💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚
@azizshedrack52693 жыл бұрын
Wew mzee acha unafki hapo ulipo fikia swali urudi kwa mungu uongo Wa uzeeni ni noma maana baada yakutubu ndo unazidisha tumechoka kuwaona mitandaoni jamani
@Myplusbee3 жыл бұрын
Unafiki wake ni upi?!
@seremanikimbwene10753 жыл бұрын
Kama hutaki kuwaona watu mtandaoni, C Ww Utoke mtandaoni?
@mbwanamungia99213 жыл бұрын
Manara alitaka awe zaidi ya Mo iyo haiwezekani
@dietrichoswald393 жыл бұрын
aliyekwisha kuwa mtumzima...
@bobjulieoneheartband3 жыл бұрын
Hahahahahahaaaa huyu mzee Bendera Fuata upepoooo, tafuteni humu alishakataa na kusema haji asikanyage yanga. Akija nitaondoka yanga, Abaki huko huko Simba, hahahahaaaaa
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@adamchambo123 жыл бұрын
Huyu Mzee Kwa kauli yake alisema anafurahia Sana migogoro ambao mwanawe aliuanzisha Simba,ukiangalia Kwa jicho la mbali utaona na kugundua hila za kuihujumu Simba ni mpango mikakati uliopangwa ili kuvuruga uongozi wa Simba na mafanikio yaliopatikana,adui siku zote hatoki mbali alitumiwa Haji ambae alikua ndani ya club.nawapongeza viongizi Kwa utulivu pia wanachama na mashabi,Simba Nguvu moja
@pathanemmanuel77753 жыл бұрын
akili yako haina uelewa!!
@abdallahkhamis21993 жыл бұрын
Nakumbuka kusikia sauti yako umefurahi kusikia upande wa pili unavurugana sasa mpira umegaukia kwenu kati yenu Antonio nigaz type kauli yako na nyinyi kuko shuwari kwanu
@petertemu71363 жыл бұрын
KWA hio ulitaka Huyo mwanao awe mkubwa kuliko Simba?
@kassidpandu8663 жыл бұрын
Tumeshuhudia shoo Mbovu kabisa maishani mwangu ya coffi olemide
@onolathajoseph88363 жыл бұрын
😁😁 wivu na mtaongea kila k2 ungemchukua basi baba ako tuone shoo yenu🤔🤔
@kellyngogo33193 жыл бұрын
Hivyohivyo
@kellyngogo33193 жыл бұрын
Wataongea Sana tu!
@hashimsaid55463 жыл бұрын
Farouk na shikalo mwandishi unafeli wapi?
@khamisinyandikila71993 жыл бұрын
Mbona uyu mzee amefanana na zito kabwe
@bushebushemajaliwa66963 жыл бұрын
Wote wa kigoma
@mohamedmariano35583 жыл бұрын
Kumbe unafki upo kwenye family mzima ya Haji. Huyu mzee alisemaga hataki Haji aje yanga abaki huko uko leo anageuza maneno amakweli nyoka azai kenge
@joliteboy5453 жыл бұрын
Kherewa kitu Mzee anaongea akupenda kumpangia mwanahe 💛💚🙏👍
@Myplusbee3 жыл бұрын
Acha ujinga wewe! Umemsikiliza vizuri?! Hadi kwenye hii intavyuu amerudia kwamba hakupenda aje Yanga; sasa unadhani kama Hajji alishaamua, na uongozi wa Yanga umeamua; ulitarajia amzuie wakati Hajj ni mtu mzima?!
@geofreyanania11083 жыл бұрын
Faruku na shikalo
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Kwani mpaka hao yanga kumpenda na kumchukua ni kwa kua alitaarishwa vyema na simba na hakufukuzwa ila alifanya visivo ndio mana akatoka ila haya tuombe uhai na uzm kwa tabia za haji na yanga hatokaaa
@Myplusbee3 жыл бұрын
Alitayarishwa vema na Simba kama alivyowahi kutayarishwa nani?! Usisahau Hajji alishawahi kuwa Katibu Mwenezi wa CCM; kwahiyo ni mzoefu wa kupiga mdomo kabla hajaenda Simba!
@yahyahamad18023 жыл бұрын
@@Myplusbee oh ahsante kwa ukumbusho sawa mi namtakia kazi njrma ila atuachie mo wetu
@Myplusbee3 жыл бұрын
@yahya hamad Haji ni kinyago mlichokichonga wewe, na ule msemo wa kinyago ulichokichonga mwenyewe hakiwezi kukutisha, leo naona inakuwa kinyume chake! Wakati anadhalilisha wengine enzi yupo Simba mlikuwa mnamshangilia tu! Hao GSM walisalimika na udhalilishaji wa Haji kwa sababu tu alikuwa chawa wao, vinginevyo hata wao ingekuwa yamewakuta anavyomfanyia Mo hivi sasa!!
@richardmakene77803 жыл бұрын
Ongerea timu yenu kwa sasa achaneni na kuigusagusa smba sasa amedhalilisha na nan xx aende zke na mmepigwa na mwanao Leo
@joh72823 жыл бұрын
Fala uyu mzee alilazwa police na nan
@pendojoseph65283 жыл бұрын
Wa kwanza mzee wako heshim mzazi wa mwenzio pimbi wee
@mwantumujuma89603 жыл бұрын
Ilah jiulize alilazwa kwa ajir ya nani
@mwantumujuma89603 жыл бұрын
Acha kutuc wazaz wewe mzaz hatukanwi
@bakariamour60243 жыл бұрын
Skiliza vizuri halafu ndio utukane, kenge wewe uyu Mzee ni sawa na baba ako boya mkubwa wewe
@danieljs42853 жыл бұрын
Daah acha matux kwa wat wazma
@justinmgohele67983 жыл бұрын
Mwanao gan mbona wee nimweus
@manyakuulaompondelo44193 жыл бұрын
Kwa hiyo wewe tukisema mama yako siyo mama yako kwa sababu yeye mwanamke na wewe mwanaume nadhani ndo utaelewa somo. Mambo mengine ukihoji unadhihirisha tu hujaenda shule. 😂😂😂😂😂😂😂😂 TZ sihami