PART 1: AYO TV YAFIKA ALIPOTAKA KUTEKWA TARIMO, MUHUDUMU ASIMULIA" WALISEMA NI ASKARI WA OYSTERBAY"

  Рет қаралды 525,186

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 2 400
@TexnoNames
@TexnoNames 2 ай бұрын
Huyu bro ni mungu Tu akasema ufi Leo asnte mungu Kwa kumcmamia Talimo na kumpa nguvu ya ushindi Ameen
@SaidiMiharage
@SaidiMiharage 2 ай бұрын
Amina
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Unafikiri watamkosa Kama Ni mchongo wa hera
@MuiboArde
@MuiboArde 2 ай бұрын
0​@@khadjamhozya
@lydiabochela9363
@lydiabochela9363 2 ай бұрын
MUNGU akiamua kukutetea , hata iweje hawatakuwezaaa , Asante MUNGU kwa kumlinda ndugu yetu.
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 ай бұрын
Mbona kama usanii??!! Jamani kweli mtu atekwe katikati ya watu??!! Dah...Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote😢
@wabikeog_373
@wabikeog_373 2 ай бұрын
Milard Ayo , journalism wa muda wotee 🎉🎉 Tanzania
@joanitamedard5105
@joanitamedard5105 2 ай бұрын
Tarimo nakuomba sana iwe karibu na Yesu WA Ekaristi anatenda. Sali sana Bado Mungu anakusudi lake juu yako
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 2 ай бұрын
Amina
@RahmaOmary-b7m
@RahmaOmary-b7m 2 ай бұрын
Mm nimelia baada yakuona akikamatwa na akiomba msaada nimelia sanaaaa pole kaka tarimo mungu akulinde umepambana sanaaaa
@MkapaplPapailashilunye
@MkapaplPapailashilunye 2 ай бұрын
Kwani ulikuepo hapo
@DayanaMasua
@DayanaMasua 2 ай бұрын
Kuna majirani wasenge
@MkoiTvTz
@MkoiTvTz 2 ай бұрын
"BABA ALIVYOKUWA ANAMPIGA MAMA, KISHA MAMA BADALA YA KULIA YEYE ANAIMBA NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI" kzbin.info/www/bejne/h3Skh5Vvh85_oKs Huu ni ukatili wa kutisha, Msichana huyu ambae ni muhitimu wa mafunzo ya Kijeshi nchini anaeleza jinsi akiwa a miaka 4 Alianza kushuhudia ukatili mkubwa aliokuwa anafanyiwa mama yake mzazi na baba yake kwa kumpiga kama mwizi. Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida kila baba yake anapoanza kumpiga MAMA yake anaanza kuimba nyimbo za tenzi za rohoni pamoja na zile za kuabudu na ataimba kwa kipindi chote anachopigwa hata kama saa zima hadi baba yake huyo atakapo choka basi yeye anaacha kuimba. Kuvumilia vipigo kwa mama wa msichana huyu kumempeleka sasa kupata maradhi mbalimbali mwilini mwake. Licha ya kwamba amehitimu mafunzo ya Kijeshi lakini ashindwa kupata ajira kwa sababu ya kukosa cheti cha kidato cha nne. Wasiliana na Mkoi Tv Online kupitia no 0713575718 ipo WHATS APP
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 2 ай бұрын
alafu hata huyo muhudum ni msenge wangepiga kelele.majirani ni wauwaji yani mtu anaomba msaada wanatoa macho kama nungu nungu
@RahmaOmary-b7m
@RahmaOmary-b7m 2 ай бұрын
@MkapaplPapailashilunye nimeona Kwa sm 😁 me nipo mtwara aiseeee
@ellentukiko5699
@ellentukiko5699 2 ай бұрын
😳Majirani wa ajabu sana, hata km ni wanawake, si mngepiga kelele tu, mtu anaomba msaada anaenda kuuwawa, nyie mnaangalia tu km movie. God bless you Tarimo
@SakinaSakinat-qd9rs
@SakinaSakinat-qd9rs 2 ай бұрын
Inasikitisha kwa kweli
@greysonmfinanga117
@greysonmfinanga117 2 ай бұрын
Wamefeli hao ni wapenda umbea lakini kelele za kuwasaidia watu hawana duhh watu
@isaiahmakenzi9243
@isaiahmakenzi9243 2 ай бұрын
Ndio Tz ya Leo watu wanakuangalia tu unakufa au unatekwa
@jamesfransis8053
@jamesfransis8053 2 ай бұрын
Majilani wajinga kweli kweli kama mbumbu mbu yani yalikuwa kimya tu
@goriaAlexndar
@goriaAlexndar 2 ай бұрын
Wewe unaweza kupiga kelel ukatolewa meno
@polycarptarimo5141
@polycarptarimo5141 2 ай бұрын
Big up sana Tarimo Mungu ni mwema, Anaweza yote
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 2 ай бұрын
Mbarikiwe sana milard ayo kwa taarifa tumegundua saizi Tanzania ni pakukaa kwa machele sana
@chynabreezy4491
@chynabreezy4491 2 ай бұрын
Maaskali, osterbay, pingu, na wameiyacha hahaha kubabeck hii nchi ni kukaa kwa machale sana
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 2 ай бұрын
@chynabreezy4491 😀
@UrassaGodliving-dm3lp
@UrassaGodliving-dm3lp 2 ай бұрын
Na ukumbuke kuushirikisha mwili wako kipato chako
@agustinemsangi
@agustinemsangi 2 ай бұрын
Nikweli aisee ninani anaemiliki pinguuu
@MussaMuhandeni
@MussaMuhandeni 2 ай бұрын
@@pacomezouzoua9175 Wote tuwe wamasai tu!!!
@JamilaYusuph-oe6no
@JamilaYusuph-oe6no 2 ай бұрын
Ujue hii ni mawaidha pia tujitahidi kumkumbuk tu Mungu ili tuwe tayari Kwa lolote wakati wowote ,,Mungu akubariki Broo wa nguvu TARIMO
@DullahNyoni-cr2fu
@DullahNyoni-cr2fu 2 ай бұрын
Duh inaumiza zana hii inchi ina amani lakini wananchi hawana amani mungu tusaidi na utuzaze ujasiri Amina
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 2 ай бұрын
Tarimo will love you more bro Mung akupe maisha marefu sanaaa zidiii kumuomba mungu kila kukicha
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 2 ай бұрын
Hao wenye Hotel mumeshindwa kutoa hata msaada wa kupiga kelele? Hotel ina Walinzi lakini hakuna msaada? Tuwaeleweje??
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 ай бұрын
unamjuaje kama nimtu mzuri ? msiwe mnayaombea majambazi duwa ndio unazid kumaliza watoto tanzania sema kama alikaidi kuriport police wangemtangaza hamna kuwasitir majambazi matokeo yake police ndio wanaonekana wanamakosa
@sifatiiman
@sifatiiman 2 ай бұрын
Wewe ni Kuma tena kuma la mamako lilikula hasala​@@aishaalbalushaishabalush8291
@africatanzaniatours
@africatanzaniatours 2 ай бұрын
​@@aishaalbalushaishabalush8291dada umeongea point , kuna watu wengine ni wabaya , wanafanya mambo mabaya sana ... ila hatujui tu
@shukurually8769
@shukurually8769 2 ай бұрын
​@@aishaalbalushaishabalush8291kumbe tarimo jambazi?
@MonicaTimotheo
@MonicaTimotheo 2 ай бұрын
Asante ayo tv, hongera sana kwa taarifa hii, acheni iendelee kunyesha ili tuone panapovuja maana kila lenye mwanzo lina mwisho
@janengaga2928
@janengaga2928 2 ай бұрын
Bonge Tarimo pole sana..Kazi yenu ngumu Ayo.Mungu awalinde kwa kweli.
@Happizo
@Happizo 2 ай бұрын
Tarimoooo ..nenda kwa Yesu Kristo... akusaidie.. mkimbilie maana wamesema watakurudia...na Yesu atashughulika nao...
@MunezeroMwajuma-r4t
@MunezeroMwajuma-r4t 2 ай бұрын
Akimbie Kwanza atoke tz
@davidcyrus4115
@davidcyrus4115 2 ай бұрын
Mimi nataka kumjua alierekodi apewe maua yake maana bila yeye hiki kitu kisingejulikana...Asante sana sana pia pole bwana Tarimo mungu ni mkubwa wakati wote..!!🙏🏿
@japharyidrissa6139
@japharyidrissa6139 2 ай бұрын
inge julikana sababu hotel ina CCTV camera labda kama police wange Kuja kufuta hizo video sababu wanao fanya matukio ni wao.
@MussaMuhandeni
@MussaMuhandeni 2 ай бұрын
@@davidcyrus4115 Wangefanikiwa kumbeba ingekuaje kwa mpiga picha
@neboughtdigital
@neboughtdigital 2 ай бұрын
@@japharyidrissa6139 isingekuwa public, ingepita kimya kimya tu
@neboughtdigital
@neboughtdigital 2 ай бұрын
Hapaswi kujulikana kwaajili ya usalama wake. Akijulikana si atakuwa target ya hao maadui. Licha ya kwamba cctv zilirekodi lakini cctv huwa nyingi hazirekodi sauti. Na pia kwa rekodi ya video hii hili suala limepata uzito unaostahili. Hivyo aliyerekodi Mungu ambariki na arizike kutojulikana hivyo hivyo.
@SHILECKIZACHARIA
@SHILECKIZACHARIA 2 ай бұрын
Aliyerecod ni mwenye hotel, baada ya watekaji kuchukua akamwabia chukua hii simu yangu wapigue ndugu zangu ndo hapo hapo anaanza kurevod nilimsikiliza mm
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 2 ай бұрын
Pole sana SHUJAA TARIMO ila watu waliokuwa pembeni awakufanya huungwana kabisa kutokutoa msada wa haina yoyote hata kuwapigia simu police waje upesi WAMENIKELA SANA umoja ni nguvu💪
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
Polisi tena?
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 ай бұрын
Na nyie mlikuwa wapi😮😮
@NeemaMtui-xb1wf
@NeemaMtui-xb1wf 2 ай бұрын
Dar unauawa watu wakikuqngalia ukishakufa ndio wanaanza kuuliza tatizo hata kama ni police police hana sheria ya kumfosi mtu kihivyo
@Moses-Kuria
@Moses-Kuria 2 ай бұрын
Jifunzee kiswaili wewe huna hata hayaa eti WAMENIKELAA ,NDO NINI rudia nyuma yanguu ni WAMENIKERAA SIO KELAAAA BWAAAA
@Fesary
@Fesary 2 ай бұрын
Ila angarau walichukua Video
@annakbunga8377
@annakbunga8377 2 ай бұрын
Tarimo ana Mungu sana daah maana bila Mungu wangemuuwa
@mgasa2020
@mgasa2020 2 ай бұрын
Utekaji niutekeji watekaji ni watekaji Mungu tusaidie kwenye nchi yetu Baba pigana nawanaopigana na sisi 😢
@FredrickKisole
@FredrickKisole 2 ай бұрын
Tarimo Mungu akuzidshie uishi maisha marefu zaidi.. Tarimo apewe ulinzi na Serikali imuangalie kwa jicho la pili, ni mtu wa maana sana❤❤
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 ай бұрын
Hawa c askari huyu watakuwa wamezurumiana na watu lazima sio bure Hawa c askari
@BahatiMacklin
@BahatiMacklin 2 ай бұрын
Sitaki kuamini kama hii ni tanzania kweli kama congo pole shemeji yangu pole sana mr Tarimo
@dorcasdavid2247
@dorcasdavid2247 2 ай бұрын
Ahsante Yesu Unayeishi Ndani yetu,,Uliweza Kumpa Nguvu Kaka Tarimo ya Kujipambania,🙏🙏
@Judy-qh8bj
@Judy-qh8bj 2 ай бұрын
Amina🙏
@fatumahapesamohamedfatumah4633
@fatumahapesamohamedfatumah4633 2 ай бұрын
Kwn kikubwa haswa kawafanya nini? Atakama kawakosea kvp hawakupaswa kuchukua hatua mkononi mwao.
@KhalfaniFarisy-c3w
@KhalfaniFarisy-c3w 2 ай бұрын
Tumia akiri ndugu yangu. Hupaswi kumshukuru Yesu kwasababu ni kiumbe. Soma Luka 1:30,31
@shabanidaruweshi-jw5jy
@shabanidaruweshi-jw5jy 2 ай бұрын
Ukisema asante Yesu nisawa na umesema asant Abedi au Aruna
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 ай бұрын
Saw we mbona unaposhukur viumbe wale wasioonekans wa kulia na kushoto kwako nani anakusumbua 😅
@gapserminja5215
@gapserminja5215 2 ай бұрын
Braza tarimo Kwanza kabisa nikupe hongera kaka wewe ni shujaa kupambania na watu watatu sio rahisi Kaka mungu akutunze Sana na akupe maisha marefu hao watu.watakufa wao mungu yupo.hao majirani nao nivishoiya mm ningevunja vioo vyote vya gari
@Athumanmreta
@Athumanmreta 2 ай бұрын
Unaongea tu huwezi
@monicamassawe3435
@monicamassawe3435 2 ай бұрын
Kabisa
@ahz6907
@ahz6907 2 ай бұрын
Hicho kiherehere siku utapigwa shaba😂
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 ай бұрын
Unene tu ulimuokoa hakuna kingine😅😅😅
@GivenTobago
@GivenTobago 2 ай бұрын
MBAYA ZAID HAWA JAMAA NI MASOJA MAANA WAMEKATA WANA VIJUBA WANAONEKANA WATU WA MAZOEZI
@mwigarleysaid5406
@mwigarleysaid5406 2 ай бұрын
Mtangazaji. Umetenda haki 🎉unafaa. Viva 🎉🎉🎉🎉 Uko vizuri Sana hongera
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 2 ай бұрын
hajatenda haki ameshindwa kuoji suala la walinzi wa hotel wanaopaswa kutoa ulinzi kwa wateja walitoa msaada gani kwa mteja wao?? mteja anachukuliwa na watu waliokataa kujitambulisha lzm walinzi wangeweza kutoa msaada ili mteje wao asiteseke namna ile
@MussaMuhandeni
@MussaMuhandeni 2 ай бұрын
Mtangazaji umehatarisha maisha ya Binti
@Isaya-bx8fi
@Isaya-bx8fi 2 ай бұрын
Siyo kweli huoni sura ya binti imefichwa. Inaonesha upande wa nyuma​@@MussaMuhandeni
@DianaMacha-jf8gw
@DianaMacha-jf8gw 2 ай бұрын
@@MussaMuhandeni hapana kwa sababu hakumuonyesha sura
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu 2 ай бұрын
​@@hamisimuhunzi7916futilia habari vizuri mkurugezi wa hotel alisema hana walinzi mchna isipokuwa mchna wanatumia tu camera na ucku ndio wanatumia walinzi kwa kifupi mchna hakuna walinzi hotelini
@boniphacelusato
@boniphacelusato 2 ай бұрын
Hongera, unajua kuhabarisha. Umeiva kwenye fani yako.
@AgnesMiyi
@AgnesMiyi 2 ай бұрын
Pole sana tarimo mwenyezi mungu akupe maisha marefu
@auriliamushi4092
@auriliamushi4092 2 ай бұрын
Kusema kweli Hali ni mbaya hii watu wanafuata raia wanajiita police wakivalia kiraia iangaliwe kwa ndani zaidi kama wale wamama wangepiga kelele wangejutokeza watu lakini walishangaa kama hawajawai kusikia watu wanatekwa na kuuwawa. Pole sana Bro Tarimo mungu yu pamoja nawe
@HappyShirima-k9t
@HappyShirima-k9t 2 ай бұрын
Yaaaan ni kitu chakushangazaaa sana sijui ni low of education sijui ni ulumbukeni yaani kusema na ukwelii nashindwa kuelewq kwann wasichome moto gar la hao washenz wanaojiita police
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 2 ай бұрын
​@@HappyShirima-k9tWanawake wangeweza kuchoma gari?
@KhalfanKiko
@KhalfanKiko 2 ай бұрын
Pole sana aisee mtani mung yu pamoja nawe daima ishi na zabiri ya 23 pia usisahau kumtolea mung sadaka ya shukran pia niwasih watanzania wenzang hebu tubadilike jamani tujarib kua naumoja mchana kweupe mtu anachukuliwa tena anapiga kelele kuomba msaada hakuna hata mtu alojitokeza inasikitisha sana tubadilike I jaman
@fredernestonline6011
@fredernestonline6011 2 ай бұрын
Hao n police. Ushawah ona nan anazo pingu
@AishaMaganga-vd1jg
@AishaMaganga-vd1jg 2 ай бұрын
​@@fredernestonline6011wangekua police 🚔 wakweli wanvafata haki zakibinaadam! Hao siyo. Siyo kla anaemilki pingu bas police! Kunaraiya pia hata siraha zamoto wanamiliki. Tuendelee kumuomba Mungu Tz nikubaya yaone kwamwenzio hayajakukuta.😢😢
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 2 ай бұрын
Hoo mabonge.wazembe mmeona shuguli ya.talimo.bonge mungu.mwema arndelee.kumlinda na.pia tuendelee kula tunenepe tu
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 2 ай бұрын
Sam HUNG
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 2 ай бұрын
Naongeza Mlo, kwa Sasa Mlo Mara 5 kwa siku
@TanoBudigisila-ns6rw
@TanoBudigisila-ns6rw 2 ай бұрын
Kwakweli Maana Apoo Mwili Umemsaidia Sana kutoingia Kwenye Gari Maana Angekua Mwembamba Ooooohoooo
@ProJoel.
@ProJoel. 2 ай бұрын
Dah!!! Inakera sana, ila huyu Mungu atatenda kitu kwenu, Mungu akusaidie sana Tarimo, yani mtu unaishi maisha yako kumbe kuna watu hawalali na wanakukalia vikao kwa ajili ya kukuangamiza hujui, ee Mungu tulinde na roho hizi za maangamizi.
@SangwaSauda
@SangwaSauda 2 ай бұрын
Mungu wetu ahsante sana kwa kumusaidia sijui kiswahili najifunza.I like Tanzanians especially Mr Blue na Ab skills pamoja na TID ,TMK na one song :Swaiba🎉.Mungu protect you all.❤🎉
@meryorotha671
@meryorotha671 2 ай бұрын
Pongezi nyingi kwatarimo amejitetea adi mwisho watanzania tuweni naumoja tusiogope kuhoji ata kama niasikari Dunia imebadilika jamani tarimo hoyeeee👏👏👏👏
@Alicemsafiri
@Alicemsafiri 2 ай бұрын
Ila talimo ni mwanamume kweli mungu azidi kumlinda kwa ayo yaliopangwa juu yake
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 2 ай бұрын
"Talimo" ni nani jamani
@berithaandersonn2234
@berithaandersonn2234 2 ай бұрын
​@@Brunn-mh2bqyaani inaudhi kwakweli
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 2 ай бұрын
Si hivyo ukikumbuka unaenda kufa huwa nguvu ya ajbu mungu ni mkuu piah
@RobsonMwongi
@RobsonMwongi 2 ай бұрын
Hakuna hoter hapo muda wote mlango uko wazi
@LuckyTemu
@LuckyTemu 2 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@gwakisanoah2538
@gwakisanoah2538 2 ай бұрын
Hapa milard ayo pokea maua yako,,, kazi njema sana hii. Talimo hongera kwa kutokumwachia Mungu apigane wewe ukae tuliii, tutapambana daima kwa Msaada wa Mungu. Eeeee Yesu tusaidie.
@Leodimk-n5c
@Leodimk-n5c 2 ай бұрын
Safi sana. Hizi ndizo kazi za waandishi wa habari sasa na sio kusubiri taarifa za pilisi au mtungani sujui asema ndipo waturipotie.
@WolfW-ip6jl
@WolfW-ip6jl 2 ай бұрын
Na huo ni ujinga piah hapo sasa wangesubili police si angepatwa majanga,.. hiyo sheria imekaa kipumbavu nayo sometimes
@EliudiJastini
@EliudiJastini 2 ай бұрын
Pole sana brother Tanzania tuamke sasa tuache ujinga
@Chimamy1985
@Chimamy1985 Ай бұрын
Yaani kwanza huyu baba ananguvu sana apewe hongera kawashinda wanaume watatu dah mungu mkbwa
@MeryJonh
@MeryJonh 2 ай бұрын
Kuna mitaa Utafikiri akuishi wanaume.Akuna msaada mmmh🙆‍♀️
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 ай бұрын
Miogo kachumbari nguvu wapi😊
@MasesoGenya
@MasesoGenya 2 ай бұрын
Mamtu majinga
@sponsor7882
@sponsor7882 2 ай бұрын
asili ya wabongo sio kamaw a kenya
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 2 ай бұрын
​@@Aziz-p6s😅😅😅😅umemaliza kila kitu
@DavidYusuph-q9c
@DavidYusuph-q9c 2 ай бұрын
hii Hotel haifai kabisa yaan wanaruhusu mteja mbk anatekwa wakat na walinzi wapo kabisa hapa mm siwez kuja kamwe😮😮
@AhmedSeif-q6u
@AhmedSeif-q6u 2 ай бұрын
Ndio hapo nashangaa wameshindwa hata kupigia polisi
@glorykastai3996
@glorykastai3996 2 ай бұрын
Labda hapakuwa na ulinzi wajifunze tena wawe na walinzi wenye siraha ya moto
@fredmhanga3346
@fredmhanga3346 2 ай бұрын
Hoteli haifai kabsa hyo sio salama mteja anatiwa nguvuni na watu wasiojulikana wala hakuna kuchukua taarifa yoyote kutoka kwao
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 2 ай бұрын
Hajatekwa amenusurika
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 2 ай бұрын
Yaani umesema kama mimi hapo tayaro hotel imeshachafua jina hapafai kabisa yaani watu wanamchukua mtu hawajafika hata kuulizia wanaomchukua watu gani? Vitambulisho vyao kuonesha kwamba wao askali na kama askali kibali cha kumkamata mtu huyo kiko wapi
@LucasMapundu
@LucasMapundu 2 ай бұрын
Ila huu mchezo utafikia mwisho endeleen maana atuwezi tukaishi kwakuogopana kiasi hki mungu yupo
@asumptagodfrey3175
@asumptagodfrey3175 2 ай бұрын
Inaumizaaaa mno
@godwineliya4686
@godwineliya4686 2 ай бұрын
Mungu kakuokoa Bwana Tarimo. Ungepatikana Ununio
@BestaChaula
@BestaChaula 2 ай бұрын
Asante MUNGU hakika unatenda miujiza ya ajabu sifa na utukufu tunakurudishia Ee bwana 🙏🙏🤲🤲🧎🧎 wewe ni MUNGU hulinganishwi na chochote🙏🙏 utabaki kua MUNGU MILELE na MILELE 🙏🙏
@MAILAGUN
@MAILAGUN 2 ай бұрын
HAKUNA ALIE SALAMA KWENYE HII DUNIAA TUWE MAKINI SANA 🙌🙌🙌
@msarama5406
@msarama5406 2 ай бұрын
Sasa kama ni muhalifu mbona kaenda mpaka polisi mwenyewe na hawajamueka ndani hii nchi bana 😢😢
@LusekeloAdam
@LusekeloAdam 2 ай бұрын
Mwamba kapambana sana. Ila tuongeze kula ili tuwe wanene. Si mmeona Tarimo UNENE ulivyo msaidia
@AishaJafari-sh4pe
@AishaJafari-sh4pe 2 ай бұрын
😂😂😂😂sawa ngoja tule
@christermlewa8471
@christermlewa8471 2 ай бұрын
Kweli 😂😂
@ConsalvaMumbara
@ConsalvaMumbara 2 ай бұрын
Sifanyi diet kuanzia leo😂
@Nassib-h5k
@Nassib-h5k 2 ай бұрын
Mjomba Kama siku yako haijafika atakama angekua mwembamba asingeenda
@malakisilas6523
@malakisilas6523 2 ай бұрын
Walishindwa kumbebe
@DavidEvarist-q1n
@DavidEvarist-q1n 2 ай бұрын
Pole sana brother tarimo MUNGU akutumze na usiache kuomba
@wabikeog_373
@wabikeog_373 2 ай бұрын
👌🏻😅 nmependa hii ,kama antafsiri movie
@SHALIFUSHALIFU-id9ku
@SHALIFUSHALIFU-id9ku 2 ай бұрын
Namshauri talimo kuhama nakusafili pasipojulikani maana watakutafuta tena hao wa2 jiondoshe kk ang
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 2 ай бұрын
Mnanikatisha tamaa sana ndugu zangu wa TZ.
@SleepyBacon-zx9rm
@SleepyBacon-zx9rm 2 ай бұрын
Siwezi kukubali mtoto wangu askari hata kidogo .Bora auze barachichi🤭🤭🤭🤭🤭🤭
@cdeegwau551
@cdeegwau551 2 ай бұрын
Sio kwamba wote ni wabayaa, mbna wengne fresh tu wametusaidia Mmbo kibao tu
@agustinemsangi
@agustinemsangi 2 ай бұрын
Kabisa
@AbiaWilliam-s1s
@AbiaWilliam-s1s 2 ай бұрын
Kabisa
@cdeegwau551
@cdeegwau551 2 ай бұрын
@@SleepyBacon-zx9rm sawa, tutaonaa watafanya kaz gan kama hawatageuka kua mashoga, maana unampangia Mungu
@zawadimwangoka4432
@zawadimwangoka4432 2 ай бұрын
vipi kama wametumia jina ilo na sio wao
@ElizabethPalanjo
@ElizabethPalanjo 2 ай бұрын
Asante mungu kwa kumuokoa tarimo
@ZuhuraAthuman-u2i
@ZuhuraAthuman-u2i 2 ай бұрын
Pole kaka hao majirani sio watu wazuri kabisa,mshukuru mungu kakupa nguvu za kupambana nao umejitetea mwenyewe kwa msaada wa mungu pekee,jitahidi kuwa makini ktk mizunguko yako yote hao bado hawajachoka
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 2 ай бұрын
Watanzania niwaoga sana MUNGU atusaidie
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
Naomba Mungu anisamehe kama ni mimi Niliwafanya kua waoga. Mkiwa waoga siku moja mtawaliwa na dictator......Jk Nyerere.
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 2 ай бұрын
Mungu wetu atulinde na adui aliyopo sirini. Amen. Tupo pabaya taifa letu.
@kingdavid8800
@kingdavid8800 2 ай бұрын
Mm nalaumu majiran mpka kesho!! Majiran hawafai kabisaaa maana wanaweza kuona mtu anauwawa na wenyew wapo tu wanashuhudiaa!!!! Ashukuriwe Mungu aliyempa Tarimo Nguvu Za kupambana!!!
@andreamandari7089
@andreamandari7089 2 ай бұрын
Daaaaa kama yule dereva wa mtei😭😭😭😭😭
@StephanoWilifred
@StephanoWilifred 2 ай бұрын
Mungu azidi kumm bariki na ampe uhi na maisha maref kaka yetu
@ShamimuKanju
@ShamimuKanju 2 ай бұрын
Pole Tarimo Mwenyeezi Mungu yuko nawe
@danielelikana2615
@danielelikana2615 2 ай бұрын
Mtu anakamatwa mijitu imesimama tu..ovyo kbs!
@maymur19scales
@maymur19scales 2 ай бұрын
Ungeenda wewe kusaidia 😢
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 2 ай бұрын
Ndugu,inashangaza unalaani mtu kutekwa huku watu wanashuhudia bila kutoa msaada! Lakini na Mimi nimeshangaa Kuna shetani mmoja anakujibu hapo kwamba ungeenda kusaidia wewe!!! Yaani mpaka unajiuliza huyu anaekujibu hivyo inaonekana yeye amefurahia tukio hiloo ama ni nini!??? Kumbe Hawa mashetani nao wako humu wanasoma comments za watu! Ila wajue kila lenye mwanzo lina mwisho! Mungu yupo kazini! Kuna siku Mungu atawaonyesha ukuu wake kwamba yeye ndiye ALFA NA OMEGA.
@Mamkubwa
@Mamkubwa 2 ай бұрын
Tuendelee kutiana moyo kuwa ikitokea saidia. Hoji. Ukiona haikai sawa ingilia km vile tukimuona kibaka.
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
​@@maymur19scales Kitu cha kuogopa ni uoga wenyewe.
@WolfW-ip6jl
@WolfW-ip6jl 2 ай бұрын
​@@maymur19scaleswe naye kuma unajibu kama mkundu unaharisha fala wewe,.. huyo ni binadamu anategemewa,.. mavi yako na wewe unajibuje hivyo,. Eti ungeenda wewe kusaidia,.. sasa alikua eneo la karibu? Nyieh ndio wale unaona mtu anchomwa kisu au anaonewa alafu unapita kama huoni,.. tuweni na roho ya huruma..
@josephmolle
@josephmolle 2 ай бұрын
Inauma sana
@henrymjema1685
@henrymjema1685 2 ай бұрын
Daaah, ngoja tusubiri tamko la serikali watasemaje
@beatricemsophe9839
@beatricemsophe9839 2 ай бұрын
Usishangae wakalikalia kimya aisee
@RhodaKibona-w9j
@RhodaKibona-w9j 2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu, we mwema sana ,hatuna la kusema zaidi ya asant...
@almachiusnkwaju
@almachiusnkwaju 2 ай бұрын
Rais wa kitaa alisema ukweli, wanakuja kama polisi #Nitasema❗❗
@gracewilliam4102
@gracewilliam4102 2 ай бұрын
Yaani huyu ni mwanaume na nusu au siyooooo jamani yani kampambania uhai wake na Mungu azidi kumlinda tarimo
@agneslyatuu6349
@agneslyatuu6349 2 ай бұрын
Halafu waliokuwa wanamteka wameonekana waziii ila utasikia hawajashikwa hawajajulikana Tanzania 🇹🇿.
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 2 ай бұрын
Hatari sana kwa kweli yaani nchi ime haribika vibaya sana. Allah atustiri yaarab na atu hifadhi na watu kama hao
@SuleimaniabdelehmaniChitanda
@SuleimaniabdelehmaniChitanda 2 ай бұрын
Tatizo uongozi wa juu mbovu mbona utawala wa magufili Aya mambo ayakuwepo ila sasaiv shida tupu hakuna amani tena kwenye taifa letu
@berithaandersonn2234
@berithaandersonn2234 2 ай бұрын
​​@@SuleimaniabdelehmaniChitandaHivi unaanzaje kulaumu uongozi wa juu kote huko wakati unaona watu wa karibu walivyotulia kama hawaoni
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 2 ай бұрын
@SuleimaniabdelehmaniChitanda yaani ukiona mambo kama hayo tuna ingiwa na uwoga huna hata hamu ya kutembea. Kwa kweli vina tisha sana
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 2 ай бұрын
Tanzania inaharibika Aisee.!!?? Utafikiri ni Somalia.!
@msarama5406
@msarama5406 2 ай бұрын
​au ulikua hujazaliwa😢😢
@suzanaronald488
@suzanaronald488 2 ай бұрын
Ayo TV 12:29 ✅️ mpo vizur mnajua ethics za kazi 🎉great 👍
@RehemaManase-t7j
@RehemaManase-t7j 2 ай бұрын
Hiyo sehemu siyo nzuri, hamna hata watu wakumsaidia,
@shomarijuma870
@shomarijuma870 2 ай бұрын
Ila izi hotel zetu hakuna ata walinzi maan mteja akija hotel n mteja km ikitokea Sinto fahamu km izi lazima mumlinde mteja ila hap Kuna por security. Ila tarimo n the Hiro mungu akupe maisha marefu broo
@AgnesAbel-b1i
@AgnesAbel-b1i 2 ай бұрын
Hakuna kitu kabsaa Hilo chimbo hakuna ulinzi kabsaa huduma mbovu kabsaa
@shomarijuma870
@shomarijuma870 2 ай бұрын
@AgnesAbel-b1i uwakika Yan siyo pakwenda kabisa yani
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 ай бұрын
Walinzi walitakiwa kutoa support nadhani wasingeweza kumfanya chochote lakini poor security ndio imefikia hapo
@shabanimbenu2163
@shabanimbenu2163 2 ай бұрын
YA RABY TUSITIRI WAJA WAKO 🙏
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 2 ай бұрын
ALLAHUMA AMIN YAARAB AMIN
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 2 ай бұрын
Damu ya Mtu watanzania acheni kuuwana kisa hela ifahamu kila siku watu Mnawateka ila Na nyinyi siku yenu ipo
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 2 ай бұрын
Sasa hiv Tanzania Malaika mtoa roho anakuja live unamuona n kupambana naye big up Tarımo,
@ernestaassenga9646
@ernestaassenga9646 2 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu sana kwa watu wake,nimtetezi na mlinzi wakila mtu
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 2 ай бұрын
Jmaa ni Bonge la Mwandishi yaaan
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 ай бұрын
Shikamoo unene 💪
@EvanceShirima
@EvanceShirima 2 ай бұрын
Jamani daa huyu ndugu mungu kamuokoa mtu tatu lakini tarimo aligeuka samsoni gafla
@jenipheraron3566
@jenipheraron3566 2 ай бұрын
Dah Mwenyezi Mungu msaidie na mlinde Tarimo
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 ай бұрын
Asanteni Millard Ayo kwa kupaza sauti juu ya mambo ya kikatili yanayo endelea kwenye nchi yetu. Watu wanajichukulia sheria mkononi khah. Na nyie majirani si mngepiga kelele jamani? Tanzania tufundishwe kusaidiana jamani katika haya matukio sio kusimama tu kama miringoti 😢😢😢
@JanethJoseph-zt4mx
@JanethJoseph-zt4mx 2 ай бұрын
Mhudumu iv matukio yote ayo kwanini usishtuke mwenzako anasema wanataka kumuuwa alafu mteja wa muda mrefu kwanin wasipige Cm police mhudumu nawe anashida😢
@MatidoniFausitini-f4l
@MatidoniFausitini-f4l 2 ай бұрын
Mimi nimesema hoteli ifungwe na wahudumu wote wachunguzwe wenda wanaujua ukweli
@NoelaJohn-p5d
@NoelaJohn-p5d 2 ай бұрын
Mchaga mwezak nikusii kaka yangu mung amekulind pakubwa mno ukatuw sadak ya shukran ila kwa sasa tembea na mabondea hat wawil kaka yangu kila uwendak usiruhus kuwa mwenyew kabisa na pia usitumbey bila kuw na silah maan hii inatish san majiran wanaangalia tyu bila kusaidia kweli jaman
@ModestaNjau
@ModestaNjau 2 ай бұрын
Pole sana bro. Mungu ni mwema. zaburi 121 isome bro
@AshuraShagihilu
@AshuraShagihilu 2 ай бұрын
Aiseee,Mungu yupo kwakweli.
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 2 ай бұрын
Mungu nimwema umetenda miujiza kwa.kaka
@ShangweSylus-nf6we
@ShangweSylus-nf6we 2 ай бұрын
Hili tukio linatisha sana na kuumiza ooh my God, hii nchi sijui tunakoelekea dah, RIP Magufuri🙏 assume ni kakako, babako au mwanao kubabake inauma sana aisee
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 ай бұрын
@ShangweSylus-nf6we acha ujinga Magufuli alikuwepo ndio utakaji ulianza umesahau kuhusu Mo ? Roma mkatoloki? Beni Saanane ? Nawengi wasio kuwa maarufu. Wacha utumwa wa fikra.
@ShangweSylus-nf6we
@ShangweSylus-nf6we 2 ай бұрын
@@nakundwamkubwe7823 we nyau sijakuita kwenye comment yangu bwege wew niache nisikitike kwa style ninayoona itanisikitisha niache pita kule
@anastahiliutawala3879
@anastahiliutawala3879 2 ай бұрын
Magufuli ndo mwanzilishi hawa wanaendeleza tu
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 ай бұрын
@@anastahiliutawala3879 sahihi kabisa.
@ireneque9813
@ireneque9813 2 ай бұрын
Mbona vitu vingine alivyoviamza hawaendelezi...ndo ujue si yeye aliyekuwa anafanya.....maana wanaendelea....yeye alianzisha kupigania wanyonge mambo hayo na maendeleo yaliisha alivyofariki.
@asteriashios1852
@asteriashios1852 2 ай бұрын
Jamani ikitokea mambo km hayo mnatakiwa mchukue hatua mkononi na wananchi msifumbie macho
@MariaWema
@MariaWema 2 ай бұрын
Hao watejaji licha ya sura Zao kuonekana kukamatwa kwao itakuwa ngumu sana kila siku itakuwa upelelezi unaendelea 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@georgeurembo4553
@georgeurembo4553 2 ай бұрын
We Acha tu, inauma sn
@latifamubba100
@latifamubba100 2 ай бұрын
Upo saii kabisa.
@Chqnilee96
@Chqnilee96 2 ай бұрын
Umeongea point 🎉
@josiahlameck1319
@josiahlameck1319 2 ай бұрын
Wabongo kwa kusimulia hawajambo ila kumsaidia hamna
@ArianaPaul-t7e
@ArianaPaul-t7e 2 ай бұрын
Pole sana bwana tarimo ila Hawa majirani cjawapenda kwakweli😢 kubwa kapona mungu tunakuomba utulinde na haya mahangaiko
@mwanaidirashidi
@mwanaidirashidi 2 ай бұрын
Yaani watu wamesimama kama misukule wameshindwa hata kupasua hiyo gari Kwa mawe yaani nimeumia sana 😢😢😢
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 2 ай бұрын
Wewe acha tu
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 ай бұрын
Acha wale watu, kuna lijanaume limepita tuu km halioni
@MerryMboya
@MerryMboya 2 ай бұрын
​@@rosemilingi7860binadamu atuna utu jamnn nimeilia duu😢
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 2 ай бұрын
​@@RenaldaZeramula Ushaambiwa ni Dar mwanaume wa DAr uyo😂😂
@hildamasonda6528
@hildamasonda6528 2 ай бұрын
Yaan
@GorgeRichard-v8p
@GorgeRichard-v8p 2 ай бұрын
Tarimo anafanana sana na Doto Magari.
@EstaDaffi-wg5cr
@EstaDaffi-wg5cr 2 ай бұрын
Dahhhh mi kila nkiangalia kwa pembeni namwoma doto magari
@HadijaNjopa-yi7uz
@HadijaNjopa-yi7uz 2 ай бұрын
Unajua kweli kufananisha
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 2 ай бұрын
Watanzania waulize UMBEA,STAREHE NA UWOGA LKN BUREEE KBSAA😢😢maneno mengi lkn sio watu wakujitetea wala kutetea
@alfredndau9195
@alfredndau9195 2 ай бұрын
Ongeza na mambo ya simba na yanga
@RoseMichael-oz7cy
@RoseMichael-oz7cy 2 ай бұрын
@@alfredndau9195 umenisaidia kusema 👋👋👋
@JobMbanga
@JobMbanga 2 ай бұрын
Dah Tanzania 🇹🇿 ni yaajabu sana hii inamaana mtu anapiga kelele wananiuwa watu wanaanglia kama move dah mungu akubariki akupe maisha marefu 😢😢😢
@mpinabaharia2247
@mpinabaharia2247 2 ай бұрын
Mwandishi umefanya kazi yako vizuri.kongole sana
@SakinaSakinat-qd9rs
@SakinaSakinat-qd9rs 2 ай бұрын
Ila watu jmn mwenzenu apiga kelele kutaka msaada watu waoga sana hata kupiga simu police 😮 Hongera kwake lkn alipambana sana na Mungu alimsaidia na kuwashinda
@SkyConnect-z6x
@SkyConnect-z6x 2 ай бұрын
Unawapigia Police tena walewale,hawaji mpaka wahakikishe ametekwa ndo wafike kwenye eneo la tukio,
@SakinaSakinat-qd9rs
@SakinaSakinat-qd9rs 2 ай бұрын
@SkyConnect-z6x shida tupu
@RamadhaniSuru
@RamadhaniSuru 2 ай бұрын
Mindomaana najitosaga hata kama ishu hainihusu 😢😢😢😢 kama mimi ningeingilia kati watz tunaogopa kufa
@francismngumi5125
@francismngumi5125 2 ай бұрын
Sema tu kwa kuwa hao majirani ni walikua wanawake..
@faridiathumani3114
@faridiathumani3114 2 ай бұрын
Mafwere shikamoo
@MikereMio
@MikereMio 2 ай бұрын
Na Iddi Amini mama samia
@piliramadan875
@piliramadan875 2 ай бұрын
Mwenyezi mungu akulinde kaka talimo
@baybeshayo18
@baybeshayo18 2 ай бұрын
Tarimo ndugu yangu Yesu anakuhitaji bado hutakufa bali utaishi ktk jina la yesu kristo wa Nazareth aliye hai.
@johnsebastian-bx6qn
@johnsebastian-bx6qn 2 ай бұрын
Hii ni hatari kabisa EEEEYESU LIKOMBOE HILI TAIFA LETU LA TANZANIA 🇹🇿
@MohammedShabani-h6p
@MohammedShabani-h6p 2 ай бұрын
Polisi hao wanateteana tu hawana lolote polisi hao.
@DianaMacha-jf8gw
@DianaMacha-jf8gw 2 ай бұрын
Hao majirani Mungu awalaan
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 ай бұрын
Pole sana tarimo. Nimejaribu kuwaza kidogo, au big tarimo alikuwa na appointment na mwanamke/mpz wake then yule mpz wake nae alikuwa anafuatiliwa na mume wake au mpz wake mwingine may be ndio inshu ikafikia hatua hii. Nimejaribu kuwa tu.
@MethoKabaitilaki
@MethoKabaitilaki 2 ай бұрын
Ayo hongereni sana.
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
MUME WA ALIYEFARIKI CHUMBANI NA MWANAJESHI  MSTAAFU TABORA AELEZA MAZITO
16:22
Scammers PANIC After I Hack Their Live CCTV Cameras!
23:20
NanoBaiter
Рет қаралды 29 МЛН
Sihir Pemisah "Nyawa Untuk Nyawa"
16:10
YouCast Clips
Рет қаралды 358 М.
SHUHUDA: MAMBO YA KUTISHA ALIYO PITIA EMMANUEL KUTOKA MOROGORO
1:54:31
Reality of Christ Church
Рет қаралды 429 М.
Jerusalema: Gangster's paradise  HD Movie
1:58:57
Rewind ZA
Рет қаралды 177 М.
Machiavelli's Dark but HONEST Advice to GOOD People: The Art of POWER
14:57
Africa's North Korea
19:09
hoser
Рет қаралды 3,6 МЛН
UNABII WA 2025 KUNA  RAIS ATAFIA MADARAKANI...
28:54
Haleluya Tv
Рет қаралды 273 М.
ALWAYS LOVE YOUR MOM! ❤️ #shorts
0:55
LankyBox
Рет қаралды 23 МЛН
ФИНАЛ / 4х4 ЖҰЛДЫЗДАР ШАЙҚАСЫ
5:3:21
DOSYMZHAN
Рет қаралды 93 М.
Урыла😏 #кино #film #fypシ #minions
0:37
Faron
Рет қаралды 8 МЛН
Анаконда келін 2 | Шешімі бар
45:55
Телеканал Алматы / Almaty TV
Рет қаралды 234 М.
Кому ты в больнице нужен? | 9 серия | Скорая
28:13