Ukichukua Maela ya Freemason utakula Bata sana 🤗🤗 mda ukifika unaenda kuwatapika
@irenebellabellah40033 жыл бұрын
Mbona iko wazi kbc. Freemoson jmn. Ata umri wa huyo dada. Trh vt viko wazi kbc
@hadijahassan31133 жыл бұрын
@@irenebellabellah4003 viko wazi kivipi dada
@zach4068-c9e3 жыл бұрын
Eeh mwenyezi Mungu tunaomba utupe Mwisho mwema 🙏🙏🙏🙏 hii dunia sio mali yetu bali ni mali yako Mungu baba kiukweli ina huzunisha sana 😥😥😥😭😭😭😭
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Niwachache wanaojuwa hivo
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Yaani jamani tuombe Sana Mungu. Nakumbuka maisha yangu ya ujana, nashukuru Mungu kunitoa huko salama jmn, sio kwa uwezo wangu. Simlaumu maana ukiwa kijana kweli majaribu ni mengi
@veeJesus3 жыл бұрын
Leo umeongea point
@tanyanyakipande80823 жыл бұрын
Ulikiunga na imani hiyo?
@angelgerald75623 жыл бұрын
Kabsa dear
@naifmatar37103 жыл бұрын
Yaa Allah tujalie mwisho mwema🙏
@ndudusuleiman34803 жыл бұрын
ALLAH IS EVERYTHING Tumuombe atusamehe
@jamilajamila45723 жыл бұрын
Duh inauma kiukweli
@Mr_Highlights3603 жыл бұрын
Allah atuhifadhi, imagine unakufa ukitoka CLUB, na sii kuswali
@chugagirl40943 жыл бұрын
Daah umenifanya nilie Mwenyezi MUNGU atupe mwisho mwema
@farajiissa5603 жыл бұрын
Hatar sana mungu atupe mwisho mwema
@angeljustene93803 жыл бұрын
Useme hivyoo wew unajua utakufa ukitoka wapi?
@allyzicko81493 жыл бұрын
@@angeljustene9380 Mungu amsamehe madhambi yake
@allyzicko81493 жыл бұрын
Mungu atujalie mwisho mwema
@beatricefayance68313 жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu tuepushe na mwisho mbaya Amen
@rachelmbeyu43853 жыл бұрын
Hawakujua nini kinawasubiri jamani. Mungu anasiri nzito
@kawawamamaya85433 жыл бұрын
Sana Jamani, alafu kifo chao eeh Mungu
@maureensunguya87793 жыл бұрын
This is actually scary.. Such a young woman gone too soon
@angelbwija95473 жыл бұрын
Uyu dada ametoshewa sadaka 😥😥😥😥😥😥😥😥 pesa za kimashetani siyo pesa jamani,acha nibaki na maisha yangu ya kuuza coconut 🥥🥥🥥🥥🍅🍅🍅🍅🍎🍎🍎🍅🍅🍅🍅🍉🍉🍏🍐🍐🍏🍉🍉
@stephenlusekelo3 жыл бұрын
Hahaha
@irenebellabellah40033 жыл бұрын
Kwakweli mungu atunusuru
@danfordmwingira85123 жыл бұрын
Daah all in all life ni zawad na kifo ni fumbo la Imani...🙏
@imeldabamba37793 жыл бұрын
Danford Ameen
@shamsahassan25863 жыл бұрын
Tukumbukeni ibada jamani tusiendekezeni starehe tu,,mautu huja gafla,,na cc tuwa mungu na kwake tutarejea
@ommyTv1943 жыл бұрын
Amini ywa tunajisahau sana maisha haya bila MUNGU sikituu
@shamsahassan25863 жыл бұрын
@@ommyTv194 sana tens Sana,, mungu atupe hatma njema inshallah na atufanyie wepesi ktk ibada zake
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Amina
@abubakariababi6273 жыл бұрын
Nikweli kabisa dada angu umenena jambo jema sanaaaa
@mustaphamcheni52313 жыл бұрын
Kweli kabsa
@imeldabamba37793 жыл бұрын
Ndo wasichana wengine wajifunze,waache kupenda penda wanaume matajiri bila kujua kapataje hizo pesa.
@henriettenkuba70783 жыл бұрын
Kweli kabisa
@joymsupagladysijeya83843 жыл бұрын
Kabisa
@rithamario79513 жыл бұрын
Aliota ndoto but hakujua maana yake ila ilikuwa direct kwamba atakosa msaada wakuokolewa ila Mungu akusaidie hakujua kuwa ni kifo
@salomewandya72573 жыл бұрын
Dah wamekufa kifo cha uchungu
@benjaminikimisha71953 жыл бұрын
Mungu alimpa hint ya kubadili mwenendo wa maisha yake but she didn't listen and kept ignoring. Rip young lady.
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Very true
@amonphilip59023 жыл бұрын
Yeah...that's Prophetic Grace alipewa huyu dada...sijui Kama alitengeneza..one year before ..alipewa kutengeneza majsha yake kwa mwaka mzima...what a grace
@zippykambura81493 жыл бұрын
Sure
@puregamers42153 жыл бұрын
Muhim ni kuwa aware na mienendo na maisha yako kiujumla mche Allah popote ulipo coz ata ww apo ulipo unaweza pewa hint ya kifo chako lakin usitambue kabisa so don't judge.
@alexanderedimundi82133 жыл бұрын
Atleast she was able to recorginise that was sign of bad omen, and hav fully of fear without knew how to solve it. Other we could take that prophecy as a daily scarely dreams
@eprocharles73913 жыл бұрын
Aha maisha sis tunaish tu
@kimzymamy65943 жыл бұрын
duh Allah atujalie khusul khatma yarraby😭🙏
@williambugusu99003 жыл бұрын
Ameen
@matridabatista79893 жыл бұрын
Hakika kila nafsi itaonja umauti🙏🙏🙏🙏
@emmalwaitamanyerere3303 жыл бұрын
Ibilisi ni adui
@AMI-ip1lx3 жыл бұрын
Mungu atupe Mwisho mwema
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
In shalaha kwakweli
@hamid0mar433 жыл бұрын
Ameen
@kapoyoyomushinga30853 жыл бұрын
Are don't believe that boss g is gone
@queenmunny2443 жыл бұрын
Ya Allah tujalie mwisho Mwema 🙏🙏🙏
@MukulasiKapela2 ай бұрын
Wote motoni hao
@dorisjessy59603 жыл бұрын
Wacheni kulaumu..kila mtu na imani yake mnahukumu mtu hamjui ana uhusiano gani na mungu hamjui kabla wafe waliomba vipi...ama mnawahukumu kwasababu mmetofautiana kutenda dhambi...leave them alone
@kamaratsalimsafari88383 жыл бұрын
Jeneza lenyee liko na rangi ya moto🔥 na wamekufa na moto🔥...dah! Makubwa!!!🙆♀️
@yunyun7993 жыл бұрын
Mmmh we acha ina lilahi waina 😢😢ilayhi ......
@baracudalornge52763 жыл бұрын
na wanaenda motoni 😢
@kamaratsalimsafari88383 жыл бұрын
@@baracudalornge5276 Hapo sasa 🙆♀️
@khadijaomar27233 жыл бұрын
Iliobaki ni kufanya ibada
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Innalilah wainnailah rajiuni
@mathiaszakaria70523 жыл бұрын
Asingepuuza ishara za Mungu inawezekana mauti ya namna hyo yasingemfika kwa maana mtu wa Mungu akiota ndo Kama hiyo lzama asali na kuzikemea ila yeye alipuuza akathamin bata..Mungu amrehemu
@carolinebosibori83053 жыл бұрын
So painful,,, my sincere condolences to the family
@omalliaman7713 жыл бұрын
Tujifunze kupitia makosa
@mariammwendakazungu57833 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭so sad haki wangejua wasingepanda hiyo gari
@rajabungwembe56703 жыл бұрын
Jaman Sisi Kayumba Ndy Tumeshindwa Kujua Kaongea Kitu Gan Uyu Mdada
@muniraahmed6243 жыл бұрын
Innaillah wainallilah rajuun😥😥
@azizymangwaru73333 жыл бұрын
Hi Munira
@musitemusite43163 жыл бұрын
Inaumasana
@edwinkambo82243 жыл бұрын
Ooo look
@mwatumsaidi51043 жыл бұрын
Walochokichuma ndocho watakacho kikuta utajiri hauna mana tuijenge akhera yetu
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Kabisa kwakweli
@rehemahayongo41593 жыл бұрын
Mungu alimuonyesha kifo kwenye ndoto....mbona hangeomba mwenyezi mungu na kumshukuru badala ya kukimbilia party
@shannelika7183 жыл бұрын
Eh Mungu, its like the girl aliechukua video came to say goodbye.
@paulinacherement25343 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilaih rajiun
@eliasakhamisi96193 жыл бұрын
Rip to them they were very excited
@estermumbua73293 жыл бұрын
Wah.Haki wasichana wenzangu mtaacha kupenda wanaume juu ya utajiri wao.Hiyo ni somo.But pole kwa yale yalitokea
@rachaeldhahabu50963 жыл бұрын
Tumche mungu jamani maana hatujui Siku wala saa tutaiacha dunia tusali jamani raha ya dunia niyawakati tuu......RIP.
@Rose-ue2ho3 жыл бұрын
Dakika 2:40 nyimbo inaitwa nini?
@rehemambonea49723 жыл бұрын
Dah jamani 😥
@sweetyjanne2553 жыл бұрын
Dah!!😭
@marychacha70843 жыл бұрын
Mbona mtangazaji ajafafanua kwa wale wasiojua English 😂 au ndo lugha ya wenyewe
@joycekasakisya77553 жыл бұрын
Apo Sasa,
@dastanayubu21603 жыл бұрын
Shida hawajuwi luga
@lucyisrael61213 жыл бұрын
@@joycekasakisya7755 si ajabu na yeye hajui ndo maana kaishia kurudia clip 😂😂😂
@elizabethshilole26993 жыл бұрын
Mungu awasamee madhambi yenu mpumzike kwa amani hapo neno la Mungu linatimia kesheni mkisali maana hamjui siku wala saa atakayo kuja
@carolinek11863 жыл бұрын
Listen to your instincts....they have loud noise!!!
@wakashiela77163 жыл бұрын
True dea!!I've learnt to trust my instincts too and escaped tragedies if you force things you end up not doing the right thing or something delays you who knows maybe God communicating something!!!
@puregamers42153 жыл бұрын
Easy way is to be close with Allah coz u can't escape the death.? Ata iweje huwezi.
@arafaally28953 жыл бұрын
Kuelewa na wanaume wa aina hii ni kujipa mitihani tu
@salehsaleh5483 жыл бұрын
Huyu alitakuwa aache tena kunywa pombe amtumikie mungu ila kifo ndio kilishapangwa...rip moana
@zenaycechanzinho67023 жыл бұрын
Kifo hakikimbiliki ikifika wakat kila mja lazima afe...hvyo tujitambue mapema tujue nn unapaswa kufanya kwa ajil ya Mola wako na kip hupaswi kufanya.
@JKQGAME3 жыл бұрын
Ndio maana mm sienda club
@reaganlyimo62593 жыл бұрын
Duh
@mariamwakabuta10343 жыл бұрын
Ukiuza roho kwa shetani utajuwa siku ya kufa kama ukikosea masharti uliyo pewa watakupa adhabu ya kumtowa unaye mpenda , hii imenifunza sana kwa kanumba yaani wanakutegea ukosee tuu wakuongezee mazito wapo matajiri wanalala na wazazi wao, wanalala na watoto wao na wanaishi na majoka yanayo kula watu kama sadaka hii imenifunza nikimuona mtu anataka kunipa msaada wa kila wakati ninapo kuwa na shida yaani utamfuata nyayo zake la sivyo watakufanyia ubaya tu hawa watu siyo husababisha ajari zinazo tokea siyo mkono wa mungu ni watumwa wa shetani wanamwaga sana damu za watu na kuwatupia watu magonjwa ya ajabu hawa watu wanasiri nzito hawanaga Amani ukiwaonaga sura zao wanafuraha sana hawatakiwi kukasirika wanajifanyaga wema kumzidi Mungu wezi wakubwa wa nyota za watu utakuta mtu anateseka sana kwamagonjwa na kutafuta ridhiki inakuwa ngumu kupatikana ni wao wanafanya mimi nitaomba Mungu aendelee kuwaadhibu wawe wanaeleza wenyewe siwapendi hawa wanatesa sana watu kwa tamaa zao mbovu. Mungu atulinde nao.
@samwelsengati13693 жыл бұрын
Mmezingua sio watazamaji wote wanajua language mlitakiwa mtafsiri ili waelewe kipi kimezungumzwa.
@pieremchome52023 жыл бұрын
Labda na yeye mtangazazji hajui language kama Mimi.maana naona hapo binti analia tu,sasa sijui alikuwa nalia nini?au labda alikatazwa kwenda kutembea na wazazi wake, muwe mnatutafsiria jamani.wengine hatujui kingereza
@Hustlingqueen2543 жыл бұрын
Anasema kuwa aliota kuwa Yuko Kwa tatizo akawa anapiga nduru watu wamsaidie lakini hakuna aliyemsaidia
@thureyaalkindy93733 жыл бұрын
@@Hustlingqueen254 afadhali kututafsria mm naona analiq tu
Anasema aliota akiwa kwa giza akipiga nduru ya usaidizi lakini hakuna aliemsikia kutoka hapo akawa hana amani na kujihisi kua kwa giza kuzama kwa giza na kukosa hewa
@rosemarynyombi88033 жыл бұрын
nimeamin sasa km kweli kafa
@niyogushimaoscar92483 жыл бұрын
Before enjoying is dead
@sadamaenge20443 жыл бұрын
Daah. 😭😭😭😭
@nasramohammed67163 жыл бұрын
Lakini kumbukeni jamani kuwa mungu ni mmoja tuu nae ni ALLAH sio mnaongea tumche mungu halafu wengine wanaenda kwa yesu au madoli ambayo uwezo hayana alafu mtu anaabudu kwaiyo jiokoeni kabla hamjafika mbele ya haki tambueni kuwa hakuna kurudi tena uku mungu Atujaalie mwisho mwema inshallah
@irenenyambeki30943 жыл бұрын
Wasichana wanependa pesa za shetani ikifikia kutoa sadaka inakya ngumu
@klystry12343 жыл бұрын
She knew this before 😭
@billalphilip57763 жыл бұрын
Oliskiawapiiiiiiii
@pieremchome52023 жыл бұрын
Jamani tutafsrieni basi huyu binti anasemaje?maana wengine kiingereza hatujui.
@billalphilip57763 жыл бұрын
@@pieremchome5202 anachosema kabisa hakiambatani na taarifa ya kifo chake...they are lying to get more views
@charleshaule40083 жыл бұрын
She was speaking of her own deathday on birthday, some people has such ability but suprisingly they never realize such capacity. Horrible enough she was crying while such was only an abstract... though it became reality. So sad.
@hasinarashid27683 жыл бұрын
Birthday ikawa death day allah wapokeee wajaa wakoo na uwasameheeee
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
Watu wanatoka club na kifo ,alafu unaombea ivo wakati waliokufa kwenye matendo mema huwaombei
@salamamohammed54463 жыл бұрын
Mm nimefik zimbabwe jmn nisem ukweli n kuzuli kweli na jmn sauth kuzul km ulaya jmn da kwawezet kuzuln watu full kuinjoy jmni da
@shabanishabanii62033 жыл бұрын
Tar aliyozaliwa ndio alikufa.. Mungu mjuzi wa yote
@beautylicious61653 жыл бұрын
Amina
@tvtv95813 жыл бұрын
Mungu hasamee mtu kama ulisha kufa but anasamee kama akingali na pumzi
@ramadhaniseifuledi5133 жыл бұрын
R.i.p
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
R.i.p sote safari ni moja 🙏🙏🙏
@florencegregory89323 жыл бұрын
Pesa za majini sio nzuri mwisho wake mbaya tutafte pesa za halallii turizike na hat kile kdgo tupatachoooo
@youthfilmsindustry45363 жыл бұрын
Angemsaka daniel yasngemtokea ayo angetafsiriwa ndoto yake. Wa2 wang wanaangamia kwa kukosa maarfa😔😔😔
@puregamers42153 жыл бұрын
It seems huna maarifa pia unamwamini binadam mwenzio akutafsirie ndoto. Kumbuka kua kwa dunia ya sasa hakuna mitume wala nabii atakaekuja au yupo. Jitahidi kusoma sana ili upate maarifa.
@youthfilmsindustry45363 жыл бұрын
@@puregamers4215 mbwa ww mweny maarifa komaa😂😂
@73chengosaro43 жыл бұрын
HUYU MSICHANA ALIKUWA MTU MWEMA LABDA -- NA dalili ni hii ya kuonyeshwa kifo chake kitavyokuwa -- Mungu am,samehe dhambi zake apate salama yaumul Qiama !!!!
@revocatusrukoijo4683 жыл бұрын
Unazingua mtangazaji mbona hujatutafsilia sasa au unajua sote tunajua kingereza
@haniphayusuph36133 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@dickchambilo91383 жыл бұрын
Watu wanapenda kujiunga na chama Cha mason wapate utajiri wa haraka, hiyo ndo hasara yake. tumuombe Mungu na tufanye kazi!
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
itakuwa hajuwi nae pia 😁😁
@sharifahamisi90913 жыл бұрын
Naona hawezi
@happyjuma67183 жыл бұрын
Maskini wame enjoy hawakujua mbele kuna nn
@machinefannatic993 жыл бұрын
NIliotaga hivi hivi Kia ntagongwa na gari alafu nilipuuzia then siku iliyokuja nikagongwa na gari vibaya sana
@RuzoOwzy3 жыл бұрын
Pole. Ilikuwaje?
@salamamohammed54463 жыл бұрын
Da pole sn
@jumaramadhani14863 жыл бұрын
Pole sana
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Pole sana.ndoto yoyote huwa na maana huonyeshwa kbs tatizo ni kutokujari
@pieremchome52023 жыл бұрын
Bora haukufa umetupa ushuhuda ili na sis tuwe tunafuatilia ndoto zetu,je ungekufa ulipogongwa na gari nani angetuhadithia ?Mshukuru Mungu sana
@danielutou86943 жыл бұрын
uo wimbo unaimba apo wanan
@dulasalim52753 жыл бұрын
Joe boy baby
@justinemurya58003 жыл бұрын
Rest in peace Moana
@wachujahabari30223 жыл бұрын
Bata la mwisho mwisho maskin bila kujua
@michaelalexnyakarungu55373 жыл бұрын
😭😭😭😭
@shedrackboniphace77553 жыл бұрын
Kila ndoto inamaana yake inategemeana na kumbukumbu zako katika ndoto
@winnesakara69573 жыл бұрын
Duuu
@tonnyezekiel28863 жыл бұрын
Tafsiri bas we mtangazaji
@Aysha-ms3ln3 жыл бұрын
Ametafsiri the sky nenda simulizi na sauti utaikuta ka post tangu jana
@natureworld2953 жыл бұрын
Where did they get all that money at 26
@IANA20303 жыл бұрын
From lucifer
@thadeusmathiews25643 жыл бұрын
she was sacrificed her self
@josedickson68043 жыл бұрын
Tatizo dada zetu mnapenda watu wenye hella ujuwi kazipatavipi acheni bhna tamaaaa dah rest in peace
@andrewernest33133 жыл бұрын
NASHINDWA KUKUELEWA WEWE MTANGAZAJI.!!!? BADALA YA KUTAFSIRIA WATAZAMAJI MAANA YA HAYO MANENO YEYE ANAISHIA KUSEMA TU "HAYO NDIO MANENO ALIYOJITABIRIA KIFO" NDIO NN SASA..!!?? AU NA YEYE HAJUI LUGHA YA KINGEREZA..!?!?!???! MAANA HAPA KUNA WATAZAMAJI HAWAJAELEWA CHOCHOTE!!
@alexjulius3663 жыл бұрын
Mason washaanza kuvuna mmoja mmoja
@ummyproductnatural45123 жыл бұрын
Vijana nyie muogooeni mola wenu hamjajiumba mmeumbwa akiyamungu maadili ya shetani yamezidi Mara dufu duniani Mtu ukifa huko kwa mungu sijui unafikaje? Kwani mungu hajatuleta kuja kustarehe kiasi Cha fujo km hivi Akhera kunarudika vizuri? Hatuhukumu Ila tunahukumu kwa dhahiri ya matendo ya wanadamu yamezidi uchafu Mara dufu
@dastanayubu21603 жыл бұрын
Ame zungumza nn mbona utafusiri
@jamboleotv94133 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/npfXn2eGgd2brKs Bonyeza hiyo link ili kupata makala nyingi za kuelimisha na kuburudisha na Denis Mpagaze
@brayanphilipo18513 жыл бұрын
RIP
@gabrielisack77863 жыл бұрын
Duniani ni ubatili mtupu
@issakamangila91133 жыл бұрын
Ukikopa utalipa atakama utachelewa kulipa maneno ya baati bukuku
@zakizzyjrajuu17063 жыл бұрын
Ivi wewe vidox saut yako imekuwa je?au umemlilia sana ginimbi?
@imeldabamba37793 жыл бұрын
Zacky hahaha jmn
@billalphilip57763 жыл бұрын
Kumbe the beautiful also die??
@tawhidislam44183 жыл бұрын
huyu ana kwenda motoni hao wote wali ishi ki fahari na ki malaya hawaku mjua Mungu leo wako jikoni
@thureyaalkindy93733 жыл бұрын
Mtihanii Allah atuhifadhii ...atupe khusnil khatma
@puregamers42153 жыл бұрын
We nani mpaka useme motoni.?
@thureyaalkindy93733 жыл бұрын
@@puregamers4215 😂😂😂😂
@yohanashaban58483 жыл бұрын
Ulisikia wp?
@gabbyhenrgy11573 жыл бұрын
When u sell ua soul to the devil for firm
@tvtv95813 жыл бұрын
It's sad
@jacklinengozi11223 жыл бұрын
But u same people worship zari the boss lady who is also a Freemasonist.
@tvtv95813 жыл бұрын
@@jacklinengozi1122 lol u know when u rich, u get respect of all kinds. Now people are worshiping them like God, even more that God
@damariszuckschwert94893 жыл бұрын
*fame*
@mtaalumaelias86193 жыл бұрын
Mumkumbushe na Diamond a acane na kufanya kazi na mambo ya masheitwani kule kugawa pesa hazarani sibure kuna jambo!
@RED-kr5vc3 жыл бұрын
3:09 mhh mitandahoni
@assoum_N3 жыл бұрын
😂😂😂
@emmalwaitamanyerere3303 жыл бұрын
Mikataba
@mosesg.pendael83813 жыл бұрын
Alikabwa jinamizi. Hakuona chochote. Alikosa hewa na akawa anaomba msaada na watu hawamsikii. Sema kwake huenda ilikuwa first experience....akapost video!
@neemasunguya2903 жыл бұрын
Mmmh ndo mana tunatakiwa tumjue mungu tuache ya Dunia huyu Dada pamoja na ukahaba wake bado mungu alikuwa akimpenda ndo mana alimuonyesha mauti iliyopo mbele yake ili atengua Babat mbaya hakujua hayo R P
@zainaanzuruni12473 жыл бұрын
@@neemasunguya290 iyoo nikwel ndugu yangu Pasipo mungu sisi atuwezi chochote 😢😢