UKIWEKA MILIONI 100 UNAONGEZEWA MILIONI 19 --- NMB WAFAFANUA KITU KIPYA KINAITWA AKIBA PLUS

  Рет қаралды 27,787

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 100
@mustaphakalembo349
@mustaphakalembo349 Жыл бұрын
Maelezo yenu ni mazuri ila mifano haiendani na uhalisia wa mtanzania ungeanza na miliion kumi au million tano huyu atalipwa faida ya TSH ngapi
@lesilale
@lesilale 4 ай бұрын
zidisha kwa asilimia 9.5 utapata kiwango utakacho lipwa baada ya mwaka mmoja. kwa kua unaweka kwa miaka miwili basi utazidisha kwa mbili.
@Moviechanel255
@Moviechanel255 Жыл бұрын
Ngoj nitaftee zangu ela nikaweke milioni 200 miee😂😂😂😂😂💃💃💃
@SurprisedMacawBird-qh7dg
@SurprisedMacawBird-qh7dg 7 ай бұрын
Mimi naenda kukopa bank then naweka hukuko😂😂😂😂
@SurprisedMacawBird-qh7dg
@SurprisedMacawBird-qh7dg 7 ай бұрын
Kingine hiyo account haina muda wakuisha
@KPPKPPkabwendepoultrypro-ue4pe
@KPPKPPkabwendepoultrypro-ue4pe Жыл бұрын
Nimeipenda hii
@lovenesdickson1824
@lovenesdickson1824 4 ай бұрын
Nimependa
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 Жыл бұрын
Sasa tuelewane sisi tulioko nJe kama mimi niko marekani kwangu mimi dili na weka dollars laki moja nduguzagu 👍
@sihabahusseinmdee1102
@sihabahusseinmdee1102 Жыл бұрын
Si bora uwekewe kwenye bond za utt mil 100 unapata 1,000,000 kwa mwezi
@annaandrea2812
@annaandrea2812 Жыл бұрын
Hebu nieleweshe utt ndo wapi?
@DennisDidas
@DennisDidas Жыл бұрын
wafundishe nayo ni hoja nzuri sana.
@AcrusioraymondmakombeRaymond
@AcrusioraymondmakombeRaymond 8 ай бұрын
Hawa hawa benki wanachukua pesa zetu wanapeleka kuweza kwenye Bond Utt amis Na kukopesha watu
@AcrusioraymondmakombeRaymond
@AcrusioraymondmakombeRaymond 8 ай бұрын
Utt amisi wanakupa millions 12 kwa mwaka afu nyie mtoe millioni 9 apo kuna tofauti ya 3 millioni
@annaandrea2812
@annaandrea2812 Жыл бұрын
Hiii iko vizuri sana
@KhadijaMasoud-d2z
@KhadijaMasoud-d2z 26 күн бұрын
Rabda wa wastaafu itawafas maana wafanyakaxi wengi hawana mbadala mshahara kwa sie wafanya biashara milio100 kwa mwezi laki 7 ni pesa ndogo sana mm duka la gass la milio5 tu kwa mwezi naingiza hizo laki7
@veronicamalomele7494
@veronicamalomele7494 9 ай бұрын
Nina swali, hiyo fedha niliyo weka Mfano, baada ya miaka miwili kuna Kazi nataka nifanye nayo, Japo nitabakiza, kidogo. Naomba jibu. Asante 🙏 Je, naweza kuitoa?
@MashakaSayi-vy2xf
@MashakaSayi-vy2xf 8 ай бұрын
Mashaka sayi
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 5 күн бұрын
je kuna maintenance fees? yaani makato ya kila mwezi?
@AbdulMakame-w5v
@AbdulMakame-w5v 3 ай бұрын
Habar za kazi, namba kuuliza hizi huduma Bado zipo katika bank ya NMB ?
@faridmohamed203
@faridmohamed203 Жыл бұрын
milioni 100 ukifanya biashara kwa miaka 2 unaweza ukapata milioni hata 200
@Michoarbah
@Michoarbah Жыл бұрын
Hahaha ni kwel
@mwaaang
@mwaaang Жыл бұрын
Kuna ambao hawana ujuzi wa biashara na hawana muda or hawataki kufanya biashara.
@HamisLeo
@HamisLeo 6 ай бұрын
Mda gan
@JohnMngongo-ol6hk
@JohnMngongo-ol6hk 8 ай бұрын
habari nmb naitwa John napenda kuuliza kuhusu mikopo ya tractor za kampuni ya camco jeniwe na vigezo gani ili nipate mkopo huu?
@MAKA_MEDIA255
@MAKA_MEDIA255 Ай бұрын
❤❤
@elibarikkiakyoo
@elibarikkiakyoo Жыл бұрын
Yaan bank sjui mawazo yenu kwann huwa ya kua hv, Mm nikja nataka kukopa m35, nachajiwa kiasgan
@vicentymory5893
@vicentymory5893 Жыл бұрын
Sisi wa kuweka elf 30 Kwa mwezi tutakunya mavi ya chuma mpaka tupate milioni mia mhuu.
@lodrickmwambene133
@lodrickmwambene133 Жыл бұрын
Wangapi bongo wana 100 wa hali ya chini ambao Ndio wateja wengi Maana mishahara ya walimu, police NMB
@ibrahimamanimussa376
@ibrahimamanimussa376 Жыл бұрын
Please naomba unisaidie nikiweka 5000000 kilamwezi napata ngapi?
@nahiriali1405
@nahiriali1405 Жыл бұрын
Sasa mbona mnataja pesa nyingi kiasi hicho kwanini si mseme ukiweka miliono tano unapata kiasi kadhaa unamuuliiza maswali ya milioni mia muulize maswali hata mwananchi wakawaida wakiasikia basi anafarijika kuanzia miloni 10 tano moja hapo sawa ila milioni mia heee
@Mrp_manguluwe
@Mrp_manguluwe Жыл бұрын
Waambie
@Mrp_manguluwe
@Mrp_manguluwe Жыл бұрын
Au wanalenga wale wafanya biashala wakubwa
@nahiriali1405
@nahiriali1405 Жыл бұрын
Tatizo hawa wanamiliki kuanzia milioni hamsini kwenda juu sasa sijui wanadhani kila mtu ana mamilioni yani millad ayo saa nyingine sijui vipi hivi kweli unamuliza msswali ya kuanzia milioni mia si itakua rahisi yeye kujibu,nina uhakika angemuliza maswali ya kuanzia milioni 10 kushuka chini angepata tabu ya kujibu kweli na kuanzia milioni 10 kushuka chini wengi ndio wenye akaunt kule NMB
@lucksonkazimoto6282
@lucksonkazimoto6282 Жыл бұрын
Wanajua ukiweka kiasi kidogi faida ni ndog mfano ukiweka milion 5 faida unayo pata ni laki 9 na elfu 50
@shd12m55
@shd12m55 Жыл бұрын
Milad ayo umezingua miela yoote iyo wakati nmb ni benk ya walala hoi
@michaelboniphace3685
@michaelboniphace3685 Жыл бұрын
Mil 100 ni sawa na Hiace zako 3 ambazo kila siku zinakuletea elfu 50 ,Kwa mwezi Hiace zote zitakuletea mil 4.5 ,,toa Mil 1.5 kwa ajili ya Matengenezo unabakiwa na Mil 3 kwa mwez,,fanya 12 ×mil 3, Kwa mwaka unatengeneza mil 36. Kupanga ni Kuchagua
@DennisDidas
@DennisDidas Жыл бұрын
Hesabu ni tamu kwenye karatasi, Ukianzisha hiyo biashara sio rahisi kama unavyodhani maana unaowaajiri wakufanyie kazi kila mmoja na akili yake.
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 Жыл бұрын
tatizo usimamizi
@KenedyMboma-zb4cq
@KenedyMboma-zb4cq Жыл бұрын
Nazikiwa mpya matengenezo haifiki 1.5
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Yaaan walivyosema 100millions kwamba ukaweke ile ambayo haina mpango sio pesa iyoiyo yakunywea beer ukaweke😅
@joachimshayo9060
@joachimshayo9060 Жыл бұрын
Broo sio rahisi ivo
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 6 ай бұрын
Wahuni tu
@michaelzoomnet
@michaelzoomnet Жыл бұрын
maskini wanaweka alafu matajir wanakopa hapo haujiulizi
@DennisDidas
@DennisDidas Жыл бұрын
Elimu ya Biashara na fedha ni muhimu sana. Upo sahihi sana ila wachache watakuelewa.
@Mrp_manguluwe
@Mrp_manguluwe Жыл бұрын
Sahihi kaka
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs Жыл бұрын
Ukijiunga na vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za kifedha Community microfinance group cmg vinavyo simamiwa na KAMPUNI YA PESCOP ENTERPRISES TANZANIA MILIONI 100 KWA MDA WA MIAKA MIWILI HUKOSI MILIONI 40
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Raki mbiri kila mwezi au vp
@jastinpiniel4447
@jastinpiniel4447 Жыл бұрын
wenye expirience ya biashara hiyo faida ni ndogo sana
@manyangumashala466
@manyangumashala466 Жыл бұрын
Ndogo sana,yani urundike milioni 100 miaka miwili halafu uzalishe milioni 19 tu,yani hiyo milioni 100 kwa mwaka mmoja tu ukinunua stock za mpunga unazalisha zaidi ya milioni 70 au 80 ,huo ni mwaka mzima
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Жыл бұрын
@@manyangumashala466 ukweli kabisa hakuna mtu mwenye mipango ya besa akawekeza hiyo pesa
@michaelboniphace3685
@michaelboniphace3685 Жыл бұрын
Ni ndogo sana
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc Жыл бұрын
Saana mimi nafungia mzigo South Joburg nikinunua mzigo wa mil 100 faida Mia nauzia kasumbaresa Kongo na Zambia sasa kwa Hilo wasemalo iyo pesa itakuwa inawanufaisha wao 😮
@manyangumashala466
@manyangumashala466 Жыл бұрын
@@SophlaJackson-nt1nc kabisa,wewe unaiweka bank halafu wenyewe wanaikopesha kwa wengine wanaingia faida
@vailetyonest9884
@vailetyonest9884 10 ай бұрын
Milion 1 kila mwezi unapata 7900 kwa mwaka unapata 95000
@Bethsaida_church
@Bethsaida_church Жыл бұрын
100
@SurprisedMacawBird-qh7dg
@SurprisedMacawBird-qh7dg 7 ай бұрын
Je hakuna pesa inayo katwa
@sadakambi5643
@sadakambi5643 Жыл бұрын
Milioni 100 mwezi inaingiza laki saba je milioni moja inaingiza beigani kwa mwezi
@thomasjohn2554
@thomasjohn2554 Жыл бұрын
Elfu saba mr
@thomasjohn2554
@thomasjohn2554 Жыл бұрын
Elfu sabini mr tena sio kwa mwez kwa mwaka
@elibarikkiakyoo
@elibarikkiakyoo Жыл бұрын
Jaman mbona hvyo Mfano 9.5% ya 250000=23,750 then ÷ miez 24 there for kwa mwezi utapokea989.6 😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@francishernandez3751
@francishernandez3751 2 ай бұрын
Hii biashara ni nzuri kwa wenye mitaji mikubwa
@ngadumbishi1405
@ngadumbishi1405 Жыл бұрын
Zange Nile Nikumtogole Kwa Kumtogola
@emmanueldaniel1781
@emmanueldaniel1781 Жыл бұрын
Ongeleeni hiyo kaki mbili na nusu
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 Жыл бұрын
Millard umelipwa shilingi ngapi kwa promo hii? Maana hii siyo bahati mbaya!
@musaolemuindy1218
@musaolemuindy1218 Жыл бұрын
Nikiwa naweka laki mbili 200000/" kamili Kila mwezi itakuaje mkuu
@5Multpurpose
@5Multpurpose Жыл бұрын
Unapat afuuu3
@shd12m55
@shd12m55 Жыл бұрын
😂
@michaelzoomnet
@michaelzoomnet Жыл бұрын
Kibiashara hailipi
@DennisDidas
@DennisDidas Жыл бұрын
Hakuna mfanyabiashara anayeweza kukubali wazo hilo labda wanaostaafu na wale ambao hawajui biashara.
@leonardwaah4370
@leonardwaah4370 Жыл бұрын
Kiazio shingapi
@SophiaChaula-jd4ry
@SophiaChaula-jd4ry Жыл бұрын
Sasa mmenipa akili ngoja nibeti jackpot ya billion moja ya mechi 17 nikiipiga ile nakuja kuwekeza million 200 kumbe inawezekana kula hela kwa mwezi bola kaz
@NOORMOHAMED-sg9lo
@NOORMOHAMED-sg9lo Жыл бұрын
Waislam Hapo sio kwenu Tamaa hapana Muwe na uhuru katika dini yenu Hifadhi pesa yako kama akiba lakini usiweke katika Akiba plus Weka hela yako NBC katika account ya malengo Ukiweka milion 2 utachukua milion 2 Asante
@mariamjamali1444
@mariamjamali1444 Жыл бұрын
Usiwe mtumwa wa dini. Kuwa mtumwa wa matendo mema yawe yenye kupendeza machoni pa Allan na wanadamu
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 Жыл бұрын
*Lakini mmeshaongea na MUNGU kuhusu izrail mtoa roho Mana mnazungumzia miaka miwili wakati kesho yke hatuijuwi SWALI LINAKUJA HUYO MUWEKAJI MALA PAAA AKAFA ITAKUWAJE?*
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 5 ай бұрын
We nae unawaza umasikin mpk kifo hizo benki unahisi zinaendeshwa na mmiliki mtu anakufa na maisha yanaendelea kama unaweka ela kwa siri hushirikishi watu pesa zako utazikuta kuzimu ila dunian watu watafurahi na pesa zako
@manengelo8427
@manengelo8427 Жыл бұрын
So ni sawa na milioni 100 inakuzalishia 791,666 per month???
@salminasalim5630
@salminasalim5630 Жыл бұрын
Hele gani hiyo nmb wabahili jamani
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 Жыл бұрын
We Millard ndo umeharibu kila kitu,ulipaswa uhoji kiasi cha pesa ambacho watu wa chini huku wana uwezo nacho kama alivyo sema yy ni laki 2.5 ,sasa we umehoji kiasi cha uwezo wako binafsi,,swali lako sio tija kwa watazamaji wako,ulipaswa uibebe jamii yako na sio ww binafsi,,umeharibu kabisaa interview hii,,sasa watu wa laki 2.5 watajuaje interest yake apo
@mwaaang
@mwaaang Жыл бұрын
Mahesabu Michael riba ni 9.5% kwa mwaka so chukua mtaji wako zidisha mara 9.5% utapata riba yako kwa mwaka. Ukitaka kujua kwa mwezi gawa hiyo riba kwa miezi 12
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 Жыл бұрын
@@mwaaang sawa kaka
@mwaaang
@mwaaang Жыл бұрын
@@michaeljohn9070 ila kuna benki niliskia redioni inatoa 12% kwa mwaka. Sikuinote jina
@francishernandez3751
@francishernandez3751 2 ай бұрын
Umeelewa kaka?​@@michaeljohn9070
@Montana12-v2c
@Montana12-v2c 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Mnuanofilms
@Mnuanofilms Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 NMB
@GilbertGombeye
@GilbertGombeye 8 ай бұрын
Nikiweka laki Tano faida ni sh ngapi?
@francishernandez3751
@francishernandez3751 2 ай бұрын
47,500/= kwa mwaka Yaani unachukua 500,000x9.5%=47500
-5+3은 뭔가요? 📚 #shorts
0:19
5 분 Tricks
Рет қаралды 13 МЛН
Sigma girl VS Sigma Error girl 2  #shorts #sigma
0:27
Jin and Hattie
Рет қаралды 124 МЛН
UWEKEZAJI NA MANUFAA YAKE: UTT AMIS WANATOA UFAFANUZI ZAIDI
22:47
IJUE BENKI KUU YA TANZANIA - UWEKEZAJI KATIKA DHAMANA ZA SERIKALI
28:46
Bank of Tanzania
Рет қаралды 10 М.
Buurta Dahabka ugu weyn ee aan Booqday - I visited the Biggest Gold Mountain in the Country
17:25
How Instant Coffee Is Made In Factory
13:57
Made Vision
Рет қаралды 2,6 МЛН