Masomo mengine achaneni nayo kutafutia wanafunzi bala na masaibu kwa wazazi milimamani kuna mambo mengi 😢😢utoe pesa na mwanao apote me wangu uwa sikubali mtandao uko wazi si enzi za zamani mpaka muende wafanya utafiti mweyewe na simu ama labtop wengine wataka kutoa kafara 2😢😢😢😢😢
@user-gu3px5me6u4 сағат бұрын
Pole Sana mkuu,poleni sana walimu na wazazi wa Joel, Mwenyezi Mungu akamlinde aliko apatikane mzima
@alawi-n2n3 сағат бұрын
Jamani Mm Ni Mtu Wa Tanga Uyo Kina Aliepotea Uko Mlimani Kunaushirikina Apo Watu Wabaya San
@josephlorri4312 сағат бұрын
Ni changamoto za kazi, wote kwa imani zetu tuzidi kuomba Joel apatikane
@VeronicaMacha-pl3xt2 сағат бұрын
Ee Mungu wa huduma mlinde huyo kijana apatikane akiwa hai.
@alawi-n2n3 сағат бұрын
Uyo Kijana Alice Potea Ayo Ni Mambo Ya Kishirkin
@petro80104 сағат бұрын
Mkuu row call unayoongelea ni ipi wakati mtoto abainika mapema tu mlimani kuwa hayupo. Hata vijana wenzake huko huko mlimani waliliporti mwenzao hayupo
@jaytalented_tz4 сағат бұрын
Usiongee kama ulikua nao kaka, kikubwa tumuombe Mungu Joel apatikane akiwa mzima na ajiandae kwa mitihani wiki tatu zijazo
@FatmaHamad-g6s4 сағат бұрын
Mungu jaalia apatikane anawapa watu kihaihai
@MAGRETHSANDO3 сағат бұрын
Walimu wako ni wazembe...kwenye kuwaongoza wanafunzi...
@chesconkwera20054 сағат бұрын
Mkuu Acha ulofa wako ulikuwa wapi
@mataypanga52624 сағат бұрын
Unajua mkiwa porini pengine mtu anaweza kwenda haja,na kama ndiyo anaweza kuarifu mwenzake. Ila kama harudi baada ya dk 10 kuna haja ya kwenda kumuita.Sasa hiyo ya kwao sijui,huyo dogo waligundua hayupo baada ya muda gani
@dotomanda-h9q3 сағат бұрын
Amechukuliwa msukule huyo
@Brunn-mh2bq4 сағат бұрын
Maskini 😢
@FurahaMbuya-ut9yi5 сағат бұрын
Tokea jmosi mwanafunzi kapotea leo ndio unakuja kujiongelesha apa tunamtaka ndugu yetu kwasababu uzembe ni wawalimu wenu kutokua na ulinzi mkubwa kwahao wanafunzi
@josephlorri4312 сағат бұрын
Wapo walioongea.. waalimu wengine, wanafunzi, wapanda milima..nafikiri mkuu alikuwa kwenye mshtuko kidogo siku za mwanzo. Bagara ni kati shule yenye waalimu makini
@ubuntubantu24045 сағат бұрын
Kwa umri wa kijana ni wa kujitambua. Nina imani atakuwa hai.
@alfoncejohn21042 сағат бұрын
Kwani wanaopotea wanakuwa hawajitambui?
@alfoncejohn21042 сағат бұрын
Angekuwa mtaani asingepotelea mlimani naona mnaangalia pllan B.JOEL siamini kama YUPO mtaani TAARIFA imesambaa Tz na Dunia nzima atajificha WAPI?TUANGALIE KWA JICHO LA PILI