KWA MARA YA KWANZA MKUU WA SHULE AONGEA KUPOTEA KWA MWANAFUNZI, AELEZA HATUA ZILIZOCHUKULIWA

  Рет қаралды 3,650

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 20
@ttss7716
@ttss7716 4 сағат бұрын
Masomo mengine achaneni nayo kutafutia wanafunzi bala na masaibu kwa wazazi milimamani kuna mambo mengi 😢😢utoe pesa na mwanao apote me wangu uwa sikubali mtandao uko wazi si enzi za zamani mpaka muende wafanya utafiti mweyewe na simu ama labtop wengine wataka kutoa kafara 2😢😢😢😢😢
@user-gu3px5me6u
@user-gu3px5me6u 4 сағат бұрын
Pole Sana mkuu,poleni sana walimu na wazazi wa Joel, Mwenyezi Mungu akamlinde aliko apatikane mzima
@alawi-n2n
@alawi-n2n 3 сағат бұрын
Jamani Mm Ni Mtu Wa Tanga Uyo Kina Aliepotea Uko Mlimani Kunaushirikina Apo Watu Wabaya San
@josephlorri431
@josephlorri431 2 сағат бұрын
Ni changamoto za kazi, wote kwa imani zetu tuzidi kuomba Joel apatikane
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 2 сағат бұрын
Ee Mungu wa huduma mlinde huyo kijana apatikane akiwa hai.
@alawi-n2n
@alawi-n2n 3 сағат бұрын
Uyo Kijana Alice Potea Ayo Ni Mambo Ya Kishirkin
@petro8010
@petro8010 4 сағат бұрын
Mkuu row call unayoongelea ni ipi wakati mtoto abainika mapema tu mlimani kuwa hayupo. Hata vijana wenzake huko huko mlimani waliliporti mwenzao hayupo
@jaytalented_tz
@jaytalented_tz 4 сағат бұрын
Usiongee kama ulikua nao kaka, kikubwa tumuombe Mungu Joel apatikane akiwa mzima na ajiandae kwa mitihani wiki tatu zijazo
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 4 сағат бұрын
Mungu jaalia apatikane anawapa watu kihaihai
@MAGRETHSANDO
@MAGRETHSANDO 3 сағат бұрын
Walimu wako ni wazembe...kwenye kuwaongoza wanafunzi...
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 4 сағат бұрын
Mkuu Acha ulofa wako ulikuwa wapi
@mataypanga5262
@mataypanga5262 4 сағат бұрын
Unajua mkiwa porini pengine mtu anaweza kwenda haja,na kama ndiyo anaweza kuarifu mwenzake. Ila kama harudi baada ya dk 10 kuna haja ya kwenda kumuita.Sasa hiyo ya kwao sijui,huyo dogo waligundua hayupo baada ya muda gani
@dotomanda-h9q
@dotomanda-h9q 3 сағат бұрын
Amechukuliwa msukule huyo
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 4 сағат бұрын
Maskini 😢
@FurahaMbuya-ut9yi
@FurahaMbuya-ut9yi 5 сағат бұрын
Tokea jmosi mwanafunzi kapotea leo ndio unakuja kujiongelesha apa tunamtaka ndugu yetu kwasababu uzembe ni wawalimu wenu kutokua na ulinzi mkubwa kwahao wanafunzi
@josephlorri431
@josephlorri431 2 сағат бұрын
Wapo walioongea.. waalimu wengine, wanafunzi, wapanda milima..nafikiri mkuu alikuwa kwenye mshtuko kidogo siku za mwanzo. Bagara ni kati shule yenye waalimu makini
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 5 сағат бұрын
Kwa umri wa kijana ni wa kujitambua. Nina imani atakuwa hai.
@alfoncejohn2104
@alfoncejohn2104 2 сағат бұрын
Kwani wanaopotea wanakuwa hawajitambui?
@alfoncejohn2104
@alfoncejohn2104 2 сағат бұрын
Angekuwa mtaani asingepotelea mlimani naona mnaangalia pllan B.JOEL siamini kama YUPO mtaani TAARIFA imesambaa Tz na Dunia nzima atajificha WAPI?TUANGALIE KWA JICHO LA PILI
@betty4o43
@betty4o43 4 сағат бұрын
Huyo kijana nikaa hataki kusoma amejificha😮
Angry Sigma Dog 🤣🤣 Aayush #momson #memes #funny #comedy
00:16
ASquare Crew
Рет қаралды 50 МЛН
小丑妹妹插队被妈妈教训!#小丑#路飞#家庭#搞笑
00:12
家庭搞笑日记
Рет қаралды 36 МЛН
LIVE: P. Diddy Trafficking Indictment - Bail Hearing
3:23:16
Law&Crime Network
Рет қаралды 451 М.
Angry Sigma Dog 🤣🤣 Aayush #momson #memes #funny #comedy
00:16
ASquare Crew
Рет қаралды 50 МЛН