EXCLUSIVE: Utaratibu wa fedha ya TZ kutengenezwa ukoje? vipi kuhusu kuweka kiwanda

  Рет қаралды 116,829

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Kuna maswali mengi inawezekana umekuwa ukijiuliza kuhusu Utengenezaji wa fedha, utaratibu wake ukoje? usalama je? AyoTV imempata Afisa Mwandamizi Mkuu wa benki kuu ya Tanzania, Patrick Fata kwenye huu ufafanuzi

Пікірлер: 45
@bernardmwenda5186
@bernardmwenda5186 6 жыл бұрын
Kuna moja amesema yachapishwe mahela mengi ili vyuma vilegee, unafikiri kuwa na mahela mengi ndiyo uchumi? Ujue kuwa mahela yanavyozidi kuchapishwa mengi, na bidhaa nazo huzidi kupanda. Kukiwa na uwezekano wa kila mtu kuwa na milioni mojo mfukoni kirahisi basi ujue andazi moja litakuwa si chini ya laki nane au tisa. Sasa faida ya milioni ni nini? Cha msingi bidhaa ziongekeke kwa wingi sana hata watu wakinai kuziona. Mfano, kila mtu akiwa na gunia si chini ya tano za mahindi nyumbani mwake, basi unaweza kukuta gunia moja la mahindi linauzwa kwa shilingi elfu moja tu, kwa sababu hakuna anayehitaji; si kila mtu anayo?. Hiyo ndiyo hali ya thamani ya pesa, siyo kujaza tu mahela mengi wakati didhaa bado hazipatikani, bado utanunua kilo moja ya unga kwa shilingi milion moja, si una hela bwana, sasa faifa ya kuwa na hela yote hiyo iko wapi? Ninawaza tu.
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 6 жыл бұрын
Aliyeshinda kutengeneza Buku na ile Jero ya Noti..Khaaaaa sijui alikula maharage ya wapi..
@fredrickvituskebero5071
@fredrickvituskebero5071 7 жыл бұрын
duuh..wanaotegenezaa hela wao wanalipwa nini ?...au unaweza waambia wachapishe 1000 then unachukua 500....jero nyingine unawalipa .....nipo nawaza tu..
@allenmwakilembe5101
@allenmwakilembe5101 6 жыл бұрын
Fredrick Kebero
@neriacharles4893
@neriacharles4893 6 жыл бұрын
Hata Mimi najiuliza sana wao wanalipwa nini?
@motivationtv9958
@motivationtv9958 7 жыл бұрын
dah kweli lazima tutoboe
@wazarendotv7966
@wazarendotv7966 7 жыл бұрын
Hi na hi na hi kwa sababu hi na hi hana kwa hiyo tangeneza hi na hi hahaha
@shindapapaya9194
@shindapapaya9194 7 жыл бұрын
kwa supeed ya JPM au the Bulldozer lazima ipo siku tuta chapisha wenyewe go go Tanzania
@mwitachacha4467
@mwitachacha4467 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie tuwe na tekinology ya kumiliki kiwanda chetu
@giftdaniel3628
@giftdaniel3628 6 жыл бұрын
Duuuh nchi yetu lazima tujue kutengeneza pesa zetu
@subramashs2236
@subramashs2236 7 жыл бұрын
Tanzania inaharibika kwanini nnafanya hivyoooooo jamani uwii ii
@athumanigombera4385
@athumanigombera4385 6 жыл бұрын
safi sana
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 жыл бұрын
Chapisha mengi mtugawie TUMECHOKA umaskini
@jenuslucasnandi8736
@jenuslucasnandi8736 7 жыл бұрын
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe hahahaaaaaa asanteeeee
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 7 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
@psj1564
@psj1564 2 жыл бұрын
Noti azina ubora tengenezi ziwe naubora ukihiisahu hukaifuriatu inachanika lakini noti zanchi za nje zina ubora kweli
@saidyahya5662
@saidyahya5662 6 жыл бұрын
hata mbuyu ulianza kama mchicha,One day yes na cc tutatengeneza 2
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 7 жыл бұрын
mbona sijawahi waona hawa mahala popote
@syliakuskagyabukamaseveria7039
@syliakuskagyabukamaseveria7039 6 жыл бұрын
Hii sector nikikaa yaani kwetu masikini atakuwa kama bakhresa. Cjui sasa tajiri itakuwa vp!!
@lakerswarsame9111
@lakerswarsame9111 4 ай бұрын
huyo mjomba anachaji simu hapo analipa
@ajuxman9382
@ajuxman9382 7 жыл бұрын
Pumbavu afrika mpaka lini mutatengezewa
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 6 жыл бұрын
Jamani kenya ipo juu afrika mashariki ubishi tueke kando
@hassansaid828
@hassansaid828 6 жыл бұрын
ongela milidalyo
@subramashs2236
@subramashs2236 7 жыл бұрын
hatarii
@moudymussa7646
@moudymussa7646 7 жыл бұрын
Na hawa mnao wp tenda Mna wapa nn? Au nn mnachofanya juu ya malipo?
@ussiussi3413
@ussiussi3413 3 жыл бұрын
Natural resources & investment ndio tools za malipo kwa shughuli kama hizo.
@subramashs2236
@subramashs2236 7 жыл бұрын
kwanini mnatoa siri ya kutengeneza pesaa
@mujindaro1638
@mujindaro1638 6 жыл бұрын
Subra Mashs KN
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 7 жыл бұрын
Acheni blaa blaa tengenezeni fedha acheni utani kushinda kushinda! Tafuteni jinsi ya kutengeneza fedha acheneni na hayo mambo ya mashindano na mambo ya kuwasifia sifia wageni lini mtajiamini?
@eliudmaster2175
@eliudmaster2175 3 жыл бұрын
Kumbe tungekuwa na mtaj wetu tungeishi kama ulaya
@abubakarimwasumilwe7293
@abubakarimwasumilwe7293 7 жыл бұрын
ujinga tu... siye tutashindwaje kuchapisha pesa zetu....? twawaachia makampun ya nje yanatuundia manoti mabovuuu...! yakitumika siku chache yamechakaaa.....!
@jozeytv8357
@jozeytv8357 7 жыл бұрын
aliyeshinda tenda ya saivi n kilaza kabisa
@jozeytv8357
@jozeytv8357 7 жыл бұрын
coz zinachakaa haraka
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 7 жыл бұрын
Jozey The Boy TV denomination gan?!
@fredymgaya7123
@fredymgaya7123 7 жыл бұрын
NAAMINI AWAMU HII YA KAMANDA WETU MAGUFULI ITAWEZEKANA TU KUWA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZEA HELA HAPA HAPA TZ KWA KUWA CHUMA TUNACHO MADINI AINA MBALIMBALI YAPO UWEZEKANO UPO WA KUWA NA KIWANDA CHETU.
@godmaxhgodmaxh4883
@godmaxhgodmaxh4883 6 жыл бұрын
fredy mgaya fulexh
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Aisee acheni ujinga. Tengenezeni mapesa maguni kwa magunia wacheni UTOPOLO 🐸
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 7 жыл бұрын
Kwanini nyie hamshindi? Hamfikirii? Wengine tu ndio wanashinda tangu 1966.,duh! Fikirini namna ya kutengeneza mafwedha.
@manyangumashala466
@manyangumashala466 6 жыл бұрын
Si mchapishe zingne jaman huku mtaAn vyuma vimek---,hahaha,,malizia umwone mag--hahaha
@simonsixbert2660
@simonsixbert2660 6 жыл бұрын
manyangu mashala suala si kuchapisha tu, uchumi hauangalii hivyoo?
@manyangumashala466
@manyangumashala466 6 жыл бұрын
+Simon Sixbert hivi kwann hauwezi kuchapisha zingne,,nieleweshe kidogo mkuu
@abbasboniphace5444
@abbasboniphace5444 6 жыл бұрын
manyangu mashala maninuh
@t1910j
@t1910j 7 жыл бұрын
Acheni upuuzi. Tumeshindwa kuchapisha pesa yetu.
@athumanigombera4385
@athumanigombera4385 6 жыл бұрын
safi sana
Njia tatu za kukuwezesha kugundua noti bandia
5:28
Millard Ayo
Рет қаралды 38 М.
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 110 МЛН
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 12 МЛН
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 24 МЛН
#TEKNOLOJIA -TAZAMA KIWANDA CHA KUTENGENEZA HELA ULAYA
12:26
USIKUBALI KUTAPELIWA, HIZI NDIO ALAMA ZA USALAMA ZA KUTAMBUA FEDHA HALALI
15:15
Ndalini Media Solution Limited
Рет қаралды 45
Thamani ya shilingi ya Tanzania na mwenendo wake.
29:17
Bank of Tanzania
Рет қаралды 3,4 М.
AMRI KUU TANO (5) ZA FEDHA | Part 1
13:33
Success Path Network
Рет қаралды 17 М.
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН