Kuna maswali mengi inawezekana umekuwa ukijiuliza kuhusu Utengenezaji wa fedha, utaratibu wake ukoje? usalama je? AyoTV imempata Afisa Mwandamizi Mkuu wa benki kuu ya Tanzania, Patrick Fata kwenye huu ufafanuzi
Пікірлер: 45
@bernardmwenda51866 жыл бұрын
Kuna moja amesema yachapishwe mahela mengi ili vyuma vilegee, unafikiri kuwa na mahela mengi ndiyo uchumi? Ujue kuwa mahela yanavyozidi kuchapishwa mengi, na bidhaa nazo huzidi kupanda. Kukiwa na uwezekano wa kila mtu kuwa na milioni mojo mfukoni kirahisi basi ujue andazi moja litakuwa si chini ya laki nane au tisa. Sasa faida ya milioni ni nini? Cha msingi bidhaa ziongekeke kwa wingi sana hata watu wakinai kuziona. Mfano, kila mtu akiwa na gunia si chini ya tano za mahindi nyumbani mwake, basi unaweza kukuta gunia moja la mahindi linauzwa kwa shilingi elfu moja tu, kwa sababu hakuna anayehitaji; si kila mtu anayo?. Hiyo ndiyo hali ya thamani ya pesa, siyo kujaza tu mahela mengi wakati didhaa bado hazipatikani, bado utanunua kilo moja ya unga kwa shilingi milion moja, si una hela bwana, sasa faifa ya kuwa na hela yote hiyo iko wapi? Ninawaza tu.
@africanhappyadventure69516 жыл бұрын
Aliyeshinda kutengeneza Buku na ile Jero ya Noti..Khaaaaa sijui alikula maharage ya wapi..
@fredrickvituskebero50717 жыл бұрын
duuh..wanaotegenezaa hela wao wanalipwa nini ?...au unaweza waambia wachapishe 1000 then unachukua 500....jero nyingine unawalipa .....nipo nawaza tu..
@allenmwakilembe51016 жыл бұрын
Fredrick Kebero
@neriacharles48936 жыл бұрын
Hata Mimi najiuliza sana wao wanalipwa nini?
@motivationtv99587 жыл бұрын
dah kweli lazima tutoboe
@wazarendotv79667 жыл бұрын
Hi na hi na hi kwa sababu hi na hi hana kwa hiyo tangeneza hi na hi hahaha
@shindapapaya91947 жыл бұрын
kwa supeed ya JPM au the Bulldozer lazima ipo siku tuta chapisha wenyewe go go Tanzania
@mwitachacha44672 жыл бұрын
Mungu atusaidie tuwe na tekinology ya kumiliki kiwanda chetu
@giftdaniel36286 жыл бұрын
Duuuh nchi yetu lazima tujue kutengeneza pesa zetu
@subramashs22367 жыл бұрын
Tanzania inaharibika kwanini nnafanya hivyoooooo jamani uwii ii
Noti azina ubora tengenezi ziwe naubora ukihiisahu hukaifuriatu inachanika lakini noti zanchi za nje zina ubora kweli
@saidyahya56626 жыл бұрын
hata mbuyu ulianza kama mchicha,One day yes na cc tutatengeneza 2
@mnzavachris54237 жыл бұрын
mbona sijawahi waona hawa mahala popote
@syliakuskagyabukamaseveria70396 жыл бұрын
Hii sector nikikaa yaani kwetu masikini atakuwa kama bakhresa. Cjui sasa tajiri itakuwa vp!!
@lakerswarsame91114 ай бұрын
huyo mjomba anachaji simu hapo analipa
@ajuxman93827 жыл бұрын
Pumbavu afrika mpaka lini mutatengezewa
@kijanahodari20806 жыл бұрын
Jamani kenya ipo juu afrika mashariki ubishi tueke kando
@hassansaid8286 жыл бұрын
ongela milidalyo
@subramashs22367 жыл бұрын
hatarii
@moudymussa76467 жыл бұрын
Na hawa mnao wp tenda Mna wapa nn? Au nn mnachofanya juu ya malipo?
@ussiussi34133 жыл бұрын
Natural resources & investment ndio tools za malipo kwa shughuli kama hizo.
@subramashs22367 жыл бұрын
kwanini mnatoa siri ya kutengeneza pesaa
@mujindaro16386 жыл бұрын
Subra Mashs KN
@KUTOKA-ep2fk7 жыл бұрын
Acheni blaa blaa tengenezeni fedha acheni utani kushinda kushinda! Tafuteni jinsi ya kutengeneza fedha acheneni na hayo mambo ya mashindano na mambo ya kuwasifia sifia wageni lini mtajiamini?
@eliudmaster21753 жыл бұрын
Kumbe tungekuwa na mtaj wetu tungeishi kama ulaya
@abubakarimwasumilwe72937 жыл бұрын
ujinga tu... siye tutashindwaje kuchapisha pesa zetu....? twawaachia makampun ya nje yanatuundia manoti mabovuuu...! yakitumika siku chache yamechakaaa.....!
@jozeytv83577 жыл бұрын
aliyeshinda tenda ya saivi n kilaza kabisa
@jozeytv83577 жыл бұрын
coz zinachakaa haraka
@mnzavachris54237 жыл бұрын
Jozey The Boy TV denomination gan?!
@fredymgaya71237 жыл бұрын
NAAMINI AWAMU HII YA KAMANDA WETU MAGUFULI ITAWEZEKANA TU KUWA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZEA HELA HAPA HAPA TZ KWA KUWA CHUMA TUNACHO MADINI AINA MBALIMBALI YAPO UWEZEKANO UPO WA KUWA NA KIWANDA CHETU.