jmn pole dada Mungu nimwema wtt mapacha wamekuokoa maaana wangekuuwa! Sikukuu moja nilitoa ela banki milioni kama 4 sasa nasubir fundi wamalizie boma nikanunue bati na mbao,....Nimekaa nazo kama siku 3 asubuhi yake kuna mdada mpangaji nyumba tofauti ila vipo karibu karibu ananiambia madam usikuu nilitoka nikakuta mtu kasimama mlangoni kwako.. Nikamuita mume wng ndani njooo kuja mtu kasimama mlangon kwa madam, aliposikia kaondoka nyie niliogopa hata chai sikunywa ile ela sikuku iyoiyo nilienda kulipia bati na mbao😭😭😭😭😭😭 Tz ukiwa na hela hukai kwa amani nyie naukiwa huna ela hukai kwa amani tena
@BalbinaJohn-c6l5 күн бұрын
Poleni sana dada
@shyfettymtunda461910 күн бұрын
Mweeeee!!Poleni sana.
@maryamabdullah916910 күн бұрын
Pole sana dada Kwa kweli njaa ni shida
@gudimbwana808810 күн бұрын
Kilichobaki waziri atoe MAELEKEZO tu ya kuwa WALIMU na watendendaji wapatiwe bastola kwa AJILI ya kujihami sio kwa uonevu huu
@user-qe2kl7iz3s10 күн бұрын
Daaaaaah mungu awapiganie mpone mengine tumwachie mungu pia serekali ifanye kazi yake
@jumapiliissa483510 күн бұрын
Poleni sana M/MUNNGU Atawaponya nawao malipoyao watayapata
@kasangagregory574710 күн бұрын
Pole Sana mtendaji
@user-oc3wu7js5k10 күн бұрын
Pole sana
@winifridakigingachacha341210 күн бұрын
Daah...!!pole sana😢😢
@SalmanMughal-lq5lt10 күн бұрын
SubhanaAllah
@mwankunjatyson10 күн бұрын
Poleni sana
@felixminde577710 күн бұрын
😢pole sana Dad
@hyy411410 күн бұрын
😭😭😭Subhanna Allah
@RevinaNtabaza10 күн бұрын
😢mpk nimelipa,pole mama wawili mwenzangu Mungu onekana ktk hili wote walioshiriki wauwawe tena ikibidi hadharani kbs
@zainab825110 күн бұрын
Pole sana dada
@DORADO7489 күн бұрын
Duh ...pole sana ... Kurya tena eno ne etabu
@VeronicaRugoyi10 күн бұрын
Pole sana mama wakurya wabaya
@kasangagregory574710 күн бұрын
Majitu mengine bhana Haya ndio yanafanya baadhi ya mikoa watu wasiende kufanya kazi
@latifamubba10010 күн бұрын
Poleni San
@HanifaOman-oo4pl10 күн бұрын
Milioni 6.uxiweke ndaniza nininsasa na hao wauwaji hawanaakili waache wakauwane wenyewe kwa.wenyewe washenzi hao Munguatawaumbua hao majangili
@neemabright36359 күн бұрын
Matukio kama haya ni kituonyesha Kuna shida kwenye swala la usalama watu wasiojulikana ndo nn hili neno Huwa silielewe hata ,🤔🤔🤔 it's weird
@michaelsamson966310 күн бұрын
Poleni sana msipende kuongea nawatu kusu mipango yenu ya pesa
@user-qh2bx5em6j10 күн бұрын
Aiseee Watu wana roho ngumu kwa nn lakin kwa niniiiii😭
@trifoniambilo240010 күн бұрын
Uwiiii
@AshaMwamba10 күн бұрын
Dada unamungu umeachwa kwakuwa unawatoto mapachaa daa pole
@user-vx8qu9um3r9 күн бұрын
Pole San dad 😭😭
@elizabethismile682710 күн бұрын
Uyo Ni MTU anawajua kawachorea dili khaaaa Yani watu wamekaa kudai tunatqka m6 ka waliwapa wawatuzie vile aaah watu jmniii so mfanye kazii mpate pesa zenu halali
@user-mw5xs2wx8n9 күн бұрын
Huu mkoa siwezi ishi mmhh
@fatmaalnabhani360910 күн бұрын
Si wachukue pesa waende zao kukatwa kwanini 😮🤔 ?
@user-ur8cq1ye3b9 күн бұрын
ivi nyie mnaowavamia watu nakuwapiga kwanini msiwavamie baba zenu namma zenu mkawapiga mapanga washenz nyie
@FatimaAli-of4gh10 күн бұрын
Mtihani au kuna mtu ulimuhadisia kuna dili ya kukamata hiyo pesa ndio kakutumia hao wauwaji jamani mungu awalaani wao mbona wameshindwa kumiliki hizo mln 6 walaaniwe wao na vizazi vyao mbwa hao