BREAKING: JENGO LA TRA KARIAKOO LINATEKETEA KWA MOTO MUDA HUU

  Рет қаралды 25,370

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 90
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 6 күн бұрын
Mji ukiwa mkubwa na matukio yake in makubwa Kwa kweli hatujasahau like la juzi Maombi Yangu msituambie kuna watu
@emanuelkattani9906
@emanuelkattani9906 7 күн бұрын
Inchi za wenzetu watu wakipiga pesa huwa wanalipua majengo,,, kupoteza ushahidi
@SimonMabigi
@SimonMabigi 7 күн бұрын
Watu wameshapiga ela hapo 😂😂 hii nchi bana daaah pigen ni mda wenu😂
@RizoIbrahimovich-z4f
@RizoIbrahimovich-z4f 7 күн бұрын
Ko wamepigaje hela hapo
@OmyCrez
@OmyCrez 7 күн бұрын
Jengo la TRA halina hata langi pesa zote wanazochukua,saiv mtu akiiba tu anapoteza ushaidi huo ni mpango umepangwa kwanza kodi zipo juu sana sikuizi
@HamidJuma-h8w
@HamidJuma-h8w 7 күн бұрын
Bora liungue lote walishawahi kutulipisha million 70 kwa kosa ambalo halikua la kwetu mbwa hao
@sgjjkwbueow
@sgjjkwbueow 7 күн бұрын
Chumba kilichokuwa na ushahidi kiliungua😂😂
@joycemlay5762
@joycemlay5762 7 күн бұрын
Mmmh ikiwa ni jengo la mambo ya kiserikali mnazima na hilo libembea ila nyumba zetu mnaleta magari yasiyo na maji
@JaneyChigga
@JaneyChigga 5 күн бұрын
Hapo naona kuna watu wana hacra zima moto kuwahi yaani bac tu😂😂😂😂
@Omaritobaomari
@Omaritobaomari 7 күн бұрын
Mungu amewaona
@OmyCrez
@OmyCrez 7 күн бұрын
Jengo limejengwa na kodi zetu linaungua kirahisi rahis tu kuna kitu hapo
@IvanDamian-ht6mg
@IvanDamian-ht6mg 7 күн бұрын
Kuzika kesi kufuta ushahidi 😂😂😂😂😂😂
@ChristinamohamedMollel-b5p
@ChristinamohamedMollel-b5p 7 күн бұрын
Duh hii nchi bana eti kamishina wa mapato Tanzania,, sa kwann TRA
@frankmsai7461
@frankmsai7461 7 күн бұрын
IZO NIMBINU ZA WASOMI KUPIGA BIKO
@robertphilip385
@robertphilip385 7 күн бұрын
Kabisa
@AllyMchenga
@AllyMchenga 7 күн бұрын
Watu wanaziziuka na mkutano wa maraisi wajuba wanachoma mafaili ya ela ze2 nchi ya uhuru sana iii
@mpendamema3694
@mpendamema3694 7 күн бұрын
Mzigo ushaliwa WATU WANAONDOA tu Ushahidi watanzania Kiweni na Amani
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 7 күн бұрын
Hamna kitu kama hicho siku hizi. Hizi ni zama za teknolojia. Kuna mfumo wa Disaster Recovery Site hakuna taarifa au record inayopotea hapo
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 7 күн бұрын
faili za wahusika zimeungua... hakuna kesi hahahaha
@francisosodo8001
@francisosodo8001 7 күн бұрын
Sikuizi wanajaza kwenye mfumo ndugu😅
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 7 күн бұрын
@@francisosodo8001 na miundombinu za mfumo zime hifadhiwa wapi? Makunduchi?
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi 7 күн бұрын
Mwenyezi Mungu anaona
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 7 күн бұрын
ALLAH Nururu na hili yarabbi🤲🤲🤲
@issaalfani1030
@issaalfani1030 7 күн бұрын
Wamewahii ingekua jengo la mlalahoi badae sana
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 7 күн бұрын
Nipo hapa naangalia miondoko ya mabos wa TRA hawana hata mshtuko
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 7 күн бұрын
Wanaunguza kumbukumbu hao hawanashida
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 7 күн бұрын
Pesa zetu ndo zateketea wao hawana neno😀
@JaneyChigga
@JaneyChigga 5 күн бұрын
Kama tulikuaa wote yaani!! Hawawazi hata kidogo
@LikandaKatanje
@LikandaKatanje 6 күн бұрын
Lingeunhua soko wala wasingehangaika serikari
@KamugishaSupe
@KamugishaSupe 7 күн бұрын
Mungu awasaidie
@Leodimk-n5c
@Leodimk-n5c 7 күн бұрын
Duuuu 😮😮😮
@TrifonMegician
@TrifonMegician 7 күн бұрын
Jeshi la Zimamoto 🇹🇿🇹🇿🙏🙏
@YshaBadru
@YshaBadru 7 күн бұрын
Na bado dhulmati wakubwa 😂😂😂wakiwa njee hawana adabu kutesa watu wanasahau bila ya kodi zetu hawapeleki mdomo kinywani
@FatmaMwaka-n7p
@FatmaMwaka-n7p 7 күн бұрын
Duuuuuh .k/koo Kuna nini jaman
@ProfessorPaul-u5l
@ProfessorPaul-u5l 7 күн бұрын
Kumbe vifaa vipo,tulijua avipo 😅
@ramadhanmbudo1596
@ramadhanmbudo1596 7 күн бұрын
Huo mjazano wa watu kariakoo kimakazi na biashara ifike hatua uondolewe ili kupunguza majanga pia penye wengi Pana mengi.Poleni Sana Allah awanusuri na kadhia hiyo
@ReginahJackson
@ReginahJackson 7 күн бұрын
Kila mtu awebize na nchi yake😢
@rosemerymwalongo5858
@rosemerymwalongo5858 7 күн бұрын
Mhuu cna neno kwakuwa ni hawa watu
@mahersaid258
@mahersaid258 7 күн бұрын
Daaah😂😂😂mjn rahaa
@MwanaidiAthumani-e6l
@MwanaidiAthumani-e6l 7 күн бұрын
Jamani wanataka kupoteza ushaidi
@gililwise
@gililwise 7 күн бұрын
Wamezulumu mtu Mungu kaamua kulipiza Kwa njia hiyo
@OphiryNtirniga
@OphiryNtirniga 7 күн бұрын
Du ! Mungu turehem
@HamisiNguche
@HamisiNguche 7 күн бұрын
Ndugu, hii Hali ya kupitishana wenyewe bila kupingwa hii! Watu watakuwa wanaonyesha hasira zao kwa mitindo Tofauti. Tutafakari Sana yasike yakotokea ya Msumbiji na Congo. Changamo Ni kubana madaraka. Kuminya na kujipendelea wenyewe. Hasara ya yote haya Ni makubwa.
@FatumaMwage
@FatumaMwage 7 күн бұрын
zinazo ungua niliba zawanyonge 😢😢
@moodjeco5844
@moodjeco5844 7 күн бұрын
Hatimae wamefiwa
@JacobJoel-cb3ni
@JacobJoel-cb3ni 7 күн бұрын
Sasa wenyew talatibu hivyo jamani kufungua maji tuuu wanategeana
@saidinkanda947
@saidinkanda947 7 күн бұрын
Polen ila kwa ujumla miundombinu ya kariakoo kuhusu njia ni ttz
@AshuraRamadhan-h7x
@AshuraRamadhan-h7x 7 күн бұрын
Pole sana😢😢
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 7 күн бұрын
Hapo kuna mkono wa chadema chunguzeni mn juzi walikataliwa kufanya maongezi yao na waandishi wa habali
@AshiruBushira
@AshiruBushira 7 күн бұрын
hapa no qadari ya allah ndugu zangu
@HijaSaid-t6c
@HijaSaid-t6c 7 күн бұрын
Twngeneza tatizo tatua tatizo
@allymwakomola4470
@allymwakomola4470 7 күн бұрын
Ujanja wa zamani ukiiba pesa unachoma moto nyumba...😅😅 ishapitwa na wakati
@leokamil6284
@leokamil6284 7 күн бұрын
Kwani vielelezo vipo ofisi moja tu?
@Kabwela776
@Kabwela776 7 күн бұрын
Wameiba Na wanachoma kupoteza ushahidi ni hujuma hizo , ofisi za TRA zilitakiwa ziwe nje ya mji kwenye eneo lenye ulinzi wa hali ya juu. Na kwa nini fire department wachelewe kuzima moto wakati ofisi ziko mjini kabisa ?
@JohnJacob-k6e
@JohnJacob-k6e 7 күн бұрын
Machozi ya Ulomi hayo labda!!!!!
@shmohd11
@shmohd11 7 күн бұрын
Kumbukumbu zote za Kodi ziko ktk Saver za TRA. Usifurahie kwamba Data zitapoteq
@shomarymussa6970
@shomarymussa6970 7 күн бұрын
Wameshapiga pesa hapo tayari
@MohamedKiletee-z3n
@MohamedKiletee-z3n 7 күн бұрын
Zuchu sisi niwalewale
@AbasiMadege-ot2of
@AbasiMadege-ot2of 7 күн бұрын
Wameunguza nyaraka za serkali
@mickeyraymond8007
@mickeyraymond8007 7 күн бұрын
Kuna maombi ya mtu yamejibiwa
@HijaSaid-t6c
@HijaSaid-t6c 7 күн бұрын
Upepo pampu ya kizamani haina nguvu
@sgjjkwbueow
@sgjjkwbueow 7 күн бұрын
Ni hujuma au ajali ya kawaida?
@SalimuAwadhi-f8q
@SalimuAwadhi-f8q 7 күн бұрын
Oh my goodness
@GuidoLadislaus
@GuidoLadislaus 7 күн бұрын
Ni hizo dhuluma
@ramayonline2281
@ramayonline2281 7 күн бұрын
Chanzo cha moto tafadhali 😢😢😢
@AnthonyGabrielGwarisanga
@AnthonyGabrielGwarisanga 7 күн бұрын
TEKETEENI Wote Kumamamako ZENU TRA mmelaaniwa nyie ni maadui namba moja wa mafanikio ya Watazania
@MonicaMacha-q7y
@MonicaMacha-q7y 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 7 күн бұрын
Tumepigwa tayari masalio yetu
@AlbinMsechu
@AlbinMsechu 7 күн бұрын
Wakimbize hela zetu zisije ungua
@modimpoz7546
@modimpoz7546 5 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@Ali.salimu
@Ali.salimu 7 күн бұрын
Ayo tv tuko. Live
@robertphilip385
@robertphilip385 7 күн бұрын
Upigaji unafichwa hapo
@ImaculathaMasuka
@ImaculathaMasuka 7 күн бұрын
Mnampa Mama Yetu Mawazo tu. Rais wetu anafanya ili na lile. Yanatokea ya kumuumiza tena....
@jamesmeitalami467
@jamesmeitalami467 7 күн бұрын
Duhh
@MwanamkuuAli-i4o
@MwanamkuuAli-i4o 7 күн бұрын
😢
@devothaignatius5256
@devothaignatius5256 7 күн бұрын
R.I.P.Magu
@MwanamkuuAli-i4o
@MwanamkuuAli-i4o 7 күн бұрын
Duuuh
@mpendamema3694
@mpendamema3694 7 күн бұрын
Pesa za kampeni Vijana wako makini kuhakikisha maza Hapigi mzigo 2025 kuweni na amani watanznia
@Yusuphrevocatus-g3v
@Yusuphrevocatus-g3v 7 күн бұрын
wana choma ushahidi
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 7 күн бұрын
Aisee wa pili kuandika nipeni maua yangu😂😂
@richardrichope3528
@richardrichope3528 7 күн бұрын
Hao wajinga wanapoteza ushaidi wa walivyo iba musiwalilie mbwa hawo
@maryaloyce3828
@maryaloyce3828 7 күн бұрын
Duh
@GhairiaRamadhan
@GhairiaRamadhan 7 күн бұрын
SEMA UKOSOLEWE NYAMAZA UZALILIKE😂
@victorbakampenja6393
@victorbakampenja6393 7 күн бұрын
Juzi LOS ANGERS Imeungua watu wakasema n LAANA je hapa Nipo tuiteje😂😂
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 7 күн бұрын
Laanakum😂😂😂
@victorbakampenja6393
@victorbakampenja6393 7 күн бұрын
@ sio pouwaa 😂😂
@MasoudGaddafi
@MasoudGaddafi 7 күн бұрын
hongereni Jeshi la zimamoto na uokoaji kwa wepesi wa respond eneo la tukio... tuwape mau yao JZT..
@AsmaAsma-gd3mv
@AsmaAsma-gd3mv 7 күн бұрын
Hii ni Laana_ Sumack😂
@AkilinyoMussanyo
@AkilinyoMussanyo 7 күн бұрын
Wajinga ndy waliwaoo
@JohnJacob-k6e
@JohnJacob-k6e 7 күн бұрын
Machozi ya Ulomi hayo labda!!!!!
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
DKT. NCHEMBA AKABIDHIWA NOTI MPYA 2025
5:07
Hazina TV - Wizara ya Fedha
Рет қаралды 282 М.
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН