GENIUS ATENGENEZA GARI, LINA KILA KITU, SPIDI HATARI, ANATAKA KUTENGENEZA BOTI NA NDEGE

  Рет қаралды 69,724

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 272
@Keyjop
@Keyjop 6 ай бұрын
Tengeneza broh...na Mungu akitimilizie ndoto Yako ije 🙏 Amen 🔥♥️
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 6 ай бұрын
Kwa ufupi waafrika ni smart sana basi tu, hatunaga support, hongera kijana
@muduboy726
@muduboy726 6 ай бұрын
Support ni mimi na wewe wa inje sio lazima
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 6 ай бұрын
@@muduboy726 ni kweli
@jifunzeleo.8610
@jifunzeleo.8610 6 ай бұрын
Hapo ni sisi Kwa sisi kusaidiana...serikali ifanye yake na ikikupa msaada mwisho watakupa na masharti kipaji kinakufa...hapo ni Wana 1000 hapa Tz tunampa mwana 10000 kila mmoja kisha tunamwambia fanya kikubwa zaid😊😊😊
@RamadanPaul
@RamadanPaul 6 ай бұрын
​@@jifunzeleo.8610 Ukoloni mambo leo umetufanya waafrika kujiona hatuwezi kabisa.
@dennisdeogratius6558
@dennisdeogratius6558 6 ай бұрын
Cha ajabu kuna mtu sahii anasoma automotive engineering lakini hiki kitu hawezi elimu yetu ya bongo kazi sana big up sana kwa huyo kijana vijana wa veta pia wanafanya vizuri
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 6 ай бұрын
Safi sana kijana simamia ndoto zako Mwenyezi Mungu atakufikisha mbali sana!
@farijalamhanga5097
@farijalamhanga5097 6 ай бұрын
Huyu angekuwa kwa wenzet ninkama dhahab kwao,serikal yetu imuone kwa jicho la tofaut🎉🎉🎉🎉🎉
@joshuajofrey9832
@joshuajofrey9832 6 ай бұрын
Serikali ipi sasa😮😢😂
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 6 ай бұрын
Tanzania tuna vijana wengi sana wenye ujuzi wengi sana wangekusanywa na wakachukua na walio kaa darasani Kwa ujuzi tofauti ndani ya mwaka tungeunda gari zuri na lenye sura nzuri ...kongore sana kaka hii inaonyesha tunaweza na watu weupe wanajua sema wanapiga kichwa siku zote Kwa misaada hisiyo na tija unapewa mchele na unamchele daah Mungu aikomboe Tanzania
@nsajimwasege68
@nsajimwasege68 6 ай бұрын
Vipaji hivi vinapuuzwa,Mungu tufungue macho waafrika, tufumbue macho tuone uwezo wetu uliotupa,utajiri uliotupa katika ardhi na vichwa vyetu!!!
@Ommyjr-en9fc
@Ommyjr-en9fc 6 ай бұрын
Kweli kabs kk waafrika tumefumbwa sjui WP unaweza shangaa mtu Kama uyu anachukuliwa at sheria
@recenttechnologiestanzania2703
@recenttechnologiestanzania2703 6 ай бұрын
Tunaomba makampuni ya kitanzqnia yaingie kwenye uwekezaji wa technologia vijana wa hivi wako wengi
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 6 ай бұрын
inaumiza san
@ALONMWAMPAMBA
@ALONMWAMPAMBA 6 ай бұрын
Duu mungu akufungulie njia utengeneze mengi.Tutumie Hata sisi wa vijijini
@amielraphael2927
@amielraphael2927 6 ай бұрын
Hongera sana Bwana mdogo, umeupiga mwingi
@jameskajenge3109
@jameskajenge3109 6 ай бұрын
Very talented, hongera sana kwa kuthubutu kuonyesha uwezo wako
@kammunisi2296
@kammunisi2296 6 ай бұрын
kwa kunsapot kijana nitamuoda gari2 kama hizo aniuzie cha kuomba 2serikali itoe vibali vya uyu kijana kwa haraka ili aweze kufanya biashara
@ezrajohn6444
@ezrajohn6444 6 ай бұрын
Ni ajabu sana walio wengi vyuoni hawawezi yeye bila vidato kafanya. Kipaji hiki kitunzwe kwa gharama yoyote na kitufae Watanzania wote. NAKUPONGEZA KIJANA asante AYO kwa kutusogezea hii.
@alexmathias6620
@alexmathias6620 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤blavo blavo kazi nzur sema tu kwa Tz umona upo kwenye Raman na sio kwa vitendo, Kama ingelikua Ni nchi za wenzetu mfano watu weupe wanabebana Sana lakin sisi watu weusi tuna loho mbaya hatupendi mafanikio ya mtu mwingine🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 we pambana ukibahatika kupata kamtaji jiendeleze wewe mwenyewe
@RichardPonsian
@RichardPonsian 6 ай бұрын
good creativity, big up sana kijana.
@allybobsaith
@allybobsaith 6 ай бұрын
Kachukue leseni kaka😂😂dahhhh balaaa wewe ni nona mungu akubarikie ameen
@kimwerimwerondo708
@kimwerimwerondo708 6 ай бұрын
KWENYE FINISHING DOGO ANATISHA NI YA KIJANJA SANA
@SwaibuBilali
@SwaibuBilali 6 ай бұрын
Good idea Big up bro hapa kilicho baki ni serikali kutoa support
@Mshuta
@Mshuta 6 ай бұрын
Tengeneza mengi boss utuuzie
@hellenmawere9284
@hellenmawere9284 6 ай бұрын
Kwakweli hata Mimi nalihitaji
@justinbara6783
@justinbara6783 6 ай бұрын
Ishu siyo kutengeneza ishu jamaa Hana mtaji labda Mtu ajitokeze awekeze
@bukharysaid
@bukharysaid 6 ай бұрын
Hata akiwezeshwa utaambiwa halijakidhi vigezo vya usalama. Yale ya masoud kipanya yako wapi mpaka leo
@jifunzeleo.8610
@jifunzeleo.8610 6 ай бұрын
Serikali ikimpinga hatukubali tutaandmana kumtetea
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 6 ай бұрын
Umenifurahisha sana
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 6 ай бұрын
Ingekua nchi za ulaya ungepata ajira apo apo lakin kwetu tz utabaki kusifiwa tu ila kaza usivunjike moyo utatoka
@chidi_don
@chidi_don 6 ай бұрын
Dah kwa kweli dogo anajua sana yani Tanzania tunaweza sana 😢
@mwana-unique
@mwana-unique 5 ай бұрын
Hongera sana kijana serikali ikusaidie kulinda carrier yako
@durangobasics6195
@durangobasics6195 6 ай бұрын
"Amelitengeneza gari hili yeye mwenyewe; kuanzia mwanzo, mpaka mwisho". Labda tuseme "ameliunda" Hongera sana kwa kitu ulichokifanya. Tunaweza!
@brainyieldschools
@brainyieldschools 6 ай бұрын
Mama Samia please look at this boy @ikulu
@SamsonBupamba-oh3yl
@SamsonBupamba-oh3yl 6 ай бұрын
Wajapani na Wachina wamefika mwisho, Mungu atusaidie sana, tuna vipaji Vingi, hunger sana Mungu akulinde
@CharlesEdwardCvanoedward
@CharlesEdwardCvanoedward 6 ай бұрын
Hapa ndipo Rais wetu wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anatakiwa aanzie hapa kwa kijana kutupeleka kwenye Gari zetu watanzania Historia ita andikwa upya Masud kipanya Nduguyo huyo Wateja tupo tayari
@IssaPagali
@IssaPagali 6 ай бұрын
Naamini kwa watanzania wa Sasa naamini utasaidiwa mungu ni mwema aendelee kukupa uwezo wa kufanya zaidi ya
@suzanbegas4139
@suzanbegas4139 6 ай бұрын
👏Congrats 🎉👍
@PstSlivestorLekenwa
@PstSlivestorLekenwa 6 ай бұрын
Amen kijana Bwana akuinue ufikie maono yako
@JamesKahamba
@JamesKahamba 6 ай бұрын
Ni mbunifu mzuri na wabunifu kama hawa tunao wengi sana hapa nchni, kwasasa tunahitaji zaidi waundaji
@Madam255
@Madam255 6 ай бұрын
Tulioishia darasa la saba tuna kitu tutafika mbali 😊😊😊
@wazirijunior3343
@wazirijunior3343 6 ай бұрын
Mwanangu god huyo🙌🙌🙌
@chidiomari.65
@chidiomari.65 6 ай бұрын
Masoud kipanya anabidi amuone uyo kijana waunganishe mawazo Kwa pamoja
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 6 ай бұрын
Duh kumbe kuna masudi kipanya pia huku kuna jamaa anaitwa masudi kipaka au ndo amecopy
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 6 ай бұрын
Kweli halloo wakae pamoja mbona hakuna linaloshindikana
@wilsonnzowa3620
@wilsonnzowa3620 6 ай бұрын
Uwakika
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 6 ай бұрын
Masha'allah MNGU atamuinua zaidi
@fundimagariDSM
@fundimagariDSM 6 ай бұрын
❤🇹🇿 tutatoka2 bongo apa apa tunaweza
@jerrywilhelm
@jerrywilhelm 6 ай бұрын
Keep it up
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
Mungu ambariki sanaaaa huyu kijana
@willsonjohn-nl1om
@willsonjohn-nl1om 6 ай бұрын
Big up sana, kijana yupo Vizuri, Tunawezaje kupata mawasiliano yake??
@allythabiti8150
@allythabiti8150 6 ай бұрын
Allah amjaalie hakika ana kipaji wallah
@spency2371
@spency2371 6 ай бұрын
Woow! Wooow! Wooow!!❤
@RichardPonsian
@RichardPonsian 6 ай бұрын
nimeipendaaa
@kennar012
@kennar012 6 ай бұрын
In Kenya we do help such people and give them the support they need. Kuna mwenye alitengeneza ndege Kenya sasa hivi amekuwa tajiri. Mwambieni akuje Kenya serikali imchukue huyu atakuwa millionaire haraka sana Kenya. Kuna kampuni ya kuunda magari kenya inaitwa Mobius wanachukua watu kama hawa wenye akili innovative. Come to Kenya bro and you will be recognised across Africa.
@kevinkatima4975
@kevinkatima4975 6 ай бұрын
Mwenyezimungu akusaidie kipaji chako kisififie hata uwe na kampuni yako🙏
@Avith-lj2sp
@Avith-lj2sp 6 ай бұрын
brother bigup kumbe tunaweza...soon magar yatakua manufactured bongo
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 6 ай бұрын
Kwanza tumshukuru Mungu kwa neema ya Kipaji. Gari nzuri na ni gari ya michezo. Pongezi kwa mtoto huyu. Kisheria miaka 17 ni mtoto . Pili, nawapongeza sana traffic police waliomkamata na kumwachia akakuze Kipaji chake. Naiomba Serikali imuwezeshe kisheria asajili gari lake. Tatu nampongeza mwandishi wa habari kwa maswali makini.
@stevenchawala5316
@stevenchawala5316 6 ай бұрын
Tengeneza ving hivyo utuuzie funika juu mvua isitunyeshee bro safi sana Mungu akubarik sasa WAJAPAN awataniona
@atutweve4160
@atutweve4160 6 ай бұрын
La summer manake sio matumizi ya kipindi cha mvua,
@talentshow2024
@talentshow2024 5 ай бұрын
Tunaomba asije akakubali kuuza ugunduzi wake kwa wezi wa technology za wa Africa na kwenda kusema wao ndio wamegundua
@midundotechtz6843
@midundotechtz6843 6 ай бұрын
Kazi nzuri kijana ila kwa muda mwingine unda bajaj za abilia na mizigo itakisaidia sana
@jumahassan273
@jumahassan273 6 ай бұрын
Safiiiiiiiii sanaaaaaaaa
@enezajohn6168
@enezajohn6168 6 ай бұрын
Safi sana👏
@eliasluchanganya1522
@eliasluchanganya1522 6 ай бұрын
Mungu atusimamie waafrika
@damasmassawe3601
@damasmassawe3601 6 ай бұрын
mambo kama haya hayapewi airtime ,ila mambo yakijinga ndio yamapewa muda , tz inashida kubwa sana kwa watu kama hawa
@nchembaa
@nchembaa 6 ай бұрын
Blessed
@LeeySeedorf
@LeeySeedorf 6 ай бұрын
Namkumbuka 20 percent.kwa wenye hela zitaongea hela ila wenye vipaji wengi mafukara. Naficha na na naficha naficha yale ninayoyaona.
@jossporahmsw8420
@jossporahmsw8420 6 ай бұрын
Endelea kuwekeza kwenye utengenezaji, hongera
@kombojuma2873
@kombojuma2873 6 ай бұрын
😂😂😂 hongera sn sn🤝
@gilbertngemela6752
@gilbertngemela6752 6 ай бұрын
Mbona kama formula one 😂😂,
@benjaminsanare-ug6ge
@benjaminsanare-ug6ge 6 ай бұрын
Finishing ya kijanja sana
@faharimovies
@faharimovies 5 ай бұрын
Nimekipenda hicho kigari
@Ommyjr-en9fc
@Ommyjr-en9fc 6 ай бұрын
Hongera port,hakika bongo tunavitu vingi tu vya ajabu lakin bado tumetawaliwa kifikra ,ifike mda wazazi tuwe makinni kuwajua vijana wetu tangu wakiwa wadog tuwajue kisaikolojia ni akinanani wa baadae,wenzetu wazungu hawalazimishani mtoto akifikia mri kuanza kuchezea vitu wanamuwekea vitu vingi mbalimbal kama mpira,kalamu,gari,pisto, n.k kile ambacho atapendelea sanaa wanaamini mafanikio yake yko hapo ,wabongo tubadilike wengi tunataka watoto wawe madaktari lzm tugawane majukumu🇹🇿
@plotagonworld-sc4ln
@plotagonworld-sc4ln 6 ай бұрын
Bigup bro💪💪👍👍👏👏
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 6 ай бұрын
He took bajaj/Chinese cargo tricycle engine, designed the chassis, he took bajaj/chanise cargo tricycle wiring and put in it, assembled everything all together..then boom l.....
@jumamkoka2267
@jumamkoka2267 6 ай бұрын
Unajaribu kusema nn??
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 6 ай бұрын
@@jumamkoka2267 sorry i was in hurry at times when i was writing my comment... probably now you can understand what i wanted to address sir.
@jumamkoka2267
@jumamkoka2267 6 ай бұрын
Oh, ok
@willsonjohn-nl1om
@willsonjohn-nl1om 6 ай бұрын
Ni muhimu sana kuendeleza hicho kipaji!!
@JuliusMtaita-gt9bs
@JuliusMtaita-gt9bs 6 ай бұрын
Kama wew so fundi hauwezi kumuelewa uyo mkali . unajua man umemjibu kiufundi zaid apo mwisho aise nakubali sana
@dullah-f7p
@dullah-f7p 6 ай бұрын
wapo wengi sana mtaani ila serikali yetu wapo kimagumashi sana
@giftprosper2355
@giftprosper2355 5 ай бұрын
Tatizo wawekezaji na support hamn
@paulinacharles8969
@paulinacharles8969 6 ай бұрын
Hata baadhi ya watu wakibeza, huu ni usafiri ukizingatia ni gari ya kwanza. Gari ya kumi na kuendelea itakuwa na maboresho makubwa.
@herbethchogga361
@herbethchogga361 6 ай бұрын
Focus kwenye magari, fikiria improvement za zaidi
@KoleYasini
@KoleYasini 6 ай бұрын
Daah gari la ghalama nafuu sana..
@AlenKinyina
@AlenKinyina 6 ай бұрын
Hongera sana kijana
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 6 ай бұрын
ni🔥🔥🔥🔥
@mochrissbyser2470
@mochrissbyser2470 6 ай бұрын
Ingekua kwa wenzetu daaaah ingekua ni dhahabu kbs serikali wamuangalie kwa jicho lingine
@JofreyIsack-t1k
@JofreyIsack-t1k 6 ай бұрын
Ongela mwamba
@BigZhumbe
@BigZhumbe 6 ай бұрын
Kweli 'engine' ina nguvu 🎉🎉🎉
@BenjaminMutoka-h3x
@BenjaminMutoka-h3x 6 ай бұрын
Genius
@ImeldaCasian
@ImeldaCasian 6 ай бұрын
Mtu wa maana kabisaaaaa
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 6 ай бұрын
Hata Sido wameshindwa kuunda mengi kama haya watuuzie ? Maana akiongeza teknolojia kidogo tu linakuwa zuri sana
@Faustine_Charles
@Faustine_Charles 6 ай бұрын
naiona nuru
@kennethipapo9552
@kennethipapo9552 6 ай бұрын
Tunavipaji vingi Sana Watanzania lakini kuwezeshwa bado tupo nyuma sana. Hii itapunguza utegemezi kutoka nje.
@victorcephas3618
@victorcephas3618 6 ай бұрын
Atengeneze mengi ayauze ntanunua moja
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 6 ай бұрын
Safi sana mtanzania🇹🇿 mwenzetu
@nolexkanyittahsuit
@nolexkanyittahsuit 6 ай бұрын
Tengeneza mengi mkuu tujekununua
@kevinkatima4975
@kevinkatima4975 6 ай бұрын
Yaani kama umeishia la saba umefanya hayo ,tafadhali tafuta mtu wa pcm akupige pindi. An ukijua ma electromagnet na ma molecular physics utafanya makubwa zaidi ,usife
@rpynoel566
@rpynoel566 6 ай бұрын
Millard ayo Kwa hii taarifa umechelewa sana kuigundua
@jhoairdronekings
@jhoairdronekings 6 ай бұрын
Nakuunga mkono pia nimeiona mda sana alifanyiwa interview na watu wa nje mpaka nikajiuliza mbona kwa millard sion kitu na huyu ni mbongo mwenzetu.
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 6 ай бұрын
Katumia engine Aina ipi ?
@KoleYasini
@KoleYasini 6 ай бұрын
Yule aliyetengeneza ndege yupo wapi?
@mejakimaro2773
@mejakimaro2773 6 ай бұрын
Kwanza tunamkamata anawekwa ndani Hana kibali,anaendesha vipi gari?......(Serikali yetu! KP motors iko wapi hadi Leo?)
@kwayaviwawaparokiayabashne9281
@kwayaviwawaparokiayabashne9281 6 ай бұрын
Tunakuombea mafanikio kwenye kazi zako
@Avith-lj2sp
@Avith-lj2sp 6 ай бұрын
Kumbe formula1 one inaweza fanyika bongo hii lewis Hamilton atakuja bongo siku moja
@luisojr3480
@luisojr3480 6 ай бұрын
Ametisha sana
@TheChapakazi
@TheChapakazi 6 ай бұрын
Naomba anitafute tuunganishe Akili na IQ zetu tufanye jambo hasa hapo kwenye ndege ,anicheki mm nna project hiyo na mpka sasa nimeshafika asilimia 40 ya kuandaa mahitaji muhimu.anicheki pliz
@godxx2189
@godxx2189 5 ай бұрын
Abali kaka
@henrychacha5592
@henrychacha5592 6 ай бұрын
Hongera sana, ila ongeza umakini kwenye finishing
@twahahamidu6246
@twahahamidu6246 6 ай бұрын
Finishing iko safi ww ujui kitu
@goldmansun5859
@goldmansun5859 6 ай бұрын
Anichek tufanye mambo
@AbrahamMohamed-o4q
@AbrahamMohamed-o4q 6 ай бұрын
Katengeneza kaunga nisha ebu acheni ujinga,gea box injini amepata wapi?
@NabiiMkuupdYohana7974
@NabiiMkuupdYohana7974 6 ай бұрын
Utafika mbali sana
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 6 ай бұрын
Viongoz wa Tanzania wanazingua sna, uwaambie kutuma askali police kukamata Boda Boda, hapo wanaweza xna,,
@kanonotechnology1140
@kanonotechnology1140 5 ай бұрын
Sasa serikali mbona haimchukui.. ifungue kiwanda cha magari wawezeshwe 🙁🙁
@godsonkyara4896
@godsonkyara4896 6 ай бұрын
Asitafute sapoti ya serikali, huwa wanapoteza vipaji vyao, watu wa namna hii waungane wafanye kitu, wanasiasa/serikali hupiga kelele kisha wanakuwa kimya milele. Sijasikia tena wala kona magari ya umeme ya Bw. Kipanya
@erickmorro8852
@erickmorro8852 6 ай бұрын
👏🏿
@denismasele4130
@denismasele4130 6 ай бұрын
Kuna watu wanaweza kukufata uwape maelezo kuhusu ubunifu wako ukazani wanakusaidia kumbe wezi😢😢😢
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 6 ай бұрын
Kijana inatakiwa utulie kwanza, tuliza akili, usiende mbio mbio sana, na Wala usikimbilie kupata mfadhiri, na usiwe mwepesi kutoa ujuzi waki hovyo Kwa kila mtu, Tz watakuchungulia Alf watakutupa hapo, fanta kazi wmenyewe binafsi, uza Moja kama tangazo Alf zinazofuata pandisha bei
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 12 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 7 МЛН
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
LANDROVER FESTIVAL MAGARI YA ZAMANI UKIYAONA KAMA YAMETOKA KIWANDANI LEO
11:27
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
MIMI NI MCHAGA ,ILA SIJUI KUPIKA ,ATAENIOA ATAPIKA MWENYEWE ,MAMA NI MUHINDI
10:52
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 12 МЛН