Tengeneza broh...na Mungu akitimilizie ndoto Yako ije 🙏 Amen 🔥♥️
@Fabulousmom5096 ай бұрын
Kwa ufupi waafrika ni smart sana basi tu, hatunaga support, hongera kijana
@muduboy7266 ай бұрын
Support ni mimi na wewe wa inje sio lazima
@Fabulousmom5096 ай бұрын
@@muduboy726 ni kweli
@jifunzeleo.86106 ай бұрын
Hapo ni sisi Kwa sisi kusaidiana...serikali ifanye yake na ikikupa msaada mwisho watakupa na masharti kipaji kinakufa...hapo ni Wana 1000 hapa Tz tunampa mwana 10000 kila mmoja kisha tunamwambia fanya kikubwa zaid😊😊😊
@RamadanPaul6 ай бұрын
@@jifunzeleo.8610 Ukoloni mambo leo umetufanya waafrika kujiona hatuwezi kabisa.
@dennisdeogratius65586 ай бұрын
Cha ajabu kuna mtu sahii anasoma automotive engineering lakini hiki kitu hawezi elimu yetu ya bongo kazi sana big up sana kwa huyo kijana vijana wa veta pia wanafanya vizuri
@RamadhaniLukambuzi6 ай бұрын
Safi sana kijana simamia ndoto zako Mwenyezi Mungu atakufikisha mbali sana!
@farijalamhanga50976 ай бұрын
Huyu angekuwa kwa wenzet ninkama dhahab kwao,serikal yetu imuone kwa jicho la tofaut🎉🎉🎉🎉🎉
@joshuajofrey98326 ай бұрын
Serikali ipi sasa😮😢😂
@shalomchaula44206 ай бұрын
Tanzania tuna vijana wengi sana wenye ujuzi wengi sana wangekusanywa na wakachukua na walio kaa darasani Kwa ujuzi tofauti ndani ya mwaka tungeunda gari zuri na lenye sura nzuri ...kongore sana kaka hii inaonyesha tunaweza na watu weupe wanajua sema wanapiga kichwa siku zote Kwa misaada hisiyo na tija unapewa mchele na unamchele daah Mungu aikomboe Tanzania
@nsajimwasege686 ай бұрын
Vipaji hivi vinapuuzwa,Mungu tufungue macho waafrika, tufumbue macho tuone uwezo wetu uliotupa,utajiri uliotupa katika ardhi na vichwa vyetu!!!
@Ommyjr-en9fc6 ай бұрын
Kweli kabs kk waafrika tumefumbwa sjui WP unaweza shangaa mtu Kama uyu anachukuliwa at sheria
@recenttechnologiestanzania27036 ай бұрын
Tunaomba makampuni ya kitanzqnia yaingie kwenye uwekezaji wa technologia vijana wa hivi wako wengi
@menalikechildren88366 ай бұрын
inaumiza san
@ALONMWAMPAMBA6 ай бұрын
Duu mungu akufungulie njia utengeneze mengi.Tutumie Hata sisi wa vijijini
@amielraphael29276 ай бұрын
Hongera sana Bwana mdogo, umeupiga mwingi
@jameskajenge31096 ай бұрын
Very talented, hongera sana kwa kuthubutu kuonyesha uwezo wako
@kammunisi22966 ай бұрын
kwa kunsapot kijana nitamuoda gari2 kama hizo aniuzie cha kuomba 2serikali itoe vibali vya uyu kijana kwa haraka ili aweze kufanya biashara
@ezrajohn64446 ай бұрын
Ni ajabu sana walio wengi vyuoni hawawezi yeye bila vidato kafanya. Kipaji hiki kitunzwe kwa gharama yoyote na kitufae Watanzania wote. NAKUPONGEZA KIJANA asante AYO kwa kutusogezea hii.
@alexmathias66206 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤blavo blavo kazi nzur sema tu kwa Tz umona upo kwenye Raman na sio kwa vitendo, Kama ingelikua Ni nchi za wenzetu mfano watu weupe wanabebana Sana lakin sisi watu weusi tuna loho mbaya hatupendi mafanikio ya mtu mwingine🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 we pambana ukibahatika kupata kamtaji jiendeleze wewe mwenyewe
@RichardPonsian6 ай бұрын
good creativity, big up sana kijana.
@allybobsaith6 ай бұрын
Kachukue leseni kaka😂😂dahhhh balaaa wewe ni nona mungu akubarikie ameen
@kimwerimwerondo7086 ай бұрын
KWENYE FINISHING DOGO ANATISHA NI YA KIJANJA SANA
@SwaibuBilali6 ай бұрын
Good idea Big up bro hapa kilicho baki ni serikali kutoa support
@Mshuta6 ай бұрын
Tengeneza mengi boss utuuzie
@hellenmawere92846 ай бұрын
Kwakweli hata Mimi nalihitaji
@justinbara67836 ай бұрын
Ishu siyo kutengeneza ishu jamaa Hana mtaji labda Mtu ajitokeze awekeze
@bukharysaid6 ай бұрын
Hata akiwezeshwa utaambiwa halijakidhi vigezo vya usalama. Yale ya masoud kipanya yako wapi mpaka leo
@jifunzeleo.86106 ай бұрын
Serikali ikimpinga hatukubali tutaandmana kumtetea
@shaviercharvinho186 ай бұрын
Umenifurahisha sana
@KijukuuMtemi6 ай бұрын
Ingekua nchi za ulaya ungepata ajira apo apo lakin kwetu tz utabaki kusifiwa tu ila kaza usivunjike moyo utatoka
@chidi_don6 ай бұрын
Dah kwa kweli dogo anajua sana yani Tanzania tunaweza sana 😢
@mwana-unique5 ай бұрын
Hongera sana kijana serikali ikusaidie kulinda carrier yako
@durangobasics61956 ай бұрын
"Amelitengeneza gari hili yeye mwenyewe; kuanzia mwanzo, mpaka mwisho". Labda tuseme "ameliunda" Hongera sana kwa kitu ulichokifanya. Tunaweza!
@brainyieldschools6 ай бұрын
Mama Samia please look at this boy @ikulu
@SamsonBupamba-oh3yl6 ай бұрын
Wajapani na Wachina wamefika mwisho, Mungu atusaidie sana, tuna vipaji Vingi, hunger sana Mungu akulinde
@CharlesEdwardCvanoedward6 ай бұрын
Hapa ndipo Rais wetu wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anatakiwa aanzie hapa kwa kijana kutupeleka kwenye Gari zetu watanzania Historia ita andikwa upya Masud kipanya Nduguyo huyo Wateja tupo tayari
@IssaPagali6 ай бұрын
Naamini kwa watanzania wa Sasa naamini utasaidiwa mungu ni mwema aendelee kukupa uwezo wa kufanya zaidi ya
@suzanbegas41396 ай бұрын
👏Congrats 🎉👍
@PstSlivestorLekenwa6 ай бұрын
Amen kijana Bwana akuinue ufikie maono yako
@JamesKahamba6 ай бұрын
Ni mbunifu mzuri na wabunifu kama hawa tunao wengi sana hapa nchni, kwasasa tunahitaji zaidi waundaji
@Madam2556 ай бұрын
Tulioishia darasa la saba tuna kitu tutafika mbali 😊😊😊
@wazirijunior33436 ай бұрын
Mwanangu god huyo🙌🙌🙌
@chidiomari.656 ай бұрын
Masoud kipanya anabidi amuone uyo kijana waunganishe mawazo Kwa pamoja
@Shokolokobango93856 ай бұрын
Duh kumbe kuna masudi kipanya pia huku kuna jamaa anaitwa masudi kipaka au ndo amecopy
@deniccgabriel61536 ай бұрын
Kweli halloo wakae pamoja mbona hakuna linaloshindikana
@wilsonnzowa36206 ай бұрын
Uwakika
@achouraachoura57636 ай бұрын
Masha'allah MNGU atamuinua zaidi
@fundimagariDSM6 ай бұрын
❤🇹🇿 tutatoka2 bongo apa apa tunaweza
@jerrywilhelm6 ай бұрын
Keep it up
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Mungu ambariki sanaaaa huyu kijana
@willsonjohn-nl1om6 ай бұрын
Big up sana, kijana yupo Vizuri, Tunawezaje kupata mawasiliano yake??
@allythabiti81506 ай бұрын
Allah amjaalie hakika ana kipaji wallah
@spency23716 ай бұрын
Woow! Wooow! Wooow!!❤
@RichardPonsian6 ай бұрын
nimeipendaaa
@kennar0126 ай бұрын
In Kenya we do help such people and give them the support they need. Kuna mwenye alitengeneza ndege Kenya sasa hivi amekuwa tajiri. Mwambieni akuje Kenya serikali imchukue huyu atakuwa millionaire haraka sana Kenya. Kuna kampuni ya kuunda magari kenya inaitwa Mobius wanachukua watu kama hawa wenye akili innovative. Come to Kenya bro and you will be recognised across Africa.
@kevinkatima49756 ай бұрын
Mwenyezimungu akusaidie kipaji chako kisififie hata uwe na kampuni yako🙏
@Avith-lj2sp6 ай бұрын
brother bigup kumbe tunaweza...soon magar yatakua manufactured bongo
@Mapenzi26356 ай бұрын
Kwanza tumshukuru Mungu kwa neema ya Kipaji. Gari nzuri na ni gari ya michezo. Pongezi kwa mtoto huyu. Kisheria miaka 17 ni mtoto . Pili, nawapongeza sana traffic police waliomkamata na kumwachia akakuze Kipaji chake. Naiomba Serikali imuwezeshe kisheria asajili gari lake. Tatu nampongeza mwandishi wa habari kwa maswali makini.
@stevenchawala53166 ай бұрын
Tengeneza ving hivyo utuuzie funika juu mvua isitunyeshee bro safi sana Mungu akubarik sasa WAJAPAN awataniona
@atutweve41606 ай бұрын
La summer manake sio matumizi ya kipindi cha mvua,
@talentshow20245 ай бұрын
Tunaomba asije akakubali kuuza ugunduzi wake kwa wezi wa technology za wa Africa na kwenda kusema wao ndio wamegundua
@midundotechtz68436 ай бұрын
Kazi nzuri kijana ila kwa muda mwingine unda bajaj za abilia na mizigo itakisaidia sana
@jumahassan2736 ай бұрын
Safiiiiiiiii sanaaaaaaaa
@enezajohn61686 ай бұрын
Safi sana👏
@eliasluchanganya15226 ай бұрын
Mungu atusimamie waafrika
@damasmassawe36016 ай бұрын
mambo kama haya hayapewi airtime ,ila mambo yakijinga ndio yamapewa muda , tz inashida kubwa sana kwa watu kama hawa
@nchembaa6 ай бұрын
Blessed
@LeeySeedorf6 ай бұрын
Namkumbuka 20 percent.kwa wenye hela zitaongea hela ila wenye vipaji wengi mafukara. Naficha na na naficha naficha yale ninayoyaona.
@jossporahmsw84206 ай бұрын
Endelea kuwekeza kwenye utengenezaji, hongera
@kombojuma28736 ай бұрын
😂😂😂 hongera sn sn🤝
@gilbertngemela67526 ай бұрын
Mbona kama formula one 😂😂,
@benjaminsanare-ug6ge6 ай бұрын
Finishing ya kijanja sana
@faharimovies5 ай бұрын
Nimekipenda hicho kigari
@Ommyjr-en9fc6 ай бұрын
Hongera port,hakika bongo tunavitu vingi tu vya ajabu lakin bado tumetawaliwa kifikra ,ifike mda wazazi tuwe makinni kuwajua vijana wetu tangu wakiwa wadog tuwajue kisaikolojia ni akinanani wa baadae,wenzetu wazungu hawalazimishani mtoto akifikia mri kuanza kuchezea vitu wanamuwekea vitu vingi mbalimbal kama mpira,kalamu,gari,pisto, n.k kile ambacho atapendelea sanaa wanaamini mafanikio yake yko hapo ,wabongo tubadilike wengi tunataka watoto wawe madaktari lzm tugawane majukumu🇹🇿
@plotagonworld-sc4ln6 ай бұрын
Bigup bro💪💪👍👍👏👏
@tanzaniacarschannel69756 ай бұрын
He took bajaj/Chinese cargo tricycle engine, designed the chassis, he took bajaj/chanise cargo tricycle wiring and put in it, assembled everything all together..then boom l.....
@jumamkoka22676 ай бұрын
Unajaribu kusema nn??
@tanzaniacarschannel69756 ай бұрын
@@jumamkoka2267 sorry i was in hurry at times when i was writing my comment... probably now you can understand what i wanted to address sir.
@jumamkoka22676 ай бұрын
Oh, ok
@willsonjohn-nl1om6 ай бұрын
Ni muhimu sana kuendeleza hicho kipaji!!
@JuliusMtaita-gt9bs6 ай бұрын
Kama wew so fundi hauwezi kumuelewa uyo mkali . unajua man umemjibu kiufundi zaid apo mwisho aise nakubali sana
@dullah-f7p6 ай бұрын
wapo wengi sana mtaani ila serikali yetu wapo kimagumashi sana
@giftprosper23555 ай бұрын
Tatizo wawekezaji na support hamn
@paulinacharles89696 ай бұрын
Hata baadhi ya watu wakibeza, huu ni usafiri ukizingatia ni gari ya kwanza. Gari ya kumi na kuendelea itakuwa na maboresho makubwa.
@herbethchogga3616 ай бұрын
Focus kwenye magari, fikiria improvement za zaidi
@KoleYasini6 ай бұрын
Daah gari la ghalama nafuu sana..
@AlenKinyina6 ай бұрын
Hongera sana kijana
@DavalsonMarlony6 ай бұрын
ni🔥🔥🔥🔥
@mochrissbyser24706 ай бұрын
Ingekua kwa wenzetu daaaah ingekua ni dhahabu kbs serikali wamuangalie kwa jicho lingine
@JofreyIsack-t1k6 ай бұрын
Ongela mwamba
@BigZhumbe6 ай бұрын
Kweli 'engine' ina nguvu 🎉🎉🎉
@BenjaminMutoka-h3x6 ай бұрын
Genius
@ImeldaCasian6 ай бұрын
Mtu wa maana kabisaaaaa
@mandyfitnesstv67386 ай бұрын
Hata Sido wameshindwa kuunda mengi kama haya watuuzie ? Maana akiongeza teknolojia kidogo tu linakuwa zuri sana
@Faustine_Charles6 ай бұрын
naiona nuru
@kennethipapo95526 ай бұрын
Tunavipaji vingi Sana Watanzania lakini kuwezeshwa bado tupo nyuma sana. Hii itapunguza utegemezi kutoka nje.
@victorcephas36186 ай бұрын
Atengeneze mengi ayauze ntanunua moja
@israelmunuo79386 ай бұрын
Safi sana mtanzania🇹🇿 mwenzetu
@nolexkanyittahsuit6 ай бұрын
Tengeneza mengi mkuu tujekununua
@kevinkatima49756 ай бұрын
Yaani kama umeishia la saba umefanya hayo ,tafadhali tafuta mtu wa pcm akupige pindi. An ukijua ma electromagnet na ma molecular physics utafanya makubwa zaidi ,usife
@rpynoel5666 ай бұрын
Millard ayo Kwa hii taarifa umechelewa sana kuigundua
@jhoairdronekings6 ай бұрын
Nakuunga mkono pia nimeiona mda sana alifanyiwa interview na watu wa nje mpaka nikajiuliza mbona kwa millard sion kitu na huyu ni mbongo mwenzetu.
@kasukukasuku38966 ай бұрын
Katumia engine Aina ipi ?
@KoleYasini6 ай бұрын
Yule aliyetengeneza ndege yupo wapi?
@mejakimaro27736 ай бұрын
Kwanza tunamkamata anawekwa ndani Hana kibali,anaendesha vipi gari?......(Serikali yetu! KP motors iko wapi hadi Leo?)
@kwayaviwawaparokiayabashne92816 ай бұрын
Tunakuombea mafanikio kwenye kazi zako
@Avith-lj2sp6 ай бұрын
Kumbe formula1 one inaweza fanyika bongo hii lewis Hamilton atakuja bongo siku moja
@luisojr34806 ай бұрын
Ametisha sana
@TheChapakazi6 ай бұрын
Naomba anitafute tuunganishe Akili na IQ zetu tufanye jambo hasa hapo kwenye ndege ,anicheki mm nna project hiyo na mpka sasa nimeshafika asilimia 40 ya kuandaa mahitaji muhimu.anicheki pliz
@godxx21895 ай бұрын
Abali kaka
@henrychacha55926 ай бұрын
Hongera sana, ila ongeza umakini kwenye finishing
@twahahamidu62466 ай бұрын
Finishing iko safi ww ujui kitu
@goldmansun58596 ай бұрын
Anichek tufanye mambo
@AbrahamMohamed-o4q6 ай бұрын
Katengeneza kaunga nisha ebu acheni ujinga,gea box injini amepata wapi?
@NabiiMkuupdYohana79746 ай бұрын
Utafika mbali sana
@makongoronyerere15646 ай бұрын
Viongoz wa Tanzania wanazingua sna, uwaambie kutuma askali police kukamata Boda Boda, hapo wanaweza xna,,
@kanonotechnology11405 ай бұрын
Sasa serikali mbona haimchukui.. ifungue kiwanda cha magari wawezeshwe 🙁🙁
@godsonkyara48966 ай бұрын
Asitafute sapoti ya serikali, huwa wanapoteza vipaji vyao, watu wa namna hii waungane wafanye kitu, wanasiasa/serikali hupiga kelele kisha wanakuwa kimya milele. Sijasikia tena wala kona magari ya umeme ya Bw. Kipanya
@erickmorro88526 ай бұрын
👏🏿
@denismasele41306 ай бұрын
Kuna watu wanaweza kukufata uwape maelezo kuhusu ubunifu wako ukazani wanakusaidia kumbe wezi😢😢😢
@fortidaskashaigili74966 ай бұрын
Kijana inatakiwa utulie kwanza, tuliza akili, usiende mbio mbio sana, na Wala usikimbilie kupata mfadhiri, na usiwe mwepesi kutoa ujuzi waki hovyo Kwa kila mtu, Tz watakuchungulia Alf watakutupa hapo, fanta kazi wmenyewe binafsi, uza Moja kama tangazo Alf zinazofuata pandisha bei