Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.
Пікірлер: 424
@khalidballeth5957 Жыл бұрын
msukuma ni mfanyabiashara mkongwe wa DHAHABU tangia miaka ya 80,,,,,ni mtu mwenye utajiri Long time na wala sio mtu wakujiskia saana ni mtu simpo saana pia ni mtu wa watu,,,,,ana real eastate kanda ya ziwa bab kubwa..pia ana kamuni za transport na etc
@mosesbaruti3063 ай бұрын
Ninachukia sana kutoka moyoni Nchi yetu na Watanzania kuitwa masini,Namuombea Mungu ampe mama yetu Rais wetu Samia Suluhu Hassani ujasiri wa maamuzi mazito.
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Msukuma shikamoo!! nakupenda toka rohoni Mungu akulinde baba yetu
@user-mj1hq3fn1m10 ай бұрын
Shukran msukuma swali umefanya wema mzuri sana na je wewe ni mwislam au mkristo maana naona unapendeza sana
@PauloPetro-nv6pi8 ай бұрын
Hongeraa sanaaa MUNGU akufanikishe katika mambo yote
@abdulhamis98254 ай бұрын
Nchi Hii Wasomi Ndio Kikwazo Hongera Sana Dr.Msukuma
@josephatmtweve65348 ай бұрын
Naomba mawasiliani yako mheshimiwa uko vizuri Sana kimtazamo
@rosechuwa9493 Жыл бұрын
Huyu mwamba namkubali sana, msukuma mungu akubariki sana wewe ni hazina muhimu sana hapa Tanzania
@ramadhanihamisi939311 ай бұрын
Wananchi was geita mnakila sababu ya kujivunia kwa mbunge mlie nae ni jembe msukuma namkubali Sana akisimama bungeni utafurahi mungu akulinde na Kila baya
@AndrewMasaga11 ай бұрын
Hakuna lolote tunataka ndege yetu
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
Mashaallah watu heshimu msio wajua ache dharau
@josephatmtweve65348 ай бұрын
Msukuma uko vizuri Sana kaka naomba nmawasiliano yako kaka
@user-pc1cs6nd4y2 ай бұрын
Msukuma salute kula yangu kwako
@user-yk5gm5qj4u4 ай бұрын
Hongera kaka uko vzr kiukweli huna shida
@gloryjacson8 ай бұрын
Hongera brother unamalengo mazuri sana umefika pazuri sana mbunge tajiri
@ShekiyaoHussein-ki4ty Жыл бұрын
Msukuma uko vizuri umewapigilia msumari wa moto
@patriceomolo2322 ай бұрын
Asante sana msukuma you are a good man. May God bless you and provide for you long life. You speak the truth
@JohnSteven-ox3pv3 ай бұрын
Dah.. doctor msukuma me nakuomba uje ugombee uraisi maana asaiv c.v unayo ya usomi so nakuona mbali sana ndg yangu ❤❤❤ tunataka uje kua raisi wetu bhn....
@Zubaiba3 ай бұрын
Mungu akubariki mbunge msukuma, nakupenda sana ❤
@salminasalim563011 ай бұрын
Mheshimiwa Dr. Tafadhali njoo kwetu Umfundishe mbunge wa Bukoba vijijini asaidie wananchi wake hata maji hakuna watu wanakunywa maji yanayo nyweshea Ng'ombe na wakati wa kuomba........
@kelvinimasagasi7398 Жыл бұрын
King msukuma Ly umeuwa huo ndio ukweli Mungu akubarik %100
@daudifungo55212 ай бұрын
Sana Mzee Baba Kazi Iendelee Umetisha Sana Waache Majungu Watafute Pesa
@musasaguti47605 ай бұрын
Musukuma uko vizuri, huna baya mdogo wangu
@withomsigala4389 Жыл бұрын
Hongera sana kwa majukumu ya kazi ya kuwatetea wanyonge Mheshimiwa Mbunge Msukuma
@winnerkondejunior18907 ай бұрын
MH Musukuma myooshe. From Mozambique
@LukasiJeremiah3 ай бұрын
Hongera bro uraisi unakufaa chukua fomu ya mgombea
@metusalnganga1002 Жыл бұрын
Msukuma Big up🎉🎉🎉🎉
@farajamwakifuna3034 ай бұрын
Respect sana Mheshimiwa
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
Msukuma hongera sana,naomba ninunulie japo IST niendee Kanisani, sio kwa utajiri huo.
@emmanuelmauki2938 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
@@emmanuelmauki2938 Emmanuel nimechoka kutembea na boda wakati wengine wanautajiri wote huo.Msukuma anielewe tu.Yaaani IST tu na Mungu atazidi kumbariki.
@user-px6px4tf2g9 ай бұрын
Mungu akulinde na maaadui uishi miaka ming
@robertpaul7714 Жыл бұрын
Nilichokiona humu watu mna makasiriko sana tafteni hela acheni kelele mtabakia kutoa comments za kutukana bure tu hii nchi usijifanye unaijua sana we kua mzalendo tu pia fanya kazi kwa bidii 💴💸
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Kwa kweli watu wanamakasiriko na roho mbaya!
@Bikhafija Жыл бұрын
Mungu akujaalie
@mussamkumbukwa50533 ай бұрын
Safi Mh Msukuma umesema ukwelii.
@user-yk5gm5qj4u4 ай бұрын
Hongera musukuma
@praygodmunisi8999 Жыл бұрын
😂aliye mchokoza msukuma kazi anayo,, Siyo Kwa michambo hiyo😂😂
@abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын
😅😅
@PamelaJonas-dh6lg Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka nimecheka tena😂😂😂😂😂😂 yan msukuma namkubali sana
@abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын
@@PamelaJonas-dh6lg 🤣🤣🤣🤣balaa
@aidatimakunda387 Жыл бұрын
Kwa kweli Big up MP. Msukuma
@stanleymhozi759010 ай бұрын
Hongera baba mungu akubariki sana umeaso sana
@NurudiniNdoka2 ай бұрын
Safi sana msukuma.
@DanielKagoma-nx8ff4 ай бұрын
Kaka msukuma uko vizuri Mungu akubariki Sana tunakuombea Sana Mimi Niko Tabora mjini naomba namba zako mkuu naitwa Daniel kagoma
@EdithaMgoha-jy7ev8 ай бұрын
Mungu akujalie Baba wa wetu achana na maneno ya wakosaji
@saidalhinai1131 Жыл бұрын
Hongera msukuma wewe ni mbunge wa kwanza kuwajali watu wa jimbo lako na hakuna aliefanya kama wewe hata magufuli hakuwahi kufanya jimboni kwake wape ukweli hawo waliohongwa kupinga huo uwekezaji nadhani hao wanafaidika na ule wizi mkubwa unaofanya bandarini wacheni wapige kelele bandari itaingia ubia washenzi
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Kazi kazi , Jembe kama Jembe
@rashidlwengo6940 Жыл бұрын
Kasheku msukuma we Ni noma PhD ilikuwa haki yako baba
@stanslausmteme84552 ай бұрын
Hawakukujui hao kua wew ni king
@deusvincent1489 Жыл бұрын
Bandari sawa lakini sio kwa Mkataba huo Kaka. Povu jingi linatushangaza.
@SashaOscar4 ай бұрын
Nampenda xana msukuma, Mungu ampe maisha marefu
@zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын
Sema umeongea sana facts your the best
@DevothaLighton-dl6zi Жыл бұрын
Acha uninga kuna facts gani happ
@ramadhanihamisi939311 ай бұрын
Bradha msukuma mm binafusi nakukubali hoja na ushauri unao shauri serekali au mtu binafusi bigapu mungu akulinde na Kila baya zaidi akuongeze riziki zaidi
@wachachesana Жыл бұрын
Nakubali sana mbunge wangu vijijini geita
@gindamaster1784 Жыл бұрын
Men lie women lie, numbers don't lie. Kudos Msukuma, am inspired
@jdanny497 Жыл бұрын
Danganya Dar na Dodoma sio mwanza
@noramkendamunishi6902 Жыл бұрын
Si kweli. Kuwa na hela hakuzuii kupokea rushwa. Ila Kama hajapokea ni vizuri Sana. Ila swali langu kazi ya mbunge ni kutoa misaada kwa wananchi au kufikisha hoja za wananchi bungeni na kuziweka kwa ufasaha ziweze kufanyiwa kazi na serikali?
@GaudenceTesha11 ай бұрын
Halo sawa mku
@hafidhbarau9981 Жыл бұрын
Mungu akubariki brother, mungu akulinde na maadui wako, mungu azibariki Mali zako, mungu akupe moyo wa huruma na upendo uwe na moyo wa kuwasaidia wasiojiweza pamoja na wananchi wako,
@kaburaprince3596 Жыл бұрын
Helo
@user-wb5pk9km5o8 ай бұрын
Ni kweli uliniuzia simu mbovu Ta nga ugomvi ulimalizwa na Mfanya biashara mmoja wa kiasia aliyerudisha pesa zangu na kunisihi nimwachie simu take ugomvi ukaishia hapo kumbe ni home boy wangu Swagger wazijua
@user-zn7vw3pj6p7 ай бұрын
Kaka Nakuelewasana.barikiwasana
@meroymollel9156 Жыл бұрын
Hongera sana Mh. msukuma
@khaalidcheo5383 Жыл бұрын
Jamani aliemchokoza msukma akamuombe msamaaa
@PamelaJonas-dh6lg Жыл бұрын
Nakweli aende tu maana kachooza moto
@AdamLeyan7 күн бұрын
Msukuma uko vizuri baba
@johnginni9926 Жыл бұрын
We mpigaji tu na ukianza Kwa msukuma mwenziee
@sofiamfaramago382011 ай бұрын
Kaaah sawa baba !
@amimumufaumekikwasa592110 ай бұрын
Mzee upo asahihi kabisa unafudha watu jisi ya kuishi na watu, na kukubali mzee wangu.
@abadharkhamis5909 Жыл бұрын
Mskuma umetisha sana
@gracekagoma323110 ай бұрын
Hongera sana ndugu
@mambotv1233 Жыл бұрын
Hongera sana msukuma
@josephdaniel7341 Жыл бұрын
Mh Msukuma .Mimi naomba Unisaidie hata mtaji wa ml 2,000,000/= Ninashida sana ..
@MaatumKadhi-dl8xg Жыл бұрын
Mm naomba unikopeshe laki 4 tuu musukuma
@MshamAbdul-jn6rj Жыл бұрын
Namba yako
@MaatumKadhi-dl8xg Жыл бұрын
@@MshamAbdul-jn6rj ww ndye musukuma
@BinifaceDominick28 күн бұрын
Ni kweli brow your a good leader
@user-wp8yk6ow8h3 ай бұрын
Wabunge wote wangeliikuwa kama msukuma nchi ingepiga hatua kwa mda mfupi sana hongera sana msukuma
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
King msukuma
@kaburaprince3596 Жыл бұрын
Asanteni
@user-vy9pz7sk4z7 ай бұрын
Uyu jamaa kiongoz mzur
@FidelisiKavishe3 ай бұрын
Msukuma hongera baba chukua maua yak❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
@MobiKusukwaКүн бұрын
Ongera
@mariamusaulo4429 Жыл бұрын
Big up msukuma
@hamadmhchande56333 ай бұрын
Acheni unafiki hivi viblog uchwara tangia lini anamiliki ndege msukuma?
@prosperkimaro466011 ай бұрын
Mwbamba upo vizuri
@FulbertFisoo Жыл бұрын
Kwani ukiwa tajiri unashindwa kuhongwa kubali kuwa umekula unga wa ndere kwa hilo
@user-cg5ly5rg8z Жыл бұрын
Nimekuelewa sana mbunge
@user-hv6pc8kq5c10 ай бұрын
Tajiri tu
@adinanimussa5484 Жыл бұрын
King Msukuma👍
@elvisoscar9912 Жыл бұрын
Tanzania mabilionea wako wengi Sana sema wamejificha tu na awataki kujionyesha
@irhamseif Жыл бұрын
Kama uyu nikitambo ela anayo sana madin mabasi na mfugaji mzuli sana ng'ombe kibao
@Bikhafija Жыл бұрын
Mashaalh
@khatimushabani3941 Жыл бұрын
Nakubali kaka
@davidpaulbernard10 ай бұрын
Suala la kuwa na pesa nyingi haliwezi kukuzuia wewe kuhongwa na ninafikiri kuhongwa unaweza hongwa tu hata Kama una ndege
@user-wp8yk6ow8h3 ай бұрын
Hizo ni fitna zako na roho mbaya yako msukuma si jamaa yangu lkn ni mtu mkweli na amekinai na asili ya utajiri wake ni juhudi zake kabla ya ubunge na mwenyezi mungu akaweka baraka zake nyie ndio watu wenye siasa za kifitna fitna mtakufa vinywa wazi na laana yenu hiyo
@MrNibiru2112 Жыл бұрын
Msukuma unaweza kumuelewa kama elimu yako inalingana na yake.Ukimaliza kukomenti tuandikie na level ya elimu yako pia
@user-el2qg1zj4l Жыл бұрын
Hongera
@ZionTZ09 Жыл бұрын
Msukuma kwamba Mbowe anakosa nauli kwenda nje? hahahahahah msukuma kua serious kaka.
@SammitindoJeremia-jv4qb11 ай бұрын
Daaaah umetisha mzeebaba uko vizuri sana
@valenakomba76868 ай бұрын
HONGERA SANAA NDUGU MSUKUMAA. KUSOMA SANAA , HAIMAANA NDO UNAAKILI SANAA. AKILI MTU ANAZALIWA NAYO. WAPE SIRI YA MAFANIKIO YAKOO.
@user-jo3ip7zq9j11 ай бұрын
Mheshimiwa athanasius na vyako mbona kimya kuhusu bandari.
@SaimonKazimoto-xt1zo Жыл бұрын
Safi m'bunge ayo ndo mambo tunayo yataka bandari ya kisasa sio maneno ya kuku kashifu mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe
@castorymhoja6050 Жыл бұрын
Nilikuamia Sana kwenye bunge lakini kwa Sasa Niko na mashaka Sana na wewe kumbe wafanya biashara mko hivyo du
@bonnymwajombe779 Жыл бұрын
Msukuma nakukubali sana ,ila kiukweli ile gari ni zao la pesa ya kuhongwa utetee bandari!
@SelemaniMajengo-fg7nv29 күн бұрын
Aisee! Acha tu. Wamekuchokoza wenyewe wape maneno
@shurungubunzari94749 ай бұрын
Yes my boss
@sylvestercharles3585 Жыл бұрын
Kwa hiyo kule Zanzibar wao hawataki maendeleo. Ama kwa kweli akili zenu wabunge mnazijua wenyewe. Wewe ulichokiona cha maana ni yale makontena kushushwa kisasa tu, mbona hauzubgumzii uhalali wa mkataba.
@saturinimushi4746 Жыл бұрын
Robort zitaondoa Ajira Kwa Vijana Wa Tanzania. Siyo Kila Tecnologia Inafaa Kwa Manufaa ya Wengi.
@NoelChikawe10 ай бұрын
Kavae kwanza ndio useme sawa toto
@augustinomtongi711 Жыл бұрын
Mmmmnh Mungu anakuona
@mhangwacastory8765 Жыл бұрын
Msukuma shikamooo, mwenye namna ya kupata namba ya msukuma ninaomba aisogeze hapa
@muhammednassor35694 ай бұрын
Ukweli ni ukweli sawa baba you big up
@MrNibiru2112 Жыл бұрын
Watu wachache bandrini unasema wewe, ajira zitaongezeka dar unasema wewe...wacha tuuzwe tu
@jacksonjosephmollel38333 ай бұрын
Naombeni namba ya MUSUKUMA...
@malikkb6444 Жыл бұрын
Tatizo la Watanzania hawapendi kusoma. Wengi wanaolalamika ukiwauliza hawana facts. Watanzania tunapenda umbea.
@josephmutalemwa1461 Жыл бұрын
Upewe maua yako mzee safi sana
@janethedward4631 Жыл бұрын
Tatizo la Tanzania wengi wao awajishuhulishi 1)wanaume wazoea kuongwa 2) wanawake wamezoea kujiuza Japo c wote awapendi kazi wanaume wamezoea kumshusha suruali matakoni nywele kueka dawa starehe nyingi, nguo, Sasa Mtu anaenda kununua kiatu 70000 wakati anaweza nunua mbuzi 3 wakufuga Kwa mwaka ana mbuzi Wangapi !!!? Mtu anaenda nunua jinsi 30000 niela ya kuku wakufuga unapata kuku 6 Kwa mwaka ana kuku Wangapi na Ndo mana akiona Mtu ana maendeleo km msukuma wawatu utasikia mwinzi mara frimanson sio kununua bandar tu nunua na Zanzibar kabisa baba
@detlantamarooned1809 Жыл бұрын
Mimi nanunua kiatu 90,000 na suruali hata ya 45,000 au ziadi. Kununua suruali au kiatu cha gharama haikufanyi uwe masikini,ila jambo la kuzingatia ni kwamba mahitaji yaendane na kipato chako. By the way,hela ninayo ya kutosha.
@joyceassey2347 Жыл бұрын
@@detlantamarooned1809 eeeee kaka mwenye mihela tugawane basi😅
@detlantamarooned1809 Жыл бұрын
@@joyceassey2347 Usijali,tutagawana tu bila tatizo nikikuoa😂😂😂
@joyceassey2347 Жыл бұрын
@@detlantamarooned1809 daaah mpaka unione jmn
@joyceassey2347 Жыл бұрын
@@detlantamarooned1809 🤣🤣🤣
@benmpe2227 Жыл бұрын
Msukuma sisi tuliotokea geita tuna kujua unautitiri wa mabasi pia ww ni mfanyabiashara mkubwa. Ulikuwa ukisafirisha watu siku za weekend kwa sh 1000 kutoka geita Hadi mwanza
@abdulkarimmgunya5138 ай бұрын
Pamoja sana ndugu yangu
@emeliasiame4 ай бұрын
Kweli kabisa bb msukuma nakukubali saana boss huna baya na mtu
@eliahonline34058 ай бұрын
Msukuma namjua vzr sana toka akiwa diwani wa kata ya nzera, alikuwa anamiliki gali ya kifahari