Usiyoyajua Kuhusu Mchungaji Hananja : "Nimeshachimba Dhahabu" | SALAMA NA RICH BILIONEA PART 1

  Рет қаралды 236,462

YahStoneTown

YahStoneTown

Жыл бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kipindi cha nyuma kidogo nilifanya lile ambalo huwa nafanya la kuwashirikisha rafiki zangu na team kuhusu list ya watu ambao wangependa kuwaona kwenye kiti chetu chakavu na sababu za kwanini hasa waje kwenye meza ile yenye kigae kwa juu maana tukisema tutaje majina tu bila ya sababu thabit za wao kuja pale tunaweza tukaondoa maana yenyewe ya kuwa na watu wenye story za kuvutia na kutufunza kama ambavyo tumekua tukifanya. Jina la mgeni wetu huyu lililetwa kwangu na Michael (Mx) Mlingwa na Ndugu yangu Elbogast Myaluko ndo alinipatia mawasiliano naye na kuanzia hapo mengine yamebaki kukhadithiwa kama hivi.
Sikua namfahamu Mchungaji Richard Hananja mpaka Michael alipo niambia nami nikachukua muda wangu wa kwenda kufanya ka research kangu kabla hajaja mezani, ambacho nilijifunza ni kwamba Mchungaji alikua ni mtu mashuhuri sana ambaye ana watu wengi sana pia wanao mskiliza. Ilinichukua takriban miezi miwili kuweza kumpata maana kila weekend (mara nyingi rekodi za kipindi huwa zinafanyika weekend) yeye huwa yuko safarini. Huitwa sana sehemu mbali mbali, na sasa Serikali nayo imekua ikimuita pia katika matamasha na mikutano mbalimbali. Kwahiyo mara utamsikia yuko Dodoma, mara Moshi, mara Iringa ilimradi yuko busy. Na wakati mwengine Jumapili yake inakua ya yeye kualikwa kwenye Makanisa mbalimbali ili akatoe neno, siku hizi yeye ameshastaafu kuhubiri kanisani na sasa zilizobaki ni hizo za mialiko maalum.
Kama kawaida mimi na wenzangu tulitaka kuanza kwa kumfahamu mgeni wetu maana kama nilivyokuambia hapo awali mimi sikua namfahamu zaidi tu ya kumuona kwenye mitandao akimwaga cheche, tulianzia kwenye kuzaliwa kwake na kukua kwake, mitihani mbalimbali ya ujana, bishara na kazi ambazo ashawahi fanya, na wakati naandika hii nimejifunza pia kuwa Mchungaji hana ambalo anaongeza chumvi maana baada ya sisi kufanya nae maongezi haya, nimeona ameenda sehemu tofauti tofauti na story yake haijawahi kubadilika.
Ujasiri wa ziada huhitajika ili tuweze kufanikiwa kwenye maisha yetu na pia kuwa kwenye mstari ili usiingie kwenye matatizo na vyombo vya sheria. Mchungaji ananiambia jinsi ambavyo alikua ana hustle kila kona, kusafiri bila ya kibali cha kuvuka mipaka ya nchi na boxing ambayo aliifanya kwenye kipindi flani kwenye maisha yake. Boxing imemuachia kovu ambalo kila siku linamkubusha mapambano ambayo ameshawahi kuyafanya kwenye maisha yake.
Boxing pia ndo ambayo imemfanya awe na discipline ya hali ya juu. Kwenye maisha yake ya sasa Mchungaji Hananja anatoa nafasi kwa kila aliye kata tamaa au ambae watu wamemkatia tamaa, yeye ndo huwachukua hao na kuwapa nafasi nyengine kwenye maisha yao, na amini usiamini wengi wao hunyooka na kuanza upya. Kwenye nyumba yake huko Madale Mchungaji anafanya mambo mengi ikiwa pamoja na kilimo na ufugaji. Swali langu lilianza kwa kutaka kujua hizo pesa za yeye kuweza kufanya mambo yote hayo, huwa zinatoka wapi?
Mchungaji Hananja ni MUME, na kwa mujibu wa maelezo yake, alichelewa saana kuoa na mkewe ni Rafiki yake wa kwanza. Yangu matumaini moja mbili tulizopiga humu zitakupeleka sehemu.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZbin Link bit.ly/KZbinSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 489
@ruthmanda
@ruthmanda Жыл бұрын
Yaani huyu Mchungaji Ana kipaji kikubwa saana, anachoelezea ni njia sahihi ya malezi , Nimejifunza mambo mengi saana kupitia vipindi vyake na mtu mwenye utu, Pastor wa uhakika na Mungu ambariki na kumpa maisha marefu kukomboa binadamu wengine 🙏
@jackyjacob2105
@jackyjacob2105 Жыл бұрын
Teh 😅 teh 😅 teh 😅🙌 tunaocheka huku tunajifunza tujuane👆😂salama anapiga swali moja majibu 10 chezea mchangaji wewe 🙌❤❤❤❤❤🥴
@jacobnduya798
@jacobnduya798 Жыл бұрын
Anajua huyu mchungaji ni kiboko, kwakweli nimejifunza mengi sana! Asante sana kwa interview hii
@boniphaceantony4807
@boniphaceantony4807 Жыл бұрын
Huyo mchungaji asizeeke kwanza tunakazi nae hapa tz.🔥🔥🔥
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Жыл бұрын
🤣🤣
@gloriousn6425
@gloriousn6425 Жыл бұрын
🤣 Lmao 😂 😂😂, asubirikidogo, sio????😅
@nancynancy4362
@nancynancy4362 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ShukurumaroSaid-qp2gv
@ShukurumaroSaid-qp2gv Жыл бұрын
Nakubalian na ww
@ibrahimcharles9842
@ibrahimcharles9842 6 ай бұрын
Kabisa tupoSITE TUNAJAMBO NAE😂😂😂❤
@husnachabai2475
@husnachabai2475 Жыл бұрын
Ubongo wangu ukitait Sanaa huwa natafta video clip moja tu ya huyu baba..baada y muda nakaa sawa
@janegasper-mg7gm
@janegasper-mg7gm Жыл бұрын
Mchungaji Mungu akupe maisha marefu maana hicho kipaji kimetoka kwa Mungu, barikiwa Sana endelea kufanya kazi ya utume
@productivityprogressprince5156
@productivityprogressprince5156 Жыл бұрын
Nnachopendea huyu baba, anatuburudisha sisi waKristo na ndugu zetu waislamu. 🙏🏾❤️😊
@shukurukitamuka6829
@shukurukitamuka6829 Жыл бұрын
Salama umepata kiboko chako swali 5 majibu 1000 nakubali sana interview hii 🇿🇦🇿🇦
@sebastianalbert2857
@sebastianalbert2857 Жыл бұрын
Ahaaa haaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@TamuzaKale
@TamuzaKale Жыл бұрын
Maisha kiwanda. "Kiwanda changu domo langu. Uking'oa meno umeniua!" Mamae hahahaa nimecheka balaa!
@joshuajustustz
@joshuajustustz Жыл бұрын
tunacheka huku tunaelimika... hii ni full dozzz😄😄😄🔥💪💪💪 thank you pastor
@fettymilly7664
@fettymilly7664 Жыл бұрын
Ila huyu mchungaji ndo maana nampenda wallah😂😂😂😂
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 Жыл бұрын
Yaani hadi hujui jibu ni lipi sasa katika haya🤗😄😄much love from Germany🇩🇪
@neemakamwambi6427
@neemakamwambi6427 Жыл бұрын
Yaan,!
@peterfelix6967
@peterfelix6967 Жыл бұрын
wonderful man,sio mnafiki he is real
@abdulbongekapunye
@abdulbongekapunye Жыл бұрын
Gonga like hapa wewe kama upo na salama
@husnajumanne9801
@husnajumanne9801 Жыл бұрын
I love how Salama let this Man talk, The only classic show in Tanzania🫶🏾❤
@sulemanimsigwa278
@sulemanimsigwa278 Жыл бұрын
Huyu mchungaji anani inspire sana huwa ananifurahisha sana😄
@melaniaisdory1573
@melaniaisdory1573 Жыл бұрын
aiseee nimeipenda strory ubarikiwe mungu akuongeze miaka
@vjonduso2645
@vjonduso2645 Жыл бұрын
Asante sana Salama kwa kumwalika Mchungaji! Amenifurahisha sana!! Misemo yake ni ya kicheshi sana!
@goodlucksway1456
@goodlucksway1456 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣aiseee huyu mzee anaongea kuliko watu wote niliowahi kuwasikia anajambo kubwa sana ndani yake
@dorinitemba8074
@dorinitemba8074 Жыл бұрын
Mchungaji Rich ,mbengu nzuri haifii ..kijana asilaumiweee
@rodneylamai2847
@rodneylamai2847 Жыл бұрын
Kwakweli huyu Mzee hashoshi katika maongezi yake. Mwenyezi Mungu amlinde na kumtunza
@fadhilimwala7936
@fadhilimwala7936 Жыл бұрын
Moja ya interview bora kabisa kuwahi kuiona
@elizabethkessy2326
@elizabethkessy2326 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha maref Rich B nakuelewa saaaaana
@kashalameck5609
@kashalameck5609 Жыл бұрын
Kati ya top 10 ya ma interviews ya salama naa ambazo nilisha wai kuzitizama iyi moja ni number moja. Shukrani sana Salama kwa tu letea Mch Rich B.👏
@rm9756
@rm9756 Жыл бұрын
Interview ina maswali 15 majibu 1,000 😂😂😂 mpara Raha sana Eeeeh
@cacu4935
@cacu4935 Жыл бұрын
Best interview, So far....Pastor Alikuja na majibu kabla ya interview yenyew, blessed...🔥
@eppiemodest
@eppiemodest Жыл бұрын
Alijibù maswali yote ila kwa style tofauti kabisa. Siyo hapo kwa hapo. Mfano: swali la safari yake ya kupambana bila hata passport kwenda South. Alikuja kujibu mwishonì kabisa baada ya kujibu swali la ilikuwaje akaingia kwenye Uchungaji. Jibu la kuingia kwenye Uchungaji ni baada ya kulelewa na Mchungaji mkarimu mazingira yale yalimpelekesha aipende kazi hiho. Kila swali alijibu ila kwa style ya kuichelewesha si ya papohapo.
@mwebrannia
@mwebrannia 11 ай бұрын
amazing sanaa, majibu kabla ya interview, safi sana.
@ibrahimually2180
@ibrahimually2180 Жыл бұрын
Nakupenda mchungaji salama salama utarijua jiji ha ha haha 😄 😆 🤣 😂 😅 😜
@elmessilas3780
@elmessilas3780 Жыл бұрын
I Noted these,Changamoto zinazowakabili vijana ni vitu vitatu IMANI,UCHUMI Na Ndoa/ familia/ Mahusiano...
@elmessilas3780
@elmessilas3780 Жыл бұрын
Elimu ianzie Ngazi ya familia💪💪
@bettykauye7691
@bettykauye7691 Жыл бұрын
My favourite pastor much love from 🇰🇪
@credomadege2053
@credomadege2053 Жыл бұрын
From🇹🇿
@Gtwice
@Gtwice Жыл бұрын
Na hapo Kaulizwa Hali take tuu kajibu adi suruali mita 4 hahaha uwiiii naenjoy
@johnmushi9952
@johnmushi9952 Жыл бұрын
For real huyu pastor anatupa dawa sana wale wenye magonjwa ya kiroho, kimwili, kiakili nk. Mungu wa mbinguni azidi kumbariki sana.
@glorypius1903
@glorypius1903 3 ай бұрын
Sanaaaaa😂😂
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 Жыл бұрын
Kweli kabisa maisha ya nyumba yalikuwa magumu mtu akivaa Jean's tunamwangalia vitu muhimu hakuna leo tofauti umesema sawa
@khadijakimana8809
@khadijakimana8809 Жыл бұрын
I never been tired of listening to this guy! Ni mwalimu & philosophy👌
@productivityprogressprince5156
@productivityprogressprince5156 Жыл бұрын
Umeonaeee my wangu. Nimefurahi hii kauli imetoka kwa muislam. 🙏🏾❤️😊😊
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 Жыл бұрын
Salama you're still doing great!!!
@IsdoryThomas
@IsdoryThomas Жыл бұрын
I must say... this is prolly the most interesting episode.. ya salama na... God bless this guy.. 🤲
@mwaminierasto9718
@mwaminierasto9718 Жыл бұрын
Yaani SALAMA leo umepatikana swali Moja unapewa jibu 100 tunakupenda sana mchungaji wetu MUNGU akulinde daima
@wanzeramagambo950
@wanzeramagambo950 Жыл бұрын
Daah ni kweliii jamaniii
@joycelaura4611
@joycelaura4611 Жыл бұрын
ha ha ha haaa
@farajangandu9111
@farajangandu9111 Жыл бұрын
Imani Mahusiano Uchumi
@googleus4903
@googleus4903 Жыл бұрын
Wangapi wamerudia mara ya pili kama mie🤣😂 Barikiwa umri mrefu na afya njema mtumishi, tuzidi kufurahia na kuelimika
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Жыл бұрын
Huyu mzee huwa Nampenda sana....safi sana..Salama kwa Kazi nzuri..Kunjua uso uishi
@abdallahrashid6640
@abdallahrashid6640 Жыл бұрын
Angel umeelewa kweli
@shukurukitamuka6829
@shukurukitamuka6829 Жыл бұрын
Nime guduwa salama kajikaza sana hii interview angekimbia kila akiswali huwa hamutizami pastor nahisi angekuwa namutizama kwakila swali cheko ingemumaliza pole sana dada😀😀😀duuuh
@msanyawilliam7499
@msanyawilliam7499 Жыл бұрын
Kwenye hii interview salama ulicheka sana niko naangalia huku sina mbavu sasa wewe ulikua nae karibu sini balaa tupu. Mungu amtunze sana mchungaji yuko vizuri.
@happinessjohn607
@happinessjohn607 Жыл бұрын
He is so talented, charming
@shabaniddy9967
@shabaniddy9967 Жыл бұрын
Salama Leo ume-enjoy ujapata tabu Sana father yeye anafungua TU aisee huyu father namkubaligi Sana
@christinaonyango6085
@christinaonyango6085 Жыл бұрын
Hahaha nimecheka mpaka kwa nguvu,duuu safi Sana ,swali moja majibu elfu moja , salama umepatikana ,duuuu
@saidramadhan1916
@saidramadhan1916 Жыл бұрын
Hakuna miss mfupi kama Mimi tumbo hpo hpo kiuno hpo hpo😅😅😅😅😅😅😅😅
@geraldsekasua7014
@geraldsekasua7014 Жыл бұрын
Hahahahaha Salama kwel 2023 hii interview 🔥🔥 hahahahaha no kuboreka
@scolasamba2542
@scolasamba2542 Жыл бұрын
Daaah aiseee katika interview hii kiboko nimecheka sana
@universitylink
@universitylink Жыл бұрын
Leo mzee wetu kamkamata dada yetu salaama
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@emauf
@emauf Жыл бұрын
Kwanza Salama leo amebid awe msikilizaji, amepatikana.
@careenmouses2047
@careenmouses2047 Жыл бұрын
Hahaaaaaaaa Dada salama Leo umepatikana nampenda huyu mchungaji
@hopesengo6972
@hopesengo6972 Жыл бұрын
Pastor Tony Kapola tunaomba ufanye naye interview 🙏🙏
@MrLionVictor
@MrLionVictor Жыл бұрын
aisee Moja ya kipindi Bora sana salama Asante
@kelvinarnold
@kelvinarnold Жыл бұрын
Yuko vzr huyu mzee we2 mungu azidi kumbark
@jall4376
@jall4376 Жыл бұрын
Keeping it real. Kudos ! Legend. Nakuelewa Pastor. Thanks 🙏🏾
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 Жыл бұрын
Wapy furaha kwa Host wetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 Salama since umeanza hii kazy leo Leo umefika daraja la Prof.......😂😂🤣🤣🤣
@godfreybenny5120
@godfreybenny5120 Жыл бұрын
Salama upo na mtu unayefanana nae.Hananja ndo wewe.kitabia na hulka.basi wewe ni noma sana Wajijua sana,una Sura tofauti tofauti,before sauti ilinifanya nikumbushe baibui swala Tano,nilivyokuona ndo balaa bonge la Package.Allah akujaalie Mutu na nusu.Da usizeeke we ni Mtu TZ.
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Haaha madini tupu .. haaha mi ni muislamu ila huyu mchungaji namkubali
@TonnyCaesar
@TonnyCaesar Жыл бұрын
Napenda alivo real huyu Mchungaji 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@stevewanga957
@stevewanga957 Жыл бұрын
salama kapatikana leo...kuna tafuta ya jawabu na jibu😀😀
@desirenathan3734
@desirenathan3734 Жыл бұрын
Nampenda mchungaji.
@abelmirwatu544
@abelmirwatu544 Жыл бұрын
Huyu mchungaji anatakiwa aingie kwenye stand comedy dah!
@manuelykimaro9995
@manuelykimaro9995 Жыл бұрын
Nadhan hii ndio best interview
@episonfelician7670
@episonfelician7670 Жыл бұрын
Mchung Rich Nakukubali Sana Unanipa furaha tele😂😂😂
@noornasir4378
@noornasir4378 Жыл бұрын
Huyu mchungaji alikuwa na hamu sana ya kujieleza nafsi yake lakini anasema maneno mengi yana maana na mafundisho
@mrbig2181
@mrbig2181 Жыл бұрын
Salama nimecheka Kwa sauti kubwaaa ,,,,from now on tunataka interview kama izii bhana😁😁😁😁
@user-nk9bo3fs2y
@user-nk9bo3fs2y 7 ай бұрын
Nampenda sana huyo baba
@bestmindcoolingrelaxationm1084
@bestmindcoolingrelaxationm1084 Жыл бұрын
Big up mchungaji...
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 Жыл бұрын
Nimefurahi sana
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Жыл бұрын
🤣🤣 Salama leo umepatikana swali moja majibu 10 😉 ❤
@eboytz
@eboytz Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@stevennyondo2215
@stevennyondo2215 Жыл бұрын
Mchungaji huyu burudan kwel
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita Жыл бұрын
Yaniii hahahaa anafurahisha
@alphadreammedia
@alphadreammedia Жыл бұрын
😆😆😂😂😂😂😜😜😄🙏
@israeluronu9958
@israeluronu9958 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@monikakakusu
@monikakakusu 2 ай бұрын
Nimejifunz mengi katoka kwakomchungaji mungu anakupa kutokan naunachokifanya mungu awe nawe daima
@anithasheizza1353
@anithasheizza1353 Жыл бұрын
I like it
@theelijah87
@theelijah87 5 ай бұрын
Much love from Kenya
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay Жыл бұрын
Hahaa! salama kazi unayo kwenye hii interview😢
@simonjackson4722
@simonjackson4722 Жыл бұрын
This is the best interview 😁😁😁😁😁
@DigitalEd4Africa
@DigitalEd4Africa Жыл бұрын
Daaaaah nimechekaaa sanaaa swali maji majibu
@MrSABYY
@MrSABYY Жыл бұрын
Swali moja majibu 50, maelezo ya laki 5 😂😂😂😂😂
@danielidaffa9823
@danielidaffa9823 Жыл бұрын
He reflect really life situation
@kambiofficial8854
@kambiofficial8854 Жыл бұрын
Akili nyingi sana,. Ubarikiwee sanaa
@soudhussein7396
@soudhussein7396 Жыл бұрын
Siku nikipata NAFASI ya kuongea na Salama Jabir, nitafundisha ambayo ulimwengu utaleta habari.
@mwebrannia
@mwebrannia 11 ай бұрын
swali moja majibu kumi 😂😂😂 safi sana.
@hopesengo6972
@hopesengo6972 Жыл бұрын
Ahsnte Kwa Pastor Rich B🙏
@MUGZ-lj2gq
@MUGZ-lj2gq 8 ай бұрын
Ktk interview uliyofanya Salma hii interview ulikupa wakati mzuri sana NAMI wakati naitazama niliipenda sana ila naiona kesho Yako kuwa kubwa kama yule mama wa kimarekani jina nimelisahau Ur bro cyborg
@shehushagari7167
@shehushagari7167 Жыл бұрын
Dah uyumzee anacho kipaji chakuongea kwakweli salama katulia tu
@husseynomar9523
@husseynomar9523 Жыл бұрын
Salama tafadhali tuleteeni SHEIKH MUHIDDIN MAALIM SIASA NA SABRA MACHANO WA ZANZIBAR
@AshailuNeno
@AshailuNeno 13 күн бұрын
Salam hongera sana leo kazi yako nyepesi hakuna kuhoji san kidogo 2 mwenyewe anatiririka hongera sna❤
@farajalongo4528
@farajalongo4528 Жыл бұрын
"Ukiona unapita kwenye maisha changamoto hamna ujue shetani shemeji yako." 😄😄😄
@fredrickraphael1624
@fredrickraphael1624 Жыл бұрын
Well done Sister Big interview ever.
@elopheygandabway
@elopheygandabway Жыл бұрын
Mchungaji Leo ametoa majibu ya AFTATU 🤭😂😂😂
@ombenirite692
@ombenirite692 Жыл бұрын
Salama kwenye interview hii amejikuta anakuwa msikilizaji zaidi badala ya muuliza maswali. Anacheka mwenyewe tu na story za mchungaji.
@wahidashabaz814
@wahidashabaz814 Жыл бұрын
Nimejifunza kuipa nafsi yangu uhuru🤣🤣🤣🤣
@pastoraile7195
@pastoraile7195 Жыл бұрын
From time salama you working this jobs you meet big guys
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 Жыл бұрын
Uko kweli baba unayoyasema yote akili lazima ikomaee
@hekimamtazamo4151
@hekimamtazamo4151 Жыл бұрын
Salama leo una maswali umeacha Rich billionea kawa mtangazaji
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 Жыл бұрын
😂😂😂😂salama anapigiwa story kazi yake leo kuitikia tu Mmmmh🤣🤣🤣🤣🤣
@priscajonas7805
@priscajonas7805 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅 daaah Huyu Mzee MUNGU ampe maisha marefu daima
@Elfuego257
@Elfuego257 Жыл бұрын
Tyson mkaanga chips😂😂🙌🏾
@francismboma6839
@francismboma6839 Жыл бұрын
Namuona king majuto kwenye sura ya mchungaji
@G.S985
@G.S985 Жыл бұрын
Tengeneza jambo ili ubemberezwe wee,maisha bwana ni hatari
@habimanayasin4223
@habimanayasin4223 9 ай бұрын
Mcunganji anacana 😂😂 na mwana penda sana 😊😊😅❤
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
WANAWAKE SIKU HIZI KAMA GARI LA MKAA / YESU HATUJUI
36:45
Mjini FM
Рет қаралды 35 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 66 М.
MCHUNGAJI HANANJA Afunguka kuhusu wachungaji wanaotabiri vifo
16:48
Когда покупки идут не по плану🤯
0:32
FilmBytes
Рет қаралды 2,6 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
MrBeast
Рет қаралды 15 МЛН
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 1,6 МЛН
100❤️
0:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 9 МЛН