MAAJABU YA SOKO KUBWA ZAIDI AFRIKA MASHARIKI, WAFANYA BIASHARA WAKUBALI, HAYA NI MAPINDUZI

  Рет қаралды 12,480

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 46
@ELIMBOTOREUBEN-sv5qm
@ELIMBOTOREUBEN-sv5qm 5 күн бұрын
mungu ibariki Tanzania
@Jurbeg
@Jurbeg 4 күн бұрын
🫡🫡🫡🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 күн бұрын
​@@JurbegTanzania 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 😍 ✨️ 🇹🇿
@FatumaMwage
@FatumaMwage 5 күн бұрын
mungu ajalie kila mtu apate biyashara njema
@Anti-socialSocialClub
@Anti-socialSocialClub 2 күн бұрын
Kariakoo itapata shida sana ! Mda mrefu nasema wamiliki wa majengo Kariakoo wanahitaji kuungana na kuboresha eneo la kariakoo...now its too late.
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 Күн бұрын
Shida gani mkuu
@Anti-socialSocialClub
@Anti-socialSocialClub Күн бұрын
@Salumchiwili2023 wafanya biashara na wateja wengi watahamia soko jipya ....Kariakoo kuna vurugu mno, kuingia na gari inahitaji subira na nguvu za ziada parking inachukua nusu saa
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 Күн бұрын
@ wateja wa kariakoo watakuepo na ubungo watakuepo pia tunahitaji soko lingine la kisasa na kubwa zaidi
@Anti-socialSocialClub
@Anti-socialSocialClub Күн бұрын
@@Salumchiwili2023 hapo tunakubaliana. Wateja wa Kariakoo hawatapotea wote , it would be very weird if that happened. Lakini watapungua , unless you believe the be market will create a completely new set of customers. Wateja wengine wa kariakoo wataenda kupaonja soko jipya na wataenjoy AC na parking ya urahisi. Kama mzigo wa soko mpya uko na bei na ubora nzuri ....watahama kariakoo. Wengine wataendelea Kariakoo. Ishu inakuja ule kupungua wateja na wafanyabiashara , itashusha bei za maduka Kariakoo sana... that's what I meant.
@Anti-socialSocialClub
@Anti-socialSocialClub 21 сағат бұрын
@Salumchiwili2023 hapo tunakubaliana. Bado kutakuwa na wateja kkoo. Wangepotea wote it would be very weird. Lakini , unless you believe this new market will come with a completely new set of customers , wateja na wafanyabiashara wengine watatoka kkoo, wataenda ubungo. Watakutana na parking zinazoeleweka na AC...wengi hawatarudi kkoo. Na hapo bei za maduka kkoo zitashuka sana... that's what I meant.
@EGM-TZ
@EGM-TZ 5 күн бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Guys tutakuja imarisheni ubunifu na usalama zaidi🎉 Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM
@bijou5038
@bijou5038 5 күн бұрын
Ila mufanye wutafite juu ya bida zinazotoka chine kuwa ziko safe kwa binadamu sababu chine hijali afia yamu Africa wanajali pesa
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 4 күн бұрын
Tengeneza vya kwako NDO utajua utajua ubora wake. Biashara ni akili. Mwenye akili kutangaza NDO Mwenye kujua namna ya kukuzuga kua vya kwake ni Bora kuriko vya mwingine.
@kilimanjarotv255
@kilimanjarotv255 5 күн бұрын
Soko zuri ila liliitaji kuwa ata gorofa 5 lipo chini sanaa halionekani next mkijenga dodoma au sehemu nyingine jalini urefu msipoteze arzi bure kwa faida ya miaka ijayo mji unakua au watafute jengo refu la pembeni kusapoti
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 5 күн бұрын
labda watariendereza kwa juu kwa badae kama majengo mengine wao wanajuwa kabla awaja Jenga warisha ritasimini ilo tuwape mda kila kitu kina enda taratibu
@EphrancinaBeyanga
@EphrancinaBeyanga 5 күн бұрын
Ulishawahi kuingia humo, au unaongea tu, in godown kama hujui
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 5 күн бұрын
Kabisa ni fupi sana Mimi nakuunga mkono ​@@stellahlinusi8215
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 3 күн бұрын
Unadhami walodizaini hawa akili
@saidbakar-qo6ri
@saidbakar-qo6ri 3 күн бұрын
Soko huwa halijengwi ghorofa ndio maana masoko yote yenye ghorofa yamefeli
@JosephLoy-k2g
@JosephLoy-k2g 2 күн бұрын
Wapi comment za kiambu
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 5 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🏆
@lyarycharles1481
@lyarycharles1481 5 күн бұрын
Linafunguliwa liinii
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 4 күн бұрын
wazawa wawezeshwe sasa tujenge viwanda vyetu tusiishie kuwa SOKO kwa wachina tuuuuuuuuuuu
@deezobedience6920
@deezobedience6920 5 күн бұрын
R.I.P Kkoo 😂
@JosephChrisant
@JosephChrisant 5 күн бұрын
Hapa serikali ikipunguza kodi za uigizaji bidhaa kutoka nchi basi TRA itaweza kukusanya kiwango kikubwa cha kodi kuliko kupandisha kodi inayopelekea watu kwenda nchi jirani kununua bidhaa hizo na wakati baadhi ya hizo nchi zinatumia bandari zetu kuagiza bidhaa kutoka China kwenda nchini mwao.
@HajiMgwami
@HajiMgwami 4 күн бұрын
FROM WHAT I UNDERSTAND WACHINA WATALETA BIDHAA HAPO NA WATANZANIA WAACHA KWENDA KUFATA BIDHAA CHINA NA KUCHUKUA HAPO....
@Officialtbb_
@Officialtbb_ 5 күн бұрын
Msemaji mbona kapoa sana? Mh! Aya
@RichardMwaja
@RichardMwaja 4 күн бұрын
Km hy yanatakiw kuw matano hv ktk jiji km dsm n dom ht ma3 hv vyanzo vizr vy kodi lkn ajir n hudum bora kw wananchi.
@IsaacKalenge
@IsaacKalenge 5 күн бұрын
Mbona Dogo
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 4 күн бұрын
kwa hyo Manufacturer wa Tz hawaruhusiwi kuwa na huduma humo....naona mnataja tuu bidhaa toka CHINA
@Anti-socialSocialClub
@Anti-socialSocialClub 2 күн бұрын
Wamesema wanaweza kutuunganisha na suppliers kutoka china. Kama hutaki , sio shida njoo na suppliers wako mwenyewe
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 2 күн бұрын
@Anti-socialSocialClub mtu kama wewe ndo upewe uongozi ni hasara kwa nchi....kumbuka hapo wanakuja watu Toka nchi nyingi za Africa why tusiuze na vya kwetu? Tumia akili kubwa utanielewa....mfano anakuja Mzambia akikuta bulb za Tz huoni ni soko zuri?
@Anti-socialSocialClub
@Anti-socialSocialClub Күн бұрын
@@jeremiaaugustino7187 so ww unahisi wasiruhusiwe kuuza vitu vya kutoka nje ? Waruhusiwe kuuza bidhaa za Tanzania tu ?
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 Күн бұрын
@Anti-socialSocialClub unabadirisha topic...soma vizuri nlichoandika
@Anti-socialSocialClub
@Anti-socialSocialClub Күн бұрын
@jeremiaaugustino7187 naona ww ndo hujaelewa niliyoandika. Ngoja niandike "in layman terms". Wapangaji hapo wataruhusiwa kununua mzigo popote. Kama hio bulb inatengenezwa Tanzania, kwa ubora mzuri, na kwa bei nzuri...basi huyo mpangaji yuko free kununua na kuuza huo mzigo wa TZ dukani kwake. Kama anaweza kupata huo mzigo wenye unora na bei nzuri zaidi nje, Japani, India etc...yuko huru kufanya hivo. Lakini kama anataka kutafuta hio bulb china , watakusaidia. Sasa ww shida yako na hio inatoka wapi ?
@josephchimba7583
@josephchimba7583 5 күн бұрын
Watu wa vingunguti tena 😂😂😂
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 5 күн бұрын
Lingekuwa ghorofa hata 10
@christophermboya7676
@christophermboya7676 5 күн бұрын
Wewe mama unadanganya watu Tanzania ni Nchi yenye amani Wakati watu wanatekwa na kupotezwa na wanaokotwa wakiwa wameuliwa
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 5 күн бұрын
Mnauwana wenyewe,unamlaum nani?
@Jurbeg
@Jurbeg 4 күн бұрын
ebu tuachie tz yetu nenda mbinguni pumbavu 😡🫡🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 күн бұрын
Kabisaa ndugu yangu hata mm jana nimesikia wameliteka mama yako kisha wamelipakua balaa 🤣🤣🤣
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
Malaysia's Minister Says Growth Set to Surpass 5% in 2025
28:42
Bloomberg Television
Рет қаралды 34 М.