Huyu hapa ni dealer maarufu wa magari Tanzania Magari Mtaani hapa anatuelezea sifa za magari aina ya Cadillac Escalade.
Пікірлер: 927
@andrewkaswagula33673 жыл бұрын
Nimecheka sana.. yaani huyu anatufanya sisi hatuyajui magari... Escalade iwe the best SUV.. unaiacha wapi Lincoln Navigator au Bentley Bentayga Mulliner, au Range Rover SAVautobiography Dynamic.
@simonwenceslaus98603 жыл бұрын
We x ungeomba interview we unaumia nn akiongea ivo yani hutaki tu mondi aonekane abamiliki gari hilo
@Noble_Digital_Solutions3 жыл бұрын
Kuna Karl man king na Razvani Tank sijui kama anayajua hayo
@shstell3 жыл бұрын
This man has a brain and a half, big up!
@fridageorge28093 жыл бұрын
Sasa nyie mnaosema kilaza,mweupe,hajuikitu embu tuambieni kwa undani mambo haya yanakuaje!! Sio unapinga kwa maneno matano!!😏😏
@ayoubthompson70573 жыл бұрын
Amekosea kwenye kusema tu it's the best suv in the world that's a lie maana duniani the best is still the range rover by far na ndio maana rolls royce,bently, lambo nao wameleta suv zao kucompete
@bongozoom3 жыл бұрын
Dalali wa magari nikushauri tu angalia kipindi cha *top gear* cha wale waingeleza utazifahamu the best car uache kutoa sifa kwa mbwembwe cad sio best of the best SUV, inapaishwa sababu ni ya USA basi
@clementhiddi14863 жыл бұрын
Good point
@bakarirashid57973 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa, lakini nimemuelewa kwamba hii ni ya mwaka huu huu..!! 2021
@marcogodfreymboya73493 жыл бұрын
Sifa yake kuu ni "the best".....the best.....the best!!!!!
@descartesdivindushime22013 жыл бұрын
Oooooh damn this guy is highly genius.... Anaogeya na akili with facts explanation.
@designskeymediaagency71693 жыл бұрын
Best SUVs 1.Nissan Rogue. 2.Chevrolet Equinox. 3.Jeep Compass. 4.Jeep Grand Cherokee. 5.Ford Escape. ACCORDING TO GOOGLE.....TOP 5
@vitusprotus88773 жыл бұрын
Na uko vizuri haswaaa! Na magari yapo damuni hakuna anaweza kukudanganya kitu, hongera kwa ufafanuzi mzr kwa hamnazo.☺
@christophermsekena6163 жыл бұрын
Hata jirani yangu Mzee wa Upako anayo Escalade, gari zinatisha sana hizi kwenye msafara
@mimimtanzania97383 жыл бұрын
Ya kwaka gani Ya mzee wa upako.Ya mondi ni 2021
@mimimtanzania97383 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa kusema kweli coz wabongo wana wivu sana.
@georgelusana23463 жыл бұрын
@@mimimtanzania9738 hio ya mondi moja ilikuwa ya saidi lugumi magu na mpk sasa haipo
@roylot73003 жыл бұрын
Huyu jamaa katupa chai ya baridi😅 1, 🙄 iyo gari sio ya 2021 ni ya 2015 Search apo uone 2021 inafananaje 2, 🥴kuinunua iyo gari mpaka ushuru ya 2015 Ni 140m minimum, ukitaka long wheel base price inapanda kidogo ila sio sana which it's also not a cheap car 3,😑 iyo sio the best suv ever, search apo uone kama inaingia ata top 5 ya best suv ever made 4, 😁mzee wa upako wa pale ubungo anayo ya 2016 yeusi aliyonunua way before 5, 🤨kama kuna gari inaweza kuwa the worst offroading SUVs kibongo bongo ni Escalade na range rovers, izo kazi ni za landcruiser,jeep, na land rover na kila mtu anajua 6, 😀mwisho Escalade is still not a cheap car Maintenance zake sio ndogo pia
@jessicabrown58853 жыл бұрын
Very true
@rukinishadamiano52173 жыл бұрын
Nunua na ww
@rithadonatus81103 жыл бұрын
Mtu kama wewe ushafanya research tayari sasa huyu mwamba anaongeaaa
@stanleynombwe4865 Жыл бұрын
@@rukinishadamiano5217 hahahaha
@deusdedithmanugulilo19803 жыл бұрын
Sio the best is one of the best. Mwambieni huyo jamaa akajifunze kuhusu Lincoln Navigator, Mercedes Benz G Class na BMW X7
@brianmayunga10103 жыл бұрын
Nadhani huyu jamaa hafuatilii magari anafanya ushabiki na tantalila lincoln Navigator ndio the best SUV mnaweza angalia youtube sasa hivi
@noelmgulusi67073 жыл бұрын
Tunaongeoea SUV sio sedan
@deusdedithmanugulilo19803 жыл бұрын
@@noelmgulusi6707 na kuna Sedan gani nimetaja hapo?? Au na wewe hauzijui gari?
@alexmwashibili36163 жыл бұрын
Aaaaaah brother nimekuelewa kweli👍👍👍
@seifkiswamba9333 жыл бұрын
ile Cadillac escalade suv ni best luxury lakini sio hardcore in terrain uwezi fananisha na mercede benz 4x4 square
@SalumNWawa3 жыл бұрын
Yap G wagon
@shebe25733 жыл бұрын
Umeongeya vizuri 👍
@eliudmwakilembe85923 жыл бұрын
Nakumbuka msafara wa bush in tz 2008,,,alikuja na msafara,wa Escalade saba
@johanespoppa96133 жыл бұрын
Well explained ,excellent.
@erickavelyne65523 жыл бұрын
Huyu jamaa anaongea point sana
@ericklyatuu13013 жыл бұрын
Ile cadillac ya kwanza ya Diamond ndo Ina gharama sana maana imeboreshwa na LEXAN MOTORS
@emmanuelymallya17213 жыл бұрын
Hawaelew wanachukulia pouw
@youngbreezy66153 жыл бұрын
yeah you're right!
@rewardnjau72203 жыл бұрын
Ya pili ni ya kawaida?
@erikimethod62463 жыл бұрын
Absolutely wajina
@erikimethod62463 жыл бұрын
mange kimavi anapaswa kujifunza kwa mtu kama huyu, acjione kukaa america ndo kujua kila kitu
@thedeo4723 жыл бұрын
Best SUV in the world is not Escalade. One website rated Mercedes Benz GLE as the Best Overall SUV while Escalade was the 4th SUV in ranking only because of its cargo space.
@mjsteven32973 жыл бұрын
Hiyo migari imejaa hapa mtaani Nairobi. Huyu jama bwege kweli.
Dogo mi mtanzania, Ila kusema yakenya, haimanishi mi mkenye. Hafu ujue huku Kenya kuna wenye maendeleo Yao na hawasemi. Mr jagwa anamiliki ndege na hajigambi.
Wakenya wangapi hapa wameona Escalade kadhaa Nairobi?
@andrewkithii75213 жыл бұрын
Boss ata sonko team ako na kadhaa. Kenya ata 2005 zilikuweko
@staredgeinternetservices58543 жыл бұрын
Mombasa bamburi kama nne napisha nazo
@magangajames46443 жыл бұрын
Kwani Tanzania hakuna?wapo wengi wenye nazo sema aliyenunua ni famous.kuna watu wana hela kuliko huyo hapa Tz
@saidihamadi82633 жыл бұрын
Heeee nyinyi munaoponda angalau muwe ata I ST bc
@ssalimsalim38643 жыл бұрын
You're very right bro.
@wollytdiller80673 жыл бұрын
You are crazy!!those cars for Diamond is from 2018 go check nice
@ommy_king3 жыл бұрын
Huyo alosema Escalade ni uber marekani halaf G wagon ndo za matajiri... Hajui kama Dubai G wagon tunahangaika nazo kwenye vumbi😂😂😂 Ferarri huku ni Taxi kabsa
@cynthiamukami94263 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Nauza magari bt kisungu wahala 🤣🤣🤣🤣🤣
@mbwanakiting71803 жыл бұрын
Ni dubai
@sizaulomi14783 жыл бұрын
Nimekubali mzee kunamkuda mmoja hivi mange utafikiri yeye analo
@rithadonatus81103 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 tujuwe wapi siye washamba
@lulually52093 жыл бұрын
Zileteni huku
@thegreat.98693 жыл бұрын
Hakuna si kweli... best suv siyo escalade.. huyu dealer yupo shallow sana mpaka hapo.. ukizifuata GLS 600 Maybach... hahahaaa.
@princebuganzilut20473 жыл бұрын
Huyu muuza magari ni mdiamond
@andrewkithii75213 жыл бұрын
@@princebuganzilut2047 hajui tena kuna Bentley bentayga na rolls Royce suv. Tena anasema 2021, 2021 model inakaa tofauti sana hii inakaa 2019. Dealer hana habari
@masakivlogs3 жыл бұрын
Jamaa ana inspire sana hongera kwake.
@moodyramadhan3363 жыл бұрын
Ahsante unajua elezea
@malopemaliyamungu52433 жыл бұрын
Ukitaka kuumiza kichwa wasikilize watz hautafika popote.. Unakuta mtu hana hata mia au swift but kelele nyiingi.. Na kwa Mara ya Kwanza mjadala umeanza kuhusu "Escalade" Wenzangu wa "Escudo" tutulie.
@festusmwagha64093 жыл бұрын
Alafu we dealer usizoe wakenya kabisa... kenya tunarekodi ya kuagiza magari mpaka billion 5tsh
@princebuganzilut20473 жыл бұрын
Kenya ni a decade ahead in east africa. Bongo huwa ni mdogomdogo. Mwendo wa kobe
@yagalbyyaayuni72473 жыл бұрын
Hahahaha sure
@edgarnandonde483 жыл бұрын
Kenya nakubali kuna madoni wengi wana magari ya kifahari alafu wanamiliki watoto tu hila hapa kwetu ushamba mwingi sana
@jacksonmichael67293 жыл бұрын
Nakubali sana alichokifanya mondi Sasa Bado ndege
@thegreat.98693 жыл бұрын
Still hakuna comparison yoyote na ndege... jet ni kitu ingine escalade may be 50 hv. Hahahahaaaa
@dando78193 жыл бұрын
Hivi hiyo Escallade na ile Emialade ipi ni best maana nashindwa kujua mimi!
@bazzgarkimea54693 жыл бұрын
Ata me yananichanganya😂😂
@josephntungiye62323 жыл бұрын
Emialade itakua karisana tena kunanyingine inaitwa Kobe nikari sana
@joseztemba62983 жыл бұрын
Hujui magar wew
@alhamudesser7583 жыл бұрын
Hata akiunua ndege bado ni uba marekani
@trophinidamac3 жыл бұрын
😁😂😁😁😁😁😀😀
@ummymwalimu39653 жыл бұрын
😁😁😁
@kassimdinno3 жыл бұрын
Sio the best sema “one of the best”
@SalumNWawa3 жыл бұрын
Hapo saaafi
@lamecknoel90763 жыл бұрын
Sure thing
@UniformShop-if9bf3 ай бұрын
yess
@denisimaliyaweni91833 жыл бұрын
Huku kwetu somaria Escalade ni kama fyati au au masey huwa tunapeka shambani kwa ajili ya kusaidia vilimo na mifugo huwa tunabebea mbolea,na mbegu na kubebea mavi ya mifugo kupeleka dample.
@hezronmdegela91023 жыл бұрын
Somalia mko mob
@nicksonhelman2943 жыл бұрын
Kunagali inaitwa bebe, mbona kali sana
@tzmwamba41243 жыл бұрын
🤣🤣
@youngbreezy66153 жыл бұрын
ila jamn mujue kuwa izo Cadillac mnozungumzia zote ya diamond ndo ina gharama zaid maana chuma kutoka Lexan motors ambayo ukichanganya na maushuru kitu kinagonga bilion 1.3 Tsh
@dericknotderek3 жыл бұрын
Nyokoo unajua billion ww si angenunua rolls Royce basi😂achen upuuuz kafwatilieni bei zake hata custom made Amna ya billion
@daxyability93543 жыл бұрын
Ww hata hujielewi...unaongea pumba tu
@isackmagaya70883 жыл бұрын
Huna hakili timamu wewe billion unaijua wewe
@francesisc3 жыл бұрын
kiazi huyu
@prisiusfelcian52713 жыл бұрын
We kweli chula wa kujitegemea
@bejos8453 жыл бұрын
Watanzania nawapendea hicho, yani kitu cha kawaida wao wanachukulia issue kubwa, inchi zingine watu awaongelei swala za gari kama hiyo. Ama niule msemwa wa mwenyejicho moja mdo mjanja kwenye kundi la vipofu. Escalade nigari kawaida sana. Ila inakula nguzo mana wenye mikokoteni ndowengi hata kuliko wenye baiskeli
@edwardmkwelele3 жыл бұрын
On the list of the best SUV Escalade on number 19
@philimoneliah33193 жыл бұрын
Katika hii dunia muogope mungu na technologia alijua hatutaingia kwenye mtandao
highest rated Suv sio escalade embu tupishege huko kwahio lincoln navigator ya ngapi gari kama boxi bhana 😂😂 na hio sio 2021 kajambe kulee
@soudybrown14943 жыл бұрын
Hater
@faidabundulu69953 жыл бұрын
Nakubali milad Ayoo wengine wanaturushia taarifa za uongo
@mwayembejr.18053 жыл бұрын
Tatizo watanzania wanaushamba Sana Yani hizo Escalade zinavyochezewa na watoto hapa Kenya ata haziongelewi ila tz imekuwa habari wiki mbili duuuh! Kweli tz baadhi yenu ni madwanzi sanaa
@everlinethoya8693 жыл бұрын
😃😀😃😀😃😀😃😀
@mediotanzania21653 жыл бұрын
Ila pia tukubali tu diamond Platnumz ndio mtu wa kwanza kuieleta ya 2021 Tanzania hakuna kama mondi
@emanuelmselle6373 жыл бұрын
Eeeh bb mond noma hyo ni ya 2025
@aidanmaganga70513 жыл бұрын
Kabisa
@najmuddinkarama73603 жыл бұрын
Duuu we utakua unaishi mkoa si mjini....
@leahally46183 жыл бұрын
Munateseka mukiwa wapi jaman 😂 😂😂 mbona nyie iyo gar hamuna?muachen mond wawatu jaman fanyen maendeleo yenu maana ata haitakusaidia kitu na hata ukimsema vibaya maisha yake hayafanani na yako achen umasikin fanyen yamaendeleo dah Yan mapovu yanawatoka jaman😂😂😂
@tousihhhh67653 жыл бұрын
🤣😃😃😃🏃♀️
@johnmasanja17623 жыл бұрын
Mondi changanya kenge Hawa, ulete na fisi mzee baba, ili watoe povu kwa sana, mond safiiiiiiiiii
@pendomariki65623 жыл бұрын
Afuge simba kama jina lake tu ni hatar
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Ishashuka rolroys uko ujona
@rukundoibrahim8073 жыл бұрын
mtaalam iko vizuri.
@PrinceLeon13 жыл бұрын
Iyo ya Diamond sio 2021
@shanatatrigger65373 жыл бұрын
Ya Kwanza ni 2015 na yapili ni 2021
@festusmwagha64093 жыл бұрын
Me niulize kaka unaifamu range rover vizuri
@noelmarapachi18083 жыл бұрын
Niliwaza kama wewe, yaani tusiende mbali sana!
@honorekiza87623 жыл бұрын
Bro Gari zote za V8 Engines zinakula mafuta mbona ninayo DODGE CHARGER SRT 2020 Na yenyewe inakula mafuta tena kuzidi iyo Escalade 6.2 L V8 yangu ni 6.4L V8. kununua kitu kama gari hata kama inakula mafuta sana ukiipenda utachukua kama uwezo unao aijalishi ndo pesa sana au Umaskini sana.
@danieldaudi12833 жыл бұрын
Nice review! but Escalade ina depreciate sana kuliko ata Toyota Land Cruiser alafu pia siuo SUV ndumu in teams of durability Escalade siyo gari gumu kama SUV nyingine kwenye category iyo ya full size SUV'S
@abdul-bz1cy3 жыл бұрын
hivi unaifahamu Lamborghini urus 2021 ?
@happyjohn58823 жыл бұрын
Hahaaaaaaaa huyu anachez na akili za wtuu,kuna Porches ambayo ni moto pia,Kuna Lincoln SV ambayo ni hatrii kuliko hii Escal,kuna GMC ya marekana pia hatarii Sana'a Sana'a......
@AbdulGermany2103 жыл бұрын
Ni Gari nzuri ila kwa Tanzania ni Sawa na kupoteza pesa, utaipitisha wapi ndugu yangu
@emariusrush32853 жыл бұрын
Unaambiwa Cadillac Escalade tougher and luxurious car,sasa Lamborghini ni luxurious tu
@Hanskapella3 жыл бұрын
Unayajua magari lakini au unaiongelea tu kisa unaionaga kwenye picha.
@avitusmichael53 жыл бұрын
@@happyjohn5882 unakaribia kusema GSM
@Eric4823 жыл бұрын
😄😄😄 anadanganya wazi wazi
@kizazijeuri35623 жыл бұрын
Nimemwelewa sana
@annaniasbyarugaba57883 жыл бұрын
Kwangu mimi. The Best SUV Ni Kalmani King sio Escalade
@Noble_Digital_Solutions3 жыл бұрын
Tuko pamoja, alafu kila mtu ako na best SUV kutokana na vigezo vya vyake. So Escalade ni gari kali lakini ni the best kwake
@mandlasakhile91093 жыл бұрын
Hii interview naiomba jamani
@khalidsalmin76823 жыл бұрын
Escalade hiyo ya diamond na land cruiser 2022 bora uchukue cruser kwa uono wangu lakini...
@ExaveryАй бұрын
aise iyo ni good ❤
@dsstanzania3 жыл бұрын
Safi sana mkuu nimekuelewa
@Life_of_collin3 жыл бұрын
Kenya zipo nyingi bro ...
@zaidramadhan58453 жыл бұрын
2021 elewa co Escalade tu ni Escalade 2021 zipo?
@jaqeezmosurprise44993 жыл бұрын
Unasema diamond hana pesa acha wivu za kwako ziko wp demu wako aki omba pesa ya kusuka 2 una kimbia
@GibiGene3 жыл бұрын
U said well
@pubgyesssir79733 жыл бұрын
Hakuna hio sio number 1
@Iam_Asionyi3 жыл бұрын
uongo eti kenya hakuna..wewe uko kenya? njoo nairobi tukuonyeshe magari ndugu angu.We are the OG
@mosessanga75343 жыл бұрын
Inapita zuu zuu zuu ndio Cadillac inalia ivyo
@chrispinimkanda71273 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@blaqyrn36553 жыл бұрын
😅😅
@wisperfect53203 жыл бұрын
Zuchu zuchu😂😂
@lulually52093 жыл бұрын
😂😂😂😂eti zuchu nimechekaje
@bonifacehassan13093 жыл бұрын
Atal
@bonaventuralupogo21493 жыл бұрын
Lincon navigator
@godblesskessy55163 жыл бұрын
wabongo bwana mnapoteza mda kumjadili diamond na magari yake badala ya kujadili vitu vya msingi Kama kuondokana na umasikini tulionao? kujadili magari ni ushamba .kwani tunakwama wapi sie wabongo?
@ashaali71543 жыл бұрын
Huu sio ujinga bali ni ni upumbavu kabisa njaa wengine zinawauwa wanahangaika na mtu ambae akiwakuta hapo barabarani hata hawezi kuwatazama foolish.
@nilansaid29273 жыл бұрын
Usitupangie maisha sisi sio mifugo yako
@erickmweta82153 жыл бұрын
Huyu dalali anachekesha sana 🤣🤣🤣🤣five star mpaka kusema East Africa haipo Leo amejishusha sana
@hermanjoshua62243 жыл бұрын
Ya 2021 nazan ndvyo alivyomaanisha
@frankdanford82453 жыл бұрын
Yaani ni muongo sana huyu jamaa kuna garage moja pale buguruni ipo cadillac escalade hiyo imekufa yakitambo namba B tena
@hermanjoshua62243 жыл бұрын
@@frankdanford8245 mnachoshindwa kumuelewa huyu jamaa, hajasema hakuna cadillac , ila amesema new model ya 2021 hakuna hyo inaweza kuwa ya kwanza, hzo za zaman zipo nyingi tu Muwe mnasikiliza mnaelewa sio kukimbilia kwenye coments tu huku hamjasikiliza
@erickmweta82153 жыл бұрын
Vehicle detailing skills yake imeonyesha hana data za uhakika juu ya Escalade. Msanii wa kwanza kuwa na Cadillac kwa EA anaweza kuwa Jose chameleon hapa Tz pia kuna mtoto wa tajir anazo 2
@mfalmekaitaba24253 жыл бұрын
Huyu ni mtaalam wa magari used ya Japan huyu
@lexq-sm6lq3 жыл бұрын
Kwanini?
@abdillahialiy95113 жыл бұрын
😂😂
@rimbagona64973 жыл бұрын
Bro hapo umeongea ukwel its a used car
@lexq-sm6lq3 жыл бұрын
@@rimbagona6497 😂😂😂😂akili sio za kila mtu. Gari imefunguliwa Mpya kutoka kwenye contena.😂😂😂
@bitobitondola79213 жыл бұрын
@@lexq-sm6lq nigga hata wewe unaweza agiza gari from anywhere in the world ukalipia liwe delivered kwenye container. Kitu kuwa kwenye container sio kwamba ndio brand new. Tuanzie na hapo
@badrumbarouk33773 жыл бұрын
Unaijuwa bugett divo mjomba billion 18 za kitanzani na pesa za juu dunian kuna gar Kali zaid na zaid
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@edwardmkwelele3 жыл бұрын
$76195 the price of that Escalade new one, and used one is far way less than that
@khamisjuma50463 жыл бұрын
Fifty five thousand dollars
@lexq-sm6lq3 жыл бұрын
76195 dollars ni kama upo nje. Ku isafirisha mpaka iingie bongo ndio gharama zinapo ongezeka. Tuseme ametumia kama 250 - 300k kwa gari zote mbili. (That's not cheap at all, hiyo ni karibu milioni 700)
@godfreymbwambo44603 жыл бұрын
THE PRICE YOU ARE TALKING IS SUBJECT TO CUSTOMIZATION. THE PRICE COULD HIGHER IF CUSTOMIZED.
@lexq-sm6lq3 жыл бұрын
Uki zingatia kuna gari ya tatu rolls Royce phantom ka agiza, Na kwa video ambazo Zime anza KUSAMBAA tayari mtandaoni, ina ONEKANA isha fika bongo.(Sijui kama ushaiona hiyo video, rolls Royce phantom iko na cadillac) Ukipiga hesabu za gari tatu hizo ni kama bilioni 2 na ushee. NOT CHEAP
@edesiuskuyasiwa63523 жыл бұрын
@@lexq-sm6lq Bado sana, kibongo bongo jamaa anapesa.. Lakin Sio kujidai kwa Africa, davido tu hamkuti.
@adambakari92763 жыл бұрын
Na ww AYO km huna habari sema tukuuzie habar kenge we umeniharibia MB znh
@shaddybmc83423 жыл бұрын
WAPENDWA CHA MSINGI TUMTAFUTE SANA MUNGU HAYA MAGAR TUNAYAACHA JAMAN. TUOKOKE WAPENDWA. YESU ANATUPENDA NA KUTUHITAJI SANA.
@_7medo_3 жыл бұрын
Huyo dealer wenu anaujuwa ukwaju kama hajuwi bc karopoka ukwaju hiyo gar haikuti hata v8 XXL kwa ubora eti v8 ni ya kufanya uba yeye kwao hata pikipiki hawana atuondole bangi zake ndo wanao chafuwa majina ya kampun za magari acha tunyamaze tusitoe kasoro za hiyo gari
@tynegeemajor3 жыл бұрын
Daah Best SUV in the world hahaaa!!! Escaladeeeeee, Bro kumbe we kweli ni bingwa wa magari bongo tuuu umeletewa kitu nje ya uwezo wako umeingiza wenge na kuropoka tuu. sasa hzi ndo best SUV in all aspects: Rolls-Royce Cullinan, Range Rover LWB, Mercedes-Maybach GLS600, Lamborghini Urus. Usituambie sisi hivoo tenaa bro
@frankchilumba59533 жыл бұрын
Bora umeongea kiukweli kabisa alafu kisomi
@brayanphilipo18513 жыл бұрын
Sio the Best
@isaacs39043 жыл бұрын
Technically.....hakuna uhusiano wa cc 6200 na consumption ya 6.2/100 kms
@pamatech79543 жыл бұрын
Ayo huyu mkungwa umemuokota wap ?huyo muuza noha bob, kama vp mremove anavuruga media tu.
@emmanuelkisamo28083 жыл бұрын
Huyu pumbavu kweli. Escalade inaingia kwa Aston Martin,Bentley,Cadilac Cullinan? Muwe mnahoji watu wenye akili.
@salehalzakwani32833 жыл бұрын
Cullinan 1.5m dolla
@ndegejr42183 жыл бұрын
@@salehalzakwani3283 Cullinam ni dollar 318k Toleo la mwaka 2021
@bone1023 жыл бұрын
Mzee hivi hzo gari ulizotaja unaweza uka zitengeneza interior zikawa kama hyo gari anayo zungumzia anasemea gari kubwa hzo zote ulizotaja body zake ni ndogo tofaut na escalade usikurupuke
@chrispinimkanda71273 жыл бұрын
Sasa mbona povu mzee baba vip inauma inauma ee !!?
@abuuatwiyyahssalafiy99193 жыл бұрын
@@ndegejr4218 a6
@ashaali71543 жыл бұрын
Eti ni kitu cha kujivunia. Sisi tujivunie kwa sababu inatusaidia nini . Pelekeni ushamba mbele.
@pierreoriva41313 жыл бұрын
Gari nzur Sana Escalade
@Special4uTV3 жыл бұрын
Jamani hii ni Escalade 2021
@la_raib9533 жыл бұрын
na Volvo jee
@barakapaul44543 жыл бұрын
Kama umemuona jamaa kalewa hebu tujuane kwa like
@malcolmx43353 жыл бұрын
😂😂😂😂 kalewa anaongea english
@salimsaid72003 жыл бұрын
@@malcolmx4335 🤣🤣🤣🤣 LUGHA YA MAYAI 🤣🤣🤣
@lawrencerichline46713 жыл бұрын
Mwanangu sana bandari ya magari mtaani
@kitonekantasha16873 жыл бұрын
Hahahah eti east africa hakuna. 🙌🤣🤣🤣🤣😂 ivi huyu anaona MOND tu ndo tajiri eastafrica
@salummbunga41673 жыл бұрын
USIKUTE PENGINE YEYE NDIO DALALI UJUE 🙈🙈😂🏃🏃
@diodoruskyomya93283 жыл бұрын
Were yupi unamjua anayo 2021 in east Africa?
@marcellysumaye28593 жыл бұрын
Kwan nani anayo hiyo gari hapa east africa zaid ya mondi
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Usikilize na umuelewe Alf timu pny ndo ugonjwa wenu ubishi hmtki ukweli
@nshonabdll93633 жыл бұрын
@@marcellysumaye2859 washamba Hao achana nao
@mirajimussa8283 жыл бұрын
Anaziacha wapi Lincoln Navigator, Mercedes G 63 AMG
@kyaro59453 жыл бұрын
Mercedes G63ni almost $500k ni za Watoto wa kifalme huko uarabuni. Range rover 2021 ni 200$k
@princebuganzilut20473 жыл бұрын
U diamond umetawala
@ignatusrogerslema86503 жыл бұрын
Hajui magari huyu dalali anasahau Lincoln Navigator kweli
@shedrackamos40213 жыл бұрын
Kagoogle acha ushamba wewe
@officialmachupatv36373 жыл бұрын
Muwe mnatafuta watu wakuwaoji kuhusu magari uyo ni dalali w magari gar anayo zungumzia iyo diamond ya mwaka ayewezi kufika 2021 iyo gari ni mwaka 2015 Au 2014
@najmuddinkarama73603 жыл бұрын
Mzee kama kweli unauza Magari basi zitakua combi maana huna unachiojua ....
@bosskubwa27273 жыл бұрын
Ila huku Kenya ziko nyingi Tu na watu hawapigi Kelele, huyu kijana wa tandale alete Ferrari
@bensonswai75753 жыл бұрын
Watanzania tunashida snh mnasem mond hel na nyie nunue tuone Co kuongea tu
@siyamanda70733 жыл бұрын
Huyu jamaa anajielewa na muelewa sana yani ameelezea inavyotakiwa. Yule kimambi radhi ya baba ake inamsumbua
@dizzobostuwa24893 жыл бұрын
Good
@braimondbrizzy71383 жыл бұрын
My brodah
@faudhiaabdallah91553 жыл бұрын
Kumbe 300million dah bei chee
@thehunter59203 жыл бұрын
Milion 300,bei ya land cruiser GXR hiyo v8 hiyo
@chokambaya4683 жыл бұрын
Huyu inaonekaya Tim mondi wazi mana kuna G wagon v12 anaijua au Lamborghini urusi huyu tim tu
@aziztossiry38053 жыл бұрын
Kwani ni SUV au?
@sameeraidd21093 жыл бұрын
Gari la mwisho jeneza
@kelvinmazanda3 жыл бұрын
Kwenye dakika ya 3:00 , ....gari ina six point two per hundred Kilometer (6.2/100Km)... 🤔 What is this???
@sammiebudodi3 жыл бұрын
sio ya mwaka 2021 ni ya 2019
@husseniamiri21593 жыл бұрын
Acha uongo ni ya 2020
@BinSharifMovies3 жыл бұрын
@@husseniamiri2159 acha uongo ni 1943
@husseniamiri21593 жыл бұрын
@@BinSharifMovies 1943 cjakuelewa. Diamond gari aliyonunua ni ya mwaka 2020