MABISHANO MAKALI SAKATA LA MGOGORO WA ARDHI, RC CHALAMILA AIAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA MILIONI 800.

  Рет қаралды 59,950

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 89
@stefanmatafu
@stefanmatafu 8 ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa na ukatende haki maana watu Wana hati na wanalipa Kodi Kila Mwaka
@ezlonwilson9421
@ezlonwilson9421 Жыл бұрын
Hongera Rc
@FrolenceMwikola-jb6bk
@FrolenceMwikola-jb6bk Жыл бұрын
Asante mheshimiwa kwa kazi nzuri huo ndio ukweli
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper Жыл бұрын
Kamishna na Rc wapo vizuri, kampuni hizo za kuuza ardhi na madalali hua ni matapeli
@halfanihamadi3683
@halfanihamadi3683 Жыл бұрын
@millardayo aisee huyu dada anasauti nzuri ya kusoma taarifa ya habari mpe hizi habari awe anasoma daily
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Uyo msukuma yupo vzr
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Hatari ndio maana naogopa viwanja.vya mtandaoni. Bora kwenda halmashauri
@daruzein
@daruzein Жыл бұрын
Ofisi ya Mkurugenzi Kigamboni, kitengo cha Upimaji ndo chanzo cha tatizo la migogoro ya ardhi
@skjjsj1889
@skjjsj1889 Жыл бұрын
Mkuu Kofia imekupendeza hatari karibu ktk uislam dini ya haqqi
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 7 ай бұрын
Moto utawaka
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl Жыл бұрын
Jembe kama jembe damu ya Magu hiyo mnamalizana hapohapo, anafaa sana RC
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Kuna hawa watu wanaoendelea kupima na kuuza viwanja siwaelewi hebu kwanza wastop
@charlesjackson-zx5zg
@charlesjackson-zx5zg Жыл бұрын
Kuna haja kubwa ya kuwa na utulivu mkubwa ktk kulishughulikia jambo hili,kwa sababu inaonekana kuna mambo mengi sana ya kutengeneza ndomana kuna mpishano mkubwa wa maelezo ya wahusika,kuna vikao vya chini kwa chini na kuna pesa zinatumika kila upande ili kupata uhalali wa umiliki wa eneo hilo.Kwa maelezo yaliyotolewa ni dhahiri kuwa mwenye eneo alikuwa Bahati na alikufa kabla hajauza eneo lake, hivyo sarakasi zilianza kuchezwa baada ya kifo cha Bahati,kuweni makini sana.
@isaacopolot2027
@isaacopolot2027 Жыл бұрын
Sijaelewa kabisa hu mgogoro.
@anoldamkumba3208
@anoldamkumba3208 Жыл бұрын
uko vizuri,upande wa ardhi ni shida kila mkoa wenye pesa ( matajiri) ndio wamiliki maskini ni tabu kumiliki ardhi sanasana huporwa ardhi.hata ifakara kilombero ipo hiyo
@IvoFransis
@IvoFransis Жыл бұрын
Hii imeenda
@AhajHhh
@AhajHhh Жыл бұрын
Tunakukubali Raisi Magu wa baadae
@hasani565
@hasani565 Жыл бұрын
Waelekeze Mkuu mana hawajui KAZI Yao hao.
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 Жыл бұрын
Kigamboni kimeo sana ardhi
@susananyasani6526
@susananyasani6526 10 ай бұрын
Utapeli kuhusu Viwancha Nchini Tansania na hongo umejaa
@ChristerShao
@ChristerShao 11 ай бұрын
Ndo zao hizo,watatajana uongo mwingi.
@farusaimon3490
@farusaimon3490 Жыл бұрын
Kesi za ardhi ni miongoni mwa kesi ngumu sana kuziamua kwa haki hakika.
@stn4873
@stn4873 Жыл бұрын
Yale yale Puna. Tundwi Songani, Amadoliiii, Pemba mnazi. Huko ni ndaaaniii ndaniiii saaaanaaa Kigamboni huko Wasukuma kitaaambooo huko toka 90's wanafuga.
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Unaitaji siku mzima na awa watu mkuu wa mkoa
@OfficialA83640
@OfficialA83640 Жыл бұрын
Mm kununua viwanja vya hawa madalali sithubutu nanunua kiwanja cha wenyeji wenye shida sio hao eti viwanja Kazole Vianzi vilivyopimwa loh watalia wengi jaman
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Vikindu na.kisemvule.na.chanika. mkuu pitia ni utaperi wa juu.wq.ardhi. kila.sehemu.wanauza.viwanjq
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 Жыл бұрын
Nchi hii viongoz ndio tatzooo nchi zote zilizooendelea ukiandalia viongoz wao walikuwa imara! Hakuna nchi ilizaliwa na utajiri ! Uongoz imara na uzalendo wa viongoz ndio leo unaona kila kizur ulaya!
@KassimAlly-w4y
@KassimAlly-w4y Жыл бұрын
hii ngoma nzito
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 Жыл бұрын
Mtqalamu kamishna anasema iuna sheria ya maharaja ya kata ? Mwaka ....Hakika migogoro ya ardhi Tz haitokaa iishe.
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy Жыл бұрын
Huyu Magesa alitaka kunidhulumu eneo langu Mwasonga anawaleta wateja wakati sijamwambia aliuze nikaona nitadhulumiwa nikakubali yaishe anitumie hela akaliuza bei anayoijua yeye akanitumia milioni nne na laki tano. NI kama muujiza tu sikutegemea na ningekataa angeuza na nisingeambulia chochote. Ni muhusika mkubwa wa upigaji ardhi za watu.
@marcoenock4596
@marcoenock4596 Жыл бұрын
Kwanini kila akienda kwenye migogoro ya Ardh anavaa hvyo angalieni clip ile ya mabwe kunanini hapo
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Mmm hatari sasa km.aliyenujua.alitoweka..
@zakariaandrew1314
@zakariaandrew1314 Жыл бұрын
Duuuuuh nimeshindwa mimi.
@hamishassan6784
@hamishassan6784 Жыл бұрын
kwenye Ardhi kwa kweli kuna changamoto kubwa sana tena Nchi nzima. Hivi kwani Wizara na Idara za Ardhi hawana mkakati wa kupima maeneo yote kisha kuyatoa kwa utaratibu Mzuri? Mimi Binafsi huwa siwatamani kusikia wala kuwahitaji wenyeviti kwenye massuala ya Ardhi. Wanachangamoto zao nyingi hasa kama tunavyojua kwao pia ndio chanzo cha mapato yao. Hawa watu wangetoka kabisa kwenye uuzwaji wa Ardhi
@Mjomb
@Mjomb Жыл бұрын
Safisana kiongozi
@shaibuchapuchapu5385
@shaibuchapuchapu5385 Жыл бұрын
Tunaomba mh,R C, Tunakusubiri kwa hamu chanika Wilaya ya ILALA, Na kisarawe mkoani pwani kupitia msitu wa kazi mzumbwi,Kutafsiri GN No 306 ,ya mwaka 1954,Iko wazi kwa nini waruke GN waje waweke mapipa sehemu isiyohusika?
@athumanfuko199
@athumanfuko199 Жыл бұрын
ufojaji huo upo sehemu karibia zote za Tanzania hii
@IsraelKisaila
@IsraelKisaila Жыл бұрын
Mdomo wa mkuu wa mkoa ni kama anapiga pombe hatari,au macho yangu tu mabovu 😂😂😂
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Жыл бұрын
Aaha huyu anaonekana mwanachama mzuri tuuuu😅😅
@IsraelKisaila
@IsraelKisaila Жыл бұрын
@@magrethmbangama1199 hallow mpaka lips zinakuwa dry
@StevenTambi
@StevenTambi Жыл бұрын
Na bangi pia
@Satier47
@Satier47 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Alikuwa kavimba labda alipata kidonda
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Hayo makampuni yaitwe upimaji wa.hovyo matqngqzo.yq viwanja hatuelewi vina uhalali au.laha
@allyflavour8005
@allyflavour8005 Жыл бұрын
Serikali iwe unaweka wazi maeneo ambayo hata matangazo hupitia mtandaoni ....kamaeneo Lina mmiliki walikemee haraka kupitia wenye viti ...hiii nisawa mkuu wa mkoa hayo Mambo wenye viti muanze nao Hawa ....
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 Жыл бұрын
Ndiyo maana mimi nimeshaapa sinunui kiwanja daslamu
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 Жыл бұрын
Dar es salam
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
😂😂😂😂. Nifate mimi nimenyoka kaka acha na wakali wa dar
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Жыл бұрын
Hakuna watu zurma kama baraza la kata la ardhi wallah watu hawa watakwenda ungua
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper Жыл бұрын
Madhulumati wakubwa hayo mabaraza, Yani Bora siku hizi wamenyang'anywa mamlaka ya kutoa MAAMUZI, nowadays wanasuluhisha tuu... Mabaraza yanahongwa yanatoa haki kwa matapeli
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Hii wizara naona.apewe CHARAMILA mabula kachemka
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Kaa
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 Жыл бұрын
Mbona Magufuli aliacha ardhi slm? Na wizi wizi na makanjanja ilishaviondo? Haya yanatokea wp?
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Huyo hapo ni Gabacholi au Mwarabu? Kama vipi apelekwe uwanja wa ndege leo leo
@noorlheyaljabri602
@noorlheyaljabri602 Жыл бұрын
ukovizuri mkuwamkowa nakukubali nahsikamanamuwona makufuli wwnimfanowake
@Simelamontanamc
@Simelamontanamc Жыл бұрын
Yaani hapo Kuna vichekesho vya watu wazima mm binafsi nimeifahamu muhimbili mwaka 1997 Mzee bahati akiwa bado hai Sasa huo mwaka anaousema mwarabu dah😂
@Pelegrinoemanuel
@Pelegrinoemanuel Жыл бұрын
Wasukuma wenzangu
@yassinm69
@yassinm69 Жыл бұрын
Magufuli kaacha viogogo uongozini
@noorlheyaljabri602
@noorlheyaljabri602 Жыл бұрын
wakamatewotewalouza kiharsm wezi wakubwa
@allymadenge4603
@allymadenge4603 Жыл бұрын
Nyie wasukuma mnazingua bwana kama vipi rudini kwenu shinyanga yaani hamjui hata kuongea kiswahili pumbavu sana nyie
@lutegomakoyeluhahula361
@lutegomakoyeluhahula361 Жыл бұрын
Chalamilaaaaaaaaaa,eti unaambiwa dalali makazi,anauza kwa niaba ya mutu aliyekufa.ikoje hii mkuu?
@lutegomakoyeluhahula361
@lutegomakoyeluhahula361 Жыл бұрын
Hapa bila kutumia sheriana busara,Kuna watu watadhurumika.
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Hii migogro kwa JPM ILIISHA wameanza tena
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Mahakama kazi yake nini
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Sasa dada bahati ana familia c mufate familia yake
@Hamy1109
@Hamy1109 Жыл бұрын
Wanaotajwa wote wamelala ardhini…walio hai leo wanagombania ardhi hiyo hiyo.
@noorlheyaljabri602
@noorlheyaljabri602 Жыл бұрын
ukoviziri kamawalikiriwasitake kumsumbuwa huyobaba alonunuwa
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Huwezi kusahau mtu.aliyekuuzia.ardhi. nyie ni wezi
@noorlheyaljabri602
@noorlheyaljabri602 Жыл бұрын
mana sikuzote wanawofoji ndowanawewahaki muhiawetsjiri
@tanzalandtv3311
@tanzalandtv3311 Жыл бұрын
Dili
@afroplay94
@afroplay94 Жыл бұрын
Tanzania tuna wananchi wanyama rasilimali ila uongozi ndio hatuna
@hijazhija316
@hijazhija316 Жыл бұрын
Nyumbani kwako unaongoza vema mkuu?
@afroplay94
@afroplay94 Жыл бұрын
@@hijazhija316 Apana ndugu ila hauhitaji elimu kubwa king'amua hili watu wanaambiwa wahaini na kesi haina dhamana na adhabu ni kifo alafu wanabadilisha badae unadhani wanawatendea haki watu waliowabambikizia kesi
@simonmuro7485
@simonmuro7485 Жыл бұрын
😅
@athumanfuko199
@athumanfuko199 Жыл бұрын
dah kwenye wizara ya ardhi huko ni shidaaa kwelikweli kabisa, huko mtaani ni shida
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 Жыл бұрын
Hii wizara hadi Magu ilimshinda enzi zile akiwa waziri wa Ardhi japo alijitahidi kwa 57%
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 Жыл бұрын
Lukuvi alijitahidi kwa kiasi chake ila ndo hivyo tena
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Жыл бұрын
Maagizo ya aina hiyo ingefaa yatolewe ofisini kwa maandishi ili ufuatiliaji uwe thabiti kwa kila muhusika kwa nafasi yake
@noorlheyaljabri602
@noorlheyaljabri602 Жыл бұрын
msotakekumzulum huyobabawawatu
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 Жыл бұрын
Duh😂
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 Жыл бұрын
Hakuna kiongozi mjinga kama huyu jamaa maana anaaguza na kufokea wananchi kama family yake au mkewe na watoto wake ni wajabu sana anajiona kama anamiliki wa mkoa dar ulimbukeni
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 Жыл бұрын
Anatenda haki,. Wewe ni mtu wa Iringa unamchukia wa kwenu? Mnyonge mnyonge haki yake mpe. Mwache atende haki
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
Pumbavu mkubwa ww, rc anasaidia masikini ww unaleta usengerema wako
@marcomushi-nd8ku
@marcomushi-nd8ku Жыл бұрын
Anasaidia nini na we nae mchokozi nini?
@marcomushi-nd8ku
@marcomushi-nd8ku Жыл бұрын
Pumbavu zako
@amosmwanga4027
@amosmwanga4027 Жыл бұрын
Wewe ndo mjinga wa viwango vya juu zaidi, au na wewe ni miongoni mwa Hao matapel.?
@anoldamkumba3208
@anoldamkumba3208 Жыл бұрын
uko vizuri,upande wa ardhi ni shida kila mkoa wenye pesa ( matajiri) ndio wamiliki maskini ni tabu kumiliki ardhi sanasana huporwa ardhi.hata ifakara kilombero ipo hiyo
Aliyepona KICHAA, AELEZEA ALIVYODHULUMIWA Mjengo MBELE ya WAZIRI
21:35
Global TV Online
Рет қаралды 402 М.
«Жат бауыр» телехикаясы І 30 - бөлім | Соңғы бөлім
52:59
Qazaqstan TV / Қазақстан Ұлттық Арнасы
Рет қаралды 340 М.
UTAPENDA! RC CHALAMILA AKISEREBUKA WASAFI FM NA WIMBO WA DINI
1:41
Wasafi Media
Рет қаралды 132 М.