No video

Aliyepona KICHAA, AELEZEA ALIVYODHULUMIWA Mjengo MBELE ya WAZIRI

  Рет қаралды 394,781

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Aliyepona KICHAA, AELEZEA ALIVYODHULUMIWA Mjengo MBELE ya WAZIRI
Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi William Lukuvi amemsaidia kumrejeshea amani na furaha mkazi mmoja aliyedhulumiwa nyumba yake na mke wake pamoja na rafiki yake baada ya kuigeuza hati yake ya nyumba..
#LUKUVI
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/

Пікірлер: 687
@adammakoye4198
@adammakoye4198 5 жыл бұрын
mh WAZIRI lijuwe na hili kuna wanyonge ambao hawana uwezo hta wakuongea na mgambo ili wapate haki zao. Kuna hawa Wenyekiti wa mitaa wanawaumiza sana kuhusiana na mashamba wanatia mihuri yao ktk shamba lililouzwa kwa mtu kuuzwa kwa mtu mwingine na ikiwa ktk mauziano ya mwanzo pia alitia muhuri yy mwenyewe haki za watu zinapotea moja kwa moja na hawafanywi kitu.
@jamalimohamed7988
@jamalimohamed7988 5 жыл бұрын
Adam Makoye excise
@asteriambwei95
@asteriambwei95 5 жыл бұрын
Safi sana lukuvi wako watu wengi kweli wamedhulumiwa haki zao embu tusaidie baba waziri lukuvi mungu akubariki sana
@victoromary4546
@victoromary4546 5 жыл бұрын
Ata huku kwetu rimetokea mtaani igurusi wenyeviti washenzi tena mungu yupo.
@davidisaya3625
@davidisaya3625 3 жыл бұрын
Mungu akubarik mzee rukuvi mm nikushauri waziri wangu macha mnguza mari zake zote huyo nitaperi
@bensonnahkdgks2119
@bensonnahkdgks2119 3 жыл бұрын
Huyo mke nae hafai achanae
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 5 жыл бұрын
Mimi mkenya lakini nampenda sana huyu waziri lukuvi anastahili pongezi kubwa na zawadi,much love from kenya
@WaridawaridaWarida
@WaridawaridaWarida 3 жыл бұрын
Amen
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 жыл бұрын
Mzalendo
@SaidMasud-gk9bk
@SaidMasud-gk9bk 5 ай бұрын
L😮00 ​@@WaridawaridaWarida
@user-mw9md1iq1n
@user-mw9md1iq1n 5 ай бұрын
@micamathew6433
@micamathew6433 5 жыл бұрын
Yaana nimefurahi had utadhani jengo ni la kwangu, yaan ni kama nimerudishiwa mjengo wangu, hakika ninafuraha sana kiona huyu jamaa karudishiwa mjengo wake. Ahsante sana mh waziri Lukuvi, Mungu akubariki sana, na sisi tutakuombea. Amen.
@hamiskasara8672
@hamiskasara8672 5 жыл бұрын
Amen
@happytz6190
@happytz6190 5 жыл бұрын
Kati ya mawaziri wa awamu hii Lukuvi unastahili tuzo kwa kazi nzuri mungu akubariki
@athumaniismail3614
@athumaniismail3614 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu amini
@najma3268
@najma3268 5 жыл бұрын
Asante sana wazir wa ardhi nimefurahi sana kwakweli , mungu akuweke inshaallah
@mwikangazibwe2358
@mwikangazibwe2358 5 жыл бұрын
I'm from Canada,I really appreciate the 5th Govement of Tanzania.God bless the president of Tanzania.
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 5 жыл бұрын
Yani mheshimiwa Lukuvi Mungu akubariki sana, wewe ni kati ya watendaji bora kabisa.
@geofreywegoro235
@geofreywegoro235 5 жыл бұрын
Mungu hakuride
@salamakondo7705
@salamakondo7705 5 жыл бұрын
natamani kulia jamani mungu stili na vizazi ve2 unamzulum m2 mali ya mikono yake laana inawausu matapeli wote mueshimiwa mungu akubaliki uwishi milele
@evelyinipaja1202
@evelyinipaja1202 5 жыл бұрын
Amen@TedY Mwandara.
@jaromekabogo1238
@jaromekabogo1238 5 жыл бұрын
Kwnz kaka polee sanaa na tunashukulu mheshimiwa mungu akubaliki sanaa baba👏👏👏
@edwinshaltielmagwano468
@edwinshaltielmagwano468 5 жыл бұрын
Asante sana Mheshimiwa Waziri Mimi na ndugu zangu tunapata shida kwenye tatizo kama hili Mungu akubaliki sanaaa.
@hovehenrick7036
@hovehenrick7036 5 жыл бұрын
Mh Waziri Lukuvi Mungu akupe maisha marefu ili uendelee kutusaidia wanyonge
@jamesmbembela5723
@jamesmbembela5723 5 жыл бұрын
👍
@veronicashija150
@veronicashija150 5 жыл бұрын
Hakika Tanzania imeshakuwa paradiso barikiwa sana baba Waziri wa ardhi nakufananisha na Jembeeee Baba yetu magufiri
@veronicashija150
@veronicashija150 5 жыл бұрын
Mungu awape maisha marefu viongozi wetu
@magymagy2156
@magymagy2156 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba uishi milele
@lucykanuti6138
@lucykanuti6138 5 жыл бұрын
Uyo Mwanamke naye hana upendo kwa mme.wake
@yasiniiddy8163
@yasiniiddy8163 3 жыл бұрын
Kweli wapo wengi ata mm moja Kati watu tumezulimiwa ndugu wababa yangu wenye wameshatagulia mbele haki amekiuza
@hamisimohamedhamisi3241
@hamisimohamedhamisi3241 2 жыл бұрын
Hongera rukuvi baba yang
@mwetamashambo5086
@mwetamashambo5086 5 жыл бұрын
Huyu waziri lukuvi mungu wa mbinguni amlinde zidi ya wabaya wote lukuvi yuko vizuri sana mpigania haki
@emilydavidmdoe3552
@emilydavidmdoe3552 5 жыл бұрын
Mweta Mashambo kwa kweli Lukuvi Ni mtu mwema na mtenda haki. Mungu amtunze
@halisiaisaya7832
@halisiaisaya7832 5 жыл бұрын
Mungu hakubariki sana waziri.
@ramadhanihatibu6656
@ramadhanihatibu6656 5 жыл бұрын
Salut lukuvi
@bernadlydia296
@bernadlydia296 5 жыл бұрын
Mungu akulinde waziri wetu, nakupenda sana utendaji wako wa haki.
@petermahimbo9450
@petermahimbo9450 5 жыл бұрын
The Upcoming president of the united republic of Tz welldone.
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀isee your just dreaming,
@12322879
@12322879 3 жыл бұрын
Umri ushamtupa
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 жыл бұрын
Heshima Yako Mzee Lukuvii, Mungu akulinde siku zote za maisha yako. Na Magufuli aendelee ili na wewe uzidi kuwepo kwenye nafasi hiyo.
@kabaiyukyasnider6797
@kabaiyukyasnider6797 5 жыл бұрын
Yaaani siku hizi Mungu anaishi ofisi za serikali Asante sana Waziri na viongozi wote wa nchi ya Tanzania
@tanzaniaboy9605
@tanzaniaboy9605 5 жыл бұрын
Safi sana wazir nimekubali m/mungu akuzidishie mh waziri na mungu awazidishie watu kama hawa kuongoza taifa amiin Tanzania 🇹🇿 oyeee respect Jembe JPM
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
Safiiiiiiii sana wazirii jamani dhurumaa sio njema. Hakika haki haipotei itachelewaa tuu
@malaakyakub3853
@malaakyakub3853 5 жыл бұрын
Kkk kuweli watanzania walipata sirikali mzurii ? Salamu kutoka somalia & wandugu tanzania tunapenda saana nyiinyii ?
@sakinamubaraka1246
@sakinamubaraka1246 5 жыл бұрын
Asantee😁😁
@mgorakatembo577
@mgorakatembo577 5 жыл бұрын
@@sakinamubaraka1246 mungu. Akubaliki
@rehemaaliidi393
@rehemaaliidi393 5 жыл бұрын
na sisi tunakupenda pia
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 5 жыл бұрын
Kah'le kah'le tzd huko noma duh
@umikram6755
@umikram6755 5 жыл бұрын
Hasante ndg aisee unifunze kisomali nakipenda mno
@rogersmziwanda3831
@rogersmziwanda3831 5 жыл бұрын
Lukuvi mungu akubaliki Sana huenda Huyu macha ndie aliemfanya awe kichaa achunguzwe achukuliwe hatua Kali sana
@lucypoleyakerobert1024
@lucypoleyakerobert1024 5 жыл бұрын
Lukuvi njoo morogoro
@lucypoleyakerobert1024
@lucypoleyakerobert1024 5 жыл бұрын
Njoo baba morogoro tunateseka Mh lukuvi,
@rizikibakar3186
@rizikibakar3186 5 жыл бұрын
Ni kweli alishirikiana na mkewe
@edwardmlenge5802
@edwardmlenge5802 5 жыл бұрын
Mungu wabariki viongozi waadilifu wa awamu ya tano
@josephmwabange9633
@josephmwabange9633 5 жыл бұрын
Hongera Sana waziri Lukuvi,Roho wa Mungu yu juu yako,na ubarikiwe pamoja na raisi wako!
@simonlulenga7062
@simonlulenga7062 5 жыл бұрын
Lukuviiiiiiiiiiiiiiiiii oyeeeeeeeeeeeeeee! Asante Sana!
@hdmtanzania2617
@hdmtanzania2617 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mh Lukuvi abarikiwe Mh JPM mtetezi wa wanyonge
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
Mungu ni mwema haki ya mtu haipotei!!!!dhulma haidumu na ikidumu inateketeza 🙏👌
@switbertdeus7741
@switbertdeus7741 5 жыл бұрын
Mungu katuona tuliteseka sana
@evachriss5906
@evachriss5906 5 жыл бұрын
Poleni
@babamama9435
@babamama9435 5 жыл бұрын
Mungu akubariki jamani nimefurahi sanaaa
@ainonlinetv8863
@ainonlinetv8863 5 жыл бұрын
Mheshimiwa mungu akubaliki uish miaka km yoteeee
@hanifaalbalushi2483
@hanifaalbalushi2483 3 жыл бұрын
AlhamduliLlah ubarikiwe waziri muadilifu Magufuli oyeeeee😍😍😍👏👏
@frankrwegoshora4705
@frankrwegoshora4705 5 жыл бұрын
Du! Pole sana ndugu na hongera kwa kuipata haki yako. Hongera waziri Lukuvi kwa utendaji huu makini. Keep it up wapo wengi wenye udhulumaji kama huu
@jossekellapopp9404
@jossekellapopp9404 5 жыл бұрын
Mungu bariki serekali ya 5
@jahabdallah1829
@jahabdallah1829 5 жыл бұрын
Duuuu mmesikia wajomba kazi wanayo hakunanga bongo kuzurumiwa wakikuzurumu bongo waache raki baharia ukiingia kwenye tinga tinga za mjomba rukuvi umekula kwako lukuvi aweeee salute my breee m south Africa jah
@taifocuscompany9246
@taifocuscompany9246 5 жыл бұрын
Halafu hayo matapeli yawe yanaanikwa kwenye vyombo vya habari ili yajulikane.
@aminafesali5817
@aminafesali5817 5 жыл бұрын
Rabda kama itawezekana huyo macha namjuwa miye nikija africa huwa ana nichengiya pesa katka bank zake za change maney anapesa alisema qabila yake mchaga sdhani kama ataeza kuekwa hadharan ila kanitoa amana kabsa nlikuwa namuheshimu sana yule mzehe alikuwa anipeleka hadi Arusha kuona mazingira vp kadhulum mwinzake alikua wafanya wote tijara ya kuchange pesa duh fedheha sana
@mashikaabigail2007
@mashikaabigail2007 3 жыл бұрын
Ubarikiwe Mh. waziri kwa utendaji ulio tukuka. Sisi huku tunatoa machozi kwa utendaji wenu wa kazi nzuri kwa awamu ya 5. Mungu awe upande wenu zaidi
@khneesajumaa2052
@khneesajumaa2052 5 жыл бұрын
Asante sana wazili kwamsaada wako mungu akujalie umli mrefu
@peterthomas273
@peterthomas273 5 жыл бұрын
Nakukubali sana mh LUKUVI.
@kevinjackson6884
@kevinjackson6884 5 жыл бұрын
Macha ghorofa halipatikani kwa kudhulumu ghorofa linapatikana kwa kufanya kazi kwa bidiiiiiii
@Venasisalum
@Venasisalum 5 жыл бұрын
Kevin Jackson
@bakarimatamba5521
@bakarimatamba5521 5 жыл бұрын
Mh Rukuvi Mungu Akuzidishie Mema Milele.Hongera sana tena sana kwa kutetea Wanyonge.Hongera Rukuvi,Hongera Magu..
@aminafesali5817
@aminafesali5817 5 жыл бұрын
Anazo pesa nyingi sjui kwanini amdhulumu mwinziwe ana nyumba mingi tu wallah sjui kwanini aingia tamaa hivi
@mumbekilunda9120
@mumbekilunda9120 5 жыл бұрын
Hongera na ubarikiwe waziri,tungependa watenda kazi kama huyo waziri.
@AsClassic3820
@AsClassic3820 3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha malefu waziri kujenga nikazi sana 🙏
@joromimwanga3274
@joromimwanga3274 5 жыл бұрын
Mh wazr Lukuvi Mungu akusaidie ahsante sana.
@jamesdelicious3957
@jamesdelicious3957 3 жыл бұрын
Wooooow Mpaka machozi ya Furaha Yamenitoka Lukuvi MWENYEZ MUNGU AKUBARIK 🙏
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 5 жыл бұрын
jasho la mtu haliendi bule haki ya mama.waziri hongera sana.mie ninakukubali rukuvi.
@davidsamwel11
@davidsamwel11 5 ай бұрын
Be blessed you all ❤
@Unclerammaschannel
@Unclerammaschannel 5 жыл бұрын
Ume mripua vizuri sana majizi. Hovyo zama za mkapa usi lete hapa 😜😜😜😜👆👆office kubwa oyee mpaka 🇰🇪 ku check paper macha jamani
@petermartin7181
@petermartin7181 5 жыл бұрын
Asante waziri, nchi bila ya haki ni nchi isiyo na amani. Watu wengi walidhumiwa wengine hawana hata sauti za kuzungumza wamedhulumiwa. Serikali hii ya tano Mungu aibariki.
@petermgunngile3909
@petermgunngile3909 5 жыл бұрын
Waziri uko vizuri HONGERA sana
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 жыл бұрын
Tunaimanii na Maguliii, Oyeee,Oyee, Oyeeee, Magufuli kweli, kwelii, kweli, kwelikweli Magufuli, Magufuli kweli, kweli................
@lukasmkoka7581
@lukasmkoka7581 3 жыл бұрын
Great waziri Lukuvi
@jackrineochora9350
@jackrineochora9350 5 жыл бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa waziri wa aridhi Lukuvi Mungu akupe Maisha marefu
@lubavaclassic7048
@lubavaclassic7048 5 жыл бұрын
Kuna wakatii natafutaga pesa kwa nguvuuuu...lakini nikipata muda wakupuumzika nikionaga marumbano au vita za wanyang'anyi wanavyo nyemeleaga Mali za watu..uwaga naisi baada yakupata Mali nyingii nitakaribisha matatizo tuu...Kulogwa kuumwa mazima,,kuuwawa kwa uvamizi,,Au kuuwawa kwa magonjo ya moyo kwakupoteza pesa nyingi,muda na matumaini yakurudishiwa Haki zako...Mungu nisaidie nipate kioato chakunifanya napata furaha ya maisha yangu Amen
@anithakazaula9596
@anithakazaula9596 5 жыл бұрын
mawaziri kama wewe tunazidi kuwaombea
@anithakazaula9596
@anithakazaula9596 5 жыл бұрын
mawaziri kama wewe tunazidi kuwaombea
@user-jc7nh8um1j
@user-jc7nh8um1j 5 ай бұрын
Hongela sana kiongoz umesomeka tunakupata tukiwa njombe
@muhinasundi1439
@muhinasundi1439 5 жыл бұрын
Mashaallah
@user-ei2ud7gh5h
@user-ei2ud7gh5h 4 ай бұрын
Jamaaa alichukua hati halafu akapìĝa rogooo la kichaaaaa mwenzieeee duuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤mambo si hayo jasho la mtu halipoteiii kirahisii hatakama itachukuaaa miaka 10 alooooo huyo ndo mwenyezi mungu kuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤mungu akulindeeee kiongoz lukuviiiì❤❤❤❤
@dicksonsheja251
@dicksonsheja251 5 жыл бұрын
Serikali hii mtabarkiwa sana endeleeni kututendea mema hivo hivo
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 5 жыл бұрын
Masha ALLAH ,tanzania serikali yake yafanya kazi vizuri sana,hongera yenu
@joycenekesa4192
@joycenekesa4192 5 жыл бұрын
Hongera. Serekali.ya magufuli
@mariambeautysonghuseni9549
@mariambeautysonghuseni9549 3 жыл бұрын
your the best man since l first so you in dodoma good job Good bless you so much
@aryanaangel9453
@aryanaangel9453 5 жыл бұрын
asante muheshimiwa nimekupenda bure mungu akubariki sana
@Babaharvey3624
@Babaharvey3624 5 ай бұрын
❤❤❤lukuvi pongezi kwako linda
@kelvinlwiva5380
@kelvinlwiva5380 5 жыл бұрын
YESU AWEZA KUMFANYA MWENYE DHAMBI KIUMBE KIPYA! Salamu ndugu msomaji! Leo Mungu ametupa neema ya uzima tena, na nimekuletea ujumbe kutoka kwa Mungu, kuwa huna haja ya kujikatia tamaa, huna haja ya kujikinai na kuona kuwa utaishi vyovyote vile na utafanya vyovyote vile, HAPANA! Bado unathamani kwa Mungu, maisha yako yaliyoharibiwa na dhambi, Yesu anao uwezo wa kuyatengeneza tena, anaweza kukufutia dhambi zako zote na kukufanya mpya kabisa, mwenye thamani kabisa, wa maana kabisa mbele za Mungu wetu aliyekuumba. Unalopaswa kufanya ili uwe mpya, ni hili, kumwambia Yesu karibu maishani mwako ili akupe nafasi ya KUTUBU na akupe MSAMAHA wa dhambi zako na hatimaye afute maisha ya machafu ya zamani na akufanye kiumbe kipya kama maneno ya Mungu yasemavyo, “Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama! Yamekuwa mapya” 2 Wakorintho 5:17. Kinachokufanya uwe kiumbe kipya ni kule kumkaribisha Yesu akae ndani yako na wewe ndani yake, soma pia hapa “Mtu (YESU) huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli(wewe) TOBA na MSAMAHA WA DHAMBI” Matendo ya mitume 5:31. Hivyo unaweza kuelewa kuwa hakuna TOBA wala MSAMAHA wa dhambi kwa mwingine isipokuwa ni kwa Yesu peke yake, UNAMHITAJI YESU KATIKA MAISHA YAKO! Mimi kama mjumbe wa Kristo, nakusihi wewe mwenye dhambi, ndiyo wewe mwenye dhambi! Upatanishwe na Kristo uwe kiumbe kipya, ya kale yote yapite, yaani uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo na hatimaye yawepo maisha mapya katika YESU KRISTO! Maana bila hivyo, kamwe hutaingia ufalme wa mbingu wa Mungu! YESU ANAOKOA HATA SASA! Kwa msaada zaidi piga: 0756-292-211 au 0676-407-085 Mwalimu kelvin Nathaniel Lwiva
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 жыл бұрын
Safiii sana waziri , piga kazi , Safi sana umemtoa kazini huyo msajili kigeugeu , shenzi kabisa .
@modestmzumbwe588
@modestmzumbwe588 5 жыл бұрын
mheshimiwa lukuvi watanzania tunakuombea kwa kazi nzuri unayofanya kwajili ya watanzania, huku Mbozi nilishuhudia wanakijiji wa Kijiji kimoja wanazulumiwa Ardhi na Wana koo frani
@rukiyahussan4190
@rukiyahussan4190 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana muweshimiwa kwa kutusaidia sisi wanyonge🙏🙏
@azizahassan8878
@azizahassan8878 5 жыл бұрын
Yerewiiii huyu Macha sio yule aliemzurum na yule bibi ?????
@rukiyahussan4190
@rukiyahussan4190 5 жыл бұрын
@Mariam Shandalu tena bia yenyewe safariii
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 5 ай бұрын
Duh huyo ndo anaekuroga iko siku mtalipwa kwa hayo mnayoyafanya Waziri ALLAH akupe Maisha marefu InshaAllah 🙏🙏
@roswitaexavery3378
@roswitaexavery3378 2 жыл бұрын
Asante Sana nakupenda Sana kwakuwafukuza mafisadi
@imagepower3641
@imagepower3641 5 жыл бұрын
BIG UP,napenda sana maamuzi ya wazir
@sophieaden5367
@sophieaden5367 5 жыл бұрын
God bless you Lukuvi!
@magrethsanga942
@magrethsanga942 5 жыл бұрын
Mungu akubariki wazir
@jeninunu9177
@jeninunu9177 5 жыл бұрын
Hongera Mungu awalinde Mheshimiwa William Lukuvi na wafuasi. Mwanga unaanza kuangaza . Unaleta Amni na upendo
@salumusalumuhamisi2902
@salumusalumuhamisi2902 5 жыл бұрын
Asante sana nimekupena munguakubariki na akupe umrimrefu
@evachriss5906
@evachriss5906 5 жыл бұрын
Usikute ata uwo ukichaa yeye ndyie aliye kusababishia
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 жыл бұрын
Hasaaaaz
@lizzynkifu4179
@lizzynkifu4179 5 жыл бұрын
Binadam hawashindwi
@alexmongo2577
@alexmongo2577 5 жыл бұрын
Haswaaaa
@joycekasakisya7755
@joycekasakisya7755 5 жыл бұрын
Inawezekana aisee,lakn Mungu mkubwa amemuumbua
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 4 жыл бұрын
Yule mwanamke wake anajua mchongo mzima
@elicesikoi3625
@elicesikoi3625 5 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kuwaweka watetezi wa wanyonge. Mungu wetu huwa ashindwi. WAZIRI MUNGU AKULINDE SANA
@jescamaumbi1320
@jescamaumbi1320 5 жыл бұрын
elice sikoi Amen 🙏🏻
@mwarishmodsalum555
@mwarishmodsalum555 5 жыл бұрын
Safi sana Baba mungu akuzidishie kila lakheir kwa kazi nzuri unayoifanya
@allenmalidadimdollo7049
@allenmalidadimdollo7049 3 жыл бұрын
Pole sana alikuloga ili ushindwe kudai Mungu akulinde daima
@mutomubaya
@mutomubaya 3 жыл бұрын
Shukrani sana Bw. Waziri na shukrani kwa kiongozi, Raisi wa nchi
@astan.lomacks9692
@astan.lomacks9692 5 жыл бұрын
Waziri mungu akubariki. Mungu abariki Tanzania.
@mwanamisaomar346
@mwanamisaomar346 5 жыл бұрын
Mheshimiwa Lukuvi..mungu akuzidishie hapo na pengine..duh imeniuma xana 😗🇰🇪✌
@safina5013
@safina5013 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana sana
@freshiamwangi2820
@freshiamwangi2820 5 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏asante Sana from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪chao waziri ✌✌
@merymrema420
@merymrema420 5 жыл бұрын
Waziri hongera sana MUNGU akubariki
@wazirymohamedi7745
@wazirymohamedi7745 3 жыл бұрын
Safi sana wajina Lukuvi kiongozi muadilifu mungu akubariki
@athumanomary1171
@athumanomary1171 5 жыл бұрын
Asante san waziri wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@lucykanuti6138
@lucykanuti6138 5 жыл бұрын
Mungu akubali mno waziri mkuu hakika Awamwu 5 inatenda haki asante Mungu
@kevinjackson6884
@kevinjackson6884 5 жыл бұрын
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Lukuvi Mungu akupe maisha marefu
@valentinamussa4212
@valentinamussa4212 5 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu waziri lukuvi, na jamaa mungu akulinde usipate tena kuchanganyikiwa, marika wa bwana akuangazie ukuepushe na magonjwa
@asmasaif5972
@asmasaif5972 5 ай бұрын
Hongera baba waziri mungu akupe maisha marefu unachapa kazi 🙏😊
@fredymaswimwita3091
@fredymaswimwita3091 3 жыл бұрын
Hongera mzee lukuvi
@japharielisha1314
@japharielisha1314 4 жыл бұрын
God Bless u all leader under President Magufuli you are doing very nice 👍
@yemamaulidi4969
@yemamaulidi4969 5 жыл бұрын
Mungu akulipe.we baba kumrudishiy hati yake.kwa kweli
@veronicamahenge2512
@veronicamahenge2512 5 жыл бұрын
Hongera waziri hakika mungu yupo anaishi
@nickmbecknkinda3486
@nickmbecknkinda3486 5 жыл бұрын
Baba hapo nimewakubali Mungu awasimamie asante tunakuombea wazili
@juliussindani786
@juliussindani786 5 жыл бұрын
Nakuombea wazirii mungu akupee neema kubwa sana na ujasirii mkubwa rakini pia nakupenda sana kwakazi nzuri karibu mbeya sana
@deokamo2150
@deokamo2150 5 жыл бұрын
Mh lukuvi mungu akupe maisha malefu sanaaaàaaaaa na baada ya 2020 mungu atuwekee wewe jamani ; magufuli sio chaguo la mtu nichaguo la Mungu nawatanzania wazalendo asante Mungu kwa uwongozi huuuuuuuuuuu.
@leylahley3542
@leylahley3542 5 жыл бұрын
Kazi nzuri mw/shimiwa waziri mungu akubariki kwa kutenda haki..
@kivambaagnes3270
@kivambaagnes3270 5 жыл бұрын
Viva lukuvi ongela sana wewe nikiongozi mwadilifu sana na mtenda aki wewe pamoja na rais wetu mpendwa jony pombe magufuli Allah awasimamie Inshaallah
@bestfactsever9039
@bestfactsever9039 3 жыл бұрын
@yasiniiddy8163
@yasiniiddy8163 3 жыл бұрын
Mweshimwa namba yako
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 5 ай бұрын
Nimefurahi sana,kumuona waziri kuwa ameona kuwa kuna sintofahamu ya huyo mtu kudhulumiwa nyumba yake.naomba waziri uende pangani pia,kuna mtu amedhulumu eneo la kijiji nakulitengenezea hati fake,na anamiliki eneo .waziri hebu nenda pangani kijiji boza ,ukapewe ukweli wa eneo lao .najua hii ni ya miaka 4 iliopita ,ila ofice ipo kama kawaida.17.03.24.naomba wasaidiwe wana kijiji hawa.
@mjombamjomba1887
@mjombamjomba1887 4 жыл бұрын
good job Mh Lukuvi n salute Prsdnt Magu pole sn Mzee wa Jengo hii ndio Dunia inamambo ila Haki haizami
@suratfrank6282
@suratfrank6282 5 жыл бұрын
Ubarikiwe mh lukuvi na rais wetu Jpm pia IGP Sirro
@anzurunishaha1372
@anzurunishaha1372 5 жыл бұрын
Safi lukuvi
@KinanaZagar-pv6qc
@KinanaZagar-pv6qc 5 ай бұрын
Asante waziri
@anuarymkanza8520
@anuarymkanza8520 5 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mh wapo watu wengi kweli wanaodhulumiwa Mali zao na kupingwa kichaaa kazi kazi uonevu hakuna tena
@louxonmedia
@louxonmedia 5 жыл бұрын
Lukuvi unampiga sana huyu mgonjwa😂😂😂😂
@magrethkimaro5140
@magrethkimaro5140 5 жыл бұрын
Hahaaaaaahaaa nmecheka kwa sauti
@arafambegu7320
@arafambegu7320 4 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaa ili yamuingie
@josephmnishi5295
@josephmnishi5295 5 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu uitende haki Waziri kweli jambo la faraja sana ulilofanya
@generalnguty6219
@generalnguty6219 5 жыл бұрын
Safi sana waziri mchapa kazi tunakupenda sana ww
@florencemdemu5855
@florencemdemu5855 5 жыл бұрын
Nahitaji Namba ya wazir
@josephmwita8721
@josephmwita8721 5 жыл бұрын
The best minister wa awamu zote.
@derickkalinga7632
@derickkalinga7632 5 жыл бұрын
Mungu awape maisha marefu viongoz wetu
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 5 жыл бұрын
GOOD WORK LUKUVI.
@janemsongole9886
@janemsongole9886 5 жыл бұрын
BISHOP MOSES Magadula 8
TAJIRI WA KITUO CHA MAFUTA VICTORIA AINGIZWA MKENGE NA MWARABU
18:20
Global TV Online
Рет қаралды 272 М.
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 13 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 79 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 25 МЛН
LUKUVI Amrejeshea Kiwanja BRIGEDIA MSTAAFU Alichodhulumiwa Kwa Miaka 20
6:11
MKOJO WAMVURUGA HUSSEIN BASHE, MAAJABU YA MKULIMA IRINGA
5:59