RC MTANDA AAMURU MAGARI KUPITA DARAJA LA KIGONGO BUSISI, WIKI YA PILI KIVUKO KIMESIMAMA

  Рет қаралды 43,920

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 89
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 6 күн бұрын
Maono ya mzee baba JPM mwana wa Africa mzalendo Mtanzania 🇹🇿 kweli 🔥💪
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 6 күн бұрын
Rip JPM siku ya kuzindua daraja sifa zitaenda Kwa mama
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 6 күн бұрын
@MashakaMages Unafanyanje ndg yangu,ukipingana na mfumo unapotea 😆🤣
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 6 күн бұрын
@japhetdaudmaneno8440 Mtu kama alifanya vizuri hata kama hayupo tumpe maua yake kama Baba wa Taifa mbona Kuna kile kipindi kama siyo Juhudi zako Nyerere na uhuru tungepata wapi Hayati Magufuri kafanya makubwa kwenye nchi yetu mfano Daraja la Tazanite, Kijazi ubungo Busisi Mwanza Stendi ya Magufuri, Hospital ya uhuru Dodoma, SGR, Meli kubwa ziwa Victoria, Lazima apewe maua yake huo ndiyo ukweli
@VairethMwaikambo
@VairethMwaikambo 5 күн бұрын
​@@MashakaMagesasanaaa
@simonmwaliru8590
@simonmwaliru8590 5 күн бұрын
​@@MashakaMagesaSifa ni kwa watanzania na serikali yao.
@PastorErickjmi
@PastorErickjmi 5 күн бұрын
Mueshimiwa uko vizuri tunakuombea sana kwakazi unayoifanya juu yawananchi mkoa wamwanza by pastor erick
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 6 күн бұрын
HAPA KAZI TU...HAPA KAZI TU... ALLAH JALIA PEPO NA KUMUWEKA MBALI NA MOTO
@EGM-TZ
@EGM-TZ 6 күн бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations JPM and RIP Jembe. EGM Tutaendelea kukuenzi 🙏 Enjoy Muziki Bora kutoka EGM
@MasomeAbell-cr1um
@MasomeAbell-cr1um 5 күн бұрын
Hayo ndio maono ya JPM(Magufuli) halafu kuna kiongozi mmoja wa chadema aliwahi kusema eti kulikuwa hakuna haja ya kujenga daraja ona sasa umuhimu wa daraja hongera kwake JPM apumzike kwa amani
@kilimanjarotv255
@kilimanjarotv255 2 күн бұрын
Kiukweli mama amesusia hiyo mikoa kabisa miradi mingi inaenda Kwa kusua sua sanaa mikoa ya nyanda za MAZIWA Victoria mama aaeche chuki kisa magufuli ALIKUA anatokea uko airport yenyewe pia imesusiwa na pia imejengwa ndogo sana HATUNA uzalendo kabisa tupo kimatabaka kimaendeleo Samia acha hili badilika simamia maendeleo kwa usawa kote kote siku nchi nzima acha upendeleo
@MohammedJaizan-yf5yt
@MohammedJaizan-yf5yt 5 күн бұрын
Hiyo ni English kweli😂😂😂😂😂😂
@bedabeda6348
@bedabeda6348 5 күн бұрын
Kiswahili
@user-sy6ty8qb3n
@user-sy6ty8qb3n 5 күн бұрын
Kujua English sio kuwa na akili
@UrassaPaschal
@UrassaPaschal 4 күн бұрын
Wameelewana hawajaelewana?maana ninachojua issue ni mawasiliano tu na kwa vile ni third LG sio mbaya ingekuwa kiswahili ama kilugha hajui ndio ningemshangaa kama ulivyoshangaa wewe
@RaiderTube
@RaiderTube 4 күн бұрын
Hamna English humo 😂
@RaiderTube
@RaiderTube 4 күн бұрын
​​@@UrassaPaschalmtu aliyesoma mpaka University uongee hivo? English ni lugha ya kufundishia tangu primary mpaka chuo, shame angekua hajasoma nisingeshangaa
@UrassaPaschal
@UrassaPaschal 4 күн бұрын
Afu heading kwanini hamjaandika daraja la JPM tajeni jina hilo jina kubwa lilofanya makubwa kuliko rais yoyote ukiacha Mwl Nyerere
@VairethMwaikambo
@VairethMwaikambo 5 күн бұрын
Maono ya magufuli
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 kumbe magugu yanaweza kuchanyikana na engine au ndo hydrolic ya ferry. Hongera sana mkuu wa mkoa juzi nimesimama hapo massaa matatu
@magorymara5515
@magorymara5515 5 күн бұрын
Wazembe wengi serikalin
@LeonardRomward
@LeonardRomward 6 күн бұрын
Asante RC
@MartinLaban
@MartinLaban 5 күн бұрын
Mbona msiweke usafi wa kuyaondoa hayo magugu maji ? Au mama hajaleta pesa😂😂make kila kutu ni mama sio Kodi zetu 😂😂
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 6 күн бұрын
Sawafi kiongozi anae timiza wajibu wake mungu amubariki
@RamadhanAthuman-d4c
@RamadhanAthuman-d4c 5 күн бұрын
#Magufuli
@MkumboKahongo
@MkumboKahongo Күн бұрын
Hlio daraja so imala waelewe Hilo, maana lipo kwaajil ya kuendeshea mrad wa ujenzi tu, daraja kuu bado halijamalizka kutengenezwa, wawe makin zaidi
@ifmknowledgepower7333
@ifmknowledgepower7333 6 күн бұрын
Mpka leo daraja bado halijakamilika tu wajameni duh!! Kwani mkataba wa kumaliza ikua mwisho lini?
@dancerboy2686
@dancerboy2686 6 күн бұрын
2024
@storytownTv
@storytownTv 6 күн бұрын
Mpk tutambue huyu mama afai tutakuwa tumechelewa sana..😢
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 5 күн бұрын
Ingekuwa Injinia Au fundi Usingeuliza swali kama hili.
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 5 күн бұрын
Kunavitu vingi Daraja ni refu kuna Muda wa kusubir zege likauke sanjari na kunyeshea Niprocess nyingi ili daraja Liwe Madhubuti sometimes sio pesa pekee
@robertzamani5612
@robertzamani5612 Күн бұрын
Aliyekuwa anafatilia na kusimamia ipasavyo miradi hayupo wengine wote wamekalia mama mi 5 tena
@fredrickkagwa8853
@fredrickkagwa8853 4 күн бұрын
Kweli JPM aliona mbali
@omaryboman6629
@omaryboman6629 3 күн бұрын
BHAKRESA ANATAKIWA AWASILI PIA HAPO AWEKEZE
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 5 күн бұрын
Maono ya JPM
@robertmasha173
@robertmasha173 3 күн бұрын
Duuuuh kingreza cha muheshimiwa bwaaana
@eddechriss2664
@eddechriss2664 6 күн бұрын
Serikali mlituahidi Daraja la JPM kuanza kufanya kazi December 2024 lakini haikuwa hivyo, ona sasa hii shida, hilo daraja lisilo rasmi halikujengwa kwa matumizi ya kawaida, hiyo ni hatari
@mazaramatucha
@mazaramatucha 6 күн бұрын
Hiyo ni hatari mzee. Nia haibadili professionalism
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 6 күн бұрын
Ni kweli ni hatari ila Kwa siku 1 siyo mbaya
@nuruamry
@nuruamry 6 күн бұрын
Tanzania kwann mkuu asitumie kiswahili
@MamodelPark
@MamodelPark 6 күн бұрын
Anajaribu kuwataarifu wakenya kuwa na sie lugha ipo 😂
@HavanansiData
@HavanansiData 6 күн бұрын
Anaongea na Mkandarasi
@AllyMadenge-u6o
@AllyMadenge-u6o 5 күн бұрын
Kiongozi anaongea na Mchina halafu Mchina hajui kiswahili
@JacobNzowa-e2f
@JacobNzowa-e2f 6 күн бұрын
Kongole sana magufuri bila yeye kuthubutu yamkini mpaka Leo kungekuwa hamna alternative R.I.P mwamba
@timboxlee919
@timboxlee919 3 күн бұрын
Sasa kwanini jeshi lisisafishe ziwa
@EradiusB.kashabano
@EradiusB.kashabano 2 сағат бұрын
Ruhusu watu wapite mkuu shida nn tuliambiwa mwezi 12 baada ya apo tukaambiea mwezi wapili
@JumbeOjaso
@JumbeOjaso 5 күн бұрын
Jambo jema Mr Rc ila ni aibu kusikia mafundi wanasubiriwa kutoka Daresalaam. Mwanza kuna mafundi wa kutosha, watumie wakati huu wa dharura hata kama ni mafundi binafsi. Au hao wa Daresalaam wanafanya kazi hiyo bure?
@Mboro7
@Mboro7 5 күн бұрын
Hii haijakaa sawa kuna jambo linaandaliwa
@BensonTegambwageDecordesign
@BensonTegambwageDecordesign 5 күн бұрын
Daraja kumbe bado
@shomarymussa6970
@shomarymussa6970 6 күн бұрын
Hangalieni uzito pia msije mkauwa watuhapo
@ErastoAntony
@ErastoAntony 5 күн бұрын
Hapo uzito haina shida yoyote kwakua hilo daraja la emergency rimejengwa kwa uimara mkubwa kwaajili ya kupitisha magari yanayopeleka material ya ujenzi pamaja na winch
@mdl6463
@mdl6463 4 күн бұрын
Hohohoho😂😂😂😂😂😂
@JeremiahKaliwa-h1w
@JeremiahKaliwa-h1w 6 күн бұрын
Wanapita sawa vp kuhusu usalama?
@amirjuma9395
@amirjuma9395 5 күн бұрын
Rc kuvaa sare chama wakati wakutimiza majukumu yake sio sawa wewe unamwakirisha raisi na raisi akisha chaguluwa anakua raisi wa wote kwaiyo hutakiwi kuonyesha uchama kwenye kazi zisizo husu chama
@ChancellorFelix-vm5yp
@ChancellorFelix-vm5yp 4 күн бұрын
Kwan mkataba wa ilo daraja n kujengwa Kwa miaka mingap ? Maana waandsh wa habar wa cku izi n kama hii nch haiwahusu vile wanashndwa hata kuhoji wakat wanapata nafasi za upendeleo kuonana na wakuu wa nchi
@PoulinSimon
@PoulinSimon 5 күн бұрын
Ni mcheshi mkuu ila lugha ndo problem
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 6 күн бұрын
Nenda Gym kwa faid a ya maisha yako.ya baadaye
@Dipeson700
@Dipeson700 6 күн бұрын
Saiv haelewi ila badae ataelewa😂😂
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 6 күн бұрын
Magugu hayawezi kuchanganyika na injini Hilo siokweli injini ipo mbali na kizunguusha maji kwahilo siokweli ila kunata tatizi lingine au ufisadi
@meshackpatrick6981
@meshackpatrick6981 5 күн бұрын
Suluwisho la kudumu ni daraja
@jumannedotto9241
@jumannedotto9241 5 күн бұрын
Wataalamu wanaishi dar vivuko vipo mwanza hii imekaaje
@StevenMusa-j7v
@StevenMusa-j7v 6 күн бұрын
English Ni Janga La Taifa
@COMPASSIONMEDIA
@COMPASSIONMEDIA 6 күн бұрын
😂
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 6 күн бұрын
Hata kiswahili ni janga la taifa kwa nchi zinazozungumza kiinglishi
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 6 күн бұрын
Why Sir
@AllyMadenge-u6o
@AllyMadenge-u6o 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MarckMasaki
@MarckMasaki 5 күн бұрын
Mbona sijaelewa,magugu maji yanaingiaje kenye ingine,kwa hiyo Piston zimeziba
@NtayandiLeonard
@NtayandiLeonard 6 күн бұрын
🙏
@LukaSakaya-pg3qy
@LukaSakaya-pg3qy 6 күн бұрын
Duh 😮😮😮😮
@RaiderTube
@RaiderTube 4 күн бұрын
English is not englishing
@PrinceShepherdMaduhu-m9m
@PrinceShepherdMaduhu-m9m 6 күн бұрын
Daraja bado kukamilika ila tu viongozi waliopo apo wanawaongopea wasio na d2 zauelewa ivi kama ligekuwa limekamilika kwanini zipite gari daralaj lisilo lasimi lahapo chini ambapo daraja kuu nihilo juu apo JPM chuma sana hakuna wa kuvivaa viatu vyke
@SylvesterKameo
@SylvesterKameo 5 күн бұрын
Hizo D2 zako tayari zinadhihirisha reasoning capability chini ya watani. Ndiyo maana huwezi kutofautisha uwezo na kazi za madaraja hayo mawili (diversion and permanent)!
@AllyGege-h4r
@AllyGege-h4r 6 күн бұрын
Kwann huyu mkuu wa mkoa hajapewa dar es salam mnaweka mkuu wa mkoa ambaye ajali kina mama wazazi hii ni laana wewe utakujakuwa kuwa rais wa nchi hii
@mkamimtatiro3449
@mkamimtatiro3449 6 күн бұрын
Sisi tunamtaka chalamila mwanza
@BigMan-f1v
@BigMan-f1v 6 күн бұрын
Hatumtaki chalamila​@@mkamimtatiro3449
@MaurineFredrick
@MaurineFredrick 6 күн бұрын
Hata ss huku moshi tunamtamani kinyamaaaa chalamila ​@@mkamimtatiro3449
@MaurineFredrick
@MaurineFredrick 6 күн бұрын
Hebu tuleteen chalamila jmn
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 6 күн бұрын
SIFA MOJA KWA WACHINA NIWA SIKIVU NA KUONGEA KWA HATUA NA KUKUPA MUDAWINGI KUKUSIKILIZA WEWE..... CHINESE ENGINEER WOTE WAPO HIVYO...MFANO HUYO
@SamsoniKaka
@SamsoniKaka 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MohammedJaizan-yf5yt
@MohammedJaizan-yf5yt 5 күн бұрын
Mwanza inazidi kuzorota chini ya kiongozi huyu hakuna vivuko mji mchafu malori yanaharibu miundo mbinu ya barabara za mjini
@geofreykato3976
@geofreykato3976 6 күн бұрын
Najiuliza magugu maji yanaingiaje kwenye injini? Kupitia wapi???
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 5 күн бұрын
Magugu maji ni hatari sana kwenye meli huo ndio ukweli.
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 6 күн бұрын
TEMESA Kwanini hawatumbuliwi....hua wanaajiri watu toka wapi? MAGUGU hawayaonagi?
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
MAKALA MAALUM YA DARAJA LA J.P. MAGUFULI
16:28
TANROADS HQ
Рет қаралды 77 М.
Hapa Ndipo alipo lala Sheikh Abuu Idd Mohammed Idd Mohammed
26:22
MASANJA KILIMO : UTAJIRI WANGU UNATOKA KWENYE SHAMBA HILI (Masaja Mkandamizaji)
11:02
MASANJA MKANDAMIZAJI TOUR
Рет қаралды 51 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН