''BAADA YA MZEE KIKWETE KUINGIA KURA ZETU ZILIANZA KUPOROMOKA, CHAMA KILIPATA MSUKOSUKO'' BASHIRU

  Рет қаралды 27,100

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 62
@bakuzasimon6193
@bakuzasimon6193 Жыл бұрын
Ukifanya vizuri unakumbukwa hongera Dr Bashiru
@user-gm6un2ie5l
@user-gm6un2ie5l 4 ай бұрын
Anayetizama hiii 2024 like yako tafadhal
@FaridaJames
@FaridaJames Жыл бұрын
Msema ukweli siku zote hua anamaadui wengi Sana mungu akutangulie jembe la magufuri
@manuelhealth100channel7
@manuelhealth100channel7 4 жыл бұрын
Bashiru umenena iliyokweli na ni kweli kabisa kwa sasa watu tuna matumaini na viongozi wa serikari
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 4 жыл бұрын
Alhamdulillah Allah Kareem
@zikirination6769
@zikirination6769 4 жыл бұрын
Bila kusema hivi chama hakiendi lazima watanzania waambiwe ukwel kuwa majangili walikuwa wengi mno ccm na magu ndo kidume uyu mzee na karibu wak bashiru
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 4 жыл бұрын
Kwer katbu umeongea kwer ccm mrikuwa mnazingua Sana sima kwasasa mnajielewa mnaleta maendeleo ya kwer pongezi zake rais wangu jpm mungu akurinde na wa sio penda maendeleo ya tz
@kassembotz1421
@kassembotz1421 3 жыл бұрын
Huo ndo ukweli!!!!!! Huo ndo ukweli Huo ndo ukweli Huo ndo ukweli Huo ndo ukweli JPM pumzika kwa amini 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔
@davidnicholaus5304
@davidnicholaus5304 4 жыл бұрын
Mmmmm haya maneno mmmm
@patrinraura1397
@patrinraura1397 Жыл бұрын
Wewe ni muumini wa Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere na Hayati Magufuli hutapendwa na baadhi ya Wanasiasa kutokana na ucha Mungu wako. Jemadari na Shujaa usiyeogopa kusema ukweli Mungu Akubariki.
@dhulkfryshaffih2371
@dhulkfryshaffih2371 2 жыл бұрын
Vep kwa Sasa mzee wangu Hali ikoje
@stevencherdiel9522
@stevencherdiel9522 4 жыл бұрын
Hiyo ni kweli tulipoteza kabisa matumaini.
@yasinhemed2498
@yasinhemed2498 4 жыл бұрын
kila serikali iliyopita ilikua na mazuri yake na makosa yake toka awamu ya kwanza hata hii baada ya kumaliza itaonekana hivyohivyo
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 Жыл бұрын
Wameshasahauuu
@pastorycharles1253
@pastorycharles1253 4 ай бұрын
Dr Bashiru Ally kakurwa akili kubwa sana
@papayatnzania1005
@papayatnzania1005 4 жыл бұрын
Ukweli utabaki kileleni siku zote awamu ya 234 ni za mifisadi na familia zao ila hii awamu yatano5 inatuonyesha live jinsi Tanzania yetu ilivyokuwa inachezewa na kufisadiwa mchana na usiku mwaka hadi mwaka watoto akina mama wajawazito wengi walifariki kutokana na unyama na uzandiki tena waliokuwa wanafanya hivyo ni watumishi waliokuwa serikalini
@fredybuha2872
@fredybuha2872 4 жыл бұрын
Huuu unafiki kitu kibaya Sana ivi huyu ndio Dk kweli Tanzania wasomu hewa
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Acha umbumbumbu wewe!!!
@wisdomuta1039
@wisdomuta1039 4 жыл бұрын
Bashiru Ally Kakurwa Dr.(PHD) 100%
@msafiriomary893
@msafiriomary893 8 ай бұрын
Ndivyo itakavyokuwa 2025 wanainchi hatuipendi ccm mifumko ya bei kra mfanya biashara anapandisha bei atakavyo serikal inaangaria tuu tumerudi kure kure
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
Kumbe ndio mana kikwete jana akakushukia, hahaha
@laulianmeneja2079
@laulianmeneja2079 4 жыл бұрын
Leo kikwete hanamaana na mkapa
@allysudi2986
@allysudi2986 4 жыл бұрын
Hapa naona ccm mbili kutokea maana haya maneno ya Dr bashiru sio kipindi chake
@hamadsaburi3569
@hamadsaburi3569 Жыл бұрын
Sadakta
@saidasimba9979
@saidasimba9979 4 жыл бұрын
Unaongeaga kwa fact ..kweli wewe mwalimu tena msomi
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Hapo Dr, umechemka ,,,,"eti wakati kikwete anaingia kura zetu zikaanza kuporomoka" kauli hii sikweli, ukweli ni kwamba kikwete alishinda kwa zaidi ya asilimia 80 kwa muhula wa kwanza, lkn muhula wa pili ndio ndio zilishuka!!! Asipotoshe!!!!
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Awamu ya kwanza ya kikwete alipokea kwa mzee Mkapa, kw hiyo hiyo 80% ni kazi mkapa.
@user-fp9ye4vv3y
@user-fp9ye4vv3y 8 ай бұрын
​@@josephlorri431Umemjibu vizuri
@malindaramadhani9271
@malindaramadhani9271 3 жыл бұрын
Heeeeeh ndio nini
@nizwaoman8378
@nizwaoman8378 9 ай бұрын
Na sasa ivi sasaivi akuna kula ccm ila kuna mabavu watu tulivyo na ali mbaya bado tuchague ccm tumewachoka
@munuoisaack418
@munuoisaack418 4 жыл бұрын
Kwa mabadiliko kumbe ni MAGUFULI na siyo umoja wa ccm manake watu ni wale wale Magufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeee
@ghbussiness8750
@ghbussiness8750 4 жыл бұрын
Sioh yakuongea public
@zikirination6769
@zikirination6769 4 жыл бұрын
Yaongelewa chumban sio
@abduliddy7432
@abduliddy7432 4 жыл бұрын
Hakuna cha matumaini, maisha yamekuwa magumu sana na sijui kwa nin tuwaoga watu wanafanya mambo wanavyo taka wao. Halafu unasema tuna matumaini hii sio kweli kabisa.............
@namlessnamless1207
@namlessnamless1207 4 жыл бұрын
@@abduliddy7432 Fanya kazi acha mayowe !
@dastanmjema2815
@dastanmjema2815 4 жыл бұрын
Hivi mara kikwete aamue kuingia na magufuli 2020 labda panaweza pakatupa picha gano?
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Weeeee Jk anatisha wewe!! yule jamaa ni Master of politics,,,,anashinda mchana kweupe!!!
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 Жыл бұрын
Sasa hivi tumerudi kule kule
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 3 жыл бұрын
JPM WE MISS YOU
@shukurunzenzule5963
@shukurunzenzule5963 4 жыл бұрын
hata saahizi ni yaleyale watu wanaogopa intelejencia inamaana wewe hujuwi hilo umebaki kujipendekeza kalagabao
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 4 жыл бұрын
Pumbavu sana Huyu, Sasa Kikwete alipata 60% za Halali. Ninyi Si Mnapora hiyo ni asilimia 0%
@godfreymbwambo4460
@godfreymbwambo4460 4 жыл бұрын
SASA WEWE SI CHADEMA, MAMBO YA CCM YANAKUHUSU NINI?? FISADI LOWASSA MUMEMLAMBA MATAKO NA KAWAKIMBIA !!
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 2 жыл бұрын
Yes it's true kikwete alipata za halali lkn marehemu mpk nyingine ziliwekwa kwenye mifuko
@michaelngaliga1802
@michaelngaliga1802 4 жыл бұрын
Kama ni hisia za watu kazjuaje na wakat kasema mwenyewe matumain hayapimikii??😁😁😁
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Vipi wewe ulipowafyeka wabunge 70 wa CCM na kuwapigia simu kwa kuwatisha?
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 жыл бұрын
katibu wewe hujagundua bado tatizo waratibu wa mabolozi wilayani wabovu wafukuze wananikera
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 жыл бұрын
na waandika makaratasi kwa makatibu wilayani nao wachunguze wafukuze pia madreva wachunguze wafkuze wananikera ccm oyeee
@immanuelswai6679
@immanuelswai6679 4 жыл бұрын
Hata sasa ndio imekuwa mbaya zaidi. Lamda mtumie nguvu ya polis. Ila kama mtatumia alali hataona majimbo mengi sana.
@mainguburemo6186
@mainguburemo6186 Жыл бұрын
Tumerudi huko huko tulikotoka
@mohamedfogo8820
@mohamedfogo8820 4 жыл бұрын
Swadakta mkuu Matumaini ya wanyonge yanaonekana
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 4 жыл бұрын
Hv sasahv Tiba ni bure?
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Bashiru hapo umeongopa , itakumbukwa kikwete mwaka 2005 alichaguliwa kwa zaidi ya 80%
@user-fp9ye4vv3y
@user-fp9ye4vv3y 8 ай бұрын
Unajua kwa nini kasema 2010? Kura za 2005 za kikwete ni matokeo ya kazi ya mkapa na kura za 2010 ndio ya kikwete,kura za 2015 za Jpm ni matokeo ya kazi ya kikwete na kura za 2020 za Jpm ni matokeo ya kazi yake.
@gockoomzawa3389
@gockoomzawa3389 4 жыл бұрын
siasa mchezo mchafu ....
@jozeytv8357
@jozeytv8357 4 жыл бұрын
We ulijuaje vya ccm akati ulikuwa CUF
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 4 жыл бұрын
Tanzania na CCM ya sasa inaongozwa na watu siriaz. hawatabasamu maana ukimchekea kima utavuna mabua. Hawa ndio wanaotakiwa. namfahamu Dk. Bashiru alikuwa tutor wangu somo la DS pale UDSM. Siriaz hivi hivi. Kaza buti baba kima bado wengi nchi hii
@leonardsebunga7187
@leonardsebunga7187 7 ай бұрын
Mwl aliwahi kusema chama legelege huzaa serikali regerege,inafaa kujitafakari kwa sasa.
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 4 жыл бұрын
Wekeni uchaguz huru muone hahahahaha
@charlesmpemba9387
@charlesmpemba9387 4 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa
'TUMEANZA KUOGOPA KUSEMA UKWELI'-Dk. BASHIRU
4:01
Millard Ayo
Рет қаралды 116 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 73 МЛН