juweni kuna mtoto anataka kusoma kula .na maisha mengine.msichukuwe mali zake wana ndungu.😊
@siriyangu472412 күн бұрын
Innalilai wainna illah rajiun kuunguwa cyo kufa hakika kifo huja hafla tujianda mda yyote alale pema dda didy tulimpenda lkn mungu kampenda zaidi 😢
@TinaMzava17 күн бұрын
Kifo ni fumbo jaman wanadamu tuna Leo Jana na kesho tusioijua 😢😢😢 mm mpaka naogopa jaman
@ElizabethNyabu-q1x17 күн бұрын
Nakwambia had kulala naogopaa
@aminakipande564516 күн бұрын
Sio ww tu tupo wengi
@wachimbavisima17 күн бұрын
mungu akupe kauli thabiti dada yetu, 😢 ndugu mtambue marehemu ameacha mtoto msianze kugombania alichomwachia mwanae maana ndugu hamnaga utu😢 nasema hivi yamenikuta juzi tu hapa mtu wala hajazikwa watu wanagawana nguo na kuficha vitu 😢😢
@dianajohnson726817 күн бұрын
Ushauri mzuri
@mealii579317 күн бұрын
Subhannallah 😢
@janethdavidsanga599916 күн бұрын
Mimi hawakunipa hata kijiko,lakin Mungu amenipa vyangu at that age nikiwa mdogo sana😤
@Bintimrembo-y1v16 күн бұрын
Tumweke binti kwenye sala zetu, ndugu wasiingiwe na tamaa.
@SalomeJoseph-h4y13 күн бұрын
Jamani poleni familia pole Idrissa
@Najma-z2h17 күн бұрын
Innalillah wa innallillah laajuun kifo kinauma jamn nimejikita namkumbuka mama yng gafla naamini mwenzangu ameumia xana kumpoteza mama yake daah maana mama yng na dida ni miaka xawa wote ukimpoteza mama umepoteza dunia yako
@Mainatongwe17 күн бұрын
Duh dad dida kama utani umetuacha gafra nimeumia sana😭😭
@MpembaawiseABD14 күн бұрын
Kasoma comment yako😅
@uoendokivuyo658916 күн бұрын
Pole sana kaka Mungu akawe mfariji mkuu kwako
@vinanimwinyi316317 күн бұрын
Innalillah wainna ilayhi rajiun Allah amjalie kauli thabit
@MwanaHamis-y4e17 күн бұрын
Allah ampe kauli thabiti pole kwa familia
@AzizaSwedi-vx9tv17 күн бұрын
Inna Lilah Wainna Ilehiy Rajiuun Subuhaana Llah mmmh Allah Akbar Dida Dunia Uliipenda Sana ila Akhera Imekupenda Zaidi Htunabudi Kusema Tena Inna Lilah Wainna Ilehiy Rajiuun Subuhaana Llah
@HappyMeena-h2d13 күн бұрын
Apumzike kwa amani
@KhamisKhamis-p7t17 күн бұрын
Inalillah wainna ilayhi rajiuun
@vero5717 күн бұрын
Babu idd mpaka kavimba macho, poleni sana
@ThomasUlimwengu-l3e16 күн бұрын
See u again in a better place dida❤😢
@shebylove379816 күн бұрын
Pole sana kwa wana familia 😭😭😭😭
@qasimmafuta17 күн бұрын
Mpenzi Au Ni Mumewe which is which?
@TonyMasterog17 күн бұрын
Pole Sana 😢😢😢
@neemakoka59912 күн бұрын
Kufiwa kugumu jamani sikia tuu yasikukute
@patriciacarlo723617 күн бұрын
Ila Dida jamani 😭😭😭 ghafla sana🙏🙏🙏
@obrigadoofficial150617 күн бұрын
Pole mr Nana 😢
@abednego387616 күн бұрын
Dogo kapime sasa, Vijana msiwe na tamaaa.
@LucyNgowi-m5z16 күн бұрын
Yaani we acha atakua na mawazo mengi
@paschalbuharata664017 күн бұрын
Pumzika kwa aman madam Dida
@ThelesiaElias16 күн бұрын
A.ani miooooo Jam😢
@NeemaMweta16 күн бұрын
Mali.mali jamani.za mtotooooo
@mealii579317 күн бұрын
Huyu mpenzi wake kwa kumuangalia tuh unatokwa na machozi😭
@FatumaSalum-m2o17 күн бұрын
Polen sana
@dreamboy567416 күн бұрын
Apo anawaza umeme
@NeemaMweta16 күн бұрын
Msianze zenu serikali msikae tuu angalieni anaeleta mdomo ukatwe
Nikiuna hapa hivi niskia machungu mukubwa kwa musba wa shemeji yangu alipo toeka nikifikiria ginsi mdogo aliumia moioni maumivu makali ya kumpoteza mkew angali na umri mdogo😢 innalillah wainna ilayhi rajiun
@shuwenaghandi925317 күн бұрын
Jamani alikua anaumwa mbona ghafla
@ireneimbuhira775917 күн бұрын
So sad rip
@KhadijaSempeho17 күн бұрын
Jamani mhiiii so pw nikumuombea tuh
@feyxalbarry459517 күн бұрын
Waandishi wakuda eti amwaga machozi yapo wapi apo
@FIDELISMfugale17 күн бұрын
MTU AKIFA MNAGEUZA shm ya kuingizia hela mamayezenuuu nyiee
@Zakia-df1ql17 күн бұрын
Babu idi atalia msiba ukiisha
@SanyaKiroriMwita17 күн бұрын
Apumzike kwa Aman😢😢😢
@SiahBrown-o6f17 күн бұрын
😢😢😢😢
@ZaliyaSaid17 күн бұрын
Dada inauma sana ila mungu tumtukuze
@halidhakim88317 күн бұрын
Mwana ume ana jichubua
@SHAKILB-f7o17 күн бұрын
Mbona sijamuona boss wa Serena hotel maan wanasili kubwa na did