Mimi mwanangu na kukubali katika maripota wa millady ayo wewe namba moja safi sana
@filemonmollel97584 жыл бұрын
Yupo vizur sana
@geraldgodsontv79824 жыл бұрын
Hiyo Zara isikie tuu hahhhhhhhhh ni moto hilo likampuni huwa linataka kuua watu
@calvinmmary7354 жыл бұрын
Kiredio huyo namjua ana kiherehere kinomanoma
@maraklaraferinando6574 жыл бұрын
Hongera kaka mafanikio mema huko wanawake pia wanapandisha
@calvinmmary7354 жыл бұрын
Eeeeeh dada wenzio wanapanda sna
@jacklinepaul97124 жыл бұрын
Hongeraaa mwayaaaa
@abrahamaniidd12834 жыл бұрын
Maneno ya watu ni mengi sana ukiskiliza watu hautoenda mahali lkn mlima Kilimanjaro raha sana ukifika juu nimeimic hiyo kaz
@kingfocustzog4 жыл бұрын
*Dada angu, ukimuona mwanaume amening'iniza ufunguo kwenye suruali ujue huo kama cyo wa geto ni wa tranka tu,😂* 😂 _Sisi wenye magari huwa tunashikilia mkononi ili iwe rahisi kujikunia kichwani_ 🤭🤭🥳 𝑲𝒊𝒏𝒈𝒇𝒐𝒄𝒖𝒔
@bjzee19814 жыл бұрын
Yani mli msumbua mzungu kwakutojua kinge hadi aka ona aingie hasara yakusomesha
@priscapatson72004 жыл бұрын
Kiredio😁😁😁
@kirupyseleman5824 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@amedeusmodestikimey98884 жыл бұрын
Imeisha iyooo
@buildertanzania48014 жыл бұрын
Think about tomorrow ......
@wolfgangulrick61874 жыл бұрын
Kiredio💥
@abrahamaniidd12834 жыл бұрын
Weee hiyo Zara imeachaga kubebesha mzigo kilo 35? 2011 Zara hapo machame nliona moto mpaka machame hati
@amedeusjerome50504 жыл бұрын
Duh baba hii kampuni mungu anaiona nimeifanyia kaz miaka ya nyuma ebwana hata mkipimiwa kwenye mzani 25kl mkifika kituo chakwanza 35kl inakuhusu tip hamna mshahra kidogo kuupata mshahra wenyewe shida yaani unaweza kufuatilia mshahra siku tatu mara mnakatwa 10000ya kijiko kilipotea mara 5000 yakuosha mahema mara mtawekewa hela bank ukienda bank unakuta hawajaweka dah Zara hapana aisee
@Bayothomusic4 жыл бұрын
like subscribe na comment ukiona hiki hapa👇 kzbin.info/www/bejne/b2rYZpiQhrJsd68