huyu jamaa mzoefu kweli.. anajua kujielezeaa.. big up aisee
@davissamxon61415 жыл бұрын
yaan umeeleza vizr sana nimependa coz mm mwenyew ndo kaz yangu thanks brother
@Chrisblaze-beats5 жыл бұрын
Tuliowahi kupanda like apa....
@Chrisblaze-beats3 жыл бұрын
@Hank Jalen Damn app
@halimatanzani85875 жыл бұрын
Sawa Asante
@MandoliiMoshiАй бұрын
Home sweet home
@nowelaraymond48942 жыл бұрын
Wow ! keep it up bro.
@beautywithnay59745 жыл бұрын
Ivi ni bei gani kwa mtanzania kupanda mlima na mie nataka nikapande inshaaallh nataka kujua gralama zakupanda mtanzania
@sebastianmoshi72005 жыл бұрын
Kwa mtanzania kama uko peke yako itakugharimu kama Tshs 800,000 hivi minimum, hapo ni kila kitu umekamilisha, andaa angalau laki nane hivi. Kama mnafika angalau kuanzia watatu kuendelea gharama inaweza kupungua maana vitu vingi mta-share, pengi mpaka kwenye Tshs 600,000 labda. Kama sio Mtanzania andaa sio chini ya Tshs 3,000,000 hivi kama mko wengi inaweza kupungua. Hayo nimeweka ni makisio ya chini ya gharama ya kupanda na kushuka kwa siku 6,7 au hata 8 kutegemea na njia utakayopita
@beatricekingsley50624 жыл бұрын
@@sebastianmoshi7200 asante
@fatemaligalawa41514 жыл бұрын
@@sebastianmoshi7200 weee minilijua kwenye lakin mbili au tatu kumbe kujipanga
@learnselfdefense7654 жыл бұрын
Cjajua vifaa ila per day ni Tsh. 11700/=
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Mmm jaman mbona nilizania watanzania bure kumbe hela nyingi hivo kitu kimeletwa na mwenyez MUNGU leo tunatozwa pesa nyingi kias hicho cc masikin tutaishia kuona kwenye tv😷😷
@sakshidayaly22204 жыл бұрын
Jamani Kwani sh. Ngapi gharama za kuupanda huu mlima
@Bobobobo-jr9zr4 жыл бұрын
Cost zake zinafikaje ?
@ombenidaniely61335 жыл бұрын
Bhana kingel kingiii wengne hatukijui mnashindwa kutumia lugha yenu mnakera
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Jamani yuko kitaliii zaidi!
@emmalyanga37264 жыл бұрын
Standard language kwa wapandaji wanaolipa ma guide/ wanaowalipa
@phillipmatola69644 жыл бұрын
Ok bei gani kwa mtanzania kupanda? .
@mosesnmousa55583 жыл бұрын
Mlima kilimanjaro nchini kenya...karibuni...
@angelsulle7177 Жыл бұрын
Kenya mnajivunia mgongo wa mlima Kilimanjaro
@fatmarashed69185 жыл бұрын
Natamani kuja jamani
@michaelleonard50634 жыл бұрын
nenda mpendwa
@Chrisblaze-beats3 жыл бұрын
Si ujeee
@janesuma21935 жыл бұрын
watanzania mngewafanyia hata 100,000 tu mana mlima ni wao Mungu katupa why walipe migarama mikubwa wakati ni Mali yao mana matajiri ndio wanao panda
@beatricekingsley50624 жыл бұрын
Kweli
@adammakoye41984 жыл бұрын
kwa hiyo chakula upewe bure , vifaa bure , watu wakukuongoza kukusaidia bure kwa sababu vyote hivyo ni vyenu. hiyo pesa unayotoa Mtanzania ni kwa ajili ya ww kupata huduma
@alexanderpius19924 жыл бұрын
Fact,
@alexanderpius19924 жыл бұрын
Hik ni kikwazo!!
@emmalyanga37264 жыл бұрын
Rahisi gharama
@jafarytimamu Жыл бұрын
Sasa mm ndio maana siwezi kuja panda mlima Kwa sababu mm nimtanzania na ukizingatia nina watoto kwetu masasi na Nina shida ya ada ya wanangu je nitapata wapi iyo ya kuja kupanda mlima ishauli serikali iseme Kila mtazania kupanda Bure kama autatuchoka apo
@martinmramba15823 жыл бұрын
Jamani Watanzania amueni kama mnahitaji kijifunza kiingereza ama la ili kujiepusha na aibu ndogo ndogo kama vile huyu jamaa anavyo jionyesha hapa
@khadijaomar27232 жыл бұрын
Acha nije Tanzania nije nipamde huo mlima in shaa Allah
@johnrimoy3704 жыл бұрын
Kilema huja ita ja ambayo Ni siku moja.
@plinceabdallahzakkalia44915 жыл бұрын
Vzr sana
@emableelias66914 жыл бұрын
Ongea swahili boya ww
@mosesnmousa55583 жыл бұрын
Ati kupanda ama kukwea😂...and the tzs tell that they are the custodians of swahili..
@mamodelmam10 ай бұрын
Sasa hujaelewa nini google maana ya kukwea mshamba ww
@hamzaadrin9414 жыл бұрын
Chakufia nini loo nitapanda milima ya makoka tu sio lazima kilimanjaro yani mateso yote alafu nilipie kuchoka
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Kwel best ulipie hela bado kuna kufa na kupona unanunua kifo huku wajiona