No video

MAAJABU MLIMA KILIMANJARO: Mambo 10 unapaswa kuyafahamu kabla ya kuupanda "Unajitegemea"

  Рет қаралды 52,052

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 45
@madhuru2554
@madhuru2554 4 жыл бұрын
You are the Best tour leader good job brother.
@francomwacha2262
@francomwacha2262 4 жыл бұрын
huyu jamaa mzoefu kweli.. anajua kujielezeaa.. big up aisee
@davissamxon6141
@davissamxon6141 5 жыл бұрын
yaan umeeleza vizr sana nimependa coz mm mwenyew ndo kaz yangu thanks brother
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 5 жыл бұрын
Tuliowahi kupanda like apa....
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 3 жыл бұрын
@Hank Jalen Damn app
@halimatanzani8587
@halimatanzani8587 5 жыл бұрын
Sawa Asante
@MandoliiMoshi
@MandoliiMoshi Ай бұрын
Home sweet home
@nowelaraymond4894
@nowelaraymond4894 2 жыл бұрын
Wow ! keep it up bro.
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 5 жыл бұрын
Ivi ni bei gani kwa mtanzania kupanda mlima na mie nataka nikapande inshaaallh nataka kujua gralama zakupanda mtanzania
@sebastianmoshi7200
@sebastianmoshi7200 5 жыл бұрын
Kwa mtanzania kama uko peke yako itakugharimu kama Tshs 800,000 hivi minimum, hapo ni kila kitu umekamilisha, andaa angalau laki nane hivi. Kama mnafika angalau kuanzia watatu kuendelea gharama inaweza kupungua maana vitu vingi mta-share, pengi mpaka kwenye Tshs 600,000 labda. Kama sio Mtanzania andaa sio chini ya Tshs 3,000,000 hivi kama mko wengi inaweza kupungua. Hayo nimeweka ni makisio ya chini ya gharama ya kupanda na kushuka kwa siku 6,7 au hata 8 kutegemea na njia utakayopita
@beatricekingsley5062
@beatricekingsley5062 4 жыл бұрын
@@sebastianmoshi7200 asante
@fatemaligalawa4151
@fatemaligalawa4151 4 жыл бұрын
@@sebastianmoshi7200 weee minilijua kwenye lakin mbili au tatu kumbe kujipanga
@learnselfdefense765
@learnselfdefense765 4 жыл бұрын
Cjajua vifaa ila per day ni Tsh. 11700/=
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Mmm jaman mbona nilizania watanzania bure kumbe hela nyingi hivo kitu kimeletwa na mwenyez MUNGU leo tunatozwa pesa nyingi kias hicho cc masikin tutaishia kuona kwenye tv😷😷
@sakshidayaly2220
@sakshidayaly2220 4 жыл бұрын
Jamani Kwani sh. Ngapi gharama za kuupanda huu mlima
@Bobobobo-jr9zr
@Bobobobo-jr9zr 4 жыл бұрын
Cost zake zinafikaje ?
@ombenidaniely6133
@ombenidaniely6133 5 жыл бұрын
Bhana kingel kingiii wengne hatukijui mnashindwa kutumia lugha yenu mnakera
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Jamani yuko kitaliii zaidi!
@emmalyanga3726
@emmalyanga3726 4 жыл бұрын
Standard language kwa wapandaji wanaolipa ma guide/ wanaowalipa
@phillipmatola6964
@phillipmatola6964 4 жыл бұрын
Ok bei gani kwa mtanzania kupanda? .
@mosesnmousa5558
@mosesnmousa5558 3 жыл бұрын
Mlima kilimanjaro nchini kenya...karibuni...
@angelsulle7177
@angelsulle7177 Жыл бұрын
Kenya mnajivunia mgongo wa mlima Kilimanjaro
@fatmarashed6918
@fatmarashed6918 5 жыл бұрын
Natamani kuja jamani
@michaelleonard5063
@michaelleonard5063 4 жыл бұрын
nenda mpendwa
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 3 жыл бұрын
Si ujeee
@janesuma2193
@janesuma2193 5 жыл бұрын
watanzania mngewafanyia hata 100,000 tu mana mlima ni wao Mungu katupa why walipe migarama mikubwa wakati ni Mali yao mana matajiri ndio wanao panda
@beatricekingsley5062
@beatricekingsley5062 4 жыл бұрын
Kweli
@adammakoye4198
@adammakoye4198 4 жыл бұрын
kwa hiyo chakula upewe bure , vifaa bure , watu wakukuongoza kukusaidia bure kwa sababu vyote hivyo ni vyenu. hiyo pesa unayotoa Mtanzania ni kwa ajili ya ww kupata huduma
@alexanderpius1992
@alexanderpius1992 4 жыл бұрын
Fact,
@alexanderpius1992
@alexanderpius1992 4 жыл бұрын
Hik ni kikwazo!!
@emmalyanga3726
@emmalyanga3726 4 жыл бұрын
Rahisi gharama
@jafarytimamu
@jafarytimamu Жыл бұрын
Sasa mm ndio maana siwezi kuja panda mlima Kwa sababu mm nimtanzania na ukizingatia nina watoto kwetu masasi na Nina shida ya ada ya wanangu je nitapata wapi iyo ya kuja kupanda mlima ishauli serikali iseme Kila mtazania kupanda Bure kama autatuchoka apo
@martinmramba1582
@martinmramba1582 3 жыл бұрын
Jamani Watanzania amueni kama mnahitaji kijifunza kiingereza ama la ili kujiepusha na aibu ndogo ndogo kama vile huyu jamaa anavyo jionyesha hapa
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 2 жыл бұрын
Acha nije Tanzania nije nipamde huo mlima in shaa Allah
@johnrimoy370
@johnrimoy370 4 жыл бұрын
Kilema huja ita ja ambayo Ni siku moja.
@plinceabdallahzakkalia4491
@plinceabdallahzakkalia4491 5 жыл бұрын
Vzr sana
@emableelias6691
@emableelias6691 4 жыл бұрын
Ongea swahili boya ww
@mosesnmousa5558
@mosesnmousa5558 3 жыл бұрын
Ati kupanda ama kukwea😂...and the tzs tell that they are the custodians of swahili..
@mamodelmam
@mamodelmam 10 ай бұрын
Sasa hujaelewa nini google maana ya kukwea mshamba ww
@hamzaadrin941
@hamzaadrin941 4 жыл бұрын
Chakufia nini loo nitapanda milima ya makoka tu sio lazima kilimanjaro yani mateso yote alafu nilipie kuchoka
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Kwel best ulipie hela bado kuna kufa na kupona unanunua kifo huku wajiona
@babubabz4507
@babubabz4507 4 жыл бұрын
Amesahau kusema bei ni ngapi
MAAJABU YA JANGWA LENYE MIUJIZA YA KUTISHA LILILOPO MEXICO
16:21
Wasafi Media
Рет қаралды 2,2 МЛН
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 15 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 13 МЛН
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
The story book: MSITU WA AMAZON WENYE MAAJABU MENGI DUNIANI
12:30
THE STORYSIDE
Рет қаралды 847 М.
DA'WAH KATIKA MLIMA WA MAAJABU UKAMBANI
46:39
Straight Path Dawah
Рет қаралды 39 М.
MPANDA MLIMA KILIMANJARO APEWA MILIONI 3 NA MZUNGU AKASOME
5:45
POLE POLE SIRI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO
9:47
Mwanga Tv
Рет қаралды 2,3 М.