Ukiangalia comments WaTanzania Elimu ndogo sana unasema Zitto hajaifanyia kitu Kigoma wakati kila siku walikua wanaibua Madudu Bungeni kingine Serikali kama hawaja toa pesa kwa ajili ya Kigoma Je zitto akaibe alete tatizo liko kwa watawala
@GilbertGombeye5 күн бұрын
Kweli jitahidini muwekeni Mungu mbele tuombe Mungu atuokoe na hii serikali
@GilbertGombeye5 күн бұрын
Mheshimiwa zito umeongeza pointi kubwa sana kweli Mungu atusaidie chama cheti Cha act wazalendo kishike Dola
@athumanitanuke67952 ай бұрын
Yan CCM ni Adui mkubwa tena tuichukie kabisa haifa, mitozo kila siku, umeme tozo juu, sim tozo, miamala ya sim tozo, bank tozo, mafuta juu, Tanzania hii imejaa Madini Gas Mafuta Bandar Bahari Maziwa Milima Mbuga za wanyama Mikopo kila siku Lakin yote hayo yanaliwa na wachache
@walidmgonja36442 ай бұрын
Fanya kazi Acha uvivu,usitegemee hotuba za wanasiasa kuilalamikia ccm.
@AlouiseNgenDanDumwe2 ай бұрын
Act wamelala sana tena sana waachie chadema
@JaziraMustafa-g9p2 ай бұрын
Tunakiachiaje chama cha mtu mmoja.Watu makini na wasomi wote wamekikimbia Chadema akiwemo Profesa Baregu,Profesa Kitila,Dr Zito kabwe,Mchungaji Msigwa.Hawa watu ndio watu makini zaidi na wasomi zaidi kuliko wote waliopo pale Chadema.Sababu iliyowafanya waondoke ni moja tu MBOWE MBINAFI anakifanya chama chake mali yake chadema si taasisi ni mali ya mtu mmoja.Tunakichaguwaje chama hicho?Baki na ujinga wako.
@evodirudo48132 ай бұрын
Upo sawa mwami
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k2 ай бұрын
Anajua kuongea san uyu, ila wanakupenda kigoma lkn ndo hivo tena ccm wameshachukua nafasi
@Awadhi-t2zАй бұрын
Bora ACT chadema kazi vurugu tu hatupewi sera
@Boniphaceshayo52 ай бұрын
Chama kinakubalika sana kuliko chadema saiv
@SHABANI-t4j11 күн бұрын
Vizur xana
@abujamalaalghammawiy74702 ай бұрын
Yaani inafikirisha sanaaaa
@GilbertGombeye5 күн бұрын
C c m wamejisahau sana embu wakae pembeni kwanza miaka 25 waone uchungu
@abujamalaalghammawiy74702 ай бұрын
Mwami unayo kura yangu Kigoma Mjini
@walidmgonja36442 ай бұрын
Nilidhani unazungumzia mbegu ya mapapai kumbe unazungumzia mbegu ya mapambano😅
@petersilas42342 ай бұрын
Toa mifano ya hapa Africa, mnaona wazi kabisa kwani ukilinganisha na nchi za kiafrika sisi tuko vizuri sana. Future ya Tanzania ni nzuri sana, hiyo Iko wazi kwa mtu anayefahamu uchumi. Hiyo mikoa imeshafunguliwa na mabadiliko yanakuja kwa haraka.
@walidmgonja36442 ай бұрын
True100%
@GilbertGombeye5 күн бұрын
Kwa miaka hii hauwezi kupata hata shamba la kulima utaambiwa maliasili
@SethMwakangata2 ай бұрын
SIASA NI TAABU TUPU TU,WOTE NI KULA TU ACHENI WANANCHI WAFANYE KAZI JAMANI
@walidmgonja36442 ай бұрын
Sawa kabisa,wanasiasa wanawatia watu uvivu kwa kuwapotezea muda majukwaani wakilalamika na kuwahadaa watu kuwa wakiwachagua maisha yatakuwa bora. Siwaamini hawa bali ninachoamini ni kupambana kivyangu
@jaropthebilldone16522 ай бұрын
ACT juuu ccm hapishe hatuoni mabadiliko wizi tu
@walidmgonja36442 ай бұрын
Siasa imeiharibu Kigoma,kila mtu ni mwanasiasa Wanasiasa mnawafanya watu wawe wavivu kwa kuwaaminisha kuwa umasikini wao unatokana na CCM badala ya kuwahimiza wafanye kazi.Mnatumia muda mwingi majukwaani kuwalalamikia ccm badala ya kuwapa elimu ya namna ya kujikwamua kimaisha.I hate ccm,I hate all politicians.
@laurentdyanko54972 ай бұрын
Miaka 10 kigoma kaskazini ulifanya nini.
@MwitaTv2 ай бұрын
Wewe Mdhaifu sana Zitto
@JaziraMustafa-g9p2 ай бұрын
ZITO ni mdhaifu sana kuliko MBOWE?Duu inaonekana wewe umekufa.Watu makini wote wamekikimbia Chadema kwa. sababu ya udhaifu na ubinafsi wa Mbowe wasomi makini wamemuachia mbowe aendelee kungsngania uenyekiti na kukifanya chama ni NGO yake binafsi ya kupigia hela.Umeona wapi wewe mchaga kuwa mwanasiasa?Wasomi wamemuachia chama chake kama Profesa Baregu,Profesa Safari,Profesa kitila,Dr Zito kabwe,Mchungaji Msigwa na Peniza na wengi wengineo.Ondoka hapo sipo usijizime data.
@nyerere12592 ай бұрын
Kwani Vietnam kuna Singeli
@nassorshaaban72952 ай бұрын
Reporter Punguza Maneno Lete habari Milad Ayo Tv hainaga Rongo rongo
@RichiewakitaaАй бұрын
Gombea urais mzee
@xaveryngonyani-nb1nx2 ай бұрын
SEMA zitoo nakukubali sana
@reubenmhagama81642 ай бұрын
Et wanaita wanaitwa ccm b ivi ni kweli?
@FrankMwakatundu-cu6bd2 ай бұрын
CCM B
@AshaMwamba-g3l2 ай бұрын
Anachukiwa ubungee
@sebastiansalamba3132 ай бұрын
Hilo Jimbo la kwanza limekwenda upinzani utake usitake
@ChristerKoku2 ай бұрын
Zito ni kiongozi mzuri sana,isipokuwa...........
@FrankMwakatundu-cu6bd2 ай бұрын
Mbinafsi sana
@IjumaaIjumaa2 ай бұрын
Chadema haita chukuwa inchi kw sera gani ruzuku wamepata mpaka leo hawana hata jengo wwbunge wa chadema walikuwa wanachangia kwa ajili ya maendeleo lakini hakuna maendeleo chademaa je wakipewa nchi si tutakuwa maskini mara,4 ya ccm bora act inajitahidi kimeendeleo
@erickmsigala1382 ай бұрын
Wewe utakuwa na govi siyo bure maana siyo kwa utahira huo
@noorbazaar90632 ай бұрын
Uko sahihi kaka
@FrankMwakatundu-cu6bd2 ай бұрын
WEWE UNAMWA NA UDINI, POLE SANA!!! USISAHAU KUWA UDINI NI DHAMBI MBAYA.
@IjumaaIjumaa2 ай бұрын
@@erickmsigala138 acha matus eleza au towa hoja za msingi kwa matusi ya wanachedema ndo hamtachukuwa nchi mtasema mpaka mbadilike na mjazba nani atawapa kura bura tuwape udp
@IjumaaIjumaaАй бұрын
@@erickmsigala138 hata ww ulikuwa nalo ndo ukakatwa mawazo Yako na ufaham wako haulingani watu wengi hushabikia tu bilabkufatilia kwa mfano upinzani unasema tunataka katiba mpya hii tuliyo nayo tuiache halafu tutunge nyingine ni maneno mengine? Au tuboreshe katiba hapa usahihi ni upi ww unayependa bila kufutiye unafaata bendera na ndo wengi tokohivyo tujifunze kufatilia chama hikina jengo na ruzuku kinapata kinapeleke wapi?
@PhilipoMwita-b2x2 ай бұрын
Hakuna mwanasiasa kama tundu lissu kwa kuteka hisia za watazamaji na wasikilizajis Pia zitto yupo vzr
@omariKalyango2 ай бұрын
Sikweli labda matusi hayo anajua
@noorbazaar90632 ай бұрын
@@omariKalyango na ushoga!
@landomalekano65702 ай бұрын
Kabwe
@PhilipoMwita-b2x2 ай бұрын
Napenda vyama vyote vya upinzan
@FrankMwakatundu-cu6bd2 ай бұрын
Uko vizuri lakini sasa mkombozi aliyejipambambanua no CHADEMA PEKEE!!!