AFISA UTUMISHI aingia 18 ZA MAKONDA, APEWA KIBANO KIZITO "NIKISEMA UNALINDA WEZI NITAKUWA NAKOSEA?"

  Рет қаралды 234,325

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 470
@prosperSalumuLungwecha
@prosperSalumuLungwecha 8 ай бұрын
Sipendi kusikiliza viongozi lakin kwa makonda ananifanya niunge bando Kila siku 👏👏👏👏👏👏👏
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Kwasiku unatumia bando rashingapi jiri ya makonda
@Hmsungu-xn1xf
@Hmsungu-xn1xf 8 ай бұрын
Unajua sana makonda Yuko vizur kwenye uwongozi wake
@volcaremigius6881
@volcaremigius6881 8 ай бұрын
🎉Kumbe tupo wengi jamaa katushika
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 8 ай бұрын
Sana wangu, kwa kweli tunawahitaji viongozi kama huyu, si kijana bado, anatembea kukagua hata kwenye matope, wazee wakichaguliwa mapresha na sukari, nahamia Arusha nione mtu anidai rushwa 😂😂
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 7 ай бұрын
Kabisa😂
@NelengwaKalimani
@NelengwaKalimani 6 ай бұрын
Mh. Makonda hakika ni kiongoz bora sana, Mungu azidi kukupgania sana Baba
@PiusNjelekela
@PiusNjelekela 8 ай бұрын
wanaarusha mwombeeni sana makonda haki huwa unapigwa vita mno makonda wanamtafuta wengi ila Mungu atamlinda Piga kazi taifa litainika nakuhakikishia mama samia arusha itang'ara hutaamini umefanya vema mno kumpa kazi makonda asante sana mama
@angelmashauri6961
@angelmashauri6961 8 ай бұрын
Hongera mh. Makonda kwa kazi nzuri…Mwenyez Mungu akulinde daima…🙏🏻
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 8 ай бұрын
Kwakweli mh makonda mungu arujalie tusije kupoteza kama mzee magufuli nitakupenda hadi nakufa , love u much
@RamadanPaul
@RamadanPaul 8 ай бұрын
❤❤❤❤ sana tu
@David-if6nk
@David-if6nk 8 ай бұрын
😢
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 8 ай бұрын
Atauliwa naye
@IgurusiAmcos
@IgurusiAmcos 7 ай бұрын
Meana sports
@MollelAman
@MollelAman 7 ай бұрын
Mzee uko vzur sana unanikosha san mungu akulinde mungu akusaidie uje uwe rais
@RaphaelMmbaga
@RaphaelMmbaga 8 ай бұрын
Hongera sana mh Makonda kwa kazi unayoifanya yan unafanya kaz kama mwamba. Magufuli
@HaulSidney
@HaulSidney 8 ай бұрын
Makonda mungu akulinde,,ur strong leader,be blessed 🙏🙏
@Zaburi-
@Zaburi- 8 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@AsteriaMwati
@AsteriaMwati 6 ай бұрын
poor grammar
@BonifaceAloyce
@BonifaceAloyce 5 ай бұрын
Tunatamani kuwa na wakuu wa mikoa kama makonda, ya wezekana wengine hawajui majukumu yao, mungu akulinde makonda
@godwinmasoud7180
@godwinmasoud7180 8 ай бұрын
Makonda tunakuombea sana unafanya kazi kubwa sana kwenye hili taifa. Unafaa kuwa Waziri Mkuu ajae
@costanciamkinga5040
@costanciamkinga5040 8 ай бұрын
Tatizo hili lipo ktk Halmashauri karibu zote Tz Wakuu wa mikoa wengine fanyeni angalau muige mfano huu . Big up Mwanawane👏👏
@EmilianoKechegwa
@EmilianoKechegwa 27 күн бұрын
Makonda ni jembbe❤
@MonicaSamwel-dy2pv
@MonicaSamwel-dy2pv 4 ай бұрын
Hongera Mh. Makonda. Mzalendo kweli.! Tanzania huru,ila haki inaminywa mno tunaumia mpaka tunastaafu kazi!Mungu AKULINDE,uwasaidie japo watakaokuwa chini ya uongozi wako!Fanya kwa bidii zaidi!
@MoteswaLekwasa
@MoteswaLekwasa 8 ай бұрын
Makonda nimesimama kawaida ila moyoni mwangu mikono juu kwa utendaji wako. Wewe nijembe . Viongoziwengine igeni mfano na si kumuonea kijicho huyu mkuu ktk utendaji wake. Shukrani kwa Mama Samia kwa kumleta MAKONDA ARUSHA
@SiriNkya-z9m
@SiriNkya-z9m 8 ай бұрын
Wakuu wa mikoa wengine nchini wako wapiiiii waone kazikazi wananchi wanaonewa sana Rais Samia toa neno mama waliolala maofisini waamke
@johnbernad3990
@johnbernad3990 8 ай бұрын
Mh. Makonda Mungu akulinde sana tunakuombea sana uje kuwa kiongozi wa Taifa letu.
@dismassmaranga8903
@dismassmaranga8903 5 ай бұрын
Absolutely sober questions take care of your people Mr Makonda watching from 🇰🇪🙋😭
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 8 ай бұрын
Mh Makonda jeshi la mtu mmoja nguvu kazi piga spana 🔧🔧
@estellemwai5402
@estellemwai5402 8 ай бұрын
💯✔️
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 8 ай бұрын
Dah mungu akuepushie na Kila baraha Nakupenda sana Baba mungu akupe maisha marefu yenye baraka tere Afya njema na Amani 🎁🌹🎁🌹 pokea zawadi yako na maua yako
@RahabuSimba
@RahabuSimba 8 ай бұрын
Mungu atuhurumie Baba piga kazi
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 8 ай бұрын
Mama Samia, watumishi wako wanakula sana hela.Naomba utoe mwongozo wabadhirifu washughulikie.
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 8 ай бұрын
Kwani Hawa wakuu wa mikoa wengine ni watu wa nchi gani mbona wamekuwa hivyo kiasi hiki Yani makonda ndio anatakiwa kuwa mkuu wa mkoa Kila sehemu kwa nyakati tofauti tofauti Hawa viongozi wengine wa mikoa ni bovyo
@obedpeter6874
@obedpeter6874 8 ай бұрын
Afande anajua kuhoji ila kuhojiwa na makonda kabaki aaa mh aaa afande OCD kawa mdogo kama pirton,usiombe kukutana na maswali ya ana kwa ana na mh makonda utaimba haleluya
@MussaAbdala-v1j
@MussaAbdala-v1j 10 күн бұрын
Mungu akulinde naakupe afya njema Fanya kazi Yako unavyoweza wakuu wengine waige hilo
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo 8 ай бұрын
Makonda mungu akulinde utarudisha faraja ya Tanzania
@ThomasErro
@ThomasErro 8 ай бұрын
mimi napenda kumpa makonda zawadi yake kwa kazi nzuri anaofanya je nitampaje
@taurehassan7399
@taurehassan7399 8 ай бұрын
Nipe Mimi km ni pesa ntamfikishia ni rafiki yangu wa karibu Sana zitafika😂😂😂
@racheljephter5486
@racheljephter5486 8 ай бұрын
😂😂😂
@hairuismail6456
@hairuismail6456 8 ай бұрын
Hahaha 😅😅​@@taurehassan7399
@KhadijaAbdala-jt9xm
@KhadijaAbdala-jt9xm 7 ай бұрын
Ahahahaha​@@taurehassan7399
@Jeneffershishi-ik4jo
@Jeneffershishi-ik4jo 8 ай бұрын
Congratulation muheshimiwa
@monicamhina4608
@monicamhina4608 6 ай бұрын
Safi sana mheshimiwa Mungu atakulipa kwa kuwatetea wanyonge
@JohnsonCharo-z3q
@JohnsonCharo-z3q 8 ай бұрын
Ndugu Paul Makonda una kazi kubwa ya kufanya wanyoroshe wote waliolala. Natazama na kusikiliza nikwa Saudi Arabia RIYADH CITY ila natoka Kenya. Nataka Africa Mashariki iwe na viongozi wakuona na kutetea wananchi kama Muheshimiwa Paul Makonda Mkuu wa Mkoa Wa Arusha. Hachezi na kazi yake kabisa. Wewe ni Raisi wa miaka michache ijayo.nTanzania Juu. Nakuombea MUNGU akupe maisha marefu. Maana watumishi wengi na wataalamu hatakupenda kwa kazi unayoifanya na wakurugenzi na watemdaji bali endelea kuifanya kazi ya wananchi. MUNGU Akubariki sana. Mama Dr. Samia Suluhu Hassan. Hapo uko na Jembe la ajabu sio mchezo. Paul Makonda juu zaidi. Muache qinyoroshe Arusha kisha umpelekee kwengine nako akawayie adabu wataalamu wengine.
@democritenzoisaba9117
@democritenzoisaba9117 8 ай бұрын
God bless Mr Makonda ,good job
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 8 ай бұрын
Huyu Dada ni mdogo sana mpeni kazi nyingine ataonewa tu hapo masikini Huu mkoa unatakiwa watu maalum Wa kufanya kazi hapa undugu mwingii ukabila mwingii
@FarajiMvulah
@FarajiMvulah 8 ай бұрын
Hamna ataharibu kwingine
@kwisa4899
@kwisa4899 8 ай бұрын
we bwana tuaangalia uwezo sio umri
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 8 ай бұрын
Kabisa
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 8 ай бұрын
Mkoa unahitaji watu wa system
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 8 ай бұрын
@@kwzjkwz3532 Yes clearly under standing big up Sana
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 8 ай бұрын
Nchi hii tunahitaji viongozi like you Rc Makonda ,
@bakarininga4100
@bakarininga4100 8 ай бұрын
Arusha DC sio pouwa wanapiga hela sio kawaida
@SuleimanKhamisi-j6i
@SuleimanKhamisi-j6i 8 ай бұрын
Muheshiwa Makonda mungu akubarik sana unaongea ukweri
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 8 ай бұрын
Tunataka kiongozi wa aina Gani? Tunataka Nini watanzania,, Hongera SANA MWAMBA makonda unajua kaka. Na kuna siku watajua unajua
@Gwanchele
@Gwanchele 8 ай бұрын
Asante Mungu
@AbdallahSuede
@AbdallahSuede 7 ай бұрын
Kanda ya ziwa ajawai toka fala makonda urais unakuhusu mungu akutangulie
@ommyntigiry9332
@ommyntigiry9332 8 ай бұрын
🎉hii nchi si mumpe jmn uyu au Kasim majaliwa mmoja Kati yao apewe nchi
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Wakinani wamupe nchi
@Dipeson700
@Dipeson700 6 ай бұрын
Raisi​@@khadjamhozya
@KalenjeMasoud-vg3om
@KalenjeMasoud-vg3om 2 ай бұрын
Anawafanya wakuu wa mikoa mingine waonekane hawafanyi kazi
@abiudmichael
@abiudmichael 8 ай бұрын
Makonda ni kiongozi thabiti sana. Nakukubali sana mkuu natamani nifanye kazi karibu na wewe🎉🎉🎉🎉
@mariababu6520
@mariababu6520 Ай бұрын
Mungu amupe Manisha marefu kwa kwel ananifurahi Sana makonda
@Chamalaodancers
@Chamalaodancers 6 ай бұрын
Makonda mungu akuweke unatufaa kuwa raisi wetu🙏🙏
@kalindimazjkkabuje2562
@kalindimazjkkabuje2562 8 ай бұрын
Mungu akusaidie makonda nataman upite mikoa yotee
@abdulibrahim8477
@abdulibrahim8477 7 ай бұрын
muheshimiwa makonda siku akigombea urais kama Mwenyezi Mungu atatuweka kura yangu ni yake
@iddirashidi4753
@iddirashidi4753 8 ай бұрын
Mungu akulinde Mh Makonda
@GracePhilimon
@GracePhilimon 8 ай бұрын
Mungu azidi kukupa ufunuo wa kusaidia watu na nchi yako
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 8 ай бұрын
Hlf wanasema makonda mtu mbaya kama alikua na mapungufu zamani now yuko sawa anakimbiza tena anamsaidia mama na waziri wa ardhi doctor silaaa hivi ni vichwa hakuna kuogopa mtu wanafanya watu wanakua na maisha magumu sana ilihali kiongozi inatakiwa asimamie haki za wananchi
@PeterJohn-sg4oe
@PeterJohn-sg4oe 8 ай бұрын
Hatua zilishachuliwa na Polisi kuna haja gani ya kupiga kelele hapo kwa wananchi, hizo ni siasa tu
@Abillsn
@Abillsn 8 ай бұрын
​@@PeterJohn-sg4oevichwa maji kama ninyi ndio sababu ya wajinga na wezi kuendelea kuwepo
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 8 ай бұрын
​@@PeterJohn-sg4oezero brain, unasuport ujinga au nawe ni mhusika?
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 8 ай бұрын
​@@PeterJohn-sg4oeWee itakuwa ndo familia ya alietoroka na hayo ma million🤔🤔
@MariamMlowe
@MariamMlowe 7 ай бұрын
Mungu baba akupe maisha marefu makonda ili uendelee kusaidia wanyonge
@abdilillahramadhan9637
@abdilillahramadhan9637 8 ай бұрын
Mh uko vizuri tunaimani nawewe mama chagua wakuu wamikoa kama mh makonda kazi yuko vizuri kiburi kwenye office zauma
@RamadanPaul
@RamadanPaul 8 ай бұрын
Huyu jamaa awe raisi basi❤❤❤
@Kidd11168
@Kidd11168 8 ай бұрын
Anafikiri, huyo Haji tambui nini anacho kifanya,lakini kuna papa litasimama kwenye majukwa kusema ana dharirishwa. Washindwe na WA muogope Mungu.
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 8 ай бұрын
Makonda majaliwa jerry silaa raisi waziri mkuu na sipika wa bunge
@malikkb6444
@malikkb6444 8 ай бұрын
Hivi nchi nzima ni shilingi ngapi inapotea kwa uzembe wa viongozi wasio wajibika?
@Thekidsknowledger
@Thekidsknowledger 8 ай бұрын
Namkumbuka Magufuli kupitia utendaji wako Mh Paul Makonda.
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 8 ай бұрын
Makonda anafaa kuungwa mkono kwa kazi kubwa anayoifanya,
@msafiriomary893
@msafiriomary893 8 ай бұрын
Saizi hata Panadol hospital hakuna wezi kibao
@Jamila-qf2dp
@Jamila-qf2dp Ай бұрын
Yani tamani sana makonda angekuawa mkuu wa mkoa wa kwetu singida jamani makonda mungu atakusimamia💝
@BernardMwaitalako
@BernardMwaitalako 8 ай бұрын
Nimegundua watu wa Kanda ya ziwa vichwa sana
@SaidoBiaba
@SaidoBiaba 7 ай бұрын
Mungu akubariki makonda na weendeleye nayii Hali natamani ata Congo tungepata kiongozi kama ww
@AboubakarRashid
@AboubakarRashid 8 ай бұрын
Mie nlkuwa nashabkia upizana ila makonda akigombea anakura yangu
@MadukaOmary
@MadukaOmary 7 күн бұрын
Mh.Magu mdogo Makonda.minya minyaaa mpk yapasuke.Makonda🏋️👏
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 8 ай бұрын
Hongera kwa spana Mh. Makonda.Naomba Mh. Rais akuongezee cheo kikubwa. Usimamie kupiga rushwa nchi nzima.Pengine utarudisha heshima ya Serikali na Chama.
@ElizabethMarwa-m5w
@ElizabethMarwa-m5w 6 ай бұрын
Endelea kutetea wanyonge Makonda Mungu akulinde siku za maisha yako
@dunstanchacha2128
@dunstanchacha2128 8 ай бұрын
I wish all other government officials wangetenda kazi kama Makonda.... We pray for you mheshimiwa
@lucascosmas908
@lucascosmas908 8 ай бұрын
Dah aisee yaani mkuu safi sana na mm najua viongozi wenzio takribani wote sasa wana kuangalia unavyo unguruma na ninacho shangaa awataki kuku iga mkuu hakika ww ni m'bunifu apa kazi tu ongera kiongozi makini apa spana mwanzo mwisho
@MariamMlowe
@MariamMlowe 7 ай бұрын
Makonda umenifany nipende kkusikiliza kila siku ❤❤❤
@fatimajuma3330
@fatimajuma3330 23 күн бұрын
Huyu Makonda ana nyendo zote za magu haki nampenda mno namuomba maisha marefu
@MukameMachel
@MukameMachel 8 ай бұрын
Mkuu wa mkoa Arusha, wewe ndie ulikuwa unastaili kuwa kiongozi wetu Tanzania
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 8 ай бұрын
Mmi mwenyewe sipendi kusikiliza viongozi mara nyingi kupitia mheshimiwa Makonda nimekipenda chama Cha CCM na nikaamua chukua kadi kabisa kumbe chama sio tatizo,tatizo ni viongozi.
@JumaRobilichi
@JumaRobilichi 8 ай бұрын
Mzee mungu akupe maisha malefu
@jahululamasunga
@jahululamasunga 8 ай бұрын
You are doing brother big up
@yusuphwaziri1189
@yusuphwaziri1189 7 ай бұрын
Daaaah!huwa Namuomba mungu makonda uje kuiyongoza hii nchi afu pia huwa Namuomba mungu uje kuwa kiongozi ktk mkoa wetu wa shinyanga.
@MasawilaGoa
@MasawilaGoa 8 ай бұрын
Ww jamaa mungu akupe maisha maref sana akulinde damu ys baba ww magu
@SporaMrutu
@SporaMrutu 8 ай бұрын
Wacha tu Makonda hongera ukiwa mwaminifu hutakiwi utauawa watu wote wanakuchukia tunakuombea udumu kazi Yako ni nzuri untetetea haki
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 8 ай бұрын
Ni mtu akikutwa mwizi aache kazi na arudishe ela wajue mtaan palivo pagumu
@BienvenueBisimwa-rn9rn
@BienvenueBisimwa-rn9rn 6 ай бұрын
Mungu akulinde Makonda,kongo tunakupenda
@Fabian_fidel_Official
@Fabian_fidel_Official 8 ай бұрын
Mrith wa baba maguful ❤❤❤❤
@PauloKasimu
@PauloKasimu 8 ай бұрын
Mkuu mungu akubariki Sana kwakutea wananch
@JumaMohamedi-gi6sd
@JumaMohamedi-gi6sd 3 ай бұрын
Makonda mungu akulinde endelea kukaza ivo ivo,,
@LucyPaul-t4h
@LucyPaul-t4h 8 ай бұрын
Mheshimiwa makonda big up sana kaza spanaaaaaaaaah!
@AndalileMwalubalile
@AndalileMwalubalile 8 ай бұрын
Kwel ni aibu sana mama kuwa mkali ktk pesa zako mamamama watoto wa masikini hawana kazi
@emanuelawe-ur5hf
@emanuelawe-ur5hf 8 ай бұрын
Mungu akubariki
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 8 ай бұрын
Hawa polisi wanaweza kuwafuatilia raia wakikosea lakin watumishi wanawaacha
@francismadirisha3511
@francismadirisha3511 8 ай бұрын
Habari ndio hiyo asante mama kwa makonda mitano tena
@AbdulrahmaniRomani
@AbdulrahmaniRomani 6 ай бұрын
Hongera sana mhakonda
@NelsonTibesigwa
@NelsonTibesigwa 7 ай бұрын
Hongera Makonda unajua kuwabana hawa wezi
@iddirashidi4753
@iddirashidi4753 8 ай бұрын
Naomba Mh Rais amrudishe Dar
@BEATUSKOMBA-i9o
@BEATUSKOMBA-i9o 3 ай бұрын
Uko vizuri bwana atakulinda daima hiyo ndo KAZI ya mkuu wa Mkoa 10:58
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 6 ай бұрын
Makonda nakushukuru pale ulipotangaza wababa wahudumie watoto wap ukiwa mkuu wa mkoa wa Dar mwnangu alikua darasa la pili Sasa hiv yupo form three anafanya vizur naomba Mungu nae aje awe mtu mkubwa kama wewe
@jacksonmwalimu5181
@jacksonmwalimu5181 8 ай бұрын
Kila mahali anapoenda Makonda watumishi wanaosimama ni kina mama ivi ile 50%/50% mbona kama imefika 90%🤔
@halimamasai2234
@halimamasai2234 8 ай бұрын
Sasa hivi 💯 😂😂😂
@halimamasai2234
@halimamasai2234 8 ай бұрын
Wanaume mpooooo
@IsraelNada
@IsraelNada 8 ай бұрын
Mh
@lumulyimage4826
@lumulyimage4826 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@richardnganya2311
@richardnganya2311 8 ай бұрын
Hiyo staili ni kutimia Kwa alichokiona Socrates!! Tunajikwamisha wenyewe. Muhimu ni uwezo wa mtu Kwa nafasi aliyopo.
@elishakimariyo4983
@elishakimariyo4983 8 ай бұрын
Asee huyu jamaa nibalaa
@justinmasangula2142
@justinmasangula2142 7 ай бұрын
Jaman mungu ni mwem yan makonda hana tofauti na magufuli asante mungu kutupatia chombo bora
@justinmasangula2142
@justinmasangula2142 7 ай бұрын
Bab tunaomba uje kuwa hais watu matumbo moto wew ni hatari ya majambazi
@HajiMsangi-g7k
@HajiMsangi-g7k 6 ай бұрын
Safi sana akitoka mama wewe n haki kuwa raic
@fatimajuma3330
@fatimajuma3330 23 күн бұрын
Huyu ntt Makonda nikisema ashrki urais ninakosea? ❤❤❤
@SalamaHadji
@SalamaHadji Ай бұрын
Safi sana kamanda nyoosha hao
@NethrinePaul
@NethrinePaul 8 ай бұрын
Kuanzia Leo nakuombea Mungu akulinde nenda na kijinini kwetu olturumet Arusha
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 8 ай бұрын
IBRAHIM LA CAPTAIN TRAULE
@basumegheMbotwa
@basumegheMbotwa 8 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde maana
@JafasonNgoshoi
@JafasonNgoshoi 8 ай бұрын
Kamanda Makonda uko vizuri kwani unawasikiliza wananchi MUNGU aendelee kukupa uzima
@msafiriomary893
@msafiriomary893 8 ай бұрын
HAo wanabebana ukichunguza hapo hzo pesa wote hao wanahuska wote wezi hao
@FridaUrassa-pj7yt
@FridaUrassa-pj7yt 8 ай бұрын
Moto wa mh Makonda umewaibua wakatngeneza uchunguzi!!!!
@richardkatuli2269
@richardkatuli2269 6 ай бұрын
Baba mungu akubaliki ipo siku
@augustinomlewa9662
@augustinomlewa9662 8 ай бұрын
2namshukuru sana mama anaupiga mwingi
@FLORAMDENYA
@FLORAMDENYA 2 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН