Zitto Kabwe Arudi Kigoma, Aongea Mazito: "Nimejiandaa Kuwa Rais wa Tanzania"

  Рет қаралды 9,514

The Chanzo

The Chanzo

2 ай бұрын

ACT WAZALENDO Wanadhimisha miaka 10 toka kuanzishwa chama hicho na kupewa usajili rasmi mnamo Mei 05,2014. Mkutano huu wa hadhara unafanyika katika viwanja vya Mwami Ruyagwa Kigoma.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 57
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k 2 ай бұрын
King of kigoma
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
Not only kigoma, whole Tanzania 🇹🇿
@amanijampion3045
@amanijampion3045 2 ай бұрын
Hongereni ACT
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
@buchumiefremu5830
@buchumiefremu5830 2 ай бұрын
Hongera kaka zinto
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
❤❤
@AkidaRashid
@AkidaRashid 27 күн бұрын
Nikweli
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 ай бұрын
Together front act wazalendo ❤
@FrankMahero
@FrankMahero 2 ай бұрын
Kweli mwamba
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 2 ай бұрын
Zito ni msaliti kote kote kasaliti chadema na amesaliti CUF yaani huyu ni fala kweli
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 ай бұрын
Aliwahi kuwa cuf pia?
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 2 ай бұрын
Alukugonga akakunyima pesa zako
@ramadhaniathumani1025
@ramadhaniathumani1025 2 ай бұрын
Labda kama mlengo wa Dola ni kwako upewe pale mambo yakiwa magumu kwetu CCM!lakini hivi hivi ngumu sana!
@theophilmakumbuli
@theophilmakumbuli 2 ай бұрын
Ulipo Toka chadema pengo rako tunaliona
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 2 ай бұрын
Kuna watu wanaamua kukurupuka ili mradi kuwafurahisha watu.
@mmassfashion963
@mmassfashion963 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@renatusmutabuzi7233
@renatusmutabuzi7233 2 ай бұрын
Huyo akigombea anatumia pesa ya sisiem ni mzee wa Fulsa labda agombee urais wa kigoma
@helencyprian8745
@helencyprian8745 2 ай бұрын
Yuda
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
Mbowe mtafuna milungi na mvuta bangi ,pia kin'gan'ga wa cheo cha umwenyekiti kwenye chama cha kikanda cha chadema ndo Yuda
@amoslameck2601
@amoslameck2601 2 ай бұрын
Mkutano huu umehudhuriwa na wanawake
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
Ukiona mkutano wanaume wanaonekana mbele ujue huo ni batili, huu mkutano umekuwa verified bcz wanawake wamakaa mbela woote , Our next president of tz🇹🇿
@RamadhanHamis-pz7gq
@RamadhanHamis-pz7gq 2 ай бұрын
Mwamba huyo
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 2 ай бұрын
Huwezi kuchaguliwa kuwa Rais hata wewe unajua Zitto
@walterngowi5835
@walterngowi5835 Ай бұрын
Mpumbavu huyu Yuda🙂🙂
@kajanksimon7432
@kajanksimon7432 2 ай бұрын
kura yangu unayo baba
@petermugurubi7837
@petermugurubi7837 2 ай бұрын
Iskariote
@amoslameck2601
@amoslameck2601 2 ай бұрын
Nilihisi na imetokea kuwa hiyo alama yenye kiganja cha mkono hakiwezi kutolewa kwa sababa waliingia nacho kwa trik ya kuwa kinawakilisha nguzo tano za uisilam na akawa ndio kampen yao. ndio maana hawawezi kuitoa. kadi ya mwanza kabisa ilikuwa na alama ya nyota na mwezi kelele zikawa nyingi ndio wakaleta kiganja kwa kumanisha lengo lilelile.
@HamzaRashid-iq1yf
@HamzaRashid-iq1yf 2 ай бұрын
Acha hisia tofauti wewe kila mtu ananembo yke
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 2 ай бұрын
Hizo zote ni kura za CCM... Katika uchaguzi mkuu ujao...
@afredyohana356
@afredyohana356 2 ай бұрын
Huyu jamaa siasa zake ni kigoma tu
@jumanneenos2481
@jumanneenos2481 2 ай бұрын
Ana ukabila sana😂😂😂
@BinRashid-px4ub
@BinRashid-px4ub 2 ай бұрын
XD 6:25
@dennisungonella205
@dennisungonella205 2 ай бұрын
Ni haki yako kugombea, lakini urais hapana kaka
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
Next president of Tanzania 🇹🇿
@ivanrobert3071
@ivanrobert3071 2 ай бұрын
Huyu mtu hata Chadema au ccm waweke jiwe na huyu zito basi jiwe litashinda na hana wa kumlaumu kwani kajiuwa kisiasa yeye mwenyewe kwa usaliti wake
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
Siku nikichagua chadema au cuf , namuomba mungu nife apo apo😅. Kura zangu zoote zitakua zinawekwa kwa CCM NA ACT WAZALENDO. Chadema hata imsimamishe Mungu siwezi kuipigia kura ever
@MirajiMbolile
@MirajiMbolile 10 күн бұрын
​@@user-ye7dy4xk5h wewe mpuuzi mkubwa kabisa
@usafiaps318
@usafiaps318 2 ай бұрын
Huyu Ni Nani Kwenye Hii Nchi???
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
Our next president
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 2 ай бұрын
Huyu msaliti awe rais wa nchi gani!
@helencyprian8745
@helencyprian8745 2 ай бұрын
Atatuuza wote kama mwafulan
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 2 ай бұрын
Alikulamba akakunya pesa zako acha uvhaga dema aps
@ourearthmatters5206
@ourearthmatters5206 2 ай бұрын
Zitto atakuwa Raisi. Make msitake
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 2 ай бұрын
@@ourearthmatters5206 labda awe rais wa wabembe
@ourearthmatters5206
@ourearthmatters5206 2 ай бұрын
@@thelivingwordchannel9027 wewe ni mjinga sana. Ko unahisi wanembe sio watu?
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 2 ай бұрын
Acheni chuki kwani mnataka rais akoje kila mtz mwenye sifa anahaki anagombea urais mbona hamsemi chadema ilialika samia na mbowe kaalikwa ikulu kwahiyo ni msaliti?
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
Izo comment ni za watu wa kaskazini , Sasa iv yule mtafuna mlungi wao Ambe ndo m/kt wa chadema kachunda Hadi uruma aisee,
@ramadhaniathumani1025
@ramadhaniathumani1025 2 ай бұрын
Zito ACHA uongo!!
@amoslameck2601
@amoslameck2601 2 ай бұрын
Kasaliti sana
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 ай бұрын
Labda rais wa kigoma
@RamadhanHamis-pz7gq
@RamadhanHamis-pz7gq 2 ай бұрын
Mwamba huyo
@user-ye7dy4xk5h
@user-ye7dy4xk5h 2 ай бұрын
Wa Tanzania 🇹🇿
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4 МЛН
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Zitto Aaga Rasmi Bungeni | TBC
4:10
SIMU. Tv
Рет қаралды 151 М.
KUHUSU KATIBA KABUDI AFUNGUKA MBELE YA LIPUMBA KUVUNJA KATIBA NI NENO ZITO
13:46