Mbona yule afande haonekani mpaka Leo,mnaonea Sana wapinzani,kwakuwasingizia,yanamwisho.
@MtanganyikaTanganyika5 сағат бұрын
Kaka letu la nguvu boni utashinda mungu yupo nawe muda wote
@DataRahisi-ob7ft6 сағат бұрын
Kama kesi zote Tanzania zingekuwa hivi hakika tungekuwa na mfumo mzuri sana wa kisheria. Mtu amekamatwa jana na leo chap mahakamani ili mambo yaishe chap. Sio mtu anashikwa 2024 anakua mahabusu miaka 12 au kesi yake haisikilizwi kwa wakati na ikisikilizwa tarehe zinarushwa siku mpaka 40 mbele huku anaozea tu gerezani.
@johnmike60594 сағат бұрын
Sasa jiulize wale walio baka wameishia wapi kisa ni wenzao
Mi Naumia ila Sina jinsi Hakika Hii nchi Unaweza vaa bomu
@AshaMwamba-i7g4 сағат бұрын
Pole Kaka najuwa hapo hawakosi la kukubambiakiaaaa
@MandoliiMoshi2 сағат бұрын
mungu akipambanie broo wetu jacob wapinzani oyeeee na nyie mapolice hatuna imani na nyie mnzaingua
@faridiathumani31143 сағат бұрын
Wote tucomment mafwele mtekaji na muuaji kama mlivokuwa mnacomment ila harmonize
@petroyohana11265 сағат бұрын
Afande alietuma wafiraji yuko huru, viongozi endeleeni kumchokoza mungu
@salama11136 сағат бұрын
Muamini mungu utavuka salama inshaallah
@KaizaMfuse6 сағат бұрын
Watekaji tutawajua tu
@joshuaedward27532 минут бұрын
Wanamuondoa kwenye maandamano ya Tarehe 23.....huyo jamaa ni kiungo mchezeshaji....anaweza kuandamana peke yake. ....very bold ...ni Jasiri Hana Woga kabisa....
@charlesmwambinga43555 сағат бұрын
Wasi.wasi.wangu sio hiki ninachokiona miaka hii 15 iliyopita ila naogopa Aina ya viongozi tutakao kua nao 20 25 or 30 years to come watakua viongozi wa aina gani mtoto umleavyo ndivyo akuavyo..😂😂
@boxdad6 сағат бұрын
Ila ik kirais maku
@RehemaMtono5 сағат бұрын
Watekaji hamuwakamati
@SaidiIduri3 сағат бұрын
Nataman na mm ningekuwa na confidence km ya huyu jamaa licha kuwa ndan ya mahakama
@lucasathanas95544 сағат бұрын
mm naona haikuwa na haja ya kumkamata wangemkamata mafwele afu mashahidi waje wadhibitishe basiiiiij mafwele atumikie adhabu yake na hata maandamano yangekoma sasa mtu kaua hatafutwi ila mtu kaasaidia police kutafuta tu wauaji kakamatwa 😂😂😂😂
@TembaLeonce6 сағат бұрын
wakwanza mimi
@BarakaOchuu5 сағат бұрын
Kataa wahuni
@SmithJacob-f2r5 сағат бұрын
Mtu alituma watu wakamubaka na kumlawiti binti mdgo hajafanywa kitu alikuwa ana bembelezwa kwenda mahakamani baada ya sku Leo huyu ndgu yetu mhuuuu hapo upelelezi umeisha kamilika tayari kaishafikishwa mahakamin dah😅😅😅😅😅
@lifardKombolelaСағат бұрын
cc watanzania tunaendelea kushukuru kwani huu unyanyasaji unamwisho namwnzo waselikari zalimu kushindwa ndo huu katakamata na mau?????? cc turawashindia kwenye sanduku lakuka
@yusufmohamed88745 сағат бұрын
Hivi kutuma vijana wako kwenda kufira mande si jinai?
@EmmanuelChrispin-bo5xh6 сағат бұрын
Ilahawaja wa sirikali hv wanakwenda kusalikamaigizo tu maana hawana aibu kabisa anapiga michongo ya sukari yukozake mbezi anakula upope wa bahari
@faridiathumani31143 сағат бұрын
Mafwele muuaji na mtekaji
@SamiaMbada5 сағат бұрын
Hawa watu wanataka kutuletea vurugu hapa nnchini kamata wote fungia ndani kagfuga ndevu kama jambaxi sugu sukuma ndani uchu wa madaraka hii nnchi haitolewi kwa makaratas tukumieni na hiyo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MandoliiMoshi2 сағат бұрын
we n senge na utafungwa ww hu mwezi nakutabiria malaya ww
@lifardKombolelaСағат бұрын
kuma nyie ote mnaejipendekeza kwa ccm chama cha zuruma