Who is still watching this june 2024🎉🎉 SO To thid brass blessed band
@chrisantuswanjala89194 ай бұрын
😂😂 you live in future. It’s May bro
@stuntkizzy10 ай бұрын
Nani bado anaangaliia hii Leo November 2023❤❤ tz army😊
@raphaelkanoni34534 жыл бұрын
Navikubali Sana vyombo vya Ulinzi vya Taifa letu tukufu la Tanzania. I love you so much Tanzania 🙏❤👍
@hakitv47173 жыл бұрын
Hongera Sana ! Af.DK.J.P.MAGUFURI, Af.CDF. V.MABEYO, Af.SACP. R.MUNGI- TPS Commandant! Af.D.Massanja; band master! ....and all members of TPS brass band! ...najivunia Sana kuwa mmoja wa waliowahi kufanya kazi katika kikosi hiki!
@KS-iw7qv4 жыл бұрын
YAANI TANZANIA HADI RAHA mpaka Mkuu wa Majeshi CDF yupo normal kwa WANANCHI sisi tuna jeshi la WANANCHI kweli... Tuwafundishe majirani Amani na Upendo wetu Watukopie....🇹🇿✔
@sponsor78824 жыл бұрын
Huna akili
@williamsville34934 жыл бұрын
@@sponsor7882 Amewezaje kuandika hivyo kama hana akili?
@saimonmanyerezi71693 жыл бұрын
@@sponsor7882 Toa hoja yako,asiye na hoja ndiye shiidah.
@abelsabibi28094 жыл бұрын
So amazing our beloved CDF,safi sana
@peteramini61264 жыл бұрын
Najivunia kuwa mtanzania najivunia kuzaliwa Tanzania
@mustaphamjily6804 жыл бұрын
My country my people my Army Naipenda nchi yangu Upendo Aman mungu azid kuimarisha 🙏🙏
@leticiachunga91184 жыл бұрын
Mi Tanzania siondoki ,raha jamani mweee!wengine nchi nyingine kutwa kupigana sisi twacheza nashukuru kuzaliwa na kuwa Mtanzania
@benjaminbakunda48524 жыл бұрын
The best of lucky Tanzania
@Richiemagessa4 жыл бұрын
Huo mlio wa hizo zomari tarumbeta na namna huo mdundo wa huo wimbo unavo pigwa kitaaalumu inaleta molali fran ya uzalendo wa kuitumikia nchi yako naona hata CDF kakumbuka mbali sanaaa anyway maisha lazima yaendelee
@gervasally69793 жыл бұрын
Ebana kaka umezungumza kitu flani konki. Ujue kwa nini jeshi letu linatisha sana !? Na ni jeshi linasifika kwa kwenda kulinda amani!? Sababu ni hio. Ni jeshi la kizalendo ni jeshi rafiki la wananchi.
@careenkuzilwa54674 жыл бұрын
Najivunia kuwa mtanzania yani ni raha tupu ambayo haipatikani mahali popote duniani.
@anaelmtokoma37094 жыл бұрын
Hahahahahaahaaaa Brass Band wapo vizuri.
@alexandermutakha88210 ай бұрын
Mwalimu Julius Nyerere's legacy of humanity, steadiness,humility and internal joy
@malegesinyeura68974 жыл бұрын
Asante baba magufuli kwa heshima unayoipa tanzania
@damianmakala29134 жыл бұрын
Brassband huleta morale wa kijeshi Hata kwenye pared band ikikoleza aah mbona guz linaenda kwa morale ! Makamanda wiii
@damianmakala29134 жыл бұрын
@@alexkiria1901 wiiii
@damianmakala29134 жыл бұрын
@@alexkiria1901 nipo nadumisha
@damianmakala29134 жыл бұрын
@@alexkiria1901 hii nchi yetu sote hivyo ni jukumu letu wote kuilinda TANZANIA yetu
@alexkiria19014 жыл бұрын
@@damianmakala2913 pamoja sana mkuu
@zaitunimohamed66304 жыл бұрын
Awaaa kamanda
@Myright8884 жыл бұрын
That is my Tanzania 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹🌹🌹❤️❤️🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@KS-iw7qv4 жыл бұрын
Amazing CDF 👌👌👌👌👌
@lirastanley3903 жыл бұрын
Huu ni upendo wa hali ya juu sana anaouleta rais wetu na watu aliowateua kuonyesha upendo haki na usawa nq hii nchi ni ya wote...Mungu ibariki Tanzania
@samsonhaule54224 жыл бұрын
TANZANIA naipenda sana, yani Amani tupu.
@sponsor78824 жыл бұрын
Mwisho wake 28 .10.2020
@rajabshaban6894 жыл бұрын
@@sponsor7882 umeuona mwisho wake jamaa?
@faustinmathiya32923 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍🥰
@villanjimmy76254 жыл бұрын
Hii ndio TANZANIA YETU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿AMANI AMANI AMANI 💚💛💚💚 NAIPENDA SAN NCHI YANGU,,HONGERENI VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA
@Wastara0014 жыл бұрын
Alafu mtu asema hakuna uhuru Tanzania
@zuhurahussein51324 жыл бұрын
Hao wanaosemaga ivo ni mangese hao
@mangeleoporod27044 жыл бұрын
Watu waivo wata pata zamb san
@rahmaoman51224 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣💪💪
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Wana furaha na Nchi yao
@JK-uq1tv4 жыл бұрын
Hii ndio raha ya Nchi yetu Tanzania kuwa na Amani hata majeshi yetu wanafurahia Nchi yao kuwa na Amani.
@salvatorychami84914 жыл бұрын
I'm proud of my country kwa kweli
@siafuvideo25414 жыл бұрын
I love you Tanzania ❤️
@abdithabit7 ай бұрын
❤❤❤wow laza ya band
@malilolukensa85193 жыл бұрын
Baba nimeipenda hiyooo nzuri
@nrwawanndeny73944 жыл бұрын
Bora askari umempokea mkuu alikua anashindwa kuongoza
@Excel-Elevation-School4 жыл бұрын
Hahah
@derickdmaliganya44413 жыл бұрын
hi bend ipo vizur sana
@lovenessbaynit10283 жыл бұрын
NAKUPENDA SANA TANZANIA..MUNGU IBARIKI TANZANIA
@ramadhanikiseko22265 ай бұрын
❤❤❤🇹🇿 na watu wake
@ismailmajala28024 жыл бұрын
Sifa ya jeshi kuwa na kitengo 💪🏽🤣🤣🤦🏽♂️
@agnesoqwaa98483 жыл бұрын
Haswaaa
@ellycharlz66414 жыл бұрын
Hii band kwakweli inafanya vizuri sanaaa
@MarlenNtibuzimila-qc9jp Жыл бұрын
Safi sana kesho letu
@joycemashikolo90964 жыл бұрын
Mmmmh hivyo Afande ameamua kujitwisha faru john💃
@johntogoro61914 жыл бұрын
Mbahahaaa, mbowe akikusikia
@joycemashikolo90964 жыл бұрын
@@johntogoro6191 hahahaha
@rahmaoman51224 жыл бұрын
@@johntogoro6191 🤣🤣🤣🤣
@alexandermutakha88210 ай бұрын
A therapeutic music for the mind and body.
@brilliantkidemi36364 жыл бұрын
Naipenda sana Tanzania yangu na jeshi lake
@xerxespersian13844 жыл бұрын
WATU SALAMA NCHINI😍
@jonasjonas81112 жыл бұрын
Fantastic
@godfreylukuba65613 жыл бұрын
Tarumbeta la nikumbusha j k t kabsa daaaaaa
@daudihalfani46264 жыл бұрын
Tanzania yetu mungu ibariki
@majaliwaharuna40643 жыл бұрын
Nimeipenda Sana
@scienceeducationinc81618 ай бұрын
salut makamanda
@jumaigoti86384 жыл бұрын
Raha tu tanzania .tusije tukakubali mtu mmoja akatuvurugia amani tuliyonayo.hadi raha.
@bakarimpame38244 жыл бұрын
Inapendeza sana,, Naipenda Nchi Yangu
@sadaukovizurikakanyimbozak67533 жыл бұрын
HONGERA SANA MKUU WA MAJESHI VENAS MABEYO
@madamehatibu93243 жыл бұрын
Hii ni tunu ya nchi jamani nakupenda Tanzania nafurahi kuzaliwa Tanzania japo wakat huu tunamajonz
@politicalspider81752 жыл бұрын
What is the title song?
@mbarakali47263 жыл бұрын
Hiii ndio tz thanks CDF
@ashleymipawa9954 жыл бұрын
Tunawasubiri wa barabarani tuwang'oe. 😋😋Kuna watu walijificha msituni na tukawan'goa Leo hii uingie barabara aisee🤒 utakumbuka mala ya mwisho kushika sikio lako😠😠
@saidmhamed66643 жыл бұрын
Long live my AFANDE CDF
@estermathias83544 жыл бұрын
Shoga akiona ivi anataman kwel.lkn ndo ivo tena kaandikiwa laana
@salmadalaquimane23644 жыл бұрын
😄😄😄😄
@matthewjohn51084 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 akagombee Ubelgiji pengine atapata 🤣😂😂😂
@giftmush52974 жыл бұрын
Hili ni jeshi la jwtz
@KS-iw7qv4 жыл бұрын
Hili kweli ni JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA
@estermathias83544 жыл бұрын
@@matthewjohn5108 hahaaa nakwel
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Hadi raha🇹🇿🇹🇿💪💪👏👏👏👏👏
@khalidmohamed4543 жыл бұрын
interesting.....
@christianmwashala2764 жыл бұрын
Tanzania Raha sanaaaaa
@gervasally69793 жыл бұрын
Hivi jamani nani anaeza nambia huo wanapiga ni wimbo gani. Mbona wimbo unavibe flani hivi la kizalendo
@deusjohnleonard2454 жыл бұрын
Hiki ni Kitengo kizuri sana jeshini , Tujuane maserule. Hahahaha raha sana,
@alexkiria19014 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@msabahatv74574 жыл бұрын
Madoja tuna comment tu uku
@tunkuh6614 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@tunkuh6614 жыл бұрын
Ko sio
@reubenbuchege85774 жыл бұрын
Inapendeza sana leo ukiwa tayari kuipeleka Injili ya YESU ukiwa bado unanguvu , nakusihi ungana nami tujifunze neno la Mungu na natuipeleke injili ya Yesu mahali pote chat.whatsapp.com/Cio1IeWyfsHE9miJz12oZv
@leilamdoe91784 жыл бұрын
Tz sihami
@jamesakhabuhaya61944 жыл бұрын
Shida sana hehe tanzania oyeeeee
@madindamaumbi11643 жыл бұрын
Pride of tanzania
@eliarichard92184 жыл бұрын
Jesus is good Tanzania.
@moshiomarymnyeda89074 жыл бұрын
Safii sana 🙌🙌🙌
@winfredbespoke84404 жыл бұрын
Huu ndo umoja na mshikamano tunaoutaka Tz
@stephanokigosi6564 жыл бұрын
Safi saaaana..Nota ziko safi kabisa
@charlesmakuri7924 жыл бұрын
Hii ilikua nzuri sana
@barakacrispin96004 жыл бұрын
naipenda nchi yangu tanzania
@alexandermutakha88210 ай бұрын
A peaceful and harmonious country with no political kingpins 😂
@zawadinoelmbilinyi5513 жыл бұрын
Naipenda nchi yangu
@veronikadalali72513 жыл бұрын
Majeshi yetu yote yamekuwa yasiasa Aaaaaaaaah
@alfamaulid37433 жыл бұрын
Bonge la kiongozi afande Mabeyo.
@mayasaadam17204 жыл бұрын
Raha sana🇺🇸🇹🇿👏🏾
@japhetnzunda994 жыл бұрын
MTU kaenda kutibiawa mnamwita shoga duniani tunapita mdomo uliumba uombe yasije kukuta meno la mungu halipiti bile wewe uliyesema shoga roho wa mungu asipite bule
@jumanneibazu90864 жыл бұрын
Ikibidi naww uwe Shoga pamoja namamayako
@rwandaafrika61734 жыл бұрын
Tanzania Ni Inchi yenye Amani Sana
@mikemike71983 жыл бұрын
Nzuri sana
@yusufmohamed88744 жыл бұрын
Safi sana 👍 🇹🇿
@majaliwaharuna40643 жыл бұрын
Huyu anaecheza na tarumbeta utadhani sio mjeshi kea namna anavyoifurahia kazi yake
@asiaokelay84214 жыл бұрын
Ndiyo maana ya jeshi la wananchi Tanzania
@barakacrispin96004 жыл бұрын
hadi raha jamani tanzania
@philipomvanga24503 жыл бұрын
CDF 🔥🔥🔥🔥💪💪
@richardshayo68383 жыл бұрын
Taifa letu teule
@NestoryJohn-c4g12 күн бұрын
Safi sana
@francismigongwa61123 жыл бұрын
Good sala na Kazi
@MWEENEPLAN3 жыл бұрын
Tanzania soon nahamia uko what a wordful country CDF kufurahia nayo hongereni
@derickdmaliganya44413 жыл бұрын
inapendeza sana sana sana
@johnnyaonge89504 жыл бұрын
hiyo filimbi,tarumbeta,na zeze,ahaa vinatia molali,,nakumbuka,wakati mahali flan,ahaa,inatia raha sana
@alexandermutakha88210 ай бұрын
An aesthetic country 😅
@chieftz96714 жыл бұрын
HAHAA MTU MKUBWA HUYO JESHINI HONGERA BRASS BAND
@TimilaiSekadodo-nk6md7 ай бұрын
Good
@raphaelmwamakimbula96422 ай бұрын
💯
@mashkidd47304 жыл бұрын
Mkuu wa majeshi ni fund
@samelychesham33094 жыл бұрын
Noma sana
@yunasiulisajaissah89984 жыл бұрын
TANZANIA NAKUPENDA
@SamweliHozza4 ай бұрын
Nikweli tate mdodo aitamiweeee
@marymaige64664 жыл бұрын
Safii
@sadaukovizurikakanyimbozak67533 жыл бұрын
MANSHALLAH HOSNGERA SANA JESHI LA ULINZI NA USALAMA TANZANIA
@MustaphaJumaa-jy7po6 ай бұрын
who is wtchng 2040
@khamisabdul46174 жыл бұрын
SIMBA
@jeremiahzacharia76554 жыл бұрын
NAKUPENDA TANZANIA YANGU.
@michaellorry34484 жыл бұрын
Hao waliovaa nguo za paredi wanaoongozwa si ni polisi?