Msondo Ngoma Music Band - Ajali (Official Video) Subscribe to Music of Africha: bit.ly/AfrichaMusicSubs
Пікірлер: 260
@bama92712 ай бұрын
Mziki wa sasa Ni ngoma na kukata miuno tu, Wala hakuna cha kujifunza zaidi ya ngono na ulevu tu ila zamani yalikuwa Ni madini ya hatari.gonga like hapa kama tuko pamoja 2024
@jacquemubembe21335 жыл бұрын
Oh Mungu sijui kama Africa kuna wengine kama Msondo. Sikiya wimbo utapata elim. Hongereni sana, Mungu aziweke roho zenu mahala pema kwa wale ambao wametangulia amen.
@Pedeshee015 жыл бұрын
JACQUE Mu BEMBE kweli kabisa usemalo yaani acha tu
@philipolucas90265 жыл бұрын
Hizi ndio nyimbo message send hizi za sasa sijui nyegezi tupa kule!!
@jamesmgani82704 жыл бұрын
Mumetoka wakuridhi hayupo mxiki vita
@jamesmgani82704 жыл бұрын
hizi mesej sent
@happyjohn58823 жыл бұрын
Hahaaaaaa mara Amaboko sijui ndo nini Mungu wangu ila vijana wa karne hiii daah
@joyjilien54323 жыл бұрын
😂😂😂😂
@nolaskomajaliwa72024 жыл бұрын
Diamond, Alikiba na Harmonise na wengine hajifunzi chochote hapa!
@ZacMahenge2 ай бұрын
hawana muda huo,,, wao wanajua kuimba nyimbo za kitoto hizo
@athmanimkangara929014 сағат бұрын
Nyimbo za sasa unaambiwa mikono juu.....daah RIP legends 14, july 2024
@osmond36162 жыл бұрын
Came here after watching a certain clip of a Rwandese man pushing a wheelbarrow in a busy highway. The song in the background "Ajali" by Msondo Ngoma. The song has a strong message.
@lwilekevin23952 жыл бұрын
We are on the same boat.
@franciskaranja79112 жыл бұрын
hahaha ilibidi pia mimi nikuje
@bonifacekasoka40482 жыл бұрын
I’m here too
@jacksonbeatus5478 Жыл бұрын
@@bonifacekasoka4048 Q
@asharidhiwani56404 жыл бұрын
Daa namkumbuka mzee wangu libana alikua ananipeleka msondo miaka hiyo ya nyuma sasa kapatwa na malazi ya macho haoni daa masikini kweli hujafa hujaumbika
@hamismalimungu99594 жыл бұрын
Pole sana
@yoelmwalwebe93544 жыл бұрын
jamani kwa nyimbo iziiiiii life xanaaaaa 2020 tunaomba like kama mnamukubliiii mzeeeee wetu apaaaaa,,,,,, mama angu nakukumbuka xanaaaaa kwa nyimbo hiziiiii,,,,mafankioooo mema kwenu ....... by mnyaq tz yoel
@ramadhaninyambiza37074 жыл бұрын
Pamoja sana
@jumahussein94544 жыл бұрын
Nyimbo zenye ujumbe mzito kwa jamii sio jeje
@kimichamuya2624 жыл бұрын
Waliokuwa kampani yangu wengi wametangulia inaniumiza sana
@nesterndayizeye76534 жыл бұрын
@@ramadhaninyambiza3707 qqqqqqq++q+
@happyjohn58823 жыл бұрын
@@kimichamuya262 pole ndgu yangu
@belkoscongas242Ай бұрын
Ahh mungu wangu, msondo mna ujumbe kali sana hadi natoa machozi jaman
@sangomamourice35392 жыл бұрын
Kila jambo limetutenga kilichobaki kutupa faraja ni aina hii ya music asante msondo
@chinatenga57754 жыл бұрын
hii nyimbo aliitunga tx William moshi baada yakupata ajali akavunjika mguu ulimsumbua mpk kupelekea kifo chake rip moshi mbwembwe momba maina gurumo nk
@allymsimbe33813 жыл бұрын
Mh
@wangwemrongoti34 жыл бұрын
Jmn wanaume mateso haya mpk lini wap 2019 twende kazi kwa like zenu jmn💪
@Isayaclement4 жыл бұрын
Jaman msondo ngoma' MUNGU alaze roho zenu mahli pema pepon wale muliotangulia mbele za haki, kwakwel hz ndiyo nyimbo cyo wanazoimba wasanii wa kileo
@RioIpo2 жыл бұрын
Dah asanteni sana wazee wetu saivi ndio nayaona asee kuzaliwa mwanamme shida tupu Wallah tunaishi kwa uwezo wake Rahimu
@aminamwanasali10564 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani TX Moshi William,Hakika utabaki kuwa Alama kubwa ya Muziki wa Dansi Nchini Tanzania.
@leanasendeu52153 жыл бұрын
2021 lakini bado inabamba nakumbuka kipindi imetoka hii nyimbo duuuu kama unawakubali msondo ngoma gonga like
@josephnyahende59555 жыл бұрын
Huu wimbo ni kwa ajili ya wote wanakutana na changamoto za ajali. R.I.P TX Moshi
@magesamatiku79195 жыл бұрын
Kuzaliwa mwanaume kazi kweli majukumu yote ni yako hadi siku ya kuiaga dunia.Respect kwa wanaume wote
@josephmfuru24225 жыл бұрын
Ni ukweli kabisa mkuu ila tusiogope tupo na Mungu asieshindwa kitu
@emamkuyu40612 жыл бұрын
Mungu awe nanyi
@enockabumba75139 ай бұрын
Amen
@emmahkiwelu9843 жыл бұрын
R I P wote waliotangulia especially mabele alietutoka leo sept 2020
@lodidamisi12853 жыл бұрын
Wenye mziki wao hao utaishi miaka million hii NI 25jan2021💥🔥
@frankmachumu34563 жыл бұрын
Hawa jamaa walikuwa baba ya muziki Tanzania kwa kweli Mungu awarehemu waliko
@williamkirway50743 жыл бұрын
Mwanaume,malezi,uchumi,elimu,afya,na imani zakuabudi ni baba nikiongozi wa familia.
@amosyohana53513 жыл бұрын
Mziki wa zaman ni dhahabu.. RIP TX
@butalaetv22082 жыл бұрын
mliimba kwa hisia nakujitolea sna hongeren wazee wetu mpumzike kwa aman
kweli jamani, nyimbo ndo hizi, siyo wanaoimba saiv ugoro
@jumakitundu50975 жыл бұрын
zakale ziko biyee!!&
@teddynjalila59844 жыл бұрын
Old is good#2020
@gilliardgodfriend57454 жыл бұрын
Alwayssss
@jacobjoel15332 жыл бұрын
Ni noma wazee wa kazi hao
@kiwelamicky27637 ай бұрын
Its 6th Dec, 2023 still listening this amazing song😍😍
@agreykayombo27824 жыл бұрын
Ukisikia mziki unaogusa hisia hapa ndiyo penyewe. Siyo hawa wahuni wa sasa wanaropoka hovyo na muziki ukipigwa wiki moja chali. Hapo hadi mwisho wa dahari ni burudani.
@ashuramlapagali64924 жыл бұрын
MABELA AKIZIMA GITAA LAKE UHONDO KWA HERI!
@Pedeshee012 жыл бұрын
Hii nyimbo ilipotoka kulikuwa na rafiki yangu napenda kumuambia utajuta kuzaliwa mwanaume alikuwa anaipenda mwenyewe anakuambia marehemu anasema ukizaliwa mwanaume ni mateso,basi huyo rafiki na yeye alikuwa dereva wa lori akawaambia napumzika kidogo kwenye mti watu wanashusha mzigo wakamkuta kafa hapo hapo dah
@billymaluli941221 күн бұрын
Daah😢
@young_brother276 ай бұрын
Good vibes🎉🎉🎉 nimemiss sana hii ngoma
@dianacharles58523 жыл бұрын
Mateso kuhangaika....Omba Mungu Usikate Tamaa 2021 March
@halimambwana67474 жыл бұрын
Msondo nikibogo nakumbuka mbali sana
@ndoanirahaonlinetv50315 жыл бұрын
kifo kinahitaji maandalizi
@charleskinyeli50432 жыл бұрын
Daaah
@emmanuelbaraka22175 ай бұрын
2024 still listening
@jothamkibona29192 жыл бұрын
Asante mnatupa faraja ingawa mmetangulia mbele ya haki
@simonmgaya26444 жыл бұрын
Nakumbukambali hakunameseg sasahivi kunamatusi
@yohanaigalaba4894 жыл бұрын
Kwer matesoo kwa mwanaume , vya kale ni zahabuuuu
@aishaabdj89135 жыл бұрын
R,I,P,tax mosh pumzka kwa aman
@georgekinimba50914 жыл бұрын
Hapo kuna Muhidii Gulumo,Husseni Jumbe,Joseph Maina
@benardgibet14343 жыл бұрын
Sweet song Long live good music
@aminakiduku25544 жыл бұрын
Kinanda gita oyee
@edgarbakuza18385 жыл бұрын
Who is still watching June,2019
@mussamuhidini42865 жыл бұрын
Me
@theophilclaretmwinuka49614 жыл бұрын
I am watching we kama unaangalia uno au nyegeze au sijui nn tell me what you get from nyegeze or uno!!!!hizi ngoma kali sana
@user-uv1kh5eb1x4 ай бұрын
Old is gold
@noahjacob46566 жыл бұрын
Sikilizeni vituvya,asiri.
@revoparapara85685 жыл бұрын
nyimbo nzuri sn ninawapenda sn msondo
@Salim-gaming2444 жыл бұрын
31 December 2019 naskiliza hii nyimbo nakumbukambali sana 😭
@user-bk2uq1my8v8 ай бұрын
Asante I msondo ngoma waume
@majangamajanga20493 жыл бұрын
Bado kalii 2021gonga like hapa
@salimhassan99805 жыл бұрын
Safii
@user-fm6ft8qm9wАй бұрын
Wanaume 😢😢
@idrisamngagi2843 жыл бұрын
Hii ngoma inanifariji sana .2021 RIP legends
@FerdinandMwenda-pt9ef Жыл бұрын
Ndiowimbo
@jamesjoseph6992 жыл бұрын
Sio poa nikisikiliza mpaka nasinzia
@simonmgaya26444 жыл бұрын
Da namkumbukatx mosh na mzeegurumo munguaziweke rohapemapeponi aamin