Katika moja ya matukio yasiyotarajiwa, Rais John Magufuli amempandisha cheo Kanali Charles Nguge na kuwa Brigedia Jenerali baada ya kuridhishwa na utekelezaji wake wa majukumu ya kazi za ujenzi aliyompatia. Tazama ilivyokuwa
Пікірлер: 182
@hesbonmusili98552 жыл бұрын
Bibilia inasema utatolewa kwenye mavumbi na kwenda kula na matajiri...hongera sana
@njerithiongo79012 жыл бұрын
As a Kenyan,I really proud of you Rais ; ulikua mwafrika halisi. Rip Sir
@abdultaddy27292 жыл бұрын
Thanks for such kinda thoughts i love you bro
@lucassabida54714 жыл бұрын
Huwa nampenda sanaa rais wetu, ana apreciate effortnza watu. Big up JPM for your appreciation to others effort. Mungu akubariki sanaaa
@salumramadhani55663 жыл бұрын
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi, kila jambo na wakati wake..
@hussmuya52465 жыл бұрын
Hongera sana anko tunafurahi sana .Na hii ni kwa bidii na uaminifu wako tunakujua toka tulipokua wote kinondoni Jack bar hongera sana tunazidi kukuombea kwa Mungu uwe na afya njema wewe pamoja na familia yako .ameen
@user-nd7ky2yt8g4 ай бұрын
Mzee ulikuw vzur sana
@ayubuakim7835 жыл бұрын
hakuna haja ya kwa waganga we chapa kazi tu mungu atakuona maana mungu hamtupi mja wake,
@almendhiryable4 жыл бұрын
Safi sana Muheshimiwa Rais..... Mimi ACT Ila kwa jinsi upendo na uzalendo wa Rais nimempa asilimia 💯 na kura yangu nitaiweka kwako .
@medardkajuna11595 жыл бұрын
Dah..natamani ningekuwa mimi.hakika najisikia faraja sana nnapoona jeshi kama hivi😥.hongera sana lieutenant colonel kwa kazi nzuri hadi kuwa brigadier.
@luganoshaban39485 жыл бұрын
Commandant wangu wa ruvu...he deserves it!
@venancemwamfise75105 жыл бұрын
Nakukumbuka sana CO wangu Wa pale 832 KJ. Papaa Mbughe
@charlesotwalo93354 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda siku zote Rais wetu jpm hakika kabisa una hofu ya Mungu DAIMA Aksante sana
@husseinkonz51922 жыл бұрын
Maguful R.I.P lakin bado kwenye mioyo yetu wazalendo tunakukumbuka daima
@hamoudsalum90645 жыл бұрын
Safi sanaa rais wetu Hakuna kuchelewesha mda mtu akifanya vizur unampandisha cheo hapo hapo Nakukubali rais wnguu #magufuli
@rahaburichadi80122 жыл бұрын
Xxzakibogo
@patrickchibuga29115 жыл бұрын
Huyu Afande ni kiongoz mzur sana namkumbuka sana KJ 832 RUVU 2015
@aluinaalex95045 жыл бұрын
hongera sana siku zote Mungu huwa hamtupi mja wake pia bila kusahau vijana wa kujitolea op kikwete na op magufuli mlioshiri Mungu yupo pamonya nanyi
@million.onlinetv6595 жыл бұрын
Yeah ndo huyooo jombaaa..dah..malipo ni hapa hapaa duniani..hilo lilikuwa jembe la RUVU JKT..832..
@costakosa.simbakwaninihivy42354 жыл бұрын
hongera
@esromkanubho47385 жыл бұрын
Jamaa ata Ruvu JKT alitulaza macho Hatariii
@yakoboigoko66454 жыл бұрын
Kwel tunae lais nampenda sana lais wetu waawamu ya 5 Mungu amlinde sana
@yasinkulendea18604 жыл бұрын
Hongera mzee wangu mungu akubariki katika utendaji wako wa kazi appreciate magufuli appreciate Charles mbuge
@elizabethmziray38685 жыл бұрын
Kama mkono Wa MUNGU Uko juu Yako Lazima tutoboze life Daah l like to solder from my bottom of my heart
@victorungani28105 жыл бұрын
Operation Magufuli 832KJ ruvu...2016
@onesmomkanga76645 жыл бұрын
Victor Ungani aaah nmekubal mzee victor hyu jamaaa atarii...anastahili hana mchezo!!
@salumnkamia7065 жыл бұрын
Fire 2016
@kekemagori47325 жыл бұрын
Hapo ujakosea kabisa jpm hats cc tuliopitia kwKe tunamjua mbuge
Hatari sana op miaka 50 ya jkt ndo tulikuwa wa kwanza kuapa kwake
@emmanuelonjiro35652 жыл бұрын
Mungu akutangulie sana mjomba jpm
@focustryphone54355 жыл бұрын
daaaa Jembe la 832Kj Kanal Mbuge daaaa namkubal sana Hongeraa
@maximenella89573 жыл бұрын
RIP😭😭😭😭 Dr président MAGUFULI
@unitytzdar95535 жыл бұрын
MTU MWENYE AKILI AKIKAA MAHALI, LAZIMA KUWE NA MABADILIKO. JPM ANAONGOZA NCHI KWA KUTUMIA AKILI, NA HIYO ILITAKIWA SANA
@lukandotv81012 жыл бұрын
Msikilize vzr alafu sema akili iko wap km siyo upendeleo!
@augustinewilliam7092 жыл бұрын
Rest in piece father we always loves u
@goldgod99635 жыл бұрын
Nan anamkubali JPM kama mimi anatumiaaa akili nyingi xanaa
@editchakoma1113 Жыл бұрын
All African nations are proud of your work Sir, RIP- Magufuli
@clausemsemwa37045 жыл бұрын
Jw toka kitimtim cha kagera limebaki kua jeshi bora....na askari wake wana nidhamu mpaka raha
@sagreymduda65693 жыл бұрын
I jus cried every time i see the speech of my Father JPM
@salumkigoya58913 жыл бұрын
U cry but am very pained coz I was loose that position 4 no reason
@jessicarasigu22202 жыл бұрын
Hakika MAGUFULI alikuwa mtetezi wa Africa wala siyo TANZANIA peke yake,nani Kama JPM tena jamani, MUNGU atuchagulie mwengine Kama MAGU 😭😭😭😭😭😭😭😭 Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania
@jisamjoseph45582 жыл бұрын
😭😭so painful
@abdultaddy27292 жыл бұрын
I love y'll
@lufitetv71205 жыл бұрын
Hakika niko happy sana,,,,kuona nchi yangu iko na amani,,,mungu ibariki tanzania,,,,mbariki Raisi wetu DR.JOHN POMBE MAGUFURI ninakutakia maisha marefu raisi wetu,,,ili nizidi kuyaona matunda...
@dalali_professionalwa_dodo83305 ай бұрын
"AROOO huyu kuanzia reo umvishe vyeo begani"... Tangu 9 december tisa kenda sitini na moja hakuna commandr in chief alietoa hii oda wazi wazi kwenye kipaza sauti.... CHUMA was the Best of them All....GOAT....Tutakukumbuka sanaa Ngosha...the best thing ever happend to us...
@yohanessomiyon80475 жыл бұрын
OP JPM 201.... Big up sana kamanda wanguu
@isacknzella46625 жыл бұрын
832 conk 2014
@marysabena3065 жыл бұрын
Hongera sanaa Mbuge
@emmanuelmweruka8155 жыл бұрын
832KJ 2014,, CO wangu huyo aisee hongera zake, kwa kweli anastahili, ni jembe Sana
@hamadiiddi38612 жыл бұрын
Namkubal sn mbuge kanifungia manzunzo rwamkoma 822 butiama
@famysalum27405 жыл бұрын
azam mpo vizuri picha zenu ingekuwa tbc tungeona ukungu to
@nassoromzenga8665 жыл бұрын
Nimependa salute yako
@rashidimussa51434 жыл бұрын
saluti hatar san hiyo
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli... Nchi imepata pigo kubwa...kwa kifo Cha JPM... Pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu kwa mema ya kuijenga nchi vizazi vingi vitamkumbuka.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@clausemsemwa37045 жыл бұрын
Safi watu wachapa kazi wapande vyeo..........wengine watambue hawahitaji waganga
@petercosta13173 жыл бұрын
rais magufuli mungu akuweke mahali pazuri
@richardtungaraza75092 жыл бұрын
Sio mungu ,andika na tumia MUNGU au Mungu ukianza na herufi kubwa kumpa utofauti na miungu mingine
@saidiyusufu12035 жыл бұрын
CO 832KJ RUVU nambaako ninayo takupigia kukupongeza
@oxyrio12243 жыл бұрын
Tofauti ni gaani kati ya JKt N jwtz
@moimashole9925 жыл бұрын
Sillo imebak zamu yako mkuu nawe onesha kwa mkuu kua jeshi la poris kua munaweza
@makiadiongala53455 жыл бұрын
Ni mwaka jana tu ulituaga mkuu ukaamxhwa ukaenda makao makuu ya jkt leo ukoo juuu kileleenii
@kondegangmjexh75634 жыл бұрын
this is our presedent that needed in our country
@sudymgeni7012 жыл бұрын
Magu jamani duuu mungu aiweke roho yako peponi ameni
@dalaliamanidar30043 жыл бұрын
R.I.P JPM Mbuge lazima amkumbuke JPM daima kwa aliyomfanyia
@mrchairtv17043 жыл бұрын
I like the leadership of H.E President John Pombe Magufuli
@inderjitlall49724 жыл бұрын
To all dislikers SHAME on you!!!
@michaelassam57892 жыл бұрын
Kipindi hicho, nchi inaenda bila tozo 😢
@user-nt6fb2ky3t4 ай бұрын
Tutazid kukuenz rais wetu kipenz magufur😢🙏🙏🙏
@eliyahango42782 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭JPM Nchi inaangamia huku baba kwann uliondoka kabla hujaifikisha TZ kaanani
@ramanhoibrahim33835 жыл бұрын
Mie mwendo tu utasema mwendo kasi la express kivukoni-kimara
@josephatsebastian98484 ай бұрын
We will live in our heart.... forever..❤❤ RIP our 2nd father of the nation...
@khadijaomary24275 жыл бұрын
Duuu hatari mbuge umekuwa Brig Gen!!!! waliokuwa wanakupiga vita kama alivyosema mh Rais sasa kimyaaaaaaaaaaa
@mbutomustapha70635 жыл бұрын
Khadija Omary Kwani na huko kuna majungu?
@chozachoza33185 жыл бұрын
Ruvu 832 kj , Co yupo vizuri
@richardburengengwa69983 жыл бұрын
Mzee ilikuwa inaonekana kama wew hatuwezi kuwa nawewe milele muache Mungu aitwe Mungu.
@papayatnzania10055 жыл бұрын
Nalipenda sana jeshi langu pendwa JWTZ halijawahi kusindwa JPM baba nakuomba sana wape tenda zote za ujenzi hasa hasa hii wizara ya ujenzi iwe chini ya jeshi letu pendwa JWTZ
@dairahally54712 жыл бұрын
This is real president rip jembeeee
@rayaluizcameron25943 жыл бұрын
Who watch it mar 26 2021 at the funeral of our late president😍😍😍
@manubei35744 жыл бұрын
Namjua huyu Bwana, alikuwa CO wetu JKT Ruvu 2014. Ni mtu wa kauli njema anayetoa motisha pale unapomfurahisha. Hivi vyeo nilimwona ana umahiri wa kuviteka. (nachomekea: kiasi flani nilisi hapatani na Maja Msila)
@sesopando59852 жыл бұрын
😁😁
@emmanuelmwandu.31262 ай бұрын
Good job
@hashimabdallah6734 жыл бұрын
,yaani hapa mh JPM nakufurahia.kwa maamuzi yako ya moja kwa mojq
@mahamudmhawi27315 жыл бұрын
Anastahili saaana huyu jamaaa kiukweli nilikuwa nae ruvu jkt ni mtu wa kazi saaana
@onesmomkanga76645 жыл бұрын
Mahamud Mhawi 👏👏👏👏he deserves
@makiadiongala53455 жыл бұрын
Hanaga makuu shimbwela tuu
@edwardnambo18574 жыл бұрын
Nakumbuka alitulaza usiku kujenga jukwaa la uwanja wa Mabatini
@iddikimia49512 жыл бұрын
Rest in Peace father
@osybethmbangule76525 жыл бұрын
Anastahili
@rayaluizcameron25943 жыл бұрын
R I P Mr president😭😭😭 ulionyesha upendo kwa wote tutakukumbuka daima
@zagadat11294 ай бұрын
Mungu ana sababu katika kila hatua yako
@reyjosee93905 жыл бұрын
hadi nimesisimka na huo nwendo wa haraka
@dominiclokuremusic51782 жыл бұрын
ninapo kumbuka raisi magufuli amekufa nalia sana mtu rhoo safi dunia msima
@fedrickmaganga26932 жыл бұрын
Dar, hakika
@allymahiyo24644 ай бұрын
Mwamba cheo alikiokota kabisa yani kweli kuna watu wana upepo.
@godfreymbwambo44605 жыл бұрын
AWAMU HII WATU WANAPANDISHWA VYEO WANAOSTAHILI, LAKINI JK ALIKUWA ANATOA VYEO KWA KUJUANA!!! BIDII YA MTU INAONEKANA!!
@goldgod99635 жыл бұрын
Kweli kabisaaaa naoendaaa JPM
@delekalxon72215 жыл бұрын
Brigadier kaweka unaaa sio poa hahah
@eliphaziamon87945 жыл бұрын
Jeshi la Tanzania nilakuigwa mfano ,Africa nzima,,,kwa ni dhamu na uzalenda nawapa100%
@sangjr82195 жыл бұрын
Jamani Azam tv mbona kimya. Hivi ni lini mtaanza kutuonesha /kurusha taarifa ya habari LIVE?
@wankabanestory5325 жыл бұрын
hogera sana rais wetu rais wa watu wanyonge
@teachingtruthmissionafrica99985 жыл бұрын
Raisi huyu ana mapungufu mengi tu kama mwanadamu mwingine yeyote lakini anapaswa kuungwa mkono sana na kuombewa watu wasitazame madhaifu yake waangalie na mema pia ....
@qasammawa53102 жыл бұрын
Puzka kwa aman mzee wetu
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Tutampata wapi mwingine kama huyu? Jibu "Mungu ana hazina ya kutosha" tuwe na subira.
@ChidyMbinga4 ай бұрын
Tulioangalia 2024 tukutane apaa😢😢
@dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын
2:33 tangu tupate uhuru hakuna raisi alietoa order mbele ya CDF wazi wazi kama chuma.. hiki kilikuwa chuma kweli kweli aiseeh... "AROO huyu atakuwa brigedia generali kuanzia leo"😀😀😀 magufuli the undisputed..R.I.P mzee.
@iddikimia49512 жыл бұрын
Good salute
@nduwimanaelyse19822 жыл бұрын
Inchi ilikuwa na muelekeo ilasasahivi nacokiona kwahuyu mama wapi kabisa
@hamzakibli67792 жыл бұрын
Huy ndy tunaitaj kuw S D F WET
@salymkitumbika86442 жыл бұрын
Dah hapa tulikuwa na Rais
@samwellwiza10982 жыл бұрын
Alikuwa anawatia moyo majeshi sana....
@inderjitlall49724 жыл бұрын
Respect to Sir President Sir JPM
@wazirikhamisi48284 жыл бұрын
KWELI MAGUFURI WW RAIS SITAIKI NA NIKWELI RAIS TULIE KUWA TUNAKUITAJIA UWE KAMA WW NAKUPENDA SANA MHESHIMIWA JPK
@jefrineliaselias6912 жыл бұрын
Tupate wapi tena Mtu kama huyu😭😭
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Hahahaaa,,,,,yajayo yanafurahisha!!!!
@tozzaalexandar49055 жыл бұрын
Safii magu upo vyemaaa
@joycesamweli12192 жыл бұрын
Rest in peace JPM Leo brigedia wako amekua mkuu wa Mkoa
@florianmtunzi98992 жыл бұрын
Dah
@florianmtunzi98992 жыл бұрын
Dah basi2
@augustinewilliam82813 жыл бұрын
Nani lisikia arooooooohh ya Rais wetu JPM
@nassoromzenga8665 жыл бұрын
Ongera kwa kupandishwa cheo piga kaz mbuge kazkaz
@msomimosomy98122 жыл бұрын
CDF wetu utampatawapi?amili jeshi mwenye kutambua shugulizenu kamahuyo?kwanini telejens yenu ingewai kuwaona wauwaji kabla hawajamuuwa