Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali

  Рет қаралды 784,104

Azam TV

Azam TV

5 жыл бұрын

Katika moja ya matukio yasiyotarajiwa, Rais John Magufuli amempandisha cheo Kanali Charles Nguge na kuwa Brigedia Jenerali baada ya kuridhishwa na utekelezaji wake wa majukumu ya kazi za ujenzi aliyompatia.
Tazama ilivyokuwa

Пікірлер: 182
@hesbonmusili9855
@hesbonmusili9855 2 жыл бұрын
Bibilia inasema utatolewa kwenye mavumbi na kwenda kula na matajiri...hongera sana
@njerithiongo7901
@njerithiongo7901 2 жыл бұрын
As a Kenyan,I really proud of you Rais ; ulikua mwafrika halisi. Rip Sir
@abdultaddy2729
@abdultaddy2729 2 жыл бұрын
Thanks for such kinda thoughts i love you bro
@lucassabida5471
@lucassabida5471 4 жыл бұрын
Huwa nampenda sanaa rais wetu, ana apreciate effortnza watu. Big up JPM for your appreciation to others effort. Mungu akubariki sanaaa
@salumramadhani5566
@salumramadhani5566 3 жыл бұрын
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi, kila jambo na wakati wake..
@hussmuya5246
@hussmuya5246 5 жыл бұрын
Hongera sana anko tunafurahi sana .Na hii ni kwa bidii na uaminifu wako tunakujua toka tulipokua wote kinondoni Jack bar hongera sana tunazidi kukuombea kwa Mungu uwe na afya njema wewe pamoja na familia yako .ameen
@user-nd7ky2yt8g
@user-nd7ky2yt8g 4 ай бұрын
Mzee ulikuw vzur sana
@ayubuakim783
@ayubuakim783 5 жыл бұрын
hakuna haja ya kwa waganga we chapa kazi tu mungu atakuona maana mungu hamtupi mja wake,
@almendhiryable
@almendhiryable 4 жыл бұрын
Safi sana Muheshimiwa Rais..... Mimi ACT Ila kwa jinsi upendo na uzalendo wa Rais nimempa asilimia 💯 na kura yangu nitaiweka kwako .
@medardkajuna1159
@medardkajuna1159 5 жыл бұрын
Dah..natamani ningekuwa mimi.hakika najisikia faraja sana nnapoona jeshi kama hivi😥.hongera sana lieutenant colonel kwa kazi nzuri hadi kuwa brigadier.
@luganoshaban3948
@luganoshaban3948 5 жыл бұрын
Commandant wangu wa ruvu...he deserves it!
@venancemwamfise7510
@venancemwamfise7510 5 жыл бұрын
Nakukumbuka sana CO wangu Wa pale 832 KJ. Papaa Mbughe
@charlesotwalo9335
@charlesotwalo9335 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda siku zote Rais wetu jpm hakika kabisa una hofu ya Mungu DAIMA Aksante sana
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 2 жыл бұрын
Maguful R.I.P lakin bado kwenye mioyo yetu wazalendo tunakukumbuka daima
@hamoudsalum9064
@hamoudsalum9064 5 жыл бұрын
Safi sanaa rais wetu Hakuna kuchelewesha mda mtu akifanya vizur unampandisha cheo hapo hapo Nakukubali rais wnguu #magufuli
@rahaburichadi8012
@rahaburichadi8012 2 жыл бұрын
Xxzakibogo
@patrickchibuga2911
@patrickchibuga2911 5 жыл бұрын
Huyu Afande ni kiongoz mzur sana namkumbuka sana KJ 832 RUVU 2015
@aluinaalex9504
@aluinaalex9504 5 жыл бұрын
hongera sana siku zote Mungu huwa hamtupi mja wake pia bila kusahau vijana wa kujitolea op kikwete na op magufuli mlioshiri Mungu yupo pamonya nanyi
@million.onlinetv659
@million.onlinetv659 5 жыл бұрын
Yeah ndo huyooo jombaaa..dah..malipo ni hapa hapaa duniani..hilo lilikuwa jembe la RUVU JKT..832..
@costakosa.simbakwaninihivy4235
@costakosa.simbakwaninihivy4235 4 жыл бұрын
hongera
@esromkanubho4738
@esromkanubho4738 5 жыл бұрын
Jamaa ata Ruvu JKT alitulaza macho Hatariii
@yakoboigoko6645
@yakoboigoko6645 4 жыл бұрын
Kwel tunae lais nampenda sana lais wetu waawamu ya 5 Mungu amlinde sana
@yasinkulendea1860
@yasinkulendea1860 4 жыл бұрын
Hongera mzee wangu mungu akubariki katika utendaji wako wa kazi appreciate magufuli appreciate Charles mbuge
@elizabethmziray3868
@elizabethmziray3868 5 жыл бұрын
Kama mkono Wa MUNGU Uko juu Yako Lazima tutoboze life Daah l like to solder from my bottom of my heart
@victorungani2810
@victorungani2810 5 жыл бұрын
Operation Magufuli 832KJ ruvu...2016
@onesmomkanga7664
@onesmomkanga7664 5 жыл бұрын
Victor Ungani aaah nmekubal mzee victor hyu jamaaa atarii...anastahili hana mchezo!!
@salumnkamia706
@salumnkamia706 5 жыл бұрын
Fire 2016
@kekemagori4732
@kekemagori4732 5 жыл бұрын
Hapo ujakosea kabisa jpm hats cc tuliopitia kwKe tunamjua mbuge
@OmarOmar-gq5tk
@OmarOmar-gq5tk 11 ай бұрын
Dah! Jamaa alikua anapenda kuchapa Kaz magu sio sifa❤
@mdashomwamba679
@mdashomwamba679 5 жыл бұрын
Ruvu jkt 832 alikuwa CO yuko peace sana Mbuge
@Secondborn_
@Secondborn_ 4 ай бұрын
Hatari sana op miaka 50 ya jkt ndo tulikuwa wa kwanza kuapa kwake
@emmanuelonjiro3565
@emmanuelonjiro3565 2 жыл бұрын
Mungu akutangulie sana mjomba jpm
@focustryphone5435
@focustryphone5435 5 жыл бұрын
daaaa Jembe la 832Kj Kanal Mbuge daaaa namkubal sana Hongeraa
@maximenella8957
@maximenella8957 3 жыл бұрын
RIP😭😭😭😭 Dr président MAGUFULI
@unitytzdar9553
@unitytzdar9553 5 жыл бұрын
MTU MWENYE AKILI AKIKAA MAHALI, LAZIMA KUWE NA MABADILIKO. JPM ANAONGOZA NCHI KWA KUTUMIA AKILI, NA HIYO ILITAKIWA SANA
@lukandotv8101
@lukandotv8101 2 жыл бұрын
Msikilize vzr alafu sema akili iko wap km siyo upendeleo!
@augustinewilliam709
@augustinewilliam709 2 жыл бұрын
Rest in piece father we always loves u
@goldgod9963
@goldgod9963 5 жыл бұрын
Nan anamkubali JPM kama mimi anatumiaaa akili nyingi xanaa
@editchakoma1113
@editchakoma1113 Жыл бұрын
All African nations are proud of your work Sir, RIP- Magufuli
@clausemsemwa3704
@clausemsemwa3704 5 жыл бұрын
Jw toka kitimtim cha kagera limebaki kua jeshi bora....na askari wake wana nidhamu mpaka raha
@sagreymduda6569
@sagreymduda6569 3 жыл бұрын
I jus cried every time i see the speech of my Father JPM
@salumkigoya5891
@salumkigoya5891 3 жыл бұрын
U cry but am very pained coz I was loose that position 4 no reason
@jessicarasigu2220
@jessicarasigu2220 2 жыл бұрын
Hakika MAGUFULI alikuwa mtetezi wa Africa wala siyo TANZANIA peke yake,nani Kama JPM tena jamani, MUNGU atuchagulie mwengine Kama MAGU 😭😭😭😭😭😭😭😭 Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania
@jisamjoseph4558
@jisamjoseph4558 2 жыл бұрын
😭😭so painful
@abdultaddy2729
@abdultaddy2729 2 жыл бұрын
I love y'll
@lufitetv7120
@lufitetv7120 5 жыл бұрын
Hakika niko happy sana,,,,kuona nchi yangu iko na amani,,,mungu ibariki tanzania,,,,mbariki Raisi wetu DR.JOHN POMBE MAGUFURI ninakutakia maisha marefu raisi wetu,,,ili nizidi kuyaona matunda...
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 5 ай бұрын
"AROOO huyu kuanzia reo umvishe vyeo begani"... Tangu 9 december tisa kenda sitini na moja hakuna commandr in chief alietoa hii oda wazi wazi kwenye kipaza sauti.... CHUMA was the Best of them All....GOAT....Tutakukumbuka sanaa Ngosha...the best thing ever happend to us...
@yohanessomiyon8047
@yohanessomiyon8047 5 жыл бұрын
OP JPM 201.... Big up sana kamanda wanguu
@isacknzella4662
@isacknzella4662 5 жыл бұрын
832 conk 2014
@marysabena306
@marysabena306 5 жыл бұрын
Hongera sanaa Mbuge
@emmanuelmweruka815
@emmanuelmweruka815 5 жыл бұрын
832KJ 2014,, CO wangu huyo aisee hongera zake, kwa kweli anastahili, ni jembe Sana
@hamadiiddi3861
@hamadiiddi3861 2 жыл бұрын
Namkubal sn mbuge kanifungia manzunzo rwamkoma 822 butiama
@famysalum2740
@famysalum2740 5 жыл бұрын
azam mpo vizuri picha zenu ingekuwa tbc tungeona ukungu to
@nassoromzenga866
@nassoromzenga866 5 жыл бұрын
Nimependa salute yako
@rashidimussa5143
@rashidimussa5143 4 жыл бұрын
saluti hatar san hiyo
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli... Nchi imepata pigo kubwa...kwa kifo Cha JPM... Pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu kwa mema ya kuijenga nchi vizazi vingi vitamkumbuka.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@clausemsemwa3704
@clausemsemwa3704 5 жыл бұрын
Safi watu wachapa kazi wapande vyeo..........wengine watambue hawahitaji waganga
@petercosta1317
@petercosta1317 3 жыл бұрын
rais magufuli mungu akuweke mahali pazuri
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 2 жыл бұрын
Sio mungu ,andika na tumia MUNGU au Mungu ukianza na herufi kubwa kumpa utofauti na miungu mingine
@saidiyusufu1203
@saidiyusufu1203 5 жыл бұрын
CO 832KJ RUVU nambaako ninayo takupigia kukupongeza
@oxyrio1224
@oxyrio1224 3 жыл бұрын
Tofauti ni gaani kati ya JKt N jwtz
@moimashole992
@moimashole992 5 жыл бұрын
Sillo imebak zamu yako mkuu nawe onesha kwa mkuu kua jeshi la poris kua munaweza
@makiadiongala5345
@makiadiongala5345 5 жыл бұрын
Ni mwaka jana tu ulituaga mkuu ukaamxhwa ukaenda makao makuu ya jkt leo ukoo juuu kileleenii
@kondegangmjexh7563
@kondegangmjexh7563 4 жыл бұрын
this is our presedent that needed in our country
@sudymgeni701
@sudymgeni701 2 жыл бұрын
Magu jamani duuu mungu aiweke roho yako peponi ameni
@dalaliamanidar3004
@dalaliamanidar3004 3 жыл бұрын
R.I.P JPM Mbuge lazima amkumbuke JPM daima kwa aliyomfanyia
@mrchairtv1704
@mrchairtv1704 3 жыл бұрын
I like the leadership of H.E President John Pombe Magufuli
@inderjitlall4972
@inderjitlall4972 4 жыл бұрын
To all dislikers SHAME on you!!!
@michaelassam5789
@michaelassam5789 2 жыл бұрын
Kipindi hicho, nchi inaenda bila tozo 😢
@user-nt6fb2ky3t
@user-nt6fb2ky3t 4 ай бұрын
Tutazid kukuenz rais wetu kipenz magufur😢🙏🙏🙏
@eliyahango4278
@eliyahango4278 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭JPM Nchi inaangamia huku baba kwann uliondoka kabla hujaifikisha TZ kaanani
@ramanhoibrahim3383
@ramanhoibrahim3383 5 жыл бұрын
Mie mwendo tu utasema mwendo kasi la express kivukoni-kimara
@josephatsebastian9848
@josephatsebastian9848 4 ай бұрын
We will live in our heart.... forever..❤❤ RIP our 2nd father of the nation...
@khadijaomary2427
@khadijaomary2427 5 жыл бұрын
Duuu hatari mbuge umekuwa Brig Gen!!!! waliokuwa wanakupiga vita kama alivyosema mh Rais sasa kimyaaaaaaaaaaa
@mbutomustapha7063
@mbutomustapha7063 5 жыл бұрын
Khadija Omary Kwani na huko kuna majungu?
@chozachoza3318
@chozachoza3318 5 жыл бұрын
Ruvu 832 kj , Co yupo vizuri
@richardburengengwa6998
@richardburengengwa6998 3 жыл бұрын
Mzee ilikuwa inaonekana kama wew hatuwezi kuwa nawewe milele muache Mungu aitwe Mungu.
@papayatnzania1005
@papayatnzania1005 5 жыл бұрын
Nalipenda sana jeshi langu pendwa JWTZ halijawahi kusindwa JPM baba nakuomba sana wape tenda zote za ujenzi hasa hasa hii wizara ya ujenzi iwe chini ya jeshi letu pendwa JWTZ
@dairahally5471
@dairahally5471 2 жыл бұрын
This is real president rip jembeeee
@rayaluizcameron2594
@rayaluizcameron2594 3 жыл бұрын
Who watch it mar 26 2021 at the funeral of our late president😍😍😍
@manubei3574
@manubei3574 4 жыл бұрын
Namjua huyu Bwana, alikuwa CO wetu JKT Ruvu 2014. Ni mtu wa kauli njema anayetoa motisha pale unapomfurahisha. Hivi vyeo nilimwona ana umahiri wa kuviteka. (nachomekea: kiasi flani nilisi hapatani na Maja Msila)
@sesopando5985
@sesopando5985 2 жыл бұрын
😁😁
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 2 ай бұрын
Good job
@hashimabdallah673
@hashimabdallah673 4 жыл бұрын
,yaani hapa mh JPM nakufurahia.kwa maamuzi yako ya moja kwa mojq
@mahamudmhawi2731
@mahamudmhawi2731 5 жыл бұрын
Anastahili saaana huyu jamaaa kiukweli nilikuwa nae ruvu jkt ni mtu wa kazi saaana
@onesmomkanga7664
@onesmomkanga7664 5 жыл бұрын
Mahamud Mhawi 👏👏👏👏he deserves
@makiadiongala5345
@makiadiongala5345 5 жыл бұрын
Hanaga makuu shimbwela tuu
@edwardnambo1857
@edwardnambo1857 4 жыл бұрын
Nakumbuka alitulaza usiku kujenga jukwaa la uwanja wa Mabatini
@iddikimia4951
@iddikimia4951 2 жыл бұрын
Rest in Peace father
@osybethmbangule7652
@osybethmbangule7652 5 жыл бұрын
Anastahili
@rayaluizcameron2594
@rayaluizcameron2594 3 жыл бұрын
R I P Mr president😭😭😭 ulionyesha upendo kwa wote tutakukumbuka daima
@zagadat1129
@zagadat1129 4 ай бұрын
Mungu ana sababu katika kila hatua yako
@reyjosee9390
@reyjosee9390 5 жыл бұрын
hadi nimesisimka na huo nwendo wa haraka
@dominiclokuremusic5178
@dominiclokuremusic5178 2 жыл бұрын
ninapo kumbuka raisi magufuli amekufa nalia sana mtu rhoo safi dunia msima
@fedrickmaganga2693
@fedrickmaganga2693 2 жыл бұрын
Dar, hakika
@allymahiyo2464
@allymahiyo2464 4 ай бұрын
Mwamba cheo alikiokota kabisa yani kweli kuna watu wana upepo.
@godfreymbwambo4460
@godfreymbwambo4460 5 жыл бұрын
AWAMU HII WATU WANAPANDISHWA VYEO WANAOSTAHILI, LAKINI JK ALIKUWA ANATOA VYEO KWA KUJUANA!!! BIDII YA MTU INAONEKANA!!
@goldgod9963
@goldgod9963 5 жыл бұрын
Kweli kabisaaaa naoendaaa JPM
@delekalxon7221
@delekalxon7221 5 жыл бұрын
Brigadier kaweka unaaa sio poa hahah
@eliphaziamon8794
@eliphaziamon8794 5 жыл бұрын
Jeshi la Tanzania nilakuigwa mfano ,Africa nzima,,,kwa ni dhamu na uzalenda nawapa100%
@sangjr8219
@sangjr8219 5 жыл бұрын
Jamani Azam tv mbona kimya. Hivi ni lini mtaanza kutuonesha /kurusha taarifa ya habari LIVE?
@wankabanestory532
@wankabanestory532 5 жыл бұрын
hogera sana rais wetu rais wa watu wanyonge
@teachingtruthmissionafrica9998
@teachingtruthmissionafrica9998 5 жыл бұрын
Raisi huyu ana mapungufu mengi tu kama mwanadamu mwingine yeyote lakini anapaswa kuungwa mkono sana na kuombewa watu wasitazame madhaifu yake waangalie na mema pia ....
@qasammawa5310
@qasammawa5310 2 жыл бұрын
Puzka kwa aman mzee wetu
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 жыл бұрын
Tutampata wapi mwingine kama huyu? Jibu "Mungu ana hazina ya kutosha" tuwe na subira.
@ChidyMbinga
@ChidyMbinga 4 ай бұрын
Tulioangalia 2024 tukutane apaa😢😢
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
2:33 tangu tupate uhuru hakuna raisi alietoa order mbele ya CDF wazi wazi kama chuma.. hiki kilikuwa chuma kweli kweli aiseeh... "AROO huyu atakuwa brigedia generali kuanzia leo"😀😀😀 magufuli the undisputed..R.I.P mzee.
@iddikimia4951
@iddikimia4951 2 жыл бұрын
Good salute
@nduwimanaelyse1982
@nduwimanaelyse1982 2 жыл бұрын
Inchi ilikuwa na muelekeo ilasasahivi nacokiona kwahuyu mama wapi kabisa
@hamzakibli6779
@hamzakibli6779 2 жыл бұрын
Huy ndy tunaitaj kuw S D F WET
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 2 жыл бұрын
Dah hapa tulikuwa na Rais
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 2 жыл бұрын
Alikuwa anawatia moyo majeshi sana....
@inderjitlall4972
@inderjitlall4972 4 жыл бұрын
Respect to Sir President Sir JPM
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 жыл бұрын
KWELI MAGUFURI WW RAIS SITAIKI NA NIKWELI RAIS TULIE KUWA TUNAKUITAJIA UWE KAMA WW NAKUPENDA SANA MHESHIMIWA JPK
@jefrineliaselias691
@jefrineliaselias691 2 жыл бұрын
Tupate wapi tena Mtu kama huyu😭😭
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Hahahaaa,,,,,yajayo yanafurahisha!!!!
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 5 жыл бұрын
Safii magu upo vyemaaa
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 2 жыл бұрын
Rest in peace JPM Leo brigedia wako amekua mkuu wa Mkoa
@florianmtunzi9899
@florianmtunzi9899 2 жыл бұрын
Dah
@florianmtunzi9899
@florianmtunzi9899 2 жыл бұрын
Dah basi2
@augustinewilliam8281
@augustinewilliam8281 3 жыл бұрын
Nani lisikia arooooooohh ya Rais wetu JPM
@nassoromzenga866
@nassoromzenga866 5 жыл бұрын
Ongera kwa kupandishwa cheo piga kaz mbuge kazkaz
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 2 жыл бұрын
CDF wetu utampatawapi?amili jeshi mwenye kutambua shugulizenu kamahuyo?kwanini telejens yenu ingewai kuwaona wauwaji kabla hawajamuuwa
@kaesarka3243
@kaesarka3243 6 ай бұрын
Raïs mupendwa😢😢😢😢
Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
5:25
Global TV Online
Рет қаралды 499 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 197 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,1 МЛН
"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM
4:07
Global TV Online
Рет қаралды 406 М.
MJUE MEJA JENERALI MBUGE  | AWATAKA VIJANA JKT KUJIPANGA
4:22
JEMEDARI TV
Рет қаралды 71 М.
Rais Magufuli amwaga ajira JWTZ
1:55
Daily News Digital
Рет қаралды 51 М.
RAIS MAGUFULI AMTUMBUA KAIMU RPC RUKWA/ "ANAKIBURI....."
8:13
MANENO YA AGREY MWANRI 'YAMKAUSHA MBAVU' MAGUFULI "MAMBO NI BUM BUM"
4:56
Mtanzania Digital
Рет қаралды 1,8 МЛН