mkuu mimi sio mkristo lakini nimekuelewa pili jambo unalo pigania nikubwa sana pili unavita kubwa lazima umlilie mungu wala usijali wanavyo kudisi
@pretinesspastory97825 жыл бұрын
Zumbe Shauri kanywe kret ya soda umalize yote bill itumwe kwangu!! watu kama nyie nawapenda sana!! Mungu akutunze mwaya ningeongea mengi juu yako ila nakuombea Allah akutunze!!
@mirajikinuke66365 жыл бұрын
Makonda pambana mpaka mwisho wako...Maana hii ni safari ndefu sana tena mapambano makubwa sana .....M/mungu akulinde na akusimamie katika jambo hili la kuzuia Ushoga
@zamzamhamisi73325 жыл бұрын
Umeonae mkuu yuko sahihi kabisa
@stevenboy12395 жыл бұрын
Mungu akubariki sana ningekua karibu nawe ningekuunga bando la mwezi
@ladybilionaire3795 жыл бұрын
Umeongea ukweli mno na kulia ni ishara ya kujishusha saana mbele za Mungu.
@zamzamhamisi73325 жыл бұрын
Kweli kabisa
@andrewkayanda98875 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Mkuu wa mkoa. Mungu akubariki sana ktk malengo yako
@Superman--un9xz5 жыл бұрын
kweli kabisa kaka mungu hakulinde
@sylvanussebastian62095 жыл бұрын
Si kutegemea kama ungekuwa na uchaji wa Mungu kiasi hicho,kumbe umdhania siye Mungu akubariki sana
@Digitalhhhhhgfgg5 жыл бұрын
Ll
@sylvanussebastian62095 жыл бұрын
@@Digitalhhhhhgfgg Ameeen
@gloriaanaclet68605 жыл бұрын
kwa walio wa rohoni watakuelewa vizuri Mheshimiwa.....mbele ya Mumgu aliye amiri jeshi mkuu hakuna kujikaza kiume.... na kama ulivyosema baada ya ibada huwezi elezea kilitokea nini
@yohanamnyeti72225 жыл бұрын
Hassan!! Pole sana nilifikiri unaweza kuwa mtu. Mwenye busaraha na hekima katika hili, yaani unaanza kuleta na maeno ya dini ya kweli au unataka nikukumbushe kuwa we we ndio umepotea? Hebu soma vizuri quarn yako mtume wako Mohammed anaulizwa juu ya hatima yake na wafuasi wake anasema yeye hajui mwisho wake ni nini na Hata wamafuata hajui anakowapeleka na akatoa ushauri kuwa juu ya hilo waulizeni wenye vitabu yaani( Wakristo). Pili Allah unayemuita mungu wako kwenye huyo quaran anasema "naapa kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi" kumaanisha kuwa yeye si mungu muumbaji, jitambue uache kukashfu imani za wenzako tunaijua zaidi imani uliyo nayo. Mungu tunaye muabudu wakristo yeyw mwenyewe anasema " naapa kwa nafsi yangu" ikijitambulisha kuwa yeye ndie. Juu ya utume wa Mohammad na Yesu Kristo, Yesu Kristo alitumwa na Mungu toka mbinguni na kisha baada ya huduma yake ya miaka 3 na nusu akafa akazikwa na siku ya tatu akafufuka na akapaa mbinguni alikotokea mpaka yu hai . Mohammad wako wewe alizaliwa akajiita mtume akaoa na akawakiri kutokujua mwisho wenu akafa na akazikwa hadi leo yumo.kaburi. Nikushauri tu Mr. Hassani ulitakaiwa utoe maoni yako tu pasipo kujihesabia haki kwenye imani yako ambayo inakuambia pepo yenu mtakuta kila mmoja ameandaliwa wanawake wa kutosha, hiyo pepo yenu ni ya uzinzi kwa hiyo Hata sasa mnafanya maandalizi juu ya kuingia kwenye hiyo pepo. Wakristo Yesu alituweka wazi kanisa akasema mbinguni hakuma kula, kuoa, wala kuolewa maana wote tutabadilishwa na kuvaa mwili wa utukufu. Jitahidi sana Mr. Hassani kuwa mtaraabu juu ya imani za watu wengine. Na Mungu akusaidie
@agnesjames89955 жыл бұрын
Ni kweli amkimbiliaye na kumtumainia mungu hata aibika mngu atakupiginia ktk kazi yako
@selemanimwendilemo93355 жыл бұрын
Mimi nahisi watu wanakuonea gere,suala la kulia kanisani halina ukuu wowote Mungu akusimamie kwenye kazi zako kama ni mapungufu wanadamu wote tunayo lkn kwa hili lakwako basi watafute lingine
@gloryassey39625 жыл бұрын
May Holly Spirit keep guiding u Sir
@tereseamasawe81115 жыл бұрын
MKUU MUNGU HATOKUACHA NA MUNGU NDO KILA KITU KWAKO
@nathanmateow94555 жыл бұрын
Kwa jinsi jambo la mashoga lilivyokubwa na baya mi nilitegemea alie Hata saa Moja, nyie kalia kidogo tu mnashangaa, mi namlaumu alilia kidogo
@jasminmussa28575 жыл бұрын
We msenge
@zamzamhamisi73325 жыл бұрын
Wallai binadam wanatabu sana kulia ni kitu muhimu sana
@dawillygene5 жыл бұрын
Kila siku nami nalia kwa ajili ya mambo ya ajabu yanayoendela, anachokifanya ana thawabu kubwa maana ubinadamu sasa hivi umepungua watu wamebaki kama wanyama. ni nani mwenye ujasiri wa kukemea hayo???/ kila mtu ana sehemu anaudhaifu wake.
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
Kusema kweli, zamani nlikuwa simkubali kabisa huyu mtu.ila nimemfuatilia sana nilichogundua ni kwamba huyu kaka amekulia kwenye mazingira ya maumivu ktk maisha yake.ni kama mtu ambae alinyanyasika sana.kwa hiyo amepata nafasi kubwa serikalini anatamani kuwasaidia wale wote ambao anahisi kwa sasa na wao wanapitia maisha ya kuumia kama aliyopitia yeye.anajisikia uchungu.lakini mijitu haimuelewi.
@consolatamaarufu585 жыл бұрын
saitoti saitoti sana
@ubuyutv25775 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana mkuu wa mkoa
@sylvestercharles35855 жыл бұрын
Nakuelewa sana...... Kikubwa Mungu akupiganie brother. Sisi tulio wa Rohoni tunakuelewa.
@jonasmwita18375 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mh mkuu wa Mkoa na Hongera kwa kutambua kwamba sehem pekee ya suruhisho na matatizo yako ni Mungu. Hata Musa aliomba toba kwa niaba ya wana Israel na Mungu akawasamehe. Kutoka 14:1_
@allyjuma61365 жыл бұрын
inaonekana ameona mashoga walivyo wengi dar. Yeye kama binaadam na mzazi pia anaumia sana
@noahmadal7535 жыл бұрын
Kaka Paul nimekuelewa umevunja gospel ya maana sn lazima majibu mazuri yaonekane
@manganamanganamanganamanga73135 жыл бұрын
ww mtangazaji hauna vya kuuliza,muache mkuu apige kazi kulia kanisani ni njema
@asteriambwei955 жыл бұрын
Safi sana makonda Julia kanisani kipindi cha maombi una uwenzo Wa kuzama sana ndani ya maombi jinsi roho mtakatifu anavyokutumia endelea na maombi makonda mwangalie mungu usimwangalie binadamu hawajui walinenalo
@samwelimwashiuya78947 күн бұрын
Ubarikiwe Sana kiongozi wangu ukiwa katika roho mtakatifu hata ukiwa Rais mpaka chini utagalagala
@benadictoalloys77525 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akujaze nguvu zaidi mkuu uendelee kupambana na hao wakupingao
@ministermwakafwila51085 жыл бұрын
Mungu azidi simama na wewe Mkuu wa Mkoa
@kenya-yj3eq5 жыл бұрын
Amen
@IreneMwambula14 күн бұрын
Mungu akulinde makonda wetu hao wanao kutafuta wakuangamize wataangamia wao tunakupenda sana kiongozi wetu
@namisgiggah15715 жыл бұрын
Mimi sio mkristu ila makonda nimemuelewa
@kingelieshabani723525 күн бұрын
Asante sanaaa mweshimiwa PAUL MAKONDA Mungu azidi kuku bariki naku kutia nguvu naku kulinda zidi yama adui zako.
@kingsmusicrecords48705 жыл бұрын
Lava nimepita 👏
@lydiamuta45145 жыл бұрын
Songa mbele tunakuombea ushindi lazima in Jesus name
@godfreyndahaze17685 жыл бұрын
🤓🤓
@josejacob28755 жыл бұрын
Wanakuonea wivu wengi wameshindwa ila wewe nisawa na Daudi MUNGU akubariki kaka
@janengowi30115 жыл бұрын
Usifikiri alikua anajililia tu ingia kanisani ndio utajua
@consolatamaarufu585 жыл бұрын
jose jacob kabisa
@mbubafuraha70595 жыл бұрын
Mm nimekuelewa xanaa mkuu umeongea point kubwa xanaa kwa wale wakristo wamekuelewa unachokisema wale wasio kuelewa watakuelewa to one wakimkibizi Yesu maisha yao
@EliwadaKikoti29 күн бұрын
Nimemuelewa baba angu
@rwemamutemi3345 жыл бұрын
Ukiona mtu anatetea USHOGA, USAGAJI fahamu ni shoga au msagaji, au anadhaminiwa na mashoga! USHOGA na USAGAJI ni CHUKIZO KWA MUNGU na Unajisi kwa eneo au Nchi YENYEWE! Warumi 1:18-32 Mwanzo 19 Wana washetani hufurahia uovu unapoenea,na mtu anapoinuliwa kupinga uovu huo,mara nyingi huchekwa,hudhiahakiwa... ILA mwisho asipokata tamaa,hushinda na kushangilia! GIZA haliwezi kushinda Nuru. Yohana 1:2-5. Kila mwenye akili nzuri na timamu atapinga USHOGA, USAGAJI,uwaji,utekaji,......!
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Mm we bb nakupenda sana zaid ya sana hakuna kitu kizur bila kupitia majalibu .kumbuka hata ayubu alijalibiwa .lakin hakukata tamaa. . ili ufike unapo taka lazima upitie misuko suko
@jonasmwita18375 жыл бұрын
jackrin aman kweli kabisa Dada Jack
@jonasmwita18375 жыл бұрын
jackrin aman kweli kabisa Dada Jack
@shukurumwangosi15375 жыл бұрын
Upo sahihi sana mkuu
@yohanasimtenda7485 жыл бұрын
Uko sahihi mkuu, mbele za Mungu hakuna kuleta uheshimiwa, nikunyenyekea na kujikabidhi kwake akuhudumie, Ukuu wa mkoa pembeni kwanza linapokuja suala la Ibada. SAFII
@badenbensoni75165 жыл бұрын
Mungu akusaidie Makonda. Hakuna kosa kulia kanisani.
@gracevalentine42345 жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni aendelee kukutia nguvu mkuu wetu wa Mkoa ili kusudi la Mungu aliloweka ndani yako juu ya huu mkoa wa Dar es salaam likatimie, Amina
@salumwiliam63275 жыл бұрын
Grace Valentine mh. Makonda na imani icpokuwa na matendo imekufa mungu aendelee kukuongoza amina
@gracevalentine42345 жыл бұрын
Amen
@ajarathyussuph74685 жыл бұрын
Ameen. Nakukubali sana mheshimiwa na Mungu azidi kukulinda na mkono wake husikupungukie na Mungu akupe hitaji la moyo wako. Wasio na maono hawaoni nini unafanya ila Mungu amekuchagua kukomboa mataifa ya vizazi vilivyopo na vijavyo , sitaacha kukuombea kwa Mungu azidi kukutia nguvu maana Daudi vita si yetu bali vita ni ya Mungu mwenyewe na wasikuone hivyo vita unavyopigana navyo wakadhani upo peke yako, mi naona husiwajibu bali wambie neno moja tu kuwa,SI WEWE UNAYEISHI BALI ALIYEKO NDANI YAKO YESU KRISTU WA NAZARETH ALIYE HAI. Barikiwa sana Mh! Paul Makonda, majeshi ya Mungu yaliyokuzunguka Makonda ni mengi mno kuliko haya ya dunia , wasamehe hawajui walitendalo hata Bwana wetu Yesu alihukumiwa kifo katikati ya watuhumiwa na hali yakuwa yeye nakuwa na hatia itakuwa wewe? Achana nao yupo Mungu anaepigana na adui zako wala husiwajibu Mungu atawajibu kwa wakati wake wewe ni mti wenye matunda lazima uzoee mawe. Ubarikiwe sana mpaka shetani ashangae na majeshi yake.
@jacksonmichael79924 күн бұрын
Very spiritual speech👏👏👏
@Bahatwabula23 күн бұрын
Kumcha mungu nichanzo Cha maarifa barikiwa sana kaka ,mungu akuinue Kwa viwango vyajuu sana,mutangulize mungu Kwa Kila jambo🙏🙏
@eddybayzor41065 жыл бұрын
Piga kazi muheshimiwa tuko pamoja
@samwelimwashambwa87255 жыл бұрын
kwa hapo nmekuelewa mkuu
@Slovianaletusmkini26 күн бұрын
Hakikha, mungu ni WATHAMANI sana kwakho hivyo kama amekutoa kwenye changamoto uliyonayo Amini pia atakufikisha salama popote pale upatarajiapo
@gloryassey39625 жыл бұрын
Kulia inaonesha how strong a guy is..bravo RC
@SalmaJuma-gm9zl27 күн бұрын
Amen wew ni mtumishi wa mungu mungu akulinde na kile mabya amaby madui wanakitafut yeye akufuche ubavun mwKe
@gracevalentine42345 жыл бұрын
Vita cyo vyetu bali ni vya Mungu so endelea kumsihi Mungu nae atakushindia Mkuu, kwani hakuna jambo lolote linaloshindikana kwa Mungu
@demicratia40715 жыл бұрын
Well said Makonda you Trusted in God and in God we Trust and in God you will be Blessed umejielewesha vizuri mnoo yaani Spritually you are With JESUS keepitupBOSS And I am praying for you as well
@oswardjaphal-cd6np4 ай бұрын
Watu Wa imbaji wanjili kwanini. Musitumie maneno hayo yabusala. Kutengeneza nyimbo nzuli. Amejieleza vizuli sana nikweli we we unaloho wamungu. Tanzania itapona kwa ajiliyako. Amen from Burundi. Tuna kupenda Sana
@aishamohammed69915 жыл бұрын
Mkuu achana na blaa blaa za watz.... Endelea tu kumuomba mungu... Km ulivosema kwa mungu hakuna ukuu wa mkoa wala rais. Nasi wa kwanza ww kulia ktk kuomba dua au kitu chochote kwa m. Mungu hata masheikh wasomapo Quran hulia Mbele ya kadamnasi....na huwa hawaangalii nani ananitizama au nani atasema nn juu ya hiki kilio changu....so piga maombi km kawa na m. Mungu atayapokea ishallah! Kiukweli watanzania sijui tukoje kwani kulia ni jambo la ajabu jmn au kwakua kalifanya mwenye jina.... Aaaaah jmn tuache ushamba au sijui ndo tuije ujinga!
@mustaphahassan5895 жыл бұрын
Aisha Mohammed naomba uangalie kasida yangu kzbin.info/www/bejne/jHbFlq2dp7Otftk
@pretinesspastory97825 жыл бұрын
Aisha Mohammed ubarikiwe sana unaona mbali my dear!! wanadamu hatukosagi jambo ila kwa wachache wanaoelewa uzito Wa machozi ktk ibada hawawezi kujiuliza kwa nn alishindwa kujizuia!! Allah akuweke miaka mingi umeubariki moyo wangu
@hanuniselemani22745 жыл бұрын
Aisha upo vizuri Sana, u muelewa sana
@hanuniselemani22745 жыл бұрын
Wanaokukejeli hata maana ya maombi hawaijui wapo wapo tu,ndio maana wanakushangaa ukilia kanisani
@bestcodetz57265 жыл бұрын
AIMEN
@songeza25 күн бұрын
Asante kwa kuwaelezea haki iliyo ndani yako zidi kum
@lifestylechannel13225 жыл бұрын
Umeongea piont leo
@alanusrespicius17965 жыл бұрын
Hapo ni kweli kabisa. Mkuu upo sahihi.
@mgoledaudi75985 жыл бұрын
Ulishukiwa na Roho Mtakatifu, kwa macho ya nyama wanaona kama unalia, kwa macho ya rohoni ulikuwa umezama kwenye maombi mazito, ubarikiwe sana
@happinessmtitu44855 жыл бұрын
Mungu aendelee kkusaidia kutambua kuwa pasipo yeye hakuna linalowezekana. (Yohana 15:5 )
@geraldnashokigwa5175 жыл бұрын
Stay blessed RC-MAKONDA, you are humble Man..!! Press on..!! Bible says : " My people perish because of lack of God's knowledge-Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa" . Amina..!!
@bestcodetz57265 жыл бұрын
WOOOOOW!!! MAKONDA KWANZA HONGERA SANA MKUU WA MKOA WA DA ES SALAAM.. NIMEPENDA JINSI ULIVO TUELEWESHA WATANZANIA.. KWAKWELI KILA UNALO FANYA MUNGU AKULINDE .. U DO THE GREATEST JOBS AMBAZO BILA MUNGU PUMZI YAKO INGEKUWA HADITHI, KWANI SHETANIN ANAKUWINDA KILA IITWAPO LEO.. MUNGU MMBARIKI MAKONDA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
@lupalilamligo99395 жыл бұрын
Mku wew ni mtu wa muimu sana broooo saluti piga kaz mungu akulind kwa kila jmbo broooo
@AmonSchizya-e9n25 күн бұрын
Mungu akutunze zaidi na zaidi mtumishi.
@ggjghh62455 жыл бұрын
Sasa chaajabu kitu gani ?mbona hata masheh wana somaga Qraan mpaka analia sasa yy kulia mnaona hajabu?
@simonkuhenga17575 жыл бұрын
Nice talk..very deep mh Paul
@elliudmichael54875 жыл бұрын
Makonda hakika mungu atakufanya kuwa mkombozi wa nchi yetu, kiongozi kuiombea nchi yake hakika mungu anaikomboa Tanzania
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Amina kweli kabisa
@mivunjoc.miyego14275 жыл бұрын
Excellent Mr RC. Hilo jibu ndilo linalofaa sana kupita majibu yote ambayo hao walitegemea. Nimefurahi sana mkuu. Mungu akubariki sana.
@user-bi4lm4wz3zАй бұрын
Mungu akubariki mno kwa moyo uo wa unyenyekevu kwa Mungu
@jacobmakono3895 жыл бұрын
I never knew you're such a great Pastor!
@maryangela1075 жыл бұрын
mtumishi anaumia sana moyoni kutokana naanayo yaona
@MonicaSilasi-p3k29 күн бұрын
Makonda ww ni raisi wetu mtarajiwa MUNGU akufunike amen
@aggreyandrew5465 жыл бұрын
Kwani kulia ajabu? Nyie vipi mh makonda achana nao kwani umelia bara barani? Umelia mbele za mungu tena kwenye nyumba ya ibada! Sasa tatizo nini?
@mhavilesukari27085 жыл бұрын
mungu amsimamie huyu brthr
@demicratia40715 жыл бұрын
kumwelewa mtu sio mpaka awe dini fulani yeyote yule aweza kumwelewa bila tabaka lolote ...stay blessed
@FloraSlivester26 күн бұрын
Yaaa Mungu akubariki ni kweli ilo ni bubujiko la ndani
@BedroomTvKe5 жыл бұрын
Amen baba, aisee umesema kweli baba
@NehemiaKahabaye23 күн бұрын
Hubiri tosha kabisa, Mungu akubariki.
@Slovianaletusmkini26 күн бұрын
Usimwache mungu kamwe/% don't worry out you besearch every time, god bless you,;
@annaitolya77125 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa utumishi kwa wasio elewa hawataelewa maana ya kulia
@siaammo11045 жыл бұрын
Hongera sana mkuu.nimekuelewa Mungu wa mbiguni aendelee kukulinda na ushiishie hapo endelea kuliombea Taifa zima la Tanzania . wewe ni kiongozi naamini ukimlilia Mungu katika roho na kweli tutafanikiwa.
@AmonSchizya-e9n25 күн бұрын
Ni kweli kabisa roho mtakatifu ndiye anayetuongoza zaidi katika maombi
@evea-mo2rh25 күн бұрын
safi kaka ukimuonea haya mungu mbere za watu naye atakuonea haya mbere za baba yake nimekusoma sana wengine wanaweza wasierewe lakini warohoni wanaerewa sana
@MichaelSwai-k6v28 күн бұрын
Yani uyu mkuu wa mkoa Yani anapiga kazi kote kote rohoni yupo vizuri mwilini yupo duu Yani mkoa mpaka uyooke mungu amlinde hii nimashine ya kazi
@HatibuSozi24 күн бұрын
Muongo ww mungu gan anae ruhusu uvamie mediaza watu
Kumcha Mungu nichazochamarifa barikiwa. Songambele. Mtangulize Mungu wako bila Mungu minute🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@renathahagai12514 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu
@melkizedeckkimaro20945 жыл бұрын
Kweli kaka
@benardgervas88405 жыл бұрын
Somo la roho mtakatifu hilo mkuu kukuelewa ishu sana.
@jaqclinprince525 жыл бұрын
mungu akubariki mkuu makonda
@JuliusLoishiye27 күн бұрын
Mungu akupe kushinda
@MwanaishaDaffi16 күн бұрын
Pole sana mheshimiwa mungu yupo na ww
@NuruNyanginywa25 күн бұрын
Jamani msimshangae makonda hata Mimi ndivyo nguvu ya Mungu ikishuka utalia na hata kugalagala jisogeze Kwa Mungu ukutane nae ili akuguse utaona
@juventusdaudi20885 жыл бұрын
Ubalikiwe sana kaka yangu.
@jumahamisi23185 жыл бұрын
Mh. KWA HII SPEECH YA LEO NIMEKUAMINIA 100%, ofcoz hilo jambo hata ukilivutia hisia lazma ulie hata km hujawaona, INAUMA ACHENI USHABIKI WA KINAFK WABONGO
@mamaawenalukas78945 жыл бұрын
Mungu akusimamie katika hili.
@RomanMaging-h8z29 күн бұрын
Makond onyise lindaga nhg'ana mungu akukugunanha guge batanzania dugukulumba
@ayangaotacho20575 жыл бұрын
Pole Sana mkuu wa mkoa uko sai Sana unapotafakari kwa undani unalia bila kujua uko sai kabisa ,ni kweli wewe bila Mungu usingekwepo omba Mungu Lia Sana mbele za Mungu kwa Mungu hakuna Cha kiongozi wewe Lia kwa Mungu yupo na wewe
@ezekielijanuari72075 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu mheshiwa
@TheSalma19995 жыл бұрын
Unalilia taifa lako kweli baba roho mtakatifu amina mimi nakuelewa roho mtakatifu
@zainabubalama46224 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana Mh Paul Makonda. Mungu akupe nguvu zaidi inshaallah 🙏🙏🙏🙏
@mercedesphiri16095 жыл бұрын
Hongera stay strong.
@JemaMbwilo27 күн бұрын
Mungu anajivunia wewe hakika Mungu awe pamoja nawe ❤ 8:12
@magrethtimothkibaya77535 жыл бұрын
upon sahihi nimekuelewa mungu akutie nguvu
@JulianaMejooli26 күн бұрын
Jamani daah Mungu akulinde tunakupenda Makonda,hatuamini umerudi, imekuwa suprise,hutakufa Bali utaishi
@mosesg.pendael83815 жыл бұрын
Well said comrade! Asante sana.
@emmanuelgabagendi31695 жыл бұрын
Mungu akulinde
@mohamedkassimu87895 жыл бұрын
Waache tu wanaoongea we chapa kazi TU! Kama umependezwa hebu like Basi!
@esternaftari903225 күн бұрын
Uko sawa kabisa mtumishi
@nice56715 жыл бұрын
ameni
@aderanderwa762325 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA HUYO MTANGAZAJI HAELEWI MSAMEHE BURE SIKU MOJA MPELEKE KANISANI KANISA LENYE UWEPO WA MUNGU
@mariamkalinga26285 жыл бұрын
mtangaz una akil au acha izo bwana hy kidume yupo ma mungu eee mungu pigana naaadui wanaompiga kiumbe wako mak Fanya kazi aisee
@jebrasmrema85685 жыл бұрын
God bless
@wakulambakitune67215 жыл бұрын
Piga kazi baba kulia nimoja ya kuwalilia waliompigia l lazima uwalilie mungu hapendi uchafu kulia mbele za mungu Ni ishara ya kuomba msada hakusadie kuwakombowa binadamu walopotea