KIMENUKA MIRAJI AMTAJA KIGOGO YANGA ANAYEMDANGANYA KIBU DENNIS, SISI SIMBA HATUMTAKI KIBU ARUDISHE PESA ZETU
Пікірлер: 116
@balekefasbalele82622 ай бұрын
Hayo hayo mlifanyaga kwa Morison, tulieni dawa iwaingie ...
@selemanisabihi59942 ай бұрын
Ataki mbona muna mlazimisha kama feii
@Kabeya4102 ай бұрын
Pesa kisharudisha 😅kama FEI TU 😅UBAYA UBWELA NA UDUGU UMALA 😅
@RichardWambura-w9o2 ай бұрын
Kipindi fei alikuwa akizingua yanga mbona mlikuwa mkishabikia
@AnthonyPetro-eb4yc2 ай бұрын
Umeumia sana kaka, tuliza munkari
@kolosii43512 ай бұрын
Ubaya ubwela, mliowafanyia timu zingine leo yanawarudia.
@FabianiNguvumali2 ай бұрын
Kwen inauma
@AmurJecha2 ай бұрын
WENDA WAZIMU KWELI NI WENDA WAZIMU NA MJINGA NI MJINGA TU..HAO WANAO SEMA NA SISI TUMEFANYIWA AKILI ZAO MBOVU HUYU NI MCHEZAJI WETU KAMA HAO MNAOSEMA TUKISEMA MCHEZAJI NI WETU NI WETU ..MBONA NZENGI HATUJASEMA NI MCHEZAJI WETU.❤❤
@jaylosalphonce96592 ай бұрын
Apo sijaelewa umeandika nn
@yusufumpako53642 ай бұрын
@@jaylosalphonce9659 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tilaselias72132 ай бұрын
Bado mtasema Mzee magoma si ni mgeni rasmi mmemwaga mboga tunaondoka na ugali
@josephgalandu1282 ай бұрын
Kibu mkandajiiiiiiii kawakanda Simba
@francofisinge1372 ай бұрын
Sanda kaikimbia Kibu Hana ujinga wa kufama yu kijana kawakanda😂😂
@ommymsangi91822 ай бұрын
Mme muiba Lawi na Uweso mkacheka leo ya Kibu mnalialia.
@franciscojohn57512 ай бұрын
Ubaya ubwela ndio mvae Sanda kwel jamani watani mbona mnabuluzwa sana
@bestforever-q2w2 ай бұрын
Mwizi kaibiwa😂😂😂ubaya ubwelaa
@josephgalandu1282 ай бұрын
Kibu yupo huku Dadona vijijini😂😂
@Williammatinde-o9w2 ай бұрын
Na bado
@ahmedmsambara74152 ай бұрын
MLIKUA MNAMSHABIKIA FEY LEO MMESAHAU WASENGE NYIE
@selestinemnegelwa25722 ай бұрын
Aibu sana.
@josephgalandu1282 ай бұрын
Ubaya.......😂😂😂😂Kibu kawafanyia ubwela
@barnabasmalima48232 ай бұрын
miraji ukizeeka utakua mchawi kila leo mnalalamikia yanga kuweka mkono lakini ukimsikiliza wakala wake utagundua kua try again anajua na club inajua hiyo barua ni propaganda tu kibu anauzwa utakuja kusikia simba yafikia mahafikiano na timu kutoka sweden
@GodfreyJohn-zk8jr2 ай бұрын
Mashabiki wa simba mambumbumbu, Wakala analalamika pesa yake hajalipwa. Harafu wanaisingizia yanga inahusikaje hapo.
@yunusimchala65692 ай бұрын
Mlipe wakala Wake fedhaaa
@yasinfinin17992 ай бұрын
Kwa mwali ukiliwa na kwa kungwi pia.. Lawi.. Aweso.. Na yule wa Geita.. Inauma eee 😂😂😂
@Asia-p5r2 ай бұрын
Achaneni naye kibu hana ubora wa kuwasumbua kihivyo msimu mzima goal moja.....anawasumbua hvy ....!
@HUSSENMAMBA2 ай бұрын
Makolo utasema yote mtaishi na Mzee magoma😂😂😂
@geraldbagole44942 ай бұрын
Haina haja ya kumlaumu au adhabu kwa Kibu anatafuta maisha,cha msingi timu inayomtaka ilete offer kwa Simba kwa mchezaji ana mkataba.Simple😂😂😂
@AndrewShola-ts5lp2 ай бұрын
Kibu ni msaliti Tena sana nimiongoni mwa wahujumu ndan ya Simba. katika goli zile tano za yanga juu ya Simba wasaliti walikuwa watano. Walikuwa chama, inonga, manulaa, baleke na kibu. Kibu Naye alitakiwa apewe thank u mapema Sanaa..
@AziCure2 ай бұрын
Huw mnashangilia upumbavu sasa mnaona majibu,, kawakanda😂😂😂
@seifmayumba87792 ай бұрын
Kwenu hadhabu kali mlifulahia fesar aigomea yanga hakuna hadhabu hapo
@GodfreyJohn-zk8jr2 ай бұрын
Endeleeeni kumshangilia magoma
@MzeewaYanga-hm8jq2 ай бұрын
😂😂fala ww
@bakariomarimndeme60592 ай бұрын
Ubaya ubwela 😂😂😂😂😂
@BensonDickson-xf1ge2 ай бұрын
Mashabiki wa yanga kama k
@RamadhaniDaudi-p6i2 ай бұрын
Ukiwa mwizi ukiibiwa unararamika sana sijiu kwanini kwaiyo kuweni wapole ataludi mfungaji wenu wagoli Moja kwamsimu
@juliusmsangi68492 ай бұрын
Kuraramika ndio nini? Nenda shule!
@Adremanemachude2 ай бұрын
Miraji kaka usijimalize viongozi wetu wanafki awatuambii kweli, kibu ajamalizana na na simba.
@monicalucas37382 ай бұрын
Ubwaya ubwela, mwizi akiibiwa makelele mengiiiii, kwa fei mlikuwa mstari wa mbele, yamegeuka mtalia sana ndo kaondoka hamna lenu😂😂😂
@slowclimbertothetop45722 ай бұрын
Mbona Feisal mlisema aachwe akatafute furaha
@BensonDickson-xf1ge2 ай бұрын
Aende yanga tuishushe daraja
@FabianiNguvumali2 ай бұрын
Fei Toto ilikuaje nanyie washamb mnalialia
@MentalHospital-t8q2 ай бұрын
Tulieni hii ni kama fei tu alilipwa alichokitaka kisha kazingua mkafyagilia sasa acha yaendelee yanga walipotaka kutoa funzo mkaanza kuongea achasasa ubaya ubwela 😂😂😂😂😂
@Mobmob20132 ай бұрын
Mmesahau mambo ya Morison na Manzoki 😂😂 Ubwela fc Namheshimu miraji anajua boli Ila anatumiga nguvu kubwa akipanic😅
@jacksonmwanisawa6632 ай бұрын
Mzimu wa fei utawatafna sana wasenge nyinyi
@polycarplazaro84822 ай бұрын
HUYU MBWA AFUNGIWE KUCHEZA NA CLUB MPAKA TUTAKAPOAMUA VINGINEVYO....NA PESA ZA USSAJILI ARUDISHE.... APIGWE PINI MAISHA YAKE HAPO CLUBUNI
@GodfreyMwamaso2 ай бұрын
Mpira wa bongo ni wa kiswahili daily maneno hayaishi Simba na yanga maneno mengi kuliko mpira
@LinusKyando2 ай бұрын
AMEWAFANYIA "UBAYA UBWELA"
@meshackthomas13412 ай бұрын
Tatizo lenu munaaminishwa sana et kibu kasaini wakat hakusain bado. Hadi mkataba wake ulipo isha. Akawa huru we Lia na viongoz wako elewa kibu si mtu wa hovyo anaelewa. Usimchafulie. Sifa zake bro waza kwanza naukielewa faida Niko pale 👉.......⚽
@RobatAllaya2 ай бұрын
Acha aende ulaya au yanga Simba Bado Iko imara sana kwani kibu nani mi naona mchezaji tu
@mafisadi2 ай бұрын
Mtamuona siku ya kilele Tarehe 04/08/2024
@ahmedmsambara74152 ай бұрын
KUMBUKENI MLIKUA MNAMSHABIKIA MASHOGA NYIE DOLE HILO MKU
@MartiniNguvumali2 ай бұрын
Kama vipi afungiwe kucheza mpila kabsa
@Mumewangu2 ай бұрын
Kama kuna kiongozi yanga amemficha itakuwa mpumbavu manake amesainiwa kila Taratibu zimefanywa anamfichaje. Hajafichwa kibu bhana amejivuruga tu
Yani kwa kifupi msemajinwa Simba wamemvua nguo kabisaa, kwa lasta kwa lasta amezalilishwa sana mwamed Ali, Yani huyu mzee ndio anaonekana muongoo kweli, duuu hii inatwa mkubwa kakaa uchi
Acha hizo Miraji leo wewe ni wa kusema Kibu abaniwe?? Acha akabadili upepo
@AlfredRutaguza2 ай бұрын
Mbwa nyinyi moo kawapumbaza Sana ,umetumwa kuja kutudanganya eti moo kamgaramia kibur wakati anawadai
@AAbubakariSharif2 ай бұрын
Mimi najitolea kumloga kibu Denis mpaka arudishe pesa ama asicheze uko Norway shenzi
@dreadlocksspecialist71952 ай бұрын
Kwani wachezaji wangapi wameonyesha utovu wa nidhamu na mkashangilia leo wachambuzi wanashida gani ilhal asilimia kubwa ya wachambuzi ni simba hakuna mtu anaweza mficha mchezaji mwenye goli moja msimu mzima ni kichaa tu anaweza amini hivi
@roggerasili30892 ай бұрын
mlisema Fei achwe anatafuta maisha sasa na Kibu aachwe anatafuta maisha pia.
@jaffjeff69122 ай бұрын
Ubaya ubwela😂
@MzeewaYanga-hm8jq2 ай бұрын
Miraj magoma😂😂😂😂
@FIDELISMfugale2 ай бұрын
Kib FUNGUA ndan
@maxminemazulaemmanuel9162 ай бұрын
Mwizi akiibiwa Huwa inamuuma sana SI mlitegemea TFF iwasaidie au hamkumbuki nyakati zenu za ujaja zimeisha dadeki
@RamiaMavengu2 ай бұрын
Mh kama miraji anakula nae sasa hv
@elizabetty-rt7py2 ай бұрын
Gali hamjampa na wala milioni mia tatu amjaingiza kwenye akauti yake ,mmeingiza milioni amsini aya bado Aishi manula badao anadai, Simba mnapigwa ela amnaa
@yunusimchala65692 ай бұрын
Huyo ni mkongo ameshapata maisha ulaya na mkewe yupo marekani harudi Tena huyo
@michaeljames4032 ай бұрын
WAPI FEI MLA SUKARI
@josephgalandu1282 ай бұрын
Magoma kaingia na ubaya....😂😂😂😂😂
@jacobsadock35302 ай бұрын
Ama kurudisha pesa au hatocheza mpira kbs
@LinusKyando2 ай бұрын
KAENI NA MZEE MAGOMA AWALETEE KIBU DENIS
@MonicaMbossa2 ай бұрын
Anamficha kivipi?kauli tata hizi,unamaanisha huyo kigogo kaolewa na kigogo wa yanga au kibi Kapa kigogo wa yanga, mpira ni mchezo wa wazi hata kama kafichwa kaolewa atajua mwenyewe
@GodfreyJohn-zk8jr2 ай бұрын
Tarehe 8 Goli 8
@salumjumaruhaga25132 ай бұрын
Ubaya ubwelaa
@alsonmwangwale70992 ай бұрын
Hapa tunataka iwe fundisho kwa wengine
@josephgalandu1282 ай бұрын
Tarehe 4 tunamtambulisha rasta wetu Ki d😂😂😂😂
@maxmia1002 ай бұрын
Milaji nae siku hizi anazingua anazungumzia kishaniki Sana haongei kimpira
@pambaboniface11992 ай бұрын
Ubwela FC😂😂
@AbassAbdalla-e7j2 ай бұрын
Maramoja kushawishiwa ,acha kuongea pumba
@IddyyFumbwe2 ай бұрын
TULIWAAMBIA MIKATABA INATAKIWA IHESHIMIWE MKAKATAA MKASHABIKIA SAKATA LA FEISAL, UBAO UMEGEUKA MTULIE DAWA IWAINGIE, BADO KUNA WENGINE WATAONDOKA KIENYEJI, HAYA MLIYASHABIKIA KWA KUA ILIKUA NI YANGA LEO MNALIA, MTULIE.
@AbdulyAyoub-t5z2 ай бұрын
Huyo jibu alisain wap
@chikuluchidodokochiitingan3402 ай бұрын
Ushasema ubaya ubwela unatombokatomboks tu😅
@NyasanaTv-ol4ix2 ай бұрын
huyo akae bench mda ote tuone anacho taka
@AnnoyedDove-oo3kk2 ай бұрын
Atarudisha tu labda kama hatumuoni kwenye lada za kwetu
@suleymanmwenda43112 ай бұрын
Mjomba umeshaludi kwenye grup la mikia usije ukaloa tena
@IddyyFumbwe2 ай бұрын
AZABU APEWE NANI WAKATI PESA KASHARUDISHA, NA HATAKI SI MUMUACHE AKACHEZE ANAKOTAKA.
@MichaelThomas-z4r2 ай бұрын
Kisu kimekata mfupa sio mlishabikia yafei sasa mwachen mtoto akatafutemaisha uumchezo autaki asila
@justinemathiasngwandu77152 ай бұрын
Achwni zenu, mwacheni kibu ale maisha, mlijisahau mkakalia ya Magoma sasa ubaya ubwelaaa😂😂😂😂
@AbassAbdalla-e7j2 ай бұрын
Ubaya. Ubwelaaa
@JumaVumbi-l8p2 ай бұрын
Kibu ni Mcongo akifanikiwa atatafuta Hati kutoka FA ya Congo na atapiga chini uraia wa bandia,,wacongo ni wa2 wa Maslahi sn,,hii itaisha kashatapeli na kasepa
@nkoydavid96582 ай бұрын
Siyo rahisi kama unavyofikilia wewe
@sebastiankatalle27322 ай бұрын
Kweli ww bwege sna mkataba na uraia wapi na wapi
@charlesmwaipasi28842 ай бұрын
Kubababaake kula chuma hicho
@RamiaMavengu2 ай бұрын
Miraji hahahahaha 😂kawasahau viongozi wake reo analia na mwanaume mwenzie anaejipambania je # hivi huyu miraji na anavyoongea ebu vaa viatu vya kibu ndio wewe maisha yako mpira
@mafisadi2 ай бұрын
Ubaya Ubwela
@shaameshaame28372 ай бұрын
Kibu anatuuma maana ndo alikua mbadala wetu wa kubeba HIRINZI baada ya Boko kuzeeka. Hebu Kibu acha utoto njoo dogo tuyajenge hawa Yanga bila kuwaroga 5 zitazidi
@yunusimchala65692 ай бұрын
Kibu yupo Lipalwe huku mahuta
@mafisadi2 ай бұрын
Namuona hapa mkonjowano amepita na boda, nimemjua kwa Rasta zake
@suleymanmwenda43112 ай бұрын
Kamsainisha mkataba wa ujanjaujanja
@babycandycharles78162 ай бұрын
Kibu ajapewa achauwongo miraji nyinyi mmezowea kuongopewa na viongoziwenu mnamsikiliza Sana Ahamed ally Ahamed ally nimuongo Sana kusaini kasaini ela hajaingiziwa zote anangoja aingiziwe arudi achauowongo wewe mzee mwenda ndioanajuwa vizuri mliobaki mashabiki maandazi hamjuwi lolote nyuma ya panzia kibu anadai
@LuqmanIddi-cb8me2 ай бұрын
Mapovu yanakutoka kama ulikuepo wakati anasaini mbwa wewe..
@frankiemissingo19252 ай бұрын
wewe wamnyoshe hoe certain u are kwamba they are perfect,?
@frankraphael75462 ай бұрын
Kibu aendele kuvuta bangi atumtaki
@JumaJuma-g5e2 ай бұрын
Mufanye. Nini. Msimu. Huu. Na. Mmetangaza. Vita. Eti. Ubaya. Ubaya. Nyie. Madunduka. Hamuwezi. Kuwa. Na. Nizamuc