Unakumbusha mausiano mazuri na mweza wako really naupenda sana
@FathiaMohd-k3e13 күн бұрын
Any one 2024🎉❤
@MQP-xy9fm3 ай бұрын
2024😂❤
@abdulhamidsuleiman49534 жыл бұрын
Mithili yako hapana Old is gold taarab Zanzibar Viva Zanzibar taarab,viva Sabah Muchacho
@abdulhamidsuleiman49534 жыл бұрын
Mithili yako hapana,Old is Gold taarab Viva Shangaz Sabah,Yaa Salaaam
@FathiaMohd-k3e13 күн бұрын
Any one 2024 🎉❤
@mamyhuuhuu74133 жыл бұрын
Mpenzi mwenye imani mm nakupenda sana .....yaan imenigusa sana hii nyimbo🤗
@gingercashcat Жыл бұрын
asante sana kuandika kwa kingereza💗💗 Sabah kweli amejaaliwa
@muhammadomar1787 Жыл бұрын
2022/11/26 still listening to this masterpiece. Kweli old is gold.Mungu Akuwekee mametu Sabah,Akujaalie afya tele na uzima.much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abdulhamidsuleiman49534 жыл бұрын
Natamani natamani natamanii Natamani natamani kukuona Mwenye hali,mwenye hali natamaniii Majonzi furaha sina upo mwangu mawazonii
@abdulhamidsuleiman49534 жыл бұрын
Duniani duniani mithili yako hapana Na peponi na peponi tutakutanishwa tena Mpenz mwenye imani mimi nakupenda sanaaahhh Ahsante Shangaz sabaha Muchacho @AbdulHamid de Zanzibar
@aishabh79362 жыл бұрын
Mashallah tarabu haya yani imetilia mahaba ya mpenzi wangu sauti yako imezidi mahaba ndani ya roho yangu shukurani daa swawaba saloum nakupongeza sana
@omarmwaiwe72692 жыл бұрын
Si ambari si zinduna... waridi Wala asmini. Adimu hapa hakuna..sijaonapo yakini. Daaaaah!! Maneno kuntu mashallah.
@aminashafi30664 жыл бұрын
Sijaona kama hubby wangu love you sana
@RioIpo3 жыл бұрын
Allah awatunze na kuwaeka mpendane daima
@user-uj8xq6mj2w29 күн бұрын
Hii iko poa
@muqreempanga93282 жыл бұрын
Niusikiapo wimbo hu humkumbuka mpz wangu wa zaman
@salmayusuph36533 жыл бұрын
Duniani mithili yko hapana na peponi tutakutanishwa Tena mpenzi mwenye Iman mm nakupendana sana
@ismailmjesh33322 жыл бұрын
acha tuuuu
@aminajaha37033 жыл бұрын
Natamani sana kumuona Japhary milanzi
@usalamaikulupkpk73034 жыл бұрын
Mithili yako hapana yaaani hakuna kama wewe..... anazungumzia mtu uliemzoea yaani mf'mpnz rafiki ndugu.... ila ndo hayupo tena duniani kwaiyo ndo anatamani kumuona.......hatari hiii kituuuu....... nampenda uyu mom mpk... rahaaa
@salamukadir25884 жыл бұрын
hapana ukisikiliza beti ya mwisho anasema "Salamu twaleteana mpenzi hatuonani..." maana yake yupo hai lkn yuko mbali tu.
@RioIpo3 жыл бұрын
@@salamukadir2588 Yes nakubaliana na wewe... tena mwisho anasema " Milele tutashikana langu kubwa tumaini, Tuishi tukipenda kwa salama na amani"
@leilahassan20463 жыл бұрын
Yaan huu mwimbo hunifanya nikumbuke mbl sn, ila ndo hivyo no way out 😭😭😭
@bakarially-ni6jj Жыл бұрын
Wimbo bora wa mapenzi kwangu mm mfano wake hakuna
@user-tf3ui8nb9t8 ай бұрын
Masha Allah old is gold 🏆🎖
@abedkarume90883 жыл бұрын
Mpenzi mwenye Imani mie nakupenda Sana......viva sister sabaha bint saloom
@raudhiamussa63434 жыл бұрын
iko poa
@bakarsalum40743 жыл бұрын
Natamn
@mohamedahmed-ix3jk Жыл бұрын
Amazing golden voice
@salimahmed99442 жыл бұрын
Natafuta ile taarab inayo imba "nampenda lakini simtaji kwa jina "