Рет қаралды 84
Uzinduzi wa Mashindano ya "Mazingira Super Cup" Yamezinduliwa July 6,2024 Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara kwa kupanda Miti 1200 katika Kingo za Mto Lumemo ili kuzui Mmomonyoko wa Udongo.
Mashindano hayo ambayo yataanza kufanyika July 10,2024 yanadhaminiwa na Watu mbalimbali huku Mdhamini Mkuu Mkiwa Mr.Mapunda Mkurugenzi Taasisi ya Mazingira ni Uhai Foundation(@Katalina691