Ewe Allaah muhifadhi Shekh Muhammad Bachu kutokana na shari za wazushi, waovu na maaduwi wote wakijinni na kibinadamu. Mpe nguvu na upana wa maarifa na umuwezeshe kufanya Da'wa kwa nguvu zote alizo nazo
@Athumaniomari-ge2gs24 күн бұрын
Maaashaaallah sheikh Wang Allah akuhifadhi
@mohammedhassan892224 күн бұрын
حفظك الله ورعاك يا شيخ
@MahmoudMohamed-yc6fr24 күн бұрын
MASHAALLAH
@sakinasakku834024 күн бұрын
MAASHAA ALLAH shukran sheikh kipenzi chetu ALLAH akuhifadhi
@OmarSaid-nt2xd24 күн бұрын
Masha Allah barakallahu fik
@waladulikhlaas787024 күн бұрын
مسجد ضرار .... لا تقم فيه أبدا
@AshaSaid-gy2tg23 күн бұрын
Tuache majungu tusikilize maudhui
@MohamedMeja23 күн бұрын
Tuacheni kuchochea hata kiwa izudini alisema haina hajaa comment kusema hivi tutafuteni ya faidaa kama hayaa ndio muhimu
@OmarAlly-iz8ot23 күн бұрын
Naskitishwa na maaduwi wa Dini na Da'wah hapa Zanzibar, kwa kuwazuia kufanya Da'wah watu muhimu kama huyu Shekh Muhammad Bachu!!! Serekali imewachukuwa wazushi na kuwapa mpini, wajinga ndio mashekhe wa kuzingatiwa, wenye elimu na juhudi yaa kuuamsha ummah, zuia, fyeka ndani, hakuna ruhusa ya kuzungumza chochote kuhusu Dini. Wahuni, walevi, wazinifu, washirikina, wazushi, waimbaji na wenye kutuharibia Dini na maadili wote hawa wako huru na wanafanya wanacho jiskia na wengine wamepewa vibali na kulindwa pia😢😢😢😢😢😢. Wallaahi zama mbaya sana hizi tulizo nazo, wakweli kufanywa waongo, hawafai kuzungumza, waongo ndio wakweli wazungumze wawezavyo na watakavyo!!!
@abubakarbakari937224 күн бұрын
Sheikh bachu nadhani ulipata ujumbe kutoka kwa sheikh izudin
@user-yj5on8cz3e24 күн бұрын
Asa izudini ndo nani 😂😂 kusanyikeni nyote hamutamuweza huyo hizudini khurafi mkubwa yule umshindanishe ilmu na bachu masufi mnachekesha kweli bado maswali 19 mmeshindwa ya jibu tanga kutetea maulid
@mohagurey221424 күн бұрын
Tafadhal mzijibu hoja 19 kwanza
@osmanmanbile932724 күн бұрын
Bachu athibitishe kwmba imamu barzanjii.ni muongo siku ya niqash ameona moto
@osmanmanbile932724 күн бұрын
Je mtu akitumia hathidhi daifu katika kitabu chake huitwa ni muongo jibu swli😂😂😂
@user-yj5on8cz3e24 күн бұрын
@@osmanmanbile9327 muongo ndy kwani barazanji akiwa muongo kuna Nini mtume tuu maneno yake yakwwli hasemi urongo we mimba ya mtume wakati unaingia yey mtunga barazanji hajazaliwa mtume mwenyewe mpk anakufa hajawahi adisia hiko kitu yeye kapata wapi katungatunga urongo tuuh kumpachika mtume basi