MWANAMKE NI CHUO CHA MAFUNZO - KAZI KUU ALIYOPEWA MWANAMKE NI KUWATIA VIJANA/ MABINTI AKILI.
Пікірлер: 26
@jumangomuo93015 жыл бұрын
In shot mwalimu mm ni muislamu lakini nimekuwa nikijifunza mambo mengi sana kwako .. barikiwa sana .. nimejua mambo mengi sana na unanisaidia pia katika kazi zangu kama Mc
@agnesnyangasa53486 жыл бұрын
Na barikiwa sn na mafundisho yko Pastor MUNGU wa mbingun akuinue zaid na zaid BARIKIWA
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
eeee kunywea mtoto tena pombe
@stewartmillanzi15966 жыл бұрын
You are an amazing teacher.. .you teach the truth....huo ni utumwa kabisa...na wanawake wengi wapo hivyo.
@evelyneibrahim73976 жыл бұрын
Napenda mahubiri yako doctor
@drkaswalala6 жыл бұрын
Amen
@jescajulius80486 жыл бұрын
Ni maarifa ya ajabu, Yesu nisaidie kuyatimiza kama ulivyokusudia
@catherinegachii67466 жыл бұрын
nimesoma kitu ya maana sana sana sana
@naketizainabu78036 жыл бұрын
Amen amen
@benedictnkenja4426 жыл бұрын
Safi Sana mchungaji wangu
@shangwerobert29385 жыл бұрын
nimebarikiwa sana
@moarusha54746 жыл бұрын
aamiinaaaaaa
@Mo_classic_Bland6 жыл бұрын
Nimejifunza
@moarusha54746 жыл бұрын
even me too
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
Kuna anayevuta sigara bangi pombe na baba na mama wala hawatumii hivyo vitu na hawajawahi kutumia je hii inatokea wapi
@shylagwadebalima75726 жыл бұрын
We mwl nikiboko natamani nikutane nawe unanitia maarifa kweli
@manassehstarmedia.48376 жыл бұрын
My role model.
@bintiiddy70436 жыл бұрын
Kweli kabsa uyasemayo
@focustz44086 жыл бұрын
good
@osimundalyimo66356 жыл бұрын
Kweli nimejifunza
@moarusha54746 жыл бұрын
lait wanadamuu wangekufolow kwa hayaa yootee kwa kwelii mabadlko yqpooo