Mimi naitwa Prosper A. Maanda, naishi hapa Cleveland, Ohio, USA. Mara zote ninapojifunza au kufanya assignments zangu za chuo almost kila siku, lazima niweke mahubiri yako halafu rafiki zangu huniulizia hivi unafanyeje kusoma na huku unasikiliza mahubiri, mimi husema hapo ndipo naelewa zaidi. It may look funny but it's true pastor, God bless you abundantly! In fact, Katika masomo yote niliojifunza kutoka kwako kubwa zaidi yalionivutia zaidi ni yale yanayofundisha aina za aiba za wanadamu (temperaments). Mchungaji ubarikiwe saaaana, mimi ni mmoja wa watu ambao hufuatilia sana mahubiri yako online, mambo yote ambayo wewe huubiri ni exactly true and correct. I really learn a lot from you, keep it up!
@sarahmsangi72433 жыл бұрын
Unapiga kozi Gan huko
@hamidakassim44 жыл бұрын
💯💯💯👏ushanena mtumishi😷😷acha Mungu akuhifadhi mahala pako
@aishahaisha49415 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe (amen)kupitia mafundisho yako kwa kweli nimepata hatua ila Niko na changamoto kwenye ndoa yangu utanisaidiaje?Mm mkaaji Kenya.
@ntobolomasanja9564 Жыл бұрын
Mch upumzike kwa Aman in paradise
@salehejongo27993 жыл бұрын
Safiii xn Dr.
@isayayohana61656 жыл бұрын
amen barikiwa sana mtumishi
@adelawayesu27406 жыл бұрын
Pole Baba wanajua unapendwa sannaaa na watanzania wote wanajua waumini watajaa kwako coz Mungu ameweka vitu vingi ndani yako ni lazma upendwe na watu wote hadi waumini wao siku hizi tunaitaji watu wenye maarifa kama wew ili tukue kiroho na kimwili ata mim ningekua naishi Dar ningekuja kuabudu kanisani kwako na nilivosikia unafungua kanisa nikajua tu lazma watu waje wafurike kwako ata kama iweje Wewe ni Mtumishi uliebarikiwa sana Pia nakutabilia watu wataendeleaa kuja kwako hadi utashangaa kama umejenga kanisa dogo anza plani ya kutanua kanisa liwe kama godauni kubwa sana Mungu azidi kukuinua sanaaa wewe ni mnyenyekevu sana na huna makuu baba wa watu Uzidi kubarikiwa