Рет қаралды 31,898
Watu wengi sana wameshindwa kufanikiwa kwa sababu hawapangi matumizi ya fedha zao, wakidai kwamba wakianza kufanikiwa ndipo wataanza kupanga Budget. Kanuni ya kufanikiwa kiuchumi inasema JIFUNZE KUPANGA MAYUMIZI YA FEDHA ZAKO KWA KIPATO KILE KILE ULICHONACHO NA UTAFANIKIWA.
SOMO: MAONO YANAYOTEMBEA
By. Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39