USIWE NA HARAKA UNAPOSIKILIZA SOMO HILI. KAA UTULIE,RUDIA TENA NA TENA
Пікірлер: 106
@joycemoraaombati10089 ай бұрын
Asante pastor umeniaidia sana kwa funzo nzuri barikiwa sana
@MahubiriPrMmbaga9 ай бұрын
Amen
@gracemayaka62853 ай бұрын
I'm so blessed pastor vitu zingine tunapitia na hatujui maana yake Asante sana kwa kutusimulia amina🎉🎉🎉
@judithmakoye65923 жыл бұрын
Asante Yesu, nisaidie kuyaishi mafundisho haya maana kwa akili zangu siwezi nikiangalia changamoto ninazopitia, mbarikiwe mahubiritv kwa kutujali kiroho kila siku
@JuliusShikoli-xd9ey2 ай бұрын
Wewe kweli ni mchungaji Tena Mwalimu mkuu mwenyesi mungu akubariki san.
@raelsarange6382 жыл бұрын
I'm blessed with the encouragement message pastor, I'm very important kweli
@gentillekavugho8252 Жыл бұрын
Asante sana muchungaji,nilikuwa sijuwi hilo.nimebarikiwa. vile Mungu anisamehe kwakuwa nilikuwa nazoeya tukana watoto.ubarikiwe zaidi.
@fridahmosiria39443 жыл бұрын
Kila nitakacho panga kitafanikiwa kwa nguvu ilioko ndani yangu amen mungu akubariki mchungaji kwa mafunzo mema haya
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@catherinendaro46703 жыл бұрын
Nashukuru pastor umeniongoa
@sebastianlucian59166 ай бұрын
Asante yesu kwa neno lako asante mungu maana Unanipenda
@jazzwambu5753 жыл бұрын
Pastor hiyo miti niyaogelesa yote mungu ni mwema hakuna ata moja imekauka amen.
@rizikimanamaua92163 жыл бұрын
Ubarikiwe Pastor. Mungu akupe hekima na maarifa nyingi kwa kutusaidia kukua na kukomaa KIROHO na kimwili pia. Ubarikiwe, ubarikiwe. Amina.
@victaeliud9483 жыл бұрын
Ameeeni sana...nimebarikiwa
@bettymitanda17213 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana pastor, Mungu azidi kukufunika katika mbawa zake
@rubias2978 Жыл бұрын
Ameni asante pst natakakukiri na kuamini mungu anisaidie amina
@user-uf9jb8py9i9 ай бұрын
Ameni hili neno nimeni peleka kiwango chengine🙏🙏👏
@japhethojiambo64493 жыл бұрын
Amen you are among the best teacher
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Praise the Lord
@winnieshayo1826 Жыл бұрын
Ameeeeeeen barikiwa Sana mtumishi
@msafiribenjamin1043 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji kwa mafundisho mazuri. Nimefikia kubarikiwa sana.
@danforddavid60233 жыл бұрын
Mchungaji Naenjoy sana, Ubarikiwe
@millymalasusa3054 Жыл бұрын
Jamani mchungaji Mungu akupe maisha marefu mwee naona uzima kabisa.
@rouseyjoseph61992 жыл бұрын
Amen nitabarikiwa kwa imani
@janethurio24533 жыл бұрын
Asante Pastor, mpaka hapa tu tayari nimefanikiwa kwenye Kila eneo la maisha yangu. Barikiwa mtu wa Mungu.
@estermpwan47393 жыл бұрын
Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu hakika nabarikiwa Sana na mafundisho yako
@godartjames86222 жыл бұрын
Somo zuri sana,Mungu akubariki zaidi Mch. Mbaga
@ciciandjojo77013 жыл бұрын
Some Zuri mno. Limenibariki sana mchungaji Mmbaga. Mungu awe nawe daima🤲🙏
@japhethojiambo64493 жыл бұрын
Amen
@winniekimani29213 жыл бұрын
Asante Mchungaji. Somo la kipekee. Barikiwa sana. Eleza hiyo dawa ya malaria
@ruthmnyuku71132 жыл бұрын
Mungu amekutumia vyema nami naomba hiyo dawa barikiwa sana
@arjohnmulangwaarjohn12453 жыл бұрын
Asante Mwalimu !!
@carloskaaya11333 жыл бұрын
Pastor sijui nikwambie nini NIKISEMA MUNGU ANANIPENDA NAMAANISHA. Naomba MUNGU anijalie nipate nafasi ya kuzungumza na ww. MUNGU wa Mbinguni akubariki sawasawa na MAPENZI YAKE/KUSUDI LAKE KWAKO.AMENI
@LeaMusekura-ex1ot10 ай бұрын
Unatubariki mchungaji sana ubarikiwe sana
@romanmaroa33892 жыл бұрын
Your preaching is so powerful and motivated, Amen
@ezramharulo9198 Жыл бұрын
Balikiwa kwa mafundisho pasta Mbaga
@azaransari73073 жыл бұрын
Tema chini umenikumbusha mbali sana, Mungu unaishi.
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Amina, hakika nguvu ya kinywa,Mithali18:20-22
@gideonchiwegi6003 жыл бұрын
pr umebadilisha maishayangu kwa kweli
@lucytungaraza8993 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na masomon haya pastor MUNGU akubariki sana
@joeljosephtv62933 жыл бұрын
Amen ubarikiwe Pr
@bajeeetzofficially45953 жыл бұрын
Big up pastor may God bless you
@mbbars27403 жыл бұрын
😇 amen
@graceclinton53033 жыл бұрын
Niliposikia mahubiri yk leo hiinajisikia kua wa dhamani ndani ya yesu barikiwa sn number Nina shida ndani yangu
@ismailmmbaga35323 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu.
@tajindolaghe13433 жыл бұрын
Naongea na watu ama binadamu huhuhuuhu ubarikiwe
@episonfelician76703 жыл бұрын
Pastor ubarikiwe kwa mafundisho mazuri najifunza mengi kwako
@asnathmasegenya98903 жыл бұрын
Ameen barikiwa mtu wa Mungu
@user-xu3kb5vo9j10 ай бұрын
Amina
@emanuelmaembe97803 жыл бұрын
Kila nitakachopanga kitafanikiwa kwa nguvu iliyoko ndani yangu
@japhetbarton82683 жыл бұрын
34:23 "bwana atusaidie sana" SAUTI YA MTOTO INASIKIKA KANA KWAMBA INASEMA AMEEEN
@foundationfaithtv Жыл бұрын
Yaani pastor umenifurahisha 😂 Kweli Mungu alitujuwa tangu hatuja zaliwa
@kusainsmall21993 жыл бұрын
Mungu apewe sifa nilikuelewa sana muchungaji
@user-qz2oi6ct3b9 ай бұрын
Ubalikiwe
@leitinameni90553 жыл бұрын
Mungu asante ila naomba uniongoze katika njia yako nakatika kusudu lako
@hekimacharles10482 жыл бұрын
Asante sana pastor nimejifunza sana maisha yangu yamebadilika kuanzia sasa sikuyajuwa haya....🙏🙏
@Ishowspeed_dad3 жыл бұрын
Asante sana kwa ujumbe huu mzito.ubrikiwe sana
@olphanyamweya31548 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@johncareyson49523 жыл бұрын
ama kwa kweli nimerishwa na mafunzo yako mchungaji. naendelea na sehemu ya pili
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@neemamaganga97742 жыл бұрын
Ameen.
@everlyneiminza57223 жыл бұрын
Amina barikiwa sana mchungaji 🙏🙏🙏🙏
@ballackjohnas33653 жыл бұрын
Ubarikiwe pr
@samwelyhitra41733 жыл бұрын
Nimebarikiwa mnoo pastor
@kabulamanyangu47033 жыл бұрын
Sasa nmeelewa pastor asante sana
@asnathtv84853 жыл бұрын
Kila nitakachopanga kitafanikiwa kwa nguvu iliyoko ndani yangu.
@seesee81143 жыл бұрын
Esther Nyabuto from KSA Ameen🙏🙏🙏🙏
@samsondavid3433 жыл бұрын
Ubarikiwe na wewe mtumishi
@gitanokambarage87893 жыл бұрын
" NAONGEA NA WATU AMA BINADAMU" .....Haaa ubarikiwe Mchungaji
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Ninapo endelea kukiri kitu kinaumbika...Amina
@denisbogomba7720 Жыл бұрын
Jambo mchungaji nífafanulie uyo mtu
@asnathtv84853 жыл бұрын
Psalms 8:4
@kabalizasekanabomarko606310 ай бұрын
Kila nitakacho panga kitafanyikiwa kwa nguvu iliyoko ndani yangu.
@asnathtv84853 жыл бұрын
Genesis 1:26
@thobiasnzanie51253 жыл бұрын
Hakika mm ni mshindi
@gondomarekana46203 жыл бұрын
Hakika somo hili limenipa mtazamo Mpya.
@davidginono12403 жыл бұрын
My english version says.." angels" not God ...why is it different? isnt the bible supposed to be the same one universally
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Which version and which verse ?
@davidginono12403 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ps 8:5 kjv
@asnathtv84853 жыл бұрын
Amen.
@dynesstunguhole46523 жыл бұрын
true. uwazalo ndilo litatokea kwenye mafanikio hata mm hunitokea halikama hyo
@lennahombiro35773 жыл бұрын
Powerful pastor
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@thobiasnzanie51253 жыл бұрын
Ila pastor naomba unijibu .Je mkristo ni halali kulima au kufuga kilimo chakisasa kilichojaa machemicalz au hiyo inakaaaje?
@foundationfaithtv Жыл бұрын
Nimeelewa sasa kwanini Mungu alimwambia Yeremia kwamba alimjuwa tangua hajazaliwa
@christophermalilah71103 жыл бұрын
Mtumishi kweli kuna ufunguo nauona kabisa ukgusa akili yangu nahitaji vitabu vyako nipo mbeya
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@bonimasero6493 жыл бұрын
Mchungaji ubarikiwe
@zuberysaid92013 жыл бұрын
Ubrkiw san
@asnathtv84853 жыл бұрын
Methali 13:16
@shabanigroup40883 жыл бұрын
Jambo pastor. Nafurahi na sisi Africa kupata mtu kama weye. Nakusikia mahubiri yako na kumbuka Dr males monre. Email yangu hiyo shabaninunda@gmail.com. phone number yangu ni +61478656411. Maneno hunayo sema siyo yako nia mungu From shabani nunda
@asnathtv84853 жыл бұрын
Waeberania 2 : 5
@oswaldkibona60982 жыл бұрын
.
@holinessamisi12393 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI MCHUNGAJI WA MUNGU ENDELEA KUTULISHA UTALIPWA NA BWANA NI MIMI HOLINESS MWANAO.
@rubias2978 Жыл бұрын
Ni dawa gani ya kuuwa mararia kwa masaa 24
@msafiribenjamin1043 жыл бұрын
Mchungaji kuanzia sasa nitaanza kulifanyia mafundisho yako.
@rosemaryotieno32433 жыл бұрын
Nina swali, je ukilirudia ombi kwa mara kadhaa, inamaana kwamba hujaamini au ni vipi?
@carloskaaya11333 жыл бұрын
Pastor sijui nikwambie nini NIKISEMA MUNGU ANANIPENDA NAMAANISHA. Naomba MUNGU anijalie nipate nafasi ya kuzungumza na ww. MUNGU wa Mbinguni akubariki sawasawa na MAPENZI YAKE/KUSUDI LAKE KWAKO.AMENI
@maureenjovial60833 жыл бұрын
Amen
@namsifumnzava61633 жыл бұрын
Amina
@bonimasero6493 жыл бұрын
Mchungaji ubarikiwe
@maxlove26683 жыл бұрын
Amen
@holinessamisi12393 жыл бұрын
Amen
@ndetitave90743 жыл бұрын
Amina
@emmanuelmbwambo65713 жыл бұрын
To GOD almighty one be the glory forever and ever AMEN.