Asilimia kubwa ya wanaume wametekwa na wanawake makahaba ambao ni wachafu, hawafai, moja ya sababu ni hii hapa. Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC & Counseling Psychologist +255 713 18 39 39
Пікірлер: 63
@wgsaempiretv8645 жыл бұрын
Wewe ni mchungaji unayejielewa kipawa chako cha ufundashaji na kwa hakika baki kwenye seksheni hiyo hiyo.kama unakubaliana nami,twende sote dondosha like zako hapo zenye uzito.
@tumtumkhan31155 жыл бұрын
Nikweli kabisa huyu mchungaji anongea maneno yanyo tuhusu cc kimaisha mana ndoa zetu kwa sasa nizamvuto tuu
@contactaffassociation13884 жыл бұрын
.
@pendopereus61905 жыл бұрын
Kuna wasiobemvelezwa jaman umalaya unakuwa kwenye damu yake tuu Ni Basi labda kumuomba mungu aendelee kututunza ili tuepukane na maradhi
@husnajohn74665 жыл бұрын
Mchungaji huwa sichoki kukusikiliza napata somo zuri sana
@focustz44085 жыл бұрын
Kwwli unacho sema wanawake wa siku hizi wanawake wamekua na midomo michafu kweli
@imanmwashitete52435 жыл бұрын
Nikweli kabisa ubalikiwe kwafundisho zuri ambalo umetupa
Siku hizi hata hawapo, wachache sana wamesha shituka,Waliopo ni wale wanaopenda kupewa na wanawake.
@trophainamagogwa11635 жыл бұрын
Ni shetani tu anayekuwa ametaka kuiharibu ndoa kwa Tamaa ya hao waume zetu .mwanaume mwingine hata ungembembelelezaje kama anataka kwenda huko atakwenda tu,tuwaombee tu wasiwe na hizo tamaa
Anazambi huyo mume. Na ndo wanaleta magonjwa kwa mke.
@magnifiquentkrtmna3205 жыл бұрын
Asante nataka nijifunze ukimya
@trophainamagogwa11635 жыл бұрын
Hdjbfh High huo ukimya uangalie nao usilete dhambi ndani maana kama alizoea sauti yako akisema akaona uko kimya atajua umemdharau
@neemamathew74652 жыл бұрын
Hata mm😢
@JohnMungas5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢
@sebastianbwile66595 жыл бұрын
Ubarike mtumishi
@jacksonchimomo5545 жыл бұрын
Amina Amina
@ozwardfungo69832 жыл бұрын
Tumtangulize Mungu kwa Kila Jambo yeye atatushindia
@ndenitoriakimaro96315 жыл бұрын
Kabisa mchungaji wanaume hawalidhiki
@lawindizi13952 жыл бұрын
0
@meltusjuma5494 Жыл бұрын
Barikiwa
@snugglethegreat51555 жыл бұрын
I see u have a word!🤔🤔
@estherlornaachieng13775 жыл бұрын
Kama wanatunzwa mzuri huko inje na hao makahaba mbona anarudi kwa mke wake siaende kabisa
@neemamwaipungu28425 жыл бұрын
Aaahhhh, amerudi kutimiza wajibu ila hayupo kabisa kimwili apo,na akiondoka mazima siku,miaka akirudi jua karudi kwa makombo sababu wameshamuambikiza,wamemsha mmalizia pesa zote unabaki Kama kopo apo
@ridiamwainunualsee74955 жыл бұрын
Ujikubali
@samwelimoshi56144 жыл бұрын
Nyie ndy mnaachwa
@gabrieladam4915 жыл бұрын
Amina
@denisgermany32884 жыл бұрын
Aki nagswa sn pastor
@felisterjoaeph4325 жыл бұрын
Asante baba
@ozwardfungo69832 жыл бұрын
Mungu mwema nyakati zote
@wilfredmtumkubwa98545 жыл бұрын
God bless u all
@mauwabijoux69665 жыл бұрын
Asante baba mutumishi wamungu uwa napenda mafundisho yako na nikizingatia nagutekeleza nafaidi kwenye ndoa yangu nashukutu najifunza vingi sana na ndo maana siwezi kushinda bila gusikiliza mafundisho yako na kila mutu ambae anaskiliza mafundisho yako nakutekeleza hatokaaa ajute nikwenye uchumba mpaka kwenye ndoa barikia zaidi nazaidi mungu akuzidishie kipawa uzidi kutufunza amina
@mitimingionlinetv98965 жыл бұрын
mauwa Bijoux Amina mauwa Mungu akubariki sana
@rebekajohni93835 жыл бұрын
mauwa Bijoux najifuza
@gwikileambakisye77935 жыл бұрын
mwanaume mchafu hata ungembembeleza ukatoa na sauti nyororo bado atatoka nje ya ndoa cha msingi ni kuziombea ndoa zilizo halibikiwa na uchafu huo
@MtanzaniaJitambueCoLtd5 жыл бұрын
Wanawake wajifunze
@MtanzaniaJitambueCoLtd5 жыл бұрын
@@mitimingionlinetv9896 naomba hizi clip kuzipata kwenye WhatsApp +255742777715