Рет қаралды 8,159
Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amesema suala la Rais John Magufuli kutawala kwa mihula miwili halina mjadala na kutaka watu wasiumizane vichwa katika hilo…”Tusijihangaishe vichwa, ana miaka mitano, na ana miaka mingine mitano.
#AzamTVUpdates #AzamNews #UTV