Kwa Mahubiri haya jmn naomba niwe member hapo kanisani 💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Vailethndossy4 жыл бұрын
Nimechukua kitu hapo kitanisaidia sana barikiwa mtumishi
@marymbathamusyokimusyoki40823 жыл бұрын
Mungu akubariki sana,hii injiri imenibariki sana ,sitakemea mtu tena mbali shetani aliye dani ya mtu,tanzania mumebarikiwa ,kumbe ndio maombi yangu inakawia kujipiwa,kwa kukemea mtu bandala ya pepo,mungu akuinue zaidi mchungaji
@pasteurmardocheemwale2023 Жыл бұрын
Oh oh oh oh baba na kupenda Niko Congo RDC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@monicabh16683 жыл бұрын
Mimi lazima siku Moja nitafika ECG Darsalam nihudhurie ibada 🙏🙏 am soo blessed 🔥🔥
@asifiweabellumato42624 жыл бұрын
Mi huwa nakuelewagaa sanaa
@neemahamisi43024 жыл бұрын
Shalom chief apostle kwanza namshukuru Mungu kwa ajili yako somo la kwanza nilichojifunza ninapoona tofauti kati yangu na ndugu yangu sio yeye ni shetani anamtumia kufarakanisha kwa hiyo namuona shetani ndani yake kwa hiyo sitagombana na ndugu yangu tena! Somo la pili Mimi niliumwa dalili zote za corona ila ndani yangu nikakataa kwa jina la Yesu sasa hivi ni mzima kabisa pia nilitumia tangawizi na limao namshukuru Mungu corona imeisha Tanzania Jina la bwana lihimidiwe
@wanjiruwathuo36433 жыл бұрын
Tanzania nawapenda Bure Ur greatly gifted na Manabii wa Mungu...Live Long Tanzania....Wakenya Twawaenzi.
@nshimirimajeanine96803 жыл бұрын
Mahubili yako yananijenga kweli amen
@neymarmidu19353 жыл бұрын
Unanibariki sana nabii Mtalemwa
@yvonnemashuda30044 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu wa miungu ametenda..hakika vita vyetu si vya damu na nyama bali ni katika rohoo,there is power in targeting the right enemy..tunazidi kukomaa kiroho na kimwili..ECG ni FIREE
Umetisha mwanangu Mtalemwa salute Mungu anakutumia vilivyo tuko nyuma yako tunakuelewa sn mbona
@ruthkiptoo98862 жыл бұрын
Thanks pastor for a good work God bless you
@flavianamarcel3835 Жыл бұрын
Shalom mtumishi Hakika umesema kweli! Kama hiyo science anacheza nayo sana! Shetani shindwa in the mighty name of Jesus 🙏
@dorismasakhwe6883 жыл бұрын
Thank you so much Apostle, may the Almighty continue to increase you 🙏
@jamesmangu3374 жыл бұрын
Uko vizuri nakutakia utumishi mwema na ulio tukuka Duniani na Mbinguni.
@gracekwila56744 жыл бұрын
Ufunuo mkubwa sanaa MTUMISHI Asante sana mtumishi kwa ufunuo huu nimepata kitu kipya
@mercylineinjoke96823 жыл бұрын
Kwa hakaki watazania mmebarikiwa natafute bwana mtazania be blessed man of God
@highzacknnko96852 жыл бұрын
Mbona huwa tunasikia wakenya mwenye pesa ndio baba?halafu wan awake Wa Kenya mnajua kupigana sana
@maulidingalita74173 жыл бұрын
Mungu ni mwema na anakusudi niyajue haya
@neemanziku54032 жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@happysiwakamil1970 Жыл бұрын
LEO NIMEPATA UPONYAJI. AMEN PROPHET.
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
Apo kwa mbirizi kiboko ya magonjwa, yaani Mungu anatupenda. Wameishatengeneza wanasema madhara yatatokea Mwezi wa saba. Tuendelee na maombi na Kashwagara
😆😆😆,hii ilikuwa kiboko, asante Yesu 🙏. Sasa kuna Ebola wanaturusha roho,mimi siwaelewi eti tukae tayari, Mara kuna wahisiwa yaani hapa ni kuanzia rohoni kumbabadua kitaeleweka.
@anithajwilliam10642 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
@suzanakamala36154 жыл бұрын
Mtumishi was Mungu aliyehai, UNANIBARIKI sanaaa, Mungu azidi kukutumia.
@lucasgasper52353 жыл бұрын
Mtumishi uje ufundishe somo la uvaaji naona wanadada wengi wemevaa suruali wamepaka brich wameshevu madenge wakemee
@clairemuchai6233 жыл бұрын
Moto xana
@anngeorge95813 жыл бұрын
Thank you man of God,my faith is uplifted,God bless you.praying for more anointing.
@magievuriva47753 жыл бұрын
Is only today niliweka status ya kumkomesha alietumiwa na shetani kuniumiza.......nimelia kuomba then i open my youtube nakusikia hili somo khaaa nmedelete na nampigia mazee siwezi korofishana na mtu kisa shetani😆😆 not menagain.
@munyanachanty91673 жыл бұрын
nimekukubali pasta. mimi nimuchristu arakini nimekutana namapasta wajaja sikukua nawakubali arakini nimekubali kweli unaneno ramungu ndio kitu napenda kusikiliza sana ubalikie namungu akujyaze nguvu
@renatusdeogratias55193 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi.
@yohanaasajene35202 жыл бұрын
Unaeleweka sana mtumishi
@lovenessmushi90484 жыл бұрын
Baba Mtalemwa nimekuelewa vyema.asante sana umegonga kichwa cha msumari👌
@alvinemajani63954 жыл бұрын
You make me happy apostle mtalemwa 🤣😂👃
@grolyqueen58333 жыл бұрын
Aliiiii aliiii Hakika kabisaaa
@lucasgasper52353 жыл бұрын
Vimini kwa kweli mafundisho ni mazur sana ila unaowafundisha wengi safar yao si salama
@elizabethmambai20723 жыл бұрын
Ameen
@dorcasseruhere68753 жыл бұрын
Amen. Mungu akubariki kwa somozuri
@eunicefalex44033 жыл бұрын
Ni kweli kabisa tatizo tunaangamia kwa kukosa maarifa
@Neypaul013 жыл бұрын
Woow.....am so blessed nimefrahi sana na nimebarikiwa mno....be blessed man of God
@upendomsuya47544 жыл бұрын
Amina Chief Apostle powerful teachings. Ubarikiwe sana mtumishi, Mungu wa Major 1 akutunze na kukuongezea revelations.
@ezekielkabwika79444 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mcha Mungu amen Apostle Kabwika
@janiffermueni32133 жыл бұрын
Wooow what a powerful message 💃💃💃💃💃u really bless me
@dinajoseph99603 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili yako mtumishi hakika nimepona.
@margaretkahunguka81983 жыл бұрын
Powerful revelation,more grace man of God, I am blessed, from kenya
@kabelengegodfrey40094 жыл бұрын
Nimebarikiwa kaka mtumishi wa mungu injili sasa imekomaa zaidi Tupevitu vya mbinguni
@lyingamwazyunga78234 жыл бұрын
Glory to God for bestowing his wisdom upon Chief Apostle. Best teachings and prophecy ever
@joshuasaid21803 жыл бұрын
Duh nimebarikiwa sana na hili somo jaman
@jamesdioniz32434 жыл бұрын
Powerful teaching,am so blessed Chief Apostle
@adamngelangela26784 жыл бұрын
Neno lako ni njia kwangu,barikiwa sana mtumishi
@neyhmrs77042 жыл бұрын
AMEEN
@getrudekimaro4 жыл бұрын
Iyeee kashagwara😅😊Powerful teachings, chief wa watu🙏am so Blessed
@rimepeter7893 жыл бұрын
AMEN, am so blessed, God bless you sir 🙏
@nuruduma49544 жыл бұрын
Hakika nimebarikiwa Sana! ubarikiwe Mtumishi wa Mungu!!
@lylianmguhi61324 жыл бұрын
Thank you Chief.. Nimejifunza kitu kinacho nisaidia katika maisha yangu...God bless you Chief!!
@abednegochristopher46403 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@happynescostat7420 Жыл бұрын
MUNGU akupe Mia la mingi,
@hon.johnmukoya20332 жыл бұрын
Great
@jacquelinenyange55494 жыл бұрын
Thank you Apostle Nimebarikiwa sana 🙏
@filothiasirizabongo57674 жыл бұрын
Shetani shindwa kwa jina la yesu mwana wa mungu aliye hai
@LadyveenOfficial4 жыл бұрын
Be blessed mtumishi wa Mungu,
@rihannabellion56363 жыл бұрын
nimebarikiwa Ameeen
@luhekelondelwa97143 жыл бұрын
Amina mtumish
@esthermngodo70554 жыл бұрын
Powerful teachings!!
@johnnziu9362 Жыл бұрын
Good service
@brightonsalvatory79414 жыл бұрын
Dah wewe baba ni hatar sana mungu akubariki sana nimepona
@pesevolution29734 жыл бұрын
Nimebarikiwa mtumishi
@tumainangelimemigusahuoami56334 жыл бұрын
Amina pastor hi imenigusa
@luckylukas87894 жыл бұрын
Amen chief
@sallymaritim95953 жыл бұрын
Amen
@frereirie22823 жыл бұрын
Extrait de Kacou 141:Mungu anapenda China na Asia 49 Dunia ni paradiso ya wanadini na wanasiasa na ndani yake ni vita na magonjwa na magonjwa ya milipuko. Na munapofikia hatua ya silaha za nyuklia, Mungu anawatumia magonjwa ya nyuklia kama nilivyotabiri mnamo 2002. Hospitali zitafungwa na mashule na mafamilia na vijiji vitafutwa. Watu watakimbia watu kama mtu anavyokimbia wanyama wakali wa porini. Paradiso yangu haiwezi kuwa ulimwengu huu chafu, unaokaa juu ya mabomu, ulimwengu huu unaogonjwa ambao umejaa uhalifu. [Kc.3v25] 50 Mlinikataa lakini mutatoweka duniani pamoja na kumbukumbu yenu na siku moja, wajukuu wenu watashangaa kuona jinsi mulitenda. Katika miaka 100 au 200, kumbukumbu ya viongozi wenu wa kidini itafutwa kwa sababu kazi zao hazitokani na Mungu na nyote mtakwenda pamoja nao kuzimu ya milele ya Naraka. Munaonekana waaminifu na wakweli lakini nyinyi ni waongo kwa sababu ukweli unaotoka kwa Mungu ni hofu kwamba unaweza kuwa katika makosa. Wana wa Shetani hawaogopi lakini woga ya [kwenda] kuzimu hukaa ndani ya kila mwana wa Mungu. [Kc.130v21]
@banzamukalay53964 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu.
@nadiaserugo25954 жыл бұрын
Kweli iyo asante mungu mukubwa
@oliviarevocatus95404 жыл бұрын
Powerful man of God
@verymangapi27544 жыл бұрын
Nakuelewaga sana pastor
@damariskasiga82583 жыл бұрын
Am blessed 🙏🏾
@mariahgaudence5434 жыл бұрын
What a wonderful revelations
@SupernaturalRevelations4 жыл бұрын
Powerful truth papa
@servantjosiahtv31294 жыл бұрын
Oh yes..Chief apostle
@estherwambuies17824 жыл бұрын
Amen Amen
@veem39123 жыл бұрын
wow, just wow!
@jemimahjamilay.m62394 жыл бұрын
Nimekuelewa Chief Power
@philomenamushi36194 жыл бұрын
Asante sana Chief kwa kutufunilia hili,hakika nimepona
@esterntandu19993 жыл бұрын
Ubarikiwe sana chief umenifundisha kitu
@marypaul19484 жыл бұрын
amen may that be real in the name of jesus
@nadiaserugo25954 жыл бұрын
Amen ameen
@evaristmgimwa57704 жыл бұрын
Powerful
@godianmande49204 жыл бұрын
We thank God of Major1 for what he has done for Tz. Corona come not again!!
@topotachilemba91963 жыл бұрын
I LIKE THIS PROPHETY
@VICTOR-ul1lo4 жыл бұрын
💯💯💯
@farajahrogath25064 жыл бұрын
❤💖💖
@dr.dishon29604 жыл бұрын
Oooh yes!!
@gershonerasto78244 жыл бұрын
Amina baba
@millicentochieng85544 жыл бұрын
Amen.
@latifarashidi30944 жыл бұрын
Nimetakasika
@cammyokinda17353 жыл бұрын
Amen🙏🙏🙏
@florencengbebou26473 жыл бұрын
5 Japo Mungu anapo kuwa kazini, kila tukio lashiriki pamoja. Kwa nini mgogoro huu nchini Ivory-Coast? Kwa nini harakati hii kuelekea Abidjan? Mvutio huu ni wa nini? Angalia Luka 2: 1-7, Kaisari Augusta alitoa amri ili iandikwe orodha ya majina kila mtu katika mji wake. Sababu gani? Yeye mwenyewe hakujua, lakini ilikuwa hivyo ili Bwana Yesu Kristo apate kuzaliwa Bethlehemu na unabii na zisichanganyike. Tulisikia, tulikuja kutazama na tumeona kupitia Maandiko ya kwamba mhubiri huyu ndiye aliyeahidiwa katika Matayo 25: 6 ni yeye tunapaswa kufuata. [Ndr: Kusanyiko linasema: « Amina! »]. 4 Japo kulingana na Matayo 25: 6, usiku wa manane kutasikika Kelele, mahubiri fupi ambayo yatachochea na kuamsha mabikira wa makesha saba. Na uamsho huu utampeleka Bibi Arusi hadi kunyakuliwa. Yesu Kristo atatembelea Afrika. Baada ya jua na umeme wa Matayo 24:27, mwezi na nyota zita ngaa. Isaya 30 itatimia. Na manabii wengi wanakubaliana ya kwamba uamsho fulani utatokea Ivory-Coast. Japo kwa wanyenyekevu wa moyo na roho, kwa wale wanao tarajia kunyakuliwa ya watakatifu, hii sio tena unabii bali jambo halisi. [Kc.133v13] #Nabiikacouphilippe
@anwarihamza49814 жыл бұрын
Nikweli kabisa Mtu wa Mungu
@noelyaokoffi78693 жыл бұрын
11 Mkatoliki anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika Kanisa lolote la Katoliki duniani. Mubatisti anaweza kuchukua meza takatifu ya bwana katika Kanisa lolote la waBaptisti hapa duniani. Methodisti anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika kanisa lolote la Methodisti hapa duniani. Lakini Mkatoliki haiwezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwabaptisti. Mubatisti hawezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwa Methodisti, kwenye kusanyiko la miungu... Na Bibilia inasema kwamba machafuko haya yote yanatoka kuzimu na yaenda kwenyi Hadezi. Ni nini? Ukristo ni ufalme wa Shetani. Na kila Jumapili, Shetani anaabudiwa katika makanisa yote ya ulimwengu kwa jina la Yesu. [ Ndr: Kusanyiko linasema, "Amina! "]. Www. Philippekacou. Org